JE, PACOME ATACHEZA KESHO? HALI YA KIKOSI IPOJE? MSIKIE ALLY KAMWE AKINYOOSHA MAELEZO HAPA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024
  • #kariakooderby #daimambelenyumamwiko #timuyawananchi

Комментарии • 103

  • @christophermwashiozya5178
    @christophermwashiozya5178 5 месяцев назад +11

    Wananchiiiii, week ya mwanchi kesho tuna mechi ya kirafiki na mtani Asubuhi tyuuu mara paaa kafa 6 😂😂😂😂😂 asubuhi yake Hatumtaki hatumtaki aondoke atuachie Timu yetu sie tunateseka😂😂 😂😂 mm nitakua napita tyuu mitandaoni nawachungulia jinsi mapovu yanavyofurika hataliiii.

  • @JoshuaMpahi
    @JoshuaMpahi 5 месяцев назад +3

    Tunamtaka pacome acheze bn mbn mnaturingishia sana aisee si tunapenda timu yetu na tunapenda wachezaji wetu wakitufurahisha.

  • @onekisstv8412
    @onekisstv8412 5 месяцев назад +1

    Mungu atusimamie tushinde Amina

  • @pascalemmanuel2557
    @pascalemmanuel2557 5 месяцев назад +5

    Kila la Eli Yanga 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @JUU-lw2je
    @JUU-lw2je 5 месяцев назад +5

    Ni kweli majibu yao kuhusu pacome yamekuwa yakupinda pinda sana kila mechi mmekuwa mkidanganya mashabiki sio watoto

    • @peterhelpeterluena9191
      @peterhelpeterluena9191 5 месяцев назад

      Lazima Pacome acheze?

    • @habibahmuhammed3534
      @habibahmuhammed3534 5 месяцев назад

      Uliwahi kumsikia kocha akisema kua pacome atacheza halafu asicheze?? Hizo tabia kwasasa hatuzitaki kwenye timu yetu tuwaache watu wafanye kazi zao sisi kazi yetu kushangilia Mbona huyo pacome wakati Aziz yupo afcon Mbona tulikua tunapata shida kwenye zile mechi ila saiv pacome hayupo ila Aziz yupo lakin unaona kama tunakwama??

  • @makolosaid5232
    @makolosaid5232 5 месяцев назад +1

    Good luck to my favourite team

  • @ZakariaHamiss
    @ZakariaHamiss 5 месяцев назад +1

    Z akaria

  • @febroniamsoma178
    @febroniamsoma178 5 месяцев назад +5

    Safiii kabisa

  • @MarthaGabriel-s6b
    @MarthaGabriel-s6b 5 месяцев назад

    Ukweli kutoka moyoni nimemmiss pacome jamani naomba Ally Kamwe mwambie nimemhamu yaani acheze hata dak 20 tu

  • @MarthaGabriel-s6b
    @MarthaGabriel-s6b 5 месяцев назад +15

    Msitudanganye asipocheza atatukera

    • @thomaspokella909
      @thomaspokella909 5 месяцев назад +5

      Hee weww kama hajapona ajilazimishe ili kufurhisha watu?big no

    • @yassinchuwa8824
      @yassinchuwa8824 5 месяцев назад +2

      Kacheze wewe sasa.

    • @muddymuzungu4357
      @muddymuzungu4357 5 месяцев назад +2

      We sio mshabiki wa YANGA
      so kama hayupo fit lazima acheze?

    • @EdsonMartin-e3k
      @EdsonMartin-e3k 5 месяцев назад +2

      Kabisaaaa, sisi team yetu na bench la ufundii hatuna kikosi cha kaauka nikuvaeee ,..kwendraaaaa

    • @JoelTeti
      @JoelTeti 5 месяцев назад +2

      Hajasemaa kwa Nia mbayaaa, hapo amemaanisha kuwa anaham pacome awepoo,
      Wengi wetu mashabik wa yanga tunataman kumuuona pacome Ndan ya pitch

  • @MmbambaMmamba
    @MmbambaMmamba 5 месяцев назад

    Kma wachezaji hawajapoa majeraha mutuaambie saw ila mukisema wote wapo saw halaf hatuwaoni wakicheza bas hapo hatutoelewana

