Maajabu haya ONLY IN TANZANIA 😂 😂 😂 😂 uuuwwiiii. Huyu wa kupoteza kushoto sijamuelewa kabisaaa maana sheria ya kibongo una overtake kulia namshukuru Mwenyezimungu kwa usalama Laa the sivo mpaka mwendesha baiskeli angeondoka duniani mwe!!
Tatizo matajiri wa mabasi hawachukui hatua pale wanapo ona upumbafu kama huu.haya magari yangetaifishwa tu yakabebe wafugwa ndiyo wamiliki watakuwa macho kufatilia madreva wao
Duuu kweli Mungu analinda watu wake... Eneo hili nalifananisha na Mafinga mkoani Iringa maeneo ya 77 kama unaelekea Changarawe.....sijui madereva wanawazaga nini eti..
Sasa walori angekomaa ingekuwa habari nyingine jamani mmebeba watu wanaroho nyie madereva wa mabasi alafu mseme mipango ya Mungu au shetani kumbe ni mipango yenu na ujuaji wenu Mungu atawalaani
Siku zote namini madereva wa mabasi na bodaboda bahadhi akili ipo miguuni siyo kichwani. Au akili azipo timamu. Siwezi sahau kidia basi ilipita lori kwanye mlima na mbele aoni .nashuruku MUNGU MKUU nilikua mwendo mdogo na eneo akuna bonde . barabarani ni shida tupu . MUNGU MKUU ATUSAIDIE SOTE. AMEN.
Ifikie wakati madereva wengine watafute kazi ya kufanya kama ndugu zao ni watoa roho yaani a k a Israel basi washughulikiwe udereva no wake you kwenye kilimo cha mama. Zipo hekari za kutosha.
Sawa hili ni kosa na hatari sana kwa watumiaji wa barabara, abiria na mali, watu hawa waliokuwa wakiendesha mabasi hayo, washughurikiwe ipasavyo. Lakini sasa serikali ione umhimu wa social media na vyanzo vya habari kuwa ni bora mtu anayetoa taarifa asichukuliwe kama mharifu. Serikali iruhusu hata polisi au mahakimu warekodiwe na kupigwa picha pale wanapokuwa wakizitumikia nafasi zao maana nao ni sehemu kubwa ya uonevu na udharirishaji.
Aisee,. Hao madereva na wadhibitiwe tu hakuna namna. Viongozi wetu pia muwe mnareact +vely hivi hivi inapotokea raia mwema ametoa taarifa muhimu kama hii na si kuichukulia tofaut kama ilivyokua kwa yule kijana wa Udsm.
Rahisi Saaana kwa uzembe kama huo wafungiwe wasiendeshe magari au Chombo chochote kwa Mwaka mzima na faini juu, na police wawe na vifaa vyenye kumbukumbu ya namba Za magari na leseni zote, kama ikitokea Gari au leseni ya mtu Ina shida iwaonyeshe kwenye Tablet zao , na isiishie kwa traffic tu hata police wawe wanatembea na Tablet ambazo zina mfumo wa nida, mtu akishikwa hata kama amepoteza kitambulisho akitaja jina lake na tarehe ya kuzaliwa wanajua wanaanzia wap, na mtu akifanya makosa kuwe na sehemu ya kuweka comments, Ina maana wakiingiza jina tu wanaona madudu yako yote, utarahisisha hata kwenye police clearance certificate kutakuwa hakuna ubabaishaji
Kitu kingine inatakiwa tujiulize huyo alie tuma hiyo crip anajua sheria za usalama barabarani? Hafu hapo alie ovarte kushoto alikuwa sahihi kuliko wa kulia lorry lilikuwa katikati climbing lane iko kushoto sio kulia ingawaje hakuna micholo
Sheria ya kuovertake ni muda wote kulia haijalishi climbing lane, matumizi ya climbing lane ni gari lenye speed ndogo ndio libane upande wa kushoto zaidi lkn sio kuovertake upande wa kushoto, Huyo wa aliyeovertake kulia ukiangalia kwa makini utagundua kuwa alibana kulia zaidi ingali kuna gari lingine linakuja mbele na kuna mchoro mstari wa moja kwa moja unaokataza kuovertake. NI KWAAJILI YA KUJIFUNZA TU
Watu wataropoka kwa hisia zao lakini ukweli madereva wote watatu wameonyeshana ishara ya usalama mbele ndio maana mwenye lori hakuonyesha upande wowote
Duuuuh..! Japo sio jambo. Zuri ila imenifanya nicheke..Sijui walifikiria Nini Hao Maderevaa.. Maaana ni Hatari Hiyoo...Tena Huyo Mtu wa Baiskeli Angegogwa buree.. Tena Huyo aliye ovetake Upande usio Sahihi sijui alifikiria Ninii Jamani.
