Tarehe _ 1 Episode 4 |Mkojani ,Samofi,Chandim|

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 фев 2025
  • #mkojini

Комментарии • 96

  • @teamzaifullhouse
    @teamzaifullhouse 5 месяцев назад +10

    Wakenya wenzangu kama mwamkubali mkojan tujuwan ❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @NizigiyimanaEmmanuel-c7f
    @NizigiyimanaEmmanuel-c7f 5 месяцев назад +6

    Icinicocenye nampendea mkojani akawizi kutupa kitu kua mda afu serie fupi afu nzri big up sna mkojani bidaruheshi 🎉🎉

  • @InnocentArmadillo-do9vm
    @InnocentArmadillo-do9vm 5 месяцев назад +5

    Team mkojani gang garassa. Kazi nzuri sana more fire 🔥🔥🔥💯💯👍👍👌👌

  • @mohamednzaro3510
    @mohamednzaro3510 5 месяцев назад +3

    Big up mkojani gang for bringing new talents onboard each and every new series

  • @MirajChambo
    @MirajChambo 5 месяцев назад +5

    ❤❤❤❤❤❤❤ the first of naitwa miraji mussa chambo mshabiki wa mkojani nimeikubali sana 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @kugotwa004
    @kugotwa004 5 месяцев назад +1

    Attaractive story big up mkojani we have to learn more things in this film

  • @FatumaSabiti
    @FatumaSabiti 22 дня назад

    Nimeipenda mno 🎉🎉❤❤❤

  • @HasaniMsama
    @HasaniMsama 5 месяцев назад +2

    Nawakubr sana naona mamb ni 💥💥💥💥💥

  • @YUSSUFVUAIMKANGA-kr8on
    @YUSSUFVUAIMKANGA-kr8on 5 месяцев назад +1

    Safi sana Mkojani umeonesha uwanaume wa kusema utakuja kulipa mahari ya mkopo

  • @XhebbyMandevu-u1h
    @XhebbyMandevu-u1h 5 месяцев назад

    iii ni noma combination yenu haituangushi sikuzote🎉🎉🎉

  • @onesmusfondo7679
    @onesmusfondo7679 5 месяцев назад +3

    Leo nimewai...💪💪

  • @DavidSilvanus-tp7gu
    @DavidSilvanus-tp7gu 5 месяцев назад +3

    Kumeanza kuchangamka mkojani na mwanaye😊

  • @AishaAbdallah-w2b
    @AishaAbdallah-w2b 5 месяцев назад +5

    Kaz inaendelea samof jmniii😆

  • @MwajShabani
    @MwajShabani 5 месяцев назад +5

    Wake an za ❤😂

  • @PrinceMeddy-t6t
    @PrinceMeddy-t6t 5 месяцев назад

    Mkojani bindaluweshi handsome boeeee sema mwongo saaana et anaimba kihind kama kihaya🤣😎😎😥

  • @Asma-m1j
    @Asma-m1j 5 месяцев назад +1

    Ndiyo we mkojani😂😂 weeeeee mkojani unampiga mshenga🤣🤣🤣🤣🤣

  • @MataIdarous
    @MataIdarous 5 месяцев назад +1

    😂😂mkojani chukuwa fursa hiyo nzur kwa mwanamme

  • @mohdkhamis9170
    @mohdkhamis9170 5 месяцев назад

    Hhhh spice ilizama mwezi wa 9 mkojanii ili kua ni tarehe 9 kuamkia tarehe 10 mwezi wa 9 ❤❤❤❤

  • @alish2182
    @alish2182 5 месяцев назад +1

    Jamani.flm Nzuli❤❤❤❤❤❤

  • @rasakakaombwe
    @rasakakaombwe 5 месяцев назад +6

    Izo like mnaziombaga zann nyie nyau

  • @BasmaJuma
    @BasmaJuma 5 месяцев назад +3

    Kazi kazi

  • @erickminja1645
    @erickminja1645 5 месяцев назад +2

    Nipo kwa ajili team na mkojan na shamilaa

  • @Kitufeactorfilm
    @Kitufeactorfilm 5 месяцев назад +2

    Unyama san ndug yangu 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @ZainabLol-wx7xf
    @ZainabLol-wx7xf 5 месяцев назад +3

    Nilizania huku tu ndio tunatoa pesa za mahari au posa ili tuolewe😅😅😅

  • @SadatiIssa-n1r
    @SadatiIssa-n1r 5 месяцев назад +1

    Kazi nzuri

  • @iddyiddy
    @iddyiddy 5 месяцев назад +1

    😅😅😅 sambusa kwa ugar umetish

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY 5 месяцев назад +5

    Mwanangu gala iyo batle yako
    Umeuwa watu wakinunua sambusa
    Wanakula maganda yajuu kisha
    Nyama wanaenda kulia ugari

