Kwanini kila movie chiko msumbufu2 mtoeni bhana😅😅😅😅yani vita nivile vile mmekosa plani nyingine mnatuletea kama vita vya mapenz kama house girl 😢me sioni utofauti chaajabu hata house girl yenyewe haijaisha
Ila chiko Ni mvurugaji wa move . Haya kwenye house girl ulimganda zatiti na Tasha hapa Napo Ni zuu na Tasha tena . Chiko una Nini na Tasha wewe.....😂😂😂
Yani wandengerekwa bwana shkamoni eti mume bora mhmhmhmh ata mume wangu aliwahi niambie sitapata mume bora kama yeye cha ajabu sasa uuuuwiiiii nimempata aliye bora mala kumi
Khaaa!! Sania ni mnaafkii humuu 😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ila Sania ni karembo jaman nani mwingine anaona km mm😊😊
Sania nakupenda mum uko karembo 🎉
Jaman munatuleteya muvi nzuri sana hongereni❤❤
Chiko kuanzia Leo wee kifuruge ww na candy bb mmoja mama mbalimbali
Yaani chiko kila nikiona sura yako nahisi kufa maana sipendi nakuchukia na hata sijui ni kwann nakuchukia 🥹🥹🥹
Zuu, unajua tu una uja uzito wa Chiko alfu unaenda kukimbilia kuolewa na Tasha, yaani huruma tuu😢😢
Vta vya chiko na Mr Tasha tena
😂❤😂😂😂😂😂😂😂😂
Léo nimewai jamani like apa
Zuuu kataa kabisa we ni mke wa mtu
Chiko ninakuchukia kweli maana hata karata yako siipendi hats kidogo
Leo nimewai wa 5 leo ❤❤❤❤❤❤❤❤❤kazi nzuri sana 😂😂😂😂😂chiko ushapokonywa tena mke na mr tasha 😂😂😂😂😂 hukomi humu tu 😂😂😂😂
2liingoja Kwa hamu xna jmn axanten xna❤❤❤
Hivi anaye mvalishaga zuuh ndo anawavalishaga ote jamani hapana ukija kichwani sasa mtume 😂😂😂
Movie ni 🔥🔥🔥 sana, ila chiko anaboo
Makubwa duniani tasha ahuna bahati kweli 😢 huruma tu
Chiko Kila anapoingiza ni msengemsenge tuu
😂😂😂😂 umeona eeee
Ndio anatuharibia movie
Sio p
😂😂😂😂😂 jaman nyie
@@HudhaimaYussufsianalii tena huu uchafu
Chiko upo unamuandama tena Mr tasha
Kumb zury baada ya tendo anakunywaga maji 🎉🎉🎉
😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤mama ushauri sania😂😂😂
No 2 guys kaz nzuri sana 🎉🎉🎉🎉❤❤❤
Sema Tasha yupo makini sana. Anaakili sana uyo kichwa chake kipo vizuri ila zuu kunanini tena kwa Tasha
Duuu mambo ni moto kikweli ❤❤❤EP muendelezo
Uyu lafiki wa Sania ndomzuli
Sania ❤❤❤❤ wewe nikiboko kwenye ushaur uko good kz nzur 🎉🎉🎉🎉
Embu zuu jitengeneze Bwana huwendani na Tasha Wala chiko 😂😂
Daaa NAhi tamu sana
Mmmmh jamn Kwan Chiko hujuagi kubembeleza
Ukimpata mwanaume ka chiko umeisha
Ila sania😅😅😅😅😅😅
Chiko uko n ubora Gani mbn ulikimbia mimba Kwa zuu🎉🎉
Sania jmn nakupenda buree
Jaman zuu hizooo nyweleee!!!!!!!
