Tutabanana Hapahapa -Zanzibar Stars A

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 окт 2024
  • nice

Комментарии • 188

  • @ibrahimkeya3396
    @ibrahimkeya3396 3 месяца назад +6

    Wenye tuko hii 2024 mwezi wa sita wa Zakayo.Likes hapa tafadhali.

  • @josephotieno3943
    @josephotieno3943 4 года назад +26

    Wimbo huu ulikuwa lazima uchezwe KBC wakati Ustadh Wallah bin Wallah na Jack Oyoo Sylvester wakiwa kwenye kipindi chao cha kufunza watu Kiswahili mufti. Unanikumbusha nikiwa shule ya msingi kule Siaya Kenya mwalimu wetu wa Kiswahili akisisitiza kwamba lazima tusikilize mafunzo ya Wallah bin Wallah!

  • @KaKa-if5nz
    @KaKa-if5nz 7 лет назад +15

    Wakati nausikia huu wimbo kila wakati nakumbuka Afrika Mashariki! Mungu Ibariki EA. Wangapi Walla Bin Walla tumkumbuka na huu wimbo!

  • @ramadhanmohamed1290
    @ramadhanmohamed1290 Год назад +3

    Mwana hawa ally, wimbo mzuri sana unatufundisha ili tuelimike,, dem old good day in from, Singida ,love

  • @jamilasalimvilog6752
    @jamilasalimvilog6752 3 года назад +10

    Old is gold🥰🥰🔥🔥🇰🇪

  • @vinkormedia672
    @vinkormedia672 Год назад +4

    Reminds me of my college life in Mombasa in early 2, 000 where whenever I pass by Mwembe Tayari there is music show which hardly fails to play the song throughout the day. From Kabarnet town in Baringo county in Kenya I say Zanzibar stars hoiyeee.

  • @aminamakacha6258
    @aminamakacha6258 4 года назад +10

    Wanikosha wallah👌👌❤️

  • @alphaxityserebwah8475
    @alphaxityserebwah8475 Год назад +4

    wimbo mtamu halisi..2023 bado watia fora

  • @munakassim3521
    @munakassim3521 6 лет назад +7

    Dhaa enzi hizo nikiwa kigoli. Shairi limetulia japo kwa ukewenza linauma kinoma😂😂😂

  • @catherinekeith5272
    @catherinekeith5272 3 месяца назад +1

    This song reminds me of my High school life❤hii wimbo tulifika nayo national 🎉

  • @mealemalika7565
    @mealemalika7565 5 лет назад +3

    Umenikumbusha vita za majirani wangu side chick akimuimba wife kwa mfeji si vita hizo mombasa nakumiss karibuni 🛫🛫 from Saudia

  • @KoomeTharanju
    @KoomeTharanju 4 месяца назад +1

    Kitambulisho halisi na hai Ukarabati wa Lugha; Ustadh Wallah Bin Wallah na Kaka JOS!

  • @jaelodundo5267
    @jaelodundo5267 2 года назад +6

    This song reminds me my childhood memories 😢

  • @athmanbakari5932
    @athmanbakari5932 6 лет назад +7

    Yankumbusha mbali sana tukiwa sote nyumbani twaskiza,wengine walituacha Allah awarehemu.😢😭

    • @blacknature7637
      @blacknature7637 6 лет назад +1

      Athman Bakari amin inaliza kweli ila mungu ndo kataka iwe ivo 😢😢😢

  • @williamsagala7081
    @williamsagala7081 Месяц назад

    When we talk about music, this is what we mean,,, still leasing & leaning,,,ety akikupikia vibichi huyo hatoshi, kama ww ni mukewe na mm Alisha nioa,,,,😂😂

  • @Thuon_
    @Thuon_ 4 года назад +2

    Nakwenda nawe sambamba.....sote tuna haki sawa.

