Wafanyibiashara wa muguka wadai kuvamiwa na wahuni njiani kuelekea Pwani
HTML-код
- Опубликовано: 30 сен 2024
- KTN NEWS LIVE
Welcome to the 24/7 KTN Kenya News Channel on RUclips - your trusted source for the latest news and updates in Kenya and beyond. Stay informed with our comprehensive news coverage, breaking stories, in-depth analysis, and exclusive reports. Our live-streaming service brings you real-time updates on current affairs, politics, business, technology, health, entertainment, and much more. Join us and be a part of the conversation, and don't forget to subscribe for the latest news and updates. Stay connected with KTN Kenya News, your reliable news partner. #KTNKenya #NewsChannel #BreakingNews #KenyaNews #ktnprime #livestream #livenews
SUBSCRIBE to our RUclips channel for more great videos:
/ ktnnewskenya
Follow us on Twitter: / ktnnews
Like us on Facebook: / ktnnewskenya
KTN News is a leading 24-hour TV channel in Eastern Africa with its headquarters located along Mombasa Road, at Standard Group Centre. This is the most authoritative news channel in Kenya and beyond.
Watch KTN Live www.ktnnews.com...
Watch KTN News www.ktnnews.com
Follow us on / ktnnews
Like us on / ktnnews
isiwe kesi si mwasema haina madhara!? kuleni huko muziane wenyewe kwa wenyewe tu mbona lazima mombasa
Kuleni pia dawa za kulevya kwenu na joho wenu.
Angalia vile wemekula mpaka wanashindwa kuongea
Kwao ni salads Mombasa ndio ni Muguka yani nidragi
Kuleni nynyi uko kwenu sisi atutaki tena mwabiyeni raisi awatafutiye soko kwengine pwani wamekata
Mi naona Embu governor aiweke Kwa school feeding programme, hiyo muguka hata haita tosha embu county ama mnaonaje jamaa?🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂Kabsaaa
Kabisaa😊
😂😂😂😂best comment ever on the subject
@hannan4508 you thinking level is so down
😂😂
Basi kwani lazima gani mpaka muuze mombasa?
Hapo basi umesema kweli
Watu wa muguka wanalia biashara yao imeharibika, kwingineko wazazi wanalia watoto wao kuharibika. Hapa naona mfano wa muuza bangi akilalamikia serikali akisema biashara yake imeharibika.
Muguka must be banned for ever. Amen
MOMBASA hatutaki mugoka kule wenyewe kwani lazima COAST 😂😂😂
Sasa ni wajuee kuzitengeza salads wakulee. Free Muguka Pwani yote.
wauze uko kwao
LAZIMA GANI MPELEKE PWANI C MUKULE WENYEWE HUKO CENTRAL. ONE MAN ONE VOTE ONE SHILLING ONE BOX OF MNGOKAA
Hii inabamba sasa🤣🤣🤣
Watajifunza kuzikula kama salads ndio sasa. Free Muguka Coast.
Wana lazima gani na Mombasa?
Peleka muguka sugoi nandi, Eldoret 😂😂😂😂😂😂
Kuleni hiyo migukaa uko kwenu hiyo mahakama ni ya embu si waseme iuzwe uko embu na meru .. Uharibu watoto wa wenyewe ndio wako wasome takataka uzeni uko kwenu
Kama migukaa si drug si kesho mpeleke uko shuleni kwenu zitumiwe kwa food program as vegetables
Muguka ni mbaya na cocaine ni mzuri. Hiyo ni akili ya wapwani
@@codeinswahili9505 wewe unatumia akili ngani ama unatumia matako kufikilia ?? Kuna cocain uwa unauza kwa soko vile migukaa na hizo takataka za miraa huuzwa ?? Wacha usege cocaine huuzwa kama wamejificha unataka wapatwe aje ??
Kwa sababu nyinyi haiwadhuru kuleni wenyewe😂
Hata my governor Wavinya Ndeti amechelewa kutangaza no muguka in masaku county
MOMBASA mngoka hatutaaaki.
Hao wenye wanatafuna kwa camera wangelipia hizo wanatafuna hamngekosa school fees. Ama mgawane ile 500m mliopewa juzi na ruto.
😂😂
Hahahaha
Mbona msipeleke pokot hiyo kitu yenu?
