EXCLUSIVE: MANARA Afunguka MAZITO - "ANATAFUTA UMAARUFU, NIMEMPA TALAKA"

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 255

  • @emanuel798
    @emanuel798 Год назад +7

    Manara,👋💪💪💪💪💪💪💪hongera sana, Kwa majibu ya kiume.💯thenk you very much Mr,🙏.

  • @chantalharakandi2576
    @chantalharakandi2576 Год назад +9

    Masha Allah Alhamndulillah hadji manara Mwenyezi Mungu akupe subira na unahekma uwe fundisho kwa wanaume wote duniani

  • @Ndiyooo
    @Ndiyooo Год назад +15

    Dida mumuache Mzee manara hataki kusema mungu anasema ukimstiri mwezako mwe islamu na yeye Mungu ata kustiri na wewe🙏🙏🙏

  • @fahad79faiz46
    @fahad79faiz46 Год назад +4

    Masha Allah brother uko juu,mungu atakupa mwenye kheri

  • @dodimohammad
    @dodimohammad Год назад +3

    MASHA ALLAH TABARAKALLAH Brother Hajj Manara represented all the men well especially MUSLIM men ALLAH AKUZIDISHIE SUBRA BOSS BUGATTI

  • @seinabelimi2296
    @seinabelimi2296 Год назад +15

    Alhamndulillah ndo neno kubwa ktk kila janga busara na hekima ndo kila ktu maishan mwetu ss ni wanadamu kuna maisha nje ya mahusiano malipo ni hapa hapa✍✍

  • @amanikillo5529
    @amanikillo5529 Год назад +3

    Brother nimekupenda sana interview iko poa sana.. ukimuacha mkeo mstahimilivu nitakuita Nguruwe.....

  • @abubakarmpole4000
    @abubakarmpole4000 Год назад +8

    Poleni akina Diva na Mama Juma, hamjutarajia jibu hilo Kwa Manara, Hongera Manara umeongea vzuri, huo ndio uwanaume

    • @dennissteven2868
      @dennissteven2868 Год назад

      manara wewe ni mwanaume na umetuwakilisha vema watoto wa kiume tuliopelekwa jando si kishoia kama vianaume vya leo

    • @jennifarfesto
      @jennifarfesto Год назад

      @@dennissteven2868 888iiiióí koii 8ó8 ok 8i8988ó8 loo î8i8ki8
      Kkk

    • @jennifarfesto
      @jennifarfesto Год назад

      Film

  • @user-qb3yh9gq5l
    @user-qb3yh9gq5l Год назад +1

    ALLAH AKUSIMAMIE KAKETU MANARA POLE SANA YATAISHA BIIDHINI LLAH MUNGU YUPO NAWE

  • @johnleonard4835
    @johnleonard4835 Год назад +24

    Haji Manala umeongea maneno ya busara sana big up mwamba

  • @nahanakadiri3969
    @nahanakadiri3969 Год назад +6

    Juma nakupendaaaaaa! Dida ndio ucsemeee!mnanifuraishaaaaaaa

  • @mrishorajabu2797
    @mrishorajabu2797 Год назад +6

    Kaka haji mungu atakurinda mungu atakuwa nawe akika umenifundisha kitu kaka haji wanawake tuishi nao kwaakili akika polesana na nyie wakina dada mjitambue tambueni duniani tunapita msifikirie mkituazili nyinyi mungu atawaaacha salama

  • @mlingomwanakombo466
    @mlingomwanakombo466 Год назад +6

    Yani wanaume wote wangekuwa na akili Kama yako, wallah dunia ingekuwa shwari Sana.
    Very mature mind. Mungu akuongoze

    • @omarymnuru8746
      @omarymnuru8746 Год назад

      Kwahiyo hata baba yako ama kaka yako ama Mjomba wako ama Babu yako ama shemeji yako hawana akili kuliko Hajj?