  • @abdulbasidosman4106
    @abdulbasidosman4106 4 месяца назад +1

    First time kuona hu nyimbo ilikua kwa vcr Yani video caset n I love it

  • @mwanaherimohamed7135
    @mwanaherimohamed7135 5 лет назад +15

    Niliupenda sana hatimae nikawa bi mdogo kweli😠😠 2019 mashaallah

  • @FatumaSarai
    @FatumaSarai 2 месяца назад

    Mume wangu alikua akiniekea huu wimbo sina nijualo mpka nilipoletewa mke mwenza masikio yakanifunguka

  • @raiyaomary1988
    @raiyaomary1988 6 месяцев назад

    We una uzuri gani kazi kwa sangoma hakutaki said prince kinyago Cha skauti

  • @awuolnduklu3243
    @awuolnduklu3243 3 года назад +6

    Nakumbuka tu wallah bin Walla nikiskiza hii muziki.. 2004 nikiwa class 7

    • @michaelngua1691
      @michaelngua1691 3 года назад

      Ahalan wa sahalan asiyeijua ngeli basi hajui Kiswahili. Guess it was Sunday Afternoons. Man remembering the same too

  • @shabankapsaly1945
    @shabankapsaly1945 2 года назад +3

    Doh!sesemi kitu. Beats and voice raises every broken heart...wake wenza jameni

  • @aishanjama8971
    @aishanjama8971 7 лет назад +16

    Mapenda sana nyimbo za zamani zimetulia

  • @carolkimaiyo4259
    @carolkimaiyo4259 3 месяца назад

    This reminds me of my motherlnlaw she is a pin in my .......?!!!!

  • @sylviamwanjala430
    @sylviamwanjala430 4 года назад +2

    Una uzuri gani si basi tumestiriwa halloooo😘😘😘😘😘

  • @fauziahali9551
    @fauziahali9551 7 лет назад +7

    nakwenda nawe sambamba huo ndo mchezo wa kisasa

  • @jumadea7957
    @jumadea7957 6 лет назад +2

    nyimbo za zamani ni nzuri sana ila video zake sio nzuri

  • @jacksonsasala3566
    @jacksonsasala3566 Год назад +2

    Oh rest in peace my former neighbor Gladys Chacha whom we shared taarab songs.

  • @abubakarswaleh5667
    @abubakarswaleh5667 5 лет назад +3

    Mwanahawa unazeeka na ubora wako. Mungu akueke.

    • @SalimSalim-m9w4o
      @SalimSalim-m9w4o 4 месяца назад

      Lakin maisha anayo ishi c mazuri sana wamemchupa ihali yeye ndio legend wa tarabu za mafunzo 😢😢😢

  • @martinsiameto3734
    @martinsiameto3734 7 лет назад +33

    used to listen to this song when I was a kid. now that I have come of age, i got myself here.
    much love from Kenya

    • @mamaryaan1957
      @mamaryaan1957 6 лет назад

      Ixixjzihxixii££'98dmzmzjzizmzmzmlz idljsizozkizuzuxxuxixiixi£'xixkxixicixm kxixiciiiiikkkzii j i i i,iziz99zi j,in,h i,9u,o,l, ushaftari q

    • @mamaryaan1957
      @mamaryaan1957 6 лет назад

      Jzix9kojiiiiiii8999oiiķl 'll jxhiikjjjjiiiiiioiiooioi,€',€,€'uzFYTIGORTII4JRYURUUUUU UUZ8 UX7XX,II,IXI I II 8X8X88X888X88X9X99OUUJZLHJLŹKXJ JZJUUU8IXUÙIZI,,,

    • @mamaryaan1957
      @mamaryaan1957 6 лет назад

      )))

    • @anakinbrentley7263
      @anakinbrentley7263 3 года назад +1

      InstaBlaster...

  • @bigpompabig7074
    @bigpompabig7074 5 лет назад +3

    Mwanahawa Ali jamani bado unatamba, sauti safi bado mpaka leo MashaAllah.

