KIHORO | latest 2023 SWAHILI MOVIE | BONGO MOVIE | ADAM LEO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 фев 2025
  • Kijana Adam ambaye ni dereva boda boda anajikuta katika matatizo baada ya kufumaniwa na mke wa jirani yake Abdallah, ambapo baada ya fumanizi hilo, Abdallah alimuachia bila kumfanya chochote na kumruhusu aondoke kwa sharti la jambo hilo kubaki kuwa siri ya watu watatu, Je, Adam ataweza kubaki na KIHORO hiko kinachomtesa ndani ya moyo wake bila kumwambia mtu? Fuatilia...
    .
    Filamu hii Imeandikwa na kuongozwa na ADAM LEO
    Kwa mazungumzo yoyote ya kibiashara wasiliana nasi kwa simu namba 0652393960.
    .
    Usisahau ku SUBSCRIBE ili usipitwe na kazi zote tunazoziweka kila mwezi.

Комментарии • 1 тыс.

  • @AdamLeoTv
    @AdamLeoTv  Год назад +19

    Tazama vituko vya dogo aliyezubaa baada ya kutafutiwa mke na mjomba wake😂😂Komedi ya kuchekesha👇👇
    ruclips.net/video/Fu1K5aTTj10/видео.html

  • @ROSSMUCH-kr3xn
    @ROSSMUCH-kr3xn Год назад +11

    ❤❤❤❤🎉🎉🤝🤗🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪aky hii movie inamafunzo mazuri sana nani pitia hapa

  • @Mmhh-m4l
    @Mmhh-m4l Год назад +3

    Hongera sana Adam kwa kutuburidisha unaweza big apu

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 Год назад +6

    Mke wa mtu tutututuu sumu 😅 Adamu kimekukuta kitu 😂😂😂 Haki movie zako ni nzuri na zina uhalisia ,wahusika wanajua kutumia vizuri nafasi wanazo pewa na zinafundisha sana, Mungu akuongoze kwenye njia ya mafanikio 🙏🏻

  • @HalimaHalima-id2cb
    @HalimaHalima-id2cb Год назад +4

    Mashallah hongera sana Adam leo group mnaweza sana zaidi ya sana🔥🔥🔥🔥

    • @AdamLeoTv
      @AdamLeoTv  Год назад +2

      Shukrani sana aisee.😊

  • @raymondkanyama1660
    @raymondkanyama1660 2 года назад +7

    Katika movie zimebeba uhalisia ni hii Adam. Safi sana,Keep up the good work. Nimependa kila sehemu hasa wahusika wote walivyobeba uhalisia, kwa kutoa machozi, that was great!

    • @AdamLeoTv
      @AdamLeoTv  2 года назад +3

      Shukrani sana bro, I appreciate🙏🙏

  • @TeresiaMaurid
    @TeresiaMaurid 3 месяца назад +1

    Bora upewe adhabu kuliko ufumaniwe muhusika akuache mbaya sana hongera kaka adam kwa mafunzo🎉🎉🎉

  • @abdulmajidkarama6469
    @abdulmajidkarama6469 2 года назад +3

    Adam mdogo wangu nimeona movie zako nyingi tu lakini hii kali sana yaani Adam nimelia sana. Adam Nakuombea Mungu sana akuzidishie katika talent zako. Uko juu mdogo wangu.

    • @AdamLeoTv
      @AdamLeoTv  2 года назад

      Shukrani sana aisee🙏🙏

  • @mamaaanmar1261
    @mamaaanmar1261 Год назад +2

    Jaman. Adam. iviukiwa nawifi. inakuje. Maana. Sokwasauti. Hiyo. Daaah. Yote kwayote. Movie. Zako. Tamu balaaaaa. Nakupenda. Mungu akupe hitaji la moyowako. Inshaalh. ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @shilangida4330
    @shilangida4330 3 года назад +56

    Wapi like za wakenya

    • @AdamLeoTv
      @AdamLeoTv  3 года назад +5

      Like kama zoooooteeeee.... +254 nawapenda...

