BEST NASO ATANGAZA VITA KWA DIAMOND PLATNUMZ "NAMTOA NAMBA MOJA TRENDING HAMALIZI MWAKA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 сен 2024
  • www.youtube.co...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 45

  • @JejemingaMinga
    @JejemingaMinga Год назад +3

    Akuna kama namasimba dongote 🦁👑🧨🧨🇲🇿

  • @Runkiller1
    @Runkiller1 Год назад +3

    Best Naso ki ukweli ngoma zako zitskuwa nzuri maana unajuwa kuandika
    Ila kumtowa chibu i don’t think kama u can

  • @kaserekambafumoja5005
    @kaserekambafumoja5005 10 месяцев назад +1

    Basi Nani kamshinda naso? Hakuna ana ngoma kibao za kweli ebwaneeee mupe mtu sifa na nafasi yake kwanini watu wa dunia hawakuli wenji wako? Best naso number1
    John parrot niko mashariki mwa Congo nakubali NASO

  • @rashidommy3861
    @rashidommy3861 11 месяцев назад

    We Zombi 😁😎

  • @MihayoBahati-pv9qn
    @MihayoBahati-pv9qn Год назад +4

    Kwel ili mziki usonge tunahitaji kuwa na watu wenye confidence

  • @mjthefuture96
    @mjthefuture96 Год назад +1

    Mtangazaji lofa saana ushoga mama mwingi

  • @djumariaabasi4138
    @djumariaabasi4138 Год назад +2

    Simbaaaaaaaa gangote mupe show wasafi festival😢😢😢😢

  • @ambroceharouna1612
    @ambroceharouna1612 Год назад +1

    Mchaga ushakua fala Best naso unamchukulia kam wewe ana maisha uyo acha dharau braza

  • @Ingarukatv
    @Ingarukatv Год назад

    🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮TUNAKUPENDA SANA

  • @simbaedouardo8499
    @simbaedouardo8499 Год назад

    Best quality wasafi number one tv 🔥

  • @eliudimfilima8064
    @eliudimfilima8064 Год назад

    Sapoti best naso🔥

  • @vitrahbongz9420
    @vitrahbongz9420 Год назад +1

    Alaf utaskia watu eti ohhh Kiba mfalme,
    Actually Jamaa Bnaso kwa kipind kile aliwakalish
    Alikiba alipat ukubw alivopata opportunity ya kushindan na Simba la ma Simba dangote

  • @revocatusmtahaba9955
    @revocatusmtahaba9955 Год назад

    Tulioona rainbow

  • @kurumwagodfrey7052
    @kurumwagodfrey7052 Год назад +1

    Best naso mwemba kwelikweli sio poa

  • @jabeerfx2553
    @jabeerfx2553 Год назад

    safi sana kaka

  • @kelementbushishi3687
    @kelementbushishi3687 Год назад +1

    🤣🤣🤣 naso bwana

  • @user-qf2mg1bu4u
    @user-qf2mg1bu4u Год назад

    Mtangazaji Acha zarau maisha hayana mwenyewe

  • @zerochanneltanzania3797
    @zerochanneltanzania3797 Год назад +1

    2:44 mchaga jua kwamba yeye na Wewe yeye anaela kukuzidi. Coz anakusanya nyingi…Wewe mpaka usubirie mwisho wa mwezi… mwanzako kashajenga kwake… kwa mama yake… biashara kashawekeza!!! Wewe kamasio kuvaa nguo nzuri tu na Mark x unanini???…
    Yeye awezi kujifanisha na mondi… ila anapambana kwa njia yake

  • @gaspergasper9830
    @gaspergasper9830 Год назад +1

    😂😂😂 leo 24/8/2023 simsikii ata 😂😂

  • @EmmanuelNyinyigwa
    @EmmanuelNyinyigwa Год назад

    Naso umetulia huna noma na watu

  • @justinejackson-es3tp
    @justinejackson-es3tp Год назад +1

    😂😂😂. Dah! ila we mkali unachekesha !!!!!

