Wanawake wote tunaofatilia hii move, tuwaeshim wenza wetu,tujifunze kupitia Vai, amemfanyia mumewe kiburi lakini mwisho wa siku anajuta, mnaokubaliana na mm weka like yako ya upendo apa,,,m nawapenda♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️
Nmezurura sana kutafta dunia mpka miguu inauma duu jitaidini kuwai kutoa kwa wakati ila nawapenda mno mtunzwe na Kristo temu dunia na wafatiliaji wote wa dunia ❤❤❤
Hii ni fundisho kwa wanandoa wote haswa wanawake ndoa siyo mazoea Vai ni mwanamke mzuri sana sema aliweka mazoea baada ya kuolewa akajiweka bize sana kwenye mambo yake kuliko ndoa yake dharau, jeuri na kibuli zilitawala akilini mwake na kujiona kaolewa imetosha acha iwe fundisho 🎉🎉
Ndoa ni tamu sana kama mwanamke atajua thamani wa mume wake na kumheshimu na ndoa inakuwa chungu pale ambapo mwanamke atakuwa mjuaji kama vai kila ninapo tazama hii movie najifunza mambo mengi sana aliyetunga hii story MUNGU azidi kumpa kibali ndani na nje ya nchi ❤
manyanya upo vizuri ila kwa ulipofikia xaxa ni kelo vai anakuomba mxamaha hujali wala kumxikiliza muhurumie hadi amekwamba ligi hiyo haiwezi mxamehe tu 🎉🎉🎉
Alhamdulillah Ndugu zangu tusiache ibada na tusiache kumshukuru Mwenyezi Mungu mwingi wa rehma mwenye kurehemu Tukipata Alhamdulillah Tukikosa Alhamdulillah Ndio liwe neno kubwa haswa kwetu
Wanawake nawaomba kupia hiyi muvie inabidi mujifunze mambo ambayo munasitahili kuwa na mume kufanza, kwenye kk manyanya i😂😂ko nafanza divyo wanahume tulivyo mukuwe na jitahidi sana Dd zangu ❤❤❤.
Helooooo Tanzania......watching from Kenya mombasa.....bytha vai aliambiwa vizuri hio ligi anayoianzisha hatoiweza ona sasa mpaka dawa anataka kumeza ajitoe uhai aiiiseee seriously...... Ndio dunia hiii😅😅😅😅😅
Kupitia Vai ninavyompeti peti Mume wangu sasa hv😂😂😂 Niko makini balaa 😂😂 mpaka ananishangaa na Kurudi sasa hv anawahi Mashaallah kuna sehemu kidogo nilikua sifikii 😂😂😂❤❤❤
movie ya manyanya #Dunia nimovie bora kutoka mwaka 2014 and 2025 wqshiliki wake wapo silius kwa karata zao congratulatino wote mulie shiliki kwenye movie bora ya mwaka 2024 and 2025 hmTanzania hatujawai kupata movie bora kama hi Beth vs manyanya realshionship ipo goood aijawai tokea
Pole sana vai hapa ndio utajuwa kwel heshima n kitu Cha bure a pesa haiwez kisaidia kwa Kila kitu vai alieka pesa mbele hakuwah kumpa mda mumewe lkn awe pole tujifinze kitu jamn
Huyu vai na kama mm tu yaan na nimejifunza sirudiiiiii tena kumdharau mwanaume aseeee na kumfanyia kiburiii wanawake mnaofanya kama vai achen jamn majuto ndo kama hayo😢😢😢😢
Hapo Cindy upo vizuri ndoa sio ya lazima ikizidi omba talaka na hapo kwako pamezidi muddy talaka ipendezi wewe unavyio lewa kila siku mkeo Alia akwambia Bado hubadilikipe talaka kaende zake 😢😢😢
Dah atimae vailet umejihusisha na maswala la maombi hukulipiza kisasi kama mmeo alivyo chukuwa uwamuzi mzito kama ule mungu aendelee kuisimamia ndoa yako vailet i love more mommy❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉❤❤❤❤🎉🎉🎉❤❤❤
manyanya nakupenda sana minimwana mke mwenziye na vai napenda sana wanaum wenye msimamo nzulisana naomba usije ukakaacha katoto kawatu kakupendasana kinachonifulahisha kanakueshim kamezidisha ❤❤❤❤❤❤❤ naomba muke wamzungu awemwanamuke mwenyemsimamo tena nawaomba ata akiachana namdi mzungu akaishi maisha yakujieshim asijekuwa dada wakujiunza napenda wanawake wanaopenda.kujituma sana
Asante sana pia kwa hii ambao mumeonyesha apa, wanawake angalieni namna gani inauma kwake VAI si kwake tu, na myoyo nyingine imeuma .ila yote imetoka kwake mwenyewe kwa kukosa busara na maalifa. Mujuwe kwamba La kunuka halina tena uvumbaaa. Ebu tengenezeni uvumba wa kila mda.
