Je ni kweli Zanzibar ni ya kale? na jina lake linatokana na lugha gani? historia iliyofichwa

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 фев 2025

Комментарии • 133

  • @bas2823
    @bas2823 2 месяца назад

    THANKS FOR SHARING" GOD BLESS U ALWAYS"

  • @mahfoudh.official7318
    @mahfoudh.official7318 8 месяцев назад +1

    Shukran sana
    Mm ni mzanzibari
    Ilikua sijui KUHUSU HILI
    Allah akujaze kheeer ❤
    MUNGU AIBARIKI NA AILINDE ZANZIBAR YETU 🤲🏿🤲🏿🤲🏿🤲🏿

    • @nuzlanhassan2316
      @nuzlanhassan2316  8 месяцев назад

      Aamin. Shukran na wewe pia

    • @bas2823
      @bas2823 2 месяца назад

      @@mahfoudh.official7318 AMEEN YA RAABY AMIIN🤲😍😆🙏

  • @Fitraz-xf1bz
    @Fitraz-xf1bz 9 месяцев назад

    inshaallah shuran .بارك الله فيك وفي ذريتك.

  • @mwatumsaidi5104
    @mwatumsaidi5104 9 месяцев назад +3

    Allah bariq zinjibar yetu

  • @AbdulwahidAbdulla-qj8jh
    @AbdulwahidAbdulla-qj8jh 9 месяцев назад +3

    Unajuwa kama sisi hatumo kwenye ramani ya Africa 😂😂

  • @amihaji-w7g
    @amihaji-w7g 2 месяца назад

    Allah azidi kuilinda znji yetu wanayo inyemelea wasiiyone

  • @DelightfulMacawBird-tl5hf
    @DelightfulMacawBird-tl5hf 8 месяцев назад +1

    Mashallh najivunia kua mzanzibar

    • @nuzlanhassan2316
      @nuzlanhassan2316  8 месяцев назад +2

      Hakika. Zanzibar tuna historia kubwa na ni dola ya mwanzo kusimama Afrika Mashariki. Zanzibar kwa maendeleo yaliyokuwepo kipindi hicho laiti tungeyatunza basi tusengalikuwa hapa tulipo mda huu. Lakini ziliingia chuki na mauaji na tamaa mpaka nchi ikaharibiwa

  • @bas2823
    @bas2823 2 месяца назад

    THANKS FOR REPLIED OF THE MEANING OF BANTU" THANKS FOR REPLIED" GOD BLESS U ALWAYS 🙏"

  • @jumaabrahman1169
    @jumaabrahman1169 9 месяцев назад +3

    Naipenda sana zanzibar ❤❤❤

    • @nuzlanhassan2316
      @nuzlanhassan2316  9 месяцев назад +2

      Hakika. Na ndio sifa ya muislamu awe mzalendo na awe na uchungu na nchi yake. Sote tunakwenda ZANZIBAR

  • @harithmohd6318
    @harithmohd6318 9 месяцев назад +3

    Iloveyou somuch PBE and UGJ

    • @nuzlanhassan2316
      @nuzlanhassan2316  9 месяцев назад

      Inshallah Pemba na Unguja vyote ni kitu kimoja.

  • @mohammedmbarouk1129
    @mohammedmbarouk1129 9 месяцев назад +2

    Shukraan 🥰.
    Nimejifunza kitu muhimu kuhusu nchi yngu Zanzibar ❤❤❤❤

  • @khalfanabdullahumoud4212
    @khalfanabdullahumoud4212 9 месяцев назад +2

    Makosa yaliyomo kwenye mada hii 1-sio joNzani Ni Jozani...2-si Mzuri Nzuri. ...ardhi Nzuri sio ardhi Mzuri..Baraka llahu fyk

    • @nuzlanhassan2316
      @nuzlanhassan2316  9 месяцев назад +1

      Shukran sana akhui. Uko makini. Tukipata watu walio makini kama were tutapiga hatua. Video inayo kuja nitajitahidi

    • @ally1702
      @ally1702 8 месяцев назад +1

      Hii jozani ni SAWA ila kuhusu nzuri na mzuri kwenye muunganiko wa ardhi Kuna baadhi ya lahaja kisiwani Pemba huwa inaongeleka pia hivo

