Asante Mungu haikutokea ajali.... Madereva wote wawili wanashughulikiwa

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 236

  • @josephsaula7536
    @josephsaula7536 6 лет назад +7

    Keep it up! madereva ongezeni mwendo tuwahi kufka

  • @bennizaramo3332
    @bennizaramo3332 3 года назад

    Mnazingua cc madeleva wakizingua tunaua

  • @yahayaommar123
    @yahayaommar123 5 лет назад +6

    kwa watanzania afadhali wanapo safirisha mayai wanakuwa makini kuliko binadamu

  • @nikky4757
    @nikky4757 2 года назад

    Dereva wa newforce yupo sawa

  • @hamidially9820
    @hamidially9820 3 года назад

    Kazi iendelee au sio

  • @erickpeter3617
    @erickpeter3617 2 года назад

    MBaya sana hii

  • @patrobamalema8631
    @patrobamalema8631 2 года назад

    Daaaaaaah Hatariiiii

  • @elia5173
    @elia5173 2 года назад

    aiseee hao madelevaa walipatiaa wap lesen zai

  • @qrugerxaidy
    @qrugerxaidy 3 года назад +2

    Tanzanians mnaujinga for arresting new force driver.. alieovertake Lorry upande wa kushoto ndiye mwenye makosa... Kenya 🇰🇪 rahaa

  • @francolazaro8646
    @francolazaro8646 3 года назад

    Sas dereva wa new force Ana kosa gani hapo

  • @nyangasas.jdarmungutusaidi8126
    @nyangasas.jdarmungutusaidi8126 2 года назад

    Hakiya mungu sikutegemea kumbe naww. Hukua nae.Kweri shuklaniyapunda mateke.

  • @mariamfritsi4943
    @mariamfritsi4943 Год назад +1

    Ila dereva wa lorry ndie mwenye makosa ,iweje aendeshe katikati ya barabara ?angeendesha kwenye site yake ,kusingekuwa na nafasi ya kupita .

  • @josephmrutu6987
    @josephmrutu6987 6 лет назад +1

    Huyo mwenye kabaisikeli daah namshukuru Mungu sababu alikua hana hata habarii

  • @jadhirybenneth3138
    @jadhirybenneth3138 Год назад

    Wew saada unajua kuendesha gari kwl apa ni hishala zipi zimetumika acha maneno ya hivo ni makosa makubwa kiukwl

  • @kibongobongo4608
    @kibongobongo4608 6 лет назад +4

    Maajabu haya ONLY IN TANZANIA 😂 😂 😂 😂 uuuwwiiii. Huyu wa kupoteza kushoto sijamuelewa kabisaaa maana sheria ya kibongo una overtake kulia namshukuru Mwenyezimungu kwa usalama Laa the sivo mpaka mwendesha baiskeli angeondoka duniani mwe!!

  • @mashakaathumani4502
    @mashakaathumani4502 2 года назад

    Kweli kabisa

  • @f.a6043
    @f.a6043 3 года назад

    Kweli kabisa safi sana

  • @salumyusuph6612
    @salumyusuph6612 2 года назад

    Bwana miradi upo

  • @johlekule7964
    @johlekule7964 4 года назад

    Mung ni mwem na nashukur maan mung ni mwem alisaidia hakun ajal

  • @diffrentperspective-z7t
    @diffrentperspective-z7t 5 лет назад +2

    hawajali kabisa, na hapo ukimuuliza atakujibu vibaya tu, na abiria wengine watamtetea

  • @trickyjosia4326
    @trickyjosia4326 3 года назад

    Ingetokea ajali ungesikia lori lasababisha ajali

  • @sangomakiatu395
    @sangomakiatu395 2 года назад

    Tatizo matajiri wa mabasi hawachukui hatua pale wanapo ona upumbafu kama huu.haya magari yangetaifishwa tu yakabebe wafugwa ndiyo wamiliki watakuwa macho kufatilia madreva wao

  • @venitarugemalila9290
    @venitarugemalila9290 Год назад

    Kumbe maderreva wa mabasi tumieni akili acheni ujinga kuatalisha maisha ya watu

  • @davidsonstevenson2653
    @davidsonstevenson2653 3 года назад

    barabara ililusu acheni woga mnafikili madereva hawapndi kuishi

  • @bupemumba5682
    @bupemumba5682 2 года назад

    I love swaili

  • @farajagordon4724
    @farajagordon4724 4 года назад +1

    Kama hao new force hata hawafai wanajiskia Sana wanaona wote walio wabeba vilaza hasa kondacta Wa dar tunduma new force da ni msalaba yaani

  • @manasemlimbila9906
    @manasemlimbila9906 6 лет назад +3

    Duuu kweli Mungu analinda watu wake... Eneo hili nalifananisha na Mafinga mkoani Iringa maeneo ya 77 kama unaelekea Changarawe.....sijui madereva wanawazaga nini eti..

