EPISODE; 42 UNAPO TAYAMAM UKAACHA KICHWA NA MIGUU JE, INAKUBALIKA?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 110

  • @telaamtauta2227
    @telaamtauta2227 2 года назад +1

    Mungu akulipeni mariposa mema. Kijana wetu ismail natim nzim ya kishik

  • @mzeekara2370
    @mzeekara2370 2 года назад +4

    A alkm , shegh unapo wapa majibu waliyo kosa nivizuri sana ila waeleweshe hicho kitu husika kama kutayamam nikukosa maji ya kutia udhu ndio una tayamam na ukiwacha kichwa n miguu inaswihi hapo elimu itakuwa imefika vzr man wengine hawajuwi kutayamam ni tendo gani

  • @zabibubintikalumeburundian4421
    @zabibubintikalumeburundian4421 2 года назад +1

    +257Mashallah yulekaka wabaskeli kapatia

  • @zainabmaulidi9846
    @zainabmaulidi9846 2 года назад +5

    Masha Allah
    Kipindi changu pendwa na Ismail Muhammad
    Na wapenda sana kwa ajili ya ALLAH

  • @mozasaid3869
    @mozasaid3869 2 года назад +2

    Mimi nimefurahi kuulizwa mwanamke! Hongera Kishki TV,

  • @radhiaoman9828
    @radhiaoman9828 2 года назад +6

    Sheikh Ismail Allah akuhifadhi na crew nzima ya kishk Tv Allah awalipe kheri kwa kutuelimisha

  • @fatmakassim8604
    @fatmakassim8604 2 года назад +4

    Waalykum salam warahmatullah wabarakatuh ustadh Ismalil shukran sana ALLAH akujaze kheri ww na crew nzima ya Kishk TV

  • @imansaid8020
    @imansaid8020 2 года назад +1

    Shekh omary mpole mpaka nimempenda wallah

  • @radhiaoman9828
    @radhiaoman9828 2 года назад +3

    Inasikitisha kwa kweli wazee waonekana maashaallah lakini hawajui Allah atuongoze na wote tunaofahamu tuseme #Alhamdulillah

    • @siriyangu4724
      @siriyangu4724 2 года назад

      Allah humma mamiin 🤲

    • @zulfahussein6784
      @zulfahussein6784 2 года назад

      Allahummaa Aaaamiiin Yaa Raab
      Umeona yaani kwakweli
      Allaah azidi kutuongoza na kutujalie Neema zake tumfaham zaidi

    • @eshasalim5496
      @eshasalim5496 2 года назад

      ALHAMDULILLAH

    • @mayungamohamed4601
      @mayungamohamed4601 2 года назад

      Alhamdulillah

  • @sadabahla7120
    @sadabahla7120 2 года назад +1

    Mashallah tunajifuza

  • @muhammadkipangatv2674
    @muhammadkipangatv2674 2 года назад +1

    ماشاء الله

  • @fathimabh1487
    @fathimabh1487 2 года назад

    Mashaa Allah najifunza waalikm msalam

  • @furahamossi3199
    @furahamossi3199 2 года назад +7

    Waleikussalam warahmatullah wabarakat, wengi hawatojibu inaswihi kwasababu ulewa wanauka sawa na ku tawadha

    • @adijarashidi1426
      @adijarashidi1426 2 года назад

      Minafri hatamajibu hawakuelewa vizuri sababu wamesikiy ukiacha kichwa na migu tayammam inakublika hawajaelewa kuwa nimikono na usoni basi, nimtihan Allah awajaaliy mashekhe zetu bidi yakutufunza dini yetu in sha Allah

  • @salimaomar9896
    @salimaomar9896 2 года назад +1

    Wewe kaka Ismaili unamambo 😅😅😅😅

  • @mayungamohamed4601
    @mayungamohamed4601 2 года назад

    Bwana Bakari na mwenzie
    Hatari kabsa

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 2 года назад +2

    Sheikh wetu Ismali allah akuhifadhi

  • @siriyangu4724
    @siriyangu4724 2 года назад +2

    Walyeku mssalm warramathulai wabarakathu sheikh ismail barabara c kitu cha kuchezea 😂😂