    • @winnickshonde5521
      @winnickshonde5521 2 года назад +3

      Mww sin mbavu ap Adam et nimeshibaaa

    • @AdamLeoTv
      @AdamLeoTv  2 года назад +1

      Yaani

    • @jaynewanjalla2067
      @jaynewanjalla2067 Год назад +1

      Hakuna siku inapita kama sijaangalia filamu za Adam

    • @isaacmuthomi
      @isaacmuthomi Год назад +1

      Yapendeza sana,,, Adam unafunza jamii kweli

  • @mbwanangare3233
    @mbwanangare3233 Год назад +1

    Nzr. Sana mashallah. Kaka. Abdallh upo. Vzr. Nakupenda. Sana. Jinsi. Ulivyo

  • @LovenessLutumo
    @LovenessLutumo Год назад +3

    Adam nakukunali sana umetupa funzo kubwa sana kwa sisi wanawake

  • @zulekhaabdallah2966
    @zulekhaabdallah2966 Год назад +1

    Daaah Kali sana haki ya mungu kihoro kinaweza kuua

  • @jumamwaro3555
    @jumamwaro3555 2 года назад +2

    Nakubal Adam kwa kazi yko ila yataka moyo pia yatupa fundisho kwetu sisi kizazi cha sahii bigup my brother may Lord God bless you

  • @nassorhaji2637
    @nassorhaji2637 2 года назад +5

    Broo Adam uko makini sana na ector zako nakukubali kinoma pia na mafunzo ndani yake..bodaboda pia waache tabia mbaya kama hizi

  • @haluarahma3071
    @haluarahma3071 Год назад +2

    Tumpe hongera huyu kaka Adam maana kazi zake ni nzur na zinamafunzu aki.

  • @adijaabubakari4220
    @adijaabubakari4220 3 года назад +7

    Jamani Adam pole kwa kufumaniwa na mke wa mtu 😭💖🌹😭😭😂ila hongera sana kwa kazi nzuri💖💖🌹🌹💪.

    • @AdamLeoTv
      @AdamLeoTv  3 года назад +2

      Asante sana🙏🙏

  • @AminaMpallu
    @AminaMpallu Год назад +1

    Hongera sana kaka adam hakika movie zako ni nzuri aisee hongera

  • @guyngstonnyembo1101
    @guyngstonnyembo1101 2 года назад +3

    Ongera kabisa 🤙 brother director adam leo ♌ kazi tunafuata toka apa katanga Lubumbashi ☑️✅ napenda sana movie

    • @AdamLeoTv
      @AdamLeoTv  2 года назад

      Shukrani, hongera zako zimefika🙏🙏🙏

  • @queenofireland898
    @queenofireland898 3 года назад +6

    Huyu jamaa anajuaa balaa uktizama movies zake huboeki kwa kweli unatamani usiishe 😍

    • @AdamLeoTv
      @AdamLeoTv  3 года назад +1

      Shukrani sana, kazi zake zote zinapatikana hapa🙏🙏🙏

  • @madollarmadollar7097
    @madollarmadollar7097 3 года назад +6

    Hongera adamu unalia kama kweli bana hii movie namini ndio the best qwa sasa

    • @AdamLeoTv
      @AdamLeoTv  3 года назад +1

      Asante sana🙏🙏

  • @milkamakena3914
    @milkamakena3914 Год назад +5

    Kazi nzuri bro keep moving...i pray God to protect you 🙏🙏🙏kweli kaka angu movie zako zanifunza kitu keep moving bro tusha pata the next Stephen kanumba

    • @AdamLeoTv
      @AdamLeoTv  Год назад

      Amen thanks for the prayers!🙏

  • @mariamfritsi4943
    @mariamfritsi4943 Год назад +3

    Pongezi sana kwenu, filam nzuri sana, ina mafunzo mengi, hasa Adam unaweza sana nawapenda. 09.11.23.

