MANGE KIMAMBI sio BINADAMU wa kawaida - Naibu Spika Tulia Ackson

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • All the African Music. Hottest SHOWS... Experience Africa
    100.5 Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
    Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz

Комментарии • 196

  • @aamnasalum3217
    @aamnasalum3217 6 лет назад +11

    Upo sawa dada huyo mange achana nae akili zake kama msukule

  • @emmanueldaniel1781
    @emmanueldaniel1781 6 лет назад +11

    Mwambieni huyu ndugu yenu aje Tz atangulie kuandamana mi siwezi maana haki zangu zote napata labda nyinyi ambao hamfanyi kazi, Mange Kimambi kabuli akene

  • @edwardedward2520
    @edwardedward2520 6 лет назад +8

    Yeah! msomi ni msomi Tu. Jamani she is very logic, systematic and she deserves congratulations for good answers! Maisha hayasubiri watu wafanye maamuzi...!

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi 6 лет назад +17

    Nahisi mange ni mwakilishi tu wa wengi Fulani,wanaompa siri mpaka akawa hivyo,

  • @esternzumbi1888
    @esternzumbi1888 6 лет назад +15

    Haya sasa vijana kazi kwetu ushauri wa bure

  • @qaysimilanzi9354
    @qaysimilanzi9354 6 лет назад +13

    Nikweli ushauri uwa kwa wenye akili, lakini mtu akishakuwa kichaa sidhani kama unaweza kushauriana kitu, tafsiri ya maelezo ya kiongozi wa bunge mtulia.

  • @danielfaustine6124
    @danielfaustine6124 6 лет назад +5

    Mi naona kawajibu kufatana na akili zunu,lkn kiukweli mange hana lolote

  • @seciliamwaigomole8512
    @seciliamwaigomole8512 6 лет назад +12

    Nakupenda wewe mama

  • @josephmakutano7067
    @josephmakutano7067 3 года назад

    Watu waserikali mmefanya watuwenu kuwamasikini kiakili harinamali halufu mmewawekea hofu hamtowi elim yakuafanya wajitambuwe!!!!

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu 6 лет назад

    This Tulia is a Sick Puppy! Spicie tofauti Ni wewe Uliyejua Mpango Mzima wa Kumpiga Tundu Lissu Risasi, Na Kisha Unatumiwa Pia Kuzuia Matibabu yake yasilipiwe. Wewe Huo Muda wa Kuongea Utumbo hapo Unatoka wapi? Who benefit for your BS.

  • @abdullasalim9266
    @abdullasalim9266 6 лет назад +5

    Mh. Mataifa mengi yalifanikiwa kutokana na kujifunza na kupokea michango ya pale walipo kosea na ndio maana bunge la tz lipo na wabunge wengi lengo ni kusaidia ili kujenga taifa liwe bora na lenye kusonga mbele ..

  • @kolthoomkolthoom2516
    @kolthoomkolthoom2516 6 лет назад +4

    Tatizo sio kusema ukweli tatizo lugha anayoitoa sio nzur sizazi kamaukitaka kumwambia mtukitu lazima umtusi hatakama nimwanao uwe mtukana naukimtukana basi unakiuka maadili na hata mungu apendi siopoa

  • @abuibra
    @abuibra 6 лет назад +1

    ALIE KUPA JINA LA TULIA HAKUKOSEA,UMETULIA SANA KIAKILI NA FIKRA ULIYO TOA KWA VIJANA AHSANTE SANA,NA KUOMBEA MUNGU UENDELEE ZAIDI KATIKA JUMUIA YA WANA SIASA WA TZ.UPATE KULETA MATUNDA MAZURI KWA WANANCHI WA TZ.

  • @shanimbaruku2071
    @shanimbaruku2071 6 лет назад +5

    I love you Tulia😘😘

  • @allymsuya6655
    @allymsuya6655 6 лет назад +5

    Huyu angethubutu kumsema vibaya Mange angebaki mtupu. Afadhali kalikwepa hilo swali

  • @jumamichael4083
    @jumamichael4083 6 лет назад +45

    Wakati anavaa jezi za kijani alikuwa ni mwanadamu wa kawaida kwasasa anawaumbua kawa si mwanadamu wa kawaida.

