YALE NISIYOWEZA BWANA ANAWEZA-OFFICIAL VIDEO=SIFAELI MWABUKA SKIZA-CODE*811*41#
HTML-код
- Опубликовано: 28 июн 2023
- #sifaelimwabuka #254799200738 #yalenisiyoyawezabwanaanaweza
Music by sifaeli mwabuka performance YALE NISIYOWEZA BWANA ANAWEZA (©) MWABUKA MEDIA LTD 2024
Subscribe for more official content from Sifaeli:
/ sifaelimwabukaofficial
Listen to Sifaeli mwabuka
RUclips: / sifaelimwabukaofficial...
Audiomack: sifaeli mwabuka
Apple Music: sifaeli mwabuka
Spotify: open.spotify.com/artist/1o3pL...
Boomplay: sifaeli mwabuka
For more information booking Sifaeli mwabuka
: WhatsApp+255769553055
call. +254799200738
Email: mwabukamedia@gmail.com
©2024 MWABUKA MEDIA LTD,all lights reserved Видеоклипы
Wimbo mzuri sana wa kujitia moyo❤ who plays more than five times kama mimi
me tooo!!! 😭
Any Kenyan here.. Be blessed man of God always wen I'm down your song heal me.. God remember me true this song 😭😭🙏
Mwimbo muzuri ya moyo❤❤
Eee mungu kupitia huu. Wimbo naomba unibadilishe n Mimi unibariki
Kweli huu wimbo mzuri wa kunitia moyo mungu anawesa
Thanks for your support. Be blessed. Don't forget to subscribe, comment and share
Ubarikiwee sn Kwa ujumbe ama Hakika unabariki sana huu wimbo
Asante... ubarikiwe sana
asante kwa mda wako kutazama ujumbe huu
Mungu azidi kukuinua mtumishi wa Mungu.
Wimbo mzur sana Yesu azidi kukuinua❤❤❤❤❤❤
Mtumishi ukweli Mungu anaweza.Zach Mwimbaji mwenye tulikutana Thawabu primary school Kayole Kenya
Sifa na utukufu kwa Mungu
Kupitia huu wimbo napokea hitaji la moyo wangu, amen amen ameeeen❤
Hakika,yale nisiyoweza,bwana anaweza na ameweza, Amen. Wakenya majaribu yamekua mengi lakini Mungu ataweza.
Kweli anaweza huyu mungu
Amina ubarikiwe
Bwana anaweza ata kama undhambianawekukusameya
Kaka sifael wimbo huu kwangu umekuja Kwa wakati sahihi na umekuwa Faraja Sana kwangu Kwa Yale ninayoyapitia , Mungu akuzidishe na kukuinua mara dufu
Amen 🙏 sana . Ni kweri yale tusioyaweza sisi Bwana anaweza
yale nisiyoweza Bwana najua unaweza na ipo siku utanipa ushuhuda...inlove with the song from Kenya
Be blessed bro anaweza BWA NA
Whatever am passing through now...I know you are able God
Waaaah! Nasikianga tu huu wimbo sijawai ona video yake. Leo ndio imekuwa siku yangu nimejifunza mengi hapa. Mungu akubariki sana mwana wa mungu. From Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 bungoma county.
Kenya 🇰🇪 Bwana Mungu Tushindanie...Africa Twakuhitaji
Amen mtumishi barikiwa sana
Tuwe na maminifu kwa bwana tusiyo yaweza kwa akima zetu bwana anaweza yote glory be to God bless you so much brother bwana anaweza yote tusiyo weza sisi wanadamu🙏🙏🙏🙏
Ni kweli, yesu anaweza kwajambo nisiloliweza, AMEN and AMEN mungu akubariki kwa kazi njema bro
amina
Mungu aendelee kubarika huduma yako Mtumishi,nyimbo zako no baraka kwangu na zinanifariji.