Kwani lazima coast mutatumaliza kuleni nyinyi hatutaki Sisi mgukokaa
Hatutaki mugokaa pwani, kuleni wenyewe uko ,kwakua kwenu hazina madhara basi kuleni wenyewe
Uzeni huko kwani nilazima coast
Mombasa sio Kenya. Hiyo mugukaa tumekataa. Uzieni nchi jirani.
Kwni mna lazima gani muuze mgoks pwani .
Kenya has 47counties why can't you sell to the remaining 41 counties? Must you sell to the coastal counties???, si mkauze kwengine kama hawataki??
Kwn cost c kenya mjinga wwe
@@felixmtalii5147 you so stupid and backward...so you insult someone just because he doesn't share your sentiment...learn to respect other people's decisions
Hatuna haja ya kuja embu uzeni huko
Tena Bado mtawacha kuleta sum
Uziia wakikuyu coast ppl katae
Now we have to stop u by action not words anymore
MTAVAMIWA SANAA MANAKE MWATAKA KUJIFANYA PWANI NI YUNU,.MTAPIGWA SANAA TU NAWAAMBIA
Watoto wako wanasoma vizuri na watoto wa Mombasa wanakosa kusoma sababu ya mugoka
Si mlipewa doh na ruto si mgawanyiwe huko hiyo kwenu hatutaki mgox coast
Hii ni sawa kabisaa msitulazmishie kitu hatutaki
Hatutaki mugokaa pwani kuleni wenyewe huko kwani ni lazima pwani
Hawa elewi hawa watu jmni😂
@@jaymwinyi6957 kabisaa
Kuleni nyinyi
Kwani ni lazima ?
Watoto wenu wasome na wa pwani je??
Niko na swali lazima hiyo Muguka mupeleke Pwani peke yake? Pelekeni Muguka Ichi mzima.
Mombasa hatutaki mugokaa uzeni kwenu meru ni kiswahili hamuelewi
Mkule vitu yenu
Ukiamsha alielala utalala wewe tena bado mungu zifi kutupea nyoyo za ujasiri nadi tukome kudhalalishwa,uzeni kwenu mugox imetosha pwani
😂😂😂 hii kelele yote kwani ni lazima mombasa tule Goka hatutaki Goka lenu 😅😅
Wako populate it common sense a larger market is in mt Kenya
Kweni hiyo mpka ije coast si muuziyane nyinyi huko
Kuleni muguka,wacha kuuza sumu kwa watoto wetu wachawi nyinyi
Kama Haina madhara basi wapatiyeni watoto wa shule wale kama sukumawiki
Wauzie meru
Nyinyi watu wa Embu musiane..Nyinyi kwa Nyinyi,,
Sasa c mkule wenyewe mbona lazma pwani wapuzi ninyi
Kuleni wenyewe na zengine zipelekwe state house.
Wapeni watoto wenu wakule huo mngoka.
Our beloved governor ( mutula junior) umechelewa. Kindly ban this dirty and poisonous leaves from our beautiful county
UZENIII KWENU AMA PELEKENII ULAYAA MUPATEE DOLLAA SIO KWA WATOTO WA MASKINI AMAA MUUZEE STATE HOUSEE KWA MASONKO WENU HAO...
Sasa waonaje mkauzia uko kwenu, sisi hatutaki ama ni lazima mlete uku.
Mira na mgoga ni chafu ni mafi ya punda anaye kula mjinga
kitu cha kushangaza mbona mnalazimisha mgokaa uletwe mombasa pelekeni eldoret kakamega isiolo nanyuki kote huko hamtosheki mpaka mombasa hatutaki kuleni wenyewe
Lima maidi
Kuleni miraa,yenu huko embu
Embu governor begin diversify
Sasa kwani ni lazima😂😂
Wako wasome wetu wakose kupenda masomo.
Aibuu muuze kwenu.
Bring foods not poison blad bursted
Kama haina madhara kwenu kuleni wenyewe na Kenya ni kubwa pelekeni counties zengine ambazo hazijafungia muguka
Kuleni huko
Tuje Hembu tufanye nini.... court Honda is not forod... unasema nini? Ama umekula Mugokaa??
Kwani lasima Mombasa
Pinga wao wapeleke Mokoka kwa County zao Atuji Embu na nyinyi musilate MUKOKO pwani Mukileta Kicha'apo ?
