MAWIFI WAVURUGA KITCHENPARTY YA WIFI YAO KISA STATUS ZA WHATSAPP/ACHAMBWA KWA KIGOMA CHA URUGWAI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Tukio hili lilitokea Kigogo jijini Dar es salaam ambapo mawifi waliamua kuharibu shughuli ya wifi yao yani Mke wa kaka yao kwa kuandaa shughuli yao ya kigoma cha urugwai na kumchamba wifi siku hiyohiyo ya Kitchenparty ya wifi yao.Sababu ya yote hayo inadaiwa wifi huyo aliwachamba wifi zake kupitia status za whatsapp.Lakini hilo pia halikuzuia wifoi huyo kufanya shughuli yake ya Kitchenparty.Tizama hapa kisa kizima
    #Hekaheka #Geahhabibu #GeahTv

Комментарии • 1,6 тыс.

  • @captenndunga6745
    @captenndunga6745 5 лет назад +1102

    Kama unaamini hao mawifi hawajaolewa kwahiyo huo ni wivu gonga laik twende sawa... kaulimbiu tokomeza wivu.

    • @mariahamis219
      @mariahamis219 5 лет назад +1

      Saaana my

    • @khneesajumaa2052
      @khneesajumaa2052 5 лет назад

      Nikweli kabisa hawajaolewa

    • @hadijahalidi1375
      @hadijahalidi1375 5 лет назад

      Kabisaa

    • @sashababy1321
      @sashababy1321 5 лет назад +5

      Iyo ni laana ya mke mkubwa km umemfatiria geah uyo bwana harusi ana mke tayari .kilicho fanyika hapo aho mawifi walimkuwadia kakao uyo shoga Yao. Shoga alivyo mnasa kaka mtu ushoga kwa bi mdada ukapungua na kumzibiti kaka wifi roho juu 😂😂😂😂mke mkubwa anachekaje

    • @captenndunga6745
      @captenndunga6745 5 лет назад +2

      Tokomeza wivu.

  • @marygregory7566
    @marygregory7566 5 лет назад +13

    Kama una hamu ya kujua status zenyewe zilikua zimeandikwaje gonga like

  • @PetetIgnas
    @PetetIgnas 5 лет назад +451

    kama unasoma comments na kuangalia huu ujinga huku unacheka nipe like

  • @sylviajoseph4081
    @sylviajoseph4081 5 лет назад +52

    walewenzangu n Mimi wa kusoma comment gonga n like hp

  • @winbenard5505
    @winbenard5505 5 лет назад +43

    Mm napita tu kusoma coment km tupo pamoja gonga like twende sawa

  • @obinalaurent6922
    @obinalaurent6922 5 лет назад +32

    Wenzangu #tokomeza wivu mko wapi jmn mgonge like zenu! Jaman tumkumbuke Mungu ndugu zangu haya yote ni mapito tuu

  • @judesammy9643
    @judesammy9643 5 лет назад +634

    Hii yote huletwa na kutokumjua mungu na elimu pungufu ahsanteni

  • @juliusmwinga4051
    @juliusmwinga4051 4 года назад +4

    Subhanah Allkah
    Watu wazima hovyo.Yote sababu ya kutomuhofu Mungu na kukosa la kufanya.
    #Ni hovyo

  • @FatmaMohamed-bz4cj
    @FatmaMohamed-bz4cj 5 лет назад +41

    May Allah forgive you all n show you the ryt path ameen

  • @lulusimbeye5437
    @lulusimbeye5437 4 года назад +25

    Niwivut kama unaamn mawifi waachisha ndoa zawat tujuane.🙏🙏🙏😂😂😂😂

  • @bushbabytz
    @bushbabytz 5 лет назад +5

    Kweli Dar nimeamini ni ya Wazaramo! Wanaume wa Dar kwa wanawake hawa hakika wanapata tabu sana.

  • @abdulfatahjuma5355
    @abdulfatahjuma5355 5 лет назад +271

    kama umeamini pombe si chai gonga like

  • @elidamessio621
    @elidamessio621 4 года назад +5

    Kheri ugeuze akili yako kua kamusi ya muongozo wa maisha yako...Mungu tetea kaka zangu wapate wake wema na sio kama hao

  • @mpendahaki_home_decor
    @mpendahaki_home_decor 4 года назад +10

    "The only weapon that can destroy a world is Education"
    Ngoja niendelee kumsimamia mwanangu asome ili aondokane na huu ujinga kwa uwezo wa Muumba.

