TAZAMA DIDAH ALIVYOINGIA KAMA MALIKIA KWENYE KIBAO KATA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024
  • Usisahau ku "SUBSCRIBE" Channel yetu kwa habari nyinginezo nyingi na nzuri
    TAZAMA DIDAH ALIVYOINGIA KAMA MALIKIA KWENYE KIBAO KATA
    #Bonatv #Exclusive #didah

Комментарии • 362

  • @leiratykisura6718
    @leiratykisura6718 3 года назад +11

    Ma sha Allah kapendeza Allah amjarie kher na hakadubu kwenye ndoa iyo in sha Allah ❤😍😍😍😍

  • @harynmussa523
    @harynmussa523 3 года назад +2

    Mashallah mungu akulinde katika ndoa yenu da didah akee hongra Sanaa👑👑🙏🏻🙏🏻💞💞

  • @alibell5246
    @alibell5246 3 года назад +9

    Mashaallah mashaallah diiiidaaaa nakutakia maisha meeemaa

  • @azzaalmaamry5817
    @azzaalmaamry5817 3 года назад +2

    Maa shaa Allah mungu akujaalie ktk ndoa yako habibty

  • @Queen-be1uf
    @Queen-be1uf 3 года назад +11

    Make up mbaya. Hongera kwa kuolewa. Allah awadumishe na awape furaha na utulivu in sha Allah. Ila mpambaji wako sio mzuri. Ungepata makeup artist wa zarina mzuri

    • @fatmamohd2444
      @fatmamohd2444 3 года назад

      mbaya sana

    • @zenaramadhani5958
      @zenaramadhani5958 3 года назад

      Au yule anae make-up darleen

    • @Queen-be1uf
      @Queen-be1uf 3 года назад

      @@zenaramadhani5958 yes

    • @Habibtyjojo
      @Habibtyjojo 8 дней назад +1

      At nywele sijapenda mungu akujalie ndowa ya kheri ukatulie uko uendako

  • @prudencehighness477
    @prudencehighness477 3 года назад +16

    Sijui mi ndio mshambaaa nguo mikoro koro mingi

    • @saudahamad7481
      @saudahamad7481 3 года назад

      😅😅😅😅😅😅😅😅

    • @judithkatoto3316
      @judithkatoto3316 3 года назад +1

      Namma pia mshamba nguo mbayaaaaaa tena aieleweki mikono Wala miguu jamni nguo mbayaaaaq

