Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Asalaam Alaikum Warahmatullah Wabarakatu ¿Ustadh wangu inshaallah acha nikukatie ticket mwakani uje UK kulead Taraweeh inshaallah nijibu ukipata nafasi okay Ramadhan Makuboolly 🤝
Allwah akulipe kheri. Ameen
Mtumie sms ktk nambar yake in shaa allah
@solomonadams6337 +255 776 005 717.
Hahahahah,BAKI MSIKINI KWAKO ACHA KUPENDA VITONGA KIJANA... @@Muhammad_Nassor_Bachu_.
Naomba mawasiliano yako
mashaAllah like father like son
Mashallah Allah amekujalia upeo mkubwa sana mzee anafurahia huko aliko tuanakupenda kwajili ya Allah
Mashaallah 😢
Masha Allah. Allah amrehem shkh wetu Nassor... wazazi wetu na waislam wenzetu wote kwa jumla. Wewe ni tunda lilikokuja kutoka ktk mti bora.
Mashaallah Allah akuhufadh shk wangu ibnu baachu na mzazi wetu
Maa shaa Allah...Like father like son..
MashaAllah. Tujitahidi kuhifadhi Quraan
Mashallah, kwa usomaji mzur hata asiye muislam anavutiwa bila kujal anaelewa au haelew maana yake, na siyo Riya kwan Dunia imekuwa na teknoljia kubwa usipotangaza chako hawataweza kukijua..
Mashaallah Allah azijaze amali zako ktk mizani ya mema siku ya hisabu, nakupenda kwa ajiri ya Allah yaa sheikh Muhammad bach
Assalam Alaykum warahmatullahi wabarakatuh. BISMILLAHI MASHAALLAH
Mashaallah kijana umehifadhi Allah akukuzie kipaji chako.kuhifadhi kazi yarabi tujalie nasi tuhifadhi
حفظك الله ورعاك 🥰
Masha Allah chuma kiboko Allah barik
ماشاء الله عليك،حبيت قرأءتك حفظك الله ياشيخ
Allah akulinde
يا لها قراءة مميزة ورائع جداً ❤❤❤❤مبروك مبروك مبروك
Maa shaa Allah
Mashallah, Allah akubariq inshallah zaid ya apo!!!😭😭😭
Ustadh naomba kujuwa unasalisha wapi, na siku gani zamu yako. Nipate nisalishwe na weye japo tarewh moj!!❤
Mashallah mashallah
Mashaallah jazakallah her
Masha llah, nasikia sauti ya sudeisi na hani rifai, Allah akbar
Saad abdul-hamid.
mashaallah Allah amhifadhi
Maa shaa allah
Mashallah! Allah barik
Mashaallah hakika unakiraa kizuri sana🤝🤝🤝🤝🤝
Ma Sha Allah Allah akupe umri mrefu shekh letu
Mash Allah
Masha Allah
Ma Shaa Allah
Masha allah mungu akuhifadh
mashaallah nassr Bach kaweka
mashaallah
ما شاءالله
Allah akuhifadhi shekh wetu
Maashallah unajuwa
Masha'allah masha'allah
Ma Sha Allah
Mashallah tabarakallah
Maashaallah.
MASHALLAH
MashaAllah
Ahfadhaka Allah
Its very nice
Au inaswihi kutoidhihirisha aya kisha nyengine ukadhihirisha naomba elimu
Mashallah
Maduwati wachache katka wengi wenyekubakia hifidhi yao katka quran
Bwana ufanye mwakani uwepo kwenu Zanzibar tuna hamu mnoo kusalishwa nawe!!
Akiwepo kwenu mnamdharau lkn wengine wanaona umuhimu wa huyu kijana. Allwah amuhifadhi
Zanzibar nasikia mmemkataa
Hizi audio zake ziunganishwe tupate sura nzima itapendeza sana
KAZI ipooo mawahab
Kahifadhi huyo kitabu cha Allah, we ropoka tu domo liende upande
Upande wenu ni kuswalisha na msahafu mara ikhlaasw ..falaq...Nnaas..mwezi mzima!...
