ROHO ITAKUUMA! Tazama Housegirl Wa NANDY Alivyofokewa Na Nandy, Kumbe Nandy Mkali Hivi?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 фев 2025

Комментарии • 105

  • @janetkwete9500
    @janetkwete9500 4 месяца назад +12

    Weeeeeee kaka mbeya sana , even if nimkali kwani kwanini mnapenda kufatilia maisha ya watu jamani 😢 mimi naona sisi watanzania tuna wivu tu

  • @zuwenachuwa7870
    @zuwenachuwa7870 4 месяца назад +6

    Yaan nimesubiri kusikia hyo maneno ya ukali sijasikia nikagundua kuwa kusema embu acha ndio maneno ya kufoka jmn siaminin kwamba we kaka uwezo wko wa kufikir umefikia hapa embu acha na ww kutumalizia bando letu ....

  • @maryammaryam7773
    @maryammaryam7773 4 месяца назад +4

    Huu ni unafiki tu kazi kufatilia maisha ya watu daahh .sasa huo ukali uko wapi hapo

  • @MarthaKibiki
    @MarthaKibiki 4 месяца назад +5

    Mmmh weee kaka ulikosa ya kufanya ama nini mbona kufatilia maisha ya watu

  • @TheresiaTitus-m1l
    @TheresiaTitus-m1l 4 месяца назад +13

    Achen kufatilia maisha ya watu

  • @CarrenMlay
    @CarrenMlay 4 месяца назад +1

    😅😅😅😅😅😅nimecheka sana daaaaa yani kunawatu mnafatia maishaya ya watu jaman hiv kwahiyo nand asiongee na mfanya kazi wake ata asimfokeee kwan kawa malaika jaman ebu achane ujinga bana muwe mnaangalia navitu vya kuongea bas mnatuchosha bana

  • @GaudenciaNasoro
    @GaudenciaNasoro 3 месяца назад +2

    Kwanza huyo dada yupo free sana

  • @Suzanamalipa
    @Suzanamalipa 2 месяца назад

    Nampenda sana nandy because ni msañ ninaempenda

  • @ZainabuMathias-x6p
    @ZainabuMathias-x6p 4 месяца назад +3

    Mmekosachakufanya wapuuzi nyie mwacheni mdada wawatu😊😊

  • @FatmaJuma-t3s
    @FatmaJuma-t3s 5 месяцев назад +6

    Hm mpeni hakiyake mtoto wawatu jamani mpeni pongezi zake kilasiku kumpaka ubaya 2

  • @HailatyDaud
    @HailatyDaud 3 месяца назад +2

    Natamani na mm ninge pata boss kama Nandy

  • @faidhamyovela179
    @faidhamyovela179 4 месяца назад +1

    😂😂😂uwongo ko mam mjeng asionge atoke aend kam anatesek msichafue jin la nandy

  • @EvaHassan-i9c
    @EvaHassan-i9c 4 месяца назад +2

    Acheni kufatilia maisha ya watu nyie huo umbea tuu ndy umewakaa kichwanii khaa acheni wivu

  • @HappyTanzania
    @HappyTanzania Месяц назад

    Wapare ni watani zangu nawajua A to z wana roho mbaya😢😢😢😢

  • @jescakitomari
    @jescakitomari 3 месяца назад

    Huo ni uongo kwan kama nandy alikuwa anatak kumuona naya akicheza na mbwa😅😅😅

  • @JanethMichael-b1p
    @JanethMichael-b1p 4 месяца назад +2

    Embu mwache ni sauti ya kawaida sana acheni umbea usio kuwa na maana

  • @juliethhenrymasanja940
    @juliethhenrymasanja940 4 месяца назад +1

    Mmekoswa kazi tafuteni habari za kupost, kwahiyo asifokewe kama kakosea. Wabongo

  • @MoonerJamal
    @MoonerJamal 4 месяца назад +1

    Uy mtangazaj mmbea nandy mbona hajaongea kwa ukali kutaka kukuza mambo tu nahuo uso wamfanyakaz kujiskia vibaya yeye ameuona wap mbona sisi hatujaona nawala hajachkuliwa usoni hapo unoko tu chefuuu😏😏😏

