PART13:MCHUNGAJI ALIEKUWA ANATUMIA UCHAWI/NILIFATA MAJINI NIGERIA YALIKUWA YANALETA WATU KANISANI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 фев 2025

Комментарии • 71

  • @JamesKahamba
    @JamesKahamba Год назад +5

    Tunamshulu sana MUNGU kwa ushuhuda huu naamini wengi tumejufunza kitu. Hasa ss tuliojaa tamaaya pesa na mali bila kujali utu wala mtu

  • @shijandobehe4953
    @shijandobehe4953 Год назад +3

    Daaaah kaka davistar mata unafanya kazi kubwa Sana hakika unastahili sapoti kwenye kazi yako hii kubwa na mungu akupe wepesi uendelee kutupa taarifa na maarifa kuhusu ulimwengu huu ili tumche mungu wa kweli

  • @shasikienterprises386
    @shasikienterprises386 Год назад +1

    Pole sana. Nashauri uwe unasoma biblia kwa njia ya sauti. Itasaidia sana kwa kukuza imani. Ubarikiwe

  • @joycemuhoja4729
    @joycemuhoja4729 Год назад +1

    Nimeumia Sanaa Shetani Shetani umemdanganya kijana daaa yaani Mungu Ni Mwema Sanaa

  • @asminetaba253
    @asminetaba253 Год назад +1

    Asante sana mungu raurent aliamuwa kuokoka na kumfwata yesu kristo ,ubarikiwe sana davistar mata 🙏

  • @marympochela7903
    @marympochela7903 Год назад +1

    YESU KRISTO Asante kwa wema wako, umemwokoa Laurent kutoka kwenye maangamizi, utukuzwe milele yote

  • @HemediNyangalio-ni5jf
    @HemediNyangalio-ni5jf Год назад

    Kwaujumbe uu kwakweli yesu anatulinda sana Eeyesu endelea kunilinda katika maisha yetu katika jina lako yesu Ammena

  • @jasiri25
    @jasiri25 Год назад +2

    Mungu atamfungua tu ni swala la Muda

  • @rerisamba
    @rerisamba Год назад +2

    Mtumishi katekela alichomeka nae pia ako na alama kifuani anasema usiwahi mchezea mlokole alie simama sawa sawa anaeza kukuua pole sana

  • @mabulamasunga7378
    @mabulamasunga7378 Год назад +1

    Umepambana sana Laurent. Ubarikiwe kwa kujenga nyumba ya Mungu.

  • @womanofsteel1402
    @womanofsteel1402 Год назад +1

    Mzee wa skadi alipewa adhabu ya kupooza. ,Sasa Wewe pia ukapewa adhabu ya upofu ,,Du! Mwenyezi Mungu muumba mbigu na nchi na vitu vyote vilivyomo cna Cha kusema Ila narudisha utukufu kwako🙏 ,,Pole sana kijana shetani Ni pumbavu sana

    • @Kalssambabo-gv6uh
      @Kalssambabo-gv6uh Год назад

      Nayule marehem sijui mzee kanyerere sijui anaitwa hivo nae sialikua kilema

  • @africandarling6925
    @africandarling6925 Год назад +1

    Jambo jema sana mtumishi wa mungu kwa kumrudia Yesu KRISTO

  • @abdulrazack9577
    @abdulrazack9577 Год назад +1

    Pole kijana

  • @catherineangaufoo2530
    @catherineangaufoo2530 Год назад +1

    Waaah.. jamani Mungu ni yeye yule jana,leo na hata milele.

  • @kiehbhzh7044
    @kiehbhzh7044 Год назад

    Pole sn kakaangu kwa kujiamini na hali yako ipo siku utakua sawa kwa lman yako in sha Allah

  • @eliethmwanguya7118
    @eliethmwanguya7118 Год назад

    Kweli davistar unafanya kazi kubwa, Mungu akubariki. Jina la Bwana lihimidiwe.