African Happy Adventure minadhani mabasi si tatizo sana tatizo ni lory mwendo mdogo alafu likaacha kuingia kwenye mchepuko basi moja likapita kwenye mchepuko nalingine likaovateki tatizo la picha halionyeshi michoro ya chini ili tutoe hukumu ya haki
Elisha Francis..Na Hpo ndio shida..Tena Heri Huyo Mwingine Anaweza Akasema Aliona Kuna Usalama. aka ovetake.. Sasa Huyo aliye Pita Huo upande Ambao Sio wake Sijuii ni vipii..Hatari kweli kwelii.vingimevyo hiyo Bara Bara kama ni kubwa kiasi kwamba Sielewi inapitisha Basi Tatu au Mbili au ngapi sijui..
Wa kulia kosa lake ni hakuchukua tahadhari wakati anamuona mwenzake anaovertake kushoto ilitakiwa asubiri, na pia alianza kuovertake mapema ingali kunagari mbele linakuja na kunamstari wa moja kwa moja unaokataza overtake
Keep it up! madereva ongezeni mwendo tuwahi kufka
Hivyo hivyo bradhe😂... konki ni fire
Kuma wewe
Mnazingua cc madeleva wakizingua tunaua
kwa watanzania afadhali wanapo safirisha mayai wanakuwa makini kuliko binadamu
Kabisa jamani
Dereva wa newforce yupo sawa
Kazi iendelee au sio
MBaya sana hii
Daaaaaaah Hatariiiii
aiseee hao madelevaa walipatiaa wap lesen zai
Tanzanians mnaujinga for arresting new force driver.. alieovertake Lorry upande wa kushoto ndiye mwenye makosa... Kenya 🇰🇪 rahaa
Sas dereva wa new force Ana kosa gani hapo
Hakiya mungu sikutegemea kumbe naww. Hukua nae.Kweri shuklaniyapunda mateke.
Ila dereva wa lorry ndie mwenye makosa ,iweje aendeshe katikati ya barabara ?angeendesha kwenye site yake ,kusingekuwa na nafasi ya kupita .
Huyo mwenye kabaisikeli daah namshukuru Mungu sababu alikua hana hata habarii
rostam
Wew saada unajua kuendesha gari kwl apa ni hishala zipi zimetumika acha maneno ya hivo ni makosa makubwa kiukwl
Maajabu haya ONLY IN TANZANIA 😂 😂 😂 😂 uuuwwiiii. Huyu wa kupoteza kushoto sijamuelewa kabisaaa maana sheria ya kibongo una overtake kulia namshukuru Mwenyezimungu kwa usalama Laa the sivo mpaka mwendesha baiskeli angeondoka duniani mwe!!
