Byabato azuru kwa mbunifu umeme wa Sumaku/atoa maelekezo kwa TANESCO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 сен 2024
  • #NaibuWaziriNishati #UbunifuSumaku
    Tunafahamu vipo vyanzo vingi vya kuzalisha umeme Duniani nchi ya Tanzania inazalisha umeme kwa kupitia Maji,Jua,Gesi,Upepo,Mafuta mazito na mepesi,mawimbi ya Bahari,
    Wakati wataalam wanafanya utafiti wa Joto ardhi ili kuona kama je joto la ardhi litafaa kuzalisha umeme?
    Jijini Dar es salaam katika eneo la Kawe Mzimuni mzee Rojas Msuya yeye ameonesha teknolojia mpya kabisa ya kuzalisha umeme kwa kutumia Sumaku kitu kilicho lishangaza zaidi Shirika la umeme Tanzania(Tanesco) na hivyo Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika hilo Dkt. Tito Mwinuka kufunga safari ili kujionea maajabu hayo.

Комментарии • 45

  • @user-rd8cg7su6v
    @user-rd8cg7su6v 9 месяцев назад +1

    Japo kweli ndg msuya Sio msomi, lkñ alichofanya ni zaidi ya wasomi

  • @gabrieldenicc4502
    @gabrieldenicc4502 3 года назад +1

    Hongera waziri nishati kwa maamuzi mazuri

  • @simonayo362
    @simonayo362 3 года назад

    Mungu akubariki Mbunifu Wetu Tanzania.

  • @user-rd8cg7su6v
    @user-rd8cg7su6v 7 месяцев назад

    Kwa kweli huyo bwana ni mtaalam
    Ukimsikiliza vzr
    Utajua anaelewa anachoongea
    Anastahili kuwezeshwa kwa faida ya taifa

  • @timothmatiku6115
    @timothmatiku6115 3 месяца назад

    Nimekukubali byabato hapo kwenye gharama. Pendeza Tanzania mpya, utendaji mpya.

  • @priscusjoseph7664
    @priscusjoseph7664 3 года назад +1

    The greatest scientist from TANZANIA asee lazma awekwe kwenye vtabu vya wazungu na wazungu wasome principles za mzee Msuya.....!!!

  • @abdallahsaid8157
    @abdallahsaid8157 3 года назад +1

    MashaAllah!!!

  • @ndaromachumu2558
    @ndaromachumu2558 3 года назад +1

    Angekua ulaya angekua mbali sana lakini apa bongo njaa Sana na wivu wanaona Kama wakimsaidia mzee atawazidi kwa kipato ndo tatizo la wabongo

  • @godfreymrosso2051
    @godfreymrosso2051 3 года назад

    Naibu uko vizuri sana

  • @rogggndos
    @rogggndos Год назад +1

    Mzee baba no yako basi nataka iyo nishat Na mim

  • @respikiusrevokatus2312
    @respikiusrevokatus2312 3 года назад +1

    Naomba namba zake

  • @user-rl6rd3yp2y
    @user-rl6rd3yp2y 2 месяца назад

    Naomba namba yake please

  • @fideliwilliam3925
    @fideliwilliam3925 2 года назад

    mawasiliano ya mzee jamani malipo kwa atakae niunganisha nae

  • @yuvencepatrice792
    @yuvencepatrice792 3 месяца назад

    Mbn hamtoi namba yake?

  • @msamgunda7684
    @msamgunda7684 3 года назад

    Nathani wizara ya sayansi na teknolejia na veta wanausika. Kisha tanesco wanunue hio mitambo au umeme.

  • @renatowebtech2090
    @renatowebtech2090 2 года назад

    Namba za mtaalam mwenye nazo plz naztaka

  • @maganjila
    @maganjila 3 года назад

    Naomba namba ya mbunifu

  • @mariuscyprian1235
    @mariuscyprian1235 3 года назад +1

    Mzee Msuya umeukata

  • @sebajseba719
    @sebajseba719 3 года назад +1

    Nipeni nabma zake

  • @wisdommrema8367
    @wisdommrema8367 3 года назад

    Hongera Sana mzee msuya kwa kunyesha kwa vitendo hayo ni Mambo ya Ohms low

    • @nehemiamhepe1892
      @nehemiamhepe1892 3 года назад

      Tunaomba namba zake tunahitaji machine hiyo

    • @franciskomatina9731
      @franciskomatina9731 3 года назад +1

      Tunaomba namba za mzee huyu mbunif... Apatiwe hati miliki

  • @jonathankazungu7397
    @jonathankazungu7397 3 года назад

    2

  • @Kombo2989
    @Kombo2989 3 года назад

    Tunaomba mawasiliano yake tafadhali

  • @machinefannatic99
    @machinefannatic99 3 года назад

    Maneno meeeeeengi hakuna lililotendeka.

  • @sometimes5621
    @sometimes5621 3 года назад +2

    Hakika huyu mgunduzi apewe support na serikali. Waziri ameongea vya maana kabisa!

    • @dallasmayson4342
      @dallasmayson4342 3 года назад

      i realize it is kind of off topic but does anybody know of a good place to stream new tv shows online ?

    • @leonidasheath438
      @leonidasheath438 3 года назад

      @Dallas Mayson I watch on Flixzone. You can find it on google =)

    • @darioreid244
      @darioreid244 3 года назад

      @Leonidas Heath yup, I've been watching on flixzone for months myself :)

    • @dallasmayson4342
      @dallasmayson4342 3 года назад

      @Leonidas Heath thanks, signed up and it seems like they got a lot of movies there =) Appreciate it!

    • @leonidasheath438
      @leonidasheath438 3 года назад

      @Dallas Mayson happy to help =)

  • @yusufwewe8600
    @yusufwewe8600 3 года назад

    Vp

  • @emanuelleopod3949
    @emanuelleopod3949 3 года назад

    Anaejua anakopatikana uyu faza tafadhali anipeleke nitamlipa laki ya usumbufu

  • @emilianimwaliga8474
    @emilianimwaliga8474 3 года назад

    Napataje number za uyo mzee

    • @apolloa3442
      @apolloa3442 3 года назад

      Ipp ila ni tapeli tu huyu mtu

    • @Kombo2989
      @Kombo2989 3 года назад

      @@apolloa3442 kwaio ilijambo ametudanganya?

    • @apolloa3442
      @apolloa3442 3 года назад

      @@Kombo2989 anachukua pesa za watu kisha hafanyi kitu, mnaanza kudaiana, uwe mvumilivu kudai na kama utarudishiwa. Cases zipo nyingi nazifahamu, hakuna aliyetengenezewa zaidi ya kutapeliwa.

    • @jacquelinematandiko6716
      @jacquelinematandiko6716 2 года назад

      Mwenye namba tunaomba jamni

    • @emilianimwaliga8474
      @emilianimwaliga8474 2 года назад

      @@apolloa3442 Duh...kwahyo ni mpigaji ?

  • @ndotosafariltdtz178
    @ndotosafariltdtz178 2 года назад

    Naomba number zake