  • @esterabonga7947
    @esterabonga7947 Год назад +1

    Mbona Hii 13 imeanzia sehemu tofauti

  • @fathiyahmuzney7367
    @fathiyahmuzney7367 Год назад

    Pole mtumish Laurent

  • @rerisamba
    @rerisamba Год назад

    Waa pole sana huyo mtumishi wa Mungu wa 2 alikua anaishi maisha ya haki na matakatifu ndio hukuweza kumchukua huyo wa 1 pengine alikua ni wakujinyanganya

  • @ellenatilio5666
    @ellenatilio5666 Год назад

    Asante kwa ushuhuda

  • @joyprecious8822
    @joyprecious8822 Год назад

    Namshukuru Mungu kufanya ugaili bado mapema,Nakuombea mwisho mwema kaka

  • @SolomoniRingia
    @SolomoniRingia Год назад

    Hicho ni kitabu cha hukumu cha shetani Mwenyewe 😂😂😂 mama yangu hao watu waliyakanyaga kwa kweli kwa upande wako.... 🤣🤣🤣🤣🙆🏿‍♂️🤦

  • @jacklinemachoke9889
    @jacklinemachoke9889 Год назад +2

    kuna kipande umekata Davister,alikuwa anasimulia jinsi akivyokuwa anachukua wanawake club nakuwapeleka kuzimu,hyo kupeleka kuzimu yaan huku duniani walikuwa wanakufa?

  • @sallymumia8425
    @sallymumia8425 Год назад

    GLORY TO JESUS FOR THEI TESTIMONY,ITS A LESSON TO US,WE REALLY HAVE TO GET SERIOUS WITH THINGS OF JESUS CHRIST,.MAY OUR LOD JESUS CHRIST USE YOU MAN OF GOD,NOW THAT YOU ARE A NEW CREATURE IN CHRIST JESUS,MAY OUR LORD JESUS BLESS DAVISTAR TV WITH THEIR CREW,FOR WHAT THEY ARE DOING

  • @damarisnjerichege100
    @damarisnjerichege100 Год назад

    Asante Mungu alikuokoa

  • @SarafinaSaimon-g8i
    @SarafinaSaimon-g8i Год назад

    Niliinjoi na hii story sana🙌😔😔

  • @HarryMbale-ie1ex
    @HarryMbale-ie1ex Год назад

    AMEN AMEN AMEN 🙏🙏🙏

  • @ZubedaVicent
    @ZubedaVicent Год назад +5

    BWANA WETU KRISTO YESU HANA MPinzani akiamua ameamua yy ni Mungu wa miungu

  • @maureenmwende3515
    @maureenmwende3515 Год назад +1

    Jamani 😢😢 mungu tusaidie

  • @hildaernest1090
    @hildaernest1090 Год назад

    Pole kijana dah

  • @HoseaMaphie-ty6lk
    @HoseaMaphie-ty6lk Год назад

    Pamoja sana❤❤❤

  • @eddyjunior2881
    @eddyjunior2881 Год назад

    Naomba Msaada wa namba ya mch aliyemwombea

  • @bakari-si1pw
    @bakari-si1pw Год назад +1

    Dah pole sana kijana wetu na kama itakuwa anaiwitaji wa kuchangiwa utuambie mapema Sio mpaka amalize story ndio useme tumchangie

    • @DavistarMataMediaDM
      @DavistarMataMediaDM  Год назад

      Hiyo ni namba yake anahitaji kuchangia na hii ndio epsode ya mwisho

    • @bakari-si1pw
      @bakari-si1pw Год назад

      @@DavistarMataMediaDM sawa pamoja sana

  • @SarahWilson-g2u
    @SarahWilson-g2u Год назад

    Yalimkuta kama ya sauli😂😂

  • @rehemahramadhani3428
    @rehemahramadhani3428 Год назад

    habar yk kaka naomba namba zako nataka nimsaidie yul kijana alierudi kwao ambae baba yak alikuwa na kidonda na rafik wa baba yake akampeleka kwa mganga nadhan umenielewa