Mwanamke mpumbavu huvunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe kwahy hili ni fundisho kwa wanawake wote hata kama mme wako anarudi kutoka kazini ucku sana ww wala usimuulize muache umjari vizur tu cku ya kwanza ya pili hivyohivyo mwishow atajishitukia yeye mwenyew na kuanza kurudi mapema kama unaamini gonga ❤❤ hapa
Wanawake wote tunaofatilia hii move, tuwaeshim wenza wetu,tujifunze kupitia Vai, amemfanyia mumewe kiburi lakini mwisho wa siku anajuta, mnaokubaliana na mm weka like yako ya upendo apa,,,m nawapenda♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️
Kabsa
Nipo pamoja na ww
Kabsa mpnz tuwaheshm huku wanakotoka wanakutana na mengi analud home ili apate aman jaman
Asante
@MarryPaul-o6c Ahsante dear.
Awali yayote Cindy ni mvumilivu sana mpaka KUFIKIA hapa amevuumilia sana ana haki yakudai talaka anaekubaliana na hili gonga like apa
Nawapenda wotee mnaosoma comment hii💝💝💝
Sindi ameonja tamu ya mlokole saa hii anamuona mudy kama 😂 ila mvumilivu sana
Manyanya jamni amsamehe 😢 bhna mi mpka roho inaniuma
So poah
Hata hvyo Cindy ni mwanamke wa shoka
Kumbe manyanya ni hb sema vai alikuwa amtunziiii, pongezi kwa michepuko wote😂😂😂
We nyau kweli
Umelogwa wewe
Sio kila mchepuko anawenza kumtunza mume wengine wanaweza kuchuna
kumbe kwl manyanya hb
Omba yasikukute mchepuko anaumiza we hayajakukuta
Dah mapenzi yanauma jamani ukipendwa pendeka uwe na mapokeo mazuri kama ya Matty dondosha like kwa hii dunia
Munao Ombea inchiii ya Congo mungu awabaliki.❤
Amen
Ameen
Amém
Pumbafu ombea kwenu uwe na amani ndio uiombee Kongo
@sandejacob623 shetani anakutumia bro n'a we wakuombee kwa jina la yesu 🤣
Hii ndo dunia bana,,,,, anyway all the way from mombasa Kenya 🇰🇪🇰🇪🤞 wapy likes zetu pia sis wakenya jameni,,,,
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 pamoja mzito
Pamoja
Pamoja kaka from nairobi kenya 🇰🇪
Pia mm hapa nairobi 🇰🇪 🇰🇪.
Pamoja sana kutoka kilifi ❤❤❤
Daa valet.. NAKUPA 100%+.kwa huu scene ya leo.ya hapo ulicho fanya...YOUR THE BEST ACTOR ON THAT CATEGORY.🫡🫡
Kama una mpenda mungu kuliko iyi series ya dunia naomba weka like nawasio weka kazi kwao...
