Malume ndani ya XXL afunguka mengi juu yake na Roma, aelezea kusaiuniwa kwa Dayoo chini ya Rooftop

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 14

  • @samuelkiama975
    @samuelkiama975 10 месяцев назад +7

    Smart sna Moni,nadhani shule pia imechangia knowledge

  • @shaphyvuai6805
    @shaphyvuai6805 10 месяцев назад +2

    Ma raper wa saiv....huyu mwana ni mnomaa sanaaaa🎉🎉🎉🎉

  • @husseinhamis1428
    @husseinhamis1428 10 месяцев назад +3

    malume akiwa hajala mjani yuko smart straight sana afu harudii rudii maneno kama ile interview ya EST Africa alikua na ile umeelw zczokauka

    • @bainolatino3412
      @bainolatino3412 10 месяцев назад +1

      Hapana kingine hawa wanaangaliaga media na mapresenter off coz wale wa East Africa wamemkuta moni jina analo lkn hawa xxl wote moni kawakuta kwene game kwahyo hata dharau na mbwembwe zinakua hakuna

  • @salymkitumbika8644
    @salymkitumbika8644 10 месяцев назад +4

    Shule shule shuleeeeee malumeeee

  • @annahjohn4190
    @annahjohn4190 4 месяца назад

    Namkubalii sana

  • @echagwhy4442
    @echagwhy4442 10 месяцев назад +2

    Malume 🔥🔥🔥

  • @dodgerwakitaa2658
    @dodgerwakitaa2658 10 месяцев назад +2

    Huyu moni bhana namuelewa sana

  • @gallodograpper
    @gallodograpper 10 месяцев назад +2

    Mchizi kichiz🎉

  • @nasibunyanguye1614
    @nasibunyanguye1614 10 месяцев назад +1

    Malume❤❤

  • @Hassan-ot1mc
    @Hassan-ot1mc 10 месяцев назад +2

    Malume

  • @Godmaletz
    @Godmaletz 10 месяцев назад

    Home boy

  • @imanpeter3949
    @imanpeter3949 9 месяцев назад

    Nilitak kumkomentia mchiz yuko smart saan nakutana na raia washatangulia🤣🤣🙌🏾

  • @jumazahoro3537
    @jumazahoro3537 10 месяцев назад +3

    Cjui 7bu umevaa suti maana umeongea busara tupu