MANGE KIMAMBI sio BINADAMU wa kawaida - Naibu Spika Tulia Ackson
HTML-код
- Опубликовано: 30 сен 2024
- All the African Music. Hottest SHOWS... Experience Africa
100.5 Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz
Upo sawa dada huyo mange achana nae akili zake kama msukule
Mwambieni huyu ndugu yenu aje Tz atangulie kuandamana mi siwezi maana haki zangu zote napata labda nyinyi ambao hamfanyi kazi, Mange Kimambi kabuli akene
Yeah! msomi ni msomi Tu. Jamani she is very logic, systematic and she deserves congratulations for good answers! Maisha hayasubiri watu wafanye maamuzi...!
Nahisi mange ni mwakilishi tu wa wengi Fulani,wanaompa siri mpaka akawa hivyo,
Ras Rick umesema kweli kabisa
kweli nawanamuongopa
Haya sasa vijana kazi kwetu ushauri wa bure
Nikweli ushauri uwa kwa wenye akili, lakini mtu akishakuwa kichaa sidhani kama unaweza kushauriana kitu, tafsiri ya maelezo ya kiongozi wa bunge mtulia.
Mi naona kawajibu kufatana na akili zunu,lkn kiukweli mange hana lolote
Nakupenda wewe mama
Watu waserikali mmefanya watuwenu kuwamasikini kiakili harinamali halufu mmewawekea hofu hamtowi elim yakuafanya wajitambuwe!!!!
This Tulia is a Sick Puppy! Spicie tofauti Ni wewe Uliyejua Mpango Mzima wa Kumpiga Tundu Lissu Risasi, Na Kisha Unatumiwa Pia Kuzuia Matibabu yake yasilipiwe. Wewe Huo Muda wa Kuongea Utumbo hapo Unatoka wapi? Who benefit for your BS.
Mh. Mataifa mengi yalifanikiwa kutokana na kujifunza na kupokea michango ya pale walipo kosea na ndio maana bunge la tz lipo na wabunge wengi lengo ni kusaidia ili kujenga taifa liwe bora na lenye kusonga mbele ..
Tatizo sio kusema ukweli tatizo lugha anayoitoa sio nzur sizazi kamaukitaka kumwambia mtukitu lazima umtusi hatakama nimwanao uwe mtukana naukimtukana basi unakiuka maadili na hata mungu apendi siopoa
ALIE KUPA JINA LA TULIA HAKUKOSEA,UMETULIA SANA KIAKILI NA FIKRA ULIYO TOA KWA VIJANA AHSANTE SANA,NA KUOMBEA MUNGU UENDELEE ZAIDI KATIKA JUMUIA YA WANA SIASA WA TZ.UPATE KULETA MATUNDA MAZURI KWA WANANCHI WA TZ.
I love you Tulia😘😘
Huyu angethubutu kumsema vibaya Mange angebaki mtupu. Afadhali kalikwepa hilo swali
Wakati anavaa jezi za kijani alikuwa ni mwanadamu wa kawaida kwasasa anawaumbua kawa si mwanadamu wa kawaida.
