A alkm , shegh unapo wapa majibu waliyo kosa nivizuri sana ila waeleweshe hicho kitu husika kama kutayamam nikukosa maji ya kutia udhu ndio una tayamam na ukiwacha kichwa n miguu inaswihi hapo elimu itakuwa imefika vzr man wengine hawajuwi kutayamam ni tendo gani
Minafri hatamajibu hawakuelewa vizuri sababu wamesikiy ukiacha kichwa na migu tayammam inakublika hawajaelewa kuwa nimikono na usoni basi, nimtihan Allah awajaaliy mashekhe zetu bidi yakutufunza dini yetu in sha Allah
Wa alleykum salaam warahmatulah wabarakaatuh MAASHA ALLAH LA QUWWATA ILLA BILLAH sheikh #ismailmohammaddidas MWENYEZI MUNGU akupe afya njema umri mrefu tuzidi kupata ilmu akusimamie katika kila hatua wewe na team nzima ya #kishkitvonline Amiin ya Rabbil Allamin
Nna imani hata tayammam hawajui ina maana gani pengine wanajua ni kuchukua udhu ungewapa elimu pia wasije waakacha kuchukua udhu kwa usahihi wakajua shekh kasema kumbe hawajafahamu
Asalamaleykum ndugu zangu popote mlipo sasa kuhusu hizi vipindi tijaa ni nini au munafanya vp mkishaaona hayo makosa kwa watu ama haswa lengo ni nini za hizi vipindi vya mtaani???? Sheikh abdilahi masawe na jopo lake ???? Ila mm nina maoni hii sio tija na sioni faida yake kwa umma kabisa.labda mungefungua madarasa kuelimisha hao watu wa mtaani ingekua Jambo lenye kheir na faida kubwa sana kwa umma in Sha Allah siwezi kuwahukumu na kingine dini inahitaji muhanga na fikra kama ya mtume wetu Mohamed s.a.w na maswahaba zake kujeni na fikra hizo na huzni ya dini in Sha Allah umma tunaangamia kila kukicha na kiduchu ndio inafanyika na juhudi za kimaslahi zaidi hili sio swa kabisa.wafikishieni jopo lote la hizi vipindi na katibu abdilahi masawe in Sha Allah .wabillahi towfiq asalamaleykum warahamtullahi wabarakatu
Mungu akulipeni mariposa mema. Kijana wetu ismail natim nzim ya kishik
A alkm , shegh unapo wapa majibu waliyo kosa nivizuri sana ila waeleweshe hicho kitu husika kama kutayamam nikukosa maji ya kutia udhu ndio una tayamam na ukiwacha kichwa n miguu inaswihi hapo elimu itakuwa imefika vzr man wengine hawajuwi kutayamam ni tendo gani
+257Mashallah yulekaka wabaskeli kapatia
Masha Allah
Kipindi changu pendwa na Ismail Muhammad
Na wapenda sana kwa ajili ya ALLAH
Mashalha tabara alha
Nakupenda pia😍😍
Mimi nimefurahi kuulizwa mwanamke! Hongera Kishki TV,
Sheikh Ismail Allah akuhifadhi na crew nzima ya kishk Tv Allah awalipe kheri kwa kutuelimisha
Ameen
Allah humma mamiin 🤲
Amiin Ya Rabb
Allah humma Amiin yaraby huyu kaka nimchangamfu sichoki kumsikiliza
Waalykum salam warahmatullah wabarakatuh ustadh Ismalil shukran sana ALLAH akujaze kheri ww na crew nzima ya Kishk TV
Amiin yarrab 🤲
Ameen
Allahumma Amiin
Shekh omary mpole mpaka nimempenda wallah
Inasikitisha kwa kweli wazee waonekana maashaallah lakini hawajui Allah atuongoze na wote tunaofahamu tuseme #Alhamdulillah
