Sheikh Nurdin Kishki - WASIA KWA BIBI HARUSI 2/3

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 119

  • @halimaisaack7093
    @halimaisaack7093 2 года назад

    Asc mashAllah shekh Allah akuzidishea maisha marefu

  • @OmanOman-zc5dt
    @OmanOman-zc5dt 3 года назад

    Masha Allha shuk ran shekhe kishki kwa mawaidha mazuri

  • @mariamsuleiman437
    @mariamsuleiman437 4 года назад

    Mashalla mungu akujahalie mema Kati ya mema uzidi kutuelimisha Na ndoa zetu

  • @tinahoracio4449
    @tinahoracio4449 5 лет назад +3

    Napenda mafunzo yako shekh kishk Mungu akuongezee miaka mingi ya elimu

  • @muniragambere2680
    @muniragambere2680 5 лет назад +4

    Maa shaa Allah....in shaa Allah nitamuhudumia mume wangu mwenyewe nitakapoolewa....

  • @ashasalim5967
    @ashasalim5967 4 года назад

    Mashallah Allah mjaze sheikh wetu kila jema nasisi waskilizaji wake

  • @HusseinsalimHusseinsalim
    @HusseinsalimHusseinsalim 5 лет назад +5

    Allah akabar mashallah Allah akujaze kheir baada kheir na jannatul firdaus akuzidishie taqwa yaa rabbi alamin Allah humaa Ameen Kwa sote jamii islam

  • @nurdinsalum4671
    @nurdinsalum4671 6 лет назад +14

    Maashaallah ishi miaka mingi yenye faida dunia na akhera

  • @mwanaishahussein2635
    @mwanaishahussein2635 4 года назад +1

    Ishaallah tuwe na mazingatio kuwahifadhi waume wetu♥️♥️♥️♥️

  • @doctorukia
    @doctorukia 10 лет назад +5

    SubhanAllah kisa cha mwanamke wa Africa aliyedhulumiwa na mume wake mwenye miaka 80 kimeniliza, Mungu amsameh mume wake, awajaaliye wote pepo,atujaalie na sie waume wa kheri na atupe subra kwa ajili yake Mola. That's a very good example to learn from. Shukran sana Sheikh Kishki, Mungu akulipe wema na jannah.

  • @faridashaban8853
    @faridashaban8853 4 года назад

    Shehee mungu akubaliki sana tufundishe kutenda mema tuwachane namaovu naitwa farida

  • @barutwanayohussein7776
    @barutwanayohussein7776 5 лет назад +3

    Mashaallah mashaallah, ahsante sana Sheikh Nurdin Kishki kwa kisa kizuri sana. Na tuache kutesa kabisa wake zetu inshaallah.

  • @anitanahimana2115
    @anitanahimana2115 4 года назад

    Mashaa Allah Allah utonusur wakina mama kwenyo ndoa zetu

  • @omadybinumady5427
    @omadybinumady5427 5 лет назад +2

    Naam shukran shekhe

  • @nuiasadiki6342
    @nuiasadiki6342 6 лет назад +14

    mashaallah mungu atujalie tuwe wake wema kwa waume zetu

    • @myunaniniahmad6463
      @myunaniniahmad6463 4 года назад

      Shekhe waambie wanakera kwakweli. Yani mpaka futa wanazo jifutia tuna fua, chupi zenye damu tunafua yani hawa ni 2 machi.