Kweli kabisa
Kweli kabisa safi sana
Bwana miradi upo
Mung ni mwem na nashukur maan mung ni mwem alisaidia hakun ajal
hawajali kabisa, na hapo ukimuuliza atakujibu vibaya tu, na abiria wengine watamtetea
Ingetokea ajali ungesikia lori lasababisha ajali
Tatizo matajiri wa mabasi hawachukui hatua pale wanapo ona upumbafu kama huu.haya magari yangetaifishwa tu yakabebe wafugwa ndiyo wamiliki watakuwa macho kufatilia madreva wao
Kumbe maderreva wa mabasi tumieni akili acheni ujinga kuatalisha maisha ya watu
barabara ililusu acheni woga mnafikili madereva hawapndi kuishi
I love swaili
Kama hao new force hata hawafai wanajiskia Sana wanaona wote walio wabeba vilaza hasa kondacta Wa dar tunduma new force da ni msalaba yaani
Duuu kweli Mungu analinda watu wake... Eneo hili nalifananisha na Mafinga mkoani Iringa maeneo ya 77 kama unaelekea Changarawe.....sijui madereva wanawazaga nini eti..
Duuuuj
Mimi nasafili mwez watano nawapa tahadhali madeleva olewenu muendeshe magar tofaut bs siku hiyo familia zenu zitawakuta selo.hasa mbeya ......
😂😂😂
Dereva anae endesha basi ya new force yupo sahii hata dereva wa roli pia yupo sahii acheni usenge
Wafungiwe leseni haoo
Uyo wa baiskeli
Daaah
Ukifuata sheria alie overtake upande wa kushoto ndo achukuliwe hatua
Kabisaaa
Unajua sana maan wa kulia yuko sahii
Sasa walori angekomaa ingekuwa habari nyingine jamani mmebeba watu wanaroho nyie madereva wa mabasi alafu mseme mipango ya Mungu au shetani kumbe ni mipango yenu na ujuaji wenu Mungu atawalaani
Harafu haya maeneo mbona kama ni mafinga kuelekea changarawe
Hawajui umuhim wa kaz zao ivyo nibola wakaae ndani wajitambue
Ona basi la kulia kidogo lipitiwe sasa magari ya kushoto siwangepinduka jamani watusheni tu
Tabia kama hizi hazitakiwi kufumbiwa macho,wanakuwa na haraka kama dereva bodaboda!! Adhabu tu hao
Kwani abiria wenyewe wanasemaje.....
Alie overtake kushoto ndo mwenywe makosa
wow
kweli MUNGU nimwema naashukuriwe sana
Hayo mabas yote ni new force
Haaaa haaaa Newforce mbishiiiii haa atar fire
Uwe unatowa hata kalipio uko kimya sana
Wang
Siku zote namini madereva wa mabasi na bodaboda bahadhi akili ipo miguuni siyo kichwani. Au akili azipo timamu. Siwezi sahau kidia basi ilipita lori kwanye mlima na mbele aoni .nashuruku MUNGU MKUU nilikua mwendo mdogo na eneo akuna bonde . barabarani ni shida tupu . MUNGU MKUU ATUSAIDIE SOTE. AMEN.
Sasa una overtake kushoto jamaniiiiiiii, baadae tuseme wa malori wakorofi kha!
Kaka hao jamaa wa mabasi wamekufaga uku wanaendesha izo basi
Hawa wanatakiwa wakamatwe na wafungwe
Pia serikali mmefanya garama nyingi kwa ujenzi wa Barabara jitahidi kuchapa ma line chini maana hata one way Ina mistari iwe je iyo?
Dahh ashukuriwe mungu Kwel coz sijui nini kingefuata
Mwenye roli ndie aliye na kosa yy alitakiwa kubana upande mmoja anakaaje kati aliyakuwa anajua kipi kinafuata?
Ifikie wakati madereva wengine watafute kazi ya kufanya kama ndugu zao ni watoa roho yaani a k a Israel basi washughulikiwe udereva no wake you kwenye kilimo cha mama. Zipo hekari za kutosha.
Mkojan
Vizuli
Na abiria wametulia tu ndani!!!
Wafanyaje sasa sheikh wao labda wapge kelele tu ila mwsho wa cku dereva ndo anaamua
Maeneo ya mafinga, wilaya mufindi, Iringa
Wapumbavu hao madereva
asante waziriii mana hao madereva wanaleta mchezo na roho za watu laaa civyo tungeckia mengine leo
I know Im pretty off topic but do anybody know a good site to stream new tv shows online ?