    • @aminatatu5692
      @aminatatu5692 Год назад

      😁😁😁

  • @halimaseiph4641
    @halimaseiph4641 Год назад +4

    Kk haji pole sana ila utambue watu wengi maisha ya ndia yako yalikuwa yanawaumiza sana

  • @pendochimammy5013
    @pendochimammy5013 Год назад +7

    Very Good manara kwa kumuomba mkeo Rubby msamaha mke niyule wa kwanza ulietoka nae ujanani Wengine ni makunguruu tuu Hawafungikii Nyumbani

  • @KhalidKhalid-ox4pg
    @KhalidKhalid-ox4pg Год назад +5

    AISHA OMAN 🇴🇲😍ANTI DIDA MWAMBIE HAJI MANALA AJE ANIOWE MIMI ILI AZIBE PENGO YATAPITA TUU HAYO 😂😂

  • @alialamoudi9729
    @alialamoudi9729 Год назад

    Kuowa zaidi ya mmoja ni halali ikiwa unauwezo wa maadilifu lakini hataweza kwa upendo ya moyo yake lakini mwanamke atoke loging bila mahram yake hiyo inakazwa kwa dini ya kiislaam huyo mwanamke alikosea haji mnara ni mwanaume rijali kabisa kumwacha huyo mwanamke haji manara sheke anajua mungu NA sheria ya kiislaam na hata gruani anaysoma vizuri NA anajua anafanya nini wala usifikirie kabisa haji lala vizuri fata dini yako mungu atakusaidia wa shukran ndugu yako kwa uslaam kutoka yaman

  • @jumaamartin7929
    @jumaamartin7929 Год назад +11

    hivi ndio wanaume tunatakiwa kuwa.hekma na busara nikitu chema.hakika manara una hekma na busara allah akupe afya njema na akujaalie upate mke mwema.

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 Год назад

      hana hekima kazi ni kubadilisha wanawake ty ndoo sifa zake

    • @eddykatamba1008
      @eddykatamba1008 Год назад

      Dida big up dadangu upo vizuri

  • @hadijauledi6995
    @hadijauledi6995 Год назад +3

    Haji mwanangu ushaur wangu tulia na mkeo mkubwa yaani sijuwi huwa mnafer wapi mwanakulitafuta mwanakulipata mnahangaika kuowa wanawake kibao mwisho wake unarudi kwa mkeo mkubwa sawa dini inaruhusu wake 4.unakuta mtu unaowa wake hao wanne kula yao ya shida kuvaa nishida ila ww haji najuwa uliweza kuwahudumia sasa tulia haji wake wawili ni matatizo mwanangu pasuwa kichwa kaa na mkeo mkubwa

  • @ibrahimabdullah1887
    @ibrahimabdullah1887 Год назад +1

    Asanteni sana walio mhoji haji manara na pia Haji manara muungu awabariki

    • @ezekieldeus6022
      @ezekieldeus6022 Год назад

      Asante viongozi wangu kwa kuiona kero hii ya muda murefu wa watu waliowekwa ndani ya vigingi vya ggml, na kuzuiliwa kufanya maendeleo.ninaomba mulisimamie Jambo hili ili hawa watu waweze kupata haki zao.

  • @mmuruaminael8680
    @mmuruaminael8680 Год назад +3

    Ni kweli hakuna ukewenza wa kupendana kaka, sana sana wanakua wa nafki hao mmmh

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 Год назад +3

    Karne hii na elimu yote bado unaishi kama karne ya 7, wake wengi siyo ufanisi maishani, mzee wako alikuonya nawe hukumsikiliza!

