FUSE X FILES: Je! RAIS RUTO anatusikikiza GPS? Sikiliza alichokisema, Au nini maoni?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024

Комментарии • 148

  • @billskeez92
    @billskeez92 3 месяца назад +30

    GPS, FUSE,SNS mpo Juu zaidi ❤🔥👌 Sisi mashabiki wenu tunafurahii sana

  • @BillyJames-l6x
    @BillyJames-l6x 3 месяца назад +5

    Ruto hawezi sikiliza sijui GPS sijui nn huyo ni gaidi na hivi vitu mnaongelea vimeongelewa kenya hadi tumechoka ndio maana tukaenda barabarani .Kama Ruto aliskiza baada ya vifo na majeruhi we unadhani podcast inaeza mfanya abidili nia???

  • @SundayMtachi
    @SundayMtachi 3 месяца назад +3

    Hawasikilizi but problem solving skills ni common for a particular problem ni vitu zimewahi kufanyika miaka na miaka not only in Kenya

  • @binkumbesa4181
    @binkumbesa4181 3 месяца назад +15

    Dj Smaa utazungumza kiakili sana. Mara nyingi wenye mihemko na elimu za kikoloni wanachelewa sana kukuelewa

  • @miriamvihenda7408
    @miriamvihenda7408 3 месяца назад +17

    huyu niwa kutenga na kupanga tusha kuchoka zakayo enda tu nyumbani

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 3 месяца назад +2

    Nimegundua sns ni shule ya viongozi wetu.

  • @MsangoDiesel
    @MsangoDiesel 3 месяца назад +2

    Wananchi wakichoka 😢😢😢ndio haya yanayotokea mabadiliko yanakuja africa

  • @amriseleman9395
    @amriseleman9395 3 месяца назад +5

    DJ SMAA......
    GPS.....
    GEOPOLITICS......❤
    SNS.......❤
    DJ SMA...HONGERA SANA. WEWE NI PURE GEOPOLITICS ANALYST KABISA.

  • @SamuelOuma-uy2ci
    @SamuelOuma-uy2ci 3 месяца назад +2

    DJ sma mimi natokea 254ila nakufatilia mno

  • @rogerabdallah439
    @rogerabdallah439 3 месяца назад +1

    Mjinga sana muda ote ulikuwa wapi mpaka watu wakufe kenge wewe

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 3 месяца назад +2

    Wakenya wameamua

  • @JosephAlakonya
    @JosephAlakonya 3 месяца назад +7

    Tupewe paybill ya china tutajilipia deni wenyewe #KENYA

  • @EdwinKihumbe
    @EdwinKihumbe 3 месяца назад +2

    GPS akili kubwa

  • @Mariam-fm8vq
    @Mariam-fm8vq 3 месяца назад +1

    Huezi tubeba ufala RUTO

  • @allykwaya
    @allykwaya 3 месяца назад +1

    Dj smaa. Unamaono, Madam President washauri wake mko wapi??? VIJANA Kama hawa awape kazi wamsaidie kuijenga nchi. INSHAAALLAH IPO NAIMANI UTAKUWA

  • @EdwinKihumbe
    @EdwinKihumbe 3 месяца назад +2

    GPS akili kubwa

  • @husseinkaoneka5834
    @husseinkaoneka5834 3 месяца назад

    KAMA SISI TULIVYOONGEZEWA KODI KWNYE LUKU BADALA YA 1500 SAS HVI 2000 MAMAE MBNA TUTANYOOKA

  • @danielikonyeeki254
    @danielikonyeeki254 3 месяца назад

    Anadanganywa na IMF(criminal organization).Amekua kibaraka

  • @Supershopdubai-ck8td
    @Supershopdubai-ck8td 3 месяца назад +4

    Good job sma unaweza ubalikiwesan from 🇧🇮💐🙏🔥

  • @kdloon2030
    @kdloon2030 3 месяца назад

    Ruto kaisha ingiwa na hofu ya kuondolewa madarakani,usichezee nguvu ya raia unao waongoza pale wanapo ungana na kuamua moja!Tanzania tuendelee tuu kuwa na nidham ya uoga,tulio rithishwa!