  • @MmbambaMmamba
    @MmbambaMmamba 5 месяцев назад

    Kma wachezaji hawajapoa majeraha mutuaambie saw ila mukisema wote wapo saw halaf hatuwaoni wakicheza bas hapo hatutoelewana

  • @MmbambaMmamba
    @MmbambaMmamba 5 месяцев назад

    Kma wachezaji hawajapoa majeraha mutuaambie saw ila mukisema wote wapo saw halaf hatuwaoni wakicheza bas hapo hatutoelewana

  • @MmbambaMmamba
    @MmbambaMmamba 5 месяцев назад

    Kma wachezaji hawajapoa majeraha mutuaambie saw ila mukisema wote wapo saw halaf hatuwaoni wakicheza bas hapo hatutoelewana

  • @MmbambaMmamba
    @MmbambaMmamba 5 месяцев назад

    Kma wachezaji hawajapoa majeraha mutuaambie saw ila mukisema wote wapo saw halaf hatuwaoni wakicheza bas hapo hatutoelewana

  • @MmbambaMmamba
    @MmbambaMmamba 5 месяцев назад

    Kma wachezaji hawajapoa majeraha mutuaambie saw ila mukisema wote wapo saw halaf hatuwaoni wakicheza bas hapo hatutoelewana

  • @josephatjordan2150
    @josephatjordan2150 5 месяцев назад +13

    Issue ya pacome mashabiki tumeshachoka!!Sidhani kama tunahitaji story tena zaidi ya kucheza!!kama hachezi hamna haja hata ya kumzungumzia!!tukereka sana na kudanganywa!!

    • @ahmedmpimbi9684
      @ahmedmpimbi9684 5 месяцев назад +1

      Bro hapana hii huwa ni mind game, na ilitusaidia sana dhidi ya Mamelodi

    • @LinusKyando
      @LinusKyando 5 месяцев назад +1

      HUYU ni Simba

    • @sulemanislaida
      @sulemanislaida 5 месяцев назад

      Msifananishe mechi na mamelod mjue hatukutoka na magoli hiyo mechi

    • @EdsonMartin-e3k
      @EdsonMartin-e3k 5 месяцев назад

      Wachezaj wote ni watumishii,.
      Yeyote atacheza ..pacome hatochezaj mind game zipo duniani kote ,lakini kama upo makini msemaji anapoongea na unafatilia vyazo vizuri vya taarifa za michezo unajiongeza tuu,..

  • @InnocentFaustino
    @InnocentFaustino 5 месяцев назад

    Kweli hao waliokuwa majeruhi wapo isije ikawa miyayusho

  • @fihirishemaadihussein6124
    @fihirishemaadihussein6124 5 месяцев назад

    Kila kheri timu yetu tuendeleze ubabe kwa mtani!

  • @MmbambaMmamba
    @MmbambaMmamba 5 месяцев назад

    Na hapo wacije wakacheza watatuona aikna aly kamwe hapo

  • @NYOTAWAMCHONGOTV
    @NYOTAWAMCHONGOTV 5 месяцев назад +2

    Sowawe yeeeeee kesho ni kufa jitu

  • @EmanuelJohn-by9rv
    @EmanuelJohn-by9rv 5 месяцев назад

    Yan atakam asip chez watakufa tu

  • @JoshuaMpahi
    @JoshuaMpahi 5 месяцев назад

    Acheni kutudaganya timu yetu ya yanga hainaga mambo kama hayo ya kupinda pinda inakuaje Ally kamwe unanzisha hizo. YANGA is a big team acheni udanganyifu kwenye usiriazi.

  • @abubakaliyahaya2968
    @abubakaliyahaya2968 5 месяцев назад

    Kesho watu wataita maji mma

  • @agustinochilumba3985
    @agustinochilumba3985 9 часов назад

    Mwamba huyu hapa

  • @OnesmoMalendeja
    @OnesmoMalendeja 5 месяцев назад

    Xemaji letu n hatar

  • @MgasaEmanoeli
    @MgasaEmanoeli 5 месяцев назад

    Huo ni uongo

  • @FridaHaule-m3y
    @FridaHaule-m3y 5 месяцев назад

    Msitudanye

  • @Gyver8636
    @Gyver8636 5 месяцев назад

    Afu msitufanye wapuuzi
    Kila siku pacome na yaoyao
    Mmewafanya kama danganya toto