  • @raismalingumutz8473
    @raismalingumutz8473 Год назад

    Tunataka Mali zetu ni urisi wa watoto watu

  • @allyrashid1235
    @allyrashid1235 6 лет назад +1

    Hata mm pia nakubaliana na ww muheshimiwa naibu spika kuwa watu wafanye kazi lkn sasa hela zetu wenyewe mnatupangia masharti kuwa baada ya miaka 55 sasa imagine kwamba mtu ana miaka 35 mpaka afikishe hiyo miaka 55 ni leo kweli, lazima mkiangalie hichi kitu kwa umakini mno

  • @jacksonmodaha1590
    @jacksonmodaha1590 6 лет назад +3

    kama walionje ya nchi wanaandamana je tulioko tz sisi tuogope kuandamana never mm nitaenda porini kulia bora siku hiyo nimetoka out

  • @maliakishaushi9089
    @maliakishaushi9089 8 месяцев назад

    safari Yako nakuanga mkono sana

  • @bm4tv602
    @bm4tv602 6 лет назад +2

    Safi Dr.Tulia nimeipnd uko vzr

  • @nurudovino7305
    @nurudovino7305 6 лет назад +3

    Na wanaoshadidia kuandaman wato nchi nyingine tu ila wanasema wanaandamana kuwachuza wengine

  • @emmanueldaniel1781
    @emmanueldaniel1781 6 лет назад +9

    Andamaneni mkasimulie baba zenu waliowatuma mi nitakuwa nachunga ng'ombe na kujisomea

    • @jacksonmodaha1590
      @jacksonmodaha1590 6 лет назад

      mimi nitaandamana na ngombe zangu ila lazima siku hiyo nitoke tu bora wale digidigi au nguruwe kku wasiojulikana why uliko ccm ibakie madarakani wapi lisu ,ulimboka,mzee juma ali,wapi na wengineo kila si

  • @thamani5842
    @thamani5842 5 месяцев назад

    Uyo si binadam wa kawaida

  • @acotyfrolah6616
    @acotyfrolah6616 6 лет назад +2

    Kiongozi muzuri ni yule anaechukiwa

  • @kaponasalum3648
    @kaponasalum3648 3 года назад +1

    Ni kiongozi mzuri nywele zinakuangusha

  • @lilianjeremiah2880
    @lilianjeremiah2880 6 лет назад +7

    Watu wengine wan mawzo y ajbu mange kawaambia muandamane ila yy katulia zake

  • @jovinakan3933
    @jovinakan3933 6 лет назад +4

    Nakukubali dada

  • @acotyfrolah6616
    @acotyfrolah6616 6 лет назад +2

    Tulia nakuaminia chapa kazi

  • @meryjohn7120
    @meryjohn7120 3 года назад

    Nyie nao wapambe

  • @boazimbwaga8771
    @boazimbwaga8771 6 лет назад +3

    Uko sahihi san akison

  • @saidsaid9463
    @saidsaid9463 6 лет назад +2

    Asante dr tulia kwa majibu mzuri

  • @kasusurahmnyongembalilwa5185
    @kasusurahmnyongembalilwa5185 6 лет назад

    Mnapata shida bure mange ni smart Sana and wit!!! Kama hamtaki awatukane acheni kufanya mambo ya kipumbavu halafu mnayatetea kijinga huku mioyoni menu mnajua mmefanya kwa maksudi. Hujawahi kulisema jambo bila kutoa ufafanuzi wa kina juu ya jambo hilo!!!!!!!!!