Allah humma mamiin 🤲
Allahummaa Aaaamiiin Yaa Raab
Umeona yaani kwakweli
Allaah azidi kutuongoza na kutujalie Neema zake tumfaham zaidi
ALHAMDULILLAH
Alhamdulillah
Mashallah tunajifuza
ماشاء الله
Mashaa Allah najifunza waalikm msalam
Waleikussalam warahmatullah wabarakat, wengi hawatojibu inaswihi kwasababu ulewa wanauka sawa na ku tawadha
Minafri hatamajibu hawakuelewa vizuri sababu wamesikiy ukiacha kichwa na migu tayammam inakublika hawajaelewa kuwa nimikono na usoni basi, nimtihan Allah awajaaliy mashekhe zetu bidi yakutufunza dini yetu in sha Allah
Wewe kaka Ismaili unamambo 😅😅😅😅
Bwana Bakari na mwenzie
Hatari kabsa
Sheikh wetu Ismali allah akuhifadhi
Allahumma Amiin
Walyeku mssalm warramathulai wabarakathu sheikh ismail barabara c kitu cha kuchezea 😂😂
Mashaallah twa ilimika kwa kupitia Tv yetu pedwa ya kipenzi wetu Nourden Kishk na team zima Allah akuifadhini nyote wapenzi watuu
Waalaykum Salam warahmatullah wabarakatuh
Kutayamam ni kusujudu😃😃😃 SubhanaAllah mtihani kwa kweli.
Kimtizamo wangu naona awajui tafauti ya kutayamamu na kutawaza
Nikweli
Allahu Akbar 😃😃😃 unazama kwenye vumbi moja Kwa mojaaa mtihani jaman
Maashaallah sheikh Ismail Allah akuhifadhi
Waalykum salaam warhamatulah wabarakatulh
Sheikh Ismail Muhammad
Daah umewahi mda mrefu ukhtiy hatupitwi na kitu hapa🤣🤣🤣
Wali na maharage ya mawese? Sheikh yani ndo nakula sasahivi chakula hicho. Shukran sheikh leo kumenoga pia Masha"Allah
😋😋
Kwa main yangu Kwanza ungewapa elimu juu ya hiyo tayamam wengi hawaijui
Kabsa huo kijana alie kuwa nyuma yao ame waelimisha vizuri kama maji yamekosekana 😍
Mashaallah
Maa shaa Allah, Omari umejibu vzr
Alhamdulillah leo mumewauliza na mwanamke maana mnatusahau
Wa alleykum salaam warahmatulah wabarakaatuh MAASHA ALLAH LA QUWWATA ILLA BILLAH sheikh #ismailmohammaddidas MWENYEZI MUNGU akupe afya njema umri mrefu tuzidi kupata ilmu akusimamie katika kila hatua wewe na team nzima ya #kishkitvonline Amiin ya Rabbil Allamin
Amiin Ya Rabb
Amiin
@@rahmaabdulla4949 Amiin ya Rabbil Allamin habibty
Jazakallah khayran
Asalaam aleykum warahmatullahi wabarakatu naomba shekh mtoe hii clip watu wajue namna ya ku tayammum Allah awalipe jazzah yenu duniani na akhera
Walaykum salaam warahmatullah wabarakatuh
Hatar kweli
Waaleykum salaam warahmatullah wabarakatuh
😭😭😭😭😭😭ya Allah tuongozee yaaraby
waaleykum salam warahmatullah wabarakatuh
Mjukuu 😊😊😊
Waalkm salaam warahmatullah wabaraqatuh
SHEIKH KWANZA WAAMBIE TAYAMMAM NI NINI HAWAFAHAMU NDIO UTAKUWA UMEWAELIMISHA VIZURI
Jamani uislam wetu huu wakuungaunga subhannallah
Allah Atuongoze Ya Rabb
@@eshasalim5496 Amiin
Mashaa Allah, Allah awazidishie Inshaa Allah
Ameen
😅😅😅😅 sheikh Ismail na mjukuu...eti babu kateleza ukafanyaje......???
