Muguka yasababisha tafrani katika kaunti za Mombasa, Kilifi na Taita Taveta
HTML-код
- Опубликовано: 28 май 2024
- KTN NEWS LIVE
Welcome to the 24/7 KTN Kenya News Channel on RUclips - your trusted source for the latest news and updates in Kenya and beyond. Stay informed with our comprehensive news coverage, breaking stories, in-depth analysis, and exclusive reports. Our live-streaming service brings you real-time updates on current affairs, politics, business, technology, health, entertainment, and much more. Join us and be a part of the conversation, and don't forget to subscribe for the latest news and updates. Stay connected with KTN Kenya News, your reliable news partner. #KTNKenya #NewsChannel #BreakingNews #KenyaNews #ktnprime #livestream #livenews
SUBSCRIBE to our RUclips channel for more great videos:
/ ktnnewskenya
Follow us on Twitter: / ktnnews
Like us on Facebook: / ktnnewskenya
KTN News is a leading 24-hour TV channel in Eastern Africa with its headquarters located along Mombasa Road, at Standard Group Centre. This is the most authoritative news channel in Kenya and beyond.
Watch KTN Live www.ktnnews.com/live
Watch KTN News www.ktnnews.com
Follow us on / ktnnews
Like us on / ktnnews
Congratulations Governor kwa msimamo wako wallhi kwa Mungu una ujira mkubwa
They cannot finish muguka businesses,Wacha kuatarisha maisha gavana
Nyinyi ndio mutaumia kwetu coast@@Cymoza
@@Cymozaana hatarishwa kwani umempangia nn ww
We don't need this thing anymore, we must stop it!
Selling and buying muguka in msa is it illegal according to kenya law🤔
Mbana hawkusema kitambo hajalipa ushuru
things are getting this much serious in Mombasa
Kwahiyo RAIS akitoa order automatic yapitishwa bungenui?hata ikiwa na , NREGATIVE RESULlT
Gavana anasema pwani c kenya
Mimi nawakosoa vikali hawa wazee, na kuaatakia waongee vitu cya kueleweka bila chuki yoyote. Bule Muguka pwani tutakula mwenye anadhurika tafadhali aache. Wewe governor, lipia kìtuo chako cha radio ushuru.
Hatutaki mugokaa mombasa Abdisamad ni sisi tumemchaguwa na ni yeye ndio antuongoza yeye akisema amesema kwa niamba ya watu wa mombasa so hatutaki mugokaa
Hizo zote zaingia kwa tumbo
Ruto utukome kabisa hata ww hutaki wtto wako wakule so mtto wa mombasa ni mtto wako tuna kupa heshima yako hatutaki mugokaa kabisa
Amefanya maedeleo ndio amue kuigilia biz zisizomfaa? Kila mtu ako na right ya starehe yake.. Wao wakibugia vleo vya ajab expensive nani huwa control?? ?😬😬
Kumpenda nini
Maonevu yake ndio maaya serikali yake inayumba kama upepo
Palipo bakia wananchi tuu game tuoneshe hasira zetu juu ya mugokaa choma gari zote zinazo leta mugokaa
Further mpakaboman au
Kama muguka ni mbaya ,basi wafundise watoto,wasi kule.
Munguka mabaya dawa za kulevya nzuri
Hapa ni kenya si yemeni
Hapa ni Kenya si Congo
Huyo governor hata watu wake wa yemen wanakula muguka
Lkn sasa hatutaki tena.
Na hawa wanalia watoto wanaharibiwa na muguka, wanakula huonmuguka mkiwa wapi? Mbona muachilie watoto wafanye watakalo? Muguka ni starehe ya watu wazima hata maeneo unapokuzwa. Kama kitu si haramu kikatiba , wee nani ukipinge?
Hawa vijana WA muguka hawafanyi kazi ni wazembe na niwaizi,,,,
Msilikataa MRC ngojeni mtakiona😂😂
Hakuna kurusu kuuza mogokaa
Watu waaache uduanzi, UNGA ni safe kuliko MAJANI 😂
Kama hutaki kutumia kaa kando
Simuuze huko kwenu bara
@@asaabakar we kaa kando kama hutaki ama.......
Wajinga nyinyi
Mogoka mbaya, lakini Unga mzuri? 😅😂😂😂
Kwani unga unaruhusiwa?
Wewe wawajua hao wauzaji ungaa,,mbwa WEWE
Hakuna kuingia mgugkaa mombasa
@@muddathirkassim2407 Mamaako Mzazi akisquirti juu ya mbooo
Tumia akili mogokaa na unga nikitu kimoja
Siumalize heroin muguka kwn huko ndiko mnakua wendaa bna kwingine hkna Wenda ,yenu ni madawa za kulevya
Kuleni muguka na muache kelele
Mtu ameshindwa kutengeza mabarabara akasimamisha kazi mtaani sai anajitetea na mgogoka ati tumuone anajali vijana