Samson From Burundi
Yote nisiyoyaweza Bwana anaweza najuwa ipo siku nitalia machozi ya furaha.
Ubarikiwe
Sifaelimwabuka kweli ubarikiwe sana kwa wimbo mzuri❤
Hallelujah 🙏 anaweza (Bwana) kabisaaaaaa!!.
Yale nisiyoweza bwana anaweza nice nice song...wimbo mtamu umenitoa machozi....
May the name of the Lord be praise 👏 🙌 🙏 asante sana kwa huu wimbo lenye mafunzo❤
Thanks for your support. Be blessed. Don't forget to subscribe, comment and share
Yale nisioweza bwana anaweza amen 🙏🙏🙏🙏🙏
Yale nisiyo wesa bwaña anaweza
Amina. Ubarikiwe
AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN MUNGU APEWE SİFA Hallelujah
Bwana. yesu Asifwe kumbe umefika Kwa Luyia Nimefurai Sana.
Tanzania is the best leading gospel singer barikiwa sana bwana Sifaeli
Hallelujah ...nisiloweza anaweza❤❤❤❤
Amen 🙏🙏🙏🙏 hakika wimbo huu umenibari sana na kuniguza
Our God bless this man of you...mzindishie kibali akusifu
Amina. Ubarikiwe sana
Ukweli Yale nisiyoyaweza bwana anayaweza ahsante ubarikiwe
Very powerful praise and worship song,,am in teep payer sababu ya wimbo huu...thank you sifaeli
Mark 10:27 thank you Jesus
SEMPRE irmã Isabel campuma❤❤❤❤❤❤
Amen 🙏
Kwa kweli yale nisiyoweza Bwana anaweza yote
Barikiwa sana kaka Kwa kazi yako Kwa ajili ya huduma ya Mungu
Tunashukuru Mungu kwa kumsifu Mungu na roho yako ,ubarikiwe Mtumishi, Mungu anibariki nami pia
Video
Nice Song,It's Only The Lord Our God Who Has Power Over all,Amen.
Wimbo huu una ujumbe barikiwa sana ndungu...na naomba maombi kwako mungu ananijua zaidi...
Amina Yale nisiweza bwana unaweza
Amen 🙏🙏 a very good song.........yenye siwezi mungu anaweza
Amen huu wimbo umenitia moyo nilikuw naangaika sina kazi
04.55 woke up to this song 😢. Yale nisioweza Bwana anaweza❤
Barikiwa
Nimebarikawa sana na nyimbo hii na hata nyingi zilizo pita natamani Mungu akipenda nipate hata kufanya kazi na wewe
Ubarikiwe Sana mtumish wa bwana naomben supot yenu na mim natamn kuwa kam muimbaj mkubwa
Mungu anatupigania sana wakati sisi hatuwezi
Nyinbo hi ina ni l'ETA kwenye mbavu ya Mumba wangu! Ubarikiwe sana jamani
Mimi na mke wangu tunapenda kuskia nyimbo zako huwa zinatubariki sana....Na atamani kuimba na wewe jee unaweza
Very uplifting.manze unajenga moyo
Asant sana Mtumishi ujumbe ni mzr mno... MUNGU azidi kukuinua
Barikiwa Rohomtakatifu asidi kuinua huduma yako yaimbaji.
Wimbo wanibariki kila itwayo leo
Nyimbo za ni zile unaimba katika roho na kweli ..zinainua katika ulimwengu wa rohoni....neema na ikuzidishie mtumishi wa Mungu
amina utukufu kwa Mungu aliye juu
Mungu najuwa utanitendea hii mwezi
Huu wimbo unibariki sana
Amina
Amen mtumishi wa Mungu hakika ni Mungu pekee anaetuwezea.
Thanks for your support. I appreciate it... Mungu akubariki sana nakushukuru mno usiache kufuatilia kazi zangu. Subscribe and share with others
God bless you man of god
Amina.... yale nisiyoweza Bwana anaweza . .