  • @aishaaboud4406
    @aishaaboud4406 3 года назад +6

    Hawa kweli wanajua Mungu na siku ya mwisho
    Inna lillah wainailayhi rajion 😭😭😭😭😭🇰🇪🇰🇪

  • @zamzamahmed5718
    @zamzamahmed5718 4 года назад +43

    Any Kenyan here 😂😂😂😂🙊🙊🙊 eeh ndo maana waume zao waja Kuowa Kenya 😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @vivianchawe7561
    @vivianchawe7561 5 лет назад +186

    Ni roho mbaya tuu alishindwa kumtafuta mpaka amuaribie.Wanawake tutafute pesa tuachane na ujinga

  • @asyadezz1939
    @asyadezz1939 5 лет назад +5

    Allah amstir Ashura inshaAllah,nawote waskilizane tuwe na mwisho mwema💕

  • @user-dg8qe9rf9h
    @user-dg8qe9rf9h 5 лет назад +275

    Tusomeni dini nduguzangu. Hii Dunia tunapitia tu akhera ndiko makazi

  • @luundamoonhajjluunda8764
    @luundamoonhajjluunda8764 5 лет назад +3

    Napenda mauno tu mengine nawaachia wenyewe. All the way from Kenya, MSA.

  • @annamkomba576
    @annamkomba576 5 лет назад +60

    Daah....wachafu..sura hazina haya..ndio matokea ya kukosa kazi za kufanya..hapo kesho hata mbuni ya kuanzia kesho hawana.

  • @salwasuleiman8943
    @salwasuleiman8943 5 лет назад +42

    Hawajamdhalilisha biharusi wamejidhalilisha wenyewe na upuuzi wao na hao ma mama watu wazima ovyoo hawana hawanani wakiulizwa hawaungani bora nikose Mali nipate akili duh ujinga mzigo ulimbukeni kazi

  • @mammyyassie7322
    @mammyyassie7322 5 лет назад +273

    Bora serikali ilihamia Dodoma
    Dar wamemwaachia Wazaramu wenye mji wao 😅😅😅😅

  • @rozleeerasto5558
    @rozleeerasto5558 5 лет назад +2

    Geah nakupenda... Dada

  • @magrethbbw7524
    @magrethbbw7524 5 лет назад +192

    huyo mwenye msauti kama sufuria inakwaruzwa angejiona angejichamba mwenyewe Kwanza,watu wenyewe mikorogo imedunda waswahili bwana wamekosa kazi

  • @khadijanasoro6510
    @khadijanasoro6510 5 лет назад +5

    Kwa hali hii ndio maana wanawake tuko wengi Motoni Allah atuongoze yarab

  • @khayratmuhamed6730
    @khayratmuhamed6730 5 лет назад +65

    Lol! Mungu aniepushie mawifi km hawa

  • @thetycoon8799
    @thetycoon8799 5 лет назад +13

    Kwamba uswahilini huwa hamna stress, yani nyie mnavuruga tu mtu akikuletea zogo mnavuruga tu 😂😂😂nimeipenda hiyo...😍

    • @neemaruttaiwa6202
      @neemaruttaiwa6202 5 лет назад

      Mmmmmmmh ndo maana ctaki kuwajua mawifi namjua mme tuu

  • @ladysalimkabora9952
    @ladysalimkabora9952 5 лет назад +45

    Mambo YA kiswazi hayo. Ndugu wa mume ni wa kuishi nao kwa hekima sana Infact hapaswi kufanywa marafiki

    • @roseedger2778
      @roseedger2778 4 года назад

      Hakika ndg wamme hawana urafiki

    • @directorbony185
      @directorbony185 4 года назад

      Mi kweli kabisa huna undugu na sisi unajali tu wakwenu

    • @user-jk5ir4ke3z
      @user-jk5ir4ke3z 4 года назад

      Misungo hao atavitabu hawajui kusomba

    • @tgati_45
      @tgati_45 3 года назад

      Ndugu wa mume wanafikiri ulikotoka ni shida zilikutoa sijui hawa mbwa wapoje

  • @janekennedy747
    @janekennedy747 5 лет назад +2

    Asante Yesu kwa kuzaliwa Moshi....woi Ngachokaaaa.....