Juma Michael wewe nae hujielewi tu,
Juma Michael wewe nae hujielewi tu,
Emmanuel Daniel yeye au wewe😱😱😱
Jinga wewe
Tunataka Mali zetu ni urisi wa watoto watu
Hata mm pia nakubaliana na ww muheshimiwa naibu spika kuwa watu wafanye kazi lkn sasa hela zetu wenyewe mnatupangia masharti kuwa baada ya miaka 55 sasa imagine kwamba mtu ana miaka 35 mpaka afikishe hiyo miaka 55 ni leo kweli, lazima mkiangalie hichi kitu kwa umakini mno
kama walionje ya nchi wanaandamana je tulioko tz sisi tuogope kuandamana never mm nitaenda porini kulia bora siku hiyo nimetoka out
safari Yako nakuanga mkono sana
Safi Dr.Tulia nimeipnd uko vzr
Na wanaoshadidia kuandaman wato nchi nyingine tu ila wanasema wanaandamana kuwachuza wengine
Andamaneni mkasimulie baba zenu waliowatuma mi nitakuwa nachunga ng'ombe na kujisomea
mimi nitaandamana na ngombe zangu ila lazima siku hiyo nitoke tu bora wale digidigi au nguruwe kku wasiojulikana why uliko ccm ibakie madarakani wapi lisu ,ulimboka,mzee juma ali,wapi na wengineo kila si
Uyo si binadam wa kawaida
Kiongozi muzuri ni yule anaechukiwa
Ni kiongozi mzuri nywele zinakuangusha
Watu wengine wan mawzo y ajbu mange kawaambia muandamane ila yy katulia zake
Nakukubali dada
Tulia nakuaminia chapa kazi
Nyie nao wapambe
Uko sahihi san akison
Asante dr tulia kwa majibu mzuri
Mnapata shida bure mange ni smart Sana and wit!!! Kama hamtaki awatukane acheni kufanya mambo ya kipumbavu halafu mnayatetea kijinga huku mioyoni menu mnajua mmefanya kwa maksudi. Hujawahi kulisema jambo bila kutoa ufafanuzi wa kina juu ya jambo hilo!!!!!!!!!
Unafikiri pasipo mtandao tungejuaje kama huna hojahihi kulingana na swali uliloulizwa
Mweusi wewe
Mange Kimambe ni mgonjwa wa akili.Kitendo cha kulala na kuzaa na baba na baba yake kitampeleka kuzimuni.Itabidi aishi kwa madawa tu hadi ahera au aokoke
wewe nawewe ni mdada au kibibi😂😂😂
sema mapema
😁😁😁
Ni kweli Tulia mange si MTU wa kawada binaadam ayuko vile
Speaker kwanini maandamano yakufikishe keko? ?? Kwani kuna kosa gani kuitimiza wajibu wa kisheria na haki ya kikatiba! !!
Au kama hamtaki hilo kwanini msifanye kongamano na raisi akutane na wawakilishi wa wananchi na taasisi tofauti asikubali kukaa na kuongea kama alivyo ongea na wafanyabiashara?
Kwanini iwe vitisho kwa hilo?
Mm
*Mange kimambi* ni pasua kichwa, Kwakweli hata mimi uwa najiuliza kuwa hawa walioko mitandaoni kila saa' uwa wanakazi za kufanya kweli au wanakipato kingine wanachoingiza? Najiuliza sana hili swala kumbe mheshimiwa *TULIA* pia uko kama mimi kwamshangao huu.
Jamani viongozi wa CCM,wabunge na viongozi wa serikali kwa ujumla tunaomba kwa moyo mmoja ya kuwa hizo hela zetu ambazo mmezishikilia kwenye mfuko wa hifadhi ya jamii PPF tunaomba basi mziache maana zile ni hela zetu siyo za kwenu ili tupate tujishughulishe jamani vibarua tulivyokuwa navyo vimetuponyoka kwahiyo mziachie hela zetu ili tufanye vibiashara jamani
Unakigugumiz unamuogop kukusikia unamuongelea kweny mitandao au hahahahhaha
ET siobinadamu wa kawaida mbavuuu,, mtanyooka 2
dastan Fyondi angalia usije ukanyooka wewe maana watu wengine mnajua kushabikia ila matendo sifuri na utoke siku hiyo upige picha ya selfie tukuone kama upo kweli
Nchi haijengw Na Watu waoga,,Bali wenye kusema ukwel Na kujiamin,,TZ ni Watu wanaoongoza Kwa uoga E. Africa,, so braza wehv to change
Ulitoka??
Mange ni wakawaida Sana, ila kwa watanzania wengi wasio na uthubutu na wanaishi kwa kujikomba komba ili kujipendekeza watumiwe badala ya kujituma wenyewe na hii ipo kuanzia kwa viongozi hadi watu wa kawaida!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Mange ni msema kweli, Yulia hawezi kumpenda jizi la mali zetu bandari
Mange in MTU mzuri sana .yy si ccm.yy ni mwanaharakati period .