Unakosea soma vizuri
Choyo hicho
Hakuna mkamilifu..wivu
Swalisha sikuyako na wewe tukutumie fair uje
Acha husda zitakumaliza
Kwa nin mpaka swala mitandaon hiyo ni riya na mnataka dunia tu
Wangapi wanaswalisha na tunawaona katika mitandao........Acha chuki katika mwezi huu mtukufu wa ramadhani pia Subhanallah......الله المستعان
Muambie النية فى القلب@@kassimsalim6160
Kwani kilasiku mukipost zefe ua sio riyaa mwapost viuno tu waume wazima bachu zid yaa ustaadh
Saad al ghamid kwa mbaali,
بارك الله لك،، ila umetukimbi masjid bakry masingini
Assalamu aleykum warahmatullah wabbarakatu atakuja Insha'Allah
@@adnanabdallah6282 waalykum salaam wa rakhmatullaah wa barakaatuh
Sheikh kwa kisomo chako mpaka hamu ya kujipinda nihifadh qur an inanijia
Allah akuwafiqishe ndugu yangu.
Bachu ivi kwanini aya ya kwanza ya suratl fatiha huisomi kwa sauti unaanza na aya ya pili
hiyo ndio sunna ya mtume wetu
Ipi Shubha? Unaiona hapo
Watu wa bida'aa hawaoneshi live kwasababu wanaswalisha wakiangalia😅😅
😂😂 kumbe wajua
Allah akulipe Kheir kwa kisomo kizur ustadh ila kaka Kusifu na kumuombea Kheir anaesoma pia umeshindwa akhui umejawa na jazba kiasi Hicho?
😂😂 Kweli
Kwani kuangalia kumekatazwa,au mi haramu?
Watu wa bidaa watahifadhi Quran ama miziki
Shubha ipi uliyo iyona?
Kama n shubha atawewe fanya wacha wivu ucojuwa na fanaka
Bidaa
Asheikh hii sio shubha naona kama tunainyemelea riyaa
Kivipi sheikh?
makka je hawana ria maana tarawehe zote na swala zote ziko live
Riya kivip shekh tueke wazi
Jamani bona miskiti mingi tu iko live pindi wasalisha taraweh achaa hasad kwa sheikh wetu
Mnaleta nongwa sasa mnataka ashike mas~haf au
Hizi picha bidaa
Iyo ulioweka kwa profile n nn
Tatizo mm sio salafy
@@khamisyahya2607 daaah😁😁😁
Mashalh
Mashaallah
Asalaam Alaikum Warahmatullah Wabarakatu ¿Ustadh wangu inshaallah acha nikukatie ticket mwakani uje UK kulead Taraweeh inshaallah nijibu ukipata nafasi okay Ramadhan Makuboolly 🤝
Allwah akulipe kheri. Ameen
Mtumie sms ktk nambar yake in shaa allah
@solomonadams6337 +255 776 005 717.
Hahahahah,BAKI MSIKINI KWAKO ACHA KUPENDA VITONGA KIJANA... @@Muhammad_Nassor_Bachu_.
Naomba mawasiliano yako
mashaAllah like father like son
Mashallah Allah amekujalia upeo mkubwa sana mzee anafurahia huko aliko tuanakupenda kwajili ya Allah
Mashaallah 😢
Masha Allah. Allah amrehem shkh wetu Nassor... wazazi wetu na waislam wenzetu wote kwa jumla. Wewe ni tunda lilikokuja kutoka ktk mti bora.
Mashaallah Allah akuhufadh shk wangu ibnu baachu na mzazi wetu
Maa shaa Allah...Like father like son..
MashaAllah. Tujitahidi kuhifadhi Quraan
Mashallah, kwa usomaji mzur hata asiye muislam anavutiwa bila kujal anaelewa au haelew maana yake, na siyo Riya kwan Dunia imekuwa na teknoljia kubwa usipotangaza chako hawataweza kukijua..
Mashaallah Allah azijaze amali zako ktk mizani ya mema siku ya hisabu, nakupenda kwa ajiri ya Allah yaa sheikh Muhammad bach
Assalam Alaykum warahmatullahi wabarakatuh.