  • @safikapufi422
    @safikapufi422 5 лет назад +40

    mungu ninusuru muda huu bora nikafanye ibada kwa nini wamama tusibadilike

  • @nonoplatnum6951
    @nonoplatnum6951 5 лет назад +29

    Doh jamani wivu mbaya!! Ila makeup ya bi harusi hapana kwakweli

  • @babyggg1509
    @babyggg1509 5 лет назад +64

    Mkorogo pia umewachanganya akili😂

  • @fatmakiyaka9590
    @fatmakiyaka9590 5 лет назад +16

    Loooh wanamidomo mirefu kama mikundu ya kuku msiyuuuuu....wanawake sie tunaroho mbaya sana ni wivu tuuu

  • @praxedadominic9864
    @praxedadominic9864 5 лет назад +4

    Nakupenda sn Dada Geah mungu akupe maisha marefu

  • @mariamvicent7312
    @mariamvicent7312 5 лет назад +1

    INNA LILLAHI WAINA ILAYHI RAJIUNI NDO SABABU TUNAAMBIWA WANAWAKE WANGI TUTAINGIA MOTONI NA HAKIKA KILA NAFSI ITAONJA UMAUTI NA HAKITOMFAA MTU SIO WATOTO WALA MALI ZAKE WALA SI NYINYI MARAFIKI ZAKE ISPOKUWA LITALO MFAA YEYE NI AMALI ZAKE NJEMA HAKIKA FANYA UFANYA NA TENDA UTENDALO HAKIKA UTALIPWA KUTOKAKA NA MATENDO YAKO YAA ALLAH TUJAALIE MWSHO MWEMA NA UTUEPUSHE NA ADHABU YA KABUNI

  • @zenamalela8077
    @zenamalela8077 5 лет назад +51

    Makeup ya bi harusii hta bure c pakiii nikalalia🤣🤣🤣 mawifii nao mikorogo imedundaaa jmniii 😂😂😂😂 tafraniii tuu

  • @gottacheckintorehab7697
    @gottacheckintorehab7697 5 лет назад +11

    Kigogo Mburahati moja hyoooo 👌👌👌👌👌👌......
    Ashuraaa eeee.... Huna pambe bibieeee 🤣🤣🤣...

  • @miriam5735
    @miriam5735 5 лет назад +7

    Kama unaamini wifi anataka kutombwa na kaka yake gonga like hapa tujuane

  • @ashajuma970
    @ashajuma970 5 лет назад +2

    Uwa libifu wa pesa jamani SubhanaAllah sibora angetoa sadaka.

  • @omartaty1930
    @omartaty1930 5 лет назад +87

    Aliye mpodoa bi harusi mbinguni atapaskiya kwangu😁😁😁😁😁

  • @binthassancollection.6308
    @binthassancollection.6308 5 лет назад +12

    SUBHANNALLAH!!
    Allah Awaongoze ya Rabbi .
    Hawajui watendalo.

  • @janethbernady8406
    @janethbernady8406 5 лет назад +13

    Helimu duni ,na kutokumjuwa Mungu du hongereni. Uyo anaejifanya ndio waongeaji wakubwa sura zimewaparama kwa krimu .ni wivu tu umewajaa mwenzenu kupata hifathi

  • @reubendick4033
    @reubendick4033 5 лет назад +1

    Jaman tuangalie na familia za kuolewa duuuh gonga like kama unaamini hawa malaya gonga like

  • @ameenaalebri2952
    @ameenaalebri2952 5 лет назад +48

    Mungu Wang nisamehe ila hawa wamama n wachafu kila kitu tabia sura zao hao n wamama wa bar mwezie kaolewa shida nn

  • @fatumasaid9985
    @fatumasaid9985 5 лет назад +1

    Wanawake wataingia motoni mafungu kwa mafungu,Mambo ni haya.. SubhanaLlah Mungu awasamehe,ila hamjadhalilisha mtu mmejidhalilisha mwenyeweeee.Puuuuuuu!!!Ovyoooo

  • @keshik5330
    @keshik5330 5 лет назад +6

    Waah am Kenyan but this Swahili is too deep for me.

