Alhamndulillah ndo neno kubwa ktk kila janga busara na hekima ndo kila ktu maishan mwetu ss ni wanadamu kuna maisha nje ya mahusiano malipo ni hapa hapa✍✍
Kaka haji mungu atakurinda mungu atakuwa nawe akika umenifundisha kitu kaka haji wanawake tuishi nao kwaakili akika polesana na nyie wakina dada mjitambue tambueni duniani tunapita msifikirie mkituazili nyinyi mungu atawaaacha salama
Kuowa zaidi ya mmoja ni halali ikiwa unauwezo wa maadilifu lakini hataweza kwa upendo ya moyo yake lakini mwanamke atoke loging bila mahram yake hiyo inakazwa kwa dini ya kiislaam huyo mwanamke alikosea haji mnara ni mwanaume rijali kabisa kumwacha huyo mwanamke haji manara sheke anajua mungu NA sheria ya kiislaam na hata gruani anaysoma vizuri NA anajua anafanya nini wala usifikirie kabisa haji lala vizuri fata dini yako mungu atakusaidia wa shukran ndugu yako kwa uslaam kutoka yaman
Haji mwanangu ushaur wangu tulia na mkeo mkubwa yaani sijuwi huwa mnafer wapi mwanakulitafuta mwanakulipata mnahangaika kuowa wanawake kibao mwisho wake unarudi kwa mkeo mkubwa sawa dini inaruhusu wake 4.unakuta mtu unaowa wake hao wanne kula yao ya shida kuvaa nishida ila ww haji najuwa uliweza kuwahudumia sasa tulia haji wake wawili ni matatizo mwanangu pasuwa kichwa kaa na mkeo mkubwa
Asante viongozi wangu kwa kuiona kero hii ya muda murefu wa watu waliowekwa ndani ya vigingi vya ggml, na kuzuiliwa kufanya maendeleo.ninaomba mulisimamie Jambo hili ili hawa watu waweze kupata haki zao.
Watu wakishabwaga chini ndio wanamjua mungu🤣kwn ww si ndio ulikuwa unamuacha mkeo atembee kichwa wazi kuvaa nguo za ovyo sasa leo ndo unajua dini na kujifanya ww mchamungu😝
Tulia kaka Mche Mungu unajichosha mwili na roho siolazima uoe wanawake wengi Eti kwasababu Dini imeluhusu ndoa zenyew mnazooa hatima yake inakuwa hovyo mnachafuana mnamkosa na Mungu pia haileti maana kabsa Tulien Duniani tunapita
Sawaa mzungu pori umeeleweka inaonekana upata washauri wazuri 👏 Lakini vipi ulivyokuwa umeanza kutishia mtoto wa watu kuwa utamuitia press conference ulikuwa unataka ukalopoke nini tena 😀😂
Ndoa za kislaam very friendly and less costly. Ndoa za kikistro utumwa wa kujitakia. Lets go back to our roots. Delilas are at work destroying with no mercy Manara. Na wewe Manara una akili nyingi sana lkn na wewe unakosa utulivu mahali fulani. Hili ni somo tosha kwako na wengine. Move on manara This is your time now to focus on your opportunities than problems sheikh haji manara, elewa brother
ninampa pole Manara. ila asije akamuamini sana mke wake mkubwa . nahisi huyu naye akimzingua atakufa. kwani mpaka anafika umri huo anataka kusema hajui timbwili timbwili za wanawake???!!!. na bado wanawake ni hatari sana. tena anavyowaanika mtandaoni mara hawajistiri mara hapa mara pale atakufa na pressure. achana na wanawake uishi maisha marefu
Ni kweli kaka hakuna dhambi mbaya kama ya mume au mke na kuachana si ajabu. Na kweli usemavyo aliyefundwa hawezi fanya hayo aliye yafanya huyu wifi yetu bali na nyie kaka zetu muwe mnaangalia vyema msifuate tu vingaavyo kila mwanamke akipambana ni mzuri angalieni tabia ya mtu.