  • @shanelisessoa6319
    @shanelisessoa6319 4 года назад

    Unafikiri pasipo mtandao tungejuaje kama huna hojahihi kulingana na swali uliloulizwa

  • @ndaitawalyoba898
    @ndaitawalyoba898 2 года назад

    Mweusi wewe

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 3 года назад

    Mange Kimambe ni mgonjwa wa akili.Kitendo cha kulala na kuzaa na baba na baba yake kitampeleka kuzimuni.Itabidi aishi kwa madawa tu hadi ahera au aokoke

  • @isaacmakiro1140
    @isaacmakiro1140 6 лет назад +16

    wewe nawewe ni mdada au kibibi😂😂😂

  • @shanimbaruku2071
    @shanimbaruku2071 6 лет назад +1

    Ni kweli Tulia mange si MTU wa kawada binaadam ayuko vile

  • @sk-wj9or
    @sk-wj9or 6 лет назад +6

    Speaker kwanini maandamano yakufikishe keko? ?? Kwani kuna kosa gani kuitimiza wajibu wa kisheria na haki ya kikatiba! !!
    Au kama hamtaki hilo kwanini msifanye kongamano na raisi akutane na wawakilishi wa wananchi na taasisi tofauti asikubali kukaa na kuongea kama alivyo ongea na wafanyabiashara?
    Kwanini iwe vitisho kwa hilo?

  • @sophiamgaza3800
    @sophiamgaza3800 3 года назад

    Mm

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan1365 6 лет назад

    *Mange kimambi* ni pasua kichwa, Kwakweli hata mimi uwa najiuliza kuwa hawa walioko mitandaoni kila saa' uwa wanakazi za kufanya kweli au wanakipato kingine wanachoingiza? Najiuliza sana hili swala kumbe mheshimiwa *TULIA* pia uko kama mimi kwamshangao huu.

  • @allyrashid1235
    @allyrashid1235 6 лет назад

    Jamani viongozi wa CCM,wabunge na viongozi wa serikali kwa ujumla tunaomba kwa moyo mmoja ya kuwa hizo hela zetu ambazo mmezishikilia kwenye mfuko wa hifadhi ya jamii PPF tunaomba basi mziache maana zile ni hela zetu siyo za kwenu ili tupate tujishughulishe jamani vibarua tulivyokuwa navyo vimetuponyoka kwahiyo mziachie hela zetu ili tufanye vibiashara jamani

  • @sheebqpsheebqp8314
    @sheebqpsheebqp8314 6 лет назад

    Unakigugumiz unamuogop kukusikia unamuongelea kweny mitandao au hahahahhaha

  • @dastanfyondi2159
    @dastanfyondi2159 6 лет назад +6

    ET siobinadamu wa kawaida mbavuuu,, mtanyooka 2

    • @sakisinza9479
      @sakisinza9479 6 лет назад

      dastan Fyondi angalia usije ukanyooka wewe maana watu wengine mnajua kushabikia ila matendo sifuri na utoke siku hiyo upige picha ya selfie tukuone kama upo kweli

    • @dastanfyondi2159
      @dastanfyondi2159 6 лет назад

      Nchi haijengw Na Watu waoga,,Bali wenye kusema ukwel Na kujiamin,,TZ ni Watu wanaoongoza Kwa uoga E. Africa,, so braza wehv to change

    • @gabrieladam1065
      @gabrieladam1065 3 года назад

      Ulitoka??

  • @kasusurahmnyongembalilwa5185
    @kasusurahmnyongembalilwa5185 6 лет назад

    Mange ni wakawaida Sana, ila kwa watanzania wengi wasio na uthubutu na wanaishi kwa kujikomba komba ili kujipendekeza watumiwe badala ya kujituma wenyewe na hii ipo kuanzia kwa viongozi hadi watu wa kawaida!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

  • @ruwaichijoseph5946
    @ruwaichijoseph5946 Год назад

    Mange ni msema kweli, Yulia hawezi kumpenda jizi la mali zetu bandari

  • @kassimhashi4092
    @kassimhashi4092 5 лет назад

    Mange in MTU mzuri sana .yy si ccm.yy ni mwanaharakati period .

  • @nurudovino7305
    @nurudovino7305 6 лет назад +3

    Huyu mama anaakilisana kweli mtu alokuwa anaakilitimamu hana ujinga kama wa huyo mage, kitu muhimu kweli mage anatumia na wamarekani hiko kitu kipo na tusipoangaria vita tz itatokea sana tu na kwauchochozi wa mtu mmoja huyo kam kuna muji furan iliwahi kutokea vita kisa mtu mmoja tu

  • @stevenmsaaada.msaada.389
    @stevenmsaaada.msaada.389 6 лет назад +7

    Nakukubali sana dadaangu.