Upo sawa kweli ww
Maskini vai anavo legeza mdomo akifikir atahurumiwaa😂😂😂 naombeni hilo likes bas jamenii mnona me sipew😮
Hadi nimejiskia vibaya😢
😂😂😂@@EvaradaKomba-zq7oe
Kwani zinasaidia nn😂
Nmezurura sana kutafta dunia mpka miguu inauma duu jitaidini kuwai kutoa kwa wakati ila nawapenda mno mtunzwe na Kristo temu dunia na wafatiliaji wote wa dunia ❤❤❤
Nampendaa sana matty jmn afu anaroho nzuri jmn wanaompmd matty kam mimi gonga like❤❤❤❤
roho nzr anayo ila anajsahau kama iko ck mpira utarud kwa kipa
Tulioanza kumuonea huruma dada vai njoo hapa kwenye kikao tujuane kwa majina 😂
😂😂😂😂mimi apaaaa@@AsifiweMbogela-vh6ou
❤❤
Jamn hii dunia tamu n inafurahxha py jamn m nampenda manyanya n matty nawapenda xan jamn mungu awape afya njema ya kuleta season inayofuata
Wanawake wote hiyi move ni fundisho na muuyizingatie sana msije mkapoteza khaki yenu kwa ujinga na udanganyifu kama Vai I'first from Bdi like jmn
Hata wanaume kwa mud mjifunze
Sasa hivi namtii mpnz wangu ka mfalme😂
@@Hajira-k5z ndio kbs
@@RehyyanDorvin uyo ni mu falme mshikilie sana 😂😂
Kabisa 😂@@Hajira-k5z
Hii ni fundisho kwa wanandoa wote haswa wanawake ndoa siyo mazoea Vai ni mwanamke mzuri sana sema aliweka mazoea baada ya kuolewa akajiweka bize sana kwenye mambo yake kuliko ndoa yake dharau, jeuri na kibuli zilitawala akilini mwake na kujiona kaolewa imetosha acha iwe fundisho 🎉🎉
Ishu siyo wanawak kumbuken hum wamezungumziwa watu wa aina zot mtazame Sind nay anapitia mangapi ad mav alifua ila mwanaume abadirik
@@KemErickKeminakuungaa dear kikubwaa heshimaa kwa wote❤
Amna bhna vai asamehewe tuu amekiri ona anavyolia😢
Acha upuuzi mpaka wanaume
Kwan kuolewa ndo nn hata nyinyi wana ume MPo hivyo😅
Ndoa ni tamu sana kama mwanamke atajua thamani wa mume wake na kumheshimu na ndoa inakuwa chungu pale ambapo mwanamke atakuwa mjuaji kama vai kila ninapo tazama hii movie najifunza mambo mengi sana aliyetunga hii story MUNGU azidi kumpa kibali ndani na nje ya nchi ❤
Kabisa kama Kuna mwanamke yupo kwenye ndoa anafuatilia hii harafu hajabadilika hachukui notes pole yake
✊️
Kaz nzur San kaka
Kama wanaheshimiana wote mkea Vai alikua mjinga kwa wakati huo ila sahiv hawana tofauti Tena
@@Zainab-d2l6u kama vai angetambua mapema kuwa mwanaume hatiki dharau asingejiliza ivo wamaume hawana shida muda mwingine wamawake tunazingua bn
Kazi nzuri kabisa mungu baraka zake ziwe pamoja na nyinyi
I'm mkali from BURUNDI
Jamani Leo nimewahi Dunia toka kuanza sijawahi kuwa wa kwanza nipeni mauwa yangu 🎉🎉
Ahsante Mungu kwa Siku Nyingine, Kama Umebarikiwa Kuiona Siku ya Leo Gonga like hapa, Tuwape Nguvu Team Dunia Series, 🙏🙏🙏
🙏🙏🙏
🙏🙏
🙏🙏
🙏🙏🙏🙏
❤❤❤@@GeorgettekajoKajo-p5t
Movie nzuri sana naipenda hongeren kwa mafunzo mazuri Pia mungu awape kinacho wafanya kulingana na munacho kifanya
Bado wanatisha kinoma
manyanya upo vizuri ila kwa ulipofikia xaxa ni kelo vai anakuomba mxamaha hujali wala kumxikiliza muhurumie hadi amekwamba ligi hiyo haiwezi mxamehe tu 🎉🎉🎉
Jamani ni wangapi wanaomwonea uruma sind weka like yako moja tu apa from 🇲🇿🇲🇿🇲🇿⚔️⚔️🗡️🗡️
Hii movie mmetisha kinoma noma kak kaz nzr san mungu awaongezee kipaj na utunz mzr 🤲🤲🤲
Mmetisha
Kama unakubaliana na sindi kudai talaka gonga like
Mimi pia mwezang mudy kazid
Mimi hapaaaa😂😂😂😂
Unaombaje taraka kama unaomba karanga😂😂
Kuna wanaume wanachosha Jmn...daah
Tena kachelewaaa
Mmmmm jaman nani kama manyanya anamaneno matamu pia ni funzo kubwa sana katika jaman asante kwa ujumbe 😘😘
Jamani mbona mimi sipatagi izo like toka nianze angalia hii Dunia ila respect sanaa ❤❤
🎉🎉🎉
Kwan lazima🤔🤔
Uwa zinasaidia nn?