  • @MariamGuyo-c2w
    @MariamGuyo-c2w 5 месяцев назад +2

    Samofi ukorofi ndo huwezi acha ww aki😂😂😂😂

  • @fatumaselemani3807
    @fatumaselemani3807 5 месяцев назад +1

    Mashallah ❤❤❤❤❤

  • @JayHoods-c1j
    @JayHoods-c1j 5 месяцев назад

    Shida ya mkojanii anapenda elaaa😂😂

  • @GabrielSky64
    @GabrielSky64 5 месяцев назад +5

    Team Garassa 😂😂😂❤

  • @DayanaStanford
    @DayanaStanford 5 месяцев назад

    Haka kawimbo Cha hii movie jmon kanankosha🥰

  • @erickngundi690
    @erickngundi690 5 месяцев назад +5

    Wakwanza 😂

  • @Tatumbegu-n9n
    @Tatumbegu-n9n 5 месяцев назад

    Shamila kimwanya anajua sana yupo makini sana na kazi

  • @mohammedmohamed969
    @mohammedmohamed969 5 месяцев назад +1

    Eheeeeeeeeeeee
    Sasa jibu linaenda kutumbuka sasa😅😅😅😅😅

  • @saidiabdalahshabani941
    @saidiabdalahshabani941 5 месяцев назад

    Mkojan hayo maneno niyakwer kwamwenzio au nikwa7babu umeziona pesa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉

  • @Mzuri_002
    @Mzuri_002 5 месяцев назад +1

    Nyie, kizaazaa kimeanza😂

  • @mayaashassan3918
    @mayaashassan3918 5 месяцев назад +3

    TAREHE 1😂😂😂KWANI KUNA SHIDA CHANDIMU 😂😂😂MKOJANI ETY TUMBONI WAONA NINI😂😂😂

  • @MataIdarous
    @MataIdarous 5 месяцев назад +1

    Filam ipo sawa

  • @AthmanHamisi-j2v
    @AthmanHamisi-j2v 5 месяцев назад +3

    Mkojani wacha kupenda mserereko

  • @FatmaFatma-k4i
    @FatmaFatma-k4i 5 месяцев назад +1

    Safi sana

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY 5 месяцев назад +2

    Halafu ndoa siyo kula wali
    Ndoa ni duwa tu! Bac

    • @Sarah-tq2vc
      @Sarah-tq2vc 5 месяцев назад

      Samofi hajui hilo😅😅😅😅

  • @BizeAly
    @BizeAly 5 месяцев назад +1

    Mkojana eti mpunga songeaa😂😂

  • @DastanKomba-dk5ch
    @DastanKomba-dk5ch 5 месяцев назад +1

    Kidogo mambo ichemke

  • @petromihayo8632
    @petromihayo8632 5 месяцев назад +1

    😂😂😂dah hii gang burudani sana

  • @ZDZ.COMPANY.LIMITED
    @ZDZ.COMPANY.LIMITED 5 месяцев назад +1

    Tarehe 1 fire

  • @chachagimonge
    @chachagimonge 5 месяцев назад +3

    Samufi ni mtata sana

  • @MijikendaArts
    @MijikendaArts 5 месяцев назад +9

    Mimi ndo wa kwanza kulike🎉❤❤so nipeni like zangu

  • @mjuni_hardware
    @mjuni_hardware 5 месяцев назад

    Sas unaitoa huku unaumia 😂😂 kwasabab unalia 😂😂😂

  • @alhimnamussasaid3619
    @alhimnamussasaid3619 5 месяцев назад +1

    Yuko wapo haji adam

  • @Hdtattoo
    @Hdtattoo 5 месяцев назад +3

    Naombeni like

  • @abdulmohd6880
    @abdulmohd6880 5 месяцев назад +1

    Tulipanda watu 5000 kwenye canter mamae😂

  • @Asma-m1j
    @Asma-m1j 5 месяцев назад +1

    Abogojo🤣🤣🤣🤣

  • @marianakamb-fg7sk
    @marianakamb-fg7sk 5 месяцев назад

    Mahari inatolewa na huku tunalia😂😂Waah pesa bwanaa🤌

  • @HatibuLuwanga
    @HatibuLuwanga 5 месяцев назад

    Wataomba,hogo

  • @muzafarsharif9465
    @muzafarsharif9465 5 месяцев назад +1

    weeh blo 😂lelax sister

  • @iscofootballer06
    @iscofootballer06 5 месяцев назад

    Sas apo mkojan unatikisa majonz ya wazanzibar yaliopit 😭😭

  • @mohamednzaro3510
    @mohamednzaro3510 5 месяцев назад +1

    Acha na mm nioe mkojani.

