SIDE CHICK (Mchepuko) EP 08 || S01 || LOVESTORY

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 фев 2025
  • #nollyfoxtvlatestnigerianmovie #bongomovies #love #sigma #sidechick

Комментарии • 243

  • @waraha2024
    @waraha2024  Месяц назад +15

    KARIBU KATIKA GROUP LETU LA WHATSAPP LA MASHABIKI WA SIDECHICK
    chat.whatsapp.com/ITWGBtAfEoQKIcncPVhpLL

  • @nyakenandaBrian
    @nyakenandaBrian Месяц назад +3

    Zuu ww unajipeleka arafu unaanza kulia

  • @TresorKafupi
    @TresorKafupi Месяц назад +2

    Zuu usha umenikwaza sana juu umisha kuwa malaye sana nilikuwa naku amini sana

  • @MwanaidiJuma-x2y
    @MwanaidiJuma-x2y Месяц назад +1

    Yan chiko move zako zote wewe katili tuuu. Kasuro baba yangu kipofu mbn ivy wewe

  • @HaliimaJuma
    @HaliimaJuma Месяц назад +40

    Jmn mi sijapenda chiko ulicho mfanyia zu.....ambao hatujafurahiswa tujuane japo kwa like 😢

    • @HabibaMwanamisi
      @HabibaMwanamisi Месяц назад +5

      Zuu nae kazingua asingechukua funguo na akarudi kwa mumewe angepunguka wap

    • @MamuDavid
      @MamuDavid Месяц назад +1

      Si ametaka mwenyew kwan alikuw hajui yeye mke ya mutuuu😅😅😅😅

    • @NagmaKhaleed
      @NagmaKhaleed Месяц назад

      Wamezingua bhn z wasingemchezesha ivy iy sehem wangempa Sania Alf zu angekuwa mtoa ushaur😊

    • @EsterWambura-vr6og
      @EsterWambura-vr6og Месяц назад

      Zuu ndy mweny makosa, Kwan kafungwa lamba na lutupwa kwa chiko​@@HabibaMwanamisi

    • @Mariam-w9s3b
      @Mariam-w9s3b Месяц назад

      Uyo zuu kaolewa kwa miemko ila anampenda uyo mwendaazim chiko Mimi ningemkana kama simjui na kumuonesha dharau kubwa kwasabu uo ni utumwa wa mapenz

  • @WiltherArisa
    @WiltherArisa Месяц назад +15

    Assalamualaikum wapendwa,kila anayesoma hii ubarikiwe sana na kufunguliwa njia zako,
    Amen🙏

  • @MonicaNYAMVULA
    @MonicaNYAMVULA Месяц назад +1

    Nafurai venye Kai amechangamka sai

  • @ClarisseMartine-b3w
    @ClarisseMartine-b3w Месяц назад +1

    Inauma sn kweli 😢😢

  • @Bintnailah
    @Bintnailah Месяц назад +4

    Wa pili 2 mie asanteni sana 🎉🎉🎉ila zuu wachukiza sana kurudi kwa chiko

  • @rumbebilali2737
    @rumbebilali2737 Месяц назад +1

    Chiko hauna nguvu za kiume kwa house girl Leo hii ummpa mimba zuu😅😅😅😅

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki Месяц назад +1

    Ndomana wanasema kirafiki siokizuri kabisa nasiri sio yawawili

  • @Najmahnyangasi
    @Najmahnyangasi Месяц назад +1

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤waziiiiii kazi nzuri sana 😊huvi zuuu uko na skili kweli we mwanamke ujinga sasa ndo huu huna akili pia yakutumia aky umearibu hii movie zuuu

  • @FatimaFati-pu4lb
    @FatimaFati-pu4lb Месяц назад +2

    😂😂😂😂😂Yan nacheka jis zuu alivyo tusiwa 😂😂😂😂😂

  • @MaimunaNangabo
    @MaimunaNangabo Месяц назад +1

    😂😂😂mmm mambo yamechemka huku vipi kuhusu crazy love🎉❤❤❤

  • @LuciaBukula
    @LuciaBukula Месяц назад +1

    Zuuu na dera la Candy jaman

  • @TimothMwambalange
    @TimothMwambalange Месяц назад +1

    Zuuu mwambie tasha ukweli naamini atakusaidia

  • @FidelisSelestin
    @FidelisSelestin Месяц назад +1

    Huyo marishka ni mpuuzi sana huyo

  • @MariaSalim-u5z
    @MariaSalim-u5z Месяц назад +10

    Kwenye hii movie mumezingua sana kuchukua hii part nakuipatia zuu sijafurahi kwakweli