Mh mmefel bhana n hku nako chiko n tasha tena woooooiiiiiii
Ciko mukorofi sana
Kwanini kila movie chiko msumbufu2 mtoeni bhana😅😅😅😅yani vita nivile vile mmekosa plani nyingine mnatuletea kama vita vya mapenz kama house girl 😢me sioni utofauti chaajabu hata house girl yenyewe haijaisha
Kweny house girl walisema Hana uwezo wa kuzalisha
Sania una ushauli mzur sana
Zuu nimepata siri yako kumbe baada ya tendo unataka mmaa😅
Jamani sania kalembo
Aaaaa jamn uyu chiko ana keraaa kinomaa kuingiliaa ndoa za watu😢
Zuuu leo umechemsha hpo alafu huyo Madevu chiko mbona kakutan ten na Mr Tasha wetu duuuuuh 😂😂😂😂
😂😂😂
Yaani
Mbona kama Tasha ana bahat mbaya hum jmn😢
Zuu we mjinga kmb
❤❤❤❤jamani Mr Tasha na chiko
Mnacheleweshaa hadii najaribu kuvuta kumbukumbu iliishiajee hata sielewii tena
Zuu una nikera moyo kwanini ukamate funguoo😢😢😢😢😢
Humu na zuri naona kachangamka ila ushauri wangu asichangamke sana kam candy ataharibu
Nlidhan chiko hyupo😂😂😂
Zuuu achakuwa fala
Sania mama wa kushauri wenzake 😂
Chiko kila mahali wew nikivuruge Tu kama candy
Yuwasinya huyu chiko
Ndo move inanoga😂😂😂
Naona chiko anaaribu ndoa
Ckiko mbona hupendi kumuona Mr Tasha akiwa na furaha jmn.. kwanini lakini 😢😢😢
Ila chiko Ni mvurugaji wa move . Haya kwenye house girl ulimganda zatiti na Tasha hapa Napo Ni zuu na Tasha tena . Chiko una Nini na Tasha wewe.....😂😂😂
Muna muleta tena chiko filme ineda arabika wangapi wana nikubali
😂😂 wa kwanza kutoka istani bul utuluki 😂😂😂
Uturuki ya iringa njombe😢😅😅
Sania😅😅😅
Zuu usiende geto tutaonekana wanawake wasenge hatujielewi
Yaaani mh 😢
House girl vita vya mapenzi chiko. Na tasha hii tena vita. Vya mapenz chiko na tasha mmekosa cha kubadilisha au
@@WistoniSiliveri sema wewe kipenzi
Tasha umeingiliwa umeo kicheche
Mmh hii mv sas haielewek
Mbona Kila move Tasha nachiko wanagongana kwa wanawake
S bure ipo namna hhhh😂
😂😂😂😂 ndo ivo wanapangia
Wamwishi jmni na mm nataka like ata 10 jmni
Move mlianza vizur sasa mnaharib khaa sasa kwann zuu arudi kwa x wake
Mkimaliza uku muingie kwa ingine inaitwa MAPENZI NI GAME watch thank me latter 😂😂😂😂😂😂
Muliaza muvie vizuri munaenda kuiaribu
Nauza mafuwa Kwa bei nafuu 😢😢😢 tena ni Yale makalii 😢😢ila naitaji mnunuzi mwenye uhakika 0:56
Chiku kwakujiaminj hua ana nifurahisha sana kwakujiaminj Tasha maskini katoka kendy kaingiya zuu nikazani atamfurahisha kumtowa mawazo maskini Tasha kaigiliwa tena na chiku jamani
Chiko hunanga bahati ya mke wewe
jamani chiko tumpuzishe kidgo
Ila huyo dada mbeya sana
Ndiyo maana Mimi sitakagi urafiki na madem yaani duuuh
Zuuu na ww pendeza ata kidogo izo nywele zilivyo kaa
Zuuuu😮😮😮
❤❤❤
Wow wakumi leo
Mulianza vizuri ila inaharibika
Chiko kila sehemu unalibu
Yaani
Yani wandengerekwa bwana shkamoni eti mume bora mhmhmhmh ata mume wangu aliwahi niambie sitapata mume bora kama yeye cha ajabu sasa uuuuwiiiii nimempata aliye bora mala kumi
ZUU ACHA UJINGA MWAMBIE MUME WAKO UKWELI
Wapili jamani hata like 10 tu😊
Yaani huyu zuu nilikuwa namchukulia kama anajieshimu mwazo wapicha
Zuu umechemsha wewe ni bibi ya mtu usikubali kumsikiliza huyo chiko
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Kipala mtelezo upo
Sania ndiyo mshauri wenu wote nawe chiko kila unaingia unapokonywa tonge mdomoni kwani una shida gani
🎉🎉🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂😂
Maskini Tasha,Hana bahati kendy alimcheat pia naona zury akiwa worse
Mashoga uyoga wa hivi 😢
Uyo shoga yake zuu mmbeya
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Kama Zuuh ndo amekua na tabia za ovyo ivo anakubali kusaliti ndoa yake mm sifatiloo tena hii movie
Mpemba Yuko wapi
Tumemic na muvi ya wandema
Walai tena
Chiku sijajua kwanni unakua mkorofi ple
Hii movie ilikuwa nzr hapo mwanzo ila inakoelekea Ina inayoka inaonekana kuwa mbya
Mr umbeya nani kama wewe ungekuja kenya ungefanya kwa mass media ya damu
Sasa ita wezekana vipi mke WA Kai awe na ujauzito WA mwanaume mwengine wakati tayari wana mtoto na kai??? Hapo mmetu changanya
Tunaoku baliana muda uongezwe like hta moja
😂😂
Chiko nq tasha wana nini
🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