  • @EdwinKihumbe
    @EdwinKihumbe 3 месяца назад +2

    GPS akili kubwa

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 3 месяца назад +4

    Ruto hana maadili ya kuiongoza Kenya anatumia weledi pekeyake alafu wakenya wanahitaji maarifa coz hawana lugha sahihi ya kuelewana baina yao. Kawaambie hivyo wakenya waache wehu

    • @mscantraah8210
      @mscantraah8210 3 месяца назад

      Hatumtaki kabisa Hana maana wa Lani dhamu huyo hafai kuwa rais wa kenya

    • @FatumaJumanne-p4d
      @FatumaJumanne-p4d 3 месяца назад

      ​@@mscantraah8210Ila MUNGU amewalpa Maana mulimchukia Odinga kisa almleta diamond kwenye uchaguz ksa hajamchukua msanii wa Kenya.

  • @iddiramadhani5111
    @iddiramadhani5111 3 месяца назад +1

    Madeni yatatuua waafrica.

  • @dorahbenard1837
    @dorahbenard1837 3 месяца назад +1

    Daa! Smaa wonderful 👏🙌👍 asantee kwa hizi tips wewe unastahili ka ulinzi flani hiv una akili yako inayo hitajika na kiongoz wa nchi za Africa

  • @djafro8729
    @djafro8729 3 месяца назад +2

    Mimi ni mkenya. Zakayo uongo na propaganda kama za Amerika ndio mingi

  • @khalfanmlala5093
    @khalfanmlala5093 3 месяца назад +1

    Kiukweli unaogea sana vitu vyaukweli

  • @abdullahnassor9433
    @abdullahnassor9433 2 месяца назад

    Muswada wa fedha unaweza kuondolewa tu na bunge moja..naitakia Kenya kila la heri

  • @jameskenny1808
    @jameskenny1808 3 месяца назад +1

    Ume tuma jeshi la Kenya Congo kuuwa wa Congo but remember that one day you will pay back your stupidity With usa and Europe union. Ila ha muta weza hata kidogo

  • @billskeez92
    @billskeez92 3 месяца назад +5

    Uuwiano unaendana kabisa istoshi inaonekana vipindi vya Sns vinaenda vairo🔥

  • @trendz_2548
    @trendz_2548 3 месяца назад

    😂😂😂😂😂Sma huyu jamaa muongo ajabu angalia interview leo usiku ndo uone ni nani.ameshatuuza sai anateka nyara watu hadi sasa hataki amani anatafuta wakubwa ni nani

  • @missp1814
    @missp1814 3 месяца назад +2

    SnS inasikilizwa na watu wengi,itakuwa washauri wake wanasikiliza wanampa madini nini afanye.....maana sahivi Ruto anatafuta njia ya namna gani kurudisha imani kwa wakenya.

  • @Sarah-e1o9k
    @Sarah-e1o9k День назад

    Zakayo zakayo zayako jaribu kutoa RG uone vle kitaumana😏

  • @Abdulrahmanhassan18
    @Abdulrahmanhassan18 3 месяца назад +1

    Dj sma ulikuwa mbele ya muda

  • @jeanclaudeakili2372
    @jeanclaudeakili2372 3 месяца назад

    I don’t understanding how African contry have debt????😢😢😢😢???? And why??? No one will make me understand how African people had a debt 💸 for those grids West contry??????? In my life I want to understand that… Look 👀 our slavery since 1700 years ago to the colonization…and the Leaders of Africa pale hana Akili eti wa Afrika tuna ma Deni???? West contrys ndo wana deni letu kuuuuuuubwa na I don’t think 🤔 they can pay it for us Afrika….????????😢

  • @rehemathoya8754
    @rehemathoya8754 3 месяца назад

    Let then cut down salaries of the mps, na watoe ma senators, MCs wanakula pesa za bure

  • @vincentpeter4575
    @vincentpeter4575 3 месяца назад

    Huyu bwana vitu ambazo anaonge na anachofanya ni vitu tofauti tunamjua propaganda

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 3 месяца назад

    sasa maandamano gani hayo pasipo shindikizo langu unawajua vizuri wanasiasa wa Africa