    • @MwanamisiSuleiman
      @MwanamisiSuleiman Месяц назад

      Jina la movie umesoma...?side chick...😂😂😂😂

  • @stellamwakyusa7929
    @stellamwakyusa7929 Месяц назад +1

    Chiko tasha mpaka wanaboa mapenzi tuuu hata hawabadilishi staili za movi khaaa

  • @SdFft-j5g
    @SdFft-j5g Месяц назад +1

    Zuu mpumbavu mmoja, hivyo ilikua ni lazma ujipeleke gheto, ss unalia nn ulilazimshwa na nani😔😔😔, unafanya tuonekane hatuna mwelekeo,, Tasha nakuhurumia sanaa

  • @UngwaMawazo-o1e
    @UngwaMawazo-o1e Месяц назад +1

    Umejipeleka mwenyewe mbwa wewe inatuma nakuchukiya sana

  • @ShakuurRayyan
    @ShakuurRayyan Месяц назад +1

    Safar hii n Chiko kumnyangany Tasha mke😂😂😂ila Zuu w n zuzu kl😂😂😂

  • @jamillawesonga7638
    @jamillawesonga7638 Месяц назад +1

    Huku ndani kila mtu anagongewa tu😂😂😂😂😂ila zuu cjapenda hata kidogo😢😢😢

  • @salomembilinyi9802
    @salomembilinyi9802 Месяц назад +1

    zuu toa tu hiyo mimba mama lasivyo utauponza maana chiko kapanga kukuangamiza

  • @HappyJumwa-h9e
    @HappyJumwa-h9e Месяц назад +1

    Nmeboekaa kwa hii moviee ... Stak tasha ajutieeeee jmb mm

  • @GinaFaruqueFaruque-e6j
    @GinaFaruqueFaruque-e6j Месяц назад +2

    Zuuuh mchenzi sana simpendy

  • @NancyKadzo-r7k
    @NancyKadzo-r7k Месяц назад +2

    Kaz nzuri 🎉🎉🎉❤❤

  • @FidelisSelestin
    @FidelisSelestin Месяц назад +1

    Jaman mbona zuu kila siku niwakulia to jaman mumpumzisheni bana nataka nimuoe mimi jaman❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @ShamimShamy
    @ShamimShamy Месяц назад +1

    Mr chiko kweli we ni mr plani 🎉🎉🎉🎉wew ndo kwanz kwa zuu😂😂😂❤❤❤❤

  • @hamadKhamis-p6k
    @hamadKhamis-p6k Месяц назад +2

    Wew zuu mjinga sana tena mpumbav

  • @NsabiyumvaEvelyne
    @NsabiyumvaEvelyne Месяц назад +4

    Zuu wee lofa sana nagucukia😂😅😅😅😅😢

  • @ReginaJanuary
    @ReginaJanuary Месяц назад +2

    Zuu kaboa sana ata ctaman kuangalia

  • @CallebNyangari-xp9xt
    @CallebNyangari-xp9xt Месяц назад +3

    Kumbe zuu wenimbuzi hivo kwenda kabisa hunasaliti mumewako nawewe mwenyewe hulujukuwa kie kama ungekuwa unapenda tasha husingechukuwa hiyo kie humeniuthi sana zuu

  • @MohamedBakari-s3v
    @MohamedBakari-s3v Месяц назад +3

    Wa kwnz leo❤

  • @FarhhFarhh
    @FarhhFarhh Месяц назад +1

    Maahallah❤❤

  • @JohariMakinda
    @JohariMakinda Месяц назад +1

    ❤❤❤ nakukubali sana kai

  • @Tecrah
    @Tecrah Месяц назад +2

    Zuuh nae mjinga sanaaaa bhn

  • @nismaali2982
    @nismaali2982 Месяц назад +1

    Kumbe chiko alicho kisema ni kweli zuu ukimaliza tendo unataka mmaa😅😅😅

  • @GinaFaruqueFaruque-e6j
    @GinaFaruqueFaruque-e6j Месяц назад +1

    Mr tasha wewe ni wazatiti tuuu zatiti ❤❤❤ mchexi mbrembo kekenyevu nakupenda sana zatiti ❤❤❤