Hahahaha Leo mudi muzungu_paka la baa kawa sheikh🤣🤣🤣🤣🤸🤭
😂😂 aisee jamani nimeshangaa anatoa mawaidha matukufu kweli kweli.
Me nimecheka kwa sauti et astaghafirullah😂😂
Paka la bar mhhhh
Eti astakafullah😂😂😂
Mood akiwa hajalewa mtu kabisa, yaani anakuwa na akiri siyo poa. Ila alewe Sasa, mpaka anajinyea... Uongo mbaya pombe mbaya sana
Kama unamupenda Mungu kuliko iyi séries ya DUNIA nipeni like wale wasio mpenda kazi kwawo 😂😂
Kwani ww mungu
We ni matako ww ndo hatukupendi mungu na Dunia tunavipenda sana kuku ww
Tofauti yako na mende ni mbio tu
Jaman msipende kuleta majaribu kwenye movie kufananisha Mungu na ya dunia jaman
Ndio kutafuta like au
Mume wangu nampenda sana ndo maan namsikiliza ❤❤❤❤
Hongera sana mamaa mwenyezi Mungu awajalie kheri nyingi wewe na mumeo inshallah
Mimi ndo sijawai pata like ata moja,,,nyie watu mna ubaguzi sana😢
Jaman manyanya Kawa handsome kweli mati ajua kulea pole Vai umejifunza Cindy mama msamehe mkwe wng Muzungu usimuache atadata😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂 paka la bar
Nikajua mm tu nimeona kumbe hata ww @@khdj-x3w
Muzungu😂😂
@@khdj-x3w 😀😀😀😀asipiga tongi bonge la hb wa kwenda
@@aminakipande5645 😀😀😀😀 mudi kubwa
Alhamdulillah
Ndugu zangu tusiache ibada na tusiache kumshukuru Mwenyezi Mungu mwingi wa rehma mwenye kurehemu
Tukipata Alhamdulillah
Tukikosa Alhamdulillah
Ndio liwe neno kubwa haswa kwetu
Alhamdulillah kulli haly
Amen
Alhamudulillah
Alhamdulillah
Amiin❤
Manyanya hongera kakaaaa, matilida pia hongeraaa nakupenda vaileth koma na ukomae jifunze kulea mmeo🤭🤭
Ya leo kali😂manyanya unachofanya uko sahihiiiiii kabisaaa hujakosea popote😂kwa mara ya1 nipewe like jamani
Kanumba wa pili amepatikana,,,best advicer in relationship,,,,,,wewe manyanya akh❤❤❤❤,,,🇰🇪
Aih jamani mnatueka sana...ila series yenyu tamu sana..tunatamani hadi kuitazama kila siku
Jmn jmn ni atar hiii Dunia inafundisha inajenga jmn tujifunze kupitia hii moves
VAILETH 😂😂😂🙌 SURA IMEKUA NDOGO UNAONA MATI ANAVYOMPENDEZESHA MANYANYA WETU!!
Kweli wajina manyanya now Yuko smart
Na Leo kichwani kachakaa na minyoosho😅
𝐾𝑤𝑎 𝑘𝑤𝑒𝑙𝑖 𝑚𝑎𝑛𝑦𝑎𝑛𝑦𝑎 𝑎𝑚𝑒𝑝𝑒𝑛𝑑𝑒𝑧𝑎 𝑛𝑎𝑒 𝑣𝑎𝑖 𝑎𝑚𝑒𝑐ℎ𝑎𝑘𝑎𝑎𝑎 𝑘𝑤𝑎𝑛𝑧𝑎 𝑛𝑦𝑤𝑒𝑙𝑒😂
😂
Kawaka mpaka bc
Safi Sana wafundishe wanaume wengine kuishi na wanawake wenye kiburi na sio kupiga
Bali matukio na zarau zako zita kupigisha mwenyewe
Wanawake nawaomba kupia hiyi muvie inabidi mujifunze mambo ambayo munasitahili kuwa na mume kufanza, kwenye kk manyanya i😂😂ko nafanza divyo wanahume tulivyo mukuwe na jitahidi sana Dd zangu ❤❤❤.
Ni kosa kubwa sana kumpandishia mwanaume sauti .. hakuna mwanaume mkorofi mbele ya mwanamke mnyenyekevu ..
