Usisahau ku "SUBSCRIBE" Channel yetu kwa habari nyinginezo nyingi na nzuri TAZAMA DIDAH ALIVYOINGIA KAMA MALIKIA KWENYE KIBAO KATA #Bonatv #Exclusive #didah
Make up mbaya. Hongera kwa kuolewa. Allah awadumishe na awape furaha na utulivu in sha Allah. Ila mpambaji wako sio mzuri. Ungepata makeup artist wa zarina mzuri
mmh shoga duh acha tu na cc leo tukupe vipande vyako kama vile na ww unavyotupatiaga kiukweli hujapendeza uongo mbaya alirkufanyia makeup kamuombe pesa yako ama ni sura yako ndo haitaki makeup duh hujadamshi hata kidogo..labda gauni2 lakn na lenyewe co xaana...ila nakurakia maisha mema na yenye furaha tele🙏🙏🙏
Mabrouk didah Allah awape masikizano na mumeo nguo nzuri mashaAllah ila makeup amekukosea sana wote ni wivu huo ww c mbaya hata kidogo napenda michambo yko
Na huu ushamba wa bodyguard upungue tzee. Hatokua na picha hata moja peke yake bodyguard kama binladen. Niko nchi za ulaya na waziri na viongozi wanatembelea mahali lakini wako huru bodyguards wako mbali wanafanya kazi zao hawamgandi matakoni. Bodyguards wa tzee wako chini ya mikundu ya wanaowalinda kama vile wana vifafa wasije kuanguka.
Mwenzangu hao mabodigadi lazima waweko maana c kwakuchezea wanaume wa watu .mwengine anaweza kuja na jiwe akapigwa kishogo buree bila bodyguard bas avae helmet
Yaaani kwakweli Binadam sasa awo wanafanya nn hapo au ndo wakina bwana Harusi 😂🤣😃😁😁nimecheka kama mazuri Yaani tunashindwa kuwangalia Bi Harusi tunaangalia wasimamizi tu
Ma sha Allah kapendeza Allah amjarie kher na hakadubu kwenye ndoa iyo in sha Allah ❤😍😍😍😍
Kabisa Mungu amtangulie mara 100
Mashallah mungu akulinde katika ndoa yenu da didah akee hongra Sanaa👑👑🙏🏻🙏🏻💞💞
Mashaallah mashaallah diiiidaaaa nakutakia maisha meeemaa
Maa shaa Allah mungu akujaalie ktk ndoa yako habibty
Make up mbaya. Hongera kwa kuolewa. Allah awadumishe na awape furaha na utulivu in sha Allah. Ila mpambaji wako sio mzuri. Ungepata makeup artist wa zarina mzuri
mbaya sana
Au yule anae make-up darleen
@@zenaramadhani5958 yes
At nywele sijapenda mungu akujalie ndowa ya kheri ukatulie uko uendako
Sijui mi ndio mshambaaa nguo mikoro koro mingi
😅😅😅😅😅😅😅😅
Namma pia mshamba nguo mbayaaaaaa tena aieleweki mikono Wala miguu jamni nguo mbayaaaaq
😂😂😂😂
Nguo za special occasions lazima ziwe na makorokoro uwe tofauti na wengine
Libaya kweli
Make up noooooo..... dress😍😍
Kapendeza mashaallah 😘
Alifalah
Mbona hao kina Mama wa mgauni ya njano wamependeza kuliko Dida
Kapendeza' bana
Sio kwel dida kanoga zaid❤
We dida kanoga jamani ❤️❤️
Kweli asa so kwame kup io
Inshaallah da dida mungu akusimamie kwenye ndoa yako inshaallah🙏
Amependeza atar
Dida ametokerezea
My hyo make up au jivu
Dida umependeza sana Mungu awatangulie kwenye safar yenu ya ndoa
Mmmh
Maashaalla mwez mungu ailinde ndoa yako idumu
My fan Mungu aitangulie hrc yko
Sura ya kawaida sana
Makeup ishaanza kugoma
@@ppesampingo9042 😀😀😀😀😀😀😀😀🙌🙌🙌
Ukizowea kujipamba siku ya harus huna jipya cz tushakuzowea
sio kuzoea kujipamba voo' iyo sura binafs ishakomaa watu wanajipamba hum na cku ya harus yke binafc unauliza watu yule nan?