    • @oumsamia7382
      @oumsamia7382 3 года назад

      😂😂😂😂

    • @NR-ll4sr
      @NR-ll4sr 3 года назад

      Nguo za special occasions lazima ziwe na makorokoro uwe tofauti na wengine

    • @mariamgodfrey53
      @mariamgodfrey53 3 года назад

      Libaya kweli

  • @africanqueen956
    @africanqueen956 3 года назад +7

    Make up noooooo..... dress😍😍

  • @amratkombo6955
    @amratkombo6955 3 года назад +9

    Kapendeza mashaallah 😘

  • @cleopakahungo1614
    @cleopakahungo1614 3 года назад +22

    Mbona hao kina Mama wa mgauni ya njano wamependeza kuliko Dida

  • @fatumajuma3816
    @fatumajuma3816 3 года назад +2

    Inshaallah da dida mungu akusimamie kwenye ndoa yako inshaallah🙏

  • @winifridamgonja6080
    @winifridamgonja6080 3 года назад

    Dida umependeza sana Mungu awatangulie kwenye safar yenu ya ndoa

  • @mwanaimajuma6816
    @mwanaimajuma6816 3 года назад +1

    Maashaalla mwez mungu ailinde ndoa yako idumu

  • @mwanasitidido4036
    @mwanasitidido4036 3 года назад

    My fan Mungu aitangulie hrc yko

  • @perepetuakasiano537
    @perepetuakasiano537 3 года назад +10

    Sura ya kawaida sana

    • @ppesampingo9042
      @ppesampingo9042 3 года назад +3

      Makeup ishaanza kugoma

    • @fatumakassim64
      @fatumakassim64 3 года назад +1

      @@ppesampingo9042 😀😀😀😀😀😀😀😀🙌🙌🙌

    • @rehemasalim4590
      @rehemasalim4590 3 года назад

      Ukizowea kujipamba siku ya harus huna jipya cz tushakuzowea

    • @jokhasalum6845
      @jokhasalum6845 3 года назад +2

      sio kuzoea kujipamba voo' iyo sura binafs ishakomaa watu wanajipamba hum na cku ya harus yke binafc unauliza watu yule nan?

    • @dianajohn3493
      @dianajohn3493 3 года назад +2

      @@rehemasalim4590 hata uzee nao umeshamvaa! Kwani unaogopa nini kusema ukweli?

  • @kadulathumani7517
    @kadulathumani7517 3 года назад +6

    Mtu mzima angelivaa nguo simple tu imezidi madesign mengi mpaka imechafuka.

  • @nasraabdallah850
    @nasraabdallah850 3 года назад

    Kapendeza mashaallah 🌹🌹✌🏻gaun zur snaaa👌👌👌👌👌👌

  • @habibamaguru5883
    @habibamaguru5883 3 года назад +1

    Mashaallah Dida

  • @aishaalidi3213
    @aishaalidi3213 3 года назад

    mashaallah kapendeza hongera dd iwe kher kwako

  • @sophiarajabu8500
    @sophiarajabu8500 3 года назад +2

    Mashaalah mungu awafanyie wepesi alhamdulilah

  • @salmakea7797
    @salmakea7797 3 года назад +1

    MashaAllah

  • @ashamuhammed3685
    @ashamuhammed3685 3 года назад +8

    Naona uso bado hujapendeza ata kidogo

    • @hamidayanga8224
      @hamidayanga8224 3 года назад

      Anasura nzito sana haikubali hata make up ila ukimuona kwenye Instagram sasa kama mrembooo🤣🤣🤣

    • @mariamgodfrey53
      @mariamgodfrey53 3 года назад

      @@hamidayanga8224 😂😂😂

    • @jfineisaac6219
      @jfineisaac6219 3 года назад

      Natamani kukoment ila bas nimekanseli

  • @everhamith1821
    @everhamith1821 3 года назад +13

    Nimelipenda tyu gauni lake tyu bac,usoni mhh

  • @hamissahamissa105
    @hamissahamissa105 3 года назад

    Mashaallah dida humependeza sana

  • @roseruvugo76
    @roseruvugo76 2 года назад

    Hii imeisha tusubiri nyingine... maana mwenzetu kila siku yeye bibi harusi🥰🥰🥰

  • @smsalama6540
    @smsalama6540 3 года назад +4

    Gauni linagazibisha watu🤣🤣😂😂kazi wanayo 🙌🙌

  • @elinamugishagwe1483
    @elinamugishagwe1483 3 года назад

    Jaman mama muheshimiwa mashaallh

  • @fatmaally7252
    @fatmaally7252 3 года назад

    Mashaallah mashaallah kheri ikawe mashaallah

  • @pilikhamis2924
    @pilikhamis2924 3 года назад

    Maashaallaah umependeza sana

  • @mmn7480
    @mmn7480 3 года назад +4

    sura ishaenda kuzimu Ata aujanoga uson

  • @musitemusite4316
    @musitemusite4316 3 года назад +1

    Maashaallah

  • @rehemamasoud3687
    @rehemamasoud3687 3 года назад +2

    Kapendeza kweli kweli dah hilo gauni si unajenga nyumba ya vyumba viwili

  • @mihayomusa6865
    @mihayomusa6865 3 года назад

    Mashallah amependeza Sana kilalakheri kwenye ndoa yako dada

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu7039 3 года назад

    Mashalaah dida kapendeza sana.🥰🥰🥰

  • @rubenijhonisamelo5796
    @rubenijhonisamelo5796 3 года назад +1

    Hamependeza manshalha

  • @soniarichard4057
    @soniarichard4057 3 года назад +6

    Nanyie tumeni siku ya ndoa yenu mlivyokuwa mmekaukiana Kama miogo yawekana ata ndoa aujawai kuaidiwa hata uongo au