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 Год назад

      hata mama yake aliongea kuhusu kuoa oa ovyo

  • @hemedikibuo5640
    @hemedikibuo5640 Год назад +1

    Haji manara hayo ni mapito tu aliyokufanyia haiko sawa kama umaarufu amepata kupitia wewe mungu atakulipa

  • @godlistengodlisten7552
    @godlistengodlisten7552 Год назад +8

    YAANI HAPO KAKA KHAJI NAKUPA BIG UP SANA.👏👏👏👏👏👏👏

  • @mishi6169
    @mishi6169 Год назад

    Anaesimama na mungu hakosi lake fungu inshallah kila la Heri Haji manara wakuache miaka yote iwe ya kheri kwako

  • @laylatabdallah2796
    @laylatabdallah2796 Год назад +4

    Watu wakishabwaga chini ndio wanamjua mungu🤣kwn ww si ndio ulikuwa unamuacha mkeo atembee kichwa wazi kuvaa nguo za ovyo sasa leo ndo unajua dini na kujifanya ww mchamungu😝

  • @consolatamedard6593
    @consolatamedard6593 Год назад

    Tulia kaka Mche Mungu unajichosha mwili na roho siolazima uoe wanawake wengi Eti kwasababu Dini imeluhusu ndoa zenyew mnazooa hatima yake inakuwa hovyo mnachafuana mnamkosa na Mungu pia haileti maana kabsa Tulien Duniani tunapita

  • @jumamalisawa7383
    @jumamalisawa7383 Год назад +2

    Hongera Sana manara kwamanenoyako ya busara.

  • @rashidkachaa3666
    @rashidkachaa3666 Год назад

    Manara umeongea Jambo la msingi sana, hpo umefunga midomo ya watu, kwni watu hawakos ya kusema

  • @niyonkurufaustin5542
    @niyonkurufaustin5542 Год назад

    Sawaa mzungu pori umeeleweka inaonekana upata washauri wazuri 👏 Lakini vipi ulivyokuwa umeanza kutishia mtoto wa watu kuwa utamuitia press conference ulikuwa unataka ukalopoke nini tena 😀😂

  • @hakizimanaaishwarya20
    @hakizimanaaishwarya20 Год назад

    Mitandao inaboa uzushi nimwingi mi wasafi nawakubali mana mnakubali hadi mumpigiye mwenye neno naaaam

  • @Jamila-cz5ge
    @Jamila-cz5ge Год назад +9

    Manara usijilaumu ulikosea awali. Mume hatakiwi kuwatandaza mitandaoni. Ulianika ukaanuliwa. Mke nipambo nyumbani sio kiyato barabarani. Jifunze toka sasa make mkubwa mfunze kujisitiri a ae nguo ya kisheriya NASIO nguo zisio sitara

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Год назад

    Hapo manara umejibu vizuri sanaaaa

  • @kalamesikalamesi5292
    @kalamesikalamesi5292 Год назад +1

    Ndoa za kislaam very friendly and less costly. Ndoa za kikistro utumwa wa kujitakia. Lets go back to our roots. Delilas are at work destroying with no mercy Manara. Na wewe Manara una akili nyingi sana lkn na wewe unakosa utulivu mahali fulani.
    Hili ni somo tosha kwako na wengine. Move on manara
    This is your time now to focus on your opportunities than problems sheikh haji manara, elewa brother

    • @GloriousRestorationTV
      @GloriousRestorationTV Год назад +1

      Labda ndio maana mnaoa wanawake hata 10 na kuacha because ni very cheap kuoa!!!!

  • @daud405
    @daud405 Год назад +1

    ninampa pole Manara. ila asije akamuamini sana mke wake mkubwa . nahisi huyu naye akimzingua atakufa. kwani mpaka anafika umri huo anataka kusema hajui timbwili timbwili za wanawake???!!!. na bado wanawake ni hatari sana. tena anavyowaanika mtandaoni mara hawajistiri mara hapa mara pale atakufa na pressure. achana na wanawake uishi maisha marefu

  • @jasminmdimi6059
    @jasminmdimi6059 Год назад +4

    Kaka Haji una hekima na busara👏👏

    • @jumaally724
      @jumaally724 Год назад

      Nanyie kazi kufuatia mambo ya watu ya kwenu mmeyaweza Mungu hapendi

    • @jumaally724
      @jumaally724 Год назад

      Na wewe haji umebaki wewe 2 Tanzania? kwenye mpira wewe na matangazo wewe na wanawake wewe ⁹---------daaaaah