@Cesar Braylon Lately I have been using flixzone. Just search on google for it =)
@Kylo Curtis yea, I've been using flixzone for since march myself :)
@Kylo Curtis Thanks, signed up and it seems like they got a lot of movies there :) I really appreciate it!
@Cesar Braylon No problem xD
Hizi kampuni za mabasi na wafnyakazi wao hkili zao sio powa
Sawa hili ni kosa na hatari sana kwa watumiaji wa barabara, abiria na mali, watu hawa waliokuwa wakiendesha mabasi hayo, washughurikiwe ipasavyo.
Lakini sasa serikali ione umhimu wa social media na vyanzo vya habari kuwa ni bora mtu anayetoa taarifa asichukuliwe kama mharifu. Serikali iruhusu hata polisi au mahakimu warekodiwe na kupigwa picha pale wanapokuwa wakizitumikia nafasi zao maana nao ni sehemu kubwa ya uonevu na udharirishaji.
Kweli kabisa
Hawa madereva hawafai
Katitu
Sasa hapo kunakosa gani wakati mbele kulikua hakuna gari inayokuja izo ajali hata gari ikitembea taratibu zinatokea2
Thank you *Jannet* kwa good news
Dereva alieovertake kulia hana kosa kisheria,,sheria ya tz inaruhusu kuovertake kulia na si kushoto.
Pumbavu wapate kc za mauaji
Eeeeh
Aliepita upande wakushoto ndio anamakosa zaidi mana mtu hapitwi kwa upande wakushoto
kweli hapa kazitu,.
The bus on the left was obviously on the wrong.. Very reckless indeed
Tena hayo mabasi ya nyanda za juu kusini wanakimbia kweli🙌🙌
Heeee tena wenzio wanaita Ligi. Kwahiyo Ligi zao za nani kawahi kufika au nani kachelewa. Wanazifanyia kwenye maisha na roho za Watu
😭😭
One is right. 😀😀😀
But new force haina shida yeyote ilim overtake vizuri hile ingine ndiyo imekata kufuata sheria
Gallaxy nae Ni balaa
hataree
Eti wamekwenda shule hao mimi naona NIT wengi waenda cheza funga kabisa hao
Aisee,. Hao madereva na wadhibitiwe tu hakuna namna. Viongozi wetu pia muwe mnareact +vely hivi hivi inapotokea raia mwema ametoa taarifa muhimu kama hii na si kuichukulia tofaut kama ilivyokua kwa yule kijana wa Udsm.
Hao wachukuliwe hatua kali
aisee ii ni hatari
Wazibitiwe kuendesha
Hatarisana
Saaaana tena ni hatari kubwa kweli
Miladi nawewe umeanza kua mmbea mmbea komaaaaa
Hahahaha hao wachukuliwe hatua, mabangi hao
Rahisi Saaana kwa uzembe kama huo wafungiwe wasiendeshe magari au Chombo chochote kwa Mwaka mzima na faini juu, na police wawe na vifaa vyenye kumbukumbu ya namba Za magari na leseni zote, kama ikitokea Gari au leseni ya mtu Ina shida iwaonyeshe kwenye Tablet zao , na isiishie kwa traffic tu hata police wawe wanatembea na Tablet ambazo zina mfumo wa nida, mtu akishikwa hata kama amepoteza kitambulisho akitaja jina lake na tarehe ya kuzaliwa wanajua wanaanzia wap, na mtu akifanya makosa kuwe na sehemu ya kuweka comments, Ina maana wakiingiza jina tu wanaona madudu yako yote, utarahisisha hata kwenye police clearance certificate kutakuwa hakuna ubabaishaji
Viongozi sikuhizi
Rool lory