@@rehemasalim4590 hata uzee nao umeshamvaa! Kwani unaogopa nini kusema ukweli?
Mtu mzima angelivaa nguo simple tu imezidi madesign mengi mpaka imechafuka.
Kapendeza mashaallah 🌹🌹✌🏻gaun zur snaaa👌👌👌👌👌👌
Mashaallah Dida
mashaallah kapendeza hongera dd iwe kher kwako
Mashaalah mungu awafanyie wepesi alhamdulilah
MashaAllah
Naona uso bado hujapendeza ata kidogo
Anasura nzito sana haikubali hata make up ila ukimuona kwenye Instagram sasa kama mrembooo🤣🤣🤣
@@hamidayanga8224 😂😂😂
Natamani kukoment ila bas nimekanseli
Nimelipenda tyu gauni lake tyu bac,usoni mhh
Kwel gauni tuu
Mmmwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaah mrembo
@@lucyhusein4043 umeona eeeh
Mashaallah dida humependeza sana
Hii imeisha tusubiri nyingine... maana mwenzetu kila siku yeye bibi harusi🥰🥰🥰
Gauni linagazibisha watu🤣🤣😂😂kazi wanayo 🙌🙌
Yaani,khaaa
Kisha kazi kubwa😁😁😁
Jaman mama muheshimiwa mashaallh
Mashaallah mashaallah kheri ikawe mashaallah
Maashaallaah umependeza sana
sura ishaenda kuzimu Ata aujanoga uson
🤣🤣🤣🤣
Maashaallah
Kapendeza kweli kweli dah hilo gauni si unajenga nyumba ya vyumba viwili
Hhhhhhhaaaaa
Mashallah amependeza Sana kilalakheri kwenye ndoa yako dada
Wah
Mashalaah dida kapendeza sana.🥰🥰🥰
Hamependeza manshalha
Nanyie tumeni siku ya ndoa yenu mlivyokuwa mmekaukiana Kama miogo yawekana ata ndoa aujawai kuaidiwa hata uongo au
Hhhha
😁😁😄😁😁😁
Designer anajua mbaka anaboa.umenoga dida wangu
Mashaala yaani kumbe na mienya 2 nitapendeza
Tuseme tu ukweli kwamba ni ndoa ya tatu , na yuko hivi, kajitahidi sana Dida! Ikawe heri na mumeo mwanawane!
Dida nivile alghamdulillah umeolewa hongera bt kuh kupendeza huna siku ulopebdeza huna maji ya kupendeza
😂😂😂
Maa Shaa Allah Allah awajaalie ndoa yenu idumu na vizazi vya kheri inshaa Allah
mmh shoga duh acha tu na cc leo tukupe vipande vyako kama vile na ww unavyotupatiaga kiukweli hujapendeza uongo mbaya alirkufanyia makeup kamuombe pesa yako ama ni sura yako ndo haitaki makeup duh hujadamshi hata kidogo..labda gauni2 lakn na lenyewe co xaana...ila nakurakia maisha mema na yenye furaha tele🙏🙏🙏
Ana sura nzito haikubali make-up
Umependeza dida mashaallah
Nguo mbaya jamni aijulikani mikono Wala miguu
ista anaonekana mzungu na hapa RUclips anaonekana mswahili inakuaje jamani
Mapicha picha hayo dada
😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
Allah aijarie kheri ndoa yako ukawe mke bora
Hajapendeza
Usoni ajapemdeza pia ama kwakuwa ana USO mrefu
Sio mref vo uso mztooo umejaa
Tatizo huyo mtangazaji anaongea mpka anaoshiwa maneno kaaaaah🤣🤣🤣🤣🤣
Umeona ee
Kabisa
Sasa mabamsa wa kaz gan ,Au kaiba bwana
Me nimeona ana maziwa ya mgongoni 😂😂😂
Umependeza sana sana
Gauni nzuri lakini mpapaji wako kanibwaga😊
umeonaaa sura kachemsha mno kumpamba
Mabrouk didah Allah awape masikizano na mumeo nguo nzuri mashaAllah ila makeup amekukosea sana wote ni wivu huo ww c mbaya hata kidogo napenda michambo yko
Duh kapendeza Mashaallah lakini haikutegewa hii ndoa kama itavunjika kwa muda mfupi hivi
safiiii
Na huu ushamba wa bodyguard upungue tzee. Hatokua na picha hata moja peke yake bodyguard kama binladen. Niko nchi za ulaya na waziri na viongozi wanatembelea mahali lakini wako huru bodyguards wako mbali wanafanya kazi zao hawamgandi matakoni. Bodyguards wa tzee wako chini ya mikundu ya wanaowalinda kama vile wana vifafa wasije kuanguka.
