Wananchiiiii, week ya mwanchi kesho tuna mechi ya kirafiki na mtani Asubuhi tyuuu mara paaa kafa 6 😂😂😂😂😂 asubuhi yake Hatumtaki hatumtaki aondoke atuachie Timu yetu sie tunateseka😂😂 😂😂 mm nitakua napita tyuu mitandaoni nawachungulia jinsi mapovu yanavyofurika hataliiii.
Uliwahi kumsikia kocha akisema kua pacome atacheza halafu asicheze?? Hizo tabia kwasasa hatuzitaki kwenye timu yetu tuwaache watu wafanye kazi zao sisi kazi yetu kushangilia Mbona huyo pacome wakati Aziz yupo afcon Mbona tulikua tunapata shida kwenye zile mechi ila saiv pacome hayupo ila Aziz yupo lakin unaona kama tunakwama??
Issue ya pacome mashabiki tumeshachoka!!Sidhani kama tunahitaji story tena zaidi ya kucheza!!kama hachezi hamna haja hata ya kumzungumzia!!tukereka sana na kudanganywa!!
Wachezaj wote ni watumishii,. Yeyote atacheza ..pacome hatochezaj mind game zipo duniani kote ,lakini kama upo makini msemaji anapoongea na unafatilia vyazo vizuri vya taarifa za michezo unajiongeza tuu,..
Acheni kutudaganya timu yetu ya yanga hainaga mambo kama hayo ya kupinda pinda inakuaje Ally kamwe unanzisha hizo. YANGA is a big team acheni udanganyifu kwenye usiriazi.
" usiseme asipo cheza " tuwa aamini wachezaji wote jaman team inamuunganiko saivii,bench la ufundii wanafanya kaz kubwa sana mazoezin na kuongea na wachezaj tena mmoja mmoja" tutokee huko waliko mkia fc kauka nikuvaee , " Let pacome recover fully slowly "
Ww sio WANANCHI kabsaaa bila shaka ni NGURUWE fc hapa sio mahala pako kwa kauli hizi naona unapata shida sana unapockia PACOME sasa nenda huko kwa Maguruwe wenzio mtaelewana
Hiyo comment ni ya NGURUWE fc!! Wananchi tunajitambua huwezi sema AENDE ZAKE, ww inakuhusu nn acpocheza!! Kwani lazima acheze match ya NGURUWE fc aka MAKOLO fc?
Wananchiiiii, week ya mwanchi kesho tuna mechi ya kirafiki na mtani Asubuhi tyuuu mara paaa kafa 6 😂😂😂😂😂 asubuhi yake Hatumtaki hatumtaki aondoke atuachie Timu yetu sie tunateseka😂😂 😂😂 mm nitakua napita tyuu mitandaoni nawachungulia jinsi mapovu yanavyofurika hataliiii.
Tunamtaka pacome acheze bn mbn mnaturingishia sana aisee si tunapenda timu yetu na tunapenda wachezaji wetu wakitufurahisha.
Mungu atusimamie tushinde Amina
Kila la Eli Yanga 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Ni kweli majibu yao kuhusu pacome yamekuwa yakupinda pinda sana kila mechi mmekuwa mkidanganya mashabiki sio watoto
Lazima Pacome acheze?
Uliwahi kumsikia kocha akisema kua pacome atacheza halafu asicheze?? Hizo tabia kwasasa hatuzitaki kwenye timu yetu tuwaache watu wafanye kazi zao sisi kazi yetu kushangilia Mbona huyo pacome wakati Aziz yupo afcon Mbona tulikua tunapata shida kwenye zile mechi ila saiv pacome hayupo ila Aziz yupo lakin unaona kama tunakwama??
Good luck to my favourite team
Z akaria
Safiii kabisa
Ukweli kutoka moyoni nimemmiss pacome jamani naomba Ally Kamwe mwambie nimemhamu yaani acheze hata dak 20 tu
Msitudanganye asipocheza atatukera
Hee weww kama hajapona ajilazimishe ili kufurhisha watu?big no
Kacheze wewe sasa.
