SubhanAllah kisa cha mwanamke wa Africa aliyedhulumiwa na mume wake mwenye miaka 80 kimeniliza, Mungu amsameh mume wake, awajaaliye wote pepo,atujaalie na sie waume wa kheri na atupe subra kwa ajili yake Mola. That's a very good example to learn from. Shukran sana Sheikh Kishki, Mungu akulipe wema na jannah.
Wambie sheikh tena hawa warab waswahili ndo wanatabu sana Hawana huruma kwa mfanyakazi alafu wanamaneno Yale ya kiswahili yaan ukikosea tu utaskia kwenu maskini ndio maana mnakuja kufanya kazi ughaibun ni wavivu jmn
@@bintykigan6236 Mm nimekaa omani mwanzo miaka 4 madamu wang jikoni haiingi ajulikani kaja mgeni wala mwenyewe sasa hivi nipo nyumba nyengine nayo hvyohvyo tena bora ata wa mwanzo alikuwa chumba chake anafagia mwenye lkn siyo hyu wa sasa
@@rehemabakali494 Sawa sijakataa mm nimekaa miaka minane wallay na madam wangu alikua akipika mm nilikua namsaidia km kutaka vitunguu Kisha bedroom yake hakuniruhusu niingie hiyo ndio ilikua sheria yake na nilipo taka Kuja exit nilimleta dadaangu huko mpaka sahi a nafanya kazi.... Hivyo sio waarabu wote wenye Tabia hizo dear
mwalim nakuomba nisaidie niko Omani nafanyakazi zandani napata mengi Sana hapa samahani Lakin nawa sema ila siongopi naweza hata nikiwa nasali nafokewa mwalim naomba unipi ndua yasobr
wew muokope mwenyezi Mungu kwa nini unamwita sheikh mnafikir? ila nisaw ata Mtume kuna watu walimwita msazi mchawi sas sikushangai kumwita sheikh Nurdini kuwa ni mnafiki
Asc mashAllah shekh Allah akuzidishea maisha marefu
Masha Allha shuk ran shekhe kishki kwa mawaidha mazuri
Mashalla mungu akujahalie mema Kati ya mema uzidi kutuelimisha Na ndoa zetu
Napenda mafunzo yako shekh kishk Mungu akuongezee miaka mingi ya elimu
Maa shaa Allah....in shaa Allah nitamuhudumia mume wangu mwenyewe nitakapoolewa....
Amina
Inshaallah
Mashallah Allah mjaze sheikh wetu kila jema nasisi waskilizaji wake
Allah akabar mashallah Allah akujaze kheir baada kheir na jannatul firdaus akuzidishie taqwa yaa rabbi alamin Allah humaa Ameen Kwa sote jamii islam
Maashaallah ishi miaka mingi yenye faida dunia na akhera
00
Duwazakuswalia
Ishaallah tuwe na mazingatio kuwahifadhi waume wetu♥️♥️♥️♥️
SubhanAllah kisa cha mwanamke wa Africa aliyedhulumiwa na mume wake mwenye miaka 80 kimeniliza, Mungu amsameh mume wake, awajaaliye wote pepo,atujaalie na sie waume wa kheri na atupe subra kwa ajili yake Mola. That's a very good example to learn from. Shukran sana Sheikh Kishki, Mungu akulipe wema na jannah.
doctorukia hata mimi kiliniliza kweli.
doctorukia
Subhanaallah walah huruma lakin hata Mimi nimeona mwanamke mmoja ametelekezwa miaka ming Na anakaa Na mwanamke mwingine
doctorukia Amiin Yaarab
doctorukia .
Shehee mungu akubaliki sana tufundishe kutenda mema tuwachane namaovu naitwa farida
Mashaallah mashaallah, ahsante sana Sheikh Nurdin Kishki kwa kisa kizuri sana. Na tuache kutesa kabisa wake zetu inshaallah.
Mashaa Allah Allah utonusur wakina mama kwenyo ndoa zetu
Naam shukran shekhe
mashaallah mungu atujalie tuwe wake wema kwa waume zetu
Shekhe waambie wanakera kwakweli. Yani mpaka futa wanazo jifutia tuna fua, chupi zenye damu tunafua yani hawa ni 2 machi.
Allah atuogoze sote wanawake wa kislam inn Shaa Allah tuwe wenye kusikiza na kuyafanyia kazi
Amin yarabi
mashaallah mungu atujaalie tuwe wake wenye subra jazaaka Allahul kheir shekh
Ya kishki Allah akuhifadhi
It is the blessings to have you in ummat muhammad swalallah alayh Wa salam
Mawaiza nimeyakubali
Mashaalah sheik jazakallau kheyran
masha Allah thanks for your lecture
may Allah give you Jannah
Mashaallah mungu atubarikiye.