    • @RioIpo
      @RioIpo 4 года назад

      🤣🤣🤣

  • @sarahmsusisarahmsusi388
    @sarahmsusisarahmsusi388 5 лет назад +14

    Mmmh nilikuwa nasikiaga tuu kumbe hayo mambo yapo aiseee kosa vyote ila sio akili

  • @alfarsiali2779
    @alfarsiali2779 5 лет назад +15

    Dah wanawake wa Tanzania tujitahin kutulia bas ili tupate heshima ktk mataifa mbalmbal jamn ndyo maana Tanzania hatuendle I hv nyiee huwo mda mngeutumia kufanya kaz kuleta uchumi wa Nchi tungelalamika kwel maisha magumu hlf ooh hamna wanaume wa kuoaa mambo yenyew hvyo mhhh Allah tusitir ss wanawake na wasichana wa Tanzania roho inauma Sana dah

  • @saudahassan6667
    @saudahassan6667 3 года назад +1

    Allah akutunze ashura na inshaallah kwa uwezo wa mungu ndoa itafungwa

  • @costanciapeter8578
    @costanciapeter8578 5 лет назад +71

    mmmhhh!!! mbona ASHURA kazi anayo!!
    😂😂😂

    • @chayogasperi9783
      @chayogasperi9783 5 лет назад +1

      Costancia Peter Ashura maji ataita mma , kachokoza wakali wa hizi kazi , wamekodi kigoma kumchamba Ashura tu , uswahilini hakuna stress .

    • @mathaadam2608
      @mathaadam2608 5 лет назад +1

      Chuma kobeko kaishiwa maneno uwiiiii dunia si mbaya

    • @subiradalabu6616
      @subiradalabu6616 5 лет назад +1

      mambo hayooo

    • @salamajalina7789
      @salamajalina7789 5 лет назад +1

      Yaan kama Wanalipwa upumbav m2pu

    • @faithdaniel5652
      @faithdaniel5652 5 лет назад +1

      🤣🤣🤣🤣

  • @twllbally925
    @twllbally925 5 лет назад +1

    Subhanallah wanawakeee wana mtihan

  • @rahisalovely9622
    @rahisalovely9622 5 лет назад +18

    Madada mikorogo imekoleaaa midomo sasa waume zenu wanakazi kubwa sanaaa aaah ndomn mafuliko hayaishi jangwani na kigogo afu kutoka apo lazima waloganeeee...Namshukuru Mungu mi mwanamke lkn mambo haya sinaga

  • @felisterapornary2612
    @felisterapornary2612 5 лет назад +2

    Kama wanaona Kaka Yao anafaidi basi waolewe wao😋😋😋😋😋

  • @zuhuramwalimushabani8836
    @zuhuramwalimushabani8836 5 лет назад +101

    Kikubwa ninachojiuliza pesa zinatoka wapi za kufanya haya yote na wanalalamika maisha magum? Mungu wafungue macho waja wako

    • @husnajohn7466
      @husnajohn7466 5 лет назад +4

      Zuhura Mwalimu Shabani wanaangamia kwa kukosa maarifa

    • @rozeeroz2515
      @rozeeroz2515 5 лет назад

      @@husnajohn7466 kweli

    • @aminasaid7456
      @aminasaid7456 5 лет назад +2

      Zuhura Mwalimu Shabani jnapajua uswazi vizur weye au wapasikia...? Mtu yupo radhi alale njaa kwake lakin akapate kijora cha shughuli!