We sio mshabiki wa YANGA
so kama hayupo fit lazima acheze?
Kabisaaaa, sisi team yetu na bench la ufundii hatuna kikosi cha kaauka nikuvaeee ,..kwendraaaaa
Hajasemaa kwa Nia mbayaaa, hapo amemaanisha kuwa anaham pacome awepoo,
Wengi wetu mashabik wa yanga tunataman kumuuona pacome Ndan ya pitch
Kma wachezaji hawajapoa majeraha mutuaambie saw ila mukisema wote wapo saw halaf hatuwaoni wakicheza bas hapo hatutoelewana
Kma wachezaji hawajapoa majeraha mutuaambie saw ila mukisema wote wapo saw halaf hatuwaoni wakicheza bas hapo hatutoelewana
Kma wachezaji hawajapoa majeraha mutuaambie saw ila mukisema wote wapo saw halaf hatuwaoni wakicheza bas hapo hatutoelewana
Kma wachezaji hawajapoa majeraha mutuaambie saw ila mukisema wote wapo saw halaf hatuwaoni wakicheza bas hapo hatutoelewana
Kma wachezaji hawajapoa majeraha mutuaambie saw ila mukisema wote wapo saw halaf hatuwaoni wakicheza bas hapo hatutoelewana
Kma wachezaji hawajapoa majeraha mutuaambie saw ila mukisema wote wapo saw halaf hatuwaoni wakicheza bas hapo hatutoelewana
Issue ya pacome mashabiki tumeshachoka!!Sidhani kama tunahitaji story tena zaidi ya kucheza!!kama hachezi hamna haja hata ya kumzungumzia!!tukereka sana na kudanganywa!!
Bro hapana hii huwa ni mind game, na ilitusaidia sana dhidi ya Mamelodi
HUYU ni Simba
Msifananishe mechi na mamelod mjue hatukutoka na magoli hiyo mechi
Wachezaj wote ni watumishii,.
Yeyote atacheza ..pacome hatochezaj mind game zipo duniani kote ,lakini kama upo makini msemaji anapoongea na unafatilia vyazo vizuri vya taarifa za michezo unajiongeza tuu,..
Kweli hao waliokuwa majeruhi wapo isije ikawa miyayusho
Kila kheri timu yetu tuendeleze ubabe kwa mtani!
Na hapo wacije wakacheza watatuona aikna aly kamwe hapo
Sowawe yeeeeee kesho ni kufa jitu
Yan atakam asip chez watakufa tu
Acheni kutudaganya timu yetu ya yanga hainaga mambo kama hayo ya kupinda pinda inakuaje Ally kamwe unanzisha hizo. YANGA is a big team acheni udanganyifu kwenye usiriazi.
unabishana na taarifa
Kesho watu wataita maji mma
Mwamba huyu hapa
Xemaji letu n hatar
Huo ni uongo
Msitudanye
Afu msitufanye wapuuzi
Kila siku pacome na yaoyao
Mmewafanya kama danganya toto
Tutamfumua mnyama wiki nzima akalilie kwa mamkwe😂
Nahisi pacome anamatatizo na uongozi lazima.huyu tusitehemee kumuona.niliesoma Cuba ninaelewa
Cku zte mna2dangany Pacome atachez atachez bdae achez
Atamm naona upuuz pacome kila siku asicheze uongozi unatuboa kwani hajapasuliwa kama aucho
hata akikosa sioni pengo lake, yanga ina watu❤❤❤
Mnatuzingua sisi tunataka kujua kuwa tatixo ni nini? Kwa nini pacome hachezi? Kuna shida gani? Kwa nini hata bench haonekani?