  • @salimaomar9896
    @salimaomar9896 2 года назад

    Mashaallah twa ilimika kwa kupitia Tv yetu pedwa ya kipenzi wetu Nourden Kishk na team zima Allah akuifadhini nyote wapenzi watuu

  • @jasminjuma6390
    @jasminjuma6390 2 года назад +2

    Waalaykum Salam warahmatullah wabarakatuh

  • @fatmakassim8604
    @fatmakassim8604 2 года назад +2

    Kutayamam ni kusujudu😃😃😃 SubhanaAllah mtihani kwa kweli.

  • @siriyangu4724
    @siriyangu4724 2 года назад +4

    Kimtizamo wangu naona awajui tafauti ya kutayamamu na kutawaza

  • @halimahussein5352
    @halimahussein5352 2 года назад +1

    Allahu Akbar 😃😃😃 unazama kwenye vumbi moja Kwa mojaaa mtihani jaman

  • @halimahussein5352
    @halimahussein5352 2 года назад +1

    Maashaallah sheikh Ismail Allah akuhifadhi

  • @zainabmaulidi9846
    @zainabmaulidi9846 2 года назад +2

    Waalykum salaam warhamatulah wabarakatulh
    Sheikh Ismail Muhammad

    • @jasminjuma6390
      @jasminjuma6390 2 года назад +1

      Daah umewahi mda mrefu ukhtiy hatupitwi na kitu hapa🤣🤣🤣

  • @duniawadunia4824
    @duniawadunia4824 2 года назад +1

    Wali na maharage ya mawese? Sheikh yani ndo nakula sasahivi chakula hicho. Shukran sheikh leo kumenoga pia Masha"Allah

  • @FatimaFatima-wk1jk
    @FatimaFatima-wk1jk 2 года назад +1

    Kwa main yangu Kwanza ungewapa elimu juu ya hiyo tayamam wengi hawaijui

  • @nadrahassan5241
    @nadrahassan5241 2 года назад

    Kabsa huo kijana alie kuwa nyuma yao ame waelimisha vizuri kama maji yamekosekana 😍

  • @fettyissa7144
    @fettyissa7144 2 года назад

    Mashaallah

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 2 года назад

    Maa shaa Allah, Omari umejibu vzr

  • @imansaid8020
    @imansaid8020 2 года назад

    Alhamdulillah leo mumewauliza na mwanamke maana mnatusahau

  • @زينببنتسعيد-د9ح
    @زينببنتسعيد-د9ح 2 года назад +1

    Wa alleykum salaam warahmatulah wabarakaatuh MAASHA ALLAH LA QUWWATA ILLA BILLAH sheikh #ismailmohammaddidas MWENYEZI MUNGU akupe afya njema umri mrefu tuzidi kupata ilmu akusimamie katika kila hatua wewe na team nzima ya #kishkitvonline Amiin ya Rabbil Allamin

  • @a.856
    @a.856 2 года назад +1

    Jazakallah khayran

  • @tumajunior6080
    @tumajunior6080 2 года назад +2

    Asalaam aleykum warahmatullahi wabarakatu naomba shekh mtoe hii clip watu wajue namna ya ku tayammum Allah awalipe jazzah yenu duniani na akhera