    • @jumaally724
      @jumaally724 Год назад

      Leo ndoo unamwona rubi mwanamme acha uongo kaka hivi co pigo

  • @faridamansoor8987
    @faridamansoor8987 Год назад +2

    Binadam ukijitambua kuwa wewe unapita duniani basi unatakiwa uwe namaneno yabusara km kaka haji, nimependa lugha uliyotumia big up

  • @paulalove1223
    @paulalove1223 Год назад +3

    Yani kaongea kistaarabu vizuri kwa hekima

  • @salmaaboud2880
    @salmaaboud2880 Год назад +1

    ALLAH akustiri na atakupa mwenye heri naww

  • @jacksonamos2008
    @jacksonamos2008 Год назад +1

    Manara kapigwa kwenye mshono nini safari hii

  • @godlistengodlisten7552
    @godlistengodlisten7552 Год назад +4

    KWA WENYE AKILI TUMESHAONA GOLI LIMEFUNGWA NA H,MANARA..

  • @dottohami
    @dottohami Год назад +8

    Haji manala kaongea maneno ya busala sana 🌹

    • @aminafundikira126
      @aminafundikira126 Год назад

      Ni kweli kaka hakuna dhambi mbaya kama ya mume au mke na kuachana si ajabu. Na kweli usemavyo aliyefundwa hawezi fanya hayo aliye yafanya huyu wifi yetu bali na nyie kaka zetu muwe mnaangalia vyema msifuate tu vingaavyo kila mwanamke akipambana ni mzuri angalieni tabia ya mtu.

    • @dottohami
      @dottohami Год назад

      @@aminafundikira126kabisa dada 🤝

    • @dottohami
      @dottohami Год назад

      @@aminafundikira126 hawa wanaume wanapenda sana kukulupuka kuowa

  • @alimkumbukwa8363
    @alimkumbukwa8363 Год назад +2

    Nkubal manalaa, nkmbka ulsma juu y badraa n kwel akajiuzulu

  • @athmanchingy4071
    @athmanchingy4071 Год назад +3

    Nikusaidiaje proffeser Jay ft ferouz

  • @safianamani1375
    @safianamani1375 Год назад

    Rushaynah is very intelligent it's become drama for wat she choose but if it were Hajj would be coool

  • @danielchamoto9376
    @danielchamoto9376 Год назад +1

    Mbona kinyonge sana!? Tuzungumzie inshu ya fei kwanza😄😄

  • @selinatogolai3314
    @selinatogolai3314 Год назад

    Sawa sawa haji mana ra jibu lako nanyie mn aemuuliza mnataka n ini zaidi achaneni la hi lo jambo msilikuze

  • @nahanakadiri3969
    @nahanakadiri3969 Год назад +3

    Haji manara nakupenda xanaa!voice note zitapita,na bila ww Haji tusingemjua uyo mwanamke!aende zake ukoooo! Haji we mwamba buana,Ayo anayoyazungumza ni maneno ya mkosaji! Haji tunakupenda kakaaa

  • @abuulayla9067
    @abuulayla9067 Год назад

    Katika uislam ndoa ni ibada na mtume MUHAMMAD kafundisha wanaume wa kiislam waoe aina gani ya wanawake na wanawake wa kiislam wamefundishwa aina gani za wanaume wa kuolewa Nao. Tatizo watu maarufu ndoa zenu mnaziingia Kwa kutafuta Sifa na umaarufu, ndomana Mwenyezimungu naye anawalipeni Kwa nia zenu zenye sifa na umaarufu!!!