Haji manara nakupenda xanaa!voice note zitapita,na bila ww Haji tusingemjua uyo mwanamke!aende zake ukoooo! Haji we mwamba buana,Ayo anayoyazungumza ni maneno ya mkosaji! Haji tunakupenda kakaaa
Katika uislam ndoa ni ibada na mtume MUHAMMAD kafundisha wanaume wa kiislam waoe aina gani ya wanawake na wanawake wa kiislam wamefundishwa aina gani za wanaume wa kuolewa Nao. Tatizo watu maarufu ndoa zenu mnaziingia Kwa kutafuta Sifa na umaarufu, ndomana Mwenyezimungu naye anawalipeni Kwa nia zenu zenye sifa na umaarufu!!!
Sawaa mzungu pori umeeleweka inaonekana upata washauri wazuri 👏 Lakini vipi ulivyokuwa umeanza kutishia mtoto wa watoto kuwa utamuitia press conference ulikuwa unataka ukalopoke nini tena 😀😂
Haji Kaka wee ni msomi na ninakuaminia ulikosea lakn kufanya kosa co kosa,kosa kurudia kosa!uyo alikua co mke alitaka kitu na amekikosa!mpuuuzi uyo demu,bila wewe Kaka haji Nani angemjua uyo demu,mi namuita demu tu Kaka Haji!afazali umemuacha uyo demu Baki na mkeo bana maana ata Mama yako mzazi hakumridhia uyo demu!haji Hana mkono wa kupiga
Kaka yangu umeanza vizuri ila mwishoni umeteleza kaka yangu usiseme huwezi kuoa tena kumbuka huyo wa sasa ni maraika ? wewe ongea machache mengini mwachie mungu haji.
Nakusifu manara majibu yako mazuri sana nakushkuluni umewakata shombo dida rokore kupenda kujuwa ya watu hao wambea walizani utatoa sili km wao walifyo zowea kutoa yakwao roho dida wewe unafundishwa skiono uzidi kuliza undani wa manara wa juma rokore nyie watoto ayawausu uyo ni yao ayawausu subili mpate umbea wa uzinduzi kalipwa nanyie wambea ahaaaaaa😂😂😂😂😂😂👈nyie mkiwachwa amsemwi
Ndani ya miaka 2 tayari Haji Manara ameshaoa wake 3 na lakini 2 wamemshinda why? Yule wa kwanza waliachana ghafla. Ndoa ni uvumilivu na sio show off ili kuionesha jamii. Haji amefeli bwana asijiteteee.
Alizani ungechafuka lakn ili ni dogo xn Kaka Haji mengi makubwa yalipita vp ili?!kua strong Haji tunakupenda Baki njia kuu Kakaa Haji!acha watapetape hao na uyo demu Nina uhakika uyo demu anaumia hai waliompa pesa atampa milele!
Na nyie wandishi wa habari acheni kukuza mambo kama mmeyaona au kuyasikia kausheni kwa kifupi Manala kashawaambia na hiyo ndiyo busara aliyoitumia na kwa mwanaume lijali lazima afanye maamuzi kama hayo ya Manala.
Ila huyu mwanamke loh...kikubwa tumuombee ukute hayupo sawa kiakili manake kwa hayo yalo tokea na yeye kujitupa tupa mtandaoni bila haya bila ata haji kuongea mshamjua tabia zake..