  • @mashakambugi6730
    @mashakambugi6730 6 лет назад

    Mange ni nani??? Amefanya nini? Mbona ni mtu wa kawaida sana. Haki ka watanzania kwa hili ni special edition!!

  • @nicksonmlay6056
    @nicksonmlay6056 6 лет назад

    watangazaji mmetuangusha kutouliza swali la ccm aliingia lini wkt kama mfanyakazi wa serikali hatakiwi kuwa mwanachama wa chama cha siasa?? suala la matibabu ya Lissu na tatu suala la kuruhusu bunge kuingiliwa na serikali kuu???

  • @brightnessmmuni8081
    @brightnessmmuni8081 6 лет назад +3

    nampenda tulia

    • @SwahiliPrideBongoMovie2018
      @SwahiliPrideBongoMovie2018 6 лет назад

      mix of bongo movies vs Kenya Movies vs Nigeria
      funny/comedy buff.ly/2pEt03p
      tego la kijiji buff.ly/2I1Ph2m
      Somo by Mzee Majutoo buff.ly/2ufnSIv
      Penzi languu wivuu next level buff.ly/2G2MEB7
      nizikwe Hai buff.ly/2G5lnxJ

  • @shanelisessoa6319
    @shanelisessoa6319 4 года назад

    Unaibu spika wa kupewa kwakuwa Kuna mmhh mheshimiwa tuyutuyu

  • @kassimhashi4092
    @kassimhashi4092 5 лет назад

    Mange .ni msomi.yuko na PhD. Na degree in business admiration

  • @khadijambuta4360
    @khadijambuta4360 6 лет назад

    kabla wwe ujamtafuta mange mange hatakuwa na habari ssa hatujui zitakuwa nzuri au mbaya tunasubiri maan mange sio wa spotspot😩😩😩😶

  • @michealmwankemwa5118
    @michealmwankemwa5118 6 лет назад

    Tulia umeongea sahii.ila watanzania wanapenda sana mihemuko sana isio na maana mweleze rais awashikishe adabu watakao andamana .tena ikiwezekana wakapumzike mbinguni

  • @aliyrashid6743
    @aliyrashid6743 6 лет назад

    Kiukweli umenitowa tongo za maskio kweli kijana ni kujishughulisha thanks mheshimiwa

  • @gilbertmwambene5287
    @gilbertmwambene5287 6 лет назад

    wapeni vijara ajira, au wapeni fursa rasmi za wao kufanya shughuli binafsi, hapo ndipo utaona watu hawashindi kwenye mitandao, vingine watu wataendelea kujifariji na mitandao

  • @charlesmbwilo7654
    @charlesmbwilo7654 6 лет назад

    ni kweli mkuu wangu wa chuo alivyo ongea kuwa mpumbafu au mtu asiye na akili yupo chama pinzani naamin hivyo

  • @mariammariam2475
    @mariammariam2475 6 лет назад +7

    Tunakupenda sana tulia mamaetu

  • @happyarooun6037
    @happyarooun6037 6 лет назад

    sio binadam wa kawaida coz anafichua yaliyo jificha na tna haogopi kitu

  • @gastonmbilinyi382
    @gastonmbilinyi382 6 лет назад

    Elimu iboreshwe! Elimu bure si ni nzuri kama tunavyoelezwa kila siku?

  • @souelmvanosouelmvano7694
    @souelmvanosouelmvano7694 6 лет назад

    suala la maandamano ni suala la kikatiba, kila raia wa Tanzania ana haki ya kuandamana lakini kwa upande wangu siwezi kuongozwa kufanya maandamano na MANGE KIMAMBI.Nikujivunjia heshima na kujishushia hadhi ya utanzania wangu.