    • @nuzlanhassan2316
      @nuzlanhassan2316  8 месяцев назад +1

      @@ally1702 kweli kabisa.na ndo mimi nimeathirika na lahaja ya kipemba 😁😁

  • @bas2823
    @bas2823 2 месяца назад +1

    NINI MAANA YA BANTU!?? WATU WA AINA GANI!? HAWA!? NA WAMETOKEA WAPI!? ASILI YAO NI WAPI!?? THANKS I NEED REPLY PLEASE 🙏 ABT IT"

    • @nuzlanhassan2316
      @nuzlanhassan2316  2 месяца назад +1

      Neno bantu linakusanya makabila mbali mbali ama mataifa mingi ya Waafrika weusi. Lakini tunaowakusudia sisi hapa ni wale walokuwepo ukanda wa pwani ya Afrika mashariki. Na inasemekana asili yao ni Afrika ya kati na ya Magharibi. Yaani Cameron na Nigeria nk. Na kisha baadae ndio wakatawanyika katika mataifa mengine ya Afrika hadi kufikia Afrika Mashariki na Afrika kusini na maeneo mengine

  • @hajjseif5737
    @hajjseif5737 9 месяцев назад +4

    naomba mada ifuatayo iwe asili ya watu wa zanzibar

  • @AbdusamadBaghazal-v4v
    @AbdusamadBaghazal-v4v 9 месяцев назад +5

    Zanzibar is part of Arab World

  • @Fitraz-xf1bz
    @Fitraz-xf1bz 9 месяцев назад +1

    awwalan لك منا جزيل الشكر ومن الله الاجر الوافي . kwann sasa imeitwa darussalam na ipo tofaut. tunaomba ufafanuz

    • @nuzlanhassan2316
      @nuzlanhassan2316  9 месяцев назад

      Inshallah hii tutakuja kuichambua katika clip yake peke yake

    • @nuzlanhassan2316
      @nuzlanhassan2316  9 месяцев назад +1

      Hii tutakuja kuichambua kuhusu Dareslam katika clip yake peke yake

    • @Fitraz-xf1bz
      @Fitraz-xf1bz 9 месяцев назад

      inshaallah.shukran kwa ihtimamik. allah akuzidishie elim na akuwafiq pamoja na kukuthibitisha ktk khayrab.بارك الله فيك و في ذريتك

    • @Fitraz-xf1bz
      @Fitraz-xf1bz 9 месяцев назад

      yan khayraat aasif kwa kukosea

    • @nuzlanhassan2316
      @nuzlanhassan2316  9 месяцев назад

      Aamin kwa sote. Bila ya samahani

  • @safaanassor9997
    @safaanassor9997 8 месяцев назад +2

    Lakini hivi visiwa 2 vya unguja na pemba kwa asili ni visiwa pacha. Havikuungana. Na hili jina Zanzibar ni maana ya unguja na pemba
    Kwa nini sasa Zanzibar iwe ni unguja tu na pemba kubaki pekee.
    Utasikia zanzibar na pemba.hivi pemba sio Zanzibar?

    • @nuzlanhassan2316
      @nuzlanhassan2316  8 месяцев назад

      Mazowea ya watu ndio wamezowea hivyo. Lakini asili vyote viwili ni sawa. Na Zanzibar kirasmi inakusudiwa visiwa vyote viwili

    • @nuzlanhassan2316
      @nuzlanhassan2316  8 месяцев назад

      Pia kuna wengine wana mtazamo wa kwamba hapo awali ni Unguja peke yake iliyoitwa Zanzibar. Ama Pemba imeitwa: (الجزيرة الخضراء) kisiwa cha kijani. Lakini kwa vile Pemba ilikuwa chini ya usimamizi wa watawala wa Unguja na ikifata serikali ya Unguja ndio yote ikapewa jina hilo la Zanzibar kwa vile ni nchi moja. Na ukisikia Dola ya Zanzibar basi inakusanya Unguja na Pemba. Lakini hata hivyo watu wamezoea kukiita Zanzibar kisiwa Unguja peke yake

    • @SULEIMANMBAROUK-m8e
      @SULEIMANMBAROUK-m8e 2 месяца назад

      Kihistoria Zanzibar khasa ni Unguja, lakini Pemba moshi inaingia katika Zanzibar kwa sababu za kimamlaka na kiutawala, kama mfano Unguja ni khasa asili yake ni kule Unguja ukuu lakini ikaitwa yote Unguja kwa sababu Unguja ukuu ndiyo iliyokuwa mji mkuu wa zama hizo.

