ZUCHU AMJIBU DIAMOND "UKITAKA UNIWEZE FANYA WAZI WAKUONE MAHASIDI WAUMIE..."
HTML-код
- Опубликовано: 4 май 2024
- East African number one RUclips channel for Gossips,Sports as well as Politics News owned By BONGO PLUS
KANUNI NA MUONGOZO
Tunaripoti Matukio ya watu mashuhuri katika nyanja ya burudani, Michezo Filamu na mitindo ya maisha kwa kuzingatia misingi ya uandishi wa habari hapa nchini. Kufuata misingi kwa kuripoti habari zenye uwiano na usawa ndani yake,kutokuingilia faragha ya mtu,Kujiepusha na mambo yote yanayoweza kuleta sinto fahamu katika jamii yanayoweza kusababisha uchochezi.
NB:Tuna uhuru wa kufuta maoni yasiyokuwa na maadili au yenye matusi makali.
WeAreEverywhere
#entertainment #exclusive #trending #diamondplatnumz #wasafi #ayotv #update #updatenews #udaku #gossip #mwijaku #babalevo #tanzania #kenya #manara #hajimanara #bongo #habari #justinbieber #bieber #rap #hiphop #hiphopmusic #pop #rnb #rnbmusic #exclusivenews #tmz #tmztrends #arianagrande - Развлечения
Zuchu uko vizuri,umenikumbusha Omari kopa🎉❤❤
ZUCHUUUUU forever my QUEEN ❤️❤❤️❤️❤️💯👍👍👍
Wow such a talented gal,, watching from kenya
Umejuwa kuwanyoosha 😂😂😂😂😂😂nakupenda sana
Found some one zuchu but not Diamond open your eyes zuchu you are wasting your time and come old what will you do?look some one zuchu ❤❤❤
Yupo kote vizuri tarabu
Hongera zuchu ❤❤
Mashaallah zuu kopa
Wambieeeee❤❤❤❤❤
Daamondi utakoma wewe sasa zuchu yupo vizuri mutoto huyu safi sana dada huyu bwenge muache aende kabisa
Sisi hamtuwezi kwa vijembe hususan taraab zuchu yuko vizuri kila idara
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ Zuchu
😂😂😂 bongo sihami
Uswahili nyinyi jamani
Huyo ni mpwani haswaaa 😂uswahili ni jadi yake😂
Unapendeza kwa magauni kuliko vile vituko unavyo vaa ukiwa na diamond
👏👏👏👏👏👏💋👍🏽
Uyo tarabu ndo kipaji chake bongo fleva analazimisha tu
NAKUPENDA SANA WEEE KIMWISHOOO WA BI SHOST. HADIJA KOPA.❤🎉
Mond umeyakanyaga kwa hawa wanawake.
Acheni wivu kama we mackin ni mackini tu
❤❤❤❤❤❤
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
🥰🥰🌹
❤❤❤❤🎉🎉🎉
😊😅😅😅
Usilazimiche we z ❤❤❤
Umbea umezidi
❤
Mwanamke kujiamini, ucrudi nyuma zuchuu ❤
Wacha zinaa ww
Dai hakupende hata ukafanya nini dai yuwapenda watoto wake.