  • @MikajoseNankola
    @MikajoseNankola 5 месяцев назад +1

    Sasa itakuaje

  • @عمرانالحجري
    @عمرانالحجري 5 месяцев назад

    Mkojan unajua kaka

  • @hemedyjuma9782
    @hemedyjuma9782 5 месяцев назад +1

    Pameanza kuchangamka

  • @erickngundi690
    @erickngundi690 5 месяцев назад +2

    Wakanza

  • @Blackhummer-c7j
    @Blackhummer-c7j 5 месяцев назад +2

    ❤❤❤❤❤

  • @ZainabLol-wx7xf
    @ZainabLol-wx7xf 5 месяцев назад +2

    MWANAMKE ANATOA PESA HUKU ANALIA😂😂😂

  • @HatibuLuwanga
    @HatibuLuwanga 5 месяцев назад

    Hapanaaaaa

  • @majystar-en9il
    @majystar-en9il 5 месяцев назад +2

    Abogojoooo ila mkojani

  • @rehemakatundu7027
    @rehemakatundu7027 5 месяцев назад +1

    Kwani kwenye barua awakusoma majina

  • @majystar-en9il
    @majystar-en9il 5 месяцев назад +3

    Kioo changu kipo wapi jamaniii

  • @bitishoriziki5585
    @bitishoriziki5585 5 месяцев назад

    Mbona mme nganisha tare he Kwa Nini acha kinjana atowe Kwanza

  • @honoreluvunzu4684
    @honoreluvunzu4684 5 месяцев назад +1

    Sasa kwenye storia ya filamu ka chungulia nini aibu😂😂😂😂

  • @MustaffAmissi
    @MustaffAmissi 5 месяцев назад +1

    Chandimu mnafosi hanakipaji

  • @mohdkhamis9170
    @mohdkhamis9170 5 месяцев назад

    Tere kasam mere kasam
    Jebamzaa kanunihe😂😂😂

  • @Officialjidaa-sn9cs
    @Officialjidaa-sn9cs 5 месяцев назад +1

    Oyoooo

  • @MweroJumaa-t1k
    @MweroJumaa-t1k 5 месяцев назад +3

    Wakwanza Leo likes zangu plz

  • @rasakakaombwe
    @rasakakaombwe 5 месяцев назад +3

    😂😂😂😂😂

  • @bitishoriziki5585
    @bitishoriziki5585 5 месяцев назад

    ❤❤ 🥰

  • @bitishoriziki5585
    @bitishoriziki5585 5 месяцев назад

    Mapenzi ya dawa ya me kolea mama namtoto wako

  • @elizabethmahenzo7220
    @elizabethmahenzo7220 5 месяцев назад +2

    ❤❤❤❤❤😂🎉

  • @criminalminds7723
    @criminalminds7723 5 месяцев назад +2

    Hakuna sauti mbona

  • @Kilembaa254
    @Kilembaa254 5 месяцев назад +2

    Hii mumefeli sauti hamna

  • @khamisomar_1994
    @khamisomar_1994 5 месяцев назад +2

    M.v spice ilizama trh 09/09/2011

  • @AbdullahRajabu-y5x
    @AbdullahRajabu-y5x 5 месяцев назад

    Naam 😂

  • @mohamednzaro3510
    @mohamednzaro3510 5 месяцев назад +1

    Yani hii collabo ya chandim na mkojani ni kama diamond na Jux. Lazma uta "enjoy"

  • @mohamednzaro3510
    @mohamednzaro3510 5 месяцев назад +1

    Sasa haya makofi unanipigia sababu snema za kihindi au sababu kutaka kuoa wakwanza??

  • @Jumashadhil380
    @Jumashadhil380 5 месяцев назад +8

    Wanangu Wa kuomba like mwakani Sijui mtaomba nini?

    • @edwardmalimi8903
      @edwardmalimi8903 5 месяцев назад +2

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 sijui wanazipelekaga wap aseee

    • @Jumashadhil380
      @Jumashadhil380 5 месяцев назад +1

      @@edwardmalimi8903 Maana Mwaka ushaisha Huu, Na Kuna Watu Wametumia Huu Mwaka Kuomba Like Tuu,, Sasa Mwakani Sijui Mtakuja Kuomba nini😅?

    • @fatimaharoun-np8uv
      @fatimaharoun-np8uv 5 месяцев назад +2

      Mwakan wataomba comment 😂😂

    • @Jumashadhil380
      @Jumashadhil380 5 месяцев назад +1

      @@fatimaharoun-np8uv 😂😂😂Kwa Kweli

    • @Asma-m1j
      @Asma-m1j 5 месяцев назад

      Midume itaoba kuolewa na mijike itaoba kupandwa nyuma

  • @gayanestory4357
    @gayanestory4357 5 месяцев назад +1

    ❤❤❤

  • @KoreanDramaMoviesKiswahili
    @KoreanDramaMoviesKiswahili 5 месяцев назад +1

    ❤❤❤