DULLAYO akili POMBE ndio zimemfanya KUSHUKA kimuziki|Natamani KURUDI kwenye GAME tatizo MTAJI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 май 2022
  • East African number one RUclips channel for Gossips,Sports as well as Politics News owned By BONGO PLUS
    KANUNI NA MUONGOZO
    Tunaripoti Matukio ya watu mashuhuri katika nyanja ya burudani, Michezo Filamu na mitindo ya maisha kwa kuzingatia misingi ya uandishi wa habari hapa nchini. Kufuata misingi kwa kuripoti habari zenye uwiano na usawa ndani yake,kutokuingilia faragha ya mtu,Kujiepusha na mambo yote yanayoweza kuleta sinto fahamu katika jamii yanayoweza kusababisha uchochezi.
    NB:Tuna uhuru wa kufuta maoni yasiyokuwa na maadili au yenye matusi makali.
    WeAreEverywhere
    #diamondplatnumz #wasafi #ayotv
  • ВидеоклипыВидеоклипы

Комментарии • 34

  • @kijakazinyalinga7003
    @kijakazinyalinga7003 Год назад +4

    Dah maisha haya alikua kija mzuri😭😭😭

  • @wilsonpius8217
    @wilsonpius8217 Год назад +5

    Jamaa nikimuona hivi roho inaniuma sana sababu anajua mnoo

  • @benedictmhina8940
    @benedictmhina8940 2 года назад +5

    Jamaa anaependa Sana pombe angejua ndio inayomlostisha kimuziki angepiga chini mitungi

  • @FurahishaAbduli
    @FurahishaAbduli Месяц назад +1

    daaah dulayo d time namkubali sana

  • @Basagamp4
    @Basagamp4 Месяц назад +1

    Daah

  • @zainabmaulid9637
    @zainabmaulid9637 7 месяцев назад +2

    Ushazeeka rudi kwa .mungu wako bro ushauri wa bure mda ushakupita tubia Tena dunia mapito tu ila usipanik ushauri wa bure

  • @KassimSaid-ue2xk
    @KassimSaid-ue2xk 2 месяца назад +2

    unazingua dulayo em acha pombee kwanzaa ufanye kazi mana ww unapiga tungi san kumamaye daaah

  • @hafidhdrogba6154
    @hafidhdrogba6154 2 года назад +4

    Unambiwa kitu chochote ambacho mungu wako alie kuumba kakikataza.na mamako alie kuzaa humsaidii.unamaisha utabak kutangatangatu

  • @zeydkombo1776
    @zeydkombo1776 4 месяца назад +2

    Anavoongea anaongea kama mimi nikiwa na usingizi😂

  • @leonardbrown181
    @leonardbrown181 2 года назад +3

    Dah! Dulayo!

  • @priscamwakalindile6689
    @priscamwakalindile6689 Год назад +3

    Yan dulayo ndo Kawa iv😭😭😭😭

  • @user-sc3ds8qd3m
    @user-sc3ds8qd3m Месяц назад

    Daaah huyu jama ndio yupo ivi.

  • @happynelson1136
    @happynelson1136 2 года назад +7

    Jana nimekunywa chupa moja ya wine na bia nne leo nipo hoi kitandani dulllayo anakunywa pombe nyingi kuliko mimi na anasimama fresh mimi nikinywa pombe sitoki nje wala sikutani na mtu maana nikitoka nje nitapotea huko ninapotaka kwenda

  • @leiratykisura6718
    @leiratykisura6718 2 года назад +1

    Aisee nirikuwa nakupenda sana dulayo jmn vijana wenzangu msiwe ivyo mawazo yasiwapeleke kwenye pombe

  • @barakamallya6016
    @barakamallya6016 11 месяцев назад +1

    Duhhh😢😢😢😢

  • @user-wq5hz1vf4w
    @user-wq5hz1vf4w 3 месяца назад +2

    Maskin ya mungu yan pombe imemfany kawa kam mzee

  • @habibnjowele7751
    @habibnjowele7751 Год назад +2

    POMBE! INGAWA UKIWAONESHA WATU UPANDE WA PILI WA POMBE UTAYAOGA MANENO HADI BASI

  • @Pweza
    @Pweza 2 года назад +3

    Haha anawapenda bongo 5

  • @dominickjohn1128
    @dominickjohn1128 Год назад +2

    Kapauka kama ngozi ya pumbu

  • @odiliamathias5424
    @odiliamathias5424 2 года назад

    Ndio kachoka ivyo jamani duuu kweli Dunia mapito

  • @mussachessa6404
    @mussachessa6404 3 месяца назад +1

    Mshahara wa dhambi ni mauti ,

    • @noelbryson7840
      @noelbryson7840 3 месяца назад

      Hapo umemaanisha nini ndugu yangu?

  • @maximemasinga9504
    @maximemasinga9504 Год назад

    Daaaaaa jamn 🤗

  • @mussakiziyzi408
    @mussakiziyzi408 2 года назад +2

    Ahmada km ahmada

    • @lizzydiy4590
      @lizzydiy4590 2 года назад +1

      🤣🤣🤣 ahmada kwenye harakat zake

  • @hamivisinmwalimu5162
    @hamivisinmwalimu5162 Год назад

    Apunguze pombe

  • @thestonetown3302
    @thestonetown3302 2 года назад +4

    Mi nahisi mshkaji mda wake wa kutrend umefka sasa aache tu mitungi mshkaj ana tatizo kubwa inabidi aje tumuonbee ana nyota kali ila wasanii wachawi wamempoteza…

    • @robathcarlos8068
      @robathcarlos8068 2 года назад +2

      Hivi ni kweli ?

    • @thestonetown3302
      @thestonetown3302 2 года назад +1

      @@robathcarlos8068 hakuna utani apo kaka#uchawi upo tu amini usiamin ni kitu alichokiumba Mwnyezi Mungu tangu enzi na enzi#

    • @missmwayway4704
      @missmwayway4704 2 года назад +2

      Nikweli kabsa Uchawi upo na Wasanii wanapotezana sana....!! Dulayo sio akili yake hiyo tena ana matatzo makubwa sana aisee 😢😢😢😢😢😢