    • @user-us9gl8jg4l
      @user-us9gl8jg4l 5 лет назад +1

      Mi mwenyewe najiulizaga sana

    • @salomenachunga3590
      @salomenachunga3590 5 лет назад

      Wamefungwa ufahamu hhh

  • @jumaarabin581
    @jumaarabin581 5 лет назад

    taayuri tu hao wanao piga kelele sura zina rangi mbili uyo wanao msema mzuri mashalllah

  • @elizamsilikasi1952
    @elizamsilikasi1952 5 лет назад +5

    Nimeuza miguuu ya kuku ninunue sare!!! Khaaaaaaaa ufwalaaaaaaaa huo, kicheza uchiuchi

  • @abuuaisha9095
    @abuuaisha9095 5 лет назад

    Daaah...!!! Makurumbembe utayajua tyu..!! Sura zimekobolewa utadhani dengu.....!! Mishipa imewatoka utadhani mizizi ya miti..!!! Mikorogo imewakoroga hadi wakakorogeka sura utadhani madonda...!!!

  • @nouhamour545
    @nouhamour545 5 лет назад +5

    Bi harusi kama chid benz jaman au macho yangu yanaona vibaya 😂😂

  • @heyumi2340
    @heyumi2340 3 года назад

    mngekuwa mnamjua Allah wallah msingefanya hayo YaaaaAllah niepushie na haya ya dunia YaaaaAllah

  • @cwttnana128
    @cwttnana128 5 лет назад +50

    Wauswazi oyeeee Ashura maharage pole mwaya😂😂😂😂😂

  • @chiefmtoto1365
    @chiefmtoto1365 5 лет назад +1

    Kama umetambua yea hao mawifi hajaolewa na hawampendi WiFi yao,yaaani ni wivu like nyingi kwangu

  • @zaharamsafiri825
    @zaharamsafiri825 5 лет назад +33

    jaman embu tumuogope mungu, sasa mwez mtukufu mambo hayo ya nn embu tusomeni dini

    • @tibekabaka8127
      @tibekabaka8127 5 лет назад +1

      Siku zote yatupasa tutende yaliyo mema mbele za Mwenyezi Mungu na si kusubiri mwezi mtukufu tu peke yake.

    • @hamastien5439
      @hamastien5439 5 лет назад

      @@tibekabaka8127 swadakt

    • @vhiedkc859
      @vhiedkc859 5 лет назад

      ZAHARA MSAFIRI kila mwezi mtukufu

  • @glorysungura3180
    @glorysungura3180 Год назад

    Gea hujambo? Nakutafuta sana. Kuna habari muhimu sana. Nikikuona nitafarijika mno, yawezekana jibu likapatikana.

  • @tanzaniangirl1980
    @tanzaniangirl1980 5 лет назад +8

    Jaman tubaki huku mikoan kwetu😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @sokyagalllus4026
      @sokyagalllus4026 5 лет назад

      ha ha ha,sisi mbona tunaishi nao kitaa,lakn tunaangalia tu yaliyo tuleteta mjini

  • @priscalorinius9368
    @priscalorinius9368 3 года назад

    Mecheka hadi nalia ..... pole Geah maana sio kwa mishuhuli hiyo mwali....

  • @khamisamursally2470
    @khamisamursally2470 5 лет назад +2

    Yaaani sanaaa kabisa vyombo kapata Geah achana na Waswahili 😂😂😂 kweni na ww wifi etu umekuwa mswahili

  • @subirasanga5276
    @subirasanga5276 2 года назад

    Jaman so kwa ushoga huo! Mbona wana mdharirisha mwenzao. Kwan aliwataja jina. Hii na hata kma bc unge mpa ukwer kwa mda mngine na so hap. Du h! Pole dada wal kuvurugia shuhur

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 5 лет назад +13

    Watakatika viuono kwa hasira . Kina mange kimambi ni wengi 😂😂

  • @ashurakambangwa14
    @ashurakambangwa14 5 лет назад +1

    Hahahaha khaaa huyo anayemwambia mwenzie mbwa mmmh ye mwenyewe sijui kajiona! Dunia hii khaa

  • @husseinomary4466
    @husseinomary4466 5 лет назад +18

    Status tyu yote hayo yametokea, huo mji anakwenda kuishije hapa Sasa naanza kuamini kua yesu kweli anarud Kisha Anza safar

  • @faizunmohd9839
    @faizunmohd9839 4 года назад +2

    Inalilah wainailay rajiun Allah atawaongoza Dada zangu

  • @asnakudra13
    @asnakudra13 5 лет назад +8

    kusoma jambo muhimu sanaa tuwape elimu watoto zetu jamn

  • @coftv6643
    @coftv6643 5 лет назад

    Mungu asante san sikai dar wala sio mzaramo!!!!!!!. Fatuma jiwe/ Ashura maharage.......