HANITH LIAMAR - LEO NDIO UNAMKUMBUKA MUNGU ??? MUNGU NDIO ALOKWAMBIA UWA DISPLAY WAKE ZAKO MWEHU MKUBWA BADO HUYO ALOBAKI SASA ,UKISIKIKIA KUBWA JINGA NDIO WEWE
Jamani mbona munamsema sana Rushaina kiasi kwamba munamtisha huyo mwengine aliebakia ambae ana mpango huohuo wa kuondoka wamekubaliana atangulie Ruu kwanza
Hawa watangazaji huwa mnawapata wapi dida unakosea fest of all ulipaswa kumwambia mtu yupo live radio radioni na TV acha ujinga ndio maana vipindi vyenu vingi vinaleta taflani
Manara,👋💪💪💪💪💪💪💪hongera sana, Kwa majibu ya kiume.💯thenk you very much Mr,🙏.
Masha Allah Alhamndulillah hadji manara Mwenyezi Mungu akupe subira na unahekma uwe fundisho kwa wanaume wote duniani
Dida mumuache Mzee manara hataki kusema mungu anasema ukimstiri mwezako mwe islamu na yeye Mungu ata kustiri na wewe🙏🙏🙏
Masha Allah brother uko juu,mungu atakupa mwenye kheri
MASHA ALLAH TABARAKALLAH Brother Hajj Manara represented all the men well especially MUSLIM men ALLAH AKUZIDISHIE SUBRA BOSS BUGATTI
Jibu swadakkta kaka wewe wa kiume
Alhamndulillah ndo neno kubwa ktk kila janga busara na hekima ndo kila ktu maishan mwetu ss ni wanadamu kuna maisha nje ya mahusiano malipo ni hapa hapa✍✍
Ukosahihi kaka haji
Brother nimekupenda sana interview iko poa sana.. ukimuacha mkeo mstahimilivu nitakuita Nguruwe.....
Poleni akina Diva na Mama Juma, hamjutarajia jibu hilo Kwa Manara, Hongera Manara umeongea vzuri, huo ndio uwanaume
manara wewe ni mwanaume na umetuwakilisha vema watoto wa kiume tuliopelekwa jando si kishoia kama vianaume vya leo
@@dennissteven2868 888iiiióí koii 8ó8 ok 8i8988ó8 loo î8i8ki8
Kkk
Film
ALLAH AKUSIMAMIE KAKETU MANARA POLE SANA YATAISHA BIIDHINI LLAH MUNGU YUPO NAWE
Haji Manala umeongea maneno ya busara sana big up mwamba
Juma nakupendaaaaaa! Dida ndio ucsemeee!mnanifuraishaaaaaaa
Kaka haji mungu atakurinda mungu atakuwa nawe akika umenifundisha kitu kaka haji wanawake tuishi nao kwaakili akika polesana na nyie wakina dada mjitambue tambueni duniani tunapita msifikirie mkituazili nyinyi mungu atawaaacha salama
Yani wanaume wote wangekuwa na akili Kama yako, wallah dunia ingekuwa shwari Sana.
Very mature mind. Mungu akuongoze
Kwahiyo hata baba yako ama kaka yako ama Mjomba wako ama Babu yako ama shemeji yako hawana akili kuliko Hajj?
😁😁😁
Kk haji pole sana ila utambue watu wengi maisha ya ndia yako yalikuwa yanawaumiza sana
Very Good manara kwa kumuomba mkeo Rubby msamaha mke niyule wa kwanza ulietoka nae ujanani Wengine ni makunguruu tuu Hawafungikii Nyumbani
AISHA OMAN 🇴🇲😍ANTI DIDA MWAMBIE HAJI MANALA AJE ANIOWE MIMI ILI AZIBE PENGO YATAPITA TUU HAYO 😂😂
Ndoa ngumu nyiee🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂
Kuowa zaidi ya mmoja ni halali ikiwa unauwezo wa maadilifu lakini hataweza kwa upendo ya moyo yake lakini mwanamke atoke loging bila mahram yake hiyo inakazwa kwa dini ya kiislaam huyo mwanamke alikosea haji mnara ni mwanaume rijali kabisa kumwacha huyo mwanamke haji manara sheke anajua mungu NA sheria ya kiislaam na hata gruani anaysoma vizuri NA anajua anafanya nini wala usifikirie kabisa haji lala vizuri fata dini yako mungu atakusaidia wa shukran ndugu yako kwa uslaam kutoka yaman
hivi ndio wanaume tunatakiwa kuwa.hekma na busara nikitu chema.hakika manara una hekma na busara allah akupe afya njema na akujaalie upate mke mwema.
