Anafaa abebe kila mahali,ata ikiwezekana abebe gurunets.viongozi wa African ni wapenda hongo sio wakuaminika.Wanatumiangwa na wabeberu kumalizana wao Kwa wenyewe.mfano,MUAMAR GADAFFI amekufa bure tu,SAGARA PIA,MAJUZI JOHN POMBE MAGUFULI kauliza bure tu na wenzake.I love Traore.
@@georgeikinya2779 Mm ni kizee nina 66 kwa sasa lkn nampenda huyu kijana sana. Ni juu yake kila mtu ana haki ya kuona njia ipi ni ya usalama wake. Wapi awe vp na wapi awe vp. Nijuu yk. Mwacheni mwenyewe
Tunakuombea sana mungu akulinde waafrica niwatu wakujali matumbo Yao wakidanganywa na posho kidogo basi wanakufanya mkweli awataki kujiulisa posho yanin 😮😮
Askar mkubwa kama huyo lazm awe na ulinzi kama angelikuwa ni raia alaf ni rais sawa lkn ni wanajeshi alaf ata yeye mwenyew ameshaepuka kifo zaid ya mara 13
Kwanza ni kiongozi wa kijeshi,yaani Urais umemkuta akiwa ni Mwanajeshi kwahiyo nahisi ni sehemu ya kanuni mwanajeshi anatakiwa awe tayari muda wote,sijaona shida.
Hasidi huwa hana sababu. Wameona hawana pa kumtia aibu isipokuwa kusema maneno ya kipuuzi km haya. Kumbukeni kelele za chura hazimzuii ng'ombe kunywa maji.
Sisi waafrika hatuaminiani na hiyo ni kuwa na silaha ni njia ya kujihami tu lakini siyo kujilinda, Saddat aliuwawa nchini mwake na mlinzi wake sasa tatizo lipi kuwa na silaha kiunoni, huyo mwamba ni mjeshi muda wote yupo kazini. Hongera Traore
Wacha maswali za kiujinga kaka, huyo Traoré siyo mwana siasa na wala sio wale marais vibaraka wenu wanaowazoea.huyo ni mwana jeshi ni lazima alindwe na ahilinde
Huyu ni mwana jeshi ni kawaida half putin huwezi kukuuza sababu hana njaa njoo Africa wanakuuza dakika 0 kwaiyo mimi namuunga mkono jamaa half kingine walitakiwa kuanza kumuhoji kuvaa nguo za jeshi sana unakuja kuhoji bastola ukinihoji mimi nakupeleka kwa baba muda huo huo wala sikucheleweshi
Huyo ana maadui kibao Africa 😅
Atembee nayo tuu ni sahihi watu hawaaminiki
Safi sana lbrahim. Wakikiwasha nawe unakiwasha mwenyewe siompaka usaidiwe. Maashaallah Allah akulinde ,,lbrahim . Na maadui🤲
Yeye ni mwanajeshi, ako tayari wakati wowote
Ghana wenyewe ni vibaraka wa magharibi , hakuna kuamini Kima yeyote..
Safiiii
Anafaa abebe kila mahali,ata ikiwezekana abebe gurunets.viongozi wa African ni wapenda hongo sio wakuaminika.Wanatumiangwa na wabeberu kumalizana wao Kwa wenyewe.mfano,MUAMAR GADAFFI amekufa bure tu,SAGARA PIA,MAJUZI JOHN POMBE MAGUFULI kauliza bure tu na wenzake.I love Traore.
Kweli kabisa
@@georgeikinya2779 Mm ni kizee nina 66 kwa sasa lkn nampenda huyu kijana sana. Ni juu yake kila mtu ana haki ya kuona njia ipi ni ya usalama wake. Wapi awe vp na wapi awe vp. Nijuu yk. Mwacheni mwenyewe
TENA TENGENEZA NA VIAZI VIDOGO ILI WAKIJA WENGI UNAKITUPA KIMOJA KWISHA HABARI YAO.
HUyo ni mwanajeshi lazima awe siraha popote pale alipo.
Ongeza na guruneti ibrahim nakukubali
Siku nyengine abebe Mashine-gun kabisaa, maana viongozi wengi wa Afrika na masnitch sana
Kwanza afadhali yeye ingekua mimi ningeenda mashine gun na chain ya risasi 😂😂😂
Kifurushi cha bomu kwenye briefcase usisahau. Wakizingua unalidondosha😂😂😂
Wacha bangi izo,Dah! Umenifurahisha sana leo
Duuh 😅
4REAL-BRO,,,
Unawazimu hahaha nimecheka sana
Hii ni ishara ya kujiamini
Tunampenda hivyohivyo na alishangiliwa akiwa Ghana. Bastola ni muhimu huwezi kuamini mtu
Yupo sawa kubeba bastola
Tunakuombea sana mungu akulinde waafrica niwatu wakujali matumbo Yao wakidanganywa na posho kidogo basi wanakufanya mkweli awataki kujiulisa posho yanin 😮😮
Atembee nayo tu kama hamumtaki msimualike kwenye nchi zenu😂😂 nakupenda sir Traore napenda sana watu wanaojiamini
Huyu ni leader sio raisi
ASANTE-MKUU..