  • @nassirsamir3355
    @nassirsamir3355 6 лет назад

    Mimi nasafili mwez watano nawapa tahadhali madeleva olewenu muendeshe magar tofaut bs siku hiyo familia zenu zitawakuta selo.hasa mbeya ......

  • @degemaster9653
    @degemaster9653 4 года назад

    Dereva anae endesha basi ya new force yupo sahii hata dereva wa roli pia yupo sahii acheni usenge

  • @eshemalik2381
    @eshemalik2381 Год назад

    Wafungiwe leseni haoo

  • @floratairo920
    @floratairo920 2 года назад

    Uyo wa baiskeli

  • @hagaigospelband_tz4735
    @hagaigospelband_tz4735 2 года назад

    Daaah

  • @ndullupetro1161
    @ndullupetro1161 5 лет назад +8

    Ukifuata sheria alie overtake upande wa kushoto ndo achukuliwe hatua

  • @venitarugemalila9290
    @venitarugemalila9290 Год назад

    Sasa walori angekomaa ingekuwa habari nyingine jamani mmebeba watu wanaroho nyie madereva wa mabasi alafu mseme mipango ya Mungu au shetani kumbe ni mipango yenu na ujuaji wenu Mungu atawalaani

  • @mussamkalawa2101
    @mussamkalawa2101 2 года назад

    Harafu haya maeneo mbona kama ni mafinga kuelekea changarawe

  • @saidathman87
    @saidathman87 3 года назад

    Hawajui umuhim wa kaz zao ivyo nibola wakaae ndani wajitambue

  • @venitarugemalila9290
    @venitarugemalila9290 Год назад

    Ona basi la kulia kidogo lipitiwe sasa magari ya kushoto siwangepinduka jamani watusheni tu

  • @jackobsmnyaki271
    @jackobsmnyaki271 4 года назад

    Tabia kama hizi hazitakiwi kufumbiwa macho,wanakuwa na haraka kama dereva bodaboda!! Adhabu tu hao

  • @vincentmushi1247
    @vincentmushi1247 3 года назад

    Kwani abiria wenyewe wanasemaje.....

  • @abelyengo574
    @abelyengo574 3 года назад

    Alie overtake kushoto ndo mwenywe makosa

  • @xxxtrizoh9588
    @xxxtrizoh9588 2 года назад

    wow

  • @hillarydaudi5463
    @hillarydaudi5463 6 лет назад +2

    kweli MUNGU nimwema naashukuriwe sana

  • @shuubenpeter4769
    @shuubenpeter4769 4 года назад

    Hayo mabas yote ni new force

  • @samwelkimalo2421
    @samwelkimalo2421 5 лет назад +4

    Haaaa haaaa Newforce mbishiiiii haa atar fire

  • @pillyladislaus8657
    @pillyladislaus8657 2 года назад

    Uwe unatowa hata kalipio uko kimya sana

  • @ezekielyjuma3988
    @ezekielyjuma3988 2 года назад +1

    Wang

  • @uwezowamunguutendaokazi3043
    @uwezowamunguutendaokazi3043 4 года назад

    Siku zote namini madereva wa mabasi na bodaboda bahadhi akili ipo miguuni siyo kichwani. Au akili azipo timamu. Siwezi sahau kidia basi ilipita lori kwanye mlima na mbele aoni .nashuruku MUNGU MKUU nilikua mwendo mdogo na eneo akuna bonde . barabarani ni shida tupu . MUNGU MKUU ATUSAIDIE SOTE. AMEN.

  • @venitarugemalila9290
    @venitarugemalila9290 Год назад

    Sasa una overtake kushoto jamaniiiiiiii, baadae tuseme wa malori wakorofi kha!

  • @neemachanna2212
    @neemachanna2212 2 года назад

    Kaka hao jamaa wa mabasi wamekufaga uku wanaendesha izo basi

  • @badrumbarouk3377
    @badrumbarouk3377 2 года назад

    Hawa wanatakiwa wakamatwe na wafungwe

  • @ramadhanihasani3625
    @ramadhanihasani3625 2 года назад

    Pia serikali mmefanya garama nyingi kwa ujenzi wa Barabara jitahidi kuchapa ma line chini maana hata one way Ina mistari iwe je iyo?