  • @fadumociisemuxumed1000
    @fadumociisemuxumed1000 Год назад +2

    Kwaneno lako alhamdulilah hongera asante

  • @emiratebogar1085
    @emiratebogar1085 Год назад +2

    Mungu awaeke wazima team dida

  • @niyonkurufaustin5542
    @niyonkurufaustin5542 Год назад

    Sawaa mzungu pori umeeleweka inaonekana upata washauri wazuri 👏 Lakini vipi ulivyokuwa umeanza kutishia mtoto wa watoto kuwa utamuitia press conference ulikuwa unataka ukalopoke nini tena 😀😂

  • @tinabapemacho8650
    @tinabapemacho8650 Год назад +2

    Hakika une onesha ukubwa wako 'na busara nahekima semaji letu allah akuzidishie Eeekima

  • @chingaa918
    @chingaa918 Год назад +1

    Haji manala umeongea poiti sana baba mungu akubaliki 🙏🙏

  • @spiderelexander9977
    @spiderelexander9977 Год назад +1

    Pole manara ni ya dunia2 yanamkuta kila m2

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 Год назад +2

    WATU WENGI WANACHUKULIA NENO JAHILI NI MATUSI LAKINI SIO TAFSIRI YAKE NENO JAHIL KWA KIARABU MTU ASIEFAHAMU.

  • @adam-saffi211
    @adam-saffi211 Год назад +7

    Marry another one Haji. You have been through 4 or 5 marriages. Wewe ni professional husband. You can have 150 women. All the best.

  • @khadijayunus9289
    @khadijayunus9289 Год назад

    Mamàra kweli ni mzee wabusara

  • @nahanakadiri3969
    @nahanakadiri3969 Год назад +2

    Haji Kaka wee ni msomi na ninakuaminia ulikosea lakn kufanya kosa co kosa,kosa kurudia kosa!uyo alikua co mke alitaka kitu na amekikosa!mpuuuzi uyo demu,bila wewe Kaka haji Nani angemjua uyo demu,mi namuita demu tu Kaka Haji!afazali umemuacha uyo demu Baki na mkeo bana maana ata Mama yako mzazi hakumridhia uyo demu!haji Hana mkono wa kupiga

    • @ahz6907
      @ahz6907 Год назад

      We ulishawahi kuishi na haji nyumba moja?

  • @athumanianzima2496
    @athumanianzima2496 Год назад +2

    big up manara

  • @ezradaudi7024
    @ezradaudi7024 Год назад +1

    Kaka yangu umeanza vizuri ila mwishoni umeteleza kaka yangu usiseme huwezi kuoa tena kumbuka huyo wa sasa ni maraika ? wewe ongea machache mengini mwachie mungu haji.

  • @aishaabdul9287
    @aishaabdul9287 Год назад +4

    Kaka haj mueshimu sana mke mkubwa anaheshima na utulivu

  • @allicom6201
    @allicom6201 Год назад +1

    Pole sana kaka mungu yupo pamoja na ww

  • @hassanmkwama9900
    @hassanmkwama9900 Год назад +3

    Haji uko Makini Sana ndoa ni jambo kubwa, umesema maneno mazuri, allah akujaalie kheri, simama ktk njia hiyo

    • @teckqeck5243
      @teckqeck5243 Год назад

      Nakusifu manara majibu yako mazuri sana nakushkuluni umewakata shombo dida rokore kupenda kujuwa ya watu hao wambea walizani utatoa sili km wao walifyo zowea kutoa yakwao roho dida wewe unafundishwa skiono uzidi kuliza undani wa manara wa juma rokore nyie watoto ayawausu uyo ni yao ayawausu subili mpate umbea wa uzinduzi kalipwa nanyie wambea ahaaaaaa😂😂😂😂😂😂👈nyie mkiwachwa amsemwi

  • @nfaumeassumanenamagere5243
    @nfaumeassumanenamagere5243 Год назад

    Sawa diva na manara pole sana10%

  • @halimayusuf8026
    @halimayusuf8026 Год назад

    Jaman manara nipe location plz naomba kukuona naomba unioe Bure sitaki mahari

  • @Anitajoseph792
    @Anitajoseph792 Год назад +1

    Marana hana hekima wala busura inshu hapa ameshikwa pabaya.....Tunaemfahamu huyu angekuwa na pakutokea angewasha moto

  • @kerryjohnson3646
    @kerryjohnson3646 Год назад +2

    Ndani ya miaka 2 tayari Haji Manara ameshaoa wake 3 na lakini 2 wamemshinda why? Yule wa kwanza waliachana ghafla. Ndoa ni uvumilivu na sio show off ili kuionesha jamii. Haji amefeli bwana asijiteteee.