  • @rosepeter7259
    @rosepeter7259 3 года назад +2

    Designer anajua mbaka anaboa.umenoga dida wangu

  • @halimayusuph6016
    @halimayusuph6016 3 года назад

    Mashaala yaani kumbe na mienya 2 nitapendeza

  • @winfridaw.mwashala289
    @winfridaw.mwashala289 3 года назад +5

    Tuseme tu ukweli kwamba ni ndoa ya tatu , na yuko hivi, kajitahidi sana Dida! Ikawe heri na mumeo mwanawane!

  • @munmun_stepup6900
    @munmun_stepup6900 3 года назад +1

    Dida nivile alghamdulillah umeolewa hongera bt kuh kupendeza huna siku ulopebdeza huna maji ya kupendeza

  • @aishtan2745
    @aishtan2745 3 года назад

    Maa Shaa Allah Allah awajaalie ndoa yenu idumu na vizazi vya kheri inshaa Allah

  • @rahabumaisa7687
    @rahabumaisa7687 3 года назад +1

    mmh shoga duh acha tu na cc leo tukupe vipande vyako kama vile na ww unavyotupatiaga kiukweli hujapendeza uongo mbaya alirkufanyia makeup kamuombe pesa yako ama ni sura yako ndo haitaki makeup duh hujadamshi hata kidogo..labda gauni2 lakn na lenyewe co xaana...ila nakurakia maisha mema na yenye furaha tele🙏🙏🙏

  • @yasintakanyopa5017
    @yasintakanyopa5017 3 года назад

    Umependeza dida mashaallah

  • @judithkatoto3316
    @judithkatoto3316 3 года назад +5

    Nguo mbaya jamni aijulikani mikono Wala miguu

  • @aishadole4151
    @aishadole4151 3 года назад +7

    ista anaonekana mzungu na hapa RUclips anaonekana mswahili inakuaje jamani

  • @rashidyomary1612
    @rashidyomary1612 3 года назад +3

    Allah aijarie kheri ndoa yako ukawe mke bora

  • @husnamayala7196
    @husnamayala7196 3 года назад +3

    Hajapendeza

  • @judithkatoto3316
    @judithkatoto3316 3 года назад +6

    Usoni ajapemdeza pia ama kwakuwa ana USO mrefu

  • @aminambugi4238
    @aminambugi4238 3 года назад +3

    Tatizo huyo mtangazaji anaongea mpka anaoshiwa maneno kaaaaah🤣🤣🤣🤣🤣

  • @cleopakahungo1614
    @cleopakahungo1614 3 года назад +2

    Sasa mabamsa wa kaz gan ,Au kaiba bwana

  • @mishikikoti2948
    @mishikikoti2948 3 года назад +2

    Me nimeona ana maziwa ya mgongoni 😂😂😂

  • @irenemacha5661
    @irenemacha5661 3 года назад

    Umependeza sana sana

  • @anahbelamina7214
    @anahbelamina7214 3 года назад +2

    Gauni nzuri lakini mpapaji wako kanibwaga😊

  • @aminakshamoona6900
    @aminakshamoona6900 3 года назад

    Mabrouk didah Allah awape masikizano na mumeo nguo nzuri mashaAllah ila makeup amekukosea sana wote ni wivu huo ww c mbaya hata kidogo napenda michambo yko

  • @mwanawetuamiri6747
    @mwanawetuamiri6747 2 года назад

    Duh kapendeza Mashaallah lakini haikutegewa hii ndoa kama itavunjika kwa muda mfupi hivi