hana hekima kazi ni kubadilisha wanawake ty ndoo sifa zake
Dida big up dadangu upo vizuri
Haji mwanangu ushaur wangu tulia na mkeo mkubwa yaani sijuwi huwa mnafer wapi mwanakulitafuta mwanakulipata mnahangaika kuowa wanawake kibao mwisho wake unarudi kwa mkeo mkubwa sawa dini inaruhusu wake 4.unakuta mtu unaowa wake hao wanne kula yao ya shida kuvaa nishida ila ww haji najuwa uliweza kuwahudumia sasa tulia haji wake wawili ni matatizo mwanangu pasuwa kichwa kaa na mkeo mkubwa
Asanteni sana walio mhoji haji manara na pia Haji manara muungu awabariki
Asante viongozi wangu kwa kuiona kero hii ya muda murefu wa watu waliowekwa ndani ya vigingi vya ggml, na kuzuiliwa kufanya maendeleo.ninaomba mulisimamie Jambo hili ili hawa watu waweze kupata haki zao.
Ni kweli hakuna ukewenza wa kupendana kaka, sana sana wanakua wa nafki hao mmmh
Karne hii na elimu yote bado unaishi kama karne ya 7, wake wengi siyo ufanisi maishani, mzee wako alikuonya nawe hukumsikiliza!
hata mama yake aliongea kuhusu kuoa oa ovyo
Haji manara hayo ni mapito tu aliyokufanyia haiko sawa kama umaarufu amepata kupitia wewe mungu atakulipa
YAANI HAPO KAKA KHAJI NAKUPA BIG UP SANA.👏👏👏👏👏👏👏
Alfitna ashadu minal katal
MSENGE TUU HUYU UNAJIFAHARISHA UNADHIHIRISHA WAKE ZAKO
Anaesimama na mungu hakosi lake fungu inshallah kila la Heri Haji manara wakuache miaka yote iwe ya kheri kwako
Watu wakishabwaga chini ndio wanamjua mungu🤣kwn ww si ndio ulikuwa unamuacha mkeo atembee kichwa wazi kuvaa nguo za ovyo sasa leo ndo unajua dini na kujifanya ww mchamungu😝
Tulia kaka Mche Mungu unajichosha mwili na roho siolazima uoe wanawake wengi Eti kwasababu Dini imeluhusu ndoa zenyew mnazooa hatima yake inakuwa hovyo mnachafuana mnamkosa na Mungu pia haileti maana kabsa Tulien Duniani tunapita
Hongera Sana manara kwamanenoyako ya busara.
Manara umeongea Jambo la msingi sana, hpo umefunga midomo ya watu, kwni watu hawakos ya kusema
Sawaa mzungu pori umeeleweka inaonekana upata washauri wazuri 👏 Lakini vipi ulivyokuwa umeanza kutishia mtoto wa watu kuwa utamuitia press conference ulikuwa unataka ukalopoke nini tena 😀😂
Mitandao inaboa uzushi nimwingi mi wasafi nawakubali mana mnakubali hadi mumpigiye mwenye neno naaaam
Manara usijilaumu ulikosea awali. Mume hatakiwi kuwatandaza mitandaoni. Ulianika ukaanuliwa. Mke nipambo nyumbani sio kiyato barabarani. Jifunze toka sasa make mkubwa mfunze kujisitiri a ae nguo ya kisheriya NASIO nguo zisio sitara
Alikuwa akiambiwa anachamba watu na alivyo na mdomo mchafu
😊 😊
haha 😄🤣😂😆😄🤣😂😆etii uliwaanika wamekuanulia hahaaaaaa
Hapo manara umejibu vizuri sanaaaa
Ndoa za kislaam very friendly and less costly. Ndoa za kikistro utumwa wa kujitakia. Lets go back to our roots. Delilas are at work destroying with no mercy Manara. Na wewe Manara una akili nyingi sana lkn na wewe unakosa utulivu mahali fulani.