Waleikum musaalam warahmatullah wabarakatuh Ismail mkorofiii😍😍
Hawajui maana ya tayamamu na udhu
This guy is funny though 🤣🤣
Mashallhaaa
Asalaam alaikum maoni yangu kwa mara yapili,jaribuni kuwauliza masuala yadini waisilamu tu.
Hii Tayyamam inaenesha wingi wao hawaifaham ilikuwa wapewe elimu pia ni nini...
Yaani hawa wenzetu bado wanaamini babake yesu ni MUNGU 😥
😁😁😁
Jifunze quran kusom kuandik gusa picha yangu hapo kama hautojali
Nmechelewa safari hii
Mkuranga kwa Aunt zangu hapo 😊😊
Asalam alaykum waramatulah wabarakatuh shukurani
Jifunze quran kusoma na kuandika gusa picha yangu hapo kama hautojali
Nathani hawaelewi nini ku'tayamaam
SubhanaAllah mthihani kweli
Allah atuongoze
Allahumma Aamiin
Amiin Ya Rabb
😅😅😅😅 Mabruq kwa mshindi sio kwa msistizo huo aende nyumbani
Walaykum saalaam warahmatullah wabarakatuh
Alhamdulhai tuna faidika
Vizur leo wanaulizwa wanawake
Nna imani hata tayammam hawajui ina maana gani pengine wanajua ni kuchukua udhu ungewapa elimu pia wasije waakacha kuchukua udhu kwa usahihi wakajua shekh kasema kumbe hawajafahamu
Hhhhhhhhh 🥰 mashallah
Kutayammam ni kusujudu 🤣🤣🤣
Maashaallah leo afadhali umekutana na wanawake maana kila siku wanaume tu
Kabsaa hata nlidhani haifai
@@halima2549 kasema wanawake wanamkimbia😅
Ooh😂😂 c vibaya pia huenda wenyewe wakawa hawajajistiri vzr ndo maana inakua mthn kusimama kwa camera
Jifunze quran kusoma kuandik gusa picha yang hapo kama hautojali
Na pia ungekua unawajulisha viungo vya tayammamu.
Kabisaaa weng hawajui
😅😅sheikh Ismail unakumbuka ya rititatitii😅
Shekhe wengi wetu hawajui tayammam ni nini.
Asalamaleykum ndugu zangu popote mlipo sasa kuhusu hizi vipindi tijaa ni nini au munafanya vp mkishaaona hayo makosa kwa watu ama haswa lengo ni nini za hizi vipindi vya mtaani???? Sheikh abdilahi masawe na jopo lake ???? Ila mm nina maoni hii sio tija na sioni faida yake kwa umma kabisa.labda mungefungua madarasa kuelimisha hao watu wa mtaani ingekua Jambo lenye kheir na faida kubwa sana kwa umma in Sha Allah siwezi kuwahukumu na kingine dini inahitaji muhanga na fikra kama ya mtume wetu Mohamed s.a.w na maswahaba zake kujeni na fikra hizo na huzni ya dini in Sha Allah umma tunaangamia kila kukicha na kiduchu ndio inafanyika na juhudi za kimaslahi zaidi hili sio swa kabisa.wafikishieni jopo lote la hizi vipindi na katibu abdilahi masawe in Sha Allah .wabillahi towfiq asalamaleykum warahamtullahi wabarakatu
😅😅😅😅 Astaghfirullah sheikh Ismail mtu wa watu bubu kweli
Unge wapa na faida kutayamam ni nini maana inawezekana hawajui hata ni nini 😣
Tayammam kusujud htr
Ungewauliza hiyo tayamam ni nini maana naona kama hao wengine hawajui hata hiyo tayamam
Kwanza nikua hawajui ni nini kutayammamu
😅😅😅😅
وَعَلَيْكُم السَّلَام وَرَحْمَةُ اَللهِ وَبَرَكاتُهُ
Someni comment ili mjuwe maoni yetu, na nini tunajitaji, in shaa Allah
MashaAllah