  • @BoscoMzur
    @BoscoMzur Месяц назад +1

    Shiiiiii imeharibika bhana zuu tena kutembea chiko tena mumeharibu hiii movi yenu

  • @SaidMwakutanga
    @SaidMwakutanga Месяц назад +1

    Uyu ZUU naye kazubaa si ungeacha fungus hapo😮😮ukaenda kwa mumeo😂😂

  • @FaidaYoreki
    @FaidaYoreki Месяц назад +1

    Zuu ulikua una tu vutia sana, lakani umeharibu mambo kwa Ku mfata mpuuzi chiko

  • @tonykonki1437
    @tonykonki1437 Месяц назад +6

    Chiku unakera haki furungu hazihishi kwako😊

  • @AaNn-y3i
    @AaNn-y3i Месяц назад +1

    Hata mm sipendi chiko na maovu yake

  • @PhilbertHabonimana-o1z
    @PhilbertHabonimana-o1z Месяц назад +1

    JAmani chiko simpendikabisa 🎉🎉🎉

  • @AminaElialine
    @AminaElialine Месяц назад +1

    Yani hii movie bola niache kuifuatilia mumezingua kishenzi yani 😢hadi kwa zuu daah chiko yani ulichokifany sijapenda

  • @WistoniSiliveri
    @WistoniSiliveri Месяц назад +1

    Zuu hii ndoa uliyoingia umeingia choo chakiume😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮

  • @RehemaWandaty
    @RehemaWandaty Месяц назад +1

    Tasha tena kwa mke wa chiko 😅😅hayaa at your own risk

  • @MerveilleKyakwa-j3r
    @MerveilleKyakwa-j3r Месяц назад +1

    Zuu imekuwa mjinga sanaa

  • @tausifautini407
    @tausifautini407 Месяц назад +1

    We zuu mjinga sana

  • @Neema-u1m
    @Neema-u1m Месяц назад +1

    Tasha kagongewa na si mlango😅😅

  • @addandendya
    @addandendya Месяц назад +2

    Zuuu mwenyewe mjinga tu kwanini kakubariana nae

  • @FaridaIbrahim-t1z
    @FaridaIbrahim-t1z Месяц назад +16

    Zuu wee ni mbwa tuu kwenye movie 🎥 kam mbwa wengine msenge sana wew yan staman hat kutizama hii movie 🎥 kwa ujinga wako fala wew hat sjui linalia nin kaa zimwi 😏😏😏😏😏😏 toka apa sjui likoje tuu

    • @AsyaAsya-d4n
      @AsyaAsya-d4n Месяц назад +1

      Huu mchezo auitaji asila

    • @CeciliaCeciliamuparose-zt6tx
      @CeciliaCeciliamuparose-zt6tx Месяц назад

      😂😂😂

    • @Pendo-m1s
      @Pendo-m1s Месяц назад

      😂😂😂😂😂 kweli kabisa lilienda kufanya nini kwa nyumba ya chiko fala hilo

    • @aishaomar2287
      @aishaomar2287 Месяц назад

      ​@@AsyaAsya-d4n 😂😂😂 watu wana hisira

    • @youngcastroyc394
      @youngcastroyc394 Месяц назад

      😅😅😅😅 tuliya mwananguu utakiwi kutumikisha asira ijapo kuwa muchezo uyuu unaumiza liaa sio alisi mwananguuu

  • @MilkerDavid
    @MilkerDavid Месяц назад +2

    Wee zuri mjinga kwan ulikabwa kwenda kwa chiko,na kwann usingeziacha hizo funguo chini

  • @editafabiao7558
    @editafabiao7558 Месяц назад +1

    Zuu jinga sana

  • @SaumKhusein
    @SaumKhusein Месяц назад +1

    Zuu mjinga kumbe😂😂😂😂😂

  • @MrsMariam-x2s
    @MrsMariam-x2s Месяц назад +1

    Mimi ningekua ndio uyo zuu aa ningemkomesha sana chiku

  • @ZaydAbram
    @ZaydAbram Месяц назад +2

    Chiko nakuchukia...ila zuu cjakuzoea Ivo....

