BATA LA SHILOLE NA WAFANYAKAZI WAKE KWENYE BOTI, WAFUNGA SHISHI FOOD NA KUENJOY PAMOJA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 фев 2025

Комментарии • 108

  • @JacquilineNoah
    @JacquilineNoah Год назад

    Najizuia kucheka lakin najikuta nacheka tu😂😂😂😂😂yatch Kama yatch🙌🙌🙌

  • @hasnanassoro7142
    @hasnanassoro7142 Год назад +6

    Manshaallah ata km ni mtumbw ,amewapa laha wenzie,Allah akubaliki

  • @alexmavindi2104
    @alexmavindi2104 Год назад +18

    Huyu dada ALICHO kosa nadhan ni Elimu tu ila kichwani vitu vipo vya kutosha Sana yaani ana material mengi Sana, Big up 👊Sana shishi kuna vitu una vifanya unawapa SoMo kubwa Hawa wanao jiita wasomi na Wana kutamania na kuzitamania hizo akili zako we hujui tu ila ndio hivyo tena😅😅,
    big up Sana dada ang Mungu azidi kukubariki aixee😁🙏🙏
    NB: Mnao jiita wasomi naamini lectures za shishi Zina wapa kitu, kazi ni kwenu kama Vodacom muendelee kubaki nyumbani au mjiongeze 😂😂

    • @josephwilliammnyune5464
      @josephwilliammnyune5464 Год назад +1

      Kuna elimu, kuna busara na kuna hekima. Shishi huenda amekosa elimu, lakini amebahatika hivyo vingine. Mungu ambariki.

    • @annamwakibinga527
      @annamwakibinga527 Год назад +1

      Hongera sana sana

  • @dorcaskidoti249
    @dorcaskidoti249 Год назад +3

    Hongeraa sanaa Shishi baby anaroho safiii sanaa mpenzi, Maisha ni watu haswa wale wanaokuingizia pesaa

  • @RachelAisha-y3d
    @RachelAisha-y3d Год назад

    Hongera shishi baby

  • @RajatiRajati-p7g
    @RajatiRajati-p7g Год назад

    Hongera sana dada shilole nakupenda sana zaidi ya sana ❤❤❤❤❤

  • @jedidahmagulu3553
    @jedidahmagulu3553 Год назад +2

    Iyo ela uliyo tumia ungewapa posho wangekushukulu sana maana mambo ya kupanda boti hayana tija sana ni kama ushamba

  • @DignaNgowi-w6e
    @DignaNgowi-w6e Год назад +4

    Hongera sana dada shilole kwa kuwajal wafanyakaz wako

  • @laylayl5166
    @laylayl5166 Год назад

    MashaAllah mwenyezi mungu akuzidishiye NI mfano wa kuigwa kwa wengine walio mabahili wanao jali pesatu

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 Год назад +2

    😂😂😂😂good idea

  • @Zuuh107
    @Zuuh107 Год назад +8

    Mashaalla natamani sana ningekuwa 𝐦𝐢𝐦 jaman najitahidi kutafta pesa lakin sifiki nachotaka lakin naamin huyu huyu Mungu namuomba ipo sk atanibariki nami niwe nazo 😂😢😢😢😢😢😢😢

    • @teedullah5708
      @teedullah5708 Год назад

      In shallah munqu atakuezesha

    • @Zuuh107
      @Zuuh107 Год назад

      @@teedullah5708 🙏🙏🤲🤲

  • @RehemaMasunga-ml7kt
    @RehemaMasunga-ml7kt Год назад +7

    Hakuna kilichoharibika kitu cha msingi shilole ana upendo na ana upendo kweli na anajua kujitoa na ni kitu ambacho wengi hawawezi kukifanya sasa iwe ni yachi au sio yachi ndio kafanya sasa apewe sifa zake

  • @MasudMshema
    @MasudMshema Год назад

    Nimekupenda sna, Mungu azd kukuinua

  • @JansanMokiwa
    @JansanMokiwa Год назад +1

    Hiyo Yachii Mamaaa😂😂😂😂

  • @ElizabethIssack
    @ElizabethIssack Год назад

    Nakupenda Sana shilole wewe ni mkarimu kwa watu wote.

