DW Kiswahili Habari za Ulimwengu | Septemba 16, 2024 | Asubuhi | Swahili Habari leo
HTML-код
- Опубликовано: 17 сен 2024
- DW Kiswahili Habari za Ulimwengu | Septemba 16, 2024 | Asubuhi | Swahili Habari leo | Ripoti na Uchambuzi | Taarifa ya Habari | Matangazo ya DW | Dunia yetu.
- Mgombea wa Urais nchini Marekani Donald Trump alengwa tena kwenye jaribio la kumuua.
#dwkiswahili #HabarizaAfrika #dwkiswahili #DWSwahili #HabariLeo #RipotiNaUchambuzi #TaarifaYaHabari Ukitaka kukupata habari zetu kila siku, bonyeza 'subscribe' kwenye chaneli yetu ya DW
njuyanini wamericaka mutaka nini nju ya trompé muna mgompa Tromp njo atasinda uchakunzi
DW Kiswahili, You're fantastic! Let's be friends and have fun!
Sasa silaha si walipewa na marekani! Itakuwa mrusi vile anavosema aliripuwa maghala ya Risasi nikweli.
Hahahaha! Hali ngumu ndugu usisikie.
@@Kiswahili unajuwa urusi inatisha sana na NATO WANAIOGOPA SANA
Ingekuwa Tanzania tungesema ccm na selekali yake ukonako Ni Nani ,ndio watu wajuwe magenge ya uharifu yapo duniani pote,watanzania tujitambuwe tuache kusingizia vyombo vya dola.na tutowe ushilikiano makes polisi.
Dw Leo September 16 sio 17
Ahsante kwa marekebisho, mkono uliteleza.