MAZA HAUSI [FULL MOVIE]

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 окт 2024

Комментарии • 109

  • @_Wayiva_mukuta_jean
    @_Wayiva_mukuta_jean 26 дней назад +6

    Sandra wewe ni mzuli kabisa nakupenda toka Congo 🇨🇩🥰🥰🥰

  • @nahimanahawa
    @nahimanahawa 12 дней назад +4

    Wallah uyu bi mgomba iyi movie katisha apewee mauwaa yake🎉🎉🎉

  • @HamisiMakumba-g7v
    @HamisiMakumba-g7v 21 день назад +6

    Huyu mama anaweza sana nakuombea upate tunzo kaza buti❤❤❤

  • @KambaleMagherya-hs1td
    @KambaleMagherya-hs1td 6 дней назад +2

    Ila sandra umekuja moto kabisa good job ❤ from congo

  • @ZackLisham
    @ZackLisham 17 дней назад +7

    Sandra na kipara mnaendana

  • @officialbhaddierozalia4945
    @officialbhaddierozalia4945 26 дней назад +10

    Ila mama mwenye nyumba anakera sna

  • @neemahajj
    @neemahajj 10 дней назад +4

    Bi migomba napend tu unavyocheka😆😆😆🙌🙌🙌

  • @SimaoCrisantos
    @SimaoCrisantos 16 дней назад +4

    Sandra nakupenda kutoka Mozambique❤

  • @BiyayaJuniour
    @BiyayaJuniour 17 дней назад +10

    B, mgomba woman of the match😂😅😂

  • @jeffommy1032
    @jeffommy1032 День назад

    Beautiful job 🎉🎉🎉

  • @BelyseIFISIKIGONGWE-lc4cs
    @BelyseIFISIKIGONGWE-lc4cs 4 дня назад +1

    Huyo muganga ananipa burudani eti😅😅😅wachaaa

  • @bhponlinetv5000
    @bhponlinetv5000 19 дней назад +2

    Umetisha sana Sandra🎉

  • @FAITHCHIWAYA-yy4be
    @FAITHCHIWAYA-yy4be 5 дней назад +1

    Nampenda bi migomba mno, mama anajua ❤

  • @RehemaRacheltumba
    @RehemaRacheltumba 3 дня назад

    Nakukubali kipara wanaman.niko DRC congo

  • @AbdulkarimMohamed-l3n
    @AbdulkarimMohamed-l3n 8 дней назад +2

    Kipara Wacha pozi za vivo😂😂😂😂😂

    • @VirginiaMkidi
      @VirginiaMkidi 5 дней назад

      I'm promise my brother😂😂😂😂😂❤

  • @nancybungei9113
    @nancybungei9113 2 дня назад

    Bravo sandra but hio Maza hausi sijaelewa ❤🇰🇪

  • @MusaMuhidini
    @MusaMuhidini 2 дня назад

    vp au umemaindi😂😂

  • @ShamiriNjiku
    @ShamiriNjiku 3 дня назад +1

    Utafinywa nawachawi wahimaya hii😅😅😅😅😂😂😂

  • @njutujedeofficial2998
    @njutujedeofficial2998 9 дней назад

    Picha limekutana nawaigizaji mashuhuri likaigizika hasa mama migomba. Harafu Hao warembo wawili tutafutane❤❤❤

  • @NassorKhamis-l6r
    @NassorKhamis-l6r 9 дней назад +2

    😂 mama migomba kiboko

  • @NajathiRajabu
    @NajathiRajabu 17 дней назад +4

    Nyiye nae simhame

  • @izerebrandon
    @izerebrandon 8 дней назад

    Bravo Bravo Bravo.
    Lkn tunataka WHO AM I S2

  • @ally-k3427
    @ally-k3427 5 дней назад

    Hongera kwa CLAM VEVO GROUP kwakukuza vipaji nafurah kuona kila member wa group ana channel yake.

  • @Timandi-xr9lr
    @Timandi-xr9lr 3 дня назад

    Anavyocheka kama mwema 😂😂😂😂😂maza hausi

  • @AHLSUNNA-yw8gg
    @AHLSUNNA-yw8gg 25 дней назад +2

    Nimemisi kuangalia muvi ya kutisha hadi naona kama naguswa bega😅 Emu tieni na mautisho basii

  • @njutujedeofficial2998
    @njutujedeofficial2998 9 дней назад +1

    ❤vipi au ume mind😂

  • @patricemapike9244
    @patricemapike9244 5 дней назад +1

    Kipara pambana iyo njiya niya mafanikiyo

  • @MWANAISHAMTENGO
    @MWANAISHAMTENGO 28 дней назад +3

    Leo nimewahi nipeni like zangu

  • @Timandi-xr9lr
    @Timandi-xr9lr 3 дня назад

    Halafu hawajui tu mchawi hutakiwi kumwogopa😂😂😂kata mkono mmoja atakuogopa 😂😂😂

  • @Dizzoke-i9h
    @Dizzoke-i9h 19 дней назад +2

    Bii mgomba noma sana

  • @BénjaminNDIKUMANA-g1g
    @BénjaminNDIKUMANA-g1g 3 дня назад

    Yaniii bi migomba ananifulahisha mno😂😂😂😂

  • @ixha706
    @ixha706 11 дней назад +1

    Mhh yani huyu bi migomba...ninyamaze mie nisije nikajikuta nimelala nje na mie😂😂
    Au ume maind bi migomba😅