  • @consokimario
    @consokimario 5 месяцев назад +1

    Tutamfumua mnyama wiki nzima akalilie kwa mamkwe😂

  • @maturovidal6212
    @maturovidal6212 5 месяцев назад

    Nahisi pacome anamatatizo na uongozi lazima.huyu tusitehemee kumuona.niliesoma Cuba ninaelewa

  • @AyuobAbuobakar
    @AyuobAbuobakar 5 месяцев назад

    Cku zte mna2dangany Pacome atachez atachez bdae achez

  • @johnabery-vn7eb
    @johnabery-vn7eb 5 месяцев назад

    Atamm naona upuuz pacome kila siku asicheze uongozi unatuboa kwani hajapasuliwa kama aucho

  • @JastinAlphonce
    @JastinAlphonce 5 месяцев назад

    hata akikosa sioni pengo lake, yanga ina watu❤❤❤

  • @ezekielmbazi.8687
    @ezekielmbazi.8687 5 месяцев назад

    Mnatuzingua sisi tunataka kujua kuwa tatixo ni nini? Kwa nini pacome hachezi? Kuna shida gani? Kwa nini hata bench haonekani?

  • @thebroski9763
    @thebroski9763 5 месяцев назад

    Sasa huyo dada kuweka poda usoni ndo nn 😂

  • @justinekamala9703
    @justinekamala9703 5 месяцев назад

    Sisi tunawataka Yaho na Pacome hii ni Derby weka hiyo mitambo simba autafute kwa tochi

  • @shukurumgaya5950
    @shukurumgaya5950 5 месяцев назад +1

    Mungu mwema

  • @pacomezouzoua9175
    @pacomezouzoua9175 5 месяцев назад

    Njooni uwanjani mm nipo kesho ntacheza😌🧐

  • @RubenIbrahim-st6dh
    @RubenIbrahim-st6dh 5 месяцев назад +1

    Aisee huyo pacome mtuambie tu kama bado cyo yupo fiti alafu hachezi ata benchi hayupo tupeni taarifa za uhakika

    • @EdsonMartin-e3k
      @EdsonMartin-e3k 5 месяцев назад

      Hatocheza kabisa, uo ndo ukweli manake kudadafua maneno ya msemaji wengine changamoto' CUBA wanafauru wachache tuuu jaman

  • @AKH_TZ
    @AKH_TZ 5 месяцев назад

    Msitupangee bhna tutamchoka sasa hivi kama hatocheza bc bora mseme mapema tutamsema paka apotee kwenye raman tena

  • @MaxStephano-fu9qf
    @MaxStephano-fu9qf 5 месяцев назад

    kwani shida ni kwa mchezaji au kwa uogozi wa wanaichii kuzusha mamb yasio na faida kwa timu na washabiki kwa ujumla

  • @LinusKyando
    @LinusKyando 5 месяцев назад

    SIMBA UNACHEZA NA MFUMO WA YANGA HAWACHEZI NA MAJINA

  • @BoniphaceNdalahwa-ng5cq
    @BoniphaceNdalahwa-ng5cq 5 месяцев назад

    Duuh mm hyo staki mara ya kocha tunataka wacheze daby na mamelod n vitu tofauti

  • @EdsonMartin-e3k
    @EdsonMartin-e3k 5 месяцев назад

    " usiseme asipo cheza " tuwa aamini wachezaji wote jaman team inamuunganiko saivii,bench la ufundii wanafanya kaz kubwa sana mazoezin na kuongea na wachezaj tena mmoja mmoja" tutokee huko waliko mkia fc kauka nikuvaee , " Let pacome recover fully slowly "

  • @EmmanuelAmos-nd8bz
    @EmmanuelAmos-nd8bz 5 месяцев назад

    Sisi mashabiki tunataka kumuona pacome kesho akitesa raia stadium mkapa

  • @JosephatChristopher-y5v
    @JosephatChristopher-y5v 5 месяцев назад

    Ushindi kwetu ni lazima YANGA on 🔥🔥🔥🔥

  • @daudkondo4069
    @daudkondo4069 5 месяцев назад

    Kwa nini mageti wafungue saa tano wakati kazi zinaanza saa mbili huko ndo ttz la waafrica