  • @Mumbere-yk4sg
    @Mumbere-yk4sg Год назад +1

    Shilole naku kubali sana from🇨🇩kuna ma bos wengin daaa😮😮

  • @ISSACKRICHARD
    @ISSACKRICHARD Год назад +2

    Kwaiyo iyo ni yachi😂😂😂😂😂

  • @masikasaidi8805
    @masikasaidi8805 Год назад

    Yaani kutoka nikutoa ujinga na sress kama pesa kila siku wanapata kuinjoi ni vizir katika maisha km pesa inaruhusu

  • @sheikhalumbalambala2655
    @sheikhalumbalambala2655 Год назад

    Hongera sana shilole kutoa ni moyo kuna matajiri wakubwa lakini hawawezi kufanya ulilolifanta wewe
    Mungu akubariki sana jambo kubwa sana pamoja kuwa wanakuingizia lakini umefanya jambo la ujasiri.

  • @mwanjaarashidi7402
    @mwanjaarashidi7402 Год назад +2

    Hongera sana shishi

  • @KhalimaMasanja
    @KhalimaMasanja Год назад

    Dada nakupenda Sana

  • @saidsalim6729
    @saidsalim6729 Год назад +15

    Yachiii😮 million 3, uo si mtumbwi wakuvulia chaza au una Jina ingne unaitwa yachii

    • @samwelkitalula698
      @samwelkitalula698 Год назад +1

      😂😂😂😂😂😂😂

    • @frankngoloka5416
      @frankngoloka5416 Год назад +2

      Fanyeni na nyinyi mbona makasiriko,hapo ni lugha tu imebadirika yote ni Yale yale

    • @Mumbere-yk4sg
      @Mumbere-yk4sg Год назад +2

      Kuna wengine wafanyakazi hawaja nunuliwa hata soda

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 Год назад +1

      😂😂😂😂😂mpemba

    • @mamakekhubeiby4206
      @mamakekhubeiby4206 Год назад

      Million 3 kenya ni pesa ngapi 😂😂😂😂😂😂

  • @huldamichael4445
    @huldamichael4445 Год назад

    😂😂😂😂shilole unanichekeshaga Sana!!eti yaani Mungu😅😅

  • @renatusantidius8123
    @renatusantidius8123 Год назад +1

    Wabongo bhn hiyo fiber inawasongeza tu kwenye boti iliyo andaliwa😂

  • @MarkKissela-vk9ro
    @MarkKissela-vk9ro Год назад

    Naomba kaz #shishifood

  • @oman9880
    @oman9880 Год назад

    Mashallah manshallah ❤

  • @KiwosooMnama
    @KiwosooMnama Год назад

    Big love shishi aminiaaaa

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus7068 Год назад

    Hongera sana shishi 🥰❣️💖💞

  • @babasandra638
    @babasandra638 Год назад +1

    Hii ni boat ya kuvulia samaki ama ni yach mbn wazingua

  • @vero57
    @vero57 Год назад

    Hongera sana dada shishi

  • @halimaoman8726
    @halimaoman8726 Год назад

    Shilole nakupenda sana una ubagui ndugu yngu chezea wanyamwezi wwe atuna mbaba wala ubagui sote Ni waja ishu miaka mingi shilole waalh