  • @IbrahimSallim-xd4lx
    @IbrahimSallim-xd4lx 9 месяцев назад +1

    Mashallah

  • @abdithabit
    @abdithabit 8 месяцев назад +2

    Je kabla ya kufika wao na kuteta jina hilo znzbr ilikuwa inaitwaje

    • @nuzlanhassan2316
      @nuzlanhassan2316  8 месяцев назад +1

      Unguja ndio jina lake kwa kiswahili. Na hapo zamani pia iliwahi kuitwa na waroma kwa jina la: (Manthoyas) ni neno la Kirkman hili

    • @SULEIMANMBAROUK-m8e
      @SULEIMANMBAROUK-m8e 2 месяца назад +1

      Unguja ikiitwa Unguja na Pemba ikiitwa pemba, walipokuja Unguja wakaiita Zinjibar na Pemba wakaiita Jaziiratul - khadhw-raai.

  • @rafaelmarquez9396
    @rafaelmarquez9396 8 месяцев назад +1

    Bantu maana yake ni watu hakuna wabantu wazungu kushundwa kuita watu ndio wakaita bantu asili ya watu wa pwani ya afrixa mashariki ni oromo au ni mijikenda

    • @nuzlanhassan2316
      @nuzlanhassan2316  8 месяцев назад

      Wabantu ni makabila maalum na sio kila mtu. Waarabu na wazungu sio wabantu

  • @SalehSaidmbarouk-pu9jq
    @SalehSaidmbarouk-pu9jq 9 месяцев назад

    Shukran kwa elimu

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed5157 9 месяцев назад +1

    ❤❤❤❤❤

  • @abdallahdullah8642
    @abdallahdullah8642 Месяц назад

    Dunia haikuwa na watu kabla lkn walipoletwa watu ktk ardhi hii waliishi sehem ndogo tu ya ardhi lkn kila walivyozd ndivyo walivyo hama hama na kuingia sehem nyengne ya ardhi ama nchi vikiwemo visiwa hvy kwa mantiki hiyo hakuna aliechimbuka kutoka chini ni kuhamia hamia tu na kupata kabila ama taifa. Watu wote Duniani wana asili za sehem nyengne si zanzibar tu hata Tanganyika au Kenya au kwengneko.

    • @nuzlanhassan2316
      @nuzlanhassan2316  Месяц назад

      Ni sawa, lakini hao walohamia mwanzo Zanzibar hapo zamani walikuwa ni watu gani?

  • @hassanbilali1697
    @hassanbilali1697 Месяц назад +1

    Mimi ni mzanzibar ningependa kujua asili hasa ya watu wa Zanzibar ni ipi?
    Andaa makala maakum tusikie

  • @hamilsaleh-zo3hp
    @hamilsaleh-zo3hp 8 месяцев назад +1

    Watu wa mwanzo kutamakani zinjibaar

  • @buchbeats5337
    @buchbeats5337 8 месяцев назад +1

    Umeanza vizuri kweli ila kwani kila mtu mweusi ndo mbantu kwani history ya kweli inatuambia wabantu ndo watu wa mwisho kuja kuishi east coast mana hata wareno wameandika kwamba wao wamekuja kabla ya wabantu africa mashariki ulitakiwa useme watu weusi na c o wabantu

    • @nuzlanhassan2316
      @nuzlanhassan2316  8 месяцев назад

      Haina haja ya kusema mtu mweusi na kutaja rangi. Hiyo haitombendeza kusema watu weusi kwa sababu hilo neno litaweza kupelekea ubaguzi. Historia. Ukisema watu weusi pia inakusanya mataifa mengi sana ambayo hajaijishi Zanzibar wala Afrika mashariki kabisa. Sisi tunakusudia walioishi maeneo ya Afrika mashariki ambao ni wabantu hatukosudii kila mtu mweusi duniani

