ABEE SHEM... 8 S2 : SIMULIZI MAPENZI USALITI, UPELELEZI ,MAPIGANO.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024

Комментарии • 39

  • @user-ez6cy4pj8z
    @user-ez6cy4pj8z Месяц назад +3

    Huyu Nusrat uataka kumfilisi Ahmed ilhalu joji ana mali nyingi . Thanks director

  • @user-tq5di6mv9c
    @user-tq5di6mv9c Месяц назад +2

    Jamani yusrati utafikilia sio yule mwenye mipango ya maisha

  • @mariamMilha-st3qu
    @mariamMilha-st3qu Месяц назад +3

    Nihari wanaume wenyehawana maamuzi😁😁😁😁😊

  • @swabrinamwaka2437
    @swabrinamwaka2437 Месяц назад +3

    Wa pili❤❤❤

  • @lonakirao5275
    @lonakirao5275 Месяц назад +3

    Haya njoooni tuendelee na ndoa ndoano hapa isiyo isha licha uashadi wote tulio toa mjeda anadai kusamehe 😂anikera huyu hemed mpaka basi

  • @twinssauditwinssaudi7248
    @twinssauditwinssaudi7248 28 дней назад +2

    Ndoa bado tu😂😂😂

  • @tatoo0098
    @tatoo0098 Месяц назад +4

    😂😂😂😂wakwanzaaaaa

  • @SabrinaAlimas
    @SabrinaAlimas Месяц назад +3

    Abee shemeji🔥🔥🥰🤗

    • @user-lq6kr2gl7n
      @user-lq6kr2gl7n Месяц назад +1

      😂😂😂😂😂ujue ahmed ananichekesha et anatak kujenga hiyo nyumba anaijenga hewan ye asubiri pigo jingine linakuja kiwanja hakuna milion 8 zilipotea patamu hapoo😅

    • @user-it5ej8eq6m
      @user-it5ej8eq6m 24 дня назад

      ​@@user-lq6kr2gl7nsana

  • @raayMahmid
    @raayMahmid Месяц назад +3

    Asante sana

  • @user-mh5ve4ly9g
    @user-mh5ve4ly9g Месяц назад +2

    Yusrah jamani anavyomfanyia kaka yetu😂😂

  • @MwanaMpole-mo5di
    @MwanaMpole-mo5di Месяц назад +2

    Ubwege wa wanaume

  • @user-lq6kr2gl7n
    @user-lq6kr2gl7n Месяц назад +3

    Pigo lingine hilooooooooooooooo😅😅😅😅frisal hana damu je km hazimechi itakuwajeeeeeeeerrr...!!? Yaan ni full rahaaaaaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🥰🥰🥰

  • @ramadhanimchuruza7754
    @ramadhanimchuruza7754 Месяц назад +5

    😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😊

  • @user-lq6kr2gl7n
    @user-lq6kr2gl7n Месяц назад +3

    Muda huoooo🏃‍♀️‍➡️🏃‍♀️‍➡️ 😅😅nacheka kam mazur michepuko imefufuka huyu bata boy ahmed atakoma maan ht maamuz hana

  • @ramadhanimchuruza7754
    @ramadhanimchuruza7754 Месяц назад +4

    Sauuti ilikata dah

  • @moreenidaya1357
    @moreenidaya1357 Месяц назад +2

    Ahmed amesoma lakini ajui kufikiria 😢

  • @halimashaib9102
    @halimashaib9102 Месяц назад +2

    Ahmed yuko na ndoana wala sio ndoa

  • @khadijasayeed3381
    @khadijasayeed3381 Месяц назад +2

    Huyu Yusrat hamuhurumii hata mumewe jamani duuh

  • @twinssauditwinssaudi7248
    @twinssauditwinssaudi7248 29 дней назад +2

    Ndoa bado inaendelea duu kipi kitawatengani.sha hawa ila mmmh wataachana tu😂😂😂

  • @mariamMilha-st3qu
    @mariamMilha-st3qu Месяц назад +1

    Ahemmed hauna musimo aca uburuzwe Musimuliaji nasifu simulizi zako wenimwarimu muzuri wanaume fungukeni hakiri uuuuuiiiiii Ahemmedi sukuerewi umekwama wapi ayamajanga unayataka mwenyewe😭😭😭😭 njoukome mwanamuke unamufuma kwamacoyako unamuwaca🙆🙆🙆🙆