  • @joycenjonanje9065
    @joycenjonanje9065 3 года назад

    safiiii

  • @Queen-be1uf
    @Queen-be1uf 3 года назад +3

    Na huu ushamba wa bodyguard upungue tzee. Hatokua na picha hata moja peke yake bodyguard kama binladen. Niko nchi za ulaya na waziri na viongozi wanatembelea mahali lakini wako huru bodyguards wako mbali wanafanya kazi zao hawamgandi matakoni. Bodyguards wa tzee wako chini ya mikundu ya wanaowalinda kama vile wana vifafa wasije kuanguka.

    • @hadijasalum6373
      @hadijasalum6373 3 года назад

      🤣🤣🤣

    • @aminakipande5645
      @aminakipande5645 3 года назад

      waambie tumechoka jmn ghaaa tz bhna pesa kidogo unanyoa denge mxiuuu🤣🤣🤣🤣

    • @arafakhatibu4035
      @arafakhatibu4035 3 года назад

      Hatariiiii😂😂

    • @mamuhassan3415
      @mamuhassan3415 2 года назад

      Mwenzangu hao mabodigadi lazima waweko maana c kwakuchezea wanaume wa watu .mwengine anaweza kuja na jiwe akapigwa kishogo buree bila bodyguard bas avae helmet

  • @rosemakatia7377
    @rosemakatia7377 3 года назад +2

    Mek up si mbaya ila sura ndio mbovu

  • @manenoramadhani8167
    @manenoramadhani8167 3 года назад

    Masharah

  • @africanqueen956
    @africanqueen956 3 года назад +3

    Bi haruc iwaongea sana 🥺🥺

    • @judytabby2777
      @judytabby2777 3 года назад

      Ashazoea kuolewa si mageni🤪🤪

  • @hannanommy302
    @hannanommy302 2 года назад

    Wewe Dida, Esma,Benn poll mmechafua mwaka 2021 Katika Dunia ndo ndoa zilizojulikaka kwa michango na kuvunjika haraka

  • @khadijaali5363
    @khadijaali5363 3 года назад +6

    Ndio kaolewa ila sura ngumu Kama viazi vikuu

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 3 года назад +5

    Ila khaaaa wamama Hao wamependeza e e e nguo ndeefu MIKONO mlefu wamependeza

  • @nolimittvonline6822
    @nolimittvonline6822 3 года назад

    Umependeza my

  • @zakyahya4645
    @zakyahya4645 3 года назад

    Honger kwa ndoa ya tatu

  • @rukiakhamsin9220
    @rukiakhamsin9220 3 года назад

    Masha Allah

  • @dalilahrashid4077
    @dalilahrashid4077 3 года назад +2

    Mabrook sis

  • @mariamyahaya3627
    @mariamyahaya3627 3 года назад +2

    Binadam wa baya et hajapendeza dida umependeza momy

  • @aishashomali2716
    @aishashomali2716 3 года назад +5

    Dida umri umeenda jamani lakini hongera sana

  • @ashaali7154
    @ashaali7154 3 года назад +8

    Bi harusi anaingia peke yake vp bwana yuko wapi?

  • @fausterollomy1092
    @fausterollomy1092 3 года назад

    Mmm fantastic🤣

  • @husen.kigome5123
    @husen.kigome5123 3 года назад

    Amependeza sana dida wa kumbi la moto

  • @jamilarashidrashid5418
    @jamilarashidrashid5418 3 года назад

    Allah barik napenda dress yako mashaAllah

    • @aminamuhamedy6735
      @aminamuhamedy6735 3 года назад

      Ppqpo,pIP i"ug pq0p0e\pppza@0a

    • @sweetylove9918
      @sweetylove9918 3 года назад

      Mashallah kapendeza sana ila binaadamu tunachoyo dahh kwani mkisifia mtapungukiwa nini?

