Yaan nimesubiri kusikia hyo maneno ya ukali sijasikia nikagundua kuwa kusema embu acha ndio maneno ya kufoka jmn siaminin kwamba we kaka uwezo wko wa kufikir umefikia hapa embu acha na ww kutumalizia bando letu ....
😅😅😅😅😅😅nimecheka sana daaaaa yani kunawatu mnafatia maishaya ya watu jaman hiv kwahiyo nand asiongee na mfanya kazi wake ata asimfokeee kwan kawa malaika jaman ebu achane ujinga bana muwe mnaangalia navitu vya kuongea bas mnatuchosha bana
Uy mtangazaj mmbea nandy mbona hajaongea kwa ukali kutaka kukuza mambo tu nahuo uso wamfanyakaz kujiskia vibaya yeye ameuona wap mbona sisi hatujaona nawala hajachkuliwa usoni hapo unoko tu chefuuu😏😏😏
Kama angekuwa anafokewa na kuteswa angekaa apo kwani kafungwa kamba uyo alafu mbona sio mtoto mdogo ni anajielewa kabisa anajua zurii na baya acheni umbea wenu
Watu wengi wanasema kila nani ? Yeye ni mama hapo sio stejini yeye ni mama akiwa nyumbani kwake anaweza kumkaripia hata mtoto wake mseme ana roho mbaya
Jamani mimi nimeelwa ni kama vile kamaanisha embu acha ili waone kama mtoto ataendelea kumchezea huyo mbwa mbona hakuna ukali wowote hapo na hata hujajua maneno yaliotangulia yalikuwaje mpaka ikafika akamwambia hivo mh watu kwa kujaji
Huenda alikuwa anarecord video ya mtoto akicheza na huyo mbwa, thus why alitaka msichana asogee pembeni….nothing else! Watu hupenda kuzusha vitu msivyokuwa na uhakika navyo.
Akiwa mpole siatampanda kichwan mwachen bahna awe mkali lakin anampenda na kumjali mnatak dada wakaz alelewe kan mtoto nyie naye mmekosa vya kupost sas nendeni buguruni mkahoji watu kwann wanapenda kukaa pale darajan acheni kumsema mdad wawatu asipumue kisa nn umbeya2 na wivu unawasumbua Jengeni na nyie ...kheeee😂😂😂😂😂
Lazima uwe mkali kidogo jmn heee unataka mtu upandwe kichwani nyie watu Veep jmn inatakiwa uwe mkali ili uheshimiwe kidogo maana kunakuibiwa mume eee ujue
Acha uchonganishi wewe wangine wapiga wafanyakazi wao wapo wengi tu wanadhulumiwa mishahara yao ukiona msichana wakazi kakaa muda mahali bac hasumbuliwi kwani nandy ni malaika we vip fata yako umbea tu
That’s not your business what’s wrong kwani nini weye inakuhusu nini wewe kwaza such nonsense sana you need some help and money support kwaiyo is not your business inakusubuwa utafugwa kwa keherere
eeeeh binadamu bhana ivi sauti za ukali mnazijua? hapo amemwambia tu labda alikuwa anataka amchukue video Naya akicheza na mbwa peke yake, mmmmh hapana binadamu wabaya nyie
Weeeeeee kaka mbeya sana , even if nimkali kwani kwanini mnapenda kufatilia maisha ya watu jamani 😢 mimi naona sisi watanzania tuna wivu tu
Sana
Yaan nimesubiri kusikia hyo maneno ya ukali sijasikia nikagundua kuwa kusema embu acha ndio maneno ya kufoka jmn siaminin kwamba we kaka uwezo wko wa kufikir umefikia hapa embu acha na ww kutumalizia bando letu ....
