MREMBO ANAYELIPIA MINYOOSHO, ANANUNUA WANAUME KWA PESA YAKE | FULL MOVIE | CHAPA MOVIES RECAP

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 сен 2024

Комментарии • 317

  • @kevinmosha8540
    @kevinmosha8540 Месяц назад +11

    Sikutegemea kama ninge-enjoy filam ya simulizi kiasi hiki maana imetokea kwenye feed yangu wakati nacheki habari za bongo ila dah...hongera sana msimulizi umefanya Stahiki kubwa kwa kunasa hisia za stori nzima na umeweka utani na vibe zote kulingana na maudhui yalivyokua yanafungua..nikajikuta nimetekwa na kutabasam mwenyewe and best of all nimecheka sana juu ya jinsi mshkaji wake alivyoenda kuweka sawa mambo...dah stori tam sana...big Up u have won a fan out of me👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽 hakuna namna wacha nikuunge mkono na SUBSCRIPTION aisee...tuko na wewe chief👊🏽👏🏽👏🏽👏🏽🤙🏽

  • @FureNoah
    @FureNoah Месяц назад +5

    Et body Syo kama ya mwijaku😃😃umetsha Sana🔥

  • @philipomussa
    @philipomussa Месяц назад +4

    Dj dj dj dj dj🔥🔥🔥nimekuita mara ngapi dj☄️☄️unajua mzee baba🙌🏾🙌🏾

  • @Happyrazia
    @Happyrazia 2 дня назад

    Napenda sana unavyo tafusir

  • @Naynahotlady
    @Naynahotlady 5 дней назад +2

    Tuliotoka TikTok tukaja uku😂😂mbioo like hapa by the way movie nzuri dj uko vzur pia❤

  • @CalviniJaphet-gl9bv
    @CalviniJaphet-gl9bv Месяц назад +7

    Sio mwili wa suzu baleeeee😢😢😢 sijapendaaa

  • @MaryMaige-t1b
    @MaryMaige-t1b 15 дней назад +2

    yaninimetoka tiktok mbio mbio kuitafuta nimeipenda sana

  • @muhirechristopher4772
    @muhirechristopher4772 2 месяца назад +2

    Thanks bro kukutwandalia move tamu san God bless

  • @AsyaChiia
    @AsyaChiia Месяц назад +4

    Jamani mm natamani ata nikuone ❤

  • @SuleimaniKinyogoli
    @SuleimaniKinyogoli 29 дней назад +1

    Nimekuelewa sana bro kanzi nzur yan hauchosh kaza buti ufike alipo fika konka na dulla kid

  • @EsterJeremiah
    @EsterJeremiah Месяц назад +19

    Tuliotoka tiktok tukaja❤

  • @djoe8266
    @djoe8266 2 месяца назад +4

    Noma sana

  • @Officialrockzompa
    @Officialrockzompa Месяц назад +2

    Daah movie nzur nime enjoy🎉

  • @waleoofficial6816
    @waleoofficial6816 Месяц назад +8

    Nilivyoona dk 40 nikahisi itaboa ooy we jamaa unajua bhana, imeichapa fresh sana hii story

  • @Mwatima
    @Mwatima 2 месяца назад +4

    Nimeipenda sana

  • @johnlazaro3664
    @johnlazaro3664 Месяц назад +10

    Iv jmn kuna aliyeona daddy ana fanana na captain G Habashi au ni macho yangu tu

  • @CalviniJaphet-gl9bv
    @CalviniJaphet-gl9bv Месяц назад +3

    Ila huyu mwambaa spensaa nimempendaaa buleee 😂😂😂😂 Dada haaamini macho yake

  • @thumalove1886
    @thumalove1886 2 месяца назад +27

    Yani nimetoka tik tok nikaja huku mbio 😂😂❤❤❤ napenda unavyo elezea dj

  • @AthumanManase
    @AthumanManase Месяц назад +4

    Huna baya kk xtory tam xaaaaaan endelea kufany kk

  • @AnnaMussa-d2z
    @AnnaMussa-d2z 2 месяца назад +2

    Nimeipenda san ni bonge la story❤

  • @AbdallahMohamedi-r3h
    @AbdallahMohamedi-r3h Месяц назад +3

    Umetisha sna mwamba

  • @atkinsonazani7404
    @atkinsonazani7404 Месяц назад +3

    Hii movie nimzuri saana. Niliiangalia yote kabisa. Tamu sana

  • @HabibaBb-d3s
    @HabibaBb-d3s 14 дней назад

    ❤❤❤❤una niria muda sana kaka upo vizuri ongeza vit ❤

  • @AbdoulsudaisSuleiman
    @AbdoulsudaisSuleiman Месяц назад +1

    Dah ❤ fantastic broh

  • @RamadhaniMsilanga
    @RamadhaniMsilanga Месяц назад +2

    Dah Mimi huwa mvivu WA kufatilia vitu au simulizi ila hii nimeipenda Sana Sana Kwanza imenifresh mind hongera bro

