Daaaah kaka davistar mata unafanya kazi kubwa Sana hakika unastahili sapoti kwenye kazi yako hii kubwa na mungu akupe wepesi uendelee kutupa taarifa na maarifa kuhusu ulimwengu huu ili tumche mungu wa kweli
Mzee wa skadi alipewa adhabu ya kupooza. ,Sasa Wewe pia ukapewa adhabu ya upofu ,,Du! Mwenyezi Mungu muumba mbigu na nchi na vitu vyote vilivyomo cna Cha kusema Ila narudisha utukufu kwako🙏 ,,Pole sana kijana shetani Ni pumbavu sana
Waa pole sana huyo mtumishi wa Mungu wa 2 alikua anaishi maisha ya haki na matakatifu ndio hukuweza kumchukua huyo wa 1 pengine alikua ni wakujinyanganya
kuna kipande umekata Davister,alikuwa anasimulia jinsi akivyokuwa anachukua wanawake club nakuwapeleka kuzimu,hyo kupeleka kuzimu yaan huku duniani walikuwa wanakufa?
GLORY TO JESUS FOR THEI TESTIMONY,ITS A LESSON TO US,WE REALLY HAVE TO GET SERIOUS WITH THINGS OF JESUS CHRIST,.MAY OUR LOD JESUS CHRIST USE YOU MAN OF GOD,NOW THAT YOU ARE A NEW CREATURE IN CHRIST JESUS,MAY OUR LORD JESUS BLESS DAVISTAR TV WITH THEIR CREW,FOR WHAT THEY ARE DOING
habar yk kaka naomba namba zako nataka nimsaidie yul kijana alierudi kwao ambae baba yak alikuwa na kidonda na rafik wa baba yake akampeleka kwa mganga nadhan umenielewa
Kwakweli ushuhuda upo sawa ila kwakweli katika ushuhuda huu amejificha uso wake kama kweli amesha toka huko mbona ajifiche uso ?ya pasa mtu akishuudia na kama amesha kuwa mchungaji age jionesha uso wake je utaweza saidia pastor wakujificha uso wake? Kwakweli nivema kujieleza nakuwaambia watu ukweli lakini siyo Tena kujificha uso wako maana ushuhuda wakweli inakuwanga wazi kabisa haya ubarikiwe Sana ndungu yangu katika christo na yesu akuinuwe nakubariki katika huduma unayofanya
Natoa ushauri ukiwa umetumwa kumtumikia mungu usiwaambie watu wasapoti fedha Kwaajili ya kumjengea mungu ulitakiwa kujenga kanisa inyonga ulimuukiza pesa za kujenga kanisa? Ama unatumia akili Yako kutafuta pesa za kujenga toa number za simu Kwaajili ya kuwaombea pekee mungu ndie ataleta pesa za kujenga hii NI ONYO narudia ONYO mungu hachangiwi yeye ufungua kas na kus
Hivi mtu akiwa na shida pia ya maombi mara baada ya kukutana na majini yakamletea shida ,,huwezi kumuunganisha na Mtumishi wa MUNGU ambaye unamjua yuko na nguvu za MUNGU aliye hai???
habar yk kaka naomba namba zako nataka nimsaidie yul kijana alierudi kwao ambae baba yak alikuwa na kidonda na rafik wa baba yake akampeleka kwa mganga nadhan umenielewa
Tunamshulu sana MUNGU kwa ushuhuda huu naamini wengi tumejufunza kitu. Hasa ss tuliojaa tamaaya pesa na mali bila kujali utu wala mtu
Daaaah kaka davistar mata unafanya kazi kubwa Sana hakika unastahili sapoti kwenye kazi yako hii kubwa na mungu akupe wepesi uendelee kutupa taarifa na maarifa kuhusu ulimwengu huu ili tumche mungu wa kweli
Asante sana nipeni support
Mungu au MUNGU sio mungu
Pole sana. Nashauri uwe unasoma biblia kwa njia ya sauti. Itasaidia sana kwa kukuza imani. Ubarikiwe
Nimeumia Sanaa Shetani Shetani umemdanganya kijana daaa yaani Mungu Ni Mwema Sanaa
Asante sana mungu raurent aliamuwa kuokoka na kumfwata yesu kristo ,ubarikiwe sana davistar mata 🙏
YESU KRISTO Asante kwa wema wako, umemwokoa Laurent kutoka kwenye maangamizi, utukuzwe milele yote
Kwaujumbe uu kwakweli yesu anatulinda sana Eeyesu endelea kunilinda katika maisha yetu katika jina lako yesu Ammena
Mungu atamfungua tu ni swala la Muda
Mtumishi katekela alichomeka nae pia ako na alama kifuani anasema usiwahi mchezea mlokole alie simama sawa sawa anaeza kukuua pole sana
Umepambana sana Laurent. Ubarikiwe kwa kujenga nyumba ya Mungu.
Mzee wa skadi alipewa adhabu ya kupooza. ,Sasa Wewe pia ukapewa adhabu ya upofu ,,Du! Mwenyezi Mungu muumba mbigu na nchi na vitu vyote vilivyomo cna Cha kusema Ila narudisha utukufu kwako🙏 ,,Pole sana kijana shetani Ni pumbavu sana
Nayule marehem sijui mzee kanyerere sijui anaitwa hivo nae sialikua kilema
Jambo jema sana mtumishi wa mungu kwa kumrudia Yesu KRISTO
Pole kijana
Waaah.. jamani Mungu ni yeye yule jana,leo na hata milele.
