Wimbo huu ulikuwa lazima uchezwe KBC wakati Ustadh Wallah bin Wallah na Jack Oyoo Sylvester wakiwa kwenye kipindi chao cha kufunza watu Kiswahili mufti. Unanikumbusha nikiwa shule ya msingi kule Siaya Kenya mwalimu wetu wa Kiswahili akisisitiza kwamba lazima tusikilize mafunzo ya Wallah bin Wallah!
Reminds me of my college life in Mombasa in early 2, 000 where whenever I pass by Mwembe Tayari there is music show which hardly fails to play the song throughout the day. From Kabarnet town in Baringo county in Kenya I say Zanzibar stars hoiyeee.
When we talk about music, this is what we mean,,, still leasing & leaning,,,ety akikupikia vibichi huyo hatoshi, kama ww ni mukewe na mm Alisha nioa,,,,😂😂
Jzix9kojiiiiiii8999oiiķl 'll jxhiikjjjjiiiiiioiiooioi,€',€,€'uzFYTIGORTII4JRYURUUUUU UUZ8 UX7XX,II,IXI I II 8X8X88X888X88X9X99OUUJZLHJLŹKXJ JZJUUU8IXUÙIZI,,,
Hii ilikuwa intro/background music ya Wallah Bin Wallah kila weekday for Kiswahili(10am to 12pm).. baada ya kipindi, kulikuwa na takrima(tuzo kwa washindi)
Asante bi Mwanahawa na kundi zima la Melody, waliotangulia mbele ya haki M-Mungu awape makazi mema tutawakumbukeni kwa mchango wenu mzuri na burudani ya modern taarab
Wenye tuko hii 2024 mwezi wa sita wa Zakayo.Likes hapa tafadhali.
😂😂
Mwaka 2000 enzi hizooo acha tuuu hapo damu inachemkaaaa
Wimbo huu ulikuwa lazima uchezwe KBC wakati Ustadh Wallah bin Wallah na Jack Oyoo Sylvester wakiwa kwenye kipindi chao cha kufunza watu Kiswahili mufti. Unanikumbusha nikiwa shule ya msingi kule Siaya Kenya mwalimu wetu wa Kiswahili akisisitiza kwamba lazima tusikilize mafunzo ya Wallah bin Wallah!
Ukarabati wa lugha -jina la kilindi
Ukweli kabisa!
Umenikumbusha mbali
2005
Wakati nausikia huu wimbo kila wakati nakumbuka Afrika Mashariki! Mungu Ibariki EA. Wangapi Walla Bin Walla tumkumbuka na huu wimbo!
Mwana hawa ally, wimbo mzuri sana unatufundisha ili tuelimike,, dem old good day in from, Singida ,love
Old is gold🥰🥰🔥🔥🇰🇪
Reminds me of my college life in Mombasa in early 2, 000 where whenever I pass by Mwembe Tayari there is music show which hardly fails to play the song throughout the day. From Kabarnet town in Baringo county in Kenya I say Zanzibar stars hoiyeee.
Wanikosha wallah👌👌❤️
wimbo mtamu halisi..2023 bado watia fora
Dhaa enzi hizo nikiwa kigoli. Shairi limetulia japo kwa ukewenza linauma kinoma😂😂😂
This song reminds me of my High school life❤hii wimbo tulifika nayo national 🎉
Umenikumbusha vita za majirani wangu side chick akimuimba wife kwa mfeji si vita hizo mombasa nakumiss karibuni 🛫🛫 from Saudia
Kitambulisho halisi na hai Ukarabati wa Lugha; Ustadh Wallah Bin Wallah na Kaka JOS!
This song reminds me my childhood memories 😢
🎉❤😢
Yankumbusha mbali sana tukiwa sote nyumbani twaskiza,wengine walituacha Allah awarehemu.😢😭
Athman Bakari amin inaliza kweli ila mungu ndo kataka iwe ivo 😢😢😢
When we talk about music, this is what we mean,,, still leasing & leaning,,,ety akikupikia vibichi huyo hatoshi, kama ww ni mukewe na mm Alisha nioa,,,,😂😂
Nakwenda nawe sambamba.....sote tuna haki sawa.