  • @HusseinsalimHusseinsalim
    @HusseinsalimHusseinsalim 5 лет назад +4

    Allah atuogoze sote wanawake wa kislam inn Shaa Allah tuwe wenye kusikiza na kuyafanyia kazi

  • @mwanaidisenty4099
    @mwanaidisenty4099 9 лет назад +3

    mashaallah mungu atujaalie tuwe wake wenye subra jazaaka Allahul kheir shekh

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya9506 4 года назад

    Ya kishki Allah akuhifadhi

  • @aminajuma5161
    @aminajuma5161 4 года назад

    It is the blessings to have you in ummat muhammad swalallah alayh Wa salam

  • @leonadahaule9432
    @leonadahaule9432 4 года назад +1

    Mawaiza nimeyakubali

  • @husseinjillo5031
    @husseinjillo5031 4 года назад

    Mashaalah sheik jazakallau kheyran

  • @mayfamily6233
    @mayfamily6233 9 лет назад +2

    masha Allah thanks for your lecture
    may Allah give you Jannah

  • @koratmohamed9579
    @koratmohamed9579 5 лет назад +1

    Mashaallah mungu atubarikiye.

  • @thegirl1405
    @thegirl1405 5 лет назад +2

    Maashallah shukraan sheikh wetuuu

    • @zaidaali1502
      @zaidaali1502 5 лет назад

      Mashalha alha akuzidishie zaid na zaid

  • @sundusabdi3222
    @sundusabdi3222 Год назад

    Maa shaa Allah

  • @habibashabani6426
    @habibashabani6426 7 лет назад +1

    Jazaakumulaah heyra Mungu akuzidishie

  • @AbdulKarim-eg5gy
    @AbdulKarim-eg5gy Год назад

    MA shallah 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @mbarackseti4639
    @mbarackseti4639 10 лет назад +1

    Its amoung the best teachings ever heard

  • @bibahrajababdallah1743
    @bibahrajababdallah1743 4 года назад +1

    Mashallah tabarakh'Allah

  • @allymamu9219
    @allymamu9219 4 года назад +2

    Maashalah 👏 🍓

  • @mariamseff5722
    @mariamseff5722 3 года назад

    Mashalllah

  • @fatumaramadhanmashaallahal9966
    @fatumaramadhanmashaallahal9966 4 года назад +1

    Ina lilah waina ilahi rajiu

  • @faridasiraji9396
    @faridasiraji9396 2 года назад

    Mashallah

  • @bakarimasalu8982
    @bakarimasalu8982 4 года назад

    Darsa nzuri,Maa shaallah

  • @salmajuma4015
    @salmajuma4015 5 лет назад +4

    Hakika wanawake tuna vumilia mengi katika ndoa zetu mwenyezimngu atuzidishie Subra na atudumishe katika ibada

  • @onyokoreo7999
    @onyokoreo7999 5 лет назад

    Mashallah Barakallah feek

  • @fasitakhalifa2208
    @fasitakhalifa2208 5 лет назад +2

    Naam shekhe uko swahibu mm nipo Omani ya shekh lakin kila shughuli hali ana

    • @abeid713
      @abeid713 5 лет назад

      Fasita Khalifa naam +255712687745

  • @momalrashdi1558
    @momalrashdi1558 4 года назад

    Anzory sana

  • @shabah80
    @shabah80 4 года назад

    Mashaallahh

  • @halimatanzani8587
    @halimatanzani8587 5 лет назад +6

    Assalaam aleykum mm nipo omani wamenzidi kilakitu mfanyakanz

    • @حليمهال-غ1ظ
      @حليمهال-غ1ظ 5 лет назад +1

      Waghalaikumu salam Warahmatullah wabarakatu. 😀😀😀😀Haya. Tupeane pole

    • @عليجبار-ن3ي
      @عليجبار-ن3ي 4 года назад

      Ndio mfanyikazi mpaka kutandika kitanda,nguo za ndani zamumewe mfanyikazi aifue

    • @julihanjosephyjs6361
      @julihanjosephyjs6361 4 года назад

      Ataukipika wanakusubiri ukapakuwe tunapata tabu tunavumilia tu umasikini,wanawake waomani awafati dini wanaumiza Sana naminiko omani kilakitu boi.

  • @aishatumbo9369
    @aishatumbo9369 5 лет назад +1

    asalm alykum shekhe mm naomba kuuliza je inafaa kisal ukiwa umetia daw ?

