Tarehe _ 1 Episode 11 |Mkojani ,Samofi,Chandim|

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • #mkojani #lovestory

Комментарии • 131

  • @joycemashikolo9096
    @joycemashikolo9096 Месяц назад +16

    Hivi mtu akiomba like mnapata faida gani utasikia mimi ni wa kwaza nipeni like mnazingua sna

  • @عمرانالحجري
    @عمرانالحجري Месяц назад +8

    Kutoka OMAN nimekua wa 41. Kazi nzur wajomba

  • @mohamednzaro3510
    @mohamednzaro3510 Месяц назад +6

    Hakuna series ya mkojani gang imekuwa na machozi mingi kama hiii.... Chandimu bin darwesh anadeserve Award

  • @mariamfritsi4943
    @mariamfritsi4943 Месяц назад +8

    Huyu samofi na mkojani sijui yaya maneno ya hapo kwa hapo wanayapataga wapi,wana vipaji sana .

  • @alhimnamussasaid3619
    @alhimnamussasaid3619 Месяц назад +5

    BINADAM tumekata wazito sana wa kukubaliana na yanayo tutokea maishani mwetu hili liwe funzo kwetu

  • @Jumashadhil380
    @Jumashadhil380 Месяц назад +5

    Hiki kidemu cha chandimu Kina Sauti kali😅😅 Yani Mpaka napunguza Sauti huku😅

  • @wizz_lee_8840
    @wizz_lee_8840 Месяц назад +5

    Mnaopenda kuomba like mtaliwa siku sio zenu kama hamna kazi nyny vichogo kaombeni kazi kwa mwamposa acheni ufala

  • @Awoshy
    @Awoshy Месяц назад +4

    Mkojani sema msimamo wako uko 🔥🔥sana kaza baba utaachaje mkeo bhana 😂😂😂😂hawa watoto mazamwamwa kweli😂

  • @KhaniyHaji
    @KhaniyHaji Месяц назад +5

    Wa kwanza mim nipen like zangu

    • @DavisMmole
      @DavisMmole Месяц назад

      Tukikupa hzo like unakula?

  • @MamaAmadi
    @MamaAmadi Месяц назад +6

    Tunawapenda sana

  • @AishaAbdallah-w2b
    @AishaAbdallah-w2b Месяц назад +4

    Otindi otindilio😂😂😂😂😂

  • @KalimuSadiki
    @KalimuSadiki Месяц назад +3

    Mkojani ww noma unabunifu mkubwa sana

  • @MuniruBakari97
    @MuniruBakari97 Месяц назад +4

    hii soseji jmn yaan mkojan mtoto wa mwenzio kweli sosej

  • @TupoComedy
    @TupoComedy Месяц назад +6

    WA DAU TM MKOJANI NAOMBA LIKE KWAHII KAZ KIZAZ SIWAPINGI❤

    • @rasakakaombwe
      @rasakakaombwe Месяц назад +1

      Wewe chize like zikusaidie nn sasa

    • @DavisMmole
      @DavisMmole Месяц назад

      Unataka kuzipeleka wap yaan sawa sawa unaomba utiwe dole sio

  • @matoboy2820
    @matoboy2820 Месяц назад +4

    Hii vita baridi kazi ipo😂

  • @KhaniyHaji
    @KhaniyHaji Месяц назад +5

    Wakwanz kwa mara nyengne

  • @fadhilbachoo5985
    @fadhilbachoo5985 Месяц назад +3

    Muvi itanoga pale story itembee hapo uwamuzi ni kukimbizana tu

  • @hemedyjuma9782
    @hemedyjuma9782 Месяц назад +2

    Jamani kila movie mnampga sana chandimu makofiii saamofii na mkojanii makofiii hayoo jamnii

  • @assanerachidenkomua3506
    @assanerachidenkomua3506 Месяц назад +3

    Music izuri sana🎉

  • @MgonjaFide
    @MgonjaFide Месяц назад +4

    Uyu dada nae alia Sana bana

  • @herllizzythaanaplatnumz8154
    @herllizzythaanaplatnumz8154 Месяц назад +2

    Mkojani gang, kazi iendelee mozambique

  • @tatusalum5728
    @tatusalum5728 Месяц назад +4

    Ila punguzeni kumpiga makofi chandimu

    • @Bamutumubaya
      @Bamutumubaya Месяц назад

      yaani wanampiga makofi ya kweli kweli 😂😢kama yale ya samofi 😮

  • @LeonardSilungwe-x7d
    @LeonardSilungwe-x7d Месяц назад +1

    Nakubal sana mkojani
    By
    Leonard silungwe from sumbawanga kijiji cha tunko