  • @prinsecdayana2143
    @prinsecdayana2143 6 лет назад +2

    Dahh ashukuriwe mungu Kwel coz sijui nini kingefuata

  • @abdullahsalum149
    @abdullahsalum149 4 года назад

    Mwenye roli ndie aliye na kosa yy alitakiwa kubana upande mmoja anakaaje kati aliyakuwa anajua kipi kinafuata?

  • @jackobmapunda7582
    @jackobmapunda7582 Год назад

    Ifikie wakati madereva wengine watafute kazi ya kufanya kama ndugu zao ni watoa roho yaani a k a Israel basi washughulikiwe udereva no wake you kwenye kilimo cha mama. Zipo hekari za kutosha.

  • @muniraallysalim702
    @muniraallysalim702 2 года назад

    Mkojan

  • @jamesmtewa1236
    @jamesmtewa1236 2 года назад

    Vizuli

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 4 года назад +1

    Na abiria wametulia tu ndani!!!

    • @dickensdickala6601
      @dickensdickala6601 3 года назад

      Wafanyaje sasa sheikh wao labda wapge kelele tu ila mwsho wa cku dereva ndo anaamua

  • @chrisnditi1805
    @chrisnditi1805 6 лет назад +9

    Maeneo ya mafinga, wilaya mufindi, Iringa

  • @rithamalyagili3130
    @rithamalyagili3130 4 года назад

    Wapumbavu hao madereva

  • @deetalantino3646
    @deetalantino3646 6 лет назад +3

    asante waziriii mana hao madereva wanaleta mchezo na roho za watu laaa civyo tungeckia mengine leo

    • @cesarbraylon6708
      @cesarbraylon6708 3 года назад

      I know Im pretty off topic but do anybody know a good site to stream new tv shows online ?

    • @kylocurtis8170
      @kylocurtis8170 3 года назад

      @Cesar Braylon Lately I have been using flixzone. Just search on google for it =)

    • @ariesneil693
      @ariesneil693 3 года назад

      @Kylo Curtis yea, I've been using flixzone for since march myself :)

    • @cesarbraylon6708
      @cesarbraylon6708 3 года назад

      @Kylo Curtis Thanks, signed up and it seems like they got a lot of movies there :) I really appreciate it!

    • @kylocurtis8170
      @kylocurtis8170 3 года назад

      @Cesar Braylon No problem xD

  • @kisoukejothame210
    @kisoukejothame210 3 года назад

    Hizi kampuni za mabasi na wafnyakazi wao hkili zao sio powa

  • @benoseaone
    @benoseaone 6 лет назад +5

    Sawa hili ni kosa na hatari sana kwa watumiaji wa barabara, abiria na mali, watu hawa waliokuwa wakiendesha mabasi hayo, washughurikiwe ipasavyo.
    Lakini sasa serikali ione umhimu wa social media na vyanzo vya habari kuwa ni bora mtu anayetoa taarifa asichukuliwe kama mharifu. Serikali iruhusu hata polisi au mahakimu warekodiwe na kupigwa picha pale wanapokuwa wakizitumikia nafasi zao maana nao ni sehemu kubwa ya uonevu na udharirishaji.

  • @salummohd5418
    @salummohd5418 2 года назад

    Sasa hapo kunakosa gani wakati mbele kulikua hakuna gari inayokuja izo ajali hata gari ikitembea taratibu zinatokea2

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan1365 6 лет назад +5

    Thank you *Jannet* kwa good news

  • @saidsuleiman7565
    @saidsuleiman7565 5 лет назад

    Dereva alieovertake kulia hana kosa kisheria,,sheria ya tz inaruhusu kuovertake kulia na si kushoto.

  • @idyjumanne9796
    @idyjumanne9796 3 года назад

    Pumbavu wapate kc za mauaji

  • @petermichael1076
    @petermichael1076 2 года назад

    Eeeeh

  • @howardally8330
    @howardally8330 6 лет назад +1

    Aliepita upande wakushoto ndio anamakosa zaidi mana mtu hapitwi kwa upande wakushoto

  • @djnelly8963
    @djnelly8963 6 лет назад +1

    kweli hapa kazitu,.