  • @allymtapera5370
    @allymtapera5370 3 месяца назад

    Wakenya elewaneni ,mkuu kashaona palipotoboka

  • @fredrickshantiwa9710
    @fredrickshantiwa9710 3 месяца назад

    Kaka tunaomba utusaidie uchambuzi wa swala la mpina

  • @MuthamaSabastian
    @MuthamaSabastian 3 месяца назад

    Alafu mupange nawao na mutenge na muahidi ama ni namna gani nyinyi wangwana na my friends

  • @Binja4
    @Binja4 3 месяца назад

    Huo mswaada haukua hi wa bunge huo mswada uliandaliwa na IMF

  • @BabuGga-td3mg
    @BabuGga-td3mg 3 месяца назад +7

    Dots, facts & Logic ✊🏿

  • @omarisombi9284
    @omarisombi9284 2 месяца назад

    Kila kitu ni rahisi kama utaratibu wa jambo husika ukafuatwa

  • @ramasefu9719
    @ramasefu9719 3 месяца назад

    Waongoh wenywe ndi0 wana maliza mali za inchi izo magari zanini

  • @kassimbayuu
    @kassimbayuu 3 месяца назад +2

    Smaa hongera kwa kazi nzuri sana,

  • @mtumoja6945
    @mtumoja6945 3 месяца назад +2

    Mm ni Mkenya lakini uyo ni muongo sana ruto

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj 3 месяца назад +1

      Mbona mmechoka Ruto mapema sana au haya ni Maoni yako binafsi na si ya wakenya?

  • @maxozone3762
    @maxozone3762 3 месяца назад

    Huyu zakayo MTU mmoja asiye timiza ahadi

  • @mahamedabdi1881
    @mahamedabdi1881 3 месяца назад +1

    Dj smaa bro uko vizuri sana keep going keep continue

  • @allykwaya
    @allykwaya 3 месяца назад +1

    Sns mnafanya kazi nzuri. Msichukukulie poa wakubwa wanachukua ushsuri wenu sema kimyakimya. 🎉🎉

  • @Mimi.Official
    @Mimi.Official 3 месяца назад +1

    Nyinyi hamjui kwa nini watu wanavunja na kuchukua vitu. Ushajiuliza kwa nini 😂😂😂 hata hao police huchukua na hawafanywi kitu kwanza wanajeshi wanaingia supermarket anachukua shopping ya chakula anatoka anaenda. Na si kila maadamano watu huvunja 😅😅😂😂

  • @noahmgaya6687
    @noahmgaya6687 3 месяца назад

    genius sns😂😂😂😂🙏🙏🤝🤝🤝nandoman nika chaguwa sns kunavicha 😂

  • @خسنموس
    @خسنموس 3 месяца назад

    Ruto must Go ata diaspora kenyans wamemkataa

  • @noonelike6382
    @noonelike6382 3 месяца назад

    Kudadeki big up Sana dj smaa na SNS 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌.

  • @yusufmohamed7235
    @yusufmohamed7235 3 месяца назад +1

    Tunafuatilia kwa ukaribu sana❤ from kenya

  • @KhafisaAli
    @KhafisaAli 3 месяца назад +3

    Huyu kaenda kuchukuwa silaha za marekani ambazo sio saizi yake

    • @nomoboy152
      @nomoboy152 3 месяца назад

      Sasa hizo silaha na magari ndege na kila kitu za kimarekani anataka azitumieje anavita na nani au anajilinda na nan kama ulinzi wa nchi Hilo jeshi mbona lilikua linamtosha viongozi wa Africa ni miyayusho sana

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 3 месяца назад


      NIKWELIIIII KBSAAAAAA

  • @Qqambaa
    @Qqambaa 3 месяца назад

    Laiti angesema mapema tho is too late now

  • @CJ-vd9wn
    @CJ-vd9wn 3 месяца назад +3

    Nyenyenye wakwanza sijui naomba like zenu😂😂😂😊

    • @kaittheleast
      @kaittheleast 3 месяца назад

      Umemuwahi mtu wa kwanza kuomba like

  • @rajabdibwa6415
    @rajabdibwa6415 3 месяца назад

    Nothing new! We don't want dialogue!