Hili ni somo tosha kwako na wengine. Move on manara
This is your time now to focus on your opportunities than problems sheikh haji manara, elewa brother
Labda ndio maana mnaoa wanawake hata 10 na kuacha because ni very cheap kuoa!!!!
ninampa pole Manara. ila asije akamuamini sana mke wake mkubwa . nahisi huyu naye akimzingua atakufa. kwani mpaka anafika umri huo anataka kusema hajui timbwili timbwili za wanawake???!!!. na bado wanawake ni hatari sana. tena anavyowaanika mtandaoni mara hawajistiri mara hapa mara pale atakufa na pressure. achana na wanawake uishi maisha marefu
Kaka Haji una hekima na busara👏👏
Nanyie kazi kufuatia mambo ya watu ya kwenu mmeyaweza Mungu hapendi
Na wewe haji umebaki wewe 2 Tanzania? kwenye mpira wewe na matangazo wewe na wanawake wewe ⁹---------daaaaah
Leo ndoo unamwona rubi mwanamme acha uongo kaka hivi co pigo
Binadam ukijitambua kuwa wewe unapita duniani basi unatakiwa uwe namaneno yabusara km kaka haji, nimependa lugha uliyotumia big up
Yani kaongea kistaarabu vizuri kwa hekima
ALLAH akustiri na atakupa mwenye heri naww
Manara kapigwa kwenye mshono nini safari hii
KWA WENYE AKILI TUMESHAONA GOLI LIMEFUNGWA NA H,MANARA..
Haji manala kaongea maneno ya busala sana 🌹
Ni kweli kaka hakuna dhambi mbaya kama ya mume au mke na kuachana si ajabu. Na kweli usemavyo aliyefundwa hawezi fanya hayo aliye yafanya huyu wifi yetu bali na nyie kaka zetu muwe mnaangalia vyema msifuate tu vingaavyo kila mwanamke akipambana ni mzuri angalieni tabia ya mtu.
@@aminafundikira126kabisa dada 🤝
@@aminafundikira126 hawa wanaume wanapenda sana kukulupuka kuowa
Nkubal manalaa, nkmbka ulsma juu y badraa n kwel akajiuzulu
Nikusaidiaje proffeser Jay ft ferouz
Rushaynah is very intelligent it's become drama for wat she choose but if it were Hajj would be coool
Mbona kinyonge sana!? Tuzungumzie inshu ya fei kwanza😄😄
Sawa sawa haji mana ra jibu lako nanyie mn aemuuliza mnataka n ini zaidi achaneni la hi lo jambo msilikuze
Haji manara nakupenda xanaa!voice note zitapita,na bila ww Haji tusingemjua uyo mwanamke!aende zake ukoooo! Haji we mwamba buana,Ayo anayoyazungumza ni maneno ya mkosaji! Haji tunakupenda kakaaa
Katika uislam ndoa ni ibada na mtume MUHAMMAD kafundisha wanaume wa kiislam waoe aina gani ya wanawake na wanawake wa kiislam wamefundishwa aina gani za wanaume wa kuolewa Nao. Tatizo watu maarufu ndoa zenu mnaziingia Kwa kutafuta Sifa na umaarufu, ndomana Mwenyezimungu naye anawalipeni Kwa nia zenu zenye sifa na umaarufu!!!