  • @mamareshadurishadu8757
    @mamareshadurishadu8757 5 лет назад +2

    jazakallah khayra!

  • @fatmasaid5255
    @fatmasaid5255 6 лет назад +2

    Asate sana Allah akulipe

  • @ukhutysalmaah1463
    @ukhutysalmaah1463 5 лет назад +3

    Wambie sheikh tena hawa warab waswahili ndo wanatabu sana Hawana huruma kwa mfanyakazi alafu wanamaneno Yale ya kiswahili yaan ukikosea tu utaskia kwenu maskini ndio maana mnakuja kufanya kazi ughaibun ni wavivu jmn

  • @maryamoman5926
    @maryamoman5926 5 лет назад +1

    Mashallah mashallah

  • @wazryayubu7078
    @wazryayubu7078 6 лет назад +3

    asalllamualakum kishiki

  • @aminaaminanoor6907
    @aminaaminanoor6907 7 лет назад +1

    manshaAllah jazakaAllah

  • @zamzamail8723
    @zamzamail8723 10 лет назад +1

    sheikh nurdin maasha allah

  • @fatmatanzania2341
    @fatmatanzania2341 4 года назад

    asalam alykm

  • @alihassanmohamed2608
    @alihassanmohamed2608 4 года назад

    masha Allh

  • @maryamoman5926
    @maryamoman5926 5 лет назад

    Kweli shekh mashallah

  • @mariamahmad8261
    @mariamahmad8261 5 лет назад

    maa shaa Allah shukrn

  • @rahmahassan3235
    @rahmahassan3235 5 лет назад

    Jazaka Allah kheir

  • @saddambarrow6364
    @saddambarrow6364 6 лет назад +2

    Maashaa Allah

  • @halimatanzani8587
    @halimatanzani8587 5 лет назад

    Mashaallah sukrani

  • @nasmaabdul222
    @nasmaabdul222 5 лет назад

    jazakallah .maashallah

  • @zamzamail8723
    @zamzamail8723 10 лет назад +1

    its best

  • @maryamoman5926
    @maryamoman5926 5 лет назад

    Watoto wasikuizi hawapendi kupika wavivu sana sana

  • @fatmaaly9686
    @fatmaaly9686 4 года назад +1

    Waarabu mpaka chpi zao wanafuliwa tena za hedhi ataweza kumuhudumia muume wakat yeye mwenyewe hawezi kujishuhulikia

    • @bintykigan6236
      @bintykigan6236 4 года назад

      Lkn wa Oman wengi Wana pika wenyewe wallay bedroom yake pia huingii

    • @rehemabakali494
      @rehemabakali494 4 года назад +1

      @@bintykigan6236
      Mmmmh labda kwako my lkn aslimia kubwa waarabu wanachati tu

    • @rehemabakali494
      @rehemabakali494 4 года назад

      @@bintykigan6236
      Mm nimekaa omani mwanzo miaka 4 madamu wang jikoni haiingi ajulikani kaja mgeni wala mwenyewe sasa hivi nipo nyumba nyengine nayo hvyohvyo tena bora ata wa mwanzo alikuwa chumba chake anafagia mwenye lkn siyo hyu wa sasa

    • @bintykigan6236
      @bintykigan6236 4 года назад

      @@rehemabakali494 Sawa sijakataa mm nimekaa miaka minane wallay na madam wangu alikua akipika mm nilikua namsaidia km kutaka vitunguu Kisha bedroom yake hakuniruhusu niingie hiyo ndio ilikua sheria yake na nilipo taka Kuja exit nilimleta dadaangu huko mpaka sahi a nafanya kazi.... Hivyo sio waarabu wote wenye Tabia hizo dear

    • @rehemabakali494
      @rehemabakali494 4 года назад +1

      @@bintykigan6236 maashaalllah hyo alikuwa anajielewa my na anajua umuhimu wa mume na haki za mume kwa mke na moyo pia anao my