  • @Lucky-hm3qh
    @Lucky-hm3qh Месяц назад +3

    My fav, Uche Montana❤

  • @LovelyOmbreSky-pu4jt
    @LovelyOmbreSky-pu4jt Месяц назад +1

    Umetisha mzee baba

  • @msizirovideoproduction3049
    @msizirovideoproduction3049 Месяц назад

    Oya ww boya umeweka mzigo mzuri sana kaza hivy hvyo utafika mbali🔥🔥

  • @Latifa-ru9ko
    @Latifa-ru9ko 5 дней назад

    Nzuri sana Asante dj 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤

  • @sharifabakari8992
    @sharifabakari8992 2 месяца назад +3

    Mzuri sana mashallah

  • @MumyA6379
    @MumyA6379 Месяц назад +1

    Noma sanaaaaaaa❤🔥🔥🔥🔥

  • @OmaryAbdallah-q5t
    @OmaryAbdallah-q5t 7 дней назад

    Oooy unyama mwing broo let nyengn kal

  • @dennycdenny4506
    @dennycdenny4506 Месяц назад +1

    Umetishaa sanaa mzeee 🙌🙌🙌⭐️⭐️

  • @VeronicaAbdul-ei7mp
    @VeronicaAbdul-ei7mp 15 дней назад

    Imekaa poa sana asee🎉

  • @Elizakilisipinilikolika1996
    @Elizakilisipinilikolika1996 29 дней назад

    Nizuli sana na yenye mafunzo.mazuli sana 💋💋💕💕💕💞💞💞💞💞💞

  • @TITOGADSON
    @TITOGADSON 2 дня назад

    Jina la hii movie jamn

  • @HanifaHanifa-yw4pl
    @HanifaHanifa-yw4pl 7 дней назад

    Hatareee

  • @AishaShaweji
    @AishaShaweji Месяц назад

    Nzurii hongera sanaa

  • @user-iw1jt5ll7m
    @user-iw1jt5ll7m Месяц назад +1

    Hapa tuna enjoy vinzuri sana tumetoka tiktok

  • @HabibaBb-d3s
    @HabibaBb-d3s 14 дней назад

    Yan upo vizuri sana ❤

  • @user-gs2tf1yx7m
    @user-gs2tf1yx7m Месяц назад +1

    dj me napenda sauti yako etp❤❤❤❤❤

  • @DaduMaman
    @DaduMaman 5 дней назад

    Kazi nzuri bro

  • @AngelFidelis-ov5sy
    @AngelFidelis-ov5sy Месяц назад +1

    Sikuhiz stress zangu zinamalizwa na dj chapa😂maua yako broo😘

  • @dodo-d3v
    @dodo-d3v День назад

    🔥🔥🔥

  • @jamesgeorge8279
    @jamesgeorge8279 2 месяца назад +2

    Daaa nina stress zangu lkn hii ki2 imenifanya nimerudi ktk mudi yangu safiiiii demu pic sana .

  • @ManMadini-jm9ki
    @ManMadini-jm9ki 13 дней назад

    Hongera sana mwana ndg

  • @user-ex3ni4lp9h
    @user-ex3ni4lp9h Месяц назад +1

    Nice ❤muvi

  • @JovinnyBwondeye
    @JovinnyBwondeye Месяц назад +2

    Jamaaa iz wewe unazitoaa wap ni kali sana na zina mafunzo

  • @davidjob1905
    @davidjob1905 2 месяца назад +6

    Kaka movie nzurii. NAOMBA JINA LA MOVIE.