  • @FransiskaJohn-fq1nf
    @FransiskaJohn-fq1nf Год назад +2

    Sisi bosi wetu alisema hajui sikukuu😢

  • @nailaomar4810
    @nailaomar4810 Год назад +1

    Binaadamu hamna shukurani hata mfanyiwe nn subhanaallah

  • @AkiduKindunda
    @AkiduKindunda Год назад +1

    Hii ndo .....au ila hapa umetupga

  • @BakariMtangenange
    @BakariMtangenange Год назад

    Saizi mnatamba baadae mkiumwa watanzania tuwachangie ila bata mnakula peke yenu

  • @JumaShimende
    @JumaShimende Год назад +1

    Shishii hongera hatakama uwe mtumbwi umewapa rahaaa.umeonyesha wewe ni zungu la roho kwahicho ulicho jaaliwa na Allah umefanya Kwa uwezo wako.bimaana ungekua na uwezo hata ndege wangeipanda hao.matajiri wenye uwezo wengi tu hawaja wajafanya uliocho kufanya mungu akubariki sana

  • @AltamimSoud
    @AltamimSoud Год назад +5

    Ngalawa siku hizi inaitwa yatch daah hata April fools bado 😂😂😂😂😂😂

    • @agathakeneth6563
      @agathakeneth6563 Год назад

      Kufunga ofisi Kwa ajili ya mapumziko ya wafanyakazi, nauli na vitu vingine vidogo vidogo inatosha sana Kwa Hali za mabosi wetu wa kibongo ni ngum kufunga ofisi na kuwaacha wafanyakazi washeerekee siku kama izi za mwaka mpya , so inatosha sana uko kuwatoa tu haijalishi ametumia gharama ndogo kiasi gan

    • @AltamimSoud
      @AltamimSoud Год назад

      @@agathakeneth6563 hakuna aliekataa ila waache uongo kutwambia wawe wanasema ukweli mie na family yangu nimekodi hio boti ya kipaa ni laki tu kutoka asubuh saa tatu mpaka saa mbili usiku nimerudi yeye anatwambia ni milioni 3 yatch tu sasa hio yatch au kiboti tu mskilize tena anasema nini?

    • @hellendaniel3809
      @hellendaniel3809 Год назад +1

      Iwe ngalawa,iwe mtumbwi vyovyote vile.

  • @JehovaJonas
    @JehovaJonas Год назад

    Dah natapaje ajira hapo jamani

  • @vero57
    @vero57 Год назад

    ⛵ yacht

  • @kilimanjaro77international26
    @kilimanjaro77international26 Год назад

    MV Shishii mwenyewe akiwa nahoza Mtumbwini

  • @hamidumpiga6283
    @hamidumpiga6283 Год назад

    Uwaongeze na mishahara

  • @FaridaFarida4
    @FaridaFarida4 Год назад

    Bora ww shilole Kuna mabosi wengine hata mshahara hawatoi anajijali tu yy

  • @dayana5513story
    @dayana5513story Год назад +1

    ❤❤❤❤

  • @simonmalegesi414
    @simonmalegesi414 Год назад +3

    Siku nyingine mvae life jaketi siyo mnaingia kwenye mtumbwi kiboya.

    • @giztony2009
      @giztony2009 Год назад

      Eti yachi yani hizi takataka zinatuonaje hivi yachi zipo hivi?

  • @nassormessi-zk5cz
    @nassormessi-zk5cz Год назад

    Wabongo wanapenda sifa ila bdo sana ati milion tatu boat ya uvuvi njoo ukodi kilimanjaro huku au Zanzbar One Wanzanzibar wana hela ila kimya hwa wenzetu wanatuharibia Nchi Sifa nyingi punguzeni Sifa hizo

  • @adammjomba5814
    @adammjomba5814 Год назад

    Mzee karume alisema kuongoza sio kusoma ,

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 Год назад +1

    haya ni kama yale maboti yalokuwepo foro ya kuvukia visiwani huku nilikodi elfu 40 sasa milioni 3 kaaa

  • @haddrazee8848
    @haddrazee8848 Год назад +1

    Eet yatch hata kama cjui yatch lakn dada yangu hilo ni bot

  • @MichaelPetro-td1ki
    @MichaelPetro-td1ki Год назад

    Una kitu kipekee sanaa dada shilole mung akubalki jaman

  • @KawangaHamza
    @KawangaHamza Год назад

    saf san shishi mm ni shabiki wako kindaki ndaki karibu moro

  • @maulidimopen1273
    @maulidimopen1273 Год назад +1

    Mbona Uchebe humpi Furaha kama wapenda watu wafurahi ??