    • @nandimzanzi
      @nandimzanzi Год назад

      He has divorced 2 other wives before. A total of 4 divorces. He is the problem

    • @ahz6907
      @ahz6907 Год назад

      True dat...He is a common factor...possibly he is the problem.
      Maybe his choices werent matching his desires......

  • @silasteven3929
    @silasteven3929 Год назад +1

    Point Sana Kaka bola kunyamaza mungu akusimamie mwanaume hanaga mashindano ya maneno na mwanamke

  • @vaxcraker99
    @vaxcraker99 Год назад

    Kama amempiga na ushahidi hupo, basi sheria ichukue mkondo wake. Inabidi mamaa amshitaki Manara kwa abusive behaviour and violence.

  • @mbonimanakisenya4178
    @mbonimanakisenya4178 Год назад

    BIG 🧠 haji karibu simba

  • @seiftaji7838
    @seiftaji7838 Год назад +2

    kaka haji wewe star mkubwa hapa tz asikunyumbishe huyo mwanamke tulia na mkeo

  • @ziadasalimu1730
    @ziadasalimu1730 Год назад +2

    Jamani Hawa wambea jamani 🙌

  • @rithadonatus8110
    @rithadonatus8110 Год назад

    Ushawahi ona wapi Kuna ndoa za mitandao au wanawake wakaa sehemu Moja ushawahi ona wapi ???

  • @sadamramadhan9887
    @sadamramadhan9887 Год назад

    Alihamudulilah umetembea saana kiimani mashallah manara umetembea vzr saaana saana

  • @nahanakadiri3969
    @nahanakadiri3969 Год назад

    Alizani ungechafuka lakn ili ni dogo xn Kaka Haji mengi makubwa yalipita vp ili?!kua strong Haji tunakupenda Baki njia kuu Kakaa Haji!acha watapetape hao na uyo demu Nina uhakika uyo demu anaumia hai waliompa pesa atampa milele!

  • @gillymwabulambo9864
    @gillymwabulambo9864 Год назад +1

    Hongera sana Kwa ungwana wako

  • @Ndiyooo
    @Ndiyooo Год назад +3

    Juma juma ww Kwa umbeya Bismillah Bismillah Kwa umbeya juma🤣🤣🤣🤣🤣

    • @ziadasalimu1730
      @ziadasalimu1730 Год назад

      Yaani umenichekesha jamani wewe ulivyo mpigia Bismillah juma , mbea sana juma anamnong,oneza Dida sikioni ha! Juma 🙌

    • @ahz6907
      @ahz6907 Год назад

      Mnafiki huyo 😀

  • @sululuzungu9587
    @sululuzungu9587 Год назад

    We fala2 aukamu upokonye mwezio uaze kujinadinae malipo ya Allah haya mamaeee

  • @aloycemwakatala2796
    @aloycemwakatala2796 Год назад

    Na nyie wandishi wa habari acheni kukuza mambo kama mmeyaona au kuyasikia kausheni kwa kifupi Manala kashawaambia na hiyo ndiyo busara aliyoitumia na kwa mwanaume lijali lazima afanye maamuzi kama hayo ya Manala.

  • @sanurahaji5194
    @sanurahaji5194 Год назад

    Ila huyu mwanamke loh...kikubwa tumuombee ukute hayupo sawa kiakili manake kwa hayo yalo tokea na yeye kujitupa tupa mtandaoni bila haya bila ata haji kuongea mshamjua tabia zake..