First time kuona hu nyimbo ilikua kwa vcr Yani video caset n I love it
Niliupenda sana hatimae nikawa bi mdogo kweli😠😠 2019 mashaallah
Ndo jaala yako
Hahahahaha👏👏👏
😀😀mashallah tulizana dadagu mana wote mnahakisawa
hahaha.......hukujua unajiimbia....! but kama umewekwa poa hamna shida bananeni.
🤣🤣🤣🤣🤣tupo wengi
Mume wangu alikua akiniekea huu wimbo sina nijualo mpka nilipoletewa mke mwenza masikio yakanifunguka
We una uzuri gani kazi kwa sangoma hakutaki said prince kinyago Cha skauti
Nakumbuka tu wallah bin Walla nikiskiza hii muziki.. 2004 nikiwa class 7
Ahalan wa sahalan asiyeijua ngeli basi hajui Kiswahili. Guess it was Sunday Afternoons. Man remembering the same too
Doh!sesemi kitu. Beats and voice raises every broken heart...wake wenza jameni
Mapenda sana nyimbo za zamani zimetulia
This reminds me of my motherlnlaw she is a pin in my .......?!!!!
Una uzuri gani si basi tumestiriwa halloooo😘😘😘😘😘
nakwenda nawe sambamba huo ndo mchezo wa kisasa
nyimbo za zamani ni nzuri sana ila video zake sio nzuri
Oh rest in peace my former neighbor Gladys Chacha whom we shared taarab songs.
Lazima alikuwa jirani mwema😊 Roho yake ilale pema peponi
Ameen
Mwanahawa unazeeka na ubora wako. Mungu akueke.
Lakin maisha anayo ishi c mazuri sana wamemchupa ihali yeye ndio legend wa tarabu za mafunzo 😢😢😢
used to listen to this song when I was a kid. now that I have come of age, i got myself here.
much love from Kenya
Ixixjzihxixii££'98dmzmzjzizmzmzmlz idljsizozkizuzuxxuxixiixi£'xixkxixicixm kxixiciiiiikkkzii j i i i,iziz99zi j,in,h i,9u,o,l, ushaftari q
Jzix9kojiiiiiii8999oiiķl 'll jxhiikjjjjiiiiiioiiooioi,€',€,€'uzFYTIGORTII4JRYURUUUUU UUZ8 UX7XX,II,IXI I II 8X8X88X888X88X9X99OUUJZLHJLŹKXJ JZJUUU8IXUÙIZI,,,
)))
InstaBlaster...
Mwanahawa Ali jamani bado unatamba, sauti safi bado mpaka leo MashaAllah.
Dhaa enzi hizo nikiwa kigoli. Shairi limetulia japo kwa ukewenza linauma kinoma😂😂😂
Nakumbuka marusha roho kipindi icho wimbo huu lazima watapigana tyu wanawake
Anapenda zangu mboni na macho ya kurembua
2021tutabanana hapa
This is my favor it, u guyz rock keep it up
Mm
taarabu hunikumbusha mamangu marehemu Njambi
Tuseme ukweli tu kwenye Taarab huyu mama kinara
5:15
'Kwa raha na shida'
'Kwa uzima na ugonjwaa'
'Nitakwenda nawe sambamba ukitaka usitaaake' 💞💗😇
Safi❤
swadakta mma mambo ni mbanano kama wewe wa nyumba kubwa mie wa nyumba ndogo hahaaa halooo😂😂😂
Mzee Amour MaTV, Zanzibar Stars yetu umeipeleka wapi? 😭😭😭
jamani yanikumbusha tu vle cwezi elezea
Kongole mwanahawa ally. Hii baadhi ya kazi mufti ulitoifanyapamoja na shangazi hadija Yusuf dadake Profesa wa mapenzi mzee Yusuf
Tutazidi kubanana papa hapa aiseee
Aisee yanikumbusha Moro vijana sapna mhh ilikua shida
mh kinachogombaniwa hapo ni tamu za wanaumeeee?