  • @WardaMuhidin-vh5zd
    @WardaMuhidin-vh5zd 4 месяца назад +2

    Kwani ma superstar sio watu ila nyinyi mezidi sasa

  • @ZubedaSuddy
    @ZubedaSuddy 4 месяца назад +4

    Acheni kufatilia maisha ya watu

  • @aminamoyo1377
    @aminamoyo1377 4 месяца назад

    Kwani kuna ajabu gani mtu akikosea kukaripiwa kukatazwa kufanya kitu....hovyooo mnataka kumtia ubaya tu Nandy.

  • @Migapogospel678
    @Migapogospel678 3 месяца назад +1

    Waudaku sasa 😅😅
    . 0:00

  • @FloraMika-n5m
    @FloraMika-n5m 4 месяца назад +1

    Sasa hapo kafokewa nini mbona waongo sana nyie😢😢

  • @ShamsaFahad-n8v
    @ShamsaFahad-n8v 4 месяца назад +1

    Jamani kwani ameongea vibaya ivyo walimwengu jamani

  • @GraceNamala
    @GraceNamala 4 месяца назад

    Acha uwongo ww kaka hamna ukali apo, alitaka mtoto awe free acheni maisha ya watu jamnii mbna mnamkalia nandy ivyooo🙄

  • @SubiraMohammed-ks6qg
    @SubiraMohammed-ks6qg 5 месяцев назад +18

    Kama angekuwa anafokewa na kuteswa angekaa apo kwani kafungwa kamba uyo alafu mbona sio mtoto mdogo ni anajielewa kabisa anajua zurii na baya acheni umbea wenu

    • @BarkisLambert
      @BarkisLambert 4 месяца назад

      Wanaka yakuandika eanatafuta viewers wajinga kabisa wanatakiwa I hi kituo kifu giwe

    • @BarkisLambert
      @BarkisLambert 4 месяца назад

      Mtangazaji anaremba umbea tuu kakosa udaku kumchafua nandy wa watu katulia mjengoni kwake,

    • @Keyjop
      @Keyjop 4 месяца назад

      Uki angalia boss anaongea nn hutoendelea tunaangaliaga msharaha dear sio maneno makali ya boss nikawaida saana maboss wengi ni wapogo hivyo

  • @veronicanjofu1298
    @veronicanjofu1298 4 месяца назад +1

    Kam mwajiriwa wake na anakaa na mtot na yey ni kama mtot lazima afokewe Kam amefanya kosa kwann asimfokee

  • @agnessmwikalo4626
    @agnessmwikalo4626 5 месяцев назад +1

    Jamani muacheni nandy wa watu;mumpumzishe tafadhali

  • @nasraAl-b1w
    @nasraAl-b1w 4 месяца назад +3

    Mh asa hapo ndo kafokewa mmekosa vyakuongea au

  • @fatmaabdi7192
    @fatmaabdi7192 3 месяца назад

    Mwanamme mzima na ndevu kila .......waka kumsema mtoto wakike kweli jishikilie kijana tena jikaze

  • @FadhilahbonyBoniphancemgogosi
    @FadhilahbonyBoniphancemgogosi 4 месяца назад