😂😂😂😂😂
Huu ni unafiki tu kazi kufatilia maisha ya watu daahh .sasa huo ukali uko wapi hapo
Mmmh weee kaka ulikosa ya kufanya ama nini mbona kufatilia maisha ya watu
Achen kufatilia maisha ya watu
😅😅😅😅😅😅nimecheka sana daaaaa yani kunawatu mnafatia maishaya ya watu jaman hiv kwahiyo nand asiongee na mfanya kazi wake ata asimfokeee kwan kawa malaika jaman ebu achane ujinga bana muwe mnaangalia navitu vya kuongea bas mnatuchosha bana
Kwanza huyo dada yupo free sana
Nampenda sana nandy because ni msañ ninaempenda
Mmekosachakufanya wapuuzi nyie mwacheni mdada wawatu😊😊
Hm mpeni hakiyake mtoto wawatu jamani mpeni pongezi zake kilasiku kumpaka ubaya 2
Natamani na mm ninge pata boss kama Nandy
😂😂😂uwongo ko mam mjeng asionge atoke aend kam anatesek msichafue jin la nandy
Acheni kufatilia maisha ya watu nyie huo umbea tuu ndy umewakaa kichwanii khaa acheni wivu
Wapare ni watani zangu nawajua A to z wana roho mbaya😢😢😢😢
Huo ni uongo kwan kama nandy alikuwa anatak kumuona naya akicheza na mbwa😅😅😅
Embu mwache ni sauti ya kawaida sana acheni umbea usio kuwa na maana
Mmekoswa kazi tafuteni habari za kupost, kwahiyo asifokewe kama kakosea. Wabongo
Uy mtangazaj mmbea nandy mbona hajaongea kwa ukali kutaka kukuza mambo tu nahuo uso wamfanyakaz kujiskia vibaya yeye ameuona wap mbona sisi hatujaona nawala hajachkuliwa usoni hapo unoko tu chefuuu😏😏😏
Kwani ma superstar sio watu ila nyinyi mezidi sasa
Acheni kufatilia maisha ya watu
Kwani kuna ajabu gani mtu akikosea kukaripiwa kukatazwa kufanya kitu....hovyooo mnataka kumtia ubaya tu Nandy.
Waudaku sasa 😅😅
. 0:00
Sasa hapo kafokewa nini mbona waongo sana nyie😢😢
Jamani kwani ameongea vibaya ivyo walimwengu jamani
Acha uwongo ww kaka hamna ukali apo, alitaka mtoto awe free acheni maisha ya watu jamnii mbna mnamkalia nandy ivyooo🙄
Kama angekuwa anafokewa na kuteswa angekaa apo kwani kafungwa kamba uyo alafu mbona sio mtoto mdogo ni anajielewa kabisa anajua zurii na baya acheni umbea wenu
Wanaka yakuandika eanatafuta viewers wajinga kabisa wanatakiwa I hi kituo kifu giwe
Mtangazaji anaremba umbea tuu kakosa udaku kumchafua nandy wa watu katulia mjengoni kwake,
Uki angalia boss anaongea nn hutoendelea tunaangaliaga msharaha dear sio maneno makali ya boss nikawaida saana maboss wengi ni wapogo hivyo
Kam mwajiriwa wake na anakaa na mtot na yey ni kama mtot lazima afokewe Kam amefanya kosa kwann asimfokee
Jamani muacheni nandy wa watu;mumpumzishe tafadhali
Mh asa hapo ndo kafokewa mmekosa vyakuongea au
Mwanamme mzima na ndevu kila .......waka kumsema mtoto wakike kweli jishikilie kijana tena jikaze
Hakuna dada wa kazi anayeheshimika kwa nyumba ya mtu utapendwa kwa mda mfupi2😢😢
Jamani kwani mtu akikosea asiambiwe siaija tushangaza jamani wabongo kheee😂
Acha uongo nyokoooo
Umbeya tuu. Amna ukalia wowote hapo kaongea kwa upole
Nandy acha roho mbaya😮😮😮
Jmn mbona ata ajafokewa munatumalizia MB tu nilijua kitu cha maanaa pumbavu kabisaà
Mbna sauti yakawaida tu ambayo unaweza kumwambia hta mtoto.
Yaani nyie. Wakat Nandy ndo alikuwa anawachukua video jamani. Alimwambia acha ili achukue video atakavyo😊
Nandy❤❤❤❤
Acheni kufatilia maisha ya watuuu😅😮
Umbea tu kuoga aaah😂😂
Hamuna kazi zakufanya
akazi zakufanya
Watu wengi wanasema kila nani ?
Yeye ni mama hapo sio stejini yeye ni mama akiwa nyumbani kwake anaweza kumkaripia hata mtoto wake mseme ana roho mbaya
Mmh mnapenda kuyakuza jamn Kam kufoka ndoo wanavyo fokaga ivyoo,?