  • @alexnjagi6468
    @alexnjagi6468 4 года назад

    The bus on the left was obviously on the wrong.. Very reckless indeed

  • @abelmusyani4583
    @abelmusyani4583 5 лет назад

    Tena hayo mabasi ya nyanda za juu kusini wanakimbia kweli🙌🙌

    • @evacharles9448
      @evacharles9448 4 года назад

      Heeee tena wenzio wanaita Ligi. Kwahiyo Ligi zao za nani kawahi kufika au nani kachelewa. Wanazifanyia kwenye maisha na roho za Watu

    • @abelmusyani4583
      @abelmusyani4583 4 года назад

      😭😭

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 3 года назад

    One is right. 😀😀😀

  • @mufasa6243
    @mufasa6243 4 года назад

    But new force haina shida yeyote ilim overtake vizuri hile ingine ndiyo imekata kufuata sheria

  • @salmatarimo8066
    @salmatarimo8066 4 года назад

    Gallaxy nae Ni balaa

  • @jordanpeter5552
    @jordanpeter5552 4 года назад +1

    hataree

  • @zaytunkijazi6560
    @zaytunkijazi6560 4 года назад

    Eti wamekwenda shule hao mimi naona NIT wengi waenda cheza funga kabisa hao

  • @amandusmark3060
    @amandusmark3060 6 лет назад

    Aisee,. Hao madereva na wadhibitiwe tu hakuna namna. Viongozi wetu pia muwe mnareact +vely hivi hivi inapotokea raia mwema ametoa taarifa muhimu kama hii na si kuichukulia tofaut kama ilivyokua kwa yule kijana wa Udsm.

  • @jaxontv7854
    @jaxontv7854 4 года назад

    Hao wachukuliwe hatua kali

  • @mattshirima4292
    @mattshirima4292 4 года назад

    aisee ii ni hatari

  • @zephaniaelishatumushukulum7140
    @zephaniaelishatumushukulum7140 3 года назад

    Wazibitiwe kuendesha

  • @huseniomari647
    @huseniomari647 5 лет назад

    Hatarisana

  • @emmanuel_mihambo3
    @emmanuel_mihambo3 3 года назад

    Miladi nawewe umeanza kua mmbea mmbea komaaaaa

  • @piterlaiza5576
    @piterlaiza5576 4 года назад +3

    Hahahaha hao wachukuliwe hatua, mabangi hao

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 3 года назад

    Rahisi Saaana kwa uzembe kama huo wafungiwe wasiendeshe magari au Chombo chochote kwa Mwaka mzima na faini juu, na police wawe na vifaa vyenye kumbukumbu ya namba Za magari na leseni zote, kama ikitokea Gari au leseni ya mtu Ina shida iwaonyeshe kwenye Tablet zao , na isiishie kwa traffic tu hata police wawe wanatembea na Tablet ambazo zina mfumo wa nida, mtu akishikwa hata kama amepoteza kitambulisho akitaja jina lake na tarehe ya kuzaliwa wanajua wanaanzia wap, na mtu akifanya makosa kuwe na sehemu ya kuweka comments, Ina maana wakiingiza jina tu wanaona madudu yako yote, utarahisisha hata kwenye police clearance certificate kutakuwa hakuna ubabaishaji

  • @dawhiteschola8847
    @dawhiteschola8847 3 года назад

    Viongozi sikuhizi

  • @goodluckbarakc7603
    @goodluckbarakc7603 2 года назад

    Rool lory

  • @simonliduke8570
    @simonliduke8570 6 лет назад +2

    Kitu kingine inatakiwa tujiulize huyo alie tuma hiyo crip anajua sheria za usalama barabarani? Hafu hapo alie ovarte kushoto alikuwa sahihi kuliko wa kulia lorry lilikuwa katikati climbing lane iko kushoto sio kulia ingawaje hakuna micholo

    • @michaelmsanga8612
      @michaelmsanga8612 5 лет назад

      Sheria ya kuovertake ni muda wote kulia haijalishi climbing lane, matumizi ya climbing lane ni gari lenye speed ndogo ndio libane upande wa kushoto zaidi lkn sio kuovertake upande wa kushoto,
      Huyo wa aliyeovertake kulia ukiangalia kwa makini utagundua kuwa alibana kulia zaidi ingali kuna gari lingine linakuja mbele na kuna mchoro mstari wa moja kwa moja unaokataza kuovertake. NI KWAAJILI YA KUJIFUNZA TU

  • @bhardened1
    @bhardened1 4 года назад +3

    1:22 kuna "roli" kubwa. lol sijui ni kiswahili au ndio lugha ya waengereza! sipati jibu. by the way thanks for the video 👍🏿🤣

