RAFIKI-Dr Kelvin B Bongole (Kwaya ya Mt Mikael Malaika Mkuu ft Edwin Kamala)-(official Video)
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- Rafiki mwaminifu ni kinga imara ampataye rafiki huyo amepata hazina.
Wimbo: RAFIKI
Mtunzi: Dr Kelvin B Bongole
Instrumentation: Dr Kelvin B Bongole
Waimbaji:Kwaya ya Mt Mikael Malaika Mkuu
Soloist:Edwin Kamala
Audio Production:RAJO Pro
Video production: MOZEN Pro
Kwa neema ya Mungu kama rafiki wa kweli karibu utuunge mkono katika kazi yetu ya Utume. Shiriki katika uzinduzi wa Albamu yetu tarehe 23/04/2023 Parokiani Mahindu Mwanza ujipatie Flash yenye nyimbo Nzuri za Kumtukuza Mungu
Kindly Share, Subscribe, Comment and like
Edwin Kamala apewe tuzo! hii ni zaidi ya kazi na ni zaidi ya uinjilishaji, pia ni zaidi ya burudani
❤❤ naomba Muziki wake pia uwekwe kwenye platfm tufurahie pamoja 🙏🙏🙏
Wimbo mzuri sana. Mtunzi sio mgeni kwangu; but you producers (Mozern), keep it up. Pongezi kwa wanakwaya wote pia. Rafiki mwaminifu
Asante sana Dr Bongole na wanakwaya kwa wimbo mzuri wa tafakuri
Masoloist hongereni sanaaa na Dr bongole na kwaya ya Mt Michael Kwa ujumla I love you sanaaaaaaaaaaa♥️♥️♥️♥️
Hongereni kwa uinjilishaji mzuri
Wooow!! Congratulations
Great song and singing...
Hongera sana
Uishi miaka mingi Dr Bongole ili tuendelee kupata tafakari Safi juu ya rafiki yetu huyu Mwaminifu Yesu Kristo
Safi
Nice song Dr
MUNGU atukuzwe zaidi
Ma soloist mchukue maua yenu🌹🌹🌹🌹 . Asante bongole piece tamu and very alluring.
Hongereni sana soloists na waimbaji wote. Dr big up
A well composed and highly professionally presented song. I'm so blessed. God bless you Dr Bongole
Am so blessed. What a nice song ❤
Hongera sana kakangu Kelvin Bongole...utunzi wako Huwa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 ishi sana
Woooow.,!!!wimbo mzuri jmn hongera Sana
❤️🔥❤️🔥just beautiful 😍 🤩 Dr bongole🎉
Nice one🙏
Kazi nzuri sana mwl. Bongole
Huyu anayeitwa dr. Bongole hizi melody anazitoa wp?
Rafiki mwaminifu, Yesu Kristo Mwana wa Mungu... wimbo mtamu mno.
Hongereni sana kwa wimbo mzuri
Kazi nzuri!!
Super composition
Nzuri
Classic composition kudos everyone
So amazing 😍
Hongereni sana kwa uimbaji mzuri