KIPATO KIMEONGEZEKA BAADA YA KUPATA MTOTO| UJIO WA ALBUM YAKE | SINA BIFU NA ABIGAIL CHAMS.
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- @marioo_tz anathibitisha ni baraka nyingi zimekuja upande wake baada ya kupata mtoto na moja kati ya baraka hizo ni kuongezeka kwa kipato katika maisha yake kwa ujumla.
Kama baba, @marioo_tz anadai jukumu lake pendwa katika malezi ya mtoto wake ni katika sekta ya kumbadilisha diapers pale anapojisaidia! 🤔• #XXLyaCloudsFM •
Etyy album shida hakuna msanii anaweza kukuta daaah jay, ray, diam. Jamaaa anaseama hawawezi wote hata wakitoa yani kiufupi amesema hakuna atae ikuta album yake
Jamaa yuko real sana
❤
Huyo dada mtangazaji jmn napenda sauti yake🎉🎉🎉🎉
Minna ally,😍
Mina ally sasa marioo aende shule asome nini?
😂😂😂😂😂😂😂😂
Mtoto Wa Kike Ana Barka Sana