Safi Sana manyanya wafundishe wanaume wengine kuishi na wanawake wenye kiburi na sio kupiga
Vay kakumbuka kuna Mungu pia😂😂
Upo sahihi kipenzi
Wengine ukiwafanyia hivo wanamwaga ugali na wenyewe ndoa inavunjika
@HabibuMatary 🤣anamtizama mwanaume anaona kapendeza.naalikua hataki hata kumfulia wala kunyoosha
Kwa hatua ambayo alikuwa amefikia Manyanya. Yuko tayari hata Vai angesema It's over@@HabibuMatary
Helooooo Tanzania......watching from Kenya mombasa.....bytha vai aliambiwa vizuri hio ligi anayoianzisha hatoiweza ona sasa mpaka dawa anataka kumeza ajitoe uhai aiiiseee seriously......
Ndio dunia hiii😅😅😅😅😅
Ongera sanaaaaa kaka manyanya umetufunza sana sisi wana ndoa
Afu nanyie michepuko tuache ❤kuwa shika sana wanaume wa wenzetu mana kwa pigo za mati mmmm wangapi wanaiba wanaume wa wenzao waweke comenti apo😂😂😂😂😂
Kaka manyanya nimejifinza mambo mengi kupitia wew nakupenda kaka yang na pia nataman nkuone kwa kaz nzur upate ata ela ya sodaaaa
Dunia ..mlianza kama utani ..lkn this one na professional movie ....claps 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Kupitia Vai ninavyompeti peti Mume wangu sasa hv😂😂😂 Niko makini balaa 😂😂 mpaka ananishangaa na Kurudi sasa hv anawahi Mashaallah kuna sehemu kidogo nilikua sifikii 😂😂😂❤❤❤
Na Mimi pia
😂😂😂😂😂😂jichanganye anyakuliwee uone
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 umenichekesha Dada
😅😅😂😂😂😂🤣🤣🤣MAFUNZO TUNAPATA ILA ME MGUMU KUSAMEHE JAMAN NATAMANI KUWA KAMA MATI
Dada umenifanya nikacheka kwa sauti🤣🤣🤣
Pole sana kipenzi cha manyanya hayo ndo maumivu ya ndoa jikaze pia sali sana❤❤❤
Shkilia hapo hapo vai lia na mungu wako.. ndoa ina nguvu cz it has been united by the Almghty Allah.. dua bas nothing else
Matlida unatoa fundisho zuri sana kwa wanawake wote walio kweny ndoa na pia wanaotegemea kuingia kweny ndoa maua kwako dada 🎉🎉🎉🎉🎉
Congo/Goma tuko vitani, ivi kwa mapenzi ya iyi movie nipo nafwatiya chini ya kitanda 😢 congratulations guys🎉
Pole sana Sisi warundi tuko begakwabega nanyi
Mpole sana wa ndugu 😢
Poleni sana
Poreni
Mungu wasaidie wapenzi jameni😢😢
Kabla hujafa naomba wasiliana na familia yako nisipate shida ya mazish😂😂😂Manyanya 😂😂😂pole vai ukomeee 😂😂
movie ya manyanya #Dunia
nimovie bora kutoka mwaka
2014 and 2025 wqshiliki wake
wapo silius kwa karata zao
congratulatino wote mulie shiliki
kwenye movie bora ya mwaka 2024
and 2025 hmTanzania hatujawai kupata
movie bora kama hi Beth vs manyanya
realshionship ipo goood aijawai tokea
Leo Mudi kaongea kistarabu mno
Pole sana vai hapa ndio utajuwa kwel heshima n kitu Cha bure a pesa haiwez kisaidia kwa Kila kitu vai alieka pesa mbele hakuwah kumpa mda mumewe lkn awe pole tujifinze kitu jamn
Daaah vai umenifanya nimelia 😢 wallah ila ulianza mwenyewe kibri saa hii manyanya apata pakuheshimiwa na kupendwa kwa juu pole yako
Huyu vai na kama mm tu yaan na nimejifunza sirudiiiiii tena kumdharau mwanaume aseeee na kumfanyia kiburiii wanawake mnaofanya kama vai achen jamn majuto ndo kama hayo😢😢😢😢
Hii movie kwa kweli imenifundisha mengi sana mana haya mambo ndo yananitokea mie! Big up Manyanya' Allah akuhifadhi zaid ktk mafundisho haya.
