CHRISTIAN BELLA AKONGA NYOYO YA RAIS DKT. MAGUFULI NA MHE. JOSEPH KABILA IKULU JIJINI DAR
HTML-код
- Опубликовано: 8 сен 2024
- Christian Bella anogesha dhifa ya Kitaifa ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli aliyomwandalia Rais Joseph Kabila wa DRC Ikulu Dar es Salaam.
Ata ile ya kuwaimbia wanawake naipenda ..NUKUU nimemsikia Mjomba akimwambia Bella
Hahahahaha
Unaimba mziki wa peke ako hongera sana
Mwambie uyo raisi Wa Congo awachukue twanga pepeta wote bure na awape uraia ila sisi atupe bella na pesa tutamlipa, jamaa anatalent kubwa Sana😃😃
Tuko wote Kaka Yani twanga ni majanga
@@najimahrupiahgomo2109 WANAJITAIDI
Kkk
ur the King of the best MELODY in TZ
Bella unajua bwana mziki uko🔥🔥🔥🔥hongera kaka simu yangu nimejaza nyimbo zako
The greatest talent of Congolese singers in Africa even if he sings in Kiswahili, wumela!
Bella you're the best
Sauti isiyochuja
Mungu akubariki bro unajiheshimu
king of live show
Ukisema ww mm nipinge nn sasa
Mh kabila Njoo bongo uje uishi uku.... Uku ni nyumban kwako kabisa na unajua ilo
Napenda kiswahili cha wakongo kizuri sana
Basi kuya wikale huku kukongolee shie bacongomani tanafaa kuimbe .eee kuya sasa uone vile tunacheza mziki yetu
safi sana Bella,keep it up
Bella muzee ya masauti aseeee nakubali Sana😘😘😘😘
No one like you, King of the best Melody, Christian Bella ♥️♥️♥️♥️♥️
DEFINATION OF A MUSICIAN
bravo bravo bravo
Safi sana pitia na kwangu uburudike bonyeza picha kushoto
Mc Tidoh Ondoa haaaaa
Mungu wangu Rais wawanyonge
Ure the best
Le meilleur
cku zote ukiimba nyimbo za heshima utaalikwa sehemu za heshima
True mnyonge mnyongen lakin haki yke mpen Bella mwanamzik waliobak wasanii labda alikiba
Safi Kapufi umeona eee
bella n hatar walai unajua had bhasi we n mshindi bhana
good.
jamaa ni noma sana bongo hakuna kama huyu kwa live
Uyo ni ndugu yangu mû kongomani👏👏👏👏👏👏👏👏👏
Christian B! unajua ukifanyacho! bg up sn, nyimbo zako n KoNki mbaya, keep it up monsieur.!
The best melody
King the best melody
kusema kweli Bella sauti yake inashawishi
King of Melody....my love ....Christian Bella
Christian bela najivunia kuwa na uraia umoja nawe viva RDC viva Africa
Huyu Anajua Muziki Sana
🔥🔥🔥🙌🙌🙌
big up my young brother
nc bella ni noma
Kaka bela kwaheshima ulionayo naona hadi bendera yetu ipo hapo endelea kutuwakilisha kaka,ila kaka karais ketu sikapendi hata kiduchu
Utafungwa we
Kwann kaka
😂😂😂😂😂😂
Utafungwa wewe
Makasi Penza
Melody had rah. Hyu jamaa htawakmbiza xna tz
Bro uko poa sana sijaona bongo nzima
Wow,my former boss hon mwakwere nakuona
Sauti good
Hapo ulicheza na nyakati good😂😂😂🎉🎉🎉🎉
👊
brother is very nice
Mzee wa masauti
Daaah!! Nakukubal sn bella
Wewe ni noma C Bella
penda sana
Nice one
Diamond ajifunze kitu apo
Acha shobo dundo
❤❤❤❤
Kama mnasikiaga show live ndo hiyo hapo sasa
Nice
🔥
wow tuna muona papa wetu kabila
🇨🇩🔥
vrement courage
joli esther
Kazamwendo kaka.
What’s the titre of the song pls can you help pls
Christian bella ft banana zoro (usilie)
mkongo huyu
Raymond Kaswaga kwani umeambiwa ni msukum ahu mnyamwezi
watu wengine vipi
Bon chanteur
Good
Obama 👍👍👍☝👍👍👍
Nyie bote mnaofikiliaga Bella ni mu Congo hamnaga akili baba wa Bela ni Msukuma ni mamake tu ndio mu Congo, Bella alikuliaga kwa wayomba zake.
Wewe nae siunyamaze, sio lazima u comment unakuswahili kibaya na kibovu sanaaaaa
@@ikramalmas7039 kiswahili chako kilakushibisha?
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌👍
Kiongozi ya masauti
Mh .Rais lkn hyo jamaa kodi kama kawaida alipe.
nilikuwa namuambia hpa nimeipnda sauti yko
na ile yakuwasema wanawake naipnd pia
hahaaa
Fintan Chavala ni.mwenyewe nimesema angeimba nani kama mama, duuh angeinua watu
Yaani huyu mama mwenye miwani sio kwa hisia hizo looo kama zote Yani
Hongera sana kaka kwa sauti Nzuri
Ana nyoyo ngapi ?????
Moyo sio nyoyo
Kajifunz kiswahili ana konga nyoyo ni wing wa mioyo
@@eyumededu2948 soma vizuri
Amesema "AKONGA NYOYO YA RAIS"
@@mamachris6811 gat u sorry
Huwa unapoambiwa watu wanTumbuiza live ndo hiyo sasa
Mutu ya watu ...
Hivi ingekuwa ndo Diamond kapewa nafasi hiyo angeimba wimbo gani 😁😁😁😁😀😀😇
Hiyo kweli
Ile nakupa sijui kwa buku jelo
😂😂😂😂mond hana heshima angeimba nyegezi
Inama🤣😂🤣😂
Opod Oppo kanyaga na tetema
.
Wimbo was pepe kale uitwao soso ya tongo
🔥