  • @edwardleonard7402
    @edwardleonard7402 Год назад

    Hogera shshi

  • @ttss7716
    @ttss7716 Год назад +1

    Me nampenda huyu mama sana ana juwa kuishi na watu❤

  • @maswamills3161
    @maswamills3161 Год назад

    👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏♥️💯.

  • @eliwazadaniel6535
    @eliwazadaniel6535 Год назад

    Pale si msasa mavi

  • @mukeshimanarose1334
    @mukeshimanarose1334 Год назад

    😊❤❤❤🎉

  • @CostaYesaya-sh5gx
    @CostaYesaya-sh5gx Год назад

    Dada endelea kupambana wenzako wanadanga na kuwafundisha umalaya watoto wao

  • @binrashid8671
    @binrashid8671 Год назад +2

    M3 umeinunua hio boat (fiber) au umekodisha? Kama umeinunua hapo sawa

    • @subiraaddo864
      @subiraaddo864 Год назад

      Yaan fibre iuzwe million 3 kweli? Fibre inauzwa Hadi mil. 100 unaongea nn wewe??

    • @sinzoshabani6855
      @sinzoshabani6855 Год назад

      Hamna fiber ya m3 hata siku Moja

  • @kisubikilozo6128
    @kisubikilozo6128 Год назад

    Uwa wanalipwaga gapi kwa mwezi tusaidieni tujuwe mishaara ili turudi tuombe ajira ugaibuni tumechoka jamani shishi

  • @giztony2009
    @giztony2009 Год назад

    Hili shamba eti yachi kuna yachi pale mbona ni tofauti na zile za akina mondi

  • @BertaliNaida
    @BertaliNaida Год назад

    Hapo kwennye milioni tatu ndo umeaaribou hapo

  • @papiampangaje
    @papiampangaje Год назад +1

    Dodoma anamgahawa wapi

  • @officialludahtz8152
    @officialludahtz8152 Год назад

    Hapa shilole katupiga

  • @liberatusjackson5045
    @liberatusjackson5045 Год назад

    Unashindwa kukodiii bot zakishua hayo siyawavuviii.jierewe kama msaniii hahaha mama ntilie

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 Год назад

    Honqera shishi mimi na kufatiliya sn

  • @MussaKingu255
    @MussaKingu255 Год назад

    Faiba hiyo ukifunua juu ni myumbwi wakuvulia mzee bot mnqzijua lakini!

    • @RabiaIddi-ci2uz
      @RabiaIddi-ci2uz Год назад

      Hebu kuweni waelewa hiyo inawapeleke kwenye yach bot

  • @theuniversetv2870
    @theuniversetv2870 Год назад

    Ety ni moyo tuu sio hela thubutu ndo wanavosemaga waliopata fedha bila pesa kupata pesa sio rahisi acha kudanganya watu shishi food is not there without money mbona unakosea adabu mtaji wewe vp😂

  • @HuseniMsumba
    @HuseniMsumba Год назад

    HIYO ML3 BADALA YA KUKODI BOTI UNGETUMIA KWENDA KUWALIPIA GHARAMA ZA MATIBABU WALE WALIO SHINDWA KUJIGHARAMIKIA UNGEINJOI HATA KWA MUNGU ,

    • @FatumaMohamedi-t6t
      @FatumaMohamedi-t6t Год назад

      Sio mbaya kuwafurahisha wale wanovuja jasho kukuingizia hiyo pesa.

  • @MabulaDoto-xb6xr
    @MabulaDoto-xb6xr Год назад

    Kama glass ya juice anauza elfu 5 kwanini asichezee pesa wakati wajinga wanazipeleka wenyewe