TID NA Q CHIEF WAMCHANA VIBAYA MWIJAKU | WAOMBA MSAMAHA KWA ABIGAIL CHAMS | BILA BUGATI HAKUNA MPIRA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 апр 2024
  • TID NA Q CHIEF WATANGAZA COLLABO NA ABBY CHAMS | WAMTOA NISHAI MWIJAKU MTOTO MDOGO HATUWEZI | SISI NI MASHABIKI WAKUBWA WA HAJI MANARA BILA YEYE WADADA WASINGEPENDA MPIRA.
    #manaratv #hajimanara #tid #abigail #qchief #topbrand
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 73

  • @bigmtoro
    @bigmtoro 2 месяца назад +11

    Hawa watu wana chemistry nzuri sana waeke mziki kando wafungue podcast..inverstors should take note ama Alikiba awape kipindi it will be a hit.

    • @nassercurtis9579
      @nassercurtis9579 2 месяца назад +1

      Dah! Nikweli umeona mbali sana.

    • @AfricaQueen
      @AfricaQueen 2 месяца назад +1

      Kweli kabisa hata Mimi nimeona hivyo ! Mungu aulinde urafiki wao 🤲

    • @sadamirambo885
      @sadamirambo885 2 месяца назад

      Daah ebhana good idea ndg

  • @shukrishuu9672
    @shukrishuu9672 2 месяца назад +1

    This two whenever I come through their interview lazima niwaskize legends

  • @BlackMirrorTz
    @BlackMirrorTz 2 месяца назад +5

    For now, don't look at who understands you. It's important if you understand yourself. It's enough for the rest. Time will speak. Inshallah
    #Walinazi🙌

  • @DahHodges777
    @DahHodges777 2 месяца назад +5

    Wako vizuri acheni chuki watazamaji..roho mbaya hazijengi na hawa lazima wapige hela nyingi sana kwenye umri huo,kikubwa wasisikilize wanaoongea negative wapige tu kazi...

  • @athumantuwa4542
    @athumantuwa4542 2 месяца назад +5

    UMEJTAHID SANA KUWAHOJI HAO JAMAA,NI NGUMU SANA SANA SANA

  • @eddysaleh4388
    @eddysaleh4388 2 месяца назад +7

    😂😂😂😂 alichosema mwijaku 💯 kweli kabisa

  • @mfalmekima5318
    @mfalmekima5318 2 месяца назад +5

    Kafanana na mzee abdul babaake dimond huyo TID

  • @AbisinaRashidi-wg5jt
    @AbisinaRashidi-wg5jt 2 месяца назад +1

    Mashavu yashawashuka hamna lolote mnagombana na mtoto mdogo Tena mwanamke wasenge baridi tu

  • @user-ds5tf9xx1d
    @user-ds5tf9xx1d 2 месяца назад +5

    Wamependeza kwa hili vazi

  • @alimuchiri6151
    @alimuchiri6151 Месяц назад

    Muziki sasa acheni. Yani inafaa muje na kipindi maalum katika Manara TV

  • @thomaskiponda6079
    @thomaskiponda6079 2 месяца назад

    HAWA MAREJENDARI WAWILI NAWAPENDA SANA SANA ALIKLI NYINGI WANACHEKESHA MUDA WOTE NACHEKA MPAKA NALIA?????❤❤❤❤❤❤❤😂😂😂

  • @damigitv8023
    @damigitv8023 2 месяца назад

    Wasaanii wangu from Nairobi Kenya

  • @jewelmabhenga4742
    @jewelmabhenga4742 2 месяца назад +2

    Kwenye Maisha ni muda tu yaani hawa mwishoni wamekua mataira hivi yaan vichaa

  • @beatusmajumbi7125
    @beatusmajumbi7125 2 месяца назад

    Wakali wa muda wote Good music

  • @salimsibabu9027
    @salimsibabu9027 2 месяца назад

    Wimbo/ Nyimbo ni haramu then kutoa mwezi wa Ramadhan alafu kukosa kuupatia heshima huo mwezi.

