Byabato azuru kwa mbunifu umeme wa Sumaku/atoa maelekezo kwa TANESCO
HTML-код
- Опубликовано: 19 сен 2024
- #NaibuWaziriNishati #UbunifuSumaku
Tunafahamu vipo vyanzo vingi vya kuzalisha umeme Duniani nchi ya Tanzania inazalisha umeme kwa kupitia Maji,Jua,Gesi,Upepo,Mafuta mazito na mepesi,mawimbi ya Bahari,
Wakati wataalam wanafanya utafiti wa Joto ardhi ili kuona kama je joto la ardhi litafaa kuzalisha umeme?
Jijini Dar es salaam katika eneo la Kawe Mzimuni mzee Rojas Msuya yeye ameonesha teknolojia mpya kabisa ya kuzalisha umeme kwa kutumia Sumaku kitu kilicho lishangaza zaidi Shirika la umeme Tanzania(Tanesco) na hivyo Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika hilo Dkt. Tito Mwinuka kufunga safari ili kujionea maajabu hayo.
Japo kweli ndg msuya Sio msomi, lkñ alichofanya ni zaidi ya wasomi
Hongera waziri nishati kwa maamuzi mazuri
Mungu akubariki Mbunifu Wetu Tanzania.
Kwa kweli huyo bwana ni mtaalam
Ukimsikiliza vzr
Utajua anaelewa anachoongea
Anastahili kuwezeshwa kwa faida ya taifa
Nimekukubali byabato hapo kwenye gharama. Pendeza Tanzania mpya, utendaji mpya.
The greatest scientist from TANZANIA asee lazma awekwe kwenye vtabu vya wazungu na wazungu wasome principles za mzee Msuya.....!!!
MashaAllah!!!
Angekua ulaya angekua mbali sana lakini apa bongo njaa Sana na wivu wanaona Kama wakimsaidia mzee atawazidi kwa kipato ndo tatizo la wabongo
Naibu uko vizuri sana
Mzee baba no yako basi nataka iyo nishat Na mim
umepata namba zake?
Naomba namba zake
Naomba namba yake please
mawasiliano ya mzee jamani malipo kwa atakae niunganisha nae
Mbn hamtoi namba yake?
Nathani wizara ya sayansi na teknolejia na veta wanausika. Kisha tanesco wanunue hio mitambo au umeme.
Namba za mtaalam mwenye nazo plz naztaka
Naomba namba ya mbunifu
Mzee Msuya umeukata
Nipeni nabma zake
Hongera Sana mzee msuya kwa kunyesha kwa vitendo hayo ni Mambo ya Ohms low
Tunaomba namba zake tunahitaji machine hiyo
Tunaomba namba za mzee huyu mbunif... Apatiwe hati miliki
2
Tunaomba mawasiliano yake tafadhali
Maneno meeeeeengi hakuna lililotendeka.
Hakika huyu mgunduzi apewe support na serikali. Waziri ameongea vya maana kabisa!
i realize it is kind of off topic but does anybody know of a good place to stream new tv shows online ?
@Dallas Mayson I watch on Flixzone. You can find it on google =)
@Leonidas Heath yup, I've been watching on flixzone for months myself :)
@Leonidas Heath thanks, signed up and it seems like they got a lot of movies there =) Appreciate it!
@Dallas Mayson happy to help =)
Vp
Anaejua anakopatikana uyu faza tafadhali anipeleke nitamlipa laki ya usumbufu
Mkuu twende nikupeleke kesho
Kawe
@@samsonkisigo6488 kawe kubwa.
Kawe sehemu gani?
Napataje number za uyo mzee
Ipp ila ni tapeli tu huyu mtu
@@apolloa3442 kwaio ilijambo ametudanganya?
@@Kombo2989 anachukua pesa za watu kisha hafanyi kitu, mnaanza kudaiana, uwe mvumilivu kudai na kama utarudishiwa. Cases zipo nyingi nazifahamu, hakuna aliyetengenezewa zaidi ya kutapeliwa.
Mwenye namba tunaomba jamni
@@apolloa3442 Duh...kwahyo ni mpigaji ?
Naomba number zake