Sheikh كومبو (Kombo Ali Fundi) - Kujiepusha na Maovu

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 101

  • @hadijamushi8674
    @hadijamushi8674 3 года назад +3

    Alhamdulillah ndo maana akaitwa BABU hikma alokuwa nayo,Mwenyezi Mungu amlinde sheikh wetu jaman, hata kama mzito wa kuelewa kwa sheikh kombo utaelewa tu,Alhamdulillah.

  • @jamalomary4163
    @jamalomary4163 4 года назад +2

    Allah akuhifadhi sheikh,Leo 2020 uliyoyanena ndio hayo yanaendelea ,maana kama mwizi akiiba, au mtu anadhurumu tunaacha tu.Sasa tunahangamia na corona.Matendo ya kigaidi yamezid,wanawake kutembea uchi usiseme ..Daaaaah Dunia

  • @hajisalumomari3460
    @hajisalumomari3460 6 лет назад +10

    sheikh kombo ali nakupenda sana wallah mawaidha yako nayafahamu sana.
    ahsante sana allha akuhifadhi

  • @jihadishabani4158
    @jihadishabani4158 Год назад

    katika masheikh ambao nawakubali na nawafuatilia basi nawewe sheikh nakukubali sana kwa mawaidha yako hata uwe mgum vip wakuelewa ila kwako mtu anaelewa unkila njia ya kumfanya mtu akuelewe Allah azidi kukupa afya nzuri na uhai mrefu ili tuendelee kupata faida mwisho natamani nipate elimu kutoka kwako yaani nataka niwe mwanafunzi wako na Inshaallah itatimia

  • @mahamoudmasoud3924
    @mahamoudmasoud3924 6 лет назад +19

    nam,sheikh kombo na sheikh mselemu nawaelewa vizuri mawaidha mnayotoa.Allah awafanyie wepesi

    • @feisalabdallah2943
      @feisalabdallah2943 6 лет назад

      Naam

    • @HA-zh7qu
      @HA-zh7qu 6 лет назад

      Namipinawaelewa sana hawa masheikh ndungu yangu tuko sare

    • @mohamedmakaila7156
      @mohamedmakaila7156 5 лет назад

      Huwa nawaelewa sana hawa mashekh wawili, nawenginepia, ila hao mselem na kombo nafsi yangu inatulia

  • @ibrahimhassan7862
    @ibrahimhassan7862 6 лет назад +6

    ALLAH atujalie mawaidha yaliyo ndani ya Qur'an ya badili matendo yetu yawe mema yaliyo ridhiwa na ALLAH.....

  • @allyfutto8763
    @allyfutto8763 5 лет назад +2

    Zama hizi pepo imerahisishwa kuipata na hakuna kisingizio cha kupotea ila kusudi na tutavuna tunachopanda Alihamdurillah 🕋

  • @ismailfaki270
    @ismailfaki270 8 лет назад +20

    jamani uislam ndo dini ya kweli

  • @sadaketube
    @sadaketube 9 лет назад +20

    Mashah Allah napenda sana mawaidha ya Sheikh Kombo Ali Fundi. Mawaidha yako yana uwazi na muelekeo. Allah barik.

    • @othmanabdallah1948
      @othmanabdallah1948 7 лет назад

      Saida Mohamed amin

    • @husseinhassan8910
      @husseinhassan8910 6 лет назад +2

      ALLAH atujalie kheri kwa kuwaidhika na mawaidha ya shekh wetu kombo ally fundi

    • @safiashidhani268
      @safiashidhani268 4 года назад +1

      Mm safia alshidha napenda sana mawaidha ya shekh kombo ali fundi

    • @jasminhassan6971
      @jasminhassan6971 2 года назад

      A/Alaykum Warahmatullah Wabarakatuhuu,Ndugu Zangu Ktk Imani Mwenye Namba Za Shekhe Anipatie Vipenzi Vya Allah

    • @ayoubkiriwe2477
      @ayoubkiriwe2477 Год назад

      Allah akupe umri mrefu uzidi kutunasih yaliyo bora

  • @abdulally9745
    @abdulally9745 2 года назад

    Jazakalah khaira Wa baada likhaira janatu naima

  • @nasoroahmed3209
    @nasoroahmed3209 8 лет назад +6

    Jazakalah khairy yaaa al akhy kombo ally fundi ALLAH akujaalie kila la kher in sha ALLAH

  • @afric01
    @afric01 2 года назад

    Aslm alkm ww... Shukran sana Sheikh wetu kipenzi. Allah atuongoze. Jazakallah kheir 🙏