    Hakuna dada wa kazi anayeheshimika kwa nyumba ya mtu utapendwa kwa mda mfupi2😢😢

  • @NellyJoely
    @NellyJoely 3 месяца назад

    Jamani kwani mtu akikosea asiambiwe siaija tushangaza jamani wabongo kheee😂

  • @RestutaPeter
    @RestutaPeter 3 месяца назад +1

    Acha uongo nyokoooo

  • @athibertfungo
    @athibertfungo 3 месяца назад

    Umbeya tuu. Amna ukalia wowote hapo kaongea kwa upole

  • @RosemarySulle-e9c
    @RosemarySulle-e9c 3 месяца назад

    Nandy acha roho mbaya😮😮😮

  • @EdithaBonije
    @EdithaBonije 2 месяца назад

    Jmn mbona ata ajafokewa munatumalizia MB tu nilijua kitu cha maanaa pumbavu kabisaà

  • @Akauntil
    @Akauntil 4 месяца назад +1

    Mbna sauti yakawaida tu ambayo unaweza kumwambia hta mtoto.

  • @RehemaDiwani
    @RehemaDiwani 3 месяца назад

    Yaani nyie. Wakat Nandy ndo alikuwa anawachukua video jamani. Alimwambia acha ili achukue video atakavyo😊

  • @EdyssaVyizigiro
    @EdyssaVyizigiro 3 месяца назад

    Nandy❤❤❤❤

  • @Rayyaan-l1q
    @Rayyaan-l1q 2 месяца назад

    Acheni kufatilia maisha ya watuuu😅😮

  • @SalomePaul-n5s
    @SalomePaul-n5s 4 месяца назад

    Umbea tu kuoga aaah😂😂

  • @mwatummselem2411
    @mwatummselem2411 3 месяца назад +1

    Hamuna kazi zakufanya
    akazi zakufanya

  • @karibunyumbani3824
    @karibunyumbani3824 4 месяца назад

    Watu wengi wanasema kila nani ?
    Yeye ni mama hapo sio stejini yeye ni mama akiwa nyumbani kwake anaweza kumkaripia hata mtoto wake mseme ana roho mbaya

  • @KhadijaYunusu
    @KhadijaYunusu 4 месяца назад

    Mmh mnapenda kuyakuza jamn Kam kufoka ndoo wanavyo fokaga ivyoo,?

  • @official_neemamlay180tz
    @official_neemamlay180tz 4 месяца назад

    Mmmmh usanii kaz jaman ata usiongee kawaida utaambiwa umekaripia

  • @nancyfantasia1945
    @nancyfantasia1945 3 месяца назад

    Upuuz sasa apo kafoka nn yaan hv v media vya kipuuz viwe vinafungiwa tu shwaaain

  • @alriyami9446
    @alriyami9446 4 месяца назад +1

    Kwendaaaa 🤪🤪umbea tu 😏

  • @nasraramadhani4515
    @nasraramadhani4515 4 месяца назад

    Kaogea kawaida tu😂😂😂

  • @emanuelbaha-x8u
    @emanuelbaha-x8u 4 месяца назад

    Muhimu boss wangu

  • @JudyDavid-h6n
    @JudyDavid-h6n 3 месяца назад

    Pereka upwiru wakohuko kwahyo utaishi namtu hatabira kumuonya mtu hataakikoesea amchekee tu acha utahira tafta vitu vya maana nasyo durma

  • @jescasumun8034
    @jescasumun8034 4 месяца назад

    Sasa hapo ndiyo kafoka jamani! Punguzeni maneno Kwa mtoto wa watu

  • @NaylanAmanda
    @NaylanAmanda 4 месяца назад

    Jmn khaa kwan mnataka uyo nandy ampeleke dada wake India ndomjue anampenda yan dada wakaz wa nandy mwaya comment zetu

  • @ZeynaKhamis
    @ZeynaKhamis 4 месяца назад +2

    Jamani mimi nimeelwa ni kama vile kamaanisha embu acha ili waone kama mtoto ataendelea kumchezea huyo mbwa mbona hakuna ukali wowote hapo na hata hujajua maneno yaliotangulia yalikuwaje mpaka ikafika akamwambia hivo mh watu kwa kujaji