  • @nafisamohamad3182
    @nafisamohamad3182 5 лет назад +5

    Hayo majina yao sasa😂fatuma jua na ashura maharage

    • @glorysaruni7252
      @glorysaruni7252 5 лет назад

      Nafisa Mohamad kuna chuma kobelo alfu kakomaa uso hatr

    • @RioIpo
      @RioIpo 4 года назад

      @@glorysaruni7252 🤣🤣🤣 Chuma kobelo naongea

  • @rosaliembarikiwa592
    @rosaliembarikiwa592 4 года назад

    Jamani,wacheni kamati za roho and mbaya. Mwogopeni Mungu. Mabaikoko fanyeni ndani jamani🙈🙈🙈🙈🙈

  • @dainesigebo7019
    @dainesigebo7019 5 лет назад +3

    Geah mama mjini Kuna mambo duuuuh dar kazi💃💃

  • @jumarajab5316
    @jumarajab5316 5 лет назад

    hii nchi imekuwa ya kiboya yaani huu upuzi ndo no 1 on trending

    • @jssaa4733
      @jssaa4733 5 лет назад +1

      😀😀😀😀

  • @zuhuramwalimushabani8836
    @zuhuramwalimushabani8836 5 лет назад +8

    😅😅😅😅😅ila Geha unateseka na uswazi yetu jamani pole na hongera kutuletea haya sie wa mbali tunaendelea kujifunza kupitia uswazi yetu

  • @zuhuramwawimo997
    @zuhuramwawimo997 4 года назад +1

    mawifi uko na mabifu 😅😅😅😅😅😅 natakufa buree na bifu😈😈😈 wakenya ebu nipeni like zenu✋✋✋✋✋✋

  • @yunnewangechi4023
    @yunnewangechi4023 5 лет назад +3

    makubwa uswahilin kam unasoma koment kam mm gonga like😁😂

  • @mchomemtuveta6317
    @mchomemtuveta6317 5 лет назад +1

    Nashukuru mungu ninaye wifi1 tu Jamani na ananipenda sana kuliko kawaida

  • @missdee7488
    @missdee7488 5 лет назад +20

    Huyu biharus konki fireee Sio Kwa makeup Hyo 😂😂😂😂

  • @paulinarichard1789
    @paulinarichard1789 5 лет назад +2

    mawifi jamani duh wapo konkiii Mungu nisaidie mawifi zangu wasiwe hivi!!!

  • @faridamkesso97
    @faridamkesso97 5 лет назад +67

    Duh vituko uswahilini , mjini sikutaki kamwe wacha tu niendelee kulima huku kwetu kijijini

    • @shamilahasan7344
      @shamilahasan7344 5 лет назад +1

      Farida Mkesso

    • @serbash4212
      @serbash4212 5 лет назад +3

      Mimi nimeona ajabu kuyaona haya binadamu wanakoseyana na wanasehemeyana hiyo ndiyo dini na ndiyo ni tabiya nzuri kusameheyana na urafiki unazidi kuwa mzuri sisi ni binadamu ni kawaida kukoseya na kusameheyana kuna watu wanakufa na njaa na nyinyi munachezeya pesa kwa kumfurahisha shetani mungu awaongoze UAE

    • @faridamkesso97
      @faridamkesso97 5 лет назад

      @@serbash4212 kweli kabisa usemayo binadamu tunajisahau sana , Mwenyezi Mungu atuepushe na kila balaa atujaalie mioyo ya upendo

    • @gloryavelin2583
      @gloryavelin2583 5 лет назад +1

      Nilikuja mgeni na sasa nimeshazoea maisha ya uswahilini naitwa mama mangi jamani from Kilimanjaro

    • @faridamkesso97
      @faridamkesso97 5 лет назад +1

      @@gloryavelin2583 Mama Mangi nikija mjini kushangaa nitakutafuta maana mie pia ni wa Arusha , ila kwa sasa niko Brussels Belgium