  • @hassanbukukwe6097
    @hassanbukukwe6097 5 лет назад +2

    Allah Akuhifadhi shekhe WANGU

  • @khadijamhina9473
    @khadijamhina9473 6 лет назад +1

    Allah akulipe yarabi unanifunza kila nisikilizapo mawaidha

  • @jumakoga2179
    @jumakoga2179 4 года назад

    Lishakuwa tayari , na hao wapiga debe Allah awaongowe maana wanalugha chafu sana na matusi kama unavyosema hakuna wakumkataza mwenzie, mtahaani shekhe

  • @rukiasurumbu4529
    @rukiasurumbu4529 4 года назад

    Jaazakallahu khaiira unajua kufikisha ujumbe kwa swautu nzuriiiii nipo makini na mawaidha yako

  • @jumakoga2179
    @jumakoga2179 4 года назад

    Mashaallah shekh kombo Allah akulipe

  • @athmannaaman3183
    @athmannaaman3183 3 года назад

    Allah akuhifadhi na kila shari

  • @samsungj7pro64gb5
    @samsungj7pro64gb5 4 года назад +1

    Allah akurehemu

  • @abukhadija6762
    @abukhadija6762 4 года назад

    Jazaakallaahukhayr ewe shekh kombo

  • @zainabrashid385
    @zainabrashid385 4 года назад

    Mwenyezi mungu akujalie mwisho mwema mamshallah

  • @fatumaramadhanmashaallahal9966
    @fatumaramadhanmashaallahal9966 5 лет назад

    Yarabi tuongoze katika njia iliyo nyooka siyo yawale waliyo potea wala Yale uliyo wakasikia inshaallah

  • @noraevers8868
    @noraevers8868 4 года назад

    ManshaAllah nifuraha Allah adizikutuongoza.

  • @karimhaji5288
    @karimhaji5288 3 года назад

    Masha Allah Allah akuhifadhi

  • @barakapeter9336
    @barakapeter9336 6 лет назад +2

    hadi nimeipenda hii dini kwa elimu yako shehe

  • @saadbinabiwaqas3115
    @saadbinabiwaqas3115 2 года назад

    MashaAllah Allah akuhifadhi

  • @AsoumanTuyishime-on1of
    @AsoumanTuyishime-on1of 7 месяцев назад

    Shukran sheikh

  • @bakarirutengwe3036
    @bakarirutengwe3036 4 года назад

    SAMAHANI SHEKH,,HIVI SHEKH,MSELEM ALLY,NA YULE MAU FUNDI NI NDUGU ZAKO.

  • @kimdash6293
    @kimdash6293 5 лет назад

    Allah akujaalie kheri na umri mrefu Inshaallah

  • @suleimanmboma5456
    @suleimanmboma5456 5 лет назад

    Mwenyez mungu akulipe mema leo na kesho umur qiyama

  • @saumuseif9189
    @saumuseif9189 4 года назад

    Shukran shekhewetu

  • @ibrahimumsebu9578
    @ibrahimumsebu9578 5 лет назад

    Allah Akbar Allah awajalie KHERI mashekh wetu

    • @kibwenzi23
      @kibwenzi23 4 года назад

      Yaa Allah mlipe sheikh wetu kher apa duniani na ksho akhera

  • @zaynabuselenga7400
    @zaynabuselenga7400 6 лет назад

    ma sha Allah wallah nakuelewa uzur shekh.Allah akupe mema dunian na akher.namuomb Allah anikutanishe nawe ktk kher duniani au akher.

  • @noraevers8868
    @noraevers8868 4 года назад

    Allah akujaze kheri

  • @heyumi2340
    @heyumi2340 2 года назад

    shukran shekhe wetu

  • @mamakinasha4827
    @mamakinasha4827 6 лет назад +1

    Allah akujali uingie pepo

  • @alugayaabdi5988
    @alugayaabdi5988 6 лет назад +1

    Mwenyezi Mungu akuzidishie

  • @hassanmohammed8282
    @hassanmohammed8282 9 лет назад

    Allahu Akbar! MwenyeziMungu akuhifadhi yaa sheikh

  • @ramadhanisururamadhanisuru3215
    @ramadhanisururamadhanisuru3215 5 лет назад +1

    Allah tuepushe namaaswiya

  • @abduljvo5549
    @abduljvo5549 4 года назад

    Ramadhan Mubaraq!!