  • @pulikisia7963
    @pulikisia7963 2 месяца назад +1

    Movie inaanza tu stelingi anakufa😂😂😂

  • @davidndaha9607
    @davidndaha9607 2 месяца назад

    Ndugu zangu jikiteni kwenye mziki na kuacha vigingi wakati ni mda wa kusaka Pesa!. Unajua watu wana hope na kuongeza mashabiki

  • @mudrickbarton8911
    @mudrickbarton8911 2 месяца назад +1

    Q anaonekana kuna kitu anataka ila tid hajakua serious saaana

  • @Qqambaa
    @Qqambaa 2 месяца назад +1

    Ni yeye ndani ya mjengo

  • @thomaskiponda6079
    @thomaskiponda6079 2 месяца назад

    HAWA JAMAA HAPO KWENYE MPIRA WAMECHEKESHA SANA HAIJAWAHI KUTOKEA❤❤❤😅😅😅😅😅😅

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 2 месяца назад

    Acha kwanza nisome comment wadau

  • @mouzahal-alawi6474
    @mouzahal-alawi6474 2 месяца назад +1

    Nawapenda mimi hawaa??😂😂😂😂

  • @Babygirl758
    @Babygirl758 Месяц назад

    Sio kwa answari sunnah 😂😂😂😂😂😂 mpaka TID imebidi acheke 🤣🤣

  • @jade75798
    @jade75798 2 месяца назад +1

    Hebu wacheni kuwasema hawa watu .as long as bado wako hai maisha yao yataendelea tu.wengine nyie mnaocoment vibaya kuwahusu ma roho zenu zinawauma tu kwasababu hajui English kama TID na Q chief .mawivu tu mko mfyuuu

  • @Babygirl758
    @Babygirl758 Месяц назад

    Sio kwa kumnyonya ghalib vidole 😂😂😂😂 was he low key dissing jux na ommy 🤣

  • @DaudNgodilo
    @DaudNgodilo 2 месяца назад

    Hahaaaaaa wana waninikumbusha mbali mno kipindi nikiishi na kaka zangu wavuta bangi yaan wao kila wanacho kifanya wanahisi wako sahihi na wanajionaga wanaakili kuliko mtu yeyote et

  • @alliancendabarushimana4570
    @alliancendabarushimana4570 2 месяца назад +3

    Bangi tupi😅😅😅

  • @user-xu6fg7sg6s
    @user-xu6fg7sg6s 2 месяца назад +1

    Hao hawana lolote bange nyingi sana halafu sifa kibao kama TID KASHAKUWA MWEHU

    • @user-eb3hf1lm9e
      @user-eb3hf1lm9e 2 месяца назад

      Waliyoyafanya kwenye tasinia ya music 🎶 ww na ukoo wako wote hata tuwape miaka 3000 hamuwezi kuyafanya so tuliza makalio yako chini na roho yko mbaya

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 2 месяца назад

    Mnamtafura kaka yangu msechu sasa hapa kaka yangu amekujaje jamn kisha anapiga sana za mafanikio toa nyimbo zako kaka msechu kiongoz yeyote akifa wewe achia muda uwo uwo coz usanii ni ubunifu KILA MTU APAMBANE NA HALI YAKE

  • @Babygirl758
    @Babygirl758 Месяц назад

    Kwasababu hajui kupika ugali tunamuomba atusamehe 😂😂😂😂 nakojoa

  • @elizabethchabluma-zw5qz
    @elizabethchabluma-zw5qz 2 месяца назад

    Tatizo la Hawa watu wanatafuta kick kwa kuwasema watu vibaya na ndio maana hawasapotiwi

  • @fauziasultanikilewa7602
    @fauziasultanikilewa7602 2 месяца назад +1

    Nasoma qomenti 😂😂😂😂😂

  • @user-cr7vi4qp9c
    @user-cr7vi4qp9c 2 месяца назад +3

    Babu T I D

  • @nunuuali5316
    @nunuuali5316 2 месяца назад +1

    Hili kundi likila mwaka mpya pamoja niko pale

  • @flinchclassic1531
    @flinchclassic1531 2 месяца назад

    Usimpige makonzi muache hii pia ni challenge

  • @user-ur8nm1wi6c
    @user-ur8nm1wi6c 2 месяца назад +1

    KAVA LA CM LA MSANII MMELIONA KWELI
    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @nicolauselias9084
    @nicolauselias9084 2 месяца назад

    Duh.bangi mbaya

  • @obijoha2877
    @obijoha2877 2 месяца назад +1

    Qc napenda yuko calm, na waungwe mnoo

    • @Qqambaa
      @Qqambaa 2 месяца назад

      Ukiwa mpole mjini utakufa maskini big up tid

  • @user-xu6fg7sg6s
    @user-xu6fg7sg6s 2 месяца назад

    Mwijaku amesema kweli bwana

  • @svt3
    @svt3 2 месяца назад +1

    Yaani ma babu ambao hawakuwekeza ujanani uzeeni wao wasumbufu, kulaumiana, vichaa, ....hawa saa hizi walipaswa kuwa ma producer's ma directors walipaswa kuwa na ma lebel makubwa kusimamia wasanii na ku fundisha music ila ona bangi ilivyo wafanya wehu 😢😢😢