Sawa dunia naipenda ila mnatuchereweshea alafu mnaweka kava ya dunia ndani move nyingine msitufanyie ivo mashabiki zenu jmn
Hizo n page fake uwe makini
Fake hzo account
Bishoo manyanya muonee huruma vai utamuua kw presha😂🙌
Aloooh kweli hii movie inabadilisha sana ndoa za watu, ndoa nyingi zinapona kwa hii movie.
Vai nilikwambia mwanaume anachoitaji niheshima2 duh Sasa umejionea eeeh🎉
Au vai ndo yule mjinga alie kataa shule chekechea maana tumekosa hoja kumtetea🎵🎶 daaah nalia mimi😢😢😢😢😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
😂😂😂
😂😂😂ila watu
@@WinifridaMwalunganga-t8n wana visaa
Jamani vai duu😢😢. Tunaomuonea huruma vai tujuane hapa ❤❤🎉🎉
Tupo mi nataka mat mchepuko aachwe vibaya sana
Mimi natamani amsamehe vai kisha awe na wake wawili.
Inako eelekea mi naona huruma hatakama vai kakosea jaman mapenzi yanauma nyie niulizeni mimi😢😢
Sis ndoo.wqnaume bhaaan😅mkome kushindana na sisi😅
@@QwerQwer-p8xunakumbuka.mliulizwq.ligiiii.mnaweza.😅
Munao ombea inchi yetu Congo Mubarikiwe na Mungu
Waoooooo manynya unajeuli kama yang saf xan wanao mkubali manyny weka like hapa😅😅😅
Ila manyanya Kabla hujafa wasiliana kabisa na ndugu zako nisije pata shida kwenye mazishi yako😂😂😂
😅😂😅😂😅😂😅😂😅😂😅😂😅😂😅😂😅😂😅😂😅😂😅yani www
😂😂😂
Wajina vip😂😂
😅😅😅
😂😂😂
My favorite movie big up San Mr manyanya na crew yako nzma kwa hakika munatuheshimisha vyema
Penzi la Matty na manyanya nimejikuta natabasamu kwa maneno yao Yan mpaka mwili unasisimka jamani kupendana raha 😍😍😍❤️❤️🎈
Eheee mudi muzungu Leo kumekucha vibaya nataka talaka yangu Leo🤣🤣🤣🤣
Nimechekaa sanaaaa Vai alivoangaliaa akatiaa hurumaa eti manyanyaa mbona Kila ukija u akuja na nguo mpyaa😂😂😂😂
Napendaa vai anavotesekaa hahahaa kimemlambaaaa😂😂😂😂😂
😂😂 yaan mpaka ajifunze na huo mdomo wake
Hunishindi mimi😂😂😂
Hata hivo wanaume wana roho ngum hatar me pale ningemsameheee anatia huruma hatar😢😢
Me pia Ila nasema sasa vai akijirudia vip maty atakuje
Mnoooo na hela yenywew Iko wap
Manyanya we ni 🔥🔥🔥🔥 wa kuotea mbali akili kubwa huyu jamaa sioni wa kumfikia kwa sasa hapa bongo
Waliyoona mwz wapili wakiw wazim mnip likes 👍 na mungu awabarik 🙏
Amiin
Amen and Amen 🙏🙏🙏🙏
Sote tunaoanglia tumeuona mwez maana imetok mwez huu2upoo
Leo namba moja from zanzibar unguja
DahaHii moves Inafudisha sana maisha yetu ya kilacku big Up sana Mnajua mnajua tena
Sijuii ndioo tamahaa yangono kwa matti. mbona kalivoachiaa nywele ndioo nimekapenda❤
Wuueh matty kwa hakika mungu akubariki bcoz kuna siri nyingi tunazijua nakuzipata kupitia unyenyekevu wako n pia kwa kua muelewa ❤❤❤❤❤❤
❤❤❤❤
Tunaotamani manyanya asiludi kwanza Kwa vaileth Kwa sas tujuane Kwa like👍
😂😂😂
Hapo Cindy upo vizuri ndoa sio ya lazima ikizidi omba talaka na hapo kwako pamezidi muddy talaka ipendezi wewe unavyio lewa kila siku mkeo Alia akwambia Bado hubadilikipe talaka kaende zake 😢😢😢
Kweli kabisa
Kabisa hatimae kaamua kuwa wazi
Manyanya msimamo wako haaaa upewe Kabisa maua yako ,umemkosoa Kabisa Vai,najifunza