  • @ZainaBu-zs6wc
    @ZainaBu-zs6wc 2 месяца назад

    Mashaallha

  • @mohamedkisanga8945
    @mohamedkisanga8945 6 лет назад +2

    Marshaallah, shukran kwa kutupatia chakula cha nafsi

  • @abdallahnjovu4639
    @abdallahnjovu4639 6 лет назад

    mashaallah,Allah akulipe kheri sheikh wangu

  • @mohamedbushoberwa9418
    @mohamedbushoberwa9418 5 лет назад

    allah akbaru, asante kwa mawaidha mazuri

  • @shabanijuma586
    @shabanijuma586 8 лет назад

    Masha Allah Allah akuhifadhi sheikh wetu

  • @KhadijahStory
    @KhadijahStory 5 лет назад +1

    Masha Allah

  • @viladhatv4473
    @viladhatv4473 6 лет назад +2

    Asante shekh kombo

  • @ibnomary5234
    @ibnomary5234 8 лет назад +1

    Allah azid kukuhifadhi amyn

  • @masoudsaid7971
    @masoudsaid7971 3 года назад

    ماشاء الله

  • @shionsaeed7338
    @shionsaeed7338 3 года назад

    Mashallah

  • @khamismohamedi7423
    @khamismohamedi7423 9 лет назад

    Mwenyezi mungu hakujalie maixha malefu sheikh

  • @aishazuwa1539
    @aishazuwa1539 3 года назад

    MASHALLAH MASHALLAH MASHALLAH

  • @athumanimuyamuya5817
    @athumanimuyamuya5817 4 года назад

    Hishaahaala tuzidi kumuhabudu mung

  • @iddyishaq2955
    @iddyishaq2955 3 года назад

    SHKH aekwenda na akili za watu kwa mifano mpaka uelewe

  • @khamissalum9285
    @khamissalum9285 4 года назад

    Maashallah

  • @najmakadebe1369
    @najmakadebe1369 4 года назад

    Asant shekh

  • @abdalahmjaba9955
    @abdalahmjaba9955 6 лет назад

    Alla akuhifadhi na machafu

  • @zaynabuselenga7400
    @zaynabuselenga7400 6 лет назад

    ma sha Allah jazakallah kher

    • @mpwatomuhammad8546
      @mpwatomuhammad8546 6 лет назад

      Ya Allah,Ya Rahman Ya Rahim.Mpe mjawako huyu Yale uliowaahidi wajawakowema.Amin

  • @amduzakijumamswakijumamswa3172
    @amduzakijumamswakijumamswa3172 6 лет назад +1

    mashallah

  • @adamramadhani5229
    @adamramadhani5229 4 года назад

    Islamu dini

  • @halimakidula279
    @halimakidula279 7 лет назад +4

    mashaallah

  • @barakapeter9336
    @barakapeter9336 6 лет назад +1

    sheikh tunakuomba uje arusha. utupe elimu ya ghaibu

    • @abdulmuiz9744
      @abdulmuiz9744 4 года назад

      assalam aleukum, sheikh tunaomba utuandalie mada kuhusu malezi bora kwa watoto inshallah

  • @yasinshabani6596
    @yasinshabani6596 6 лет назад +1

    SubhanaAllah

  • @khadijamhina9473
    @khadijamhina9473 6 лет назад +1

    mashaAllah

  • @ashuramohamedumeongeavyema9710
    @ashuramohamedumeongeavyema9710 2 года назад

    2022 naaangalia hapa

  • @selemanteketeke6911
    @selemanteketeke6911 6 лет назад +1

    thanks

  • @mudeyimousasaleh8733
    @mudeyimousasaleh8733 3 года назад

    Running

  • @achirafciza811
    @achirafciza811 Год назад

    Asalam alaykum wa rahmatulah wa barakatu , Sheikh please naomba number yenu ya simu ya whatspp , shukran .

  • @salimallymorani3340
    @salimallymorani3340 6 лет назад +1

    Allah akujaze kheri

  • @hassanmohammed8282
    @hassanmohammed8282 9 лет назад

    Allahu Akbar! MwenyeziMungu akuhifadhi yaa sheikh

    • @fatmasudi7141
      @fatmasudi7141 8 лет назад

      WWW. CO. CHANELTEN

    • @sharifpesa3449
      @sharifpesa3449 7 лет назад

      allah akupe uzima na maisha marefu uendelee kuisema hak

  • @chidymabegi4880
    @chidymabegi4880 5 лет назад

    Mashalah tabarakalah

  • @ZariaAlmasi
    @ZariaAlmasi 9 месяцев назад

    mashallah

  • @omarymbonde6748
    @omarymbonde6748 3 года назад

    Mashaallah

  • @ashoramashaallahmohammed3348
    @ashoramashaallahmohammed3348 6 лет назад +1

    mashaallah

  • @hizzamtunguja8133
    @hizzamtunguja8133 5 лет назад

    mashaallaah

  • @allyhyyy919
    @allyhyyy919 5 лет назад

    Mashallah

  • @ramadhanrashidramadhani8563
    @ramadhanrashidramadhani8563 6 лет назад +1

    mashaallah