🤣🤣🤣
waambie tumechoka jmn ghaaa tz bhna pesa kidogo unanyoa denge mxiuuu🤣🤣🤣🤣
Hatariiiii😂😂
Mwenzangu hao mabodigadi lazima waweko maana c kwakuchezea wanaume wa watu .mwengine anaweza kuja na jiwe akapigwa kishogo buree bila bodyguard bas avae helmet
Mek up si mbaya ila sura ndio mbovu
Masharah
Bi haruc iwaongea sana 🥺🥺
Ashazoea kuolewa si mageni🤪🤪
Wewe Dida, Esma,Benn poll mmechafua mwaka 2021 Katika Dunia ndo ndoa zilizojulikaka kwa michango na kuvunjika haraka
Ndio kaolewa ila sura ngumu Kama viazi vikuu
Kamuumbe ww ili sura iwe laini
Ila khaaaa wamama Hao wamependeza e e e nguo ndeefu MIKONO mlefu wamependeza
Sanaaaa
Na mawigi hhahahaha
Umependeza my
Honger kwa ndoa ya tatu
Masha Allah
ruclips.net/video/VIGDiFd3cM0/видео.html
Mabrook sis
Binadam wa baya et hajapendeza dida umependeza momy
Dida umri umeenda jamani lakini hongera sana
Ongr dada umependeza sana
Bi harusi anaingia peke yake vp bwana yuko wapi?
ruclips.net/video/VIGDiFd3cM0/видео.html
Mmm fantastic🤣
Amependeza sana dida wa kumbi la moto
Allah barik napenda dress yako mashaAllah
Ppqpo,pIP i"ug pq0p0e\pppza@0a
Mashallah kapendeza sana ila binaadamu tunachoyo dahh kwani mkisifia mtapungukiwa nini?
Mashalllah
DIDA mackup ovyooo
Nyuso nyingine hazikubali make up
Mashaallah👰
Yaaani kwakweli Binadam sasa awo wanafanya nn hapo au ndo wakina bwana Harusi 😂🤣😃😁😁nimecheka kama mazuri Yaani tunashindwa kuwangalia Bi Harusi tunaangalia wasimamizi tu
Gauni zuri Ila linaazabu sana
Duuuuh mi namuonea huruma Mke mkubwa cjui ana hali gn akiona haya yanayoendelea.
Walai tena...
Umependeza
Mekup nyeus mbayaaa
Didaaaah hongera nikikumbuka michambo yako mm hoi
Mawifi wanaojifanya Wana midomo watakoma maana dada huyu anachamba hatar
Mashallah
Sa hawa wanaume ndio wasimamizi wa bi harusi
Jamani biharusi anaingia na walinzi?haipendezi
Sasa mabaunsa walikuwa wa nini jamani? Wanaharibu picha tu
Pendeza sana🥰🥰🥰🥰🥰👍
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Mawifi mjipange huyu ni dida na nusu🤣🤣🤣🤣nampenda kwa mipasho yake
Designer anajua mbaka anaboa.
Kweli i mean
Makeup mbayaaaaa
USO mzito
Ongera mway
Akatulie umri umesonga
Uzee umebisha hodi ...
N mzur bt aliempamba Bado mwanafunz ak gaun zur ungepata mpambaj wakisawasawa
ovyooooooo
Sura imegoma kabisaa
Umeonaaa eeh
😂😂
Kazeeka hana jipiya
Hajapendez mirangi kibao ovyooo
Kapambwa kizamani kweli.
Kweli wanawake siku zote ni wanawake tu!
Hao mabodigagi utafkir ndo ma bhna arusi
Macho ya dida kama kova
🤣🤣🤣
Kungu hizo
🤣🤣🤣🤣dah nimecheka xana
Gauni pambeeeeeee