  • @faisalahmed7757
    @faisalahmed7757 3 месяца назад

    Vijana ndo wamechoma cz huelewek iZAKAYO MUST GOO

  • @ankalmzito254
    @ankalmzito254 3 месяца назад

    🇰🇪🇰🇪🇰🇪mpoo humu ndanii....❓❓

  • @Hassan.Nassoro
    @Hassan.Nassoro 3 месяца назад

    Dj Smaa Akili kubwa sana Mungu akuongoze brother unatufungua kwa mengi sana God bless you 🙏

  • @allymtapera5370
    @allymtapera5370 3 месяца назад

    Mzee yuko ktk mstari,

  • @Laughfun48
    @Laughfun48 3 месяца назад

    DJ SMA elewa Ruto hayuko tayari kuzungumza na wananchi kutafta suluhisho yake ni maneno mazuri tu,nia yake ni kutuliza maandamano kwasababu serikali yake imetikiswa anatumia the last line of defense (KDF) wakenya hawamwamini hata kidogo.
    Shida ya wakenya sio kulipa kodi bali matumizi na ufisadi
    Yanayoendelea hayataisha rahisi
    Maandamano yapo tena sana fanya utafiti kwa wakenya uelewe kindani kinachoendelea

  • @djafro8729
    @djafro8729 3 месяца назад +1

    Ruto alikuwa makamu wa raisi miaka kumi alifanya nini. Raisi miaka mbili amefanya nini

  • @bakarimakomola
    @bakarimakomola 3 месяца назад

    The genius DJ SMA
    Huyu jamaa atunzwe kwenye nchi hii maana anafaa hata kua raisi wa nchi huyu mtu ni Big brain tusimchukulie poa

  • @MohammedBwanga
    @MohammedBwanga 3 месяца назад

    Maandamano nchini Kenya wamo waloandamana kw ajili ya bajeti,lkn wapo wahalifu,waporaji,lkn naamini wapo waanndamizi waliovurugwa na safari ya Ruto nchini marekani kibajeti lkn Pia kwnini Ruto katika kipindi hiki cha geopolitics Hali olivyo Alf. Anafanya ushiruka na marekani?

  • @isabellarkageha7707
    @isabellarkageha7707 3 месяца назад

    Zakayo jua hakuna mambo na criminal....wakenya tumechoka na serikali yako munakula pesa hamfanyi maendeleo

  • @pesaspy_tv
    @pesaspy_tv 3 месяца назад

    Huyu Ruto anashinikzo kutoka marekani ndy maana anaafanyiwa maandamano hapo Kenya

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 3 месяца назад

      ongeza kufikiria basi

  • @JeannetteManirambona-o6m
    @JeannetteManirambona-o6m 3 месяца назад +1

    Mwamba Djay smaa

  • @SalumJuma-iz2gj
    @SalumJuma-iz2gj 3 месяца назад

    App munatafuta sababu muwakamate wakeny miwaeke ndanitu mnajidai walio vunja bunge si wakenya atanyinyi mukiingia kweny kuminanane zao watawavunja by tz

  • @Kakaaomar
    @Kakaaomar 3 месяца назад

    aminia hamna jipia kutoka kwake yote maneno tuu bila vitendo
    chamisingi hapa huyu jamaa aende tuu nyumbani

  • @hamadiharuna9974
    @hamadiharuna9974 3 месяца назад +1

    Amesikia ushauri wako

  • @omarisombi9284
    @omarisombi9284 2 месяца назад

    Shukrani sana

  • @ShehaHaji-k8t
    @ShehaHaji-k8t 3 месяца назад

    Yamkosaji ayo amekwisha uyo RUTO laana ya kuwakbali mashoga wa magharibi

  • @yahayaannu3663
    @yahayaannu3663 3 месяца назад +1

    Warra DJ smaa 🎉🎉🎉

  • @betinvestment3204
    @betinvestment3204 3 месяца назад

    Kwa haraka km ww nimsoma akili utagundua kwa kauli ya ruto afai tu kua kiongozi kwa wakenya wanachoma hadi nyumba za wabunge ambao wamepiga kura ndyo ili wananchi waumie alaf wewe unasema tutawakamata alaf unasema tumekubali tukae chini tuongee vipi nahao wananchi walio uwawa wakenya nao wakae chini muyaongee sindiyo? 😮😮

  • @alibinali_
    @alibinali_ 3 месяца назад

    Ruto amewadangaya wakenya sana alipewa nasafi ya kutimiza aliyo ya sema ata yatimiza sahi amebadilika kazi yake ni kudanganya wakenya na kuchukuwa hela zao hao anao waita waizi ndio ni wanaichi na ndio walimpa kura ruto mpaka leo hakuna chamaana alicho kifanya #rutomustgo

  • @deekendi191
    @deekendi191 3 месяца назад +1

    Tatizo sio expenditure, wizi na greed ndo tatizo.