  • @saidally368
    @saidally368 Месяц назад

    Jmn nmeipenda ataliii🎉

  • @salimanguzo5553
    @salimanguzo5553 Месяц назад +1

    Ikopoa🌹🌹

  • @AziluKembo
    @AziluKembo 6 дней назад

    We jamaa uko vzr unanimalizia mb zangu kila cku ila sio kwa ubaya ni unyama sana

  • @user-ep7qr2xg8v
    @user-ep7qr2xg8v 2 месяца назад +2

    Nzur sana

  • @AbaleRaglise-ow4ms
    @AbaleRaglise-ow4ms Месяц назад +1

    ❤❤❤❤ Kali sana

  • @RudiaEzekiel
    @RudiaEzekiel 4 дня назад

    Oyaaa n minyoosho t😂

  • @RamadhaniOmari-qx7xw
    @RamadhaniOmari-qx7xw Месяц назад +2

    Story nzur ndefu umeifumua vizur

  • @HappyNashon-t6u
    @HappyNashon-t6u 2 месяца назад +1

    ❤story poa sanaaaa jaman

  • @BentiM-q2c
    @BentiM-q2c 17 дней назад

    Nice ❤ penda sana

  • @bensonlameck6348
    @bensonlameck6348 Месяц назад

    Chapa dj wew ni nyoko

  • @richardmgabo
    @richardmgabo Месяц назад +1

    Nakubali 👊

  • @johnchodo4273
    @johnchodo4273 22 дня назад

    Bro yupo vzur sana

  • @annajackson3801
    @annajackson3801 Месяц назад +10

    Ebhane tupo wengi sana mm mwenyewe nimetoka tiktok nikaj huku

  • @user-db9qm8nv7s
    @user-db9qm8nv7s 29 дней назад

    Oya umetisha mkuuu

  • @SlemanAbdallah-l2c
    @SlemanAbdallah-l2c 10 дней назад

    Yaani kwa kweli ni pambe

  • @MajileMsabi
    @MajileMsabi Месяц назад

    Nimeipenda sana tuuu

  • @JoyceKikome
    @JoyceKikome Месяц назад

    Aah,,,nzur sana

  • @Huruma-s4f
    @Huruma-s4f 4 дня назад

    Mh naenjoy San kwanza tik tok inamaliza bando afu mambo yenyewe yaajabu bola huku buku unaskiliza ad kuchoka

  • @HanifaJuma-z4w
    @HanifaJuma-z4w Месяц назад

    Hakika ni mzuri sana

  • @aristidemugisha1804
    @aristidemugisha1804 Месяц назад

    ❤❤❤ nimeipenda san

  • @JacquelineJohn-j5g
    @JacquelineJohn-j5g Месяц назад

    kaz nzuli sana kaka

  • @LovelinessFelician-sc5in
    @LovelinessFelician-sc5in Месяц назад +1

    Usiweke swagg nyingi bhna unapoteza radha ya movie

  • @hildaassey
    @hildaassey Месяц назад +3

    Dj kunywa serengeti lemon hapo nitakuja nilipe😂😂

  • @jiiwolf2900
    @jiiwolf2900 24 дня назад

    .uko vzr

  • @zuberhamza7852
    @zuberhamza7852 Месяц назад

    Iko powa

  • @asnathrama6894
    @asnathrama6894 5 дней назад

    DJ nimekupenda bureee❤😂

  • @alvinelia7517
    @alvinelia7517 2 месяца назад +1

    Daa bonge la story 😊😊

  • @muna1165
    @muna1165 Месяц назад

    Jinalake Lina Tisha lakini maudhui Yake ni mazuri sana l love it ❤❤❤❤

  • @makyfamily6027
    @makyfamily6027 Месяц назад

    Big story
    Men nimeipenda ile mbaya bro hakuna nyingine tena

  • @WitnessOchora-dd1gm
    @WitnessOchora-dd1gm 21 день назад

    Imenikuna🙌🏽🌹

  • @AllyMsangule
    @AllyMsangule Месяц назад

    Yaaani rrraaahaaaaa...hio story daaah

  • @remyasimwe4740
    @remyasimwe4740 2 месяца назад

    Movie nzuri sana kutoka Congo nimeipenda

  • @user-mr8hq7ji9y
    @user-mr8hq7ji9y Месяц назад

    Mmetishaa San wakali

  • @Winnie____
    @Winnie____ Месяц назад +6

    So inaitwaje hiyo movie

  • @MsJhshsh
    @MsJhshsh Месяц назад

    Thanks dj tunaenjoy

  • @FrankAntony-g7i
    @FrankAntony-g7i Месяц назад

    Jamaa anajua sana

  • @AbdallaSalum-b1s
    @AbdallaSalum-b1s 2 месяца назад +1

    Hata sijui

  • @CarlitacelestinoLimas
    @CarlitacelestinoLimas Месяц назад

    Sai do tiktok diretamente no RUclips ❤😂

  • @Nasmamchome
    @Nasmamchome Месяц назад

    Wawooh story nzuri

  • @priscaisaac2386
    @priscaisaac2386 2 месяца назад +1

    Nice ❤❤❤❤

  • @David.S.Mwakalinga
    @David.S.Mwakalinga Месяц назад

    I really appreciate it

  • @SHAZAFLIX
    @SHAZAFLIX Месяц назад +1

    Hatari

  • @fatmaismail7683
    @fatmaismail7683 2 месяца назад

    Mkaka mzuri

  • @Mwandegu
    @Mwandegu 27 дней назад

    Kali sana❤❤

  • @bin.Ali_boy
    @bin.Ali_boy Месяц назад

    TUWEKEE NA MAJINA YA MOVIE KAKA❤

  • @gisbertusrevocatus171
    @gisbertusrevocatus171 5 дней назад

    Oya we jamaa unajua

  • @user-qv8qo3ff3q
    @user-qv8qo3ff3q Месяц назад

    Aise hii movie umeifanyia kazi kikamilifu

  • @Ayubu-st9gk
    @Ayubu-st9gk Месяц назад

    Nimeipenda❤

  • @Sakaboytz
    @Sakaboytz Месяц назад +3

    Oya broo unajua sana yan hii kitu lazima uinjoy

  • @jairosyaugustine1610
    @jairosyaugustine1610 Месяц назад

    😂😂😂😂❤❤balaa sanaa

  • @BentiM-q2c
    @BentiM-q2c 17 дней назад

    ❤❤