  • @SalumNgulya
    @SalumNgulya 6 месяцев назад +1

    Adam umeyatimba mke wa mtu sum 🎉🎉kiukweli movie nzuri na Inamafunzo makubwa sana

    • @AdamLeoTv
      @AdamLeoTv  6 месяцев назад

      Asante sana🙏🙏🙏

  • @vivianmwenda9729
    @vivianmwenda9729 2 года назад +5

    Jamani wanawake turidhike na waume zetu, watching from kenya

    • @AdamLeoTv
      @AdamLeoTv  2 года назад

      Shukrani mnooo

    • @nikalegona145
      @nikalegona145 6 месяцев назад

      Wengine wanapesa lkn wanavibamia😂😂

  • @abdoulmwadjuma2556
    @abdoulmwadjuma2556 3 года назад +6

    Nawafatiliya 10/10 toka drc congo

    • @mwakyomatz5569
      @mwakyomatz5569 3 года назад +1

      asante sana kutoka dc

    • @AdamLeoTv
      @AdamLeoTv  3 года назад

      Asante sana sana, u got love from us🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @bosskimarotv1252
    @bosskimarotv1252 3 года назад +5

    Hatari sanaaaaaa. Wadau si ya kukosa hii. Waambieni na wenzenuuu.

  • @bongotamu8758
    @bongotamu8758 3 года назад +2

    Binafsi filamu akishakuwepo Adam Leo tu huwa siachi kuangalia sababu najua ni nzuri, hongera sana adam

  • @JanetRiziki-ut2is
    @JanetRiziki-ut2is Год назад +3

    Waaah Adam uko vizuri kwenye movie zako sihami ❤❤❤❤🎉

  • @shelyboyshely2928
    @shelyboyshely2928 Год назад +1

    Kazi nzuri kamanda wangu adam

    • @AdamLeoTv
      @AdamLeoTv  Год назад

      Shukrani sana🙏🙏🙏

  • @ommie_nyzer
    @ommie_nyzer 3 года назад +7

    Yani sio movie tu! Hadi mafunzo ndani ..hujawai niangusha damu yngu adamu😁💥💯🙏🏾🏁 hakuna anaejutia bando lake humu bloody ..mungu akuongoze na kazi zako kaka #StayBlessed

    • @AdamLeoTv
      @AdamLeoTv  3 года назад +1

      Shukrani sana, barikiwa mzee🙏

  • @GraceMichael-r2s
    @GraceMichael-r2s Год назад +2

    Good job penda sana adam

  • @bongotamu8758
    @bongotamu8758 3 года назад +38

    Waliomuonea huruma Adam baada ya kufa, gonga like hapa

  • @Lucy_d-y3
    @Lucy_d-y3 Год назад +2

    Movie nzur sana kaka Adam 🥰 barikiwa

  • @ramadhanramadhan5051
    @ramadhanramadhan5051 3 года назад +4

    mpo vizuri adam

    • @AdamLeoTv
      @AdamLeoTv  3 года назад

      Shukrani, usiache Ku subscribe ili usipitwe na kazi zijazo.

  • @kettymaggie5202
    @kettymaggie5202 2 года назад +1

    Alafu dadake Adam aky congratulations unampenda sana kakako I wish ningekuwa na dada kama ww

    • @AdamLeoTv
      @AdamLeoTv  2 года назад

      Yaani hadi raha, anajua kumpambani mtoto wake🙏

  • @rosemaryolesi5768
    @rosemaryolesi5768 Год назад +4

    Hii movie imeniliza kikweli yaani nairudia tenaa,likes za kenyan

  • @fellst4159
    @fellst4159 Год назад +1

    Hii kali sana inamafunzo na inahuzunisha pole adam

  • @bongotamu8758
    @bongotamu8758 3 года назад +4

    Kihoro bonge moja la funzo, nimekukubali adam na washiriki wote, filamu nzuri sna

    • @AdamLeoTv
      @AdamLeoTv  3 года назад +1

      Shukrani sana🙏🙏

  • @hasinamwako4589
    @hasinamwako4589 3 года назад +2

    Mafunzoo mazurii Sanaa San subraaa muhimuu sanaa ktk hii dunia

    • @AdamLeoTv
      @AdamLeoTv  3 года назад

      Kabisa kabisa, subra ndiyo kila kitu.