Hii ilikuwa intro/background music ya Wallah Bin Wallah kila weekday for Kiswahili(10am to 12pm).. baada ya kipindi, kulikuwa na takrima(tuzo kwa washindi)
2005
2018 october 1 bado naskiliza hii nyimbo was my fovourt mpka leo
Yankumbusha Mbali saana 😢😭😭😭😭😭😭
Tamuuu 2023 bado yanikumbusha enzi za khadija Ali ngoma murwa
Subira munje pwani kwa raha zetu kipindi cha KBC❤❤❤
bibi pole sana inabidi sasa uachane na mambo haya ufanye ibada waachie vijana sihaba ulipofika mtihani ulioupata sio mdogo,m.mungu anakukumbusha
hellooooooo mambo kwa mbanano ndio mpango mzima 👌👌👌👌
LINAH KLINAH mash hahahahahaa halloooooooow!!!kama ww niwa nyumba kubwa mm niwa nyumba ndogo...upoooo hapoo
kwa taarifa zao hao wenye waume zao
mama peku peku nakuamini...
maneno pambe
wewe unauzuri gani sibasi tu umedtiriwa na karoliti
Dem old good days in Kenya!
Nikiwa high school nikijifunza kiswahili na ustadhi wallah bin walah na na kaka josh . Kbc.. nimezeeka ukweli
Asante bi Mwanahawa na kundi zima la Melody, waliotangulia mbele ya haki M-Mungu awape makazi mema tutawakumbukeni kwa mchango wenu mzuri na burudani ya modern taarab
Dole juu,kazi murwa kweli kweli
Swadakta mama mambo nimoto
Fatima yolo
Dhaa dhamana yangu ni yeye kunichagua
Nikisikia taarabu hii unikumbusa mr.wala bin wala, Mr. Jack oyo ,Marehu bili omara, Hassan Ali, Timothy arege name them all.kiswahi dah.kbc
Nimekumbuka mbal sana
Nice 👍
Unackika mpk oman mama love you 2020 😘
Napenda hii nyimbo swadakta wake wenza jamani
Hapo saw
Sema sema nini kinyago usojijua haloooo
Kama kakuweka ndani nami ameshanioa, ,,haha utezi kweli na sauti nzuri Rabana kakujalia ongera
a
Kama Kakuweka Ndani Na Mimi Ashanioaaaaaa...........Ajua Yangu Thamani Ndiyo Akanichaguaaaaaaa
Still watching 2020 in Lebanon
This song reminds me my childhood days
The Kiswahili programme with Wallah bin Wallah
@@jim9443 aha 😊
nice song
Waz in class 8 by then, hongera ustaadh.
Vitu vitatu,KBC,Wallah Bin Wallah,Kaka Jo's na Bint Nana
Nahitaji namba ya uyu mama mwenyenayo anicheki 0777501240
mum R.I.P She loved this Taraab
mhh huyo Dada mwenye nguo ya orange mhh machoyake na kijisura kuntu
ina kubalika ili nyumba kubwa wa ache dharau
raha jipe mwenyewe, kwa raha zangu..................hahaha.........
Yanikumbusha vidonge kumi moto na Habiba pauline matano .Baraka fm 95:5
Kitambo ..mamangu likuwa ywakipenda icho kipindi asubuhi kabla lunch
Mhh kiukweli mtuzi wahizi shairi ninyoko!nakumbuka kipndiiko niko moro mhh aisee
We na uzuri gani si basi tu umesitiriwa
Safi sana mwanahawa sauti mashaala
Dooh nice song lakin fupi...Ahsanta mama nakupenda bure.
mama waskika mpaka
Congo
tutabanana hapahapa
karibu congo
Kweli kabisa.zote niwamume mmoja,kama kasakuoa nami nimkeo.wewe niwanyumba kubwa nami ni ndogo.uuuuui.
Nikisikia namkumbuka ustadh wallah bin wallah, Nana jamila na kaka jos ukarabati wa lugha enzi zile.
pambe Tyuuuuu.husirete za kuleta kunitimua huwezi.husifikili goi goi mimi Niko Fti Kishenzi.
Kama kakuweka ndani nami ameshanioa, ,,haha utezi kweli na sauti nzuri Rabana kakujalia ongera
Catherine the Great muro hahaha tuta tombana hapa
Hee
❤❤❤
Safi sana
Zanzibar brutality islands of Africa
Awesome!!!
mashaallah
Wimbo mzuri sana
Wa kitambo japo hauzeeki
❤
Naukizubaaa natoa kapaa....hehehe
Eastafrica ni noma... hii tarab inafanya chupi zivuliwe!!!
Samuel Kanja
😆😆😆
Thoba! Umevua ngapi kufikia sasa? 😂😂
Napenda sana ...hongera sana
Mashallah
Dah mwanahawa jamani ulisha potelea wp