  • @awadhirajabu7754
    @awadhirajabu7754 5 лет назад

    Wakuchukuliwa Atua Mmoja Tu Apo

  • @diffrentperspective-z7t
    @diffrentperspective-z7t 5 лет назад

    asilimia kubwa madereva wa tanzania ni takataka

    • @evacharles9448
      @evacharles9448 4 года назад

      😂😂😂😂 hawanaga Akiri kabisa

  • @saadmgendi8537
    @saadmgendi8537 6 лет назад +3

    Watu wataropoka kwa hisia zao lakini ukweli madereva wote watatu wameonyeshana ishara ya usalama mbele ndio maana mwenye lori hakuonyesha upande wowote

  • @africanhappyadventure6951
    @africanhappyadventure6951 6 лет назад +1

    Duuuuh..! Japo sio jambo. Zuri ila imenifanya nicheke..Sijui walifikiria Nini Hao Maderevaa.. Maaana ni Hatari Hiyoo...Tena Huyo Mtu wa Baiskeli Angegogwa buree.. Tena Huyo aliye ovetake Upande usio Sahihi sijui alifikiria Ninii Jamani.

    • @elishafrancis3895
      @elishafrancis3895 6 лет назад

      African Happy Adventure minadhani mabasi si tatizo sana tatizo ni lory mwendo mdogo alafu likaacha kuingia kwenye mchepuko basi moja likapita kwenye mchepuko nalingine likaovateki tatizo la picha halionyeshi michoro ya chini ili tutoe hukumu ya haki

    • @africanhappyadventure6951
      @africanhappyadventure6951 6 лет назад

      Elisha Francis..Na Hpo ndio shida..Tena Heri Huyo Mwingine Anaweza Akasema Aliona Kuna Usalama. aka ovetake.. Sasa Huyo aliye Pita Huo upande Ambao Sio wake Sijuii ni vipii..Hatari kweli kwelii.vingimevyo hiyo Bara Bara kama ni kubwa kiasi kwamba Sielewi inapitisha Basi Tatu au Mbili au ngapi sijui..

  • @yusuphmohammad1385
    @yusuphmohammad1385 6 лет назад +5

    Naomba msaada huyo dereva aliyeovertake kulia kosa lake ni lipi ??
    Kwa upeo wangu dereva wa kushoto ndo mwenye makosa

  • @mkwawaaziz6295
    @mkwawaaziz6295 5 лет назад +3

    Sisi huyo aliyeovertake kulia anakosa gani?
    Huyo aliyeovertake kushoto ndio atuambie aliposemea udereva!

    • @cotiramrushi8375
      @cotiramrushi8375 5 лет назад +1

      Mkwawa Aziz-nakuelewa wa kulia hana kosa tatizo ni kushoto

    • @michaelmsanga8612
      @michaelmsanga8612 5 лет назад

      Wa kulia kosa lake ni hakuchukua tahadhari wakati anamuona mwenzake anaovertake kushoto ilitakiwa asubiri, na pia alianza kuovertake mapema ingali kunagari mbele linakuja na kunamstari wa moja kwa moja unaokataza overtake

    • @evacharles9448
      @evacharles9448 4 года назад

      Wapuuzi sana hawa Madereva wanaona kama wamebeba Magunia ya Mahindi

    • @allyandrea9696
      @allyandrea9696 4 года назад

      Awo wachukuliwe atua kali mana wamebeba loho za watu

  • @tracyjustice1600
    @tracyjustice1600 6 лет назад +6

    Na abiria pia tuna jukumu la kuwadhibiti hawa madereva, na leseni zao zifutwe kabisa

  • @ericjonstz3120
    @ericjonstz3120 4 года назад

    Kama alitoa taarifa hii c mwandishi wa habari anachukuliwa hatua gani kisheria

  • @saiddimarley3352
    @saiddimarley3352 5 лет назад

    Hao watolewe mfano kabisa wa fungwe maisha

  • @marsherikk9265
    @marsherikk9265 4 года назад

    Lakini mbona lori lilikua katikati ya barabara

  • @juliuskitomari3057
    @juliuskitomari3057 6 лет назад +2

    vyombo hivi vinasaidia sana,asanteni kwa habari

  • @ezlonlony3588
    @ezlonlony3588 6 лет назад

    Mm hapo naona hapo mwenye kosa ni huyo aliye ovateki kushoto yaan kisheria kakosea pakubwa sana