  • @SarahWilson-g2u
    @SarahWilson-g2u Год назад

    🔥🔥👍

  • @AudaxKami
    @AudaxKami Год назад

    Pole Sana jaman

    • @misagwekakoma5277
      @misagwekakoma5277 Год назад

      Kwakweli ushuhuda upo sawa ila kwakweli katika ushuhuda huu amejificha uso wake kama kweli amesha toka huko mbona ajifiche uso ?ya pasa mtu akishuudia na kama amesha kuwa mchungaji age jionesha uso wake je utaweza saidia pastor wakujificha uso wake? Kwakweli nivema kujieleza nakuwaambia watu ukweli lakini siyo Tena kujificha uso wako maana ushuhuda wakweli inakuwanga wazi kabisa haya ubarikiwe Sana ndungu yangu katika christo na yesu akuinuwe nakubariki katika huduma unayofanya

  • @sharondivine8994
    @sharondivine8994 Год назад

    Iyonga ni wapi?

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Год назад

    👊✌️👍.

  • @onesmokapugi5875
    @onesmokapugi5875 Год назад

    Namba moya😢😅

  • @stellahlinusi8215
    @stellahlinusi8215 Год назад

    jamani amuoji kalala na wanake wengi je alikuwa anatumia salama

  • @jacklineakoth1016
    @jacklineakoth1016 Год назад

    Bado laurent ni kipofu ama aliona?

  • @JosephKassim-k3p
    @JosephKassim-k3p Год назад

    Kumbe ungekuwa unaona ungeendelea kutunyoosha maana haukuwa ridhaa bali ni kwa sababu ya kukosa uono
    Lakini kama umetubu ubarikiwe

  • @AnthonyVitalis-iy5su
    @AnthonyVitalis-iy5su Год назад

    Hicho KITABU kiliandikwa kwa lugha Gani?

  • @mwami_the_don_
    @mwami_the_don_ Год назад

    Oyoooo

  • @worldhappiness1181
    @worldhappiness1181 Год назад

    Shetan kajitega mwenyewe na kile kitabu

  • @Sarahsaid2648
    @Sarahsaid2648 Год назад

    Km nawaona waislam wanavyosonya😂😂😂😂YESU NI NJIA YA UZIMA

  • @mutiembingi-le6kz
    @mutiembingi-le6kz 11 месяцев назад

    Natoa ushauri ukiwa umetumwa kumtumikia mungu usiwaambie watu wasapoti fedha Kwaajili ya kumjengea mungu ulitakiwa kujenga kanisa inyonga ulimuukiza pesa za kujenga kanisa? Ama unatumia akili Yako kutafuta pesa za kujenga toa number za simu Kwaajili ya kuwaombea pekee mungu ndie ataleta pesa za kujenga hii NI ONYO narudia ONYO mungu hachangiwi yeye ufungua kas na kus

  • @essy4664
    @essy4664 Год назад

    Davistar weka hio ingine

  • @cheddarman8436
    @cheddarman8436 Год назад

    Davistar naomba umulize mtumishi kama jina la YESU wanasema yess na kwa kingereza JESUS anatamka vipi?

  • @boazambokile2587
    @boazambokile2587 Год назад

    kwaiyo huyu mtu haoni mpka sasa au

  • @joycemuhoja4729
    @joycemuhoja4729 Год назад

    Nilikuwa nasubili Namba 13 Barikiwa Sana🙏

  • @raynawilliam4719
    @raynawilliam4719 Год назад

    Yule mchawi wa ulozi Davistar ameishia wap???

  • @eddyjunior2881
    @eddyjunior2881 Год назад

    Hivi mtu akiwa na shida pia ya maombi mara baada ya kukutana na majini yakamletea shida ,,huwezi kumuunganisha na Mtumishi wa MUNGU ambaye unamjua yuko na nguvu za MUNGU aliye hai???

  • @rhodrickmkandawire4701
    @rhodrickmkandawire4701 Год назад

    The love of money is the root of all evil

  • @BibliaBora
    @BibliaBora Год назад

    Pole ndugu

  • @rehemahramadhani3428
    @rehemahramadhani3428 Год назад

    habar yk kaka naomba namba zako nataka nimsaidie yul kijana alierudi kwao ambae baba yak alikuwa na kidonda na rafik wa baba yake akampeleka kwa mganga nadhan umenielewa