  • @AnethExavery-qj6wc
    @AnethExavery-qj6wc 3 месяца назад

    Mbona kawaida hajamkaripia🤣

  • @zulfajamal3166
    @zulfajamal3166 3 месяца назад

    Embu acha ndo kamfokea hivyo watu Jaman

  • @stellahwilfred5762
    @stellahwilfred5762 4 месяца назад

    Hapo ni umbea tu kwendaraa sauti gani ...ni km ni km sauti gan hivyo kwendaa

  • @PrisPeter-f2g
    @PrisPeter-f2g 3 месяца назад

    😂😂saut ya kawaida TU iyo acheni umbea uko,,sisi tulipitiaga baan so apo sijaona ubaya

  • @lovesallu5292
    @lovesallu5292 2 месяца назад

    Mmmh 😮huna lolote

  • @GilbertoChikanka
    @GilbertoChikanka Месяц назад

    Tafuten ela acheni ivo kufatilia watu ambao awa wawa jui

  • @SelwaSuleiman-jq7sw
    @SelwaSuleiman-jq7sw 4 месяца назад +1

    Umbea tu

  • @catherinekan1
    @catherinekan1 4 месяца назад

    Huenda alikuwa anarecord video ya mtoto akicheza na huyo mbwa, thus why alitaka msichana asogee pembeni….nothing else! Watu hupenda kuzusha vitu msivyokuwa na uhakika navyo.

  • @triplea3463
    @triplea3463 4 месяца назад

    Mbona sasa siskii hayo maneno makali hiv mnajua maana yakufokewa

  • @STELLASAYE
    @STELLASAYE 4 месяца назад

    Mbona KAKA katika furniture zake

  • @blackangel.58
    @blackangel.58 4 месяца назад

    Aondoke kama ana teswa mtoa post mwehu ww

  • @PriscaDamian-w5z
    @PriscaDamian-w5z 4 месяца назад

    Jamani tuulizeni sisi tunaofanya kazi za ndani huyo dada anaishi kama markia Kuna wadada wanaonyanyaswa lkn sio huyo

  • @SifaMukandikwa
    @SifaMukandikwa 5 месяцев назад

    Eeee Tz sauti gani ?sasa wewe hausemake nyumbani mwako mutamuuwa Nandy bure ,mbona minamdatiliya sana

  • @ElikaHosea
    @ElikaHosea 4 месяца назад

    Mmmh maishaa Aya

  • @Asma-l8n
    @Asma-l8n 4 месяца назад +5

    Ni mm ndo sijasikia vizuri au maana sijaona ukali hapo

  • @rukyomar1955
    @rukyomar1955 4 месяца назад

    Sasa kumuambia amuache tu ndo imekua nongwa kweliii?? Watanzania bwana mhh

  • @EmmaDrizeJuice
    @EmmaDrizeJuice 4 месяца назад +1

    Kama senge ilinalo kasema ebu muache Fala ww angekuwa anateswa angekaaa hapo siangsepa Fala ww

  • @SaumuMupa-f9g
    @SaumuMupa-f9g 4 месяца назад

    Mnatutangazia umbea nusu why ,,,me sijaskia kitu apo please bro enda ufatilie Tena hii mushenee haijaiva vizur

  • @FaidhaAlly-v1n
    @FaidhaAlly-v1n 4 месяца назад

    Akiwa mpole siatampanda kichwan mwachen bahna awe mkali lakin anampenda na kumjali mnatak dada wakaz alelewe kan mtoto nyie naye mmekosa vya kupost sas nendeni buguruni mkahoji watu kwann wanapenda kukaa pale darajan acheni kumsema mdad wawatu asipumue kisa nn umbeya2 na wivu unawasumbua Jengeni na nyie ...kheeee😂😂😂😂😂

  • @AminaMussa-bw2jh
    @AminaMussa-bw2jh 4 месяца назад

    hivi nyie mnajua ukali kwel 😂😂😂 watu gan ime washangaz labda ime kushangaz ww na umbea wako