Kitu kingine inatakiwa tujiulize huyo alie tuma hiyo crip anajua sheria za usalama barabarani? Hafu hapo alie ovarte kushoto alikuwa sahihi kuliko wa kulia lorry lilikuwa katikati climbing lane iko kushoto sio kulia ingawaje hakuna micholo
Sheria ya kuovertake ni muda wote kulia haijalishi climbing lane, matumizi ya climbing lane ni gari lenye speed ndogo ndio libane upande wa kushoto zaidi lkn sio kuovertake upande wa kushoto,
Huyo wa aliyeovertake kulia ukiangalia kwa makini utagundua kuwa alibana kulia zaidi ingali kuna gari lingine linakuja mbele na kuna mchoro mstari wa moja kwa moja unaokataza kuovertake. NI KWAAJILI YA KUJIFUNZA TU
1:22 kuna "roli" kubwa. lol sijui ni kiswahili au ndio lugha ya waengereza! sipati jibu. by the way thanks for the video 👍🏿🤣
Hahaha roli
Roli bigi😂😂😂😂
Wakuchukuliwa Atua Mmoja Tu Apo
asilimia kubwa madereva wa tanzania ni takataka
😂😂😂😂 hawanaga Akiri kabisa
Watu wataropoka kwa hisia zao lakini ukweli madereva wote watatu wameonyeshana ishara ya usalama mbele ndio maana mwenye lori hakuonyesha upande wowote
Saad Mgendi unavuta bangi
Hata mm kwa upeo wangu nimeona hvyo
Duuuuh..! Japo sio jambo. Zuri ila imenifanya nicheke..Sijui walifikiria Nini Hao Maderevaa.. Maaana ni Hatari Hiyoo...Tena Huyo Mtu wa Baiskeli Angegogwa buree.. Tena Huyo aliye ovetake Upande usio Sahihi sijui alifikiria Ninii Jamani.
African Happy Adventure minadhani mabasi si tatizo sana tatizo ni lory mwendo mdogo alafu likaacha kuingia kwenye mchepuko basi moja likapita kwenye mchepuko nalingine likaovateki tatizo la picha halionyeshi michoro ya chini ili tutoe hukumu ya haki
Elisha Francis..Na Hpo ndio shida..Tena Heri Huyo Mwingine Anaweza Akasema Aliona Kuna Usalama. aka ovetake.. Sasa Huyo aliye Pita Huo upande Ambao Sio wake Sijuii ni vipii..Hatari kweli kwelii.vingimevyo hiyo Bara Bara kama ni kubwa kiasi kwamba Sielewi inapitisha Basi Tatu au Mbili au ngapi sijui..
Naomba msaada huyo dereva aliyeovertake kulia kosa lake ni lipi ??
Kwa upeo wangu dereva wa kushoto ndo mwenye makosa
Yaap
Sisi huyo aliyeovertake kulia anakosa gani?
Huyo aliyeovertake kushoto ndio atuambie aliposemea udereva!
Mkwawa Aziz-nakuelewa wa kulia hana kosa tatizo ni kushoto
Wa kulia kosa lake ni hakuchukua tahadhari wakati anamuona mwenzake anaovertake kushoto ilitakiwa asubiri, na pia alianza kuovertake mapema ingali kunagari mbele linakuja na kunamstari wa moja kwa moja unaokataza overtake
Wapuuzi sana hawa Madereva wanaona kama wamebeba Magunia ya Mahindi
Awo wachukuliwe atua kali mana wamebeba loho za watu
Na abiria pia tuna jukumu la kuwadhibiti hawa madereva, na leseni zao zifutwe kabisa
Naam
Kama alitoa taarifa hii c mwandishi wa habari anachukuliwa hatua gani kisheria
Hao watolewe mfano kabisa wa fungwe maisha
Lakini mbona lori lilikua katikati ya barabara
vyombo hivi vinasaidia sana,asanteni kwa habari
Mm hapo naona hapo mwenye kosa ni huyo aliye ovateki kushoto yaan kisheria kakosea pakubwa sana