  • @BahatijosefuKasebele-vc1zg
    @BahatijosefuKasebele-vc1zg Месяц назад +1

    Chandim anaupiga mwingi sana like zenu wadau

  • @Asma-m1j
    @Asma-m1j Месяц назад +3

    Eeee watoto wa leo hawana adabu kabisa

  • @YUSSUFVUAIMKANGA-kr8on
    @YUSSUFVUAIMKANGA-kr8on Месяц назад +2

    😂😂😂😂 Eti Utimbi na Utimbikioni😂🇹🇿 Ila Mkojani bin Darwesh Tarabush Kifaru😂

  • @fatumaselemani3807
    @fatumaselemani3807 Месяц назад +2

    Mashallah ❤❤❤❤❤

  • @mohamednzaro3510
    @mohamednzaro3510 Месяц назад +1

    With love from Mombasa. Team Mkojani gang. Abogojo. Ki sausage kina kelele. Aaaaaah Ovyooooooo

  • @MwajShabani
    @MwajShabani Месяц назад +4

    Mkojani 🎉🎉🎉

  • @fatimaharoun-np8uv
    @fatimaharoun-np8uv Месяц назад +3

    Kisoseji😂😂😂😂

  • @MbaroukOmar-v3y
    @MbaroukOmar-v3y Месяц назад +2

    Wakwanz mie ❤

  • @mchambikisupi9204
    @mchambikisupi9204 Месяц назад +2

    Hii scene ya huyu mchumba wa chandimu mwafoo angeua zaidi

  • @muzafarsharif9465
    @muzafarsharif9465 Месяц назад +1

    mwanne Kako wapi nakapenda sana ❤❤

  • @salumsleyyum2847
    @salumsleyyum2847 Месяц назад +2

    Wakwanza kutazama ❤

  • @hassanplan.b7815
    @hassanplan.b7815 Месяц назад +3

    wa kwanza

  • @mirambomartin8456
    @mirambomartin8456 Месяц назад +1

    Samofi anaua sana combination inanoga mkojan zngatia hiloooo

  • @salimally2823
    @salimally2823 Месяц назад +2

    Mkojani kazi baba😂😂😂

  • @JerryKachenga
    @JerryKachenga Месяц назад +2

    Watu mnajua kuwai aaah

  • @masoudfundiumeme8892
    @masoudfundiumeme8892 Месяц назад +3

    Pamoja saana mkojan gang😂❤

  • @MwajShabani
    @MwajShabani Месяц назад +3

    Wakwanza

  • @Essymyugo
    @Essymyugo Месяц назад +1

    Otimbi na otimbilion 😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @AbbasSaid-fp5rg
    @AbbasSaid-fp5rg Месяц назад +1

    Huyu dem wa chandim anasura ngumu kama vile ameramba ndimu

  • @JumaMcholola
    @JumaMcholola Месяц назад +2

    No 1😅😅😅😅

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY Месяц назад +1

    Mimi wangapi jaman niangalizien
    kutoka-MILOLA

  • @MgonjaFide
    @MgonjaFide Месяц назад +1

    Ivi hayo mabao yanapgwa kweli chandim au😅😅😅

  • @nduwayofaustinfofo9450
    @nduwayofaustinfofo9450 Месяц назад +2

    Wakwanza leo

  • @erickminja1645
    @erickminja1645 Месяц назад

    Unalia hadii mm nalia hongera team yangu ya ushindi shamilaa & chandimu

  • @ahmadakhelef9650
    @ahmadakhelef9650 Месяц назад

    himuvi imebamba tutoke kwenye maigizo sasa tuupeleke kwenye maisha ya kweki je dini inaruhusu hebu mkojan ifatilie kidini tujue tena iwe fatwa ya kweli ili tujifunze kit hongera mgaigai

  • @farlykunga8599
    @farlykunga8599 Месяц назад +1

    😂😂😂😂...et iki kisosegi ...daah...😅😅..mkojajii!!