  • @rhoidakalinga3043
    @rhoidakalinga3043 3 года назад +3

    Safiii adamu big up broooo

    • @AdamLeoTv
      @AdamLeoTv  3 года назад

      Shukrani sana..🙏🙏🙏

  • @danmzungu5715
    @danmzungu5715 2 года назад +1

    Adamu kazi zuri San nimejifuza kitu apa hongera San

    • @AdamLeoTv
      @AdamLeoTv  2 года назад

      Shukrani sana, na hilo ndilo lengo hasa la ukurasa huu, kuweka filamu ambazo angalau mtu anaweza kuelimika na kuburudika.

  • @Raz254kni
    @Raz254kni 2 года назад +4

    Waaa kali hii movie iko n mafunzo vizuri adam wanawake tutulie tu n waume zete.... lkn mwisho imenitoa machozi😭😭😭😭😭😭😭😭😭

    • @AdamLeoTv
      @AdamLeoTv  2 года назад

      Nashukuru asante, comment yako imenipa nguvu ya kuendelea mbele zaidi. Asante sana!

    • @Damacline4004
      @Damacline4004 Год назад

      Hadi huluma 😢dah tutulie kwakweli na waume zetu jamani....ila hongera sana kaka Adam na washira wote mumejua kutumia huusika vizuri keep it up ❤❤❤ wapi like za wakenya jamani

  • @wilsonmachika6541
    @wilsonmachika6541 2 года назад +1

    Kazi nzuri Adam naadhani vijana wetu wa bodaboda hapa kwetu kenya wamejifunza kitu napenda vile adam anavyokula tu

    • @AdamLeoTv
      @AdamLeoTv  2 года назад +1

      Hahahah asante jamami

  • @jeanettegloria6244
    @jeanettegloria6244 3 года назад +4

    Unafundisha kabisa. Big up Adam!

  • @bethamoses837
    @bethamoses837 2 года назад +2

    Yan mnajua kuigiza ad raha😘😘😘😘bigup

  • @adijaabubakari4220
    @adijaabubakari4220 3 года назад +3

    Wapili leo Adam keep going 💖💖

    • @AdamLeoTv
      @AdamLeoTv  3 года назад

      Umekuwa wa kwanza, hongeraaa... enjoy filamu nzuri🙏🙏

    • @mwakyomatz5569
      @mwakyomatz5569 3 года назад +1

      ajifunze

  • @AgueroBoaz-ei5qt
    @AgueroBoaz-ei5qt Год назад

    Daaaaah funzo nzuri sanaaaa kaka daaaah

  • @maryamrashid8499
    @maryamrashid8499 3 года назад +3

    Nakupenda Adam

  • @bintyramadhani7585
    @bintyramadhani7585 Год назад +2

    Uko juu mwaya ndio maana nakupenda 🥰 .....japokuwa tumechelewa ila huwa tunasema chelewa ufike😅....much love from kenya

  • @adijaabubakari4220
    @adijaabubakari4220 3 года назад +3

    Hongera sana Adam love you💖💖🌹

    • @AdamLeoTv
      @AdamLeoTv  3 года назад

      Thanks love u moree..

  • @Neema-qy3hw
    @Neema-qy3hw Год назад +1

    Hongera.sana.adam

  • @asmatabdallah1368
    @asmatabdallah1368 3 года назад +6

    Adam dar zamani sana mpaka nime miss Enzi zetu za kwa chuzy days kihangara😂😂 kazi nzuri sana ndugu balikiwa sana 🙏

    • @AdamLeoTv
      @AdamLeoTv  3 года назад

      Asante nitumie namba zako

  • @ikramjackson3912
    @ikramjackson3912 11 месяцев назад +1

    Movie kali sana na unajua kuwapatia wahusika nakubali sanaa adam❤

    • @AdamLeoTv
      @AdamLeoTv  11 месяцев назад

      Shukrani sana

  • @abdoulmwadjuma2556
    @abdoulmwadjuma2556 3 года назад +3

    Filamu nzuri sana hongereni sana adam

    • @AdamLeoTv
      @AdamLeoTv  3 года назад

      Asante sana, nitahakikisha naleta filamu nzuri kila kukicha, usiache ku Subscribe ili usipitwe tu.