  • @aliethlwaitama9592
    @aliethlwaitama9592 6 лет назад

    Mweshimiwa nae anaogopa kumsema sana Mange nae anaogopa kuchimbuliwa maana Mange hana dogo,

  • @meddodoma5235
    @meddodoma5235 6 лет назад +1

    Ni hakika kuna umuhimu wa kuwa makini na mitandao ya kijamii; kila mmoja wetu hususan vijana wanapaswa kuwa makini katika mihemko katika jamii yetu. Hongera sana Mh. Tulia Ackson Mwansasu

    • @ibrahimallymohd3645
      @ibrahimallymohd3645 2 года назад

      Tusitegemee chochote kutoka kwa tulia akson yote ya magufuli na vitendo vya magufuli itakuwa ni ya ndugai ndio yale yale atayosema rais ndio chaguo la tulia tusitegemee jipya

  • @johnsonzuma4932
    @johnsonzuma4932 6 лет назад

    Wewe kwa Mh Tundulisu huli fanya kitu gani hapo huna mulaumu Mange Kimambi wewe hupo muhuwaji tu

  • @alhamdulillah5796
    @alhamdulillah5796 6 лет назад

    Ee dada wee usishangae mb ni unlimited. Ukiwa huna kazi mtu na cm mpaka mtafanya uzi wa bui, hazimalizi.

  • @davidsaanane7939
    @davidsaanane7939 6 лет назад

    I think swali la msingi ni kujiuliza ni kwanini Hawa watu wenye akili zao timamu wameamua kuunga mkono maandamano.
    Lakini kwa kuwaona hawana akili, au ni mazumbukuku, watu wanashawishika bila kufikiri ni makosa.

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri792 6 лет назад

    Msibishane na vivuta bangi hata chama wanacho shabikia nibangi

  • @frankzominister1473
    @frankzominister1473 6 лет назад

    Mange huyu mbona anaisumbua sana serkali jmn duuh kila kona ni yeye

  • @emmanueldaniel1781
    @emmanueldaniel1781 6 лет назад

    Ananikera anavokidanganya wewe ambaye hujielewi maana kutokujielewa kwako anatumia yy kuwa ni mbinu ya wewe uandamane, kikubwa usiandamane.

  • @onionpeeling5822
    @onionpeeling5822 6 лет назад

    Wivu tu.. dogo mange anawapiga bao hao..

  • @fargakoigip6029
    @fargakoigip6029 6 лет назад

    Mh. Tulip anazungumzia uwepo wa Taasisi je kila Mtanzania anayesukumwa na jambo anaweza kuanzisha taasisi au mpaka uwe mwanachama wa ccm km hitaji hili ni la lazima kuna haja gani ya kulijadili kwa jamii hili linafaa zaidi kwenye vikao vya ccm ndio mjadili masuala ya kuanzisha taasisi wengine tusisiskie manake ishakua wenye kujua wapo ccm na si raia wengine...!
    Hua naona kinyaa kwa watu km hawa wanaodhani haki kwa wote si lazima

  • @kassimhashi4092
    @kassimhashi4092 5 лет назад

    Yuko kwenye mtandao kwasababu anawatoa makosa

  • @hamidesultan444
    @hamidesultan444 6 лет назад

    Mange ana akili zake timamu ww bb hujielewi

  • @daudimaguha9447
    @daudimaguha9447 6 лет назад

    Wewe tulia, nakupenda mno kwa misimamo yako,, endelea hivo, zahili umetokea ktk family inayo mjua yesu,, barikiwa tena

  • @abubakarmuhammadsaid3244
    @abubakarmuhammadsaid3244 6 лет назад

    Huwezi kumpata CCM isipokua ni mzushi na ni mnafik tu

  • @sondanzingulasondasam4029
    @sondanzingulasondasam4029 6 лет назад

    Huyoo mange kimavi ni malaya tu kimekindeana Kama mbu vile

  • @mpangofantson158
    @mpangofantson158 6 лет назад

    Hata huyu sura si ya kawaida angalia midomo

  • @jacksonmodaha1590
    @jacksonmodaha1590 6 лет назад +4

    huyo mange kimambi alikuwa ccm leo ndio kaamka na kuutambua okovu wa tz uko kwa vyama vingi hehe tutaandamana liwalo liweeeeee wacha nife kwa nachopiganiaaaa kuwa itanisaidia etii sio binadamu wa kwawaida alipo kuwa ccm alionekana wakawaida.