  • @munakassim3521
    @munakassim3521 6 лет назад +3

    Dhaa enzi hizo nikiwa kigoli. Shairi limetulia japo kwa ukewenza linauma kinoma😂😂😂

  • @eddysalum4275
    @eddysalum4275 5 лет назад +1

    Nakumbuka marusha roho kipindi icho wimbo huu lazima watapigana tyu wanawake

  • @georgeoparawafula7500
    @georgeoparawafula7500 4 года назад +2

    Anapenda zangu mboni na macho ya kurembua

  • @misterferuzi3873
    @misterferuzi3873 3 года назад +3

    2021tutabanana hapa

  • @SuperAmanaa
    @SuperAmanaa 12 лет назад +10

    This is my favor it, u guyz rock keep it up

  • @mildredalube3653
    @mildredalube3653 5 лет назад +1

    taarabu hunikumbusha mamangu marehemu Njambi

  • @bensonvincent3493
    @bensonvincent3493 5 дней назад

    Tuseme ukweli tu kwenye Taarab huyu mama kinara

  • @jamesmartin5555
    @jamesmartin5555 5 лет назад +6

    5:15
    'Kwa raha na shida'
    'Kwa uzima na ugonjwaa'
    'Nitakwenda nawe sambamba ukitaka usitaaake' 💞💗😇

    • @KK-ygh
      @KK-ygh 7 месяцев назад

      Safi❤

  • @kwekwemahendo9747
    @kwekwemahendo9747 6 лет назад +2

    swadakta mma mambo ni mbanano kama wewe wa nyumba kubwa mie wa nyumba ndogo hahaaa halooo😂😂😂

  • @G.r.e.a.t.I.Q
    @G.r.e.a.t.I.Q Год назад

    Mzee Amour MaTV, Zanzibar Stars yetu umeipeleka wapi? 😭😭😭

  • @IsmailIsmail-yd6rd
    @IsmailIsmail-yd6rd 7 лет назад +3

    jamani yanikumbusha tu vle cwezi elezea

  • @charleskiritu9177
    @charleskiritu9177 6 месяцев назад

    Kongole mwanahawa ally. Hii baadhi ya kazi mufti ulitoifanyapamoja na shangazi hadija Yusuf dadake Profesa wa mapenzi mzee Yusuf

  • @AminaOmurunga-if5wh
    @AminaOmurunga-if5wh 5 месяцев назад

    Tutazidi kubanana papa hapa aiseee

  • @tezuratezura8452
    @tezuratezura8452 5 лет назад +1

    Aisee yanikumbusha Moro vijana sapna mhh ilikua shida

  • @tezuratezura8452
    @tezuratezura8452 5 лет назад +1

    mh kinachogombaniwa hapo ni tamu za wanaumeeee?

  • @innocentondiekiongwae6409
    @innocentondiekiongwae6409 Год назад

    Hii ilikuwa intro/background music ya Wallah Bin Wallah kila weekday for Kiswahili(10am to 12pm).. baada ya kipindi, kulikuwa na takrima(tuzo kwa washindi)

  • @mimahsaid2326
    @mimahsaid2326 6 лет назад +1

    2018 october 1 bado naskiliza hii nyimbo was my fovourt mpka leo

  • @athmanbakari5932
    @athmanbakari5932 6 лет назад +2

    Yankumbusha Mbali saana 😢😭😭😭😭😭😭

  • @silvestermogaka5126
    @silvestermogaka5126 Год назад

    Tamuuu 2023 bado yanikumbusha enzi za khadija Ali ngoma murwa
    Subira munje pwani kwa raha zetu kipindi cha KBC❤❤❤

  • @FakhiHaji
    @FakhiHaji 13 лет назад +5

    bibi pole sana inabidi sasa uachane na mambo haya ufanye ibada waachie vijana sihaba ulipofika mtihani ulioupata sio mdogo,m.mungu anakukumbusha

  • @mamapekupekupilipilimuwash9016
    @mamapekupekupilipilimuwash9016 7 лет назад +8

    hellooooooo mambo kwa mbanano ndio mpango mzima 👌👌👌👌

  • @sitibora4942
    @sitibora4942 7 лет назад +2

    wewe unauzuri gani sibasi tu umedtiriwa na karoliti

  • @eugeniaakochi2187
    @eugeniaakochi2187 8 лет назад +5

    Dem old good days in Kenya!