BISMILLAHI MASHAALLAH
Mashaallah kijana umehifadhi Allah akukuzie kipaji chako.kuhifadhi kazi yarabi tujalie nasi tuhifadhi
حفظك الله ورعاك 🥰
Masha Allah chuma kiboko Allah barik
ماشاء الله عليك،حبيت قرأءتك حفظك الله ياشيخ
Allah akulinde
يا لها قراءة مميزة ورائع جداً ❤❤❤❤
مبروك مبروك مبروك
Maa shaa Allah
Mashallah, Allah akubariq inshallah zaid ya apo!!!😭😭😭
Ustadh naomba kujuwa unasalisha wapi, na siku gani zamu yako. Nipate nisalishwe na weye japo tarewh moj!!❤
Mashallah mashallah
Mashaallah jazakallah her
Masha llah, nasikia sauti ya sudeisi na hani rifai, Allah akbar
Saad abdul-hamid.
mashaallah Allah amhifadhi
Maa shaa allah
Mashallah! Allah barik
Mashaallah hakika unakiraa kizuri sana🤝🤝🤝🤝🤝
Ma Sha Allah Allah akupe umri mrefu shekh letu
Mash Allah
Masha Allah
Ma Shaa Allah
Masha allah mungu akuhifadh
mashaallah nassr Bach kaweka
mashaallah
ما شاءالله
Allah akuhifadhi shekh wetu
Maashallah unajuwa
Masha'allah masha'allah
Ma Sha Allah
Mashallah tabarakallah
Maashaallah.
MASHALLAH
MashaAllah
Ahfadhaka Allah
Mashallah mashallah
Its very nice
Au inaswihi kutoidhihirisha aya kisha nyengine ukadhihirisha naomba elimu
Mashallah
Maduwati wachache katka wengi wenyekubakia hifidhi yao katka quran
Bwana ufanye mwakani uwepo kwenu Zanzibar tuna hamu mnoo kusalishwa nawe!!
Akiwepo kwenu mnamdharau lkn wengine wanaona umuhimu wa huyu kijana. Allwah amuhifadhi
Zanzibar nasikia mmemkataa
Hizi audio zake ziunganishwe tupate sura nzima itapendeza sana
KAZI ipooo mawahab
Kahifadhi huyo kitabu cha Allah, we ropoka tu domo liende upande
Upande wenu ni kuswalisha na msahafu mara ikhlaasw ..falaq...Nnaas..mwezi mzima!...
Unakosea soma vizuri
Choyo hicho
Hakuna mkamilifu..wivu
Swalisha sikuyako na wewe tukutumie fair uje
Acha husda zitakumaliza
Kwa nin mpaka swala mitandaon hiyo ni riya na mnataka dunia tu
Wangapi wanaswalisha na tunawaona katika mitandao........Acha chuki katika mwezi huu mtukufu wa ramadhani pia Subhanallah......الله المستعان
Muambie النية فى القلب@@kassimsalim6160
Kwani kilasiku mukipost zefe ua sio riyaa mwapost viuno tu waume wazima bachu zid yaa ustaadh
Saad al ghamid kwa mbaali,
بارك الله لك،، ila umetukimbi masjid bakry masingini
Assalamu aleykum warahmatullah wabbarakatu atakuja Insha'Allah
@@adnanabdallah6282 waalykum salaam wa rakhmatullaah wa barakaatuh
Sheikh kwa kisomo chako mpaka hamu ya kujipinda nihifadh qur an inanijia
Allah akuwafiqishe ndugu yangu.
Bachu ivi kwanini aya ya kwanza ya suratl fatiha huisomi kwa sauti unaanza na aya ya pili
hiyo ndio sunna ya mtume wetu
Ipi Shubha? Unaiona hapo
Watu wa bida'aa hawaoneshi live kwasababu wanaswalisha wakiangalia😅😅
😂😂 kumbe wajua
Allah akulipe Kheir kwa kisomo kizur ustadh ila kaka Kusifu na kumuombea Kheir anaesoma pia umeshindwa akhui umejawa na jazba kiasi Hicho?
😂😂 Kweli
Kwani kuangalia kumekatazwa,au mi haramu?
Watu wa bidaa watahifadhi Quran ama miziki
Shubha ipi uliyo iyona?
Kama n shubha atawewe fanya wacha wivu ucojuwa na fanaka
Bidaa
Asheikh hii sio shubha naona kama tunainyemelea riyaa
Kivipi sheikh?
makka je hawana ria maana tarawehe zote na swala zote ziko live
Riya kivip shekh tueke wazi
Jamani bona miskiti mingi tu iko live pindi wasalisha taraweh achaa hasad kwa sheikh wetu
Mnaleta nongwa sasa mnataka ashike mas~haf au
Hizi picha bidaa
Iyo ulioweka kwa profile n nn
Tatizo mm sio salafy
@@khamisyahya2607 daaah😁😁😁
Maa shaa Allah
Mashalh
Mashaallah