Weee!!! Ni Mhuni Mtupu!! MCHUNGAJI MSIGWA AMVAA MBOWE KUKAMATWA MBEYA //SAKATA LAO LATUA CCM

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 20

  • @GodfredAlfredNgarama
    @GodfredAlfredNgarama 2 месяца назад

    Hongera sana baba yetu Dr emmanuel nchimbi kwani wewe ni mstaarabu sana na unasiasa kama za baba yetu mwasisi wa taifa letu nakupenda sana Dr emmanuel ww ni mstaarabu sana.mungu akupe maisha marefu hapa duniani

  • @dionismutayoba3542
    @dionismutayoba3542 2 месяца назад

    Msigwa kuwa na akiba ya maneno usiwe kasuku tafakari kesho yako.Usidhani kila mmoja ni mjinga kama were watu wanakushangaa huna tofauti na mbwa

  • @hamisimuhunzi7916
    @hamisimuhunzi7916 2 месяца назад +1

    Mhuuni ni yeye Msigwa aliyekubali kununuliwa na CCM na kula matapishi yake. haya ndio mambo aliyokuwa anayapigania alipokuwa anapigania haki sasa amelambishwa matapishi amekuwa sehemu ya waovu

  • @ramawilson3709
    @ramawilson3709 2 месяца назад

    Msigwa sisi wana ccm tumekushitukia mbona majungu sana

  • @fredrickmwakalinga6390
    @fredrickmwakalinga6390 2 месяца назад

    Huyu mchungaji mbwa tu

  • @frankphiri9132
    @frankphiri9132 2 месяца назад

    Muokoeni msigwa mpenzi hata ukuu WA wilaya japo wilaya atakagopewa iwe inatupiwa macho kumtumia Sasa ukweli anawahatibia CCM Acheni kumtumia ana hasira bado ana majeraha na Kwa kuwa viongozi wengine hawafikiri wanaona maneno yake ni msaada kumbe anawavurugia😊

  • @ndemabhwila
    @ndemabhwila 2 месяца назад

    Msigwa bado hujalipwa cheo? Wahalakishe kukuteuwa vingevyo utaendaACT WAZALENDO

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 2 месяца назад

    Msingwa akapimwe akili

  • @kagombaEnok
    @kagombaEnok 2 месяца назад

    Hili jamaa lilishapoteza mvuto kisiasa

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 2 месяца назад

    Mshigwa. Anatumika na fisiemu ni kopo lao la kutawazia na toilet paper yao anapiga kelele kuitukana chadema mpk. Anajamba wao wametulia yeye na mke wake penyeza

  • @GodfredAlfredNgarama
    @GodfredAlfredNgarama 2 месяца назад

    Chama chetu ccm chenye misingi toka tanu si cha misingi ya majungu , msigwa ni sawa na kuweka chumbani box ambalo ndani yake kuna nyoka siku akitoka kwenye box hilo hta ccm yetu ataisema vibaya kwa hiyo viongozi wetu wajuu muwe makini na hilo box lenye nyoka tuliloliingiza ndani.

  • @ndemabhwila
    @ndemabhwila 2 месяца назад

    Msigwa umeamua kutawaliwa na akili ndogo? Msemo wako huu au umeusahau

  • @BozaDizamile-u1d
    @BozaDizamile-u1d 2 месяца назад

    SILIPENDI msigwa

  • @matiredms917
    @matiredms917 2 месяца назад

    Msigwa ni malaya wa siasa na anatumika kwa maslahi maovu ya CCM. CCM imekwisha na Msigwa hawezi kwa kuwaokoa.

  • @CharlesMwakajinga-r5d
    @CharlesMwakajinga-r5d 2 месяца назад +1

    Msigwa ni mhuni unajifanya wewe ndo unaijua chadema wadanganye hawo ccm wanaokutegemea

    • @philemonsnyanda9450
      @philemonsnyanda9450 2 месяца назад

      Linakula kupitia kumusema vibaya mbowe ila swala mda tyuuu

  • @clauschaula2050
    @clauschaula2050 2 месяца назад

    Mchungaji Msigwa zungumza la maana ili watanzania wengi maskini wapone Kwa vile sasa upo chama kitakatifu.Acha malumbano na chadema hayasaidii.

  • @ObadiaChengula
    @ObadiaChengula 2 месяца назад

    Shida sana

  • @komuhsengo9796
    @komuhsengo9796 2 месяца назад

    He mchungaji kwani vipi

  • @JohnMtundu-cp7uh
    @JohnMtundu-cp7uh 2 месяца назад

    Msigwa arichukiakunyimwa madaraka anaroho mbaya mkinga waajabu