  • @iamFestanny-tz
    @iamFestanny-tz Год назад

    Napenda Naso saana

  • @habibmohd8008
    @habibmohd8008 Год назад +1

    Atamtoa vp wakat Best Nasor ata account ya RUclips Hana.

  • @MrTop-wj7no
    @MrTop-wj7no Год назад +1

    😂😂😂😂😂 nimecheka mnoo haya leo tarehe 24 hata no 30 haupo😂😂😂

  • @vkmalove1307
    @vkmalove1307 Год назад

    Huku kanda ya zina huyu jamaa ANA WATU SANAAA

  • @dankhany3385
    @dankhany3385 Год назад

    nakukubali best nasso uko vizuri kwenye kuongea

  • @user-yy7wi2dr5d
    @user-yy7wi2dr5d Год назад

    Sasa mbona dharau mtangazaji mbele ya camera best nasso unamchukuliaje acha hizo wew

  • @vedastusrobert7744
    @vedastusrobert7744 9 дней назад

    huyo ni mtoto wa mara c mtoto wa mwanza

  • @jwisetv4833
    @jwisetv4833 Год назад +1

    ukweli ni kwamba nimeangalia nyimbo zilizo kweny Ep ni viewers 2000 kwa siku

  • @faidhacute
    @faidhacute Год назад

    Mchaga msenge sana et hizi zina kitu 😂😂 huku unazishika lasta

  • @justinemasse28
    @justinemasse28 Год назад

    Kwanza ana akiri ni mwanza au musoma

  • @bakarithegeoinformatician7406
    @bakarithegeoinformatician7406 Год назад

    Jamaa amehama kwao leo! Jamaa ni mtu wa musoma bhn sio Rock city. Tunajua anakimbia coz watu wa musoma hawamkubali😆😆😆
    We jamaa tumekaa wote mtaa moja nyasho pale, hadi unajitegemea tunakuona ulipanga nyumba flani karibu na Nyasho shuleni! Usikimbie kwenu weee mtoto wa kijita bhn!
    Nakumhusha tu chanzo cha kukimbilia mwanza uliwakimbia wahuni baada ya kutishwa mara kadhaa kuhusu mademu wa watu

  • @bakarijuma1782
    @bakarijuma1782 Год назад

    Afanya show club ndio kutoka

  • @naufalmustafa565
    @naufalmustafa565 Год назад

    jamaaa anajielewa

  • @davidibrahim9138
    @davidibrahim9138 Год назад

    Msanii anaeandika ngoma bila kucopy ni naso haandikiwi ngoma wala kucopy Melody yupo unique sana alafu hategemei airtime za midea tour na mapromotion ya makiki mpeni heshima yake sana naso

  • @husseinbakary1969
    @husseinbakary1969 Год назад +5

    Acheni dharau nyie naso hamumjui nyie watoto wa juzi yani unachoshangaa ni nini best naso kufanya show nje ya nchi, naso ni mkubwa kwenye mziki wetu wa bongo

  • @abisaimuhanji3687
    @abisaimuhanji3687 Год назад

    Wanamchukulia poa Best Naso, huyo kanda ya ziwa yote yakwake tunamkubali hatari🎉🎉

  • @juliusmaricha8836
    @juliusmaricha8836 Год назад +1

    Sio mwanza…ni musoma, mara, Tanzania 😂

  • @blackkid7377
    @blackkid7377 Год назад

    mbna kama mmevaa ka upinde jaman😂😂

  • @hezronjoseph405
    @hezronjoseph405 Год назад +1

    Sangara tulia ,iyo Vita ya magiant

  • @aceofspades3728
    @aceofspades3728 Год назад

    Mchaga ushaanza kua fala

  • @chire4574
    @chire4574 Год назад

    Iyo nguo yako ni ya mashoga

  • @EzzyK438
    @EzzyK438 Год назад

    Mtangazaji snitch