  • @fatmatanzania2341
    @fatmatanzania2341 4 года назад

    mwalim nakuomba nisaidie niko Omani nafanyakazi zandani napata mengi Sana hapa samahani Lakin nawa sema ila siongopi naweza hata nikiwa nasali nafokewa mwalim naomba unipi ndua yasobr

  • @ahdahmed8383
    @ahdahmed8383 5 лет назад

    Maashaallah

  • @ukhutysalmaah1463
    @ukhutysalmaah1463 5 лет назад +2

    Hawa Wanawake wa kiarab pepo watazipata vipi kila kazi mfanyakazi ata kutandika kitanda😂😂😂😂😂😂

    • @maryamoman5926
      @maryamoman5926 5 лет назад

      Siwote sisi kilakitu tuna mfanya wenye natuna mfanya nabiyashara siwote wavivu

    • @عليجبار-ن3ي
      @عليجبار-ن3ي 4 года назад

      Ddngu hawa wamezidi, aaah jamani ma maid wadhalilika uhaibuni

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 2 года назад

      @@عليجبار-ن3ي wanaweza kutanua miguu wanazaa kma panya kupika hawajui hata kidogo wachafu mpka kwenye chakula kma wakipika wanaroweka ty sio kupika

  • @fatmatanzania2341
    @fatmatanzania2341 4 года назад

    maana naumia Sana nasina lakusema natamani hata nije ni some nijue ndin maana lab wako Sawa mm naona Wana kosea ila naomba unisaondie

  • @wahidawahida6675
    @wahidawahida6675 5 лет назад +5

    Omani wanawake zao wanategea sana wafanyakaz ila sio vzuri hawawandai waume zao kila kitu shaghal

    • @fatmaaly9686
      @fatmaaly9686 4 года назад

      Umeona

    • @rehemabakali494
      @rehemabakali494 4 года назад

      Omani mume anaenda kazini mke kalala

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 2 года назад

      @@rehemabakali494 pia wakirudi wanatumwa kma mbwa

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 2 года назад

      @@fatmaaly9686 Omani hakuna wanawake wanajua kupika na kumuandalia mume mahitaji

  • @safiasuleiman8472
    @safiasuleiman8472 5 лет назад

    Mnafiki mkubwa

    • @alhmdulillahgdd3140
      @alhmdulillahgdd3140 5 лет назад +1

      wew muokope
      mwenyezi Mungu kwa nini unamwita sheikh mnafikir?
      ila nisaw ata Mtume kuna watu walimwita msazi mchawi
      sas sikushangai kumwita
      sheikh Nurdini kuwa ni mnafiki

    • @jushuakituri6042
      @jushuakituri6042 5 лет назад +1

      safia suleiman pole ndugu

    • @jushuakituri6042
      @jushuakituri6042 5 лет назад

      safia suleiman pole mungu akusamehe

    • @zuberyrubondo6916
      @zuberyrubondo6916 5 лет назад

      hujui ulitendalo unatafuta kiki

    • @mwajabuhamisi6488
      @mwajabuhamisi6488 5 лет назад +1

      safia suleiman Inna Lillah wainna ilah rajiun ,Allah akuongoe

  • @sundusabdi3222
    @sundusabdi3222 Год назад

    Maa shaa Allah

  • @mariamseff5722
    @mariamseff5722 3 года назад

    Mashalllah

  • @rahmatabdul7583
    @rahmatabdul7583 4 года назад

    Mashaallah

  • @ahdahmed8383
    @ahdahmed8383 5 лет назад

    Maashaallah

  • @aishamohamed8576
    @aishamohamed8576 4 года назад +1

    mashaallah mashaallah mashaallah

  • @rizikiramadhani5477
    @rizikiramadhani5477 4 года назад

    Mashaallah

  • @wahidawahida6675
    @wahidawahida6675 5 лет назад

    Mashallah

  • @jihadijumanne9278
    @jihadijumanne9278 5 лет назад

    Mashaallah