MWIMBIENI BWANA - FRANK MWAKAPETA (Official gospel video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Biblia katika ZABURI 98 inaposema tumwimbie BWANA wimbo mpya, haina maana kwamba anatala wimbo uliotungwa muda huo huo; hapana. Anataka tumtafakari Mungu kwa makuu anayotutendea. Kwakweli ukimtafakari na kuwaza namna BWANA anavyotutetea, utajikuta unaimba wimbo fulani kwa hisia na takakari kibwa.
    Huko ndiko kuimba wimbo mpya hata kama ni wimbo wa zamani au tenzi. Ni mambo mangapi mazuri Mungu aliyofanya kwako na kwangu? Ni mengi mno.
    Ungana nami tumwimbie BWANA wimbo mpya kwa yale aliyotutendea.

Комментарии • 19

  • @shadrackjohn2609
    @shadrackjohn2609 2 года назад

    Ubarikiwe sana mtumishi

  • @simonmwambene4441
    @simonmwambene4441 2 года назад +1

    Mtumishi Mungu akubariki sana karibu isanga umetusahau

    • @mwakapetafrank
      @mwakapetafrank  2 года назад

      Ooh jamani asante sana mtumishi. Hapana sijawasahau. Kwakweli nami nawakumbuka mno. Ninapanga kuja mwezi wa nane Mungu akijalia

  • @alloycejames5285
    @alloycejames5285 Год назад +1

    Amina

  • @alexnjau5908
    @alexnjau5908 2 года назад

    Mtumishi wa Mungu azidi kukupa mafunuo juu ya uimbaji wako
    Wimbo mzuri ubarikiwe sana sana mtu wa Mungu

    • @mwakapetafrank
      @mwakapetafrank  2 года назад

      Mtumishi wa Mungu wetu. Ahsante sana mtumishi. Namshukuru Mungu kwa yote. Na asante sana kwa baraka hii uliyonitamkia. Kristo na ayatimize. Napokea

  • @barakamwakyoma438
    @barakamwakyoma438 2 года назад

    Mungu akupe nguvu kwenye utumishi wako

  • @johnsonlwesya4406
    @johnsonlwesya4406 Год назад +1

    Hongera mtumishi

  • @agnesmhume4927
    @agnesmhume4927 2 года назад

    👏👏👏💪💪🙌🙌 God lift you to the highest level

    • @mwakapetafrank
      @mwakapetafrank  2 года назад

      Thank you very much my lovely young sister.

  • @EliaAmoni-eu4gi
    @EliaAmoni-eu4gi Год назад

    May God raise you up more sir

  • @aidinmtotowayesu5478
    @aidinmtotowayesu5478 2 года назад

    Kaz nzur kaka

    • @mwakapetafrank
      @mwakapetafrank  2 года назад

      Jamani nashukuru sana mdogo wangu. Asante

  • @amosafrica2350
    @amosafrica2350 2 года назад

    Keep pushing kaka

    • @mwakapetafrank
      @mwakapetafrank  2 года назад

      Ooh thank you very much AmosAfrica and dear fellow servant of God