  • @EdwinKihumbe
    @EdwinKihumbe 3 месяца назад +2

    GPS akili kubwa

  • @mdl6463
    @mdl6463 3 месяца назад

    RUTO anacheka na mtu hafai kuwa kiongozi kiongozi unatakiwa kuwa mkali

  • @AlhamSchfam
    @AlhamSchfam 3 месяца назад +1

    Jana FAIZA Aly akasema wa Kenya Maskini kwa kutukejeli

    • @alibinali_
      @alibinali_ 3 месяца назад

      Sawa wa Tanzania matajiri

  • @allymwilu8089
    @allymwilu8089 3 месяца назад

    Wakened wangejua walimpata raisi mmoja wa maana sana wanachezea watamkumbuka huyu

  • @Jumasefhu
    @Jumasefhu 3 месяца назад

    Selekali ikaroa v8 nakutumia suzuki na mengineyo mengi wanaichi watawaelewa

  • @gaushehbshshehe3830
    @gaushehbshshehe3830 3 месяца назад

    Sns u dont understand this man Ruto tell me which promise hhas he fullfilled so usijafante ww unajua siasa za kenya

  • @FaustinoNifasha
    @FaustinoNifasha 3 месяца назад +1

    Kakoma

  • @ZiyandaMhlana
    @ZiyandaMhlana 3 месяца назад

    Atoke huyooo kwel Kagame sio mshauli mzili inchii masikini itashauli nini inchiii tajili

  • @gabapentin8070
    @gabapentin8070 3 месяца назад

    🔥🔥🔥

  • @fredrickshantiwa9710
    @fredrickshantiwa9710 3 месяца назад

    Kaka tunaomba utusaidie uchambuzi wa swala la mpina

  • @xfamefatetv
    @xfamefatetv 3 месяца назад +3

    But Your talents #GPS are great

  • @Jumasefhu
    @Jumasefhu 3 месяца назад

    Mimi kwa maoni yangu ukitaka kubana wananchi wakati selekaili inakulabata sio lakini ukianza kwa selekali ikapunguza matumizi yake na ukaongeza kodi inakua balas

  • @isabellarkageha7707
    @isabellarkageha7707 3 месяца назад

    Corruption ndio imejaa kwa serikali yako

  • @mohamedsheealom8745
    @mohamedsheealom8745 3 месяца назад

    Kwahio ilochomwa ni biashara..kwao ambazo ni pesa kutoka kwa wana nchi kuwalipa wao kwa kazi tunataka kufanyiwa....

  • @samuelally435
    @samuelally435 3 месяца назад +3

    Pomoja

  • @rosemaryogambe4498
    @rosemaryogambe4498 3 месяца назад

    I don't think so wanawakopi nop ni coincidence tu

    • @djsma255
      @djsma255 3 месяца назад

      No 1 said amecopy mku

  • @djafro8729
    @djafro8729 3 месяца назад +1

    Tutachoma state house

  • @Yayouselim
    @Yayouselim 3 месяца назад

    Mume Tisha wazee nyie ndo mpango mzima

  • @Moseskoome-l1t
    @Moseskoome-l1t 3 месяца назад

    ruto ni mjanja kikiumana ana retreat😊

  • @kakawamashariki8978
    @kakawamashariki8978 3 месяца назад

    Anatusikikiza au anatusikiliza? Uhariri wa kichwa cha habari.

  • @sindabahabwoyaanacret660
    @sindabahabwoyaanacret660 3 месяца назад +1

    Apo unazingua Rais ana washauri wabobevu ndan na nje ya Nch hawezi sikiliza nyie

  • @niffonlinetz7214
    @niffonlinetz7214 3 месяца назад

    MWANETU DJ SMA THE GENIUS MAN