  • @mohamednzaro3510
    @mohamednzaro3510 Месяц назад +2

    Majiraniiiiiiiiiiiii. Too late

  • @Murshid695
    @Murshid695 Месяц назад +3

    🎉🎉🎉

  • @ArfanAyubu
    @ArfanAyubu Месяц назад +3

    Oyoooooooooooo

  • @ghazzaalthani
    @ghazzaalthani Месяц назад +3

    89views, 3min ago

  • @TahiyaAlihaji-jg5vt
    @TahiyaAlihaji-jg5vt Месяц назад +1

    Mkojan Sheria ya dini anaolewa na chandi inaswih

  • @gharibali2554
    @gharibali2554 Месяц назад +1

    Like ni urafiki t xio kitu kibaya mbn mtu kuomba like kwan ww utakae mpa mwenzako like utakoxa nn???

  • @AbdulSalum-e8b
    @AbdulSalum-e8b Месяц назад

    Shamila anaweza sana mkojani endelea kuwa nae

  • @MtheboyFishBowl-pp1bo
    @MtheboyFishBowl-pp1bo Месяц назад +4

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @HafsaAhmady
    @HafsaAhmady Месяц назад

    Nyie mapenz et bila chandim hawez kupumua hawez kuhema 🤣🤣🙌

  • @salhamlanz9806
    @salhamlanz9806 Месяц назад

    Abogojoooo eti shamila bila Chand hawezi kuhema😂😂😂😂😂

  • @hassankalush7513
    @hassankalush7513 Месяц назад +1

    Mimi wamwisho sitaki likes zenu

  • @mayaashassan3918
    @mayaashassan3918 Месяц назад +1

    Najuta kununua filamu za kihindi for me 😂😂😂😂

  • @vicentmapunda3146
    @vicentmapunda3146 Месяц назад +2

    Analia qnaigiza

  • @mansulisaidi2066
    @mansulisaidi2066 Месяц назад +3

    1

  • @prophetgknyotasaba195
    @prophetgknyotasaba195 Месяц назад +1

    Niki Maliza IBADA HUWA napenda Kufuatilia Hiii Mkojani

  • @FahadAli-ni5eu
    @FahadAli-ni5eu Месяц назад

    My favorite comedian

  • @BinAmour-b7r
    @BinAmour-b7r 8 дней назад

    Shamira hongera zako umecheza san umevaa uhusika km ni kwel hich kitu kimekutokea yan km huigiz vile dah hongera yan had huruma

  • @revocatusjoseph2447
    @revocatusjoseph2447 Месяц назад +2

    🔥🔥🔥🔥🔥

  • @noahchepe8036
    @noahchepe8036 18 дней назад

    😂😂Chandim scene za kuonewa zinamfaa sana.

  • @Sarah-tq2vc
    @Sarah-tq2vc Месяц назад

    Punguzeni kulia,bwana chandimu na mwenzako mnakera sasa😅😅😅😅

  • @CharlesKing-t5t
    @CharlesKing-t5t Месяц назад

    Mapenzi ni kitu ingine 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @avocadomatala2883
    @avocadomatala2883 Месяц назад +1

    HUO WIMBO TUNAUTAKA UWE OFFICIAL MUWEKE YOU TUBE TUWE NAO KWENYE SIMU ZETU

  • @mgawetv434
    @mgawetv434 Месяц назад +1

    Mkojani kuwa na moyo wahulum

  • @KoreanDramaMoviesKiswahili
    @KoreanDramaMoviesKiswahili Месяц назад +1

    ❤❤❤

  • @Zahara-or3cf
    @Zahara-or3cf Месяц назад +1

    Kwa kweli anachosha huyu shamila

  • @Asma-m1j
    @Asma-m1j Месяц назад +1

    Duuuuuu unapigwa bure kisa mhhhhh kwa kipi apo😂

  • @ruqiyanasir7141
    @ruqiyanasir7141 Месяц назад

    Hayo mapezi yashakua ya sharukhan

  • @eshamohd7268
    @eshamohd7268 11 дней назад

    Ati picha za kihindi kwangu marfuku😂😂

  • @G29mussa
    @G29mussa Месяц назад +3

    Sasa msife kwanza bila kuzagamuana hata mara mbili

    • @Zahara-or3cf
      @Zahara-or3cf Месяц назад +1

      😂😂

    • @G29mussa
      @G29mussa Месяц назад

      @@Zahara-or3cf eeeh jaman sa kumbe nn

  • @LeogangfafahAli
    @LeogangfafahAli Месяц назад +2

    😂😂😂😂 ❤❤❤

  • @mechne803
    @mechne803 Месяц назад

    Movie nzuri inafundisha pia inahuzunisha sana

  • @Essymyugo
    @Essymyugo Месяц назад

    Aaah subutu tafuta bwana 😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉

  • @nickyrizznathan
    @nickyrizznathan Месяц назад

    ichu kama hii ndo inayo endelea kwenye familia yangu yan sema wao wamepata adi watot na mbka asaiv ni miaka imepita na hakuna mtu anajua nn kitatokea na kati yao hakuna mtu anae taka kutengan n mwenzake

  • @IbrahimAbillah
    @IbrahimAbillah Месяц назад

    Samofi brother umeua sana tangu nianze kukufuatilia hujawahi kosea

  • @MikajoseNankola
    @MikajoseNankola Месяц назад

    Lakini mkojani mnaboa series chache Sana 12ep

  • @abdulazizshadau8082
    @abdulazizshadau8082 Месяц назад

    Mkojani kaa ngumu hawa watoto wanazengua sana bado ni washamba wa mpenzi

  • @eusebioamerico2660
    @eusebioamerico2660 Месяц назад +4

    Leo Leo Sasa mimi

  • @mokajoli4928
    @mokajoli4928 Месяц назад

    Somo yangu mkojani nakutambua kwa kua king'ang'a sasa ukilegeza utaniangusha kwanza timua uyo chandimu akapange asilete zesheni wakati yuko kwako kama anajiweza akapange😂

  • @SmithJacob-f2r
    @SmithJacob-f2r Месяц назад

    Huyu shamirah ana sura ya zamani😅😅😅

  • @mchambikisupi9204
    @mchambikisupi9204 Месяц назад

    Ila chandimu anakandwa hapa mkojani gang

  • @MekyArosto-os5gt
    @MekyArosto-os5gt Месяц назад

    Kufeni tu naona kama mnacherewa kufa c mnapendana nyie machizi kweli

  • @SalehFaki-im4nh
    @SalehFaki-im4nh Месяц назад

    Watoto wawili mapacha otimbi na otimbilion

  • @InnocentArmadillo-do9vm
    @InnocentArmadillo-do9vm Месяц назад

    Team mkojani Samofi. Chandimu mnajua kinoma 💯💯

  • @Diyankurze
    @Diyankurze Месяц назад

    jmn cha ndimu ana hadithii mweee maneno kidogo kashaingizia na hadithi au tamthilia fulani😂😂😂😂😂 yani mpaka mkojani anakasirika wakati nakulipia ada ww unaenda kukalili tamthilia 🤣🤣🤣🤣🙌🏾🙌🏾🙌🏾

  • @Twilumba
    @Twilumba Месяц назад

    Uyu nae analia mpk ana halibu move

  • @SmithJacob-f2r
    @SmithJacob-f2r Месяц назад

    Otimbi na otimbilioni😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @HamisiMchagula
    @HamisiMchagula 22 дня назад

    Kadem kasuli harafu kanamwanya asee hamm simuachi

  • @RamadhanMohammed-v1x
    @RamadhanMohammed-v1x Месяц назад

    Otimbi na otimbilio

  • @MoussaAbdoul-wo3ur
    @MoussaAbdoul-wo3ur Месяц назад

    Sharukan kashamuharibu huyo chandimu😂😂😂

  • @MoussaAbdoul-wo3ur
    @MoussaAbdoul-wo3ur Месяц назад

    Sharukan kamuharibu😂😂 usinunuwe tena kaseti za sharukan 😂😂

  • @abihudiisaka2618
    @abihudiisaka2618 Месяц назад

    Otimbi na timbilio😂😂😂😂😂