  • @telaamtauta2227
    @telaamtauta2227 2 года назад

    Walaykum salaam warahmatullah wabarakatuh

  • @rajabrajab8840
    @rajabrajab8840 2 года назад

    Hatar kweli

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 2 года назад

    Waaleykum salaam warahmatullah wabarakatuh

  • @telaamtauta2227
    @telaamtauta2227 2 года назад

    😭😭😭😭😭😭ya Allah tuongozee yaaraby

  • @saay4273
    @saay4273 2 года назад +1

    waaleykum salam warahmatullah wabarakatuh

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 2 года назад

    Mjukuu 😊😊😊

  • @zeitunkassim9352
    @zeitunkassim9352 2 года назад +1

    Waalkm salaam warahmatullah wabaraqatuh

  • @qilil7
    @qilil7 2 года назад +3

    SHEIKH KWANZA WAAMBIE TAYAMMAM NI NINI HAWAFAHAMU NDIO UTAKUWA UMEWAELIMISHA VIZURI

  • @radhiaoman9828
    @radhiaoman9828 2 года назад +2

    Jamani uislam wetu huu wakuungaunga subhannallah

  • @rahmamkali2895
    @rahmamkali2895 2 года назад +1

    Mashaa Allah, Allah awazidishie Inshaa Allah

  • @zeitunkassim9352
    @zeitunkassim9352 2 года назад +2

    😅😅😅😅 sheikh Ismail na mjukuu...eti babu kateleza ukafanyaje......???

  • @bybytata7456
    @bybytata7456 2 года назад

    Waleikum musaalam warahmatullah wabarakatuh Ismail mkorofiii😍😍

  • @ashahamad-mq3iz
    @ashahamad-mq3iz 2 месяца назад

    Hawajui maana ya tayamamu na udhu

  • @zlatanhajikadir3298
    @zlatanhajikadir3298 2 года назад

    This guy is funny though 🤣🤣

  • @missrukia9661
    @missrukia9661 2 года назад +1

    Mashallhaaa

  • @fahadfahmy
    @fahadfahmy 2 года назад +1

    Asalaam alaikum maoni yangu kwa mara yapili,jaribuni kuwauliza masuala yadini waisilamu tu.

  • @a.856
    @a.856 2 года назад +2

    Hii Tayyamam inaenesha wingi wao hawaifaham ilikuwa wapewe elimu pia ni nini...

  • @zeitunkassim9352
    @zeitunkassim9352 2 года назад +3

    Yaani hawa wenzetu bado wanaamini babake yesu ni MUNGU 😥

  • @muhammadkipangatv2674
    @muhammadkipangatv2674 2 года назад

    Jifunze quran kusom kuandik gusa picha yangu hapo kama hautojali

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 2 года назад

    Nmechelewa safari hii

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 2 года назад

    Mkuranga kwa Aunt zangu hapo 😊😊

  • @nuriatihdjasumin1548
    @nuriatihdjasumin1548 2 года назад +1

    Asalam alaykum waramatulah wabarakatuh shukurani

  • @muhammadkipangatv2674
    @muhammadkipangatv2674 2 года назад

    Jifunze quran kusoma na kuandika gusa picha yangu hapo kama hautojali

  • @zeitunkassim9352
    @zeitunkassim9352 2 года назад +1

    Nathani hawaelewi nini ku'tayamaam
    SubhanaAllah mthihani kweli
    Allah atuongoze

  • @zeitunkassim9352
    @zeitunkassim9352 2 года назад +1

    😅😅😅😅 Mabruq kwa mshindi sio kwa msistizo huo aende nyumbani

  • @rahma_bint_djuma
    @rahma_bint_djuma 2 года назад

    Walaykum saalaam warahmatullah wabarakatuh

  • @halimaa9367
    @halimaa9367 2 года назад +1

    Alhamdulhai tuna faidika

    • @halimaa9367
      @halimaa9367 2 года назад

      Vizur leo wanaulizwa wanawake

  • @fatmakhanii1676
    @fatmakhanii1676 2 года назад +1

    Nna imani hata tayammam hawajui ina maana gani pengine wanajua ni kuchukua udhu ungewapa elimu pia wasije waakacha kuchukua udhu kwa usahihi wakajua shekh kasema kumbe hawajafahamu

