𝐔𝐑𝐀𝐊𝐎𝐙𝐄 𝐒𝐀𝐈𝐃𝐈 𝐍𝐓𝐈𝐁𝐀𝐙𝐎𝐍𝐊𝐈𝐙𝐀 | 𝐓𝐇𝐀𝐍𝐊 𝐘𝐎𝐔 𝐒𝐀𝐈𝐃𝐎 | 𝐀𝐒𝐀𝐍𝐓𝐄 𝐒𝐀𝐍𝐀 '𝐆𝐎𝐃𝐅𝐀𝐓𝐇𝐄𝐑 𝐖𝐀 𝐁𝐔𝐉𝐔𝐌𝐁𝐔𝐑𝐀'
HTML-код
- Опубликовано: 17 июн 2024
- SUBSCRIBE NOW:
🌐 Site: simbasc.co.tz/
📱 App: Iphone User: apps.apple.com/us/app/simba-s...
📱 App: Android User: play.google.com/store/apps/de...
🔵 Facebook: / simbatanzania
📸 Instagram: / simbasctanzania
𝕏 Twitter: / simbasctanzania
🎶 Tiktok: / simbascofficial
About the Official Simba SC RUclips Channel:
Simba Sports Club is the most successful club in the history of football in East Africa. Enjoy the best goals, highlights, tricks, new players, training's,exclusive interview and live press conference
🔵🔴⚪ #NguvuMoja #Wenyenchi Спорт
Thank you za msimu huu nimezipenda...ubunifu...hatuna baya...🦁 NguvuMoja
Safr njem
Mwamba wa bujumbura ❤❤❤🎉
Thank you tunaisubiri ni ya mungungu tuu. Hizi nyengine ni bla bla tuu tulishawapa thank you hao katikati ya msimu tulijua ni safari. Rudisheni japo moses phiri basi mlete mzuka. Saiv mnatuboa
Saido asante kwa kujituma kwenye timu yetu ila ulikua unaboa ukikaa na mpira sana. Mfalme wa penalties
ACHENI KUPOTEZA MDA ,TOA THANK YOU KWA PAMOJA, KAMILISHENI SAJILI MPYA KWA WAKATI TEAM IWAHI KWENDA PRE SEASON TUSIJE ANZA KULAUMIANA BAADAE
Upo sahihi boss
Kabisa wanatupotezea muda 😂😂
Sure.hawa jamaa wanakera kweli.sasa kama boko si kila mtu alikuwa anajua kuwa hayupo tena 😢
sahihi wanakela bhana siwangetoa thank you kwa jumla
Upo sahihi me pia natmn watoe thank you kwachezaji wote wanaowaacha then tusubiri welcome2
Huyo saidoo akicheza timu tofauti na simba anakuwa onfire.
Mnafiki ww
Kila lenye kheri huko uendako..!!🙏🏽
Simba muta mkumbuka said ntibazonkiza wakati mutakuwa munyeshewa magol natimu zingine nahawo munasema nibora zaidi tutaona simbali kivile bunakucha tuone Simba musimu itamliza ikiwa namba 4😂❤
Mambo kama HAYA hayataki haraka
Saidoo kaachwa, lakini kama bado alikuwa mtambo wa maana. Tutamkumbuka akiwa na Coastal.
Asant saido kwa kuitumikia Simba kipind chot hicho
Alijituma sana ila viungo vimekataa kazi.
Nyie wapengeni kama wote wanatoka tieni thakyu ya pamoja tuleteeni wengine chap
nimejikuta nacheka tu et hii documentary yote ni magori ya penati😂😂😂
😂😂😂😂nikajua peke yangu naona penalty tuu
@@magrethmalobola5470 wadwanzi kwel hawa😂😂😂😂
😂😂hatar kiufupi bila hizo penalti angekua na bao2
@@user-kd7mw6be5q 😂😂😂
Saidoo penalti Saidoo faulu simba watakosa mpiga penalti na faulu