MISTAKE | 5 |

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • Follow Me On Instagram
    / clamcris_
    Tiktok:
    / clam_cris
    Facebook:
    www.facebook.c...
    #clamvevo #comedy

Комментарии • 1,2 тыс.

  • @blessingselina1498
    @blessingselina1498 7 месяцев назад +117

    Aki nimechelewa lakini naomba like za mkenya kuitwa heri 🇰🇪🇰🇪

    • @HarrisonMohamed-be4mz
      @HarrisonMohamed-be4mz 7 месяцев назад +5

      Usijali

    • @Herimkufu
      @Herimkufu 7 месяцев назад +4

      Hahaha wajinaaa

    • @Blacksontigre25
      @Blacksontigre25 7 месяцев назад +1

      youtube.com/@Blacksontigre25?si=Jx3uKYB3EbalWOSf

    • @Janubaba-rz2xs
      @Janubaba-rz2xs 7 месяцев назад +1

      ruclips.net/video/_rth73hbavw/видео.htmlsi=PPh2JkaX3YAkPtNM

  • @rajabushedafa6397
    @rajabushedafa6397 7 месяцев назад +5

    Clam acha kulahisisha onyesha action sio mtu anakufa kizembe zembe kubari kuonyesha utofaut zaid ❤❤❤❤❤ nakukubar sana

    • @Janubaba-rz2xs
      @Janubaba-rz2xs 7 месяцев назад +1

      ruclips.net/video/_rth73hbavw/видео.htmlsi=PPh2JkaX3YAkPtNM

  • @musawaziri648
    @musawaziri648 7 месяцев назад +5

    hakuna kazi mbovu dhid ya CLAM VEVO nakubar sana jamaa kazi zako

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody5618 7 месяцев назад +4

    Clam my favourite comedian actor nakukubali sana❤❤❤🎉🎉🎉

  • @BarakaAmani-b4g
    @BarakaAmani-b4g 7 месяцев назад +20

    Namba Moja tumsaport clam vevo

  • @marojumamugha3062
    @marojumamugha3062 7 месяцев назад +71

    Ila huyu mbwa anajuaaaaa na hili jina limeendana kabisa na vitendo humo ndani this is MISTAKE ❤️❤️❤️❤️

  • @NigerianComedy700
    @NigerianComedy700 7 месяцев назад +30

    Umeua mwenetu tunakusupport sana

  • @AthumanMsendo
    @AthumanMsendo 7 месяцев назад +7

    Wa pili jaman mnipe maua yanguuu🎉🎉🎉❤❤ TEAM YA USHINDI

  • @EdinaShaban
    @EdinaShaban 7 месяцев назад +12

    hii mi bdo cjaielewa vzr

    • @AggyEmmanuel
      @AggyEmmanuel 7 месяцев назад

      Huelew nn maana ya mistake au huelew nn apo

    • @atotark3889
      @atotark3889 7 месяцев назад +1

      Bonge la movie hii wewe tuliza wenge utaielewa tu mdogo mdg

    • @Shabantiles
      @Shabantiles 7 месяцев назад

      Aanze upy kuangalia episode 1

    • @mohammedkidody5618
      @mohammedkidody5618 7 месяцев назад

      Mistake kwa kiswahili makosa

  • @sampalsa_Official
    @sampalsa_Official 7 месяцев назад +5

    Comment Number 1, achia #link apa
    Form Mozambique 🇲🇿
    #sampalsa

  • @FettySalum-go4vc
    @FettySalum-go4vc 7 месяцