Wafanyibiashara wa muguka wadai kuvamiwa na wahuni njiani kuelekea Pwani

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • KTN NEWS LIVE
    Welcome to the 24/7 KTN Kenya News Channel on RUclips - your trusted source for the latest news and updates in Kenya and beyond. Stay informed with our comprehensive news coverage, breaking stories, in-depth analysis, and exclusive reports. Our live-streaming service brings you real-time updates on current affairs, politics, business, technology, health, entertainment, and much more. Join us and be a part of the conversation, and don't forget to subscribe for the latest news and updates. Stay connected with KTN Kenya News, your reliable news partner. #KTNKenya #NewsChannel #BreakingNews #KenyaNews #ktnprime #livestream #livenews
    SUBSCRIBE to our RUclips channel for more great videos:
    / ktnnewskenya
    Follow us on Twitter: / ktnnews
    Like us on Facebook: / ktnnewskenya
    KTN News is a leading 24-hour TV channel in Eastern Africa with its headquarters located along Mombasa Road, at Standard Group Centre. This is the most authoritative news channel in Kenya and beyond.
    Watch KTN Live www.ktnnews.com...
    Watch KTN News www.ktnnews.com
    Follow us on / ktnnews
    Like us on / ktnnews

Комментарии • 188

  • @MuhammadJaffary-uu6zl
    @MuhammadJaffary-uu6zl 3 месяца назад +31

    isiwe kesi si mwasema haina madhara!? kuleni huko muziane wenyewe kwa wenyewe tu mbona lazima mombasa

    • @magicmind6458
      @magicmind6458 3 месяца назад

      Kuleni pia dawa za kulevya kwenu na joho wenu.

  • @gulftranspoters1762
    @gulftranspoters1762 3 месяца назад +1

    Angalia vile wemekula mpaka wanashindwa kuongea

  • @bakariweko3958
    @bakariweko3958 3 месяца назад

    Kuleni nynyi uko kwenu sisi atutaki tena mwabiyeni raisi awatafutiye soko kwengine pwani wamekata

  • @hannan4508
    @hannan4508 3 месяца назад +32

    Mi naona Embu governor aiweke Kwa school feeding programme, hiyo muguka hata haita tosha embu county ama mnaonaje jamaa?🤣🤣🤣🤣🤣

  • @ShedrackTunje
    @ShedrackTunje 3 месяца назад +26

    Basi kwani lazima gani mpaka muuze mombasa?

  • @The_Observer0000
    @The_Observer0000 3 месяца назад +11

    Watu wa muguka wanalia biashara yao imeharibika, kwingineko wazazi wanalia watoto wao kuharibika. Hapa naona mfano wa muuza bangi akilalamikia serikali akisema biashara yake imeharibika.

  • @paulinemusa8823
    @paulinemusa8823 3 месяца назад +20

    Muguka must be banned for ever. Amen

  • @diyembarak5506
    @diyembarak5506 3 месяца назад +10

    MOMBASA hatutaki mugoka kule wenyewe kwani lazima COAST 😂😂😂

    • @tsumaanthonyndewa9696
      @tsumaanthonyndewa9696 3 месяца назад

      Sasa ni wajuee kuzitengeza salads wakulee. Free Muguka Pwani yote.

  • @jacklinezombo5806
    @jacklinezombo5806 3 месяца назад +16

    wauze uko kwao

  • @yusufsaid8911
    @yusufsaid8911 3 месяца назад +9

    LAZIMA GANI MPELEKE PWANI C MUKULE WENYEWE HUKO CENTRAL. ONE MAN ONE VOTE ONE SHILLING ONE BOX OF MNGOKAA

  • @mahmoodmohammed1679
    @mahmoodmohammed1679 3 месяца назад +15

    Wana lazima gani na Mombasa?

  • @alexinamaina794
    @alexinamaina794 3 месяца назад +8

    Peleka muguka sugoi nandi, Eldoret 😂😂😂😂😂😂

  • @alextercisio
    @alextercisio 3 месяца назад +13

    Kuleni hiyo migukaa uko kwenu hiyo mahakama ni ya embu si waseme iuzwe uko embu na meru .. Uharibu watoto wa wenyewe ndio wako wasome takataka uzeni uko kwenu
    Kama migukaa si drug si kesho mpeleke uko shuleni kwenu zitumiwe kwa food program as vegetables

    • @codeinswahili9505
      @codeinswahili9505 3 месяца назад

      Muguka ni mbaya na cocaine ni mzuri. Hiyo ni akili ya wapwani

    • @alextercisio
      @alextercisio 3 месяца назад

      @@codeinswahili9505 wewe unatumia akili ngani ama unatumia matako kufikilia ?? Kuna cocain uwa unauza kwa soko vile migukaa na hizo takataka za miraa huuzwa ?? Wacha usege cocaine huuzwa kama wamejificha unataka wapatwe aje ??

  • @elinamkare-vw2ro
    @elinamkare-vw2ro 3 месяца назад +6

    Kwa sababu nyinyi haiwadhuru kuleni wenyewe😂

  • @paulinemusa8823
    @paulinemusa8823 3 месяца назад +12

    Hata my governor Wavinya Ndeti amechelewa kutangaza no muguka in masaku county

  • @AbdallaMwagora-sm1rj
    @AbdallaMwagora-sm1rj 3 месяца назад +6

    MOMBASA mngoka hatutaaaki.

  • @HibiscusfamilyKE
    @HibiscusfamilyKE 3 месяца назад +10

    Hao wenye wanatafuna kwa camera wangelipia hizo wanatafuna hamngekosa school fees. Ama mgawane ile 500m mliopewa juzi na ruto.

  • @amrash9179
    @amrash9179 3 месяца назад +7

    Mbona msipeleke pokot hiyo kitu yenu?

  • @abdulali753
    @abdulali753 3 месяца назад +4

    Kwani lazima coast mutatumaliza kuleni nyinyi hatutaki Sisi mgukokaa

  • @fatumamwalimu5765
    @fatumamwalimu5765 3 месяца назад +2

    Hatutaki mugokaa pwani, kuleni wenyewe uko ,kwakua kwenu hazina madhara basi kuleni wenyewe

  • @abdulimalik416
    @abdulimalik416 3 месяца назад +4

    Uzeni huko kwani nilazima coast

  • @saidhashi2856
    @saidhashi2856 3 месяца назад +4

    Mombasa sio Kenya. Hiyo mugukaa tumekataa. Uzieni nchi jirani.

  • @ramagwama
    @ramagwama 3 месяца назад +7

    Kwni mna lazima gani muuze mgoks pwani .

  • @khammadjeffa515
    @khammadjeffa515 3 месяца назад +2

    Kenya has 47counties why can't you sell to the remaining 41 counties? Must you sell to the coastal counties???, si mkauze kwengine kama hawataki??

    • @felixmtalii5147
      @felixmtalii5147 3 месяца назад

      Kwn cost c kenya mjinga wwe

    • @vanjay8685
      @vanjay8685 3 месяца назад

      ​@@felixmtalii5147 you so stupid and backward...so you insult someone just because he doesn't share your sentiment...learn to respect other people's decisions

  • @abdurahimabdulkadir3926
    @abdurahimabdulkadir3926 3 месяца назад +6

    Hatuna haja ya kuja embu uzeni huko

  • @johnkahindi3184
    @johnkahindi3184 3 месяца назад +5

    Tena Bado mtawacha kuleta sum

  • @bonfasmallah3692
    @bonfasmallah3692 3 месяца назад +5

    Uziia wakikuyu coast ppl katae

  • @jameskazungu3129
    @jameskazungu3129 3 месяца назад +3

    Now we have to stop u by action not words anymore

  • @yusufkuto2020
    @yusufkuto2020 3 месяца назад +2

    MTAVAMIWA SANAA MANAKE MWATAKA KUJIFANYA PWANI NI YUNU,.MTAPIGWA SANAA TU NAWAAMBIA

  • @bahatisuleimangowa1980
    @bahatisuleimangowa1980 3 месяца назад +3

    Watoto wako wanasoma vizuri na watoto wa Mombasa wanakosa kusoma sababu ya mugoka

  • @stefanomwayele6761
    @stefanomwayele6761 3 месяца назад +3

    Si mlipewa doh na ruto si mgawanyiwe huko hiyo kwenu hatutaki mgox coast

  • @gugahmediaafrica9405
    @gugahmediaafrica9405 3 месяца назад +2

    Hii ni sawa kabisaa msitulazmishie kitu hatutaki

  • @Mitchellekyle
    @Mitchellekyle 3 месяца назад +3

    Hatutaki mugokaa pwani kuleni wenyewe huko kwani ni lazima pwani

  • @Vincentmwangi-co8hr
    @Vincentmwangi-co8hr 3 месяца назад +2

    Kuleni nyinyi

  • @Climate4
    @Climate4 3 месяца назад +4

    Kwani ni lazima ?

  • @adamjin777
    @adamjin777 3 месяца назад +2

    Watoto wenu wasome na wa pwani je??

  • @lucymwai7645
    @lucymwai7645 3 месяца назад +1

    Niko na swali lazima hiyo Muguka mupeleke Pwani peke yake? Pelekeni Muguka Ichi mzima.

  • @NafisaAhmed-g9k
    @NafisaAhmed-g9k 3 месяца назад +1

    Mombasa hatutaki mugokaa uzeni kwenu meru ni kiswahili hamuelewi

  • @silaschumba6561
    @silaschumba6561 3 месяца назад +2

    Mkule vitu yenu

  • @Irene-rt4bf
    @Irene-rt4bf 3 месяца назад +1

    Ukiamsha alielala utalala wewe tena bado mungu zifi kutupea nyoyo za ujasiri nadi tukome kudhalalishwa,uzeni kwenu mugox imetosha pwani

  • @ahmedabdi4884
    @ahmedabdi4884 3 месяца назад +1

    😂😂😂 hii kelele yote kwani ni lazima mombasa tule Goka hatutaki Goka lenu 😅😅

  • @bonfasmallah3692
    @bonfasmallah3692 3 месяца назад +3

    Wako populate it common sense a larger market is in mt Kenya

  • @CheerfulPrairieAnimals-hf7en
    @CheerfulPrairieAnimals-hf7en 3 месяца назад +1

    Kweni hiyo mpka ije coast si muuziyane nyinyi huko

  • @ambrosekiage7985
    @ambrosekiage7985 3 месяца назад +1

    Kuleni muguka,wacha kuuza sumu kwa watoto wetu wachawi nyinyi

  • @zulekhalidabdulnassir9773
    @zulekhalidabdulnassir9773 3 месяца назад +1

    Kama Haina madhara basi wapatiyeni watoto wa shule wale kama sukumawiki

  • @bonfasmallah3692
    @bonfasmallah3692 3 месяца назад +3

    Wauzie meru

  • @lewistonmeshoi4097
    @lewistonmeshoi4097 3 месяца назад +1

    Nyinyi watu wa Embu musiane..Nyinyi kwa Nyinyi,,

  • @juliusjamanda7313
    @juliusjamanda7313 3 месяца назад +1

    Sasa c mkule wenyewe mbona lazma pwani wapuzi ninyi

  • @madhuru2554
    @madhuru2554 3 месяца назад +1

    Kuleni wenyewe na zengine zipelekwe state house.

  • @AbdallaMwagora-sm1rj
    @AbdallaMwagora-sm1rj 3 месяца назад +1

    Wapeni watoto wenu wakule huo mngoka.

  • @michaelkauku9714
    @michaelkauku9714 3 месяца назад +1

    Our beloved governor ( mutula junior) umechelewa. Kindly ban this dirty and poisonous leaves from our beautiful county

  • @HassanMusyoka-gn8qp
    @HassanMusyoka-gn8qp 3 месяца назад +1

    UZENIII KWENU AMA PELEKENII ULAYAA MUPATEE DOLLAA SIO KWA WATOTO WA MASKINI AMAA MUUZEE STATE HOUSEE KWA MASONKO WENU HAO...

  • @dailysparktvke3540
    @dailysparktvke3540 3 месяца назад +1

    Sasa waonaje mkauzia uko kwenu, sisi hatutaki ama ni lazima mlete uku.

  • @abukarsheikh-qv2ye
    @abukarsheikh-qv2ye 3 месяца назад +1

    Mira na mgoga ni chafu ni mafi ya punda anaye kula mjinga

  • @coolbz133
    @coolbz133 3 месяца назад +1

    kitu cha kushangaza mbona mnalazimisha mgokaa uletwe mombasa pelekeni eldoret kakamega isiolo nanyuki kote huko hamtosheki mpaka mombasa hatutaki kuleni wenyewe

  • @Vincentmwangi-co8hr
    @Vincentmwangi-co8hr 3 месяца назад +2

    Lima maidi

  • @GilbertWanyonyi-zo2sq
    @GilbertWanyonyi-zo2sq 3 месяца назад +1

    Kuleni miraa,yenu huko embu

  • @africassafari4429
    @africassafari4429 3 месяца назад +1

    Embu governor begin diversify

  • @rayphyno
    @rayphyno 3 месяца назад +1

    Sasa kwani ni lazima😂😂

  • @terahedd2
    @terahedd2 3 месяца назад +1

    Wako wasome wetu wakose kupenda masomo.
    Aibuu muuze kwenu.

  • @lordenoughforme4417
    @lordenoughforme4417 3 месяца назад +1

    Bring foods not poison blad bursted

  • @yusufmwangichannel6692
    @yusufmwangichannel6692 3 месяца назад +1

    Kama haina madhara kwenu kuleni wenyewe na Kenya ni kubwa pelekeni counties zengine ambazo hazijafungia muguka

  • @TaifaPictures
    @TaifaPictures 3 месяца назад +1

    Kuleni huko

  • @abukhalid3446
    @abukhalid3446 3 месяца назад

    Tuje Hembu tufanye nini.... court Honda is not forod... unasema nini? Ama umekula Mugokaa??

  • @Vincentmwangi-co8hr
    @Vincentmwangi-co8hr 3 месяца назад +2

    Kwani lasima Mombasa

  • @babuuosama8752
    @babuuosama8752 3 месяца назад

    Pinga wao wapeleke Mokoka kwa County zao Atuji Embu na nyinyi musilate MUKOKO pwani Mukileta Kicha'apo ?

  • @kgchippy
    @kgchippy 3 месяца назад +1

    Why do they force Pwani to take that product? 😅😅😅c county ni mingi Kenya 47😀

  • @HashimSalim-yy1ix
    @HashimSalim-yy1ix 3 месяца назад

    Viongozi pwani na northeastern mupinge mogoka kabisa musikubali....mbona pombe si muache kupiga pombe vta

  • @rukiaabdul7191
    @rukiaabdul7191 3 месяца назад +1

    Kuleni wenyewe zao lenu jamani sio lazima Msa au pwani

  • @khodabax3875
    @khodabax3875 3 месяца назад

    Si muuze kwenu. Nyie musomeshe watoto wenu na pesa za mogoka na watoto wa Pwani waathirike na sumu za mogoka zenu. Kaeni mkijuwa kuwa Pwani ni Muengeraza/British ndio alibandikiza Kenya. PWANI INA WENYEWE NAO NI WANA PWANI.

  • @nassernasser1457
    @nassernasser1457 3 месяца назад

    Wahuni Gani?😮 Mko sure sio majini ya kwetu pwani tume yafunguwa?😂 Bado na magari yapenduke

  • @johnaviha2441
    @johnaviha2441 3 месяца назад +1

    Mnaenda nini Mombasa na muguka.

  • @ttttttt-c3d
    @ttttttt-c3d 3 месяца назад +1

    Shame on you.

  • @DANIELMACHARIA-d5y
    @DANIELMACHARIA-d5y 3 месяца назад +1

    Beba silaha kwa magari wachana na ujinga yao

  • @softjeanskhakis789
    @softjeanskhakis789 3 месяца назад

    Kama. Huna school fees mpatie mukogaa. Akule

  • @bint8178
    @bint8178 3 месяца назад

    Kwani NYIE MNALAZIMA GANI HADI MUUZE MOMBASA ??

  • @kinara5365
    @kinara5365 3 месяца назад

    Mnaenda kuchukua nini pwani na mliambiwa huko mgokaa ni marufuku? Mbona mlazimishe vitu?

  • @akthammuhammad7844
    @akthammuhammad7844 3 месяца назад

    Hatutaki mungokaaa tuwacheni tule drugs zingine bt mungokaaaa hatutaki.

  • @tsumaanthonyndewa9696
    @tsumaanthonyndewa9696 3 месяца назад

    Sasa si mpatie watoto wenu hizo salads kwani Pwani hazitaingia ng’ooo. Free Muguka in Pwani

  • @abudimwishahali
    @abudimwishahali 3 месяца назад

    Useless, nani anataka hiyo ujinga ya mugokaa !! Rudisheni kwenu, jinga hii.

  • @munaelmimohamed9912
    @munaelmimohamed9912 3 месяца назад

    😂😂Banana republic sounds good leta mandizi na mboga

  • @michaelkauku9714
    @michaelkauku9714 3 месяца назад

    Shameless kenyans, kuleni na watoto wenyu kama kweli muguka ni poa. Awa mama ni wazimu kabisa.other mothers are crying in the whole country because of muguka na nyinyi bado mnataka kuendeleana biashara.we will fight mpaka mta ng'oa hii miti yote

  • @HassanMngumi
    @HassanMngumi 3 месяца назад

    Kuleni nyinyi c lazma ije pwani qwan hku ndo qweni biaxhara ya mugokaa

  • @OKA12348
    @OKA12348 3 месяца назад

    Muguka is a drug pendeni msipendeni muguka lisheni au muharibu watoto wenu

  • @kahiyemohammed8556
    @kahiyemohammed8556 3 месяца назад

    Hawa Uzo yao na tazama hakuna mwenye anakulla moguka... mchanja sana muguka is dangerous even animals don't eat the leaves of mugoka,

  • @EMMANUELMWABONJE
    @EMMANUELMWABONJE 3 месяца назад

    Muwaongo huko kwenu hamkuli,Mimi nimetembea huko bara kote lakini sijaona watu wakila hiyo mugokaa,hata huko kwenu masoko Yako uzianeni wenyewe.

  • @EMMANUELMWABONJE
    @EMMANUELMWABONJE 3 месяца назад

    Muwaongo huko kwenu hamkuli,Mimi nimetembea huko bara kote lakini sijaona watu wakila hiyo mugokaa,hata huko kwenu masoko Yako uzianeni wenyewe.

  • @musagau-dy9dl
    @musagau-dy9dl 3 месяца назад +1

    Hatutaki mugoja .pelekeni Uganda ,Somali,Burundi na Tanzania si hauna madhara

  • @Nora-v1m3p
    @Nora-v1m3p 3 месяца назад

    Wameamka wa pwani wanasema tosha .hawataki moghoka silazima pwani uzeni kugine

  • @zulachama1067
    @zulachama1067 3 месяца назад +1

    Kwani lazima mpaka mombasa hiyo mugokaa hamjaona kwengine kwa kupeleka mombasa mliona nn,hatutaki mugokaa mombasa uzeni ukouko kweni.

  • @Aviator-predictor20247
    @Aviator-predictor20247 3 месяца назад

    Sasa kwani Lazima coast. Si umpelekee kwengine

  • @alfanmwatamu9030
    @alfanmwatamu9030 3 месяца назад

    Mm nilikua naona waembu na wameru mko naakili kumbe mko wajinga sana😂😂 kwani ni lazima gani mtuletee sisi wa pwani si mkule wenyewe kama hauna madhara sisi HATUTAKi enough is enough

  • @regent0014
    @regent0014 3 месяца назад

    Ata kama natoka mlima Miraa and Muguka are harmful starting na vile magari zao huoperate with impunity

  • @muzafarsharif9465
    @muzafarsharif9465 3 месяца назад

    hatutakiiiii muko wengi huko mt Kenya kuleni wenyewe 😂😂

  • @CharoHarrison-lf3jc
    @CharoHarrison-lf3jc 3 месяца назад

    Mkiwa wengi hivo, c soko tayari...

  • @abdulrahmanbagaran
    @abdulrahmanbagaran 3 месяца назад

    Mogoka u can sell other counties its not a must kuuza counties ambaye governors wamekata kuingia usijipeleke huko ukijua utaenda hasara look for other county in kenya ambaye Is not banned n go sell ur goods utumie akili ufanye biashara kwengine ukienda msa wajua wazi ni kujitatakia hasara kisha ulalamike ni ya nn kenya ni kubwa u can go other counties do ur business ukijua utauza bila matatizo wala hasara. Cz huwezi kulazimisha ikiwa hawataki au fanya trade in with miraa n go sell msa simple as that usijtafutie hasara na ukijua uataumia hutolipwa hiyo hasara. Hii drama ya mogoka ni siasa duni truth will come out in the end

  • @hassancharo1496
    @hassancharo1496 3 месяца назад

    Undaya Undanya Thu Mwaka uuu

  • @suuahmed71
    @suuahmed71 3 месяца назад

    Tamu yaaooo. Why Pwani?? Si waende kuuza county za kwao huko. Na hawa watakao kufaidika. Si warudi ma kwao wakauze kwao. Wapeni watoto wenu wale kama wanavo kula sukuma wiki.

  • @JnSmall
    @JnSmall 3 месяца назад

    Watoto wako wanasoma lakini wengine waharibike

  • @salimsibabu9027
    @salimsibabu9027 3 месяца назад

    Why media is concerning on that PR instead of going to Coast and check whether pple have become zombies or not.We have MEWA,MSA CHILDREN HOME ETC