Huyu mama anaakilisana kweli mtu alokuwa anaakilitimamu hana ujinga kama wa huyo mage, kitu muhimu kweli mage anatumia na wamarekani hiko kitu kipo na tusipoangaria vita tz itatokea sana tu na kwauchochozi wa mtu mmoja huyo kam kuna muji furan iliwahi kutokea vita kisa mtu mmoja tu
Nakukubali sana dadaangu.
Mange ni nani??? Amefanya nini? Mbona ni mtu wa kawaida sana. Haki ka watanzania kwa hili ni special edition!!
watangazaji mmetuangusha kutouliza swali la ccm aliingia lini wkt kama mfanyakazi wa serikali hatakiwi kuwa mwanachama wa chama cha siasa?? suala la matibabu ya Lissu na tatu suala la kuruhusu bunge kuingiliwa na serikali kuu???
nampenda tulia
mix of bongo movies vs Kenya Movies vs Nigeria
funny/comedy buff.ly/2pEt03p
tego la kijiji buff.ly/2I1Ph2m
Somo by Mzee Majutoo buff.ly/2ufnSIv
Penzi languu wivuu next level buff.ly/2G2MEB7
nizikwe Hai buff.ly/2G5lnxJ
Unaibu spika wa kupewa kwakuwa Kuna mmhh mheshimiwa tuyutuyu
Mange .ni msomi.yuko na PhD. Na degree in business admiration
kabla wwe ujamtafuta mange mange hatakuwa na habari ssa hatujui zitakuwa nzuri au mbaya tunasubiri maan mange sio wa spotspot😩😩😩😶
Tulia umeongea sahii.ila watanzania wanapenda sana mihemuko sana isio na maana mweleze rais awashikishe adabu watakao andamana .tena ikiwezekana wakapumzike mbinguni
Kiukweli umenitowa tongo za maskio kweli kijana ni kujishughulisha thanks mheshimiwa
wapeni vijara ajira, au wapeni fursa rasmi za wao kufanya shughuli binafsi, hapo ndipo utaona watu hawashindi kwenye mitandao, vingine watu wataendelea kujifariji na mitandao
ni kweli mkuu wangu wa chuo alivyo ongea kuwa mpumbafu au mtu asiye na akili yupo chama pinzani naamin hivyo
Tunakupenda sana tulia mamaetu
sio binadam wa kawaida coz anafichua yaliyo jificha na tna haogopi kitu
Elimu iboreshwe! Elimu bure si ni nzuri kama tunavyoelezwa kila siku?
suala la maandamano ni suala la kikatiba, kila raia wa Tanzania ana haki ya kuandamana lakini kwa upande wangu siwezi kuongozwa kufanya maandamano na MANGE KIMAMBI.Nikujivunjia heshima na kujishushia hadhi ya utanzania wangu.
Mweshimiwa nae anaogopa kumsema sana Mange nae anaogopa kuchimbuliwa maana Mange hana dogo,
Ni hakika kuna umuhimu wa kuwa makini na mitandao ya kijamii; kila mmoja wetu hususan vijana wanapaswa kuwa makini katika mihemko katika jamii yetu. Hongera sana Mh. Tulia Ackson Mwansasu
Tusitegemee chochote kutoka kwa tulia akson yote ya magufuli na vitendo vya magufuli itakuwa ni ya ndugai ndio yale yale atayosema rais ndio chaguo la tulia tusitegemee jipya
Wewe kwa Mh Tundulisu huli fanya kitu gani hapo huna mulaumu Mange Kimambi wewe hupo muhuwaji tu
Ee dada wee usishangae mb ni unlimited. Ukiwa huna kazi mtu na cm mpaka mtafanya uzi wa bui, hazimalizi.
I think swali la msingi ni kujiuliza ni kwanini Hawa watu wenye akili zao timamu wameamua kuunga mkono maandamano.
Lakini kwa kuwaona hawana akili, au ni mazumbukuku, watu wanashawishika bila kufikiri ni makosa.