Bastola haina ubaya ni Propaganda za Magharibi
Afrika hakuna usalama wa kweli ndio mana anakuwa nayo.
Exactly 💯
Long live traole
Very ok.he is a military leader.till he goes to ballot
Mimi namwopea mungu amulinde tupe mauwa yake tuashe unafiki wasangu African 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Kwa njaa za mtu mweusi ukiwa na uwezo wa kujiongezea nguvu fanya hivyo. Wamuache kwani inashida gani au kwa kuwa kafanya Mwafrika.
Ni sahii kabisa, uyo ni mmasai na sime yake👏👏
Afrikaans hatupendani
jerry rallings alipokuja tanzania alikuja na bastola kiunoni
Wacha Rawlings,Fidel Castrol,Yassir Arafat nk.walikuja na silaha zao viunoni mbali na body guards.
Yesu wetu huyu amerudi kivingine mungu akupé na bastora kàma ya mussa
Useni umesema kuhusu toure,uyo ni maghufuli.
Kumbukeni Samuel Doo alivyotekwa njiani chini ya hakikisho la ulinzi wa UN
Kuna mambuzi humu bado yamelala😂😂😂
Bado yanashangiliaga America
😂😂😂😂😂
Ibrahim ni mwanajeshi sio mwana siasa,Huwezi tenganisha mwanajeshi na Bastola
Aongeze nyingine ziwe 2❤❤
Yeye ni jeshi kwaiyo ni kawaida.
That is simble of revolution.....
inatakiwa waelewe kwamba huyo ni kiongozi wa kijeshi labda angekuwa rais wa kawaida mbna rais tu kuelewa mkuu wa nchi ni Nan? Hawa jama akili ndogo.
wanataka atembee kifala😂😂😂😂
MAN TO MAN NEVER TRUST EACH OTHER. TRUST ME 😂😂
Wao raia wacha wavae suti na majoho ila cc lazima tuwe ivo km tunavoonekana
Hata Rais fidel kasto wa Cuba alikua akitembea na basla ...acheni ushamba
Yeye ni mwanajeshi na kavaa gwanda kwahio gwanda bila silaha basi atajua Bado hadavaa sare ya jeshi
Safi sana traoree❤
Sio hiyotuu kamamimi nabeba R PG viongozi waafrika wengiwao vibaraka safisana Mh traore
Afrika ni wanafiki lazima abebe
Watulie uyo ni camanda na hakuna wa kumuamini anajua ana maadui wengi sana
Mwanaume wa kazi lazima awe tayali kwa vita muda wote
Huyu ni bora kuliko haya majiz ya chama kimoja
Wa Africa ni wanafki wanaweza wakamuuza
Laiti ningekuwa mshauri wake. Ningemshauri atembee na upanga pia nakisu
😅😅😅
Siku nyengine abebe Mashine-gun kabisaa, maana viongozi wengi wa Afrika na masnitch sana
Askar mkubwa kama huyo lazm awe na ulinzi kama angelikuwa ni raia alaf ni rais sawa lkn ni wanajeshi alaf ata yeye mwenyew ameshaepuka kifo zaid ya mara 13
Huyu ndio rais wa afrika
We ndo unaeshangaa yule anaendanayo Hadi ulaya.waafrika tumerogwa angekuwa mzungu tungesema self defense!! Lakin mwafrikamwenzetu kakiuka sheria
Kote huko ni kujilinda maana anamaadui wengi sana.
huyo ndio jogooo wa Africa wengine walio baki ni mapimbi tu na mafisadi.
Mwandishi ulitaka bastola aivae mabegani?
Traore anawajua hao Ghana kama vibaraka wa wazungu same Kenya
Kwanza ni kiongozi wa kijeshi,yaani Urais umemkuta akiwa ni Mwanajeshi kwahiyo nahisi ni sehemu ya kanuni mwanajeshi anatakiwa awe tayari muda wote,sijaona shida.
Hasidi huwa hana sababu. Wameona hawana pa kumtia aibu isipokuwa kusema maneno ya kipuuzi km haya. Kumbukeni kelele za chura hazimzuii ng'ombe kunywa maji.
Jeshi la mtu moja kijana tuore tunakupenda mno MDA wote tembea na barstool MDA wote
sa jeshi anachaje kitu chake nyuma Africa🌍 wanyewe atujelewi
Kabebe Atambili Anashida kwa salama wake viongosi wengi nimacnichi tuu kujilinda nilazima
Bastola ni sawa na funguo za gari tu. Mbona Fidel Castor alikuwa anaweka bastola na anavaa kijeshi
Yuko tayar kupambana na mabeberu
Sisi waafrika hatuaminiani na hiyo ni kuwa na silaha ni njia ya kujihami tu lakini siyo kujilinda, Saddat aliuwawa nchini mwake na mlinzi wake sasa tatizo lipi kuwa na silaha kiunoni, huyo mwamba ni mjeshi muda wote yupo kazini. Hongera Traore
Hata wasemaje Sisi tuko nyuma yako Traore
Cyo tu bastola mm namshauri abebe mpaka mabomu
Siku nyengine abebe Mashine-gun kabisaa, maana viongozi wengi wa Afrika na masnitch sana
YASSER ARAFAT ALIKUWA ANATEMBEA NA BASTOLA YAKE KIUNONI POPOTE AENDAPO. DUNIANI.