  • @Vipajivipya
    @Vipajivipya 3 года назад +7

    Asanteni nyote. Nawapenda sana🙏🙏🙏

    • @AdamLeoTv
      @AdamLeoTv  3 года назад

      Boss

    • @Stanbul.Y
      @Stanbul.Y 3 года назад +2

      MashaAllah movie nzuri na Adam una Mke mzuri nimempenda

    • @AdamLeoTv
      @AdamLeoTv  3 года назад

      Shukrani sana🙏🙏

    • @japhetadelard9465
      @japhetadelard9465 3 года назад +1

      @@Stanbul.Y wole wako ukamnyemelee mke wake utakula ubwabwa na maharage huku unalia🤓

    • @AdamLeoTv
      @AdamLeoTv  3 года назад

      Hahahaha

  • @saidinijimbere4622
    @saidinijimbere4622 Год назад +1

    Adam nakubal Sana kwenye move zako unacheza vizur

  • @jumajumanne1455
    @jumajumanne1455 3 года назад +5

    Nakubl kz nzur

  • @evalyinesalama2535
    @evalyinesalama2535 2 года назад +1

    Hongera kakangu umefanya vzur sana

  • @khadijaali4989
    @khadijaali4989 3 года назад +5

    Shikamoo Adam😂😂😂asalam alaykum warhamtullah wabarakatul Abdallah 🤣🤣🤣🤣.

  • @saum9697
    @saum9697 2 года назад +1

    Wooow so Amazing uko vizur broo

    • @AdamLeoTv
      @AdamLeoTv  2 года назад

      Thanks a lot, ubarikiwe sana Saumu🙏

  • @evolathamachaki4585
    @evolathamachaki4585 3 года назад +9

    The ending made me cry😭 so sad😪..!! I love u Adam

    • @AdamLeoTv
      @AdamLeoTv  3 года назад

      Pole, mimi pia nililia.😁 nitajitahidi kufanya filamu zinazogusa hisia za watu, usiache ku Subscribe ili usipitwe.

    • @AdamLeoTv
      @AdamLeoTv  2 года назад

      Hahahah jamani hayaa, ngoja niendelee kulia.

  • @mwanamgenimohammed7904
    @mwanamgenimohammed7904 2 года назад +1

    Hii kali Adam mmmmh umeweza kweli ata yatihuruma

    • @AdamLeoTv
      @AdamLeoTv  2 года назад

      Asante sana kwa kweli

  • @maherzain615
    @maherzain615 3 года назад +5

    Nimecheka hapo kwenye kula yaani jamaa aliemfumania adam ako serious. Eti akuetee pilipili😂😂😂😂 adam derea

  • @AmenaMm-r5t
    @AmenaMm-r5t 9 месяцев назад +1

    Mashaallah jaman mung awabarik san kaz mzr san🎉🎉🎉🎉🎉

  • @كريساكينا
    @كريساكينا 2 года назад +5

    Alaa why Adam made me cry sorry honey 😂😂

    • @AdamLeoTv
      @AdamLeoTv  2 года назад +1

      Very sorry😭😭

  • @japhetadelard9465
    @japhetadelard9465 3 года назад +3

    Wa pili Leo🤓💪

    • @AdamLeoTv
      @AdamLeoTv  3 года назад

      Hongera mzee, enjoy filamu nzuri.

  • @christiankavula97
    @christiankavula97 2 года назад +1

    Adam ongera sana kwa kazi nzuri toka RDC Katanga lubumbashi

  • @djchgxfdudvg2860
    @djchgxfdudvg2860 3 года назад +3

    Huna mbaya broo Safi Sana hii kitu

    • @AdamLeoTv
      @AdamLeoTv  3 года назад

      Shukrani sana mkuu, tuisambaze ili ujumbe uwafikie watu wengi..