Kwaneno lako alhamdulilah hongera asante
Mungu awaeke wazima team dida
Sawaa mzungu pori umeeleweka inaonekana upata washauri wazuri 👏 Lakini vipi ulivyokuwa umeanza kutishia mtoto wa watoto kuwa utamuitia press conference ulikuwa unataka ukalopoke nini tena 😀😂
Hakika une onesha ukubwa wako 'na busara nahekima semaji letu allah akuzidishie Eeekima
Haji manala umeongea poiti sana baba mungu akubaliki 🙏🙏
Rahm
Hongeraahj kaka
Pole manara ni ya dunia2 yanamkuta kila m2
WATU WENGI WANACHUKULIA NENO JAHILI NI MATUSI LAKINI SIO TAFSIRI YAKE NENO JAHIL KWA KIARABU MTU ASIEFAHAMU.
Marry another one Haji. You have been through 4 or 5 marriages. Wewe ni professional husband. You can have 150 women. All the best.
Hahahaha
Good advice😂
Mamàra kweli ni mzee wabusara
Haji Kaka wee ni msomi na ninakuaminia ulikosea lakn kufanya kosa co kosa,kosa kurudia kosa!uyo alikua co mke alitaka kitu na amekikosa!mpuuuzi uyo demu,bila wewe Kaka haji Nani angemjua uyo demu,mi namuita demu tu Kaka Haji!afazali umemuacha uyo demu Baki na mkeo bana maana ata Mama yako mzazi hakumridhia uyo demu!haji Hana mkono wa kupiga
We ulishawahi kuishi na haji nyumba moja?
big up manara
Kaka yangu umeanza vizuri ila mwishoni umeteleza kaka yangu usiseme huwezi kuoa tena kumbuka huyo wa sasa ni maraika ? wewe ongea machache mengini mwachie mungu haji.
Kaka haj mueshimu sana mke mkubwa anaheshima na utulivu
Pole sana kaka mungu yupo pamoja na ww
Haji uko Makini Sana ndoa ni jambo kubwa, umesema maneno mazuri, allah akujaalie kheri, simama ktk njia hiyo
Nakusifu manara majibu yako mazuri sana nakushkuluni umewakata shombo dida rokore kupenda kujuwa ya watu hao wambea walizani utatoa sili km wao walifyo zowea kutoa yakwao roho dida wewe unafundishwa skiono uzidi kuliza undani wa manara wa juma rokore nyie watoto ayawausu uyo ni yao ayawausu subili mpate umbea wa uzinduzi kalipwa nanyie wambea ahaaaaaa😂😂😂😂😂😂👈nyie mkiwachwa amsemwi
Sawa diva na manara pole sana10%
Sio diva ni dida
Jaman manara nipe location plz naomba kukuona naomba unioe Bure sitaki mahari
Marana hana hekima wala busura inshu hapa ameshikwa pabaya.....Tunaemfahamu huyu angekuwa na pakutokea angewasha moto
Ndani ya miaka 2 tayari Haji Manara ameshaoa wake 3 na lakini 2 wamemshinda why? Yule wa kwanza waliachana ghafla. Ndoa ni uvumilivu na sio show off ili kuionesha jamii. Haji amefeli bwana asijiteteee.
He has divorced 2 other wives before. A total of 4 divorces. He is the problem
True dat...He is a common factor...possibly he is the problem.
Maybe his choices werent matching his desires......
Point Sana Kaka bola kunyamaza mungu akusimamie mwanaume hanaga mashindano ya maneno na mwanamke
Kama amempiga na ushahidi hupo, basi sheria ichukue mkondo wake. Inabidi mamaa amshitaki Manara kwa abusive behaviour and violence.
BIG 🧠 haji karibu simba
hahahhahaha
kaka haji wewe star mkubwa hapa tz asikunyumbishe huyo mwanamke tulia na mkeo
Jamani Hawa wambea jamani 🙌
Ushawahi ona wapi Kuna ndoa za mitandao au wanawake wakaa sehemu Moja ushawahi ona wapi ???