Msibishane na vivuta bangi hata chama wanacho shabikia nibangi
Mange huyu mbona anaisumbua sana serkali jmn duuh kila kona ni yeye
Ananikera anavokidanganya wewe ambaye hujielewi maana kutokujielewa kwako anatumia yy kuwa ni mbinu ya wewe uandamane, kikubwa usiandamane.
Wivu tu.. dogo mange anawapiga bao hao..
Mh. Tulip anazungumzia uwepo wa Taasisi je kila Mtanzania anayesukumwa na jambo anaweza kuanzisha taasisi au mpaka uwe mwanachama wa ccm km hitaji hili ni la lazima kuna haja gani ya kulijadili kwa jamii hili linafaa zaidi kwenye vikao vya ccm ndio mjadili masuala ya kuanzisha taasisi wengine tusisiskie manake ishakua wenye kujua wapo ccm na si raia wengine...!
Hua naona kinyaa kwa watu km hawa wanaodhani haki kwa wote si lazima
Yuko kwenye mtandao kwasababu anawatoa makosa
Mange ana akili zake timamu ww bb hujielewi
Wewe tulia, nakupenda mno kwa misimamo yako,, endelea hivo, zahili umetokea ktk family inayo mjua yesu,, barikiwa tena
Huwezi kumpata CCM isipokua ni mzushi na ni mnafik tu
Huyoo mange kimavi ni malaya tu kimekindeana Kama mbu vile
Hata huyu sura si ya kawaida angalia midomo
huyo mange kimambi alikuwa ccm leo ndio kaamka na kuutambua okovu wa tz uko kwa vyama vingi hehe tutaandamana liwalo liweeeeee wacha nife kwa nachopiganiaaaa kuwa itanisaidia etii sio binadamu wa kwawaida alipo kuwa ccm alionekana wakawaida.
JACKSON MODAHA kaandamane na familia yako boya wewe
Anaupungufu wa akili
nakukubali sana boss wangu tuko pamoja mim nitakuwa MTU wako mapema
Huyu Msukule wa Magufuli Ndiye siye Mwananchi wa Kawaida. TULIA NAKUAPIA KWA JINA LA YESU UNAYELITAJA JINA LAKE KWA KUFURU HUTAKAA KURITHI USPIKA WA BUNGE ILA UTARITHI AIBU, MARK MY WORD!
Mimi nimechoka Jana eti ukianamana kilema ni haki yako, duuh, hizi kauri jamani
MANGE HANA LOLOTE HAWAJAMTAKA TU WANAOMHITAJI
Unsubscribe this channel.. Imekuwa radio ya chama.. Wengine km tktk hapo mna lil ommy tu
Naombo no ya mh tulia namkubali saanaaaaa
Muheshimiwa ana locks Safi. Rasta empress always strong♥💛💚
Kwa sugu kapoteza asiwaze kabisa
Mmmmh ulezi tu unafanya tuwaogope love you mange
wewe ndo sio binadam ni jini labda mange alipokuwa ccm mlimuona malaika?? leo ndo kawa asiejulikana
Mange nizaidi y bomu.hakuna anaweza kumuelezea.hata B52.haiwezi kushambulia kama Mange.
ruclips.net/video/THjp9OrPg0g/видео.html
Mangi anatukana waungwana wenye nizamu na wapole sana laiti angelijuwa siasa za nchi jirani kama Rwanda basi asingeliweza kutukana kiasi hicho huko huko Marekani wazee wangeliweza kumshughulikia sawa sawa na mitandaoni leo utulivu ukapatikana.
namkubali Sana mhe
mdada m dogo akin kama bib tulia
mix of bongo movies vs Kenya Movies vs Nigeria
funny/comedy buff.ly/2pEt03p
tego la kijiji buff.ly/2I1Ph2m
Somo by Mzee Majutoo buff.ly/2ufnSIv
Penzi languu wivuu next level buff.ly/2G2MEB7
nizikwe Hai buff.ly/2G5lnxJ
yan anae mfuata mange pia yeye shiz
kila mtu ajue yake Maisha
watu wanatumi WiFi bwaana siokamahuko Tanzania
aah unamuogopa maana atakuchamba
Subir mapovu y mange atakayo yatoa
Hatr huy mange