  • @JamiahMvungi
    @JamiahMvungi 4 месяца назад

    Nan aliekuwa ana record hy video anitate

  • @JasiminiHamisi-u9m
    @JasiminiHamisi-u9m 4 месяца назад

    Lazima uwe mkali kidogo jmn heee unataka mtu upandwe kichwani nyie watu Veep jmn inatakiwa uwe mkali ili uheshimiwe kidogo maana kunakuibiwa mume eee ujue

  • @JescaOscar-q8f
    @JescaOscar-q8f 4 месяца назад

    Cku zote hakunag tajir akawa anaroh zuriiii

  • @fatmaabdi7192
    @fatmaabdi7192 3 месяца назад

    Acha uchonganishi wewe wangine wapiga wafanyakazi wao wapo wengi tu wanadhulumiwa mishahara yao ukiona msichana wakazi kakaa muda mahali bac hasumbuliwi kwani nandy ni malaika we vip fata yako umbea tu

  • @BlandinaMasangula
    @BlandinaMasangula 4 месяца назад

    We mkaka huna haya jamani looh

  • @LailatuKifunta-u4q
    @LailatuKifunta-u4q 4 месяца назад

    Uyo alisema ivyo ili aone mtoto atafanyaje lakin c kwaubaya

  • @esthermugoli4527
    @esthermugoli4527 4 месяца назад

    That’s not your business what’s wrong kwani nini weye inakuhusu nini wewe kwaza such nonsense sana you need some help and money support kwaiyo is not your business inakusubuwa utafugwa kwa keherere

  • @GIFTEDWIN-t9m
    @GIFTEDWIN-t9m 4 месяца назад

    Wambea mnashida

  • @Agnesrichard-ly3jc
    @Agnesrichard-ly3jc 4 месяца назад

    Sasa sialikua analekodi jamani

  • @Norisi-c6u
    @Norisi-c6u 4 месяца назад

    Ko asimfokee hata kama amekosea

  • @petypaty-o6o
    @petypaty-o6o 4 месяца назад

    Wewe inakuhusu nini

  • @JustinaSamson-xm2xu
    @JustinaSamson-xm2xu 4 месяца назад

    Macho yako hayo mi nilijua kuna jambo la maan

  • @GloryMike-c5w
    @GloryMike-c5w 3 месяца назад

    Mbna at ajafokew jmn n mamb yakawaid tu katk famil

  • @AishaChota
    @AishaChota 2 месяца назад

    Zuchu awezikukaanadad wakaz

  • @anithamkoma5930
    @anithamkoma5930 4 месяца назад +1

    eeeeh binadamu bhana ivi sauti za ukali mnazijua? hapo amemwambia tu labda alikuwa anataka amchukue video Naya akicheza na mbwa peke yake, mmmmh hapana binadamu wabaya nyie

  • @DullNizzer
    @DullNizzer 3 месяца назад

    Ebu acheni unafik bhn

  • @rebeccazagabe
    @rebeccazagabe 4 месяца назад

    tafuta kazi wewe mbwa lubaba muzima ovio umbea tu looh 😮

  • @GivenessJohnson
    @GivenessJohnson 5 месяцев назад +1

    Sijaona hiyo sauti ya kufokea punguzen polojo

  • @BerniceMuco-tx3qm
    @BerniceMuco-tx3qm 4 месяца назад

    Aca umbea wewe,angaliana naakwako

  • @SISQSecurity
    @SISQSecurity 4 месяца назад

    Nonsense video,waste of people's time.....

  • @sarahanthony2535
    @sarahanthony2535 4 месяца назад

    Mbeya wewe kamfokea wap

  • @olgakayihura3254
    @olgakayihura3254 4 месяца назад

    Acha ujinga wewe

  • @JudyUrio-zy7ri
    @JudyUrio-zy7ri 3 месяца назад

    Umbea tu