  • @lawrencemuthoni1587
    @lawrencemuthoni1587 Год назад

    Nikiwa high school nikijifunza kiswahili na ustadhi wallah bin walah na na kaka josh . Kbc.. nimezeeka ukweli

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo623 7 месяцев назад

    Asante bi Mwanahawa na kundi zima la Melody, waliotangulia mbele ya haki M-Mungu awape makazi mema tutawakumbukeni kwa mchango wenu mzuri na burudani ya modern taarab

  • @scovydarlhabibi1602
    @scovydarlhabibi1602 11 лет назад +3

    Dole juu,kazi murwa kweli kweli

  • @saumukiduma
    @saumukiduma 9 месяцев назад

    Swadakta mama mambo nimoto

  • @imanichichi6578
    @imanichichi6578 3 года назад

    Fatima yolo

  • @shabankapsaly1945
    @shabankapsaly1945 3 года назад +1

    Dhaa dhamana yangu ni yeye kunichagua

  • @douglasnyakango636
    @douglasnyakango636 5 лет назад

    Nikisikia taarabu hii unikumbusa mr.wala bin wala, Mr. Jack oyo ,Marehu bili omara, Hassan Ali, Timothy arege name them all.kiswahi dah.kbc

  • @RehemaUbwe
    @RehemaUbwe 7 месяцев назад

    Nimekumbuka mbal sana

  • @doristatu518
    @doristatu518 2 года назад +2

    Nice 👍

  • @khadijamasood5462
    @khadijamasood5462 4 года назад +1

    Unackika mpk oman mama love you 2020 😘

    • @jimiaotuma6758
      @jimiaotuma6758 Год назад

      Napenda hii nyimbo swadakta wake wenza jamani

  • @panuelkea850
    @panuelkea850 11 месяцев назад

    Hapo saw

  • @saidsaid9463
    @saidsaid9463 6 лет назад +3

    Sema sema nini kinyago usojijua haloooo

  • @elizabethojwang6189
    @elizabethojwang6189 7 лет назад +1

    Kama kakuweka ndani nami ameshanioa, ,,haha utezi kweli na sauti nzuri Rabana kakujalia ongera

  • @jukham
    @jukham 12 лет назад +1

    Kama Kakuweka Ndani Na Mimi Ashanioaaaaaa...........Ajua Yangu Thamani Ndiyo Akanichaguaaaaaaa

  • @nellymwangilwa4288
    @nellymwangilwa4288 4 года назад +4

    Still watching 2020 in Lebanon

  • @martinsiameto3734
    @martinsiameto3734 4 года назад +6

    This song reminds me my childhood days

    • @jim9443
      @jim9443 2 года назад +1

      The Kiswahili programme with Wallah bin Wallah

    • @martinsiameto3734
      @martinsiameto3734 2 года назад

      @@jim9443 aha 😊

  • @leeannekenya
    @leeannekenya 9 лет назад +3

    nice song

  • @wilberforceoongoh351
    @wilberforceoongoh351 11 месяцев назад

    Waz in class 8 by then, hongera ustaadh.

  • @millicentsamita5749
    @millicentsamita5749 3 года назад

    Vitu vitatu,KBC,Wallah Bin Wallah,Kaka Jo's na Bint Nana

  • @nabillnassor6104
    @nabillnassor6104 6 лет назад

    Nahitaji namba ya uyu mama mwenyenayo anicheki 0777501240

  • @CalypsoCalvin
    @CalypsoCalvin 3 года назад +3

    mum R.I.P She loved this Taraab

  • @tezuratezura8452
    @tezuratezura8452 5 лет назад

    mhh huyo Dada mwenye nguo ya orange mhh machoyake na kijisura kuntu

  • @abubakaryusuf1281
    @abubakaryusuf1281 2 года назад

    ina kubalika ili nyumba kubwa wa ache dharau

  • @pauloyoo6460
    @pauloyoo6460 8 лет назад +1

    raha jipe mwenyewe, kwa raha zangu..................hahaha.........