    • @buchbeats5337
      @buchbeats5337 8 месяцев назад

      @@nuzlanhassan2316 Ndo Mungu alivyo tumba ili tujuane hiyo history haifa kufanya mabadiliko itapoteza maana halafu ilo jina bantu kuna muengereza mmja ndo alowaita wafrika wote bantu anaitwa M.Guthrie British linguist mwaka1924 kabla ya hapo hapakua na watu wanaoitwa bantu tunasoma info za wazungu kwa reference tu ili tujue ukweli na c o kufata mapendekezo tao

  • @peterbillas9131
    @peterbillas9131 8 месяцев назад +1

    Zanzibar sio kiarabu ni ki assiria na hawa wa omani hawakuiita Zanzibar hicho kisiwa tu pwani yote ya Africa mashariki ilikua inaithwa hinyo na ni sababu ya watu weusi na kiasiria hilo ndo jina walilokua wanawaita watu weusi zinjiweke assiria siyo siria ya asad

    • @nuzlanhassan2316
      @nuzlanhassan2316  8 месяцев назад +2

      Zanzibar ni kiarabu. Na ni kweli kuwa inamaanisha pwani yote ya Afrika mashariki lakini makao makuu hasa ni Unguja.

    • @nuzlanhassan2316
      @nuzlanhassan2316  8 месяцев назад +1

      Maelezo yako hayapo wazi vizuri. Halafu Assiria ndio lugha gani. Na kwa hiyo Zanzibar maana yake nini kwa mujibu wa ufahamu wako

    • @nuzlanhassan2316
      @nuzlanhassan2316  8 месяцев назад +2

      Zanzibar ni kiarabu n sio ajabu. Kwani hata Dareslam ni kiarabu. Na hata lugha yote ya kiswahili imetokana na kiarabu

    • @peterbillas9131
      @peterbillas9131 8 месяцев назад

      @@nuzlanhassan2316 kama kiswahili chote ni kiarabu kwanini maneno mengi ya kiswahili yako kwenye kizulu na wazulu hawajakutana na waarabu?
      2 kiarabu hususani cha Kuruani ni mchanganyiko wa ki nabatian na Syriac amariki ambao hizi lugha zima itwa afro Asiatic ndo maana nilisema zenji in assiria sababu hivi ndio walivyokua wanawaita wa misiri na wanubia miaka 2000 kabla kuja yesu hata misirahimu ambayu ni misiri kwa kiarabu ni kiasiria vilevile na ufalme wa assiria ni leo irani uturuki kipande cha iraki na siria leo kumbuka kizulu ni kibantu. Na domaana wa omani walinyofika hapo mashariki mwa Africa lilikua ni rahisi sababu hizi lugha za Levant (middle East ) nyanzo nyake ni lugha za kiafrika

    • @nuzlanhassan2316
      @nuzlanhassan2316  8 месяцев назад +1

      @@peterbillas9131 asilimia kubwa ya misamiati ya kiswahili kinatokana na kiarabu. Hata neno (kiswahili) asili yake ni kiarabu. Halafu wabantu ndio waliyokutana na waarabu wakachanganyika nao kisha kikapatikana hicho kiswahili.

  • @SelemaniMndai-ox8dy
    @SelemaniMndai-ox8dy 8 месяцев назад +1

    Walio zaliwa Zanzibar ukiwauriza wewe kabira Gani Huwa awasemi anakazana Mimi mzanzibar wakati irojina Ra kisiwa wanaokaaumo razima wawe na makabira. Mwambie makabira yenu tukiwauliza

    • @nuzlanhassan2316
      @nuzlanhassan2316  8 месяцев назад

      Wapo walokuwa na makabila yao. Na wengine wamechanganya makabila tofauti. (na sio aibu kutokuwa na makabila) au wanayo makabila lakini hawajui asili yao. Kuna wazanzibai wengi wana asili ya kiarabu lakini hawaijui asili yao. Na wengine hawataki kujidhihirisha.
      Pia wapo wanao sema kuwa asili yao ni shiraz Iran

    • @SelemaniMndai-ox8dy
      @SelemaniMndai-ox8dy 8 месяцев назад +1

      @@nuzlanhassan2316 mhm inshallah 🙏🙏

    • @thamani5842
      @thamani5842 8 месяцев назад +1

      Ww umetuandikia nn hapa? Yaani unakivuruga kiswahili namna hii? Huogopi?