  • @sadabkari5532
    @sadabkari5532 2 года назад

    Hhhhhhhhh 🥰 mashallah

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 2 года назад +1

    Kutayammam ni kusujudu 🤣🤣🤣

  • @radhiaoman9828
    @radhiaoman9828 2 года назад +1

    Maashaallah leo afadhali umekutana na wanawake maana kila siku wanaume tu

    • @halima2549
      @halima2549 2 года назад

      Kabsaa hata nlidhani haifai

    • @radhiaoman9828
      @radhiaoman9828 2 года назад

      @@halima2549 kasema wanawake wanamkimbia😅

    • @halima2549
      @halima2549 2 года назад

      Ooh😂😂 c vibaya pia huenda wenyewe wakawa hawajajistiri vzr ndo maana inakua mthn kusimama kwa camera

  • @muhammadkipangatv2674
    @muhammadkipangatv2674 2 года назад

    Jifunze quran kusoma kuandik gusa picha yang hapo kama hautojali

  • @myunaniniahmad6463
    @myunaniniahmad6463 2 года назад +2

    Na pia ungekua unawajulisha viungo vya tayammamu.

  • @radhiaoman9828
    @radhiaoman9828 2 года назад +1

    😅😅sheikh Ismail unakumbuka ya rititatitii😅

  • @myunaniniahmad6463
    @myunaniniahmad6463 2 года назад +2

    Shekhe wengi wetu hawajui tayammam ni nini.

  • @sudiasabdinasirali6751
    @sudiasabdinasirali6751 2 года назад

    Asalamaleykum ndugu zangu popote mlipo sasa kuhusu hizi vipindi tijaa ni nini au munafanya vp mkishaaona hayo makosa kwa watu ama haswa lengo ni nini za hizi vipindi vya mtaani???? Sheikh abdilahi masawe na jopo lake ???? Ila mm nina maoni hii sio tija na sioni faida yake kwa umma kabisa.labda mungefungua madarasa kuelimisha hao watu wa mtaani ingekua Jambo lenye kheir na faida kubwa sana kwa umma in Sha Allah siwezi kuwahukumu na kingine dini inahitaji muhanga na fikra kama ya mtume wetu Mohamed s.a.w na maswahaba zake kujeni na fikra hizo na huzni ya dini in Sha Allah umma tunaangamia kila kukicha na kiduchu ndio inafanyika na juhudi za kimaslahi zaidi hili sio swa kabisa.wafikishieni jopo lote la hizi vipindi na katibu abdilahi masawe in Sha Allah .wabillahi towfiq asalamaleykum warahamtullahi wabarakatu

  • @zeitunkassim9352
    @zeitunkassim9352 2 года назад +1

    😅😅😅😅 Astaghfirullah sheikh Ismail mtu wa watu bubu kweli

  • @nadrahassan5241
    @nadrahassan5241 2 года назад

    Unge wapa na faida kutayamam ni nini maana inawezekana hawajui hata ni nini 😣

  • @osmandemebele3335
    @osmandemebele3335 2 года назад +1

    Tayammam kusujud htr

  • @mariamsalim9311
    @mariamsalim9311 2 года назад +1

    Ungewauliza hiyo tayamam ni nini maana naona kama hao wengine hawajui hata hiyo tayamam

  • @mohamedasha3130
    @mohamedasha3130 2 года назад

    Kwanza nikua hawajui ni nini kutayammamu

  • @sabihamakami3720
    @sabihamakami3720 2 года назад

    😅😅😅😅

  • @ruwaidaal-ismaily9099
    @ruwaidaal-ismaily9099 2 года назад

    وَعَلَيْكُم السَّلَام وَرَحْمَةُ اَللهِ وَبَرَكاتُهُ‎

  • @asiakheir8684
    @asiakheir8684 2 года назад

    Someni comment ili mjuwe maoni yetu, na nini tunajitaji, in shaa Allah

  • @khadijasalimmohamedsalimmo956
    @khadijasalimmohamedsalimmo956 2 года назад +1

    MashaAllah