Alihamudulilah umetembea saana kiimani mashallah manara umetembea vzr saaana saana
Alizani ungechafuka lakn ili ni dogo xn Kaka Haji mengi makubwa yalipita vp ili?!kua strong Haji tunakupenda Baki njia kuu Kakaa Haji!acha watapetape hao na uyo demu Nina uhakika uyo demu anaumia hai waliompa pesa atampa milele!
Hongera sana Kwa ungwana wako
Juma juma ww Kwa umbeya Bismillah Bismillah Kwa umbeya juma🤣🤣🤣🤣🤣
Yaani umenichekesha jamani wewe ulivyo mpigia Bismillah juma , mbea sana juma anamnong,oneza Dida sikioni ha! Juma 🙌
Mnafiki huyo 😀
We fala2 aukamu upokonye mwezio uaze kujinadinae malipo ya Allah haya mamaeee
Na nyie wandishi wa habari acheni kukuza mambo kama mmeyaona au kuyasikia kausheni kwa kifupi Manala kashawaambia na hiyo ndiyo busara aliyoitumia na kwa mwanaume lijali lazima afanye maamuzi kama hayo ya Manala.
Ila huyu mwanamke loh...kikubwa tumuombee ukute hayupo sawa kiakili manake kwa hayo yalo tokea na yeye kujitupa tupa mtandaoni bila haya bila ata haji kuongea mshamjua tabia zake..
HANITH LIAMAR - LEO NDIO UNAMKUMBUKA MUNGU ??? MUNGU NDIO ALOKWAMBIA UWA DISPLAY WAKE ZAKO MWEHU MKUBWA BADO HUYO ALOBAKI SASA ,UKISIKIKIA KUBWA JINGA NDIO WEWE
Hongera na huuu ndio ujanadume MashaaAllah
😂😂😂😂😂😂😂😂 Jamani Dida na juma mwanivunja mbavu umbea sikazi kazi nikusutwa yuaitwa cicilia tena. 😂😂😂😂
😂😂
Kwakweri nakushukru manara umeongea maneno ya busses sana
Asallam maalequ maaishaala maaishaala maaishaala maaishaala maaishaala maaishaala Allamdulirai Ishaalla Allah hjelp you Ishaalla Ishaalla Asallam maalequ Hajimanal
Haji .. wewe hapo umeongea kiume hasa.
Jamani mbona munamsema sana Rushaina kiasi kwamba munamtisha huyo mwengine aliebakia ambae ana mpango huohuo wa kuondoka wamekubaliana atangulie Ruu kwanza
🤣🤣
Juma utakufa kwa umbea 😃😃
😄🤣😂😆😄🤣😂😆
Innalilah Wainnailahy Rajion
KAKA kweli ulikosea ila sio wooote wapo ivyo na mungwana amilizi meneno na sio vizuli kuapa kwajambo sio
alhamdulillah wewe nimwanaume makin kaka angalizo chagua mwenye dini usiangalie sula
huyu dada ni shida
MKE ANASEMA AMEKUBOOST SANA DUBAI BABU LAKINI STARTER HAMNA SASA KUBALI YAISHE .KWA SABABU SIKU HIZI HAKUNA TENA MAMBO YA KULA TANGAWIZI
Katika siku ulioongea vizuri nakutumia bisara nileo haya mke mimi nipo jamani Haji njoo kwangu
Remember you have daughter's also
Hii kulosa ya dida remix 😂😂😂😂
Haji hicho unachofanya ndio maana huyo mwanamke anafanya mwanaume kamili hata haya mahojiano usingefanya
Haji tulia na mke 1
Hawa watangazaji huwa mnawapata wapi dida unakosea fest of all ulipaswa kumwambia mtu yupo live radio radioni na TV acha ujinga ndio maana vipindi vyenu vingi vinaleta taflani
Dada Mbona ww ujisemei
Tuache masihara haji alizama kwa rushayna Toto la kahama..