  • @SimoniFeresian
    @SimoniFeresian Месяц назад +1

    Mr tasha umefel sana

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 Месяц назад +1

    Mr tasha pole,uliruka mkojo umekanyaga kinyesi baba😢

  • @ZuberPendo
    @ZuberPendo Месяц назад +2

    Chiko anakera kwahy kama kamzindua jaman duuh zuuh huna msimamoo

  • @DanilovianaViana
    @DanilovianaViana Месяц назад +3

    Naaza kuwashukia Kweli amtufundishi chochote

  • @aishahamis1609
    @aishahamis1609 Месяц назад +3

    Afu zuu ulimkatalia Mr tasha hadi mfunge ndoa

  • @HadijaVinyu
    @HadijaVinyu Месяц назад +1

    Tamu sana🎉🎉🎉🎉🎉

  • @EzekiaMsemwa-sk7ow
    @EzekiaMsemwa-sk7ow Месяц назад +1

    Zuu hujapendeza kuwa malaya

  • @ShadiaIdrissa-r2f
    @ShadiaIdrissa-r2f Месяц назад +2

    Jaman kiukwel chiko tabiya yako mbaya

  • @annasamo1587
    @annasamo1587 Месяц назад +2

    Chiko na Zuu hawaendani

  • @SarahHappy-k1o
    @SarahHappy-k1o Месяц назад +1

    Namchukia chiko Kila mahali sipendii

  • @JladyKadzo
    @JladyKadzo Месяц назад +3

    Chiko ak unaboesha kila mahali uko unaharibu😢😢😢😢

  • @hutahuta1170
    @hutahuta1170 Месяц назад +2

    Zuu achaujinga ww.mwambie.mmeo ukwer kkuhisu chiko sasautaficha mpkalini pia atakuzoea

  • @khadijamatar3945
    @khadijamatar3945 Месяц назад +1

    Chiko kila sehem mkorofi tuu

  • @gekenemwita-nc7ve
    @gekenemwita-nc7ve Месяц назад +4

    Wa kwanza kutoka kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

    • @WistoniSiliveri
      @WistoniSiliveri Месяц назад +1

      Kwaiyo kama umekuwa wakwanza unatakaje😢

  • @MiriamuMuro
    @MiriamuMuro Месяц назад +3

    Simlaumu chiko hata kidogo huyu fala zuu ndo hana msimamo . Afu linalia mbwa huyu . Ananikera.

    • @FatumaBinti
      @FatumaBinti Месяц назад

      Jamani nimvi tuhii acheni mkumtukana mwenzenu 😢😢

  • @FestiaKihanza
    @FestiaKihanza Месяц назад +5

    Zuli we mjinga kweli huoni aibu hata unapotoa machozi

    • @TabiaMwanyerere-ns4yl
      @TabiaMwanyerere-ns4yl Месяц назад +1

      Sana ameshindwa ata kubrok

    • @Nailaty564
      @Nailaty564 Месяц назад +1

      Isomfaa akili yake utamdhuru ujinga wake mambo ya mashoga Siri zote unamwambia shogako mwisho lazima akusaliti tu😢

    • @rehemaathuman7122
      @rehemaathuman7122 Месяц назад

      Halafu kwani chiko kamburuza ?

    • @rehemaathuman7122
      @rehemaathuman7122 Месяц назад

      Zuu mjinga

  • @esterNsemwa-l4r
    @esterNsemwa-l4r Месяц назад

    Move hii mwanzo ilikuwa nzur lakin saiz na huyo chiko sinaipenda kabisa naichukia

  • @ZainabuCassim
    @ZainabuCassim Месяц назад +3

    Zuli unamsimamo yani Mimi ningemwambia mimba imealibika

  • @StanleyKayombo-ux1mo
    @StanleyKayombo-ux1mo Месяц назад

    Zuu kilio kinaendeleeaa nauku tena

  • @JosephMaxe-tt7zw
    @JosephMaxe-tt7zw Месяц назад

    Mr Tasha nakupa pole sana WW huna bahati ya wanawake na uki zingatiya vizuri kumbe zuu njo mshenzi tena kuliko hata Candy kwasababu candy yeye tunamu fahamu vizuri ila uyu zuu naye kumbe ni malaya tu ila Mr Tasha usi hofu bado zatyty hopo kwaajili yako bwana

  • @AdventinaCheche
    @AdventinaCheche Месяц назад

    Kwani bibi zuuli yuko wapi aje aone zuu anachokifanya jamani😢😢mm.cjapenda!!@#

  • @ummuali3090
    @ummuali3090 Месяц назад

    Ww zuu hapa sijapenda,kwani akikuachia ufunguo ndio waenda,kumbe ww pia ni msaliti