  • @mwanaally4972
    @mwanaally4972 2 года назад +1

    Hakiii hii move adam umeweza xaaan"kiukweli inafundisha na kituelimisha pia daaah mpak nimelia kk up juu✌️✌️🔥🔥🔥🥰🥰🙏🙏🙏

    • @AdamLeoTv
      @AdamLeoTv  2 года назад

      Shukrani sana aisee...🙏🙏

    • @rechokizumbe7314
      @rechokizumbe7314 Год назад

      Nimejikuta namhurumia Adam Bora mtu akupe azabu yoyote Ile Ila sio ufanye ubaya akufanyie wema inaumiza sana

    • @AdamLeoTv
      @AdamLeoTv  Год назад

      Umeonaa eh😭😭😭

  • @maherzain615
    @maherzain615 3 года назад +3

    Mguu wangu mguu wako na huyo rafki yako mpka kwa huyo baba,ah mm kule hapana siezi kwenda,na ulpoenda kuyafanya....😅😅😅🤣🤣

  • @AgnessMpemba
    @AgnessMpemba Год назад +1

    Adamu umetisha sana yani umeweza

  • @zuheorsalim7759
    @zuheorsalim7759 3 года назад +4

    Ebnaa adamu eeee mi nishapiga mke wa mtu lakin kwangu na nilifunga mpka milango ya choooo la kwa move hiii nafuta namba sasa hivi 🤣🤣🤣

    • @AdamLeoTv
      @AdamLeoTv  3 года назад

      Hahahah futa kaka, wanachota unyayo siku hizi... wanaua kimya kimya hawakupigi tena.🤣

    • @zuheorsalim7759
      @zuheorsalim7759 3 года назад +1

      @@AdamLeoTv ebnaa ni hatar sana sasa kwa hiyo adamu ndo umekufa mtu wangu 🤣

    • @AdamLeoTv
      @AdamLeoTv  3 года назад

      Adam Kwishney..

  • @tiphersaid6688
    @tiphersaid6688 3 года назад +1

    Daaah umelia kwa uchungu sanaa Adam movie nzur sanaa ina mafunzo yani ipo kwenye uhalisia kabisaa ambao vitu hivii vipoo

    • @AdamLeoTv
      @AdamLeoTv  3 года назад +1

      🙏🙏🙏asante sana, usiache ku Subscribe kwa filamu zangu nyingine.

  • @queenofireland898
    @queenofireland898 3 года назад +3

    Hahha adamu umenichekesha hp 🤣sina mbavu kwa kucheka

    • @AdamLeoTv
      @AdamLeoTv  3 года назад

      🤣🤣🤣

    • @امسامي-غ2ع
      @امسامي-غ2ع 3 года назад +1

      🤣🤣🤣🤣bado ww fulani adam shukrni kama vile kwli😋💓💓💓

    • @AdamLeoTv
      @AdamLeoTv  3 года назад +1

      Asante sana aisee🙏🙏🙏

  • @rachaelmwamlanda7616
    @rachaelmwamlanda7616 2 года назад +1

    Movei kali Adam nzpenda xna movie zko kkngu

    • @AdamLeoTv
      @AdamLeoTv  2 года назад

      Asante sana dadaangu.

  • @halimaomar2986
    @halimaomar2986 3 года назад +5

    Kuna wanawake wengine..na wanaume wengine sijui wakoje..awatosheki..ata uwafanyie nni..watachepuka tu 😭😭😭.. shikamoo mapenzi...mi Niko single naejoy 🤣

    • @AdamLeoTv
      @AdamLeoTv  3 года назад +1

      Enjoy mama😂😂😂

    • @halimaomar2986
      @halimaomar2986 3 года назад +1

      @@AdamLeoTv 🤣🤣🤣🤣

    • @AdamLeoTv
      @AdamLeoTv  3 года назад

      😂😂😂

    • @Ester-u8y
      @Ester-u8y 7 месяцев назад

      @@AdamLeoTv kazi njema 🎉🎉

  • @stellamwakyusa7929
    @stellamwakyusa7929 Год назад +1

    Yani hii picha ni funzo nimeipenda sana

  • @octavianmasala3862
    @octavianmasala3862 3 года назад +3

    Mwamba anajua aisee salute🙌

    • @AdamLeoTv
      @AdamLeoTv  3 года назад

      Shukrani sana, tuisambaze ili ujumbe uwafikie watu wengi.