    • @nuzlanhassan2316
      @nuzlanhassan2316  8 месяцев назад

      @@thamani5842 uandikaji wake anaandika kama anavyotamka. Kaathirika na lahaja yake

    • @HabiibAlly-dd4ww
      @HabiibAlly-dd4ww Месяц назад +1

      Watu wengi ktk maeneo mengi hasa afrika wanapenda kujipachika makabila hata hawana uhakika nayo
      Utamskia mtu anajiita mnyamwezi au mpare lakini ukichunguza baba au babu yake ni mjaluo

  • @stephenndagalla8183
    @stephenndagalla8183 9 месяцев назад +1

    Kabla ya ubatizo wa majina (ujio wa Waarabu) hayo, eneo lilijulikana kwa jinanlipi?

    • @nuzlanhassan2316
      @nuzlanhassan2316  9 месяцев назад

      Miongoni mwa majina ya Zanzibar ya zamani ni Unguja. Na maenoo mengine yalikuwa yana majina yake hadi leo kama Pemba Tumbatu na mengineyo. Na baadhi ya maeneo na mitaa yalikuwa hayana majina kwa sababu yalikuwa ni mwitu hayakaliwi na mtu

  • @amihaji-w7g
    @amihaji-w7g 2 месяца назад +1

    Hawa wabantu wanatokea wapi?

    • @nuzlanhassan2316
      @nuzlanhassan2316  2 месяца назад

      @@amihaji-w7g inasemekana kuwa asili yao ni Afrika Magharibi. Kisha baadae ndio walitawanyika wakafika mpaka Afrika Mashariki

  • @alihussein5107
    @alihussein5107 9 месяцев назад +5

    Zanzibar ni mchanganyiko wa makabila yote duniani hakuna atakejisufu kama yy ni mwenyeji zaidi kuliko mwenziwe madqmq umezaliwa zbz ww ndoo mqenyewe

    • @nuzlanhassan2316
      @nuzlanhassan2316  9 месяцев назад +4

      Ni kweli. lakini Siyo makabila yote duniani.

    • @nuzlanhassan2316
      @nuzlanhassan2316  9 месяцев назад +4

      Kuna mataifa au makabila mengine hawakuwahi kuishi Zanzibar hadi leo

    • @fakijecha
      @fakijecha 9 месяцев назад

      Naona unapayuka tu Dunia nzima asili yake wTu wawili tu adamu na Hawa hakuna alotoka mbinguni akaje kwenye ardhi ikawa kwao sehemu flan ila Allah amekadiria Kila mtu kumpa luha na tabia hiyo ni mmoj ya nembo ww asili yako ni ipi

    • @nuzlanhassan2316
      @nuzlanhassan2316  9 месяцев назад +1

      @@fakijecha Sote ni wa Adam Na Hawwaa. Na sote ni wa Allah. Lakini Allah kamjaaliya kila mmoja Na nchi yake ama taifa lake. Haifai binaadamu akaichukua haki ya binaadamu mwenzake aliyo pewa Na Allah kama wanavofanya Mayahudi leo Palestina kwa kuwapokonya wakaazi wa asili ardhi yao tena kwa nguvu.