    • @asiamerey9081
      @asiamerey9081 2 месяца назад +1

      Yana Mungu usinene ukamara

    • @raimajimoto1122
      @raimajimoto1122 2 месяца назад

      Ustukne mamba kbl ujavuka mto

    • @svt3
      @svt3 2 месяца назад

      @@raimajimoto1122 hawa kwa ulegenda wao wangepaswa kusimamia wasanii wa siku hizi na kuwafundisha mziki, kuimba wangeimba tu kwa haba sababu mziki uko ndani yao ila kuchezea ujanani kuwekeza madawa mbele uzeeeni wamekuwa wazee ovyo lawama, na kulalamika bure vijana wekezeni ujanani msiwe watu ovyo uzeeni

    • @nassercurtis9579
      @nassercurtis9579 2 месяца назад

      Kwahiyo unatakake wakae tu kimya waombe ombe au waendelee kujitafuta mpaka wajipate.

    • @svt3
      @svt3 2 месяца назад

      @@nassercurtis9579 haya aca wajitafute tuone sasabu kama kujipata hawa walijipa miaaka ya 2002

  • @Dysmedia254
    @Dysmedia254 2 месяца назад

    Mateja wawili 😂

  • @Nayla-pd5zn
    @Nayla-pd5zn 2 месяца назад

    😂😂😂😂hatariii

  • @nicolauselias9084
    @nicolauselias9084 2 месяца назад

    Munaongelea vibaya madalali wakati madalali wanaishi vzr zaidi yenu nyie mbwa takataka.kama we tld hama utoke kwenu ukapange

  • @shafiiwajad457
    @shafiiwajad457 2 месяца назад +1

    Comedians😂😂😂

  • @wemaMichael-fr4th
    @wemaMichael-fr4th 2 месяца назад

    Hama nyumbani umeshazeeka hiv mama ake huyu mla unga bado yupo

    • @Qqambaa
      @Qqambaa 2 месяца назад +1

      Nampenda bure imagine ni mcheshi sn uyu kaka basi aje ajenge kenya

  • @BarbaraPatience-qt9cc
    @BarbaraPatience-qt9cc 2 месяца назад +4

    Yaani hawa watu wa wili wako na maringo na hata nyimbo sio ety NI kitu ya maana!!!!! Maringo madharau hawatafika popote kabisa!!!!!

    • @BakariKibauri-qh7gf
      @BakariKibauri-qh7gf 2 месяца назад +1

      Unataka wafike wap ambapo hawajafika hao ni ma legends wa Bongo flavour hao wamefanaya ambavyo bado havijafanywa ata na kizazi kipya

    • @sadamirambo885
      @sadamirambo885 2 месяца назад

      Mshamba hawezi kuelewa bab

  • @BarbaraPatience-qt9cc
    @BarbaraPatience-qt9cc 2 месяца назад +1

    Watu wazima hovyo!!! Hawana lolote!! Mbwembwe tuu za bure!

    • @ambroceharouna1612
      @ambroceharouna1612 2 месяца назад

      Wewe utabaki na chuki ivoivo koz Bado upo gizani

  • @davidkamau7592
    @davidkamau7592 26 дней назад

    Wame vuta unga

  • @nururaymond5
    @nururaymond5 2 месяца назад

    😂😂😂😂😂 Magdalenaaaa

  • @SalmaNinga
    @SalmaNinga 2 месяца назад

    😂😂😂😂😂

  • @nicolauselias9084
    @nicolauselias9084 2 месяца назад

    Kimziki walishakufa hao takataka hata selikari haitakiwa kuapa issue yoyote acha waendelee kuvuta bangi

    • @jade75798
      @jade75798 2 месяца назад

      Huoni aibu eti waita wenzio takataka .there better than you mavi wewe .kwani walikuambia wanataka issue from the serikali .wee mshamba tu the way nakuona

  • @EdnahKebson
    @EdnahKebson 2 месяца назад

    Umehoji bangi tu hapo😂😂😂😂

  • @kidatokassim7616
    @kidatokassim7616 2 месяца назад

    Their body language speaks alot this guys have health mental issues hawako sawa 😂

  • @semkiwamganga4405
    @semkiwamganga4405 2 месяца назад

    Choka mbaya...😂