  • @shallmolownicodem4734
    @shallmolownicodem4734 5 месяцев назад

    Shida sio hiyo shida ni kwamba pacome atacheza hata kwenye mazoezi hatumuoni

  • @chinchon2126
    @chinchon2126 5 месяцев назад +1

    Huyu PAKOME ACHUNGUZWE

    • @habibahmuhammed3534
      @habibahmuhammed3534 5 месяцев назад

      Nenda kamchunguze Mbona aucho hamkwenda kumchunguza au unajifanya una uchungu sana Kwa pacome

  • @mamuwadomu8448
    @mamuwadomu8448 5 месяцев назад

    Kila la kheri wananchi 💚💛

  • @chinchon2126
    @chinchon2126 5 месяцев назад +1

    Pacome Kama hajapoa asicheze

  • @KifanyiJulie
    @KifanyiJulie 5 месяцев назад +3

    Asichezee. Hatutaki acheze aendelee kukaa huko alipokuwa

  • @faidha23
    @faidha23 5 месяцев назад

    Kwani hajapona tuu?

  • @abou.salimu1795
    @abou.salimu1795 5 месяцев назад

    uyo jamaa mbona ana kitetemo

  • @winiejohn7020
    @winiejohn7020 5 месяцев назад

    Huyo anaye tetemeka vipi

  • @AlfanJuma-sj7pl
    @AlfanJuma-sj7pl 5 месяцев назад

    Asipo cheza

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 5 месяцев назад

    Wananchiiiiiiiiiiiiiiiiiii 🎉🎉🎉

  • @FestoRinusi
    @FestoRinusi 5 месяцев назад

    Kakomeasheze jaman

  • @chikizamifupa5786
    @chikizamifupa5786 5 месяцев назад

    Pacome oyeeeeeeeeeeeeeee

  • @MakuoeJafary
    @MakuoeJafary 5 месяцев назад

    Mkane wapi

  • @GetrudasamsonSengerema-he7ob
    @GetrudasamsonSengerema-he7ob 5 месяцев назад

    Jamani wananchiii tunawafumua saangapi hao Makolooo

    • @RamaMchomo
      @RamaMchomo 5 месяцев назад

      Kesho wewe utopolo itakuwa unakufa saa Kumi na Moja jioni, mnyama anakuchinja,,bwege,we.

  • @AKH_TZ
    @AKH_TZ 5 месяцев назад

    Msitupangee bhna tutamchoka sasa hivi kama hatocheza bc bora mseme mapema tutamsema paka apotee kwenye raman tena

    • @jumannemsengi2195
      @jumannemsengi2195 5 месяцев назад

      Ww sio WANANCHI kabsaaa bila shaka ni NGURUWE fc hapa sio mahala pako kwa kauli hizi naona unapata shida sana unapockia PACOME sasa nenda huko kwa Maguruwe wenzio mtaelewana

  • @RukiaAfif-dr5xm
    @RukiaAfif-dr5xm 5 месяцев назад

    Naomba mungu yanga ifungwe

    • @JastinAlphonce
      @JastinAlphonce 5 месяцев назад

      hii timu ni ya taifa ikifungwa basi taifa limefungwaa🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @christopherkimpant9065
    @christopherkimpant9065 5 месяцев назад

    My team 🎈🎈

  • @Steven-pt7me
    @Steven-pt7me 5 месяцев назад +1

    Wameisha makolo

  • @patricklaiton8939
    @patricklaiton8939 5 месяцев назад +3

    AIPOCHEZA AENDE ZAKE ASITURINGIE

    • @RhodaMloge
      @RhodaMloge 5 месяцев назад

      Kuna uwezekano bado hajakaa sawa sema tu badala watuambie ukweli wanazungukazunguka

    • @cosmasjulius
      @cosmasjulius 5 месяцев назад

      Ninasikitika Sana, Azam wanasema watachomoa wachezaji baadhi wa yanga isije ikawa ndo akina pacome 😢😢😢😢

    • @jumannemsengi2195
      @jumannemsengi2195 5 месяцев назад

      Hiyo comment ni ya NGURUWE fc!! Wananchi tunajitambua huwezi sema AENDE ZAKE, ww inakuhusu nn acpocheza!! Kwani lazima acheze match ya NGURUWE fc aka MAKOLO fc?

    • @abou.salimu1795
      @abou.salimu1795 5 месяцев назад

      nenda zako wewe

    • @tukumbwikemwakatundu2052
      @tukumbwikemwakatundu2052 5 месяцев назад

      Kwani Yeye ndio anayeamua kucheza au kutocheza?