  • @zenaathumani8144
    @zenaathumani8144 Месяц назад +6

    Wakwanza jamani naombeni likes zenu 🙏🙏🙏🔥🔥🔥♥️♥️♥️♥️♥️♥️ from Italy 🇮🇹 🇹🇿 ciao ciao

  • @Rais__772daughters
    @Rais__772daughters Месяц назад +2

    Maskine Ahmed hana bahati yaani 😢😢😢

  • @aminanimbona1861
    @aminanimbona1861 Месяц назад +2

    Mwanamke kama Yusrat hafayi kabisa kuliko kukupeleka mbele kimaendeleo yeye anakurudisha nyuma kimaendeleo 😅😅😅yani unakufa na sikuzako bado😅😅😅😅😅

  • @Evelynmoreen3655
    @Evelynmoreen3655 Месяц назад +2

    Kwanza hii simulizi itaisha lini maana Yusrati amesha nikera sana😂😂😂😂 Amemutia kidonda cha moyo Ahmed mwanamke mujinga sana😢😢😢

  • @Rais__772daughters
    @Rais__772daughters Месяц назад +2

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂ukiona O'en akishidwa hii style jua Lisa alipania😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂mbavu zangu mie

  • @euwine_0726
    @euwine_0726 6 дней назад

    Ila huyu yusrati nayeee khaaa

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 Месяц назад +2

    Hapa kuna huyu lissa anafikiria kila mission ina succeed kweli ajikute ametegesheaa Ajali halafu gani iko proof mtu kuumia sio rahisi pili charls amekua mjonjwaa wamapenzi hadi wafanyii kazi waNafukuxwaa tuu bila sababu masikini hajui kama anakumbatia chatu sijui atakubali hao watoto iliwarithii mali mana hili badaaa huyu hajrat ana matatixo umeingia mwezio hasara ya pesa kiwanja bank kulea kumbe kazi buree

  • @user-ke1ox6zl6k
    @user-ke1ox6zl6k Месяц назад +2

    Mi najuta kwa nini Ahmed alimuowa Nusrat 😢😢😢😢😢😢 yaani asingekuwa huyu mwanamke Ahmed angekuwa mbali saana kimaisha yaani kwa haya yote nihisi kuwa chizi🥱🥱🥱😫😫😫😫😱😱😱😱😭😭😭😭😭

  • @mariamMilha-st3qu
    @mariamMilha-st3qu Месяц назад +2

    Oôoooominimepitwa uku karibumwishoni hayisikiriziki nameyishiyq kwenye Ahemmed anasema warudi nyumbani nanjobasi kumbe iriendereya??

  • @ataamansi8941
    @ataamansi8941 18 дней назад

    Kuna dada anakera na hakika alikimbia shule comment zake sasa hamjui kiswahili anaboronga kilugha jina lake linaanza herufi za mwanzo Mar----

  • @user-rc3om5hs9i
    @user-rc3om5hs9i Месяц назад +3

    ❤❤❤🔥🔥🎧🪑🙏🏃

  • @muhinanjowa7229
    @muhinanjowa7229 Месяц назад +3

    Nusrat yoote uliyoyazika yanafufuka kwa kufatiliana ndo uamke Ahmed kwamba Nusrat yule aliekuwa msichana sie ulie muoa.😔😔😔Mjinga sana Nusrat,

  • @aminanimbona1861
    @aminanimbona1861 Месяц назад +3

    Yani hii simulizi imejaa wanawake mashetani tupu ungine shetani ni huu Lissa ngoja nione mwisho wake😅😅

    • @Evelynmoreen3655
      @Evelynmoreen3655 Месяц назад +1

      Kwani huyo George amesha towa zile camera maana huyo lisa nishetani wakike kama Yusrati mwenyewe.

    • @aminanimbona1861
      @aminanimbona1861 Месяц назад +1

      @@Evelynmoreen3655 ndo nasubiria nione mwisho wake uyo shetani mungine

    • @ataamansi8941
      @ataamansi8941 18 дней назад

      Inafikia mahali nachoka kabisa kumsikia Yusraty, anafanya simulizi isipendeze kwangu mimi, nataka akomeshwe kama alivyofanyiwa hawara yake, sijui alikufa huko alikotupwa kunguni yule alikanywa akasema yeye ni maziwa yakumaliza sumu