Maashallah shukraan sheikh wetuuu
Mashalha alha akuzidishie zaid na zaid
Maa shaa Allah
Jazaakumulaah heyra Mungu akuzidishie
MA shallah 🎉🎉🎉🎉🎉
Its amoung the best teachings ever heard
مااشا الله بركة الله
Maashaallah ALLAH akubaarik
Mashallha
Mashallah tabarakh'Allah
Maashalah 👏 🍓
Mashalllah
Ina lilah waina ilahi rajiu
Mashallah
Darsa nzuri,Maa shaallah
Hakika wanawake tuna vumilia mengi katika ndoa zetu mwenyezimngu atuzidishie Subra na atudumishe katika ibada
Mashaa allah
Mnavtumilia Nini wakati nyie Ndio chanzo cha Ndoa kuvunjika
Mashallah Barakallah feek
Naam shekhe uko swahibu mm nipo Omani ya shekh lakin kila shughuli hali ana
Fasita Khalifa naam +255712687745
Anzory sana
Mashaallahh
Assalaam aleykum mm nipo omani wamenzidi kilakitu mfanyakanz
Waghalaikumu salam Warahmatullah wabarakatu. 😀😀😀😀Haya. Tupeane pole
Ndio mfanyikazi mpaka kutandika kitanda,nguo za ndani zamumewe mfanyikazi aifue
Ataukipika wanakusubiri ukapakuwe tunapata tabu tunavumilia tu umasikini,wanawake waomani awafati dini wanaumiza Sana naminiko omani kilakitu boi.
asalm alykum shekhe mm naomba kuuliza je inafaa kisal ukiwa umetia daw ?
jazakallah khayra!
Mashallah
Asate sana Allah akulipe
Wambie sheikh tena hawa warab waswahili ndo wanatabu sana Hawana huruma kwa mfanyakazi alafu wanamaneno Yale ya kiswahili yaan ukikosea tu utaskia kwenu maskini ndio maana mnakuja kufanya kazi ughaibun ni wavivu jmn
Mashallah mashallah
mashallah
asalllamualakum kishiki
an liminal I mini masalakakunfisako
manshaAllah jazakaAllah
sheikh nurdin maasha allah
sheikh nurudin maasha Allah nakushukulu kwaiyo mawadha'
asalam alykm
masha Allh
Kweli shekh mashallah
maa shaa Allah shukrn
Jazaka Allah kheir
Maashaa Allah
Mashaallah sukrani
jazakallah .maashallah
its best
Watoto wasikuizi hawapendi kupika wavivu sana sana
Waarabu mpaka chpi zao wanafuliwa tena za hedhi ataweza kumuhudumia muume wakat yeye mwenyewe hawezi kujishuhulikia
Lkn wa Oman wengi Wana pika wenyewe wallay bedroom yake pia huingii
@@bintykigan6236
Mmmmh labda kwako my lkn aslimia kubwa waarabu wanachati tu
@@bintykigan6236
Mm nimekaa omani mwanzo miaka 4 madamu wang jikoni haiingi ajulikani kaja mgeni wala mwenyewe sasa hivi nipo nyumba nyengine nayo hvyohvyo tena bora ata wa mwanzo alikuwa chumba chake anafagia mwenye lkn siyo hyu wa sasa
@@rehemabakali494 Sawa sijakataa mm nimekaa miaka minane wallay na madam wangu alikua akipika mm nilikua namsaidia km kutaka vitunguu Kisha bedroom yake hakuniruhusu niingie hiyo ndio ilikua sheria yake na nilipo taka Kuja exit nilimleta dadaangu huko mpaka sahi a nafanya kazi.... Hivyo sio waarabu wote wenye Tabia hizo dear
@@bintykigan6236 maashaalllah hyo alikuwa anajielewa my na anajua umuhimu wa mume na haki za mume kwa mke na moyo pia anao my
mwalim nakuomba nisaidie niko Omani nafanyakazi zandani napata mengi Sana hapa samahani Lakin nawa sema ila siongopi naweza hata nikiwa nasali nafokewa mwalim naomba unipi ndua yasobr
Maashaallah
Hawa Wanawake wa kiarab pepo watazipata vipi kila kazi mfanyakazi ata kutandika kitanda😂😂😂😂😂😂
Siwote sisi kilakitu tuna mfanya wenye natuna mfanya nabiyashara siwote wavivu
Ddngu hawa wamezidi, aaah jamani ma maid wadhalilika uhaibuni
@@عليجبار-ن3ي wanaweza kutanua miguu wanazaa kma panya kupika hawajui hata kidogo wachafu mpka kwenye chakula kma wakipika wanaroweka ty sio kupika
maana naumia Sana nasina lakusema natamani hata nije ni some nijue ndin maana lab wako Sawa mm naona Wana kosea ila naomba unisaondie
Omani wanawake zao wanategea sana wafanyakaz ila sio vzuri hawawandai waume zao kila kitu shaghal
Umeona
Omani mume anaenda kazini mke kalala
@@rehemabakali494 pia wakirudi wanatumwa kma mbwa
@@fatmaaly9686 Omani hakuna wanawake wanajua kupika na kumuandalia mume mahitaji
Mnafiki mkubwa
wew muokope
mwenyezi Mungu kwa nini unamwita sheikh mnafikir?
ila nisaw ata Mtume kuna watu walimwita msazi mchawi
sas sikushangai kumwita
sheikh Nurdini kuwa ni mnafiki
safia suleiman pole ndugu
safia suleiman pole mungu akusamehe
hujui ulitendalo unatafuta kiki
safia suleiman Inna Lillah wainna ilah rajiun ,Allah akuongoe
Maa shaa Allah
Mashalllah
Mashaallah
Maashaallah
mashaallah mashaallah mashaallah
Mashaallah
Mashallah
Mashaallah