Hongera sana baba yetu Dr emmanuel nchimbi kwani wewe ni mstaarabu sana na unasiasa kama za baba yetu mwasisi wa taifa letu nakupenda sana Dr emmanuel ww ni mstaarabu sana.mungu akupe maisha marefu hapa duniani
Mhuuni ni yeye Msigwa aliyekubali kununuliwa na CCM na kula matapishi yake. haya ndio mambo aliyokuwa anayapigania alipokuwa anapigania haki sasa amelambishwa matapishi amekuwa sehemu ya waovu
Muokoeni msigwa mpenzi hata ukuu WA wilaya japo wilaya atakagopewa iwe inatupiwa macho kumtumia Sasa ukweli anawahatibia CCM Acheni kumtumia ana hasira bado ana majeraha na Kwa kuwa viongozi wengine hawafikiri wanaona maneno yake ni msaada kumbe anawavurugia😊
Mshigwa. Anatumika na fisiemu ni kopo lao la kutawazia na toilet paper yao anapiga kelele kuitukana chadema mpk. Anajamba wao wametulia yeye na mke wake penyeza
Chama chetu ccm chenye misingi toka tanu si cha misingi ya majungu , msigwa ni sawa na kuweka chumbani box ambalo ndani yake kuna nyoka siku akitoka kwenye box hilo hta ccm yetu ataisema vibaya kwa hiyo viongozi wetu wajuu muwe makini na hilo box lenye nyoka tuliloliingiza ndani.
Hongera sana baba yetu Dr emmanuel nchimbi kwani wewe ni mstaarabu sana na unasiasa kama za baba yetu mwasisi wa taifa letu nakupenda sana Dr emmanuel ww ni mstaarabu sana.mungu akupe maisha marefu hapa duniani
Msigwa kuwa na akiba ya maneno usiwe kasuku tafakari kesho yako.Usidhani kila mmoja ni mjinga kama were watu wanakushangaa huna tofauti na mbwa
Mhuuni ni yeye Msigwa aliyekubali kununuliwa na CCM na kula matapishi yake. haya ndio mambo aliyokuwa anayapigania alipokuwa anapigania haki sasa amelambishwa matapishi amekuwa sehemu ya waovu
Msigwa sisi wana ccm tumekushitukia mbona majungu sana
Huyu mchungaji mbwa tu
Muokoeni msigwa mpenzi hata ukuu WA wilaya japo wilaya atakagopewa iwe inatupiwa macho kumtumia Sasa ukweli anawahatibia CCM Acheni kumtumia ana hasira bado ana majeraha na Kwa kuwa viongozi wengine hawafikiri wanaona maneno yake ni msaada kumbe anawavurugia😊
Msigwa bado hujalipwa cheo? Wahalakishe kukuteuwa vingevyo utaendaACT WAZALENDO
Msingwa akapimwe akili
Hili jamaa lilishapoteza mvuto kisiasa
Mshigwa. Anatumika na fisiemu ni kopo lao la kutawazia na toilet paper yao anapiga kelele kuitukana chadema mpk. Anajamba wao wametulia yeye na mke wake penyeza
Chama chetu ccm chenye misingi toka tanu si cha misingi ya majungu , msigwa ni sawa na kuweka chumbani box ambalo ndani yake kuna nyoka siku akitoka kwenye box hilo hta ccm yetu ataisema vibaya kwa hiyo viongozi wetu wajuu muwe makini na hilo box lenye nyoka tuliloliingiza ndani.
Msigwa umeamua kutawaliwa na akili ndogo? Msemo wako huu au umeusahau
SILIPENDI msigwa
Msigwa ni malaya wa siasa na anatumika kwa maslahi maovu ya CCM. CCM imekwisha na Msigwa hawezi kwa kuwaokoa.
Msigwa ni mhuni unajifanya wewe ndo unaijua chadema wadanganye hawo ccm wanaokutegemea
Linakula kupitia kumusema vibaya mbowe ila swala mda tyuuu
Mchungaji Msigwa zungumza la maana ili watanzania wengi maskini wapone Kwa vile sasa upo chama kitakatifu.Acha malumbano na chadema hayasaidii.
Shida sana
He mchungaji kwani vipi
Msigwa arichukiakunyimwa madaraka anaroho mbaya mkinga waajabu