  • @moodyzanzibar4336
    @moodyzanzibar4336 Год назад

    HANITH LIAMAR - LEO NDIO UNAMKUMBUKA MUNGU ??? MUNGU NDIO ALOKWAMBIA UWA DISPLAY WAKE ZAKO MWEHU MKUBWA BADO HUYO ALOBAKI SASA ,UKISIKIKIA KUBWA JINGA NDIO WEWE

  • @salumsimai642
    @salumsimai642 Год назад

    Hongera na huuu ndio ujanadume MashaaAllah

  • @pendochimammy5013
    @pendochimammy5013 Год назад +4

    😂😂😂😂😂😂😂😂 Jamani Dida na juma mwanivunja mbavu umbea sikazi kazi nikusutwa yuaitwa cicilia tena. 😂😂😂😂

  • @winifridakasibu2900
    @winifridakasibu2900 Год назад

    Kwakweri nakushukru manara umeongea maneno ya busses sana

  • @yasminally1015
    @yasminally1015 Год назад +3

    Asallam maalequ maaishaala maaishaala maaishaala maaishaala maaishaala maaishaala Allamdulirai Ishaalla Allah hjelp you Ishaalla Ishaalla Asallam maalequ Hajimanal

  • @BigBoyTechToys
    @BigBoyTechToys Год назад +2

    Haji .. wewe hapo umeongea kiume hasa.

  • @rahmayussuf646
    @rahmayussuf646 Год назад +1

    Jamani mbona munamsema sana Rushaina kiasi kwamba munamtisha huyo mwengine aliebakia ambae ana mpango huohuo wa kuondoka wamekubaliana atangulie Ruu kwanza

  • @safyunaathumani2110
    @safyunaathumani2110 Год назад +3

    Juma utakufa kwa umbea 😃😃

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 Год назад

      😄🤣😂😆😄🤣😂😆

  • @gladyssembojas5308
    @gladyssembojas5308 Год назад

    Innalilah Wainnailahy Rajion

    • @fatumakuganda7451
      @fatumakuganda7451 Год назад

      KAKA kweli ulikosea ila sio wooote wapo ivyo na mungwana amilizi meneno na sio vizuli kuapa kwajambo sio

    • @saidkitula4982
      @saidkitula4982 Год назад

      alhamdulillah wewe nimwanaume makin kaka angalizo chagua mwenye dini usiangalie sula

  • @salamaseif4183
    @salamaseif4183 Год назад +1

    huyu dada ni shida

  • @moodyzanzibar4336
    @moodyzanzibar4336 Год назад

    MKE ANASEMA AMEKUBOOST SANA DUBAI BABU LAKINI STARTER HAMNA SASA KUBALI YAISHE .KWA SABABU SIKU HIZI HAKUNA TENA MAMBO YA KULA TANGAWIZI

  • @asiamerey9081
    @asiamerey9081 Год назад

    Katika siku ulioongea vizuri nakutumia bisara nileo haya mke mimi nipo jamani Haji njoo kwangu

  • @husseinali5535
    @husseinali5535 Год назад

    Remember you have daughter's also

  • @paulalove1223
    @paulalove1223 Год назад

    Hii kulosa ya dida remix 😂😂😂😂

  • @suleimanikirassahassan9711
    @suleimanikirassahassan9711 Год назад

    Haji hicho unachofanya ndio maana huyo mwanamke anafanya mwanaume kamili hata haya mahojiano usingefanya

  • @mrssley5184
    @mrssley5184 Год назад +1

    Haji tulia na mke 1

  • @divaimafuru6844
    @divaimafuru6844 Год назад

    Hawa watangazaji huwa mnawapata wapi dida unakosea fest of all ulipaswa kumwambia mtu yupo live radio radioni na TV acha ujinga ndio maana vipindi vyenu vingi vinaleta taflani

  • @lawijosephezekieli1078
    @lawijosephezekieli1078 Год назад

    Dada Mbona ww ujisemei

  • @abujumanne7570
    @abujumanne7570 Год назад

    Tuache masihara haji alizama kwa rushayna Toto la kahama..