Mmmmh usanii kaz jaman ata usiongee kawaida utaambiwa umekaripia
Upuuz sasa apo kafoka nn yaan hv v media vya kipuuz viwe vinafungiwa tu shwaaain
Kwendaaaa 🤪🤪umbea tu 😏
Kaogea kawaida tu😂😂😂
Muhimu boss wangu
Pereka upwiru wakohuko kwahyo utaishi namtu hatabira kumuonya mtu hataakikoesea amchekee tu acha utahira tafta vitu vya maana nasyo durma
Sasa hapo ndiyo kafoka jamani! Punguzeni maneno Kwa mtoto wa watu
Jmn khaa kwan mnataka uyo nandy ampeleke dada wake India ndomjue anampenda yan dada wakaz wa nandy mwaya comment zetu
Jamani mimi nimeelwa ni kama vile kamaanisha embu acha ili waone kama mtoto ataendelea kumchezea huyo mbwa mbona hakuna ukali wowote hapo na hata hujajua maneno yaliotangulia yalikuwaje mpaka ikafika akamwambia hivo mh watu kwa kujaji
Mbona kawaida hajamkaripia🤣
Embu acha ndo kamfokea hivyo watu Jaman
Hapo ni umbea tu kwendaraa sauti gani ...ni km ni km sauti gan hivyo kwendaa
😂😂saut ya kawaida TU iyo acheni umbea uko,,sisi tulipitiaga baan so apo sijaona ubaya
Polee dear
Mmmh 😮huna lolote
Tafuten ela acheni ivo kufatilia watu ambao awa wawa jui
Umbea tu
Huenda alikuwa anarecord video ya mtoto akicheza na huyo mbwa, thus why alitaka msichana asogee pembeni….nothing else! Watu hupenda kuzusha vitu msivyokuwa na uhakika navyo.
Mbona sasa siskii hayo maneno makali hiv mnajua maana yakufokewa
Mbona KAKA katika furniture zake
Aondoke kama ana teswa mtoa post mwehu ww
Jamani tuulizeni sisi tunaofanya kazi za ndani huyo dada anaishi kama markia Kuna wadada wanaonyanyaswa lkn sio huyo
😂😂 Prisca ya kweli hayo?
Eeee Tz sauti gani ?sasa wewe hausemake nyumbani mwako mutamuuwa Nandy bure ,mbona minamdatiliya sana
Mmmh maishaa Aya
Ni mm ndo sijasikia vizuri au maana sijaona ukali hapo
Sasa kumuambia amuache tu ndo imekua nongwa kweliii?? Watanzania bwana mhh
Kama senge ilinalo kasema ebu muache Fala ww angekuwa anateswa angekaaa hapo siangsepa Fala ww
Mnatutangazia umbea nusu why ,,,me sijaskia kitu apo please bro enda ufatilie Tena hii mushenee haijaiva vizur
Akiwa mpole siatampanda kichwan mwachen bahna awe mkali lakin anampenda na kumjali mnatak dada wakaz alelewe kan mtoto nyie naye mmekosa vya kupost sas nendeni buguruni mkahoji watu kwann wanapenda kukaa pale darajan acheni kumsema mdad wawatu asipumue kisa nn umbeya2 na wivu unawasumbua Jengeni na nyie ...kheeee😂😂😂😂😂
hivi nyie mnajua ukali kwel 😂😂😂 watu gan ime washangaz labda ime kushangaz ww na umbea wako
Nan aliekuwa ana record hy video anitate
Lazima uwe mkali kidogo jmn heee unataka mtu upandwe kichwani nyie watu Veep jmn inatakiwa uwe mkali ili uheshimiwe kidogo maana kunakuibiwa mume eee ujue
Cku zote hakunag tajir akawa anaroh zuriiii
Acha uchonganishi wewe wangine wapiga wafanyakazi wao wapo wengi tu wanadhulumiwa mishahara yao ukiona msichana wakazi kakaa muda mahali bac hasumbuliwi kwani nandy ni malaika we vip fata yako umbea tu
We mkaka huna haya jamani looh
Uyo alisema ivyo ili aone mtoto atafanyaje lakin c kwaubaya
That’s not your business what’s wrong kwani nini weye inakuhusu nini wewe kwaza such nonsense sana you need some help and money support kwaiyo is not your business inakusubuwa utafugwa kwa keherere
Wambea mnashida
Sasa sialikua analekodi jamani
Ko asimfokee hata kama amekosea
Wewe inakuhusu nini
Macho yako hayo mi nilijua kuna jambo la maan
Mbna at ajafokew jmn n mamb yakawaid tu katk famil
Zuchu awezikukaanadad wakaz
eeeeh binadamu bhana ivi sauti za ukali mnazijua? hapo amemwambia tu labda alikuwa anataka amchukue video Naya akicheza na mbwa peke yake, mmmmh hapana binadamu wabaya nyie
Yaani!
Ebu acheni unafik bhn
tafuta kazi wewe mbwa lubaba muzima ovio umbea tu looh 😮
Sijaona hiyo sauti ya kufokea punguzen polojo
Sikiliza kwa makini
Aca umbea wewe,angaliana naakwako
Nonsense video,waste of people's time.....
Mbeya wewe kamfokea wap
Acha ujinga wewe
Umbea tu