  • @KhadijaKhadija-ee5kr
    @KhadijaKhadija-ee5kr 3 года назад +2

    Hongera sana kakaang kwa kaz nzur yenye mafunzo

    • @AdamLeoTv
      @AdamLeoTv  3 года назад

      Asante sana, kazi nyingine zinakuja hivyo usiache ku Subscribe. 🙏🙏

  • @zamzamhaji1229
    @zamzamhaji1229 3 года назад +3

    Adam hongera Sana kwako Huwa hukosei movie zako 😍🥰

  • @FarajaMoshi
    @FarajaMoshi Год назад +1

    Wa kumfananisha Adam na hao wengine mjinga sana ashavuka stage hizo hongera kaka

  • @angeladorrell9454
    @angeladorrell9454 3 года назад +3

    You have good and seductive movies thnkx 4 everyone who participated in it wish you all the best 🥰🥰🙏

    • @AdamLeoTv
      @AdamLeoTv  3 года назад

      Thanks, I appreciate!!!

    • @omaniph1235
      @omaniph1235 2 года назад +1

      Aliemuona adamu akila wali maharang nani

    • @AdamLeoTv
      @AdamLeoTv  2 года назад

      😂😂😂😂oman

  • @frolensiernest2546
    @frolensiernest2546 3 года назад +2

    Abdallah pole sana hahahaha mke anauma sana ingekuwa kwel n hatr

    • @AdamLeoTv
      @AdamLeoTv  3 года назад

      YaAni we acha tu, anAumaa sana.

  • @madollarmadollar7097
    @madollarmadollar7097 3 года назад +4

    Hahahaha adamu we mshenzi wewe yani mmi nkiangalia movie yako hua natamani hata isishe brow uko juu haya angalia tv mbn unaogopa

    • @AdamLeoTv
      @AdamLeoTv  3 года назад

      Hahahaha🤣🤣kuogopa muhimu!!

    • @madollarmadollar7097
      @madollarmadollar7097 3 года назад

      @@AdamLeoTv unajitia huruma et usamehewe bure mara unamaliza kula jamaa anakupaka mafuta

    • @josephmasuke3344
      @josephmasuke3344 3 года назад +1

      Hongera Sana nimewakubali sauti ziko poa

    • @AdamLeoTv
      @AdamLeoTv  3 года назад

      @joseph shukrani

    • @davidsimon9955
      @davidsimon9955 3 года назад +1

      Adamu good job

  • @nativeinfotv9620
    @nativeinfotv9620 3 года назад +5

    Adam hayo macho basi.sura km kalamba limao

    • @AdamLeoTv
      @AdamLeoTv  3 года назад

      Ogopa kifo, hakina uzuri wa sura ukikishuhudia ndiyo utaelewa mwanadamu anaonekanaje.

    • @nativeinfotv9620
      @nativeinfotv9620 3 года назад +1

      ADAMUUUU.UNATISHA KWAKUJUA KUTONGOZA HUJAMBO.WEWE NA WANAWAKE TU.

    • @AdamLeoTv
      @AdamLeoTv  3 года назад

      Msiige vijana hizi movie tu.

  • @pilly238
    @pilly238 Год назад +1

    Kaka Adam nimekupenda bure umeigiza vzr ongera yako lete chuma kingine

    • @AdamLeoTv
      @AdamLeoTv  Год назад

      Soon nawaletea kazi mpya

  • @lengachapati3728
    @lengachapati3728 3 года назад +3

    Wakwaza Leo na kuku bari Adam Leo nikikuonaga kwenye kava mapema tu naingia kucheki dubwana

    • @AdamLeoTv
      @AdamLeoTv  3 года назад

      Karibu sana, na hii hautojutia...🙏

    • @paschaljuma3414
      @paschaljuma3414 3 года назад +1

      @@AdamLeoTv mwendelezo pleas

  • @AlfredSokoni-j2y
    @AlfredSokoni-j2y Год назад +1

    Hii move imenipa simansi,,hongereni washiriki

  • @Ligobatov
    @Ligobatov Год назад +6

    Dada wa Adamu kaenda kuomba msamaha kwa Dullah kutoka kwa Dullah mpka kwa Adam ni mtaa wa4, Dullah rafiki ake walikutana kujadili swala la Adamu, and Adamu alipigiwa simu kwenda Ubungo maziwa ili Dullah aweze kuchota mchanga, Dullah alifanikiwa kuchota mchanga na Adamu alirudi home umauti ukamfika wakati huo dada ake aliye toka mtaa wa4 hajafikaa😂😂 inachanganya sana kwakwelii, Adamu yupo kitandani anaugulia maumivu ya mkono aliwezaje kuendesha boda mpaka Ubungo maziwa?? I think ilipaswa kuwa hata baada ya siku4/5 mbele