Pole sn kakaangu kwa kujiamini na hali yako ipo siku utakua sawa kwa lman yako in sha Allah
Kweli davistar unafanya kazi kubwa, Mungu akubariki. Jina la Bwana lihimidiwe.
Mbona Hii 13 imeanzia sehemu tofauti
Pole mtumish Laurent
Waa pole sana huyo mtumishi wa Mungu wa 2 alikua anaishi maisha ya haki na matakatifu ndio hukuweza kumchukua huyo wa 1 pengine alikua ni wakujinyanganya
Asante kwa ushuhuda
Namshukuru Mungu kufanya ugaili bado mapema,Nakuombea mwisho mwema kaka
Hicho ni kitabu cha hukumu cha shetani Mwenyewe 😂😂😂 mama yangu hao watu waliyakanyaga kwa kweli kwa upande wako.... 🤣🤣🤣🤣🙆🏿♂️🤦
kuna kipande umekata Davister,alikuwa anasimulia jinsi akivyokuwa anachukua wanawake club nakuwapeleka kuzimu,hyo kupeleka kuzimu yaan huku duniani walikuwa wanakufa?
GLORY TO JESUS FOR THEI TESTIMONY,ITS A LESSON TO US,WE REALLY HAVE TO GET SERIOUS WITH THINGS OF JESUS CHRIST,.MAY OUR LOD JESUS CHRIST USE YOU MAN OF GOD,NOW THAT YOU ARE A NEW CREATURE IN CHRIST JESUS,MAY OUR LORD JESUS BLESS DAVISTAR TV WITH THEIR CREW,FOR WHAT THEY ARE DOING
Asante Mungu alikuokoa
Niliinjoi na hii story sana🙌😔😔
AMEN AMEN AMEN 🙏🙏🙏
BWANA WETU KRISTO YESU HANA MPinzani akiamua ameamua yy ni Mungu wa miungu
Jamani 😢😢 mungu tusaidie
Pole kijana dah
Pamoja sana❤❤❤
Naomba Msaada wa namba ya mch aliyemwombea
Dah pole sana kijana wetu na kama itakuwa anaiwitaji wa kuchangiwa utuambie mapema Sio mpaka amalize story ndio useme tumchangie
Hiyo ni namba yake anahitaji kuchangia na hii ndio epsode ya mwisho
@@DavistarMataMediaDM sawa pamoja sana
Yalimkuta kama ya sauli😂😂
habar yk kaka naomba namba zako nataka nimsaidie yul kijana alierudi kwao ambae baba yak alikuwa na kidonda na rafik wa baba yake akampeleka kwa mganga nadhan umenielewa
🔥🔥👍
Pole Sana jaman
Kwakweli ushuhuda upo sawa ila kwakweli katika ushuhuda huu amejificha uso wake kama kweli amesha toka huko mbona ajifiche uso ?ya pasa mtu akishuudia na kama amesha kuwa mchungaji age jionesha uso wake je utaweza saidia pastor wakujificha uso wake? Kwakweli nivema kujieleza nakuwaambia watu ukweli lakini siyo Tena kujificha uso wako maana ushuhuda wakweli inakuwanga wazi kabisa haya ubarikiwe Sana ndungu yangu katika christo na yesu akuinuwe nakubariki katika huduma unayofanya
Iyonga ni wapi?
👊✌️👍.
Namba moya😢😅
jamani amuoji kalala na wanake wengi je alikuwa anatumia salama
Bado laurent ni kipofu ama aliona?
Kumbe ungekuwa unaona ungeendelea kutunyoosha maana haukuwa ridhaa bali ni kwa sababu ya kukosa uono
Lakini kama umetubu ubarikiwe
Hicho KITABU kiliandikwa kwa lugha Gani?
Oyoooo
Shetan kajitega mwenyewe na kile kitabu
Kitabu kasema kiliungua hapo hapo
Km nawaona waislam wanavyosonya😂😂😂😂YESU NI NJIA YA UZIMA
Natoa ushauri ukiwa umetumwa kumtumikia mungu usiwaambie watu wasapoti fedha Kwaajili ya kumjengea mungu ulitakiwa kujenga kanisa inyonga ulimuukiza pesa za kujenga kanisa? Ama unatumia akili Yako kutafuta pesa za kujenga toa number za simu Kwaajili ya kuwaombea pekee mungu ndie ataleta pesa za kujenga hii NI ONYO narudia ONYO mungu hachangiwi yeye ufungua kas na kus
Davistar weka hio ingine
Katavi
Davistar naomba umulize mtumishi kama jina la YESU wanasema yess na kwa kingereza JESUS anatamka vipi?
JIZZZ
kwaiyo huyu mtu haoni mpka sasa au
Bado ni kipofu
Nilikuwa nasubili Namba 13 Barikiwa Sana🙏
Yule mchawi wa ulozi Davistar ameishia wap???
Hivi mtu akiwa na shida pia ya maombi mara baada ya kukutana na majini yakamletea shida ,,huwezi kumuunganisha na Mtumishi wa MUNGU ambaye unamjua yuko na nguvu za MUNGU aliye hai???
KAANAN BIBLE CHURCH TEGETA SHIDA ITAISHA
The love of money is the root of all evil
tamaa mbaya
Pole ndugu
habar yk kaka naomba namba zako nataka nimsaidie yul kijana alierudi kwao ambae baba yak alikuwa na kidonda na rafik wa baba yake akampeleka kwa mganga nadhan umenielewa
+255743053804