Why do they force Pwani to take that product? 😅😅😅c county ni mingi Kenya 47😀
Viongozi pwani na northeastern mupinge mogoka kabisa musikubali....mbona pombe si muache kupiga pombe vta
Kuleni wenyewe zao lenu jamani sio lazima Msa au pwani
Si muuze kwenu. Nyie musomeshe watoto wenu na pesa za mogoka na watoto wa Pwani waathirike na sumu za mogoka zenu. Kaeni mkijuwa kuwa Pwani ni Muengeraza/British ndio alibandikiza Kenya. PWANI INA WENYEWE NAO NI WANA PWANI.
Wahuni Gani?😮 Mko sure sio majini ya kwetu pwani tume yafunguwa?😂 Bado na magari yapenduke
Mnaenda nini Mombasa na muguka.
Shame on you.
Beba silaha kwa magari wachana na ujinga yao
Try and see
Kama. Huna school fees mpatie mukogaa. Akule
Kwani NYIE MNALAZIMA GANI HADI MUUZE MOMBASA ??
Mnaenda kuchukua nini pwani na mliambiwa huko mgokaa ni marufuku? Mbona mlazimishe vitu?
Hatutaki mungokaaa tuwacheni tule drugs zingine bt mungokaaaa hatutaki.
Sasa si mpatie watoto wenu hizo salads kwani Pwani hazitaingia ng’ooo. Free Muguka in Pwani
Useless, nani anataka hiyo ujinga ya mugokaa !! Rudisheni kwenu, jinga hii.
😂😂Banana republic sounds good leta mandizi na mboga
Shameless kenyans, kuleni na watoto wenyu kama kweli muguka ni poa. Awa mama ni wazimu kabisa.other mothers are crying in the whole country because of muguka na nyinyi bado mnataka kuendeleana biashara.we will fight mpaka mta ng'oa hii miti yote
Kuleni nyinyi c lazma ije pwani qwan hku ndo qweni biaxhara ya mugokaa
Muguka is a drug pendeni msipendeni muguka lisheni au muharibu watoto wenu
Hawa Uzo yao na tazama hakuna mwenye anakulla moguka... mchanja sana muguka is dangerous even animals don't eat the leaves of mugoka,
Muwaongo huko kwenu hamkuli,Mimi nimetembea huko bara kote lakini sijaona watu wakila hiyo mugokaa,hata huko kwenu masoko Yako uzianeni wenyewe.
Muwaongo huko kwenu hamkuli,Mimi nimetembea huko bara kote lakini sijaona watu wakila hiyo mugokaa,hata huko kwenu masoko Yako uzianeni wenyewe.
Hatutaki mugoja .pelekeni Uganda ,Somali,Burundi na Tanzania si hauna madhara
Wameamka wa pwani wanasema tosha .hawataki moghoka silazima pwani uzeni kugine
Kwani lazima mpaka mombasa hiyo mugokaa hamjaona kwengine kwa kupeleka mombasa mliona nn,hatutaki mugokaa mombasa uzeni ukouko kweni.
Sasa kwani Lazima coast. Si umpelekee kwengine
Mm nilikua naona waembu na wameru mko naakili kumbe mko wajinga sana😂😂 kwani ni lazima gani mtuletee sisi wa pwani si mkule wenyewe kama hauna madhara sisi HATUTAKi enough is enough
Ata kama natoka mlima Miraa and Muguka are harmful starting na vile magari zao huoperate with impunity
hatutakiiiii muko wengi huko mt Kenya kuleni wenyewe 😂😂
Mkiwa wengi hivo, c soko tayari...
Mogoka u can sell other counties its not a must kuuza counties ambaye governors wamekata kuingia usijipeleke huko ukijua utaenda hasara look for other county in kenya ambaye Is not banned n go sell ur goods utumie akili ufanye biashara kwengine ukienda msa wajua wazi ni kujitatakia hasara kisha ulalamike ni ya nn kenya ni kubwa u can go other counties do ur business ukijua utauza bila matatizo wala hasara. Cz huwezi kulazimisha ikiwa hawataki au fanya trade in with miraa n go sell msa simple as that usijtafutie hasara na ukijua uataumia hutolipwa hiyo hasara. Hii drama ya mogoka ni siasa duni truth will come out in the end
Undaya Undanya Thu Mwaka uuu
Tamu yaaooo. Why Pwani?? Si waende kuuza county za kwao huko. Na hawa watakao kufaidika. Si warudi ma kwao wakauze kwao. Wapeni watoto wenu wale kama wanavo kula sukuma wiki.
Watoto wako wanasoma lakini wengine waharibike
Why media is concerning on that PR instead of going to Coast and check whether pple have become zombies or not.We have MEWA,MSA CHILDREN HOME ETC