    • @AdamLeoTv
      @AdamLeoTv  Год назад +4

      Asante kwa maoni.🙏

    • @AnnahLusia-bz3lc
      @AnnahLusia-bz3lc Год назад

      Pale yule shekhe alikuwa anakumbuka utakuwa hujaelewa tu

  • @elieniyonzima1074
    @elieniyonzima1074 2 года назад +2

    Vijana ambao wanajifanya ni maziwa watulie waache kutembea nama sumu, Love from 🇧🇮

    • @AdamLeoTv
      @AdamLeoTv  2 года назад

      Umeeoonnaaa, sumu ya mke wa mtu kali kuliko maziwa yaliyopo ghetoni kwao.

  • @emmykisigelile4412
    @emmykisigelile4412 3 года назад +5

    Sna cha kusema nikimimwonaga Adam tu najua movie nzur sina shaka nae

    • @AdamLeoTv
      @AdamLeoTv  3 года назад

      Basi hakika hutojutia na hapa utazipata kazi zote za Adam Leo🙏🙏usiache ku Subscribe na kubonyeza alama ya kengele ili usipitwe na kazi mpya kila tunapoziweka.

  • @mgenisulemani2849
    @mgenisulemani2849 Год назад +1

    Napenda kz yako brother ❤❤❤❤

  • @fatumajumanne3529
    @fatumajumanne3529 3 года назад +4

    MUNGU baba wa mbingun baba🤣🤣🤣🤣

    • @AdamLeoTv
      @AdamLeoTv  3 года назад

      Maombi mengi baada ya kuyatinganya😁😁

  • @AjibAjib-h7t
    @AjibAjib-h7t Год назад +1

    Kwel ni Adam Leo na kihoro kweli kazi nzuri hongera. Nimepend una reply cmnt za mashabik zak. Barikiwa sana

  • @paschaljuma3414
    @paschaljuma3414 3 года назад +5

    Kanyimbo kazur cjuih nan alieimba

    • @AdamLeoTv
      @AdamLeoTv  3 года назад

      Anaitwa RUMIE SAJ, mtafute instagram kwa jina hilo.

    • @rumiesaj55
      @rumiesaj55 3 года назад +1

      Thanx

    • @AdamLeoTv
      @AdamLeoTv  3 года назад

      @RumieSaj, unajua sana✔✔✔

  • @hakiamaliki144
    @hakiamaliki144 2 года назад +1

    Congratulations 👏 👏 move nzur bro Allah aibariki mikono yako

  • @StevenCredoMTV
    @StevenCredoMTV 3 года назад +1

    Kula chakula adam kula hongeleni sana kazi nzuri

    • @AdamLeoTv
      @AdamLeoTv  3 года назад

      Shukrani🙏🙏🙏

  • @madollarmadollar7097
    @madollarmadollar7097 3 года назад +4

    Katika wanadamu ni watu wachache sana wenye moyo kama huyu jamaa aliekufamania brow

    • @AdamLeoTv
      @AdamLeoTv  3 года назад +1

      Kabisa kabisa, ila ukiangalia mpaka mwisho ndiyo utajua kwamba mioyo ya wanadamu wote inafanana.

    • @madollarmadollar7097
      @madollarmadollar7097 3 года назад +2

      @@AdamLeoTv sawa wacha niende nayo mpaka tamati

    • @AdamLeoTv
      @AdamLeoTv  3 года назад

      Poa

  • @anithahaule6090
    @anithahaule6090 3 года назад +2

    Aisee unaweza Adam nakupenda bure MUNGU akujalie ufike pale unapotaka kufika