  • @isamiIbra
    @isamiIbra 7 дней назад +1

    Kama nampenda sandra

  • @kipanjitz7411
    @kipanjitz7411 День назад

    Mbona picha inacheza sehemu moja

  • @KubelwaIlungaMardochéeSalama
    @KubelwaIlungaMardochéeSalama 8 дней назад

    Mwisho wa ubaya ni ahibu 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 kanzi djema kwenu

  • @alhajisabigoro2408
    @alhajisabigoro2408 2 дня назад

    Aliyesoma maandishi ya kwenye shati la KIPARA..MWAKA WA KUFOSI Atie like👍

  • @SheikaYussuf
    @SheikaYussuf 21 день назад +2

    DAAH HII MOVI SI MCHEZO MMETISHA

  • @andrewwabomba9996
    @andrewwabomba9996 20 дней назад +2

    Kipara mmepisha nawakubali

  • @maandalioanderson
    @maandalioanderson 9 дней назад +1

    Umetisha sana

  • @_Wayiva_mukuta_jean
    @_Wayiva_mukuta_jean 26 дней назад +2

    Wewe utaendelea ku itwa bonge mpka una kufa 😂😂😂🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @Ngasowe
    @Ngasowe 7 дней назад +1

    Mama mwenye nyumba safii

  • @suleimaanunda
    @suleimaanunda 3 дня назад

    heheheee 😂hamna mwanangu, mi naenjoi kucheza na ww 😅mwache mdogo wako naye apumzike 😂😂😂hii nukta imenigusa sana.... yaani huyu mama anavyo chekacheka aki... mara ya kwanza alichukuwa mchanga wa kuoshea vyombo, leo ni Steel wire 😂

  • @RachelJulius-fh9nl
    @RachelJulius-fh9nl 9 дней назад

    Huyu bi migomba anakuja Kwa Kasi sana❤❤❤

  • @ShamiriNjiku
    @ShamiriNjiku 3 дня назад

    B,mgombaaa😂😂😂😂😂alimarufu wizard😂😂😂😂

  • @ejdbhgflfjhjfgfkgtufkgfud
    @ejdbhgflfjhjfgfkgtufkgfud День назад

    Unasem ukwl watu wote wanatembea balabalan kila mutu anatatiz lake

  • @HusenMasamaki-l5x
    @HusenMasamaki-l5x 27 дней назад +2

    nibonge la movie

  • @Hassanfrint254
    @Hassanfrint254 26 дней назад +2

    Napenda sandra na movies zako

  • @SamanthaMugisha-n9x
    @SamanthaMugisha-n9x 10 дней назад

    Hiy Nyumb Kipara ameigizia Mbon km Nyumb ya Tanu kweny snek boy

  • @Ciza-ferouz1
    @Ciza-ferouz1 5 дней назад

    Tamu kabisaa😅🇿🇦🤝

  • @AdellaMwita-xz5zm
    @AdellaMwita-xz5zm 6 дней назад +1

    Mambo mchumba 😂

  • @anitakerubo9429
    @anitakerubo9429 9 дней назад

    Safi sanasandra 🎉🎉

  • @VannyleyQessa-v6i
    @VannyleyQessa-v6i 5 дней назад

    ❤sandra kalibuni tanga kabuku karibu💋❤️💋❤️

  • @mectridajosephmectridajoseph
    @mectridajosephmectridajoseph 28 дней назад +3