  • @sarafinalaxford7509
    @sarafinalaxford7509 3 года назад

    Hakika Moto wa mungu utaanzia dar🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻

  • @latypherngombo1022
    @latypherngombo1022 5 лет назад +122

    Mawifi wameumbuka ni wivu tu unawasumbua 🤣🤣🤣🤣 walijua mwenzao hatopata watu, hatopata vitu sherehe haitofana kumpiga chura teke ni sawa na kumuongezea mwendo usikute mwenzao alijiandikia tu wao wakajishtukia mazero brain 😂😂

    • @leilatmfaume6163
      @leilatmfaume6163 5 лет назад +3

      Mawifi km hawa wakija kwangu nawapikia chakula na pilipili tele

    • @venosaphamphili5898
      @venosaphamphili5898 5 лет назад +1

      Tabia mbaya watu wazima hata haya hamna

    • @ezeredamwenda7254
      @ezeredamwenda7254 5 лет назад

      wanaongea hao

    • @vennymaxmillian9505
      @vennymaxmillian9505 5 лет назад

      Hawa mawifi nyumbu wa manyala , wanautindio wa ubongo,wanawaz kupga felf tu

    • @HlwomanOman
      @HlwomanOman 5 лет назад

      AlAfu bora awakwenda wange aribu shuguli kulikua na watu na heshima zao

  • @elewatz804k4
    @elewatz804k4 5 лет назад

    No 1 on trending

  • @nusaibahassan5842
    @nusaibahassan5842 5 лет назад +3

    Dunia Simama Nishuke 😭😭AstghafiruALlah Wanawake Twaelekea Wapi Jamani

  • @mariamsaidi7625
    @mariamsaidi7625 5 лет назад

    Inalilah waina ilah rajiuun muogopeni mungu Dada zangu kuna kifo baada ya maisha ayooooooo

  • @umiy1971
    @umiy1971 5 лет назад +8

    Ama kweli akili ni mali loh! Halafu hapa kinachokwenda Choyo tu, alijuaje kama hizo status anaandikiwa yeye. ULEVI SI JUICI hahahha

    • @salmashaban2062
      @salmashaban2062 5 лет назад

      umiy1971 acheni ushamba huoooo

    • @umiy1971
      @umiy1971 5 лет назад

      hahahahhahahahahah..... kutokujitambua ni matatizo makubwa kwa jamii........

  • @msetyntorah804
    @msetyntorah804 5 лет назад +1

    Ddah yan ukiangalia matendo ya wanawake wa uswahilini unawezafikiri Wanawake wote hawana akili,, lakin wapo wanaojielewa. Ila kwa wanawake hawa dunia ijipange. 😂😂😂

  • @geonycoutinho2943
    @geonycoutinho2943 5 лет назад +4

    Ashura Maharage 😃😃😃 utapata tabu sana.

  • @saadsalum3253
    @saadsalum3253 4 года назад

    wazaramooo bwana wanashida sanaaaa mmehama k. koo mmehamia kigogo akili zimezidi kuwa mbaya

  • @juniorabdul2467
    @juniorabdul2467 5 лет назад +4

    Inasikitisha sana kuona ss tunaoangalia huu upuuzi ,mbaka ikifika 2090 tutakua tumeshakufa ,

  • @mamyomar1241
    @mamyomar1241 5 лет назад +1

    Vyote hivyo ni katika vitimbi vya wanawake. Tuliambia mapema tutakuwingi motoni, kwa ushauri wangu tubadilikeni jamaa. Tumche sana Allah.

  • @asmaafamau8307
    @asmaafamau8307 5 лет назад +7

    Inalillah waina ilaihi rajiun

  • @user-qs9rn2je4c
    @user-qs9rn2je4c 5 лет назад

    polen sana kwa laana mlonayo

  • @tibekabaka8127
    @tibekabaka8127 5 лет назад +5

    Nimecheka mie. Lkn Ashura km ulitoa matusi kwenye status hukufanya vzr acha ,huyo ni wifi yako huwezi jua ya mbele ni anaweza kukusaidia huyo unayemtusi kwa sasa.

  • @azizasikalwani8432
    @azizasikalwani8432 5 лет назад

    Duuuh kiboko da Geah Dar Shikamool