Acheni maneno mengi hiyo hand gun ni ya kujiua kabla hajauliwa na kabla hajauliwa atakua kashaondoka watu kadhaa super commander 🎉🎉🎉🎉
Angeenda na rungu jeeeee ????????????
Viongozi wa marekani wao Hawa na Imani na ulinzi wa taifa lolote angalia misafara Yao kote duniani
Sankara aliuliwa na mtu wke wa karibu sana
Rejeeni picha ya Fidel Castro akiwa na Mwl Nyerere na nyinginezo akiwa na bastola
Not the first
Mnakuza sana vitu
Wewe mtangazaji mshamba Sana ebu jitaidi kuchambua habari vizuri sio unalopoka maneno unatoa kwenye kinywa chako nitaacha kukufatilia na uwongo wako
Umelazimishwa kufata habari zake mjinga mkubwa
Pamoja na kuwa yy ni Rais, watu wasisahau kuwa bado ni mwanajeshi tena Captain!!
So Silaha hawezi kuiacha. Kwani inawazuia nini?? 😂
Atauwawa tu
WAMUACHE HUYO NI SOLDIER KWAN AMEUA MTU WATU MIDOMO SANA YULE ANA MAADUI KIBAO NA BAADHI YA WAAFRIKA WAPUMBAVU WANAMPINGA NATAMANI ANGEKUWA MTANZANIA
Kama Fideri casto
Mbona Firder Castor alikuwa nayo Bastora kilq aehe aliyokuwa anaenda pia Yasin Arafat naye alikuwa na Bastora kwenye Z8ara zake
Jamaa ni komando kwaio lazima awe ivyo
Me binafsi naona yupo sawa maana haamini ulinzi alionao
Wacha maswali za kiujinga kaka, huyo Traoré siyo mwana siasa na wala sio wale marais vibaraka wenu wanaowazoea.huyo ni mwana jeshi ni lazima alindwe na ahilinde
Km mi ningetembea nayo na Brigade nzima ningekua nayo ya kunilinda.afrika wengi wetu tu VIBARAKA wa Magharibi.
Kijana endelea kuwasha MOTO.BIG UP
Tunampenda hivyo hivyo acheno panganga
Huyu baba nikimsikiliza huwa siijutii anahekima kubwa san.zaid na zaid Mungu aendelee kumlinda.
Nyc
Afadhali yeye igekuwa mimi nigekua na kalashnkov 47,,na makombora
Hataki kufanya makosa ya sankaraa maana jamaa aliuliwa bila kujiteteaa
Siku nyengine abebe Mashine-gun kabisaa, maana viongozi wengi wa Afrika na masnitch sana
Hakuna kitu hapo, watu saiv Wana deal na teknolojia anaweza kupigwa ivo ivo na kabastola kake!
We uliona wapi captain akatembea bila bastora
N moja ya cheo sio kila askar anapewa bastora
Mwacheni asili ni asili tu Kwetu mwanaume asiye beba fimbo hudharauliwa kwa hiyo huchukua hata ndani ya basi.
Waziri mkuu wa israel akisafiri analindwa zaidi ako na adui wengi
Nchi za Africa vibaraka ni wengi na usalama hakuna , uwezi kulinganisha usakama wa Ghana na Urusi mzeee
Viongozi wkiafrica wengi Ni na snchi kwama traole alitakiwa atembee na mashine Gun Kbs dadec😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Mlinzi wa mtu unaanza na mtu mwenyewe
C n mjeda , sasa mjadala gan
Ghana yenyewe haikuwa na wasi wasi walio salia wasi wasi wa nini
Mwacha mila kwao nmtumwa😮
Gana viongozi washenzi
Iyo mbona silaha ndogo tuu mmi nimeongea nae leo kaniambia safar hii anabeba na bomu mushangae vzur
HIVYO HIVYO HAKUNA KUMUAMINI MTU KATIKA MAISHA YA MACHAWA.
hata mimi ningehenda hata na kombora
Vema sana km,.viongozi wengi wanavyotembea na black bag,
Huyu ni mwana jeshi ni kawaida half putin huwezi kukuuza sababu hana njaa njoo Africa wanakuuza dakika 0 kwaiyo mimi namuunga mkono jamaa half kingine walitakiwa kuanza kumuhoji kuvaa nguo za jeshi sana unakuja kuhoji bastola ukinihoji mimi nakupeleka kwa baba muda huo huo wala sikucheleweshi