    Leo nimewah,mbona Kama wameirudia

  • @BINTmohammed-fu9gp
    @BINTmohammed-fu9gp 2 дня назад

    Uyu mama kiboko

  • @suleimaanunda
    @suleimaanunda 3 дня назад

    na huyu Sandra ni mrembo jamani...natumai hajaolewa

  • @Ngasowe
    @Ngasowe 7 дней назад

    Ila kipara na Sandra waoanee tuu wanaendana

  • @awemaqway1201
    @awemaqway1201 9 дней назад

    Shandra you look beuty❤

  • @AraBia-u6e
    @AraBia-u6e 3 дня назад

    🤣🤣hakika B migomba kiboko

  • @Eunice-ev7fp
    @Eunice-ev7fp 11 дней назад

    Nampongeza mm mwenye nyumba

  • @chrismamesofficiel1996
    @chrismamesofficiel1996 28 дней назад +5

    Ukigusa comment yangu nakutongoza

  • @ukindotv
    @ukindotv 14 дней назад +1

    KAZI ya moto

  • @PhanyKemunto
    @PhanyKemunto 14 дней назад +1

    Hiyo tittle imenichanganya kwa kweli ety "Maza Hausi "ni Mother House kumbe 😂😂

  • @omaar5693
    @omaar5693 7 дней назад

    mama na kicheko cha kinafki eh eh 😅😅😅

  • @ميريم-ط1س
    @ميريم-ط1س 22 дня назад +1

    kipara sio mumbea tena

  • @NassorKhamis-l6r
    @NassorKhamis-l6r 5 дней назад

    Kipara katolewa stili waya ya vyombo😂

  • @Fettysoeur-bw2en
    @Fettysoeur-bw2en 8 дней назад +1

    Bi migomba😂😂 au umemind? ehe ehe😅😂

  • @paulKiwale
    @paulKiwale 13 дней назад +1

    Naomba nafasi ya kuigiza

  • @Devo_xoxo2
    @Devo_xoxo2 6 дней назад

    Mbon nimesikia km bi migomba kasema utafirwa na wachaw wa imaya hii😂😂😂

    • @Timandi-xr9lr
      @Timandi-xr9lr 3 дня назад

      Hata mm mpaka nimerudia tena😅😅😅😅

  • @JoshuaAniseth
    @JoshuaAniseth 17 дней назад +1

    Naomba nàfasi ya kuigiza

    • @JoshuaAniseth
      @JoshuaAniseth 17 дней назад

      Sandra mi naitwa joshua natokea kigoma napenda Sana kuigiza naomba nàfasi na saport yako pia dada

  • @Waaw12345
    @Waaw12345 15 дней назад +2

    kuna mtu yeyote ambaye ana nakala ya filamu hii tafadhali?

  • @ChachaUnited
    @ChachaUnited 14 дней назад +1

    Huyu dada anajua sanaaaa🎉🎉🎉

  • @JamesGodfrey-by7jq
    @JamesGodfrey-by7jq 2 дня назад

    Nice

  • @HadijaMzaramo
    @HadijaMzaramo 7 дней назад +1

    Mmh we bi migomba kiboko

  • @RajabRadhid
    @RajabRadhid 2 дня назад

    Bi mgomba alafu unanikera unapojichekeshachekesha huku ukitesa watu

  • @eddiezunda1066
    @eddiezunda1066 11 дней назад +1

    kwani kijiji hakina watu, au mlifukuza wote mkabaki nyinyi waigizaji?

  • @Fettysoeur-bw2en
    @Fettysoeur-bw2en 8 дней назад

    Bi migombaaa 😂😂 ubaya ubwela😅😅 1:28:07

  • @E_mwafrica-dc2zm
    @E_mwafrica-dc2zm 7 дней назад

    Mbadilishe location sasa tumeyazoea ayo mazngira

  • @omaar5693
    @omaar5693 7 дней назад

    1:12:36 nilingojea kizungu chako mda mrefu ila asante kwa kidogo

  • @alhajisabigoro2408
    @alhajisabigoro2408 2 дня назад

    Zumba bhana…😂😂😂

  • @SwagileShija-v6j
    @SwagileShija-v6j 7 дней назад

    Bi migomba unacheka vzuri hadi raha

  • @ElizabethKalala-v1l
    @ElizabethKalala-v1l 11 дней назад

    Bi mgombaaaqaa kimekukutaaa😂😂😂

  • @amohmudy1521
    @amohmudy1521 13 дней назад +1

    Shehe ubwabwa huyo

  • @AishaJoslin
    @AishaJoslin 7 дней назад

    Lkn huu mama simchawi kweli

  • @omaar5693
    @omaar5693 7 дней назад

    hii muvi sio comedy lakini inachekesha zaidi ya comedy

  • @RuthLuhende
    @RuthLuhende 24 дня назад +2

    Mchawi ariye orewa

  • @NasraFahmy-j9y
    @NasraFahmy-j9y 23 дня назад +2

    Senson 2 ama

  • @factmedia254
    @factmedia254 8 дней назад

    au umemind ya mwisho got me

  • @Linah-j7u
    @Linah-j7u 3 дня назад

    Wanamchekea huyu kumchalaza viboko nini

  • @mhagamaphilip5048
    @mhagamaphilip5048 14 дней назад

    Kama ulisikia mama mwenye nyumba ametukana gonga like nyingi hpa

  • @GHgh-hq3zj
    @GHgh-hq3zj 27 дней назад +3

    😂😂😂❤❤❤❤

  • @rehemamutua44
    @rehemamutua44 11 дней назад

    Malaya kaona bwana mpya du neno hilo🙄

  • @E_mwafrica-dc2zm
    @E_mwafrica-dc2zm 7 дней назад

    Humu ndan kuna ubwela mtupu

  • @mariammariam5723
    @mariammariam5723 27 дней назад +2

    Marudio😢

  • @michaeljohndaud9291
    @michaeljohndaud9291 8 дней назад

    😂😂😂kicheko

  • @AbradaKitepiste
    @AbradaKitepiste 6 дней назад

    🎉

  • @eddiezunda1066
    @eddiezunda1066 12 дней назад +1

    waaachaaaaaaaaaaa

  • @NiahSuleiman-tq7de
    @NiahSuleiman-tq7de 6 дней назад

    Wat the meaning of "maza hausi" kindly am from kenya

  • @philohmutua2968
    @philohmutua2968 13 дней назад +1

    Huyu mama habana 😂😂😂😂