  • @bebyrux1224
    @bebyrux1224 7 лет назад +4

    Yanikumbusha vidonge kumi moto na Habiba pauline matano .Baraka fm 95:5

    • @dastonamichaels1854
      @dastonamichaels1854 3 года назад +1

      Kitambo ..mamangu likuwa ywakipenda icho kipindi asubuhi kabla lunch

  • @mohamedamiry84
    @mohamedamiry84 5 лет назад

    Mhh kiukweli mtuzi wahizi shairi ninyoko!nakumbuka kipndiiko niko moro mhh aisee

  • @judithemmanuel9845
    @judithemmanuel9845 3 года назад

    We na uzuri gani si basi tu umesitiriwa

  • @saidsaid9463
    @saidsaid9463 6 лет назад +2

    Safi sana mwanahawa sauti mashaala

  • @binhoseinhatibu7089
    @binhoseinhatibu7089 6 лет назад

    Dooh nice song lakin fupi...Ahsanta mama nakupenda bure.

  • @remymatendo1783
    @remymatendo1783 4 года назад

    mama waskika mpaka
    Congo
    tutabanana hapahapa
    karibu congo

  • @douglasnyakango636
    @douglasnyakango636 6 лет назад

    Kweli kabisa.zote niwamume mmoja,kama kasakuoa nami nimkeo.wewe niwanyumba kubwa nami ni ndogo.uuuuui.

  • @samuelleleina7933
    @samuelleleina7933 5 лет назад

    Nikisikia namkumbuka ustadh wallah bin wallah, Nana jamila na kaka jos ukarabati wa lugha enzi zile.

  • @aishaally5352
    @aishaally5352 7 лет назад

    pambe Tyuuuuu.husirete za kuleta kunitimua huwezi.husifikili goi goi mimi Niko Fti Kishenzi.

  • @catherinethegreatmuro9571
    @catherinethegreatmuro9571 9 лет назад +7

    Kama kakuweka ndani nami ameshanioa, ,,haha utezi kweli na sauti nzuri Rabana kakujalia ongera

  • @NaimaTatiana
    @NaimaTatiana 11 месяцев назад

    ❤❤❤

  • @chr300jn
    @chr300jn 9 лет назад +2

    Safi sana

  • @youngbob9761
    @youngbob9761 3 года назад

    Zanzibar brutality islands of Africa

  • @chiffrenkrider1871
    @chiffrenkrider1871 11 лет назад +3

    Awesome!!!

  • @saumusaumu2248
    @saumusaumu2248 6 лет назад +2

    mashaallah

  • @siddikimpole8301
    @siddikimpole8301 6 лет назад +1

    Wimbo mzuri sana

  • @njorogembosha2834
    @njorogembosha2834 Год назад

    Wa kitambo japo hauzeeki

  • @salimiddi7583
    @salimiddi7583 3 месяца назад

  • @fatmaali5701
    @fatmaali5701 7 лет назад +1

    Naukizubaaa natoa kapaa....hehehe

  • @Fantalbo
    @Fantalbo 16 лет назад +1

    Eastafrica ni noma... hii tarab inafanya chupi zivuliwe!!!

  • @fanuelmulumba9976
    @fanuelmulumba9976 7 лет назад +1

    Napenda sana ...hongera sana

  • @kiyungiramadhani357
    @kiyungiramadhani357 5 лет назад +1

    Mashallah

    • @janendaki2646
      @janendaki2646 3 года назад

      Dah mwanahawa jamani ulisha potelea wp