Sasa huyo dada kuweka poda usoni ndo nn 😂
Uzee
Sisi tunawataka Yaho na Pacome hii ni Derby weka hiyo mitambo simba autafute kwa tochi
Mungu mwema
Njooni uwanjani mm nipo kesho ntacheza😌🧐
Aisee huyo pacome mtuambie tu kama bado cyo yupo fiti alafu hachezi ata benchi hayupo tupeni taarifa za uhakika
Hatocheza kabisa, uo ndo ukweli manake kudadafua maneno ya msemaji wengine changamoto' CUBA wanafauru wachache tuuu jaman
Msitupangee bhna tutamchoka sasa hivi kama hatocheza bc bora mseme mapema tutamsema paka apotee kwenye raman tena
kwani shida ni kwa mchezaji au kwa uogozi wa wanaichii kuzusha mamb yasio na faida kwa timu na washabiki kwa ujumla
SIMBA UNACHEZA NA MFUMO WA YANGA HAWACHEZI NA MAJINA
Duuh mm hyo staki mara ya kocha tunataka wacheze daby na mamelod n vitu tofauti
" usiseme asipo cheza " tuwa aamini wachezaji wote jaman team inamuunganiko saivii,bench la ufundii wanafanya kaz kubwa sana mazoezin na kuongea na wachezaj tena mmoja mmoja" tutokee huko waliko mkia fc kauka nikuvaee , " Let pacome recover fully slowly "
Sisi mashabiki tunataka kumuona pacome kesho akitesa raia stadium mkapa
Ushindi kwetu ni lazima YANGA on 🔥🔥🔥🔥
Kwa nini mageti wafungue saa tano wakati kazi zinaanza saa mbili huko ndo ttz la waafrica
Shida sio hiyo shida ni kwamba pacome atacheza hata kwenye mazoezi hatumuoni
Huyu PAKOME ACHUNGUZWE
Nenda kamchunguze Mbona aucho hamkwenda kumchunguza au unajifanya una uchungu sana Kwa pacome
Kila la kheri wananchi 💚💛
Pacome Kama hajapoa asicheze
Kabisa nakubaliana na wewe inatakiwa alone vizuuuri..
Asichezee. Hatutaki acheze aendelee kukaa huko alipokuwa
Kwani hajapona tuu?
uyo jamaa mbona ana kitetemo
Huyo anaye tetemeka vipi
Asipo cheza
Wananchiiiiiiiiiiiiiiiiiii 🎉🎉🎉
Kakomeasheze jaman
Pacome oyeeeeeeeeeeeeeee
Mkane wapi
Jamani wananchiii tunawafumua saangapi hao Makolooo
Kesho wewe utopolo itakuwa unakufa saa Kumi na Moja jioni, mnyama anakuchinja,,bwege,we.
Msitupangee bhna tutamchoka sasa hivi kama hatocheza bc bora mseme mapema tutamsema paka apotee kwenye raman tena
Ww sio WANANCHI kabsaaa bila shaka ni NGURUWE fc hapa sio mahala pako kwa kauli hizi naona unapata shida sana unapockia PACOME sasa nenda huko kwa Maguruwe wenzio mtaelewana
Naomba mungu yanga ifungwe
hii timu ni ya taifa ikifungwa basi taifa limefungwaa🇹🇿🇹🇿🇹🇿
My team 🎈🎈
Wameisha makolo
AIPOCHEZA AENDE ZAKE ASITURINGIE
Kuna uwezekano bado hajakaa sawa sema tu badala watuambie ukweli wanazungukazunguka
Ninasikitika Sana, Azam wanasema watachomoa wachezaji baadhi wa yanga isije ikawa ndo akina pacome 😢😢😢😢
Hiyo comment ni ya NGURUWE fc!! Wananchi tunajitambua huwezi sema AENDE ZAKE, ww inakuhusu nn acpocheza!! Kwani lazima acheze match ya NGURUWE fc aka MAKOLO fc?
nenda zako wewe
Kwani Yeye ndio anayeamua kucheza au kutocheza?