So inspiring, indeed Yale yametushinda ni Yesu tu anaweza. Barikiwa
Hii wimbo inaniguza na Tena inanihariki especially the message it encourages
Binadamu hawawezi kukubeba lakini yeye Anaweza
Nina barikiwa sana naposikiliza wimbo huu ambao ni wabaraka kwangu
Akika nizilo weza bwana anaweza amen amen
Wimbo mzuri sana .
Barikiwa
powerful and very encouraging song
Wimbo mzuri sana najua bwana yale nisiyoweza siku moja utanipa ushuhuda pia nami nitashuhudia .waiting for your tyme God
Be blessed
Aminaaaaaasa sifael
Amen and Amen anaweza bwana yesu
Wimbo huu unanibariki sana,barikiwa....
Hii nyimbo imenibariki leo🙏🙏🙏
May the good lord whom uses you to pass the message grant you long life, good health and more wisdom so that we get closer to God through your message. Stay blessed the oracle of God
Nikweli anaweza ndio maana siogopi
Barikiwa mtumishi MUNGU akuinue zaidi
Blessed tune.Only God❤️🙏
Be blessed
Ameni.Bwana.anaweza
God is everything in my life and i will praise with my all heart ❤ ❤ my dreams will come.true one day i believe 🙏 ✨ ❤ 🙌 ♥ 💛
so nice song
Amen mungu akubariki sana ndugu, kazi nzuri sana
Tunakupenda Sana mwabuka nice songs
NI kweli bwana anaweza kuliko yoyote yule, tujipe tu matumaini toka San Antonio Texas.
Hi!! my fancy thanks for following my content to all platforms be blessed!!
youtube.com/@SIFAELIMWABUKAOFFICIAL?si=8L-iW9FDTvqXzZET RUclips
onerpm.link/818041537428
Song= ULIYONITENDEA KUHESABU SIWEZI DIGITAL PLATFORMS
SKIZA DIAL *811*117# OK
onerpm.link/392578501032
SONG: NAOMBA MBINGU ZIFUNGUKE
DIGITAL PLATFORMS
SKIZA DIAL *811*457# OK
±254799200738
HIZI HAPA NYIMBO 50 ZA UPONYAJI -link below gusa hapa chini listen all.
ruclips.net/video/6ZlC5yQ5AOg/видео.htmlsi=aMw5gZvAJzIdF06u BEST CONTENT
Kakangu hii imatesa....lakini wakenya tunakupenda kwanza vile ulikua Jana milele fm....God bless you
God bless you Brother
Bwana anayaweza yote, powerful message,a blessing to many. God bless you man of God 🙏
bonge la hit juu ya hit umebarikiwa mtumishi
May The Lord Bless you, your songs are from God
Be blessed
umebariki wengi vile umezuru taifa letu Kenya Mungu akubariki 🙏🙏
Yale ni silo weza bwana anaweza🎉🎉❤❤
nikweli anaweza barikiwa sana mtumishi
Kaz mzuri brother ya Ngoma tamu🎉🎉🎉🎉
Be blessed
Anayaweza yote when we surrender all to Him for His will to be done
amen
Wimbo mzuri umenigusa sana moyo wangu ni kweri Mungu anaweza
Kazi nzuri anaweza yote🙏🙏
Yale nisiyoyaweza Mungu anaweza
Anaweza kweli naamini ubalikiwe sana
Indeed bwana anaweza,am blessed,God has done more things in my life,indeed anaweza🇰🇪
Ahsante sana mtumishi kwa nyimbo zako,yaani zanituliza sana hata napokua na maumivu,ulitutembelea pale kanisani Nairobi Bethel Revival Church
Eeh!Bwana wewe unaweza
Huu wimbo jamani unanipa kumwangalia MUNGU kila wakati
Kweli kabisa
Wonderful song. God's blessings 🙏🙏