  • @judithjames3703
    @judithjames3703 6 лет назад +1

    Anaupungufu wa akili

  • @gegajoji2914
    @gegajoji2914 6 лет назад

    nakukubali sana boss wangu tuko pamoja mim nitakuwa MTU wako mapema

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu 6 лет назад

    Huyu Msukule wa Magufuli Ndiye siye Mwananchi wa Kawaida. TULIA NAKUAPIA KWA JINA LA YESU UNAYELITAJA JINA LAKE KWA KUFURU HUTAKAA KURITHI USPIKA WA BUNGE ILA UTARITHI AIBU, MARK MY WORD!

  • @upendorobert7298
    @upendorobert7298 6 лет назад

    Mimi nimechoka Jana eti ukianamana kilema ni haki yako, duuh, hizi kauri jamani

  • @makuzashuka4788
    @makuzashuka4788 6 лет назад

    MANGE HANA LOLOTE HAWAJAMTAKA TU WANAOMHITAJI

  • @ujenzitanzania1274
    @ujenzitanzania1274 6 лет назад +2

    Unsubscribe this channel.. Imekuwa radio ya chama.. Wengine km tktk hapo mna lil ommy tu

  • @aboudmsonde2890
    @aboudmsonde2890 6 лет назад

    Naombo no ya mh tulia namkubali saanaaaaa

  • @kake_alicios7620
    @kake_alicios7620 6 лет назад

    Muheshimiwa ana locks Safi. Rasta empress always strong♥💛💚

  • @rgentertainmenttz2900
    @rgentertainmenttz2900 6 лет назад

    Kwa sugu kapoteza asiwaze kabisa

  • @zamomgalla699
    @zamomgalla699 6 лет назад

    Mmmmh ulezi tu unafanya tuwaogope love you mange

  • @samirymickdady8131
    @samirymickdady8131 6 лет назад +6

    wewe ndo sio binadam ni jini labda mange alipokuwa ccm mlimuona malaika?? leo ndo kawa asiejulikana

  • @hamadshein935
    @hamadshein935 6 лет назад +17

    Mange nizaidi y bomu.hakuna anaweza kumuelezea.hata B52.haiwezi kushambulia kama Mange.

    • @wanenetv9672
      @wanenetv9672 6 лет назад

      ruclips.net/video/THjp9OrPg0g/видео.html

    • @ziongate5464
      @ziongate5464 6 лет назад

      Mangi anatukana waungwana wenye nizamu na wapole sana laiti angelijuwa siasa za nchi jirani kama Rwanda basi asingeliweza kutukana kiasi hicho huko huko Marekani wazee wangeliweza kumshughulikia sawa sawa na mitandaoni leo utulivu ukapatikana.

  • @maliakishaushi9089
    @maliakishaushi9089 8 месяцев назад

    namkubali Sana mhe

  • @brochris182
    @brochris182 6 лет назад +2

    mdada m dogo akin kama bib tulia

    • @SwahiliPrideBongoMovie2018
      @SwahiliPrideBongoMovie2018 6 лет назад

      mix of bongo movies vs Kenya Movies vs Nigeria
      funny/comedy buff.ly/2pEt03p
      tego la kijiji buff.ly/2I1Ph2m
      Somo by Mzee Majutoo buff.ly/2ufnSIv
      Penzi languu wivuu next level buff.ly/2G2MEB7
      nizikwe Hai buff.ly/2G5lnxJ

  • @asmabintikiwashatz9321
    @asmabintikiwashatz9321 6 лет назад

    yan anae mfuata mange pia yeye shiz

  • @juliuskatemi6816
    @juliuskatemi6816 6 лет назад

    kila mtu ajue yake Maisha

  • @issataslima6280
    @issataslima6280 6 лет назад

    watu wanatumi WiFi bwaana siokamahuko Tanzania

  • @elizabethomari6058
    @elizabethomari6058 6 лет назад

    aah unamuogopa maana atakuchamba

  • @lilianjeremiah2880
    @lilianjeremiah2880 6 лет назад

    Subir mapovu y mange atakayo yatoa

  • @dullahnigga2242
    @dullahnigga2242 6 лет назад +3

    Hatr huy mange