  • @mariammuscat4300
    @mariammuscat4300 3 года назад

    Mashalllah

  • @d4dvideoproduction328
    @d4dvideoproduction328 3 года назад +3

    DIDA mackup ovyooo

  • @pilijuma9897
    @pilijuma9897 3 года назад

    Mashaallah👰

  • @khadijakdj8640
    @khadijakdj8640 3 года назад +2

    Yaaani kwakweli Binadam sasa awo wanafanya nn hapo au ndo wakina bwana Harusi 😂🤣😃😁😁nimecheka kama mazuri Yaani tunashindwa kuwangalia Bi Harusi tunaangalia wasimamizi tu

  • @suzanemwangingo6932
    @suzanemwangingo6932 3 года назад

    Gauni zuri Ila linaazabu sana

  • @khatwabisadathil3423
    @khatwabisadathil3423 3 года назад +1

    Duuuuh mi namuonea huruma Mke mkubwa cjui ana hali gn akiona haya yanayoendelea.

  • @haiswamjaydan5949
    @haiswamjaydan5949 3 года назад

    Umependeza

  • @ashurakitoto7518
    @ashurakitoto7518 2 года назад

    Mekup nyeus mbayaaa

  • @venitarugemalila3971
    @venitarugemalila3971 3 года назад

    Didaaaah hongera nikikumbuka michambo yako mm hoi

    • @wasule6253
      @wasule6253 3 года назад

      Mawifi wanaojifanya Wana midomo watakoma maana dada huyu anachamba hatar

  • @user-nn5sq8ol4g
    @user-nn5sq8ol4g 3 года назад

    Mashallah

  • @lydiakangongole6783
    @lydiakangongole6783 3 года назад

    Sa hawa wanaume ndio wasimamizi wa bi harusi

  • @nuruchikoe1959
    @nuruchikoe1959 3 года назад +4

    Jamani biharusi anaingia na walinzi?haipendezi

  • @janetmlulla374
    @janetmlulla374 3 года назад +2

    Sasa mabaunsa walikuwa wa nini jamani? Wanaharibu picha tu

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 3 года назад

    Pendeza sana🥰🥰🥰🥰🥰👍

  • @araphanassa1561
    @araphanassa1561 2 года назад

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @mwanamwinyimwakani9598
    @mwanamwinyimwakani9598 3 года назад +9

    Mawifi mjipange huyu ni dida na nusu🤣🤣🤣🤣nampenda kwa mipasho yake

  • @rosepeter7259
    @rosepeter7259 3 года назад +1

    Designer anajua mbaka anaboa.

  • @venitarugemalila3971
    @venitarugemalila3971 3 года назад

    Kweli i mean

  • @zumamarande3242
    @zumamarande3242 3 года назад +1

    Makeup mbayaaaaa

  • @munmun_stepup6900
    @munmun_stepup6900 3 года назад +3

    USO mzito

  • @ziadajafu770
    @ziadajafu770 3 года назад

    Ongera mway

  • @zenadaudzena2849
    @zenadaudzena2849 3 года назад +2

    Akatulie umri umesonga

  • @mwachipangahalima2504
    @mwachipangahalima2504 3 года назад +1

    N mzur bt aliempamba Bado mwanafunz ak gaun zur ungepata mpambaj wakisawasawa

  • @rasskimbe9991
    @rasskimbe9991 3 года назад +3

    Sura imegoma kabisaa

  • @kidookidokazi1845
    @kidookidokazi1845 3 года назад +8

    Hajapendez mirangi kibao ovyooo

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 3 года назад +1

    Kweli wanawake siku zote ni wanawake tu!

  • @hassanchauluwa7308
    @hassanchauluwa7308 3 года назад +5

    Macho ya dida kama kova

  • @fatumajuma3816
    @fatumajuma3816 3 года назад +1

    Gauni pambeeeeeee