Ila manyanya sasa hivi mpaka ana nawiliii kudadekiii kumbe Vai alikuwa anamzeesha2 kijana wa wa2 😂😂😂
😂😂😂
Kabisaa hampikii chakula kiziri kazi kumlisha ugali mboga tyu😂
Waaooo hatimae movie yetu pendwa imetoka ❤ kama unaipenda dunia like kwao🎉🎉
Dah atimae vailet umejihusisha na maswala la maombi hukulipiza kisasi kama mmeo alivyo chukuwa uwamuzi mzito kama ule mungu aendelee kuisimamia ndoa yako vailet i love more mommy❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉❤❤❤❤🎉🎉🎉❤❤❤
Jamn roho yangu ndogo nilikua namchukia vai lkn kwasasa inatosha jmn manyanya msamehe vai
Leo Mudy kimemlamba😅kumbe anajua Mungu yupo😅
Leo kakaza na sauti😂😂😂😂😂😂
😂😂😂
muddy asema astaghafulilah 😂😂😂😂😂😂😂😂 kweli yamemfika
@@DativaLeo-y7k yan kama hajui anachokifanya mwehu yulee🤣
😂
@@DativaLeo-y7k 😄😄😄😄
Uyo mood ni muhun sn eti astaghafirullah anavyokunywa pombe hawazi😂 kama mungu yupo
😂😂😂😂
manyanya nakupenda sana minimwana mke mwenziye na vai napenda sana wanaum wenye msimamo nzulisana naomba usije ukakaacha katoto kawatu kakupendasana kinachonifulahisha kanakueshim kamezidisha ❤❤❤❤❤❤❤ naomba muke wamzungu awemwanamuke mwenyemsimamo tena nawaomba ata akiachana namdi mzungu akaishi maisha yakujieshim asijekuwa dada wakujiunza napenda wanawake wanaopenda.kujituma sana
Kupitia hii movie naahidi kumheshimu na kumpenda Sana mume wangu
Asante sana pia kwa hii ambao mumeonyesha apa, wanawake angalieni namna gani inauma kwake VAI si kwake tu, na myoyo nyingine imeuma .ila yote imetoka kwake mwenyewe kwa kukosa busara na maalifa. Mujuwe kwamba La kunuka halina tena uvumbaaa. Ebu tengenezeni uvumba wa kila mda.
Mwanamke mpumbavu huvunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe kwahy hili ni fundisho kwa wanawake wote hata kama mme wako anarudi kutoka kazini ucku sana ww wala usimuulize muache umjari vizur tu cku ya kwanza ya pili hivyohivyo mwishow atajishitukia yeye mwenyew na kuanza kurudi mapema kama unaamini gonga ❤❤ hapa
Rafiki mnafki huyusasa anajianzisha tena wanaomkemea tujuane hapa😅😅
Kamati ya roho chafu
Jaman manyanya nakuomba mpunguzie mateso Vai
Kwa sasa amejua makosa yake,,
Nampenda sana vai
Ko ndo mmenitenga ?? Gonna like familia ❤
Ubarikiwe wew mfatiliaji wa series hiii sema amina naomba like jamani eeeh mpaka ninune
Manyanya wew kiboko unajua kufundisha mtu adabu atanyooka tu
nafrah vai anavyo teseka manyanya mwzo alijutia ndoa yke holaaa michepuko yte
Sijachelewa mm wakwanza ,wanawopenda Kaka manyanya tugonge like hapa ❤️❤️❤️
😊❤😊❤😊❤😊❤😊❤😊❤😊❤😊❤😊❤😊❤😊❤😊❤😊❤😊❤😊❤😊
Jicho la tatu namwona Cathe si rafiki mzur kwa Mat kama anamwonea wivu hv mwenzie pia vai pole sana Mme anauma sana jaman
Wee mgeni humu au😂
😂😂😂itakua sim amenunua jana@@aminakipande5645
@@aminakipande5645itakua😂😂
@@aminakipande5645mgeni huyu😅😅😅😅
@aminakipande5645 kivip labda
Ah jaman vai mbon hujajiamin wew kam umekataa bc mwanamke hujikazaa pamban nabmengine
Vai unanitia huruma lkn xx xhida n kwamba uliyatak mwenyew, pole eee uclie mwaya