  • @FatumaMwinyimvua
    @FatumaMwinyimvua Месяц назад

    Chiko mafiaaa 😂😂😂😂😂

  • @fatumaselemani3807
    @fatumaselemani3807 Месяц назад

    Mashallah ❤❤❤❤

  • @mejubagu6825
    @mejubagu6825 Месяц назад

    Tasha kendy hange kutowa roho😂😂😂😂😂😂😂

  • @DzameHamisi
    @DzameHamisi Месяц назад

    Mimi ninakuchukia sana Chiko na zuu wewe huyo usimkubalie akunyanyase

  • @TumusiimweLILIAN
    @TumusiimweLILIAN Месяц назад

    Chiko uwa unakera Hadi unaboesha ntaanza kuwachukia sasa Wana Busati tv 😏😏😏😏😏

  • @RehemaKipanga-k4l
    @RehemaKipanga-k4l Месяц назад +1

    Kwani wee zuu kilichokupeleka kwa chiko ni nn unatuboha bwana kama umeshaolewa achana nae kibingwa

  • @BrendaMogambi
    @BrendaMogambi Месяц назад

    Sasa zuu unalia nn wakati ww ndio umejipeleka kijinjio mwenyewe 😂😂😂😂 si niliona ulipepa ufunguo,, mbona ukuuacha uende kwako

  • @djanfarmoulay6865
    @djanfarmoulay6865 Месяц назад

    Nauza mafuwa Kwa bei nafuu 😢 tena ni Yale makalii 😢😢😢ila naitaji mnunuzi mwenye uhakika 2:31

  • @UkhtyShemsa
    @UkhtyShemsa 18 дней назад

    Movei imenikera na siifatilii tena zuu alijifanya mwema kumbe malaya pia move imekosa mvuto

  • @stellamwakyusa7929
    @stellamwakyusa7929 Месяц назад

    Chiko sikupendi na huo mpua wako. Sikupendi kabisa Na sekta wanazokupa kucheza wameona roho yako na msura wako ndio maana vita tuu khaaa

  • @FatumaBahatihassan
    @FatumaBahatihassan Месяц назад

    Assalam alaykumu walhama tullahiwa barakatuh! Zuu Shethapu unalianini mujinga mukubwa nishakwa mbiamwanzoni ulianzavizri naheshimakubwa leeohii uunidhamu ushaanza kupotea adabuhauna unalialia nini
    uyo Chiko amekubaka amekuita kwake izo funguo ungeziyacha ungekuanini alikuladhimisha uzichukue mdawooteulompa kwakumiskiriza ungekuwausha ondokanakumtoka mbere ilakihelehele naumalaya ulokuzidi ukazichukua nakujibeba mwenyee
    hongera kwaku olea nawa ume wa2

  • @MrsMariam-x2s
    @MrsMariam-x2s Месяц назад

    Nazuu mwenyewe ndio mungune kwanni aende kwake siangemkatliya tu

  • @ZitocrisantoMakaba
    @ZitocrisantoMakaba Месяц назад

    Imóvel sielewi upade wa zuu sijuwi niko mi pekeyangu

  • @SuzyAna-vu9li
    @SuzyAna-vu9li Месяц назад

    Sasa wewe n chiko wapi na wap utalia san chiko wa candy 😂😂

  • @Haleema-dg5bo
    @Haleema-dg5bo Месяц назад

    Ma ex wengine bana mm kidogo yanikute haya ya zuu , lakin zuu kajichanganya mtu uliachana naye waezaje kwenda kwake wakat wajua kabisaa umeshawahi kujifinika shiti moja ila pole mwaya 😂😂😂😂😂

  • @TommyAli-s1b
    @TommyAli-s1b Месяц назад

    Uyu zuu ameytk..mm hat cmuurumii..kwny angewch iyo funguo apo chin angefnyw nn😏

  • @JanetKamene-i4y
    @JanetKamene-i4y Месяц назад

    Zuuuu kubali yaishe

  • @HadijaVinyu
    @HadijaVinyu Месяц назад

    Chiko jmn unanini wewe😏😏😏

  • @MekiAli-ub4ld
    @MekiAli-ub4ld Месяц назад

    Chiko aky zuu n mke wa mwenyewe bc acha roho mbaya 😢😢

  • @YohariRiziki
    @YohariRiziki Месяц назад

    Kusema kweli zuu umeboa sana kwanini usisima kama kwana mke alie holewa