    • @nuzlanhassan2316
      @nuzlanhassan2316  9 месяцев назад +1

      @@fakijecha mimi mzanzibari

  • @MaryamKambandefu-nr8bt
    @MaryamKambandefu-nr8bt 8 месяцев назад +2

    Hawa wa bantu ni kina nani

    • @nuzlanhassan2316
      @nuzlanhassan2316  8 месяцев назад

      Ni makabila ya asili ya Afrika mashariki na mataifa mengine ya yaliyoizunguka

  • @LovelyBubbleTea-vz4ol
    @LovelyBubbleTea-vz4ol 8 месяцев назад +1

    Nataka jazeerat pemba

  • @ZANAMBER
    @ZANAMBER 8 месяцев назад

    Bora awape hawo wajomba ili wapate kuitumia kwa kilimo

  • @hafidhhamed7600
    @hafidhhamed7600 8 месяцев назад

    Lakini hili neno bantu wazungu ndo walowaita bantu watu kutoka Cameron na wenyeji wa African mashariki mwanzoni ni oromo na wapili shiraz

    • @nuzlanhassan2316
      @nuzlanhassan2316  8 месяцев назад

      Hata ikiwa ni wazungu walowaita ndo lishakuwa jina lao tena na ndo wanajulikana kwa jina hilo. Na halafu Shirazi asli ni mji upo Iran. Walihamia watu wa Shirazi Afrika mashariki

  • @ayshasaid1547
    @ayshasaid1547 8 месяцев назад +1

    Zinjibar ni kisiwa chawatu weusi

    • @nuzlanhassan2316
      @nuzlanhassan2316  8 месяцев назад +1

      Ni kisiwa cha wote sio weusi peke yao

    • @nuzlanhassan2316
      @nuzlanhassan2316  8 месяцев назад

      Tukisema Zanzibar kwa wakati huo inakusanya mwambao wote wa Afrika Mashariki na sio Unguja peke yake. Kwa sababu Unguja ni kisiwa na kilikuwa hakina wakaazi hapo kale. Lakini ni nani wa mwanzo kugundua kisiwa hicho ama wa mwanzo kuishi? hapo ndo hajulikani nani hasa

    • @ayshasaid1547
      @ayshasaid1547 8 месяцев назад +1

      Yaan wenyewe warabu wameita zingibar maana yake kusiwa chawatu aswadi

    • @nuzlanhassan2316
      @nuzlanhassan2316  8 месяцев назад

      @@ayshasaid1547 maana yake ni ardhi ya watu weusi. Sio kisiwa peke yake ni mwambao wote wa Afrika mashariki

  • @abdallahsuwed65
    @abdallahsuwed65 9 месяцев назад +3

    Tupe history ya Tumbatu

  • @TayDasaro-xc9jf
    @TayDasaro-xc9jf 8 месяцев назад +2

    Na ni nini asili na maana ya Unguja

    • @nuzlanhassan2316
      @nuzlanhassan2316  8 месяцев назад

      Nimesoma katika kitabu kwamba asili yake ni: (Ungo umejaa.) Lakini mkasa wa hili jina mpaka likawa hivyo.

  • @KhamisKhamis-r7s
    @KhamisKhamis-r7s Месяц назад

    Wabantu ni watu gani ?

    • @nuzlanhassan2316
      @nuzlanhassan2316  Месяц назад

      Neno bantu ilnakusanya makabila mbalimbali ya Waafrika weusi. Ambao inasemekana walianzia huko Afrika Magharibi. Na kisha wakatawanyika maeneo mengine hadi kufika Afrika Mashariki na Afrika kusini

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 8 месяцев назад +2

    Ina maana unakusudia Waarabu ndio Walioanza kuja kuliko Wandelemo, Wanyamwezi nk. Acha kutawaliwa kifikra. Zanzibar ni miongoni mwa visiwa vya Afrika.

    • @nuzlanhassan2316
      @nuzlanhassan2316  8 месяцев назад

      Wanyamwezi na wandelemo asili yao sio visiwani. Ni Tanzania Bara usijichanganye

    • @MuhammedAliOmar-c9u
      @MuhammedAliOmar-c9u 2 месяца назад

      Wewe umezidi tena hao uliowataja hata miaka 200 nyuma hawajafika huku.

  • @pauloropian2367
    @pauloropian2367 9 месяцев назад

    Siyo bure Samia anawaondoa wamasai ngorongoro ili awape wajomba zake.

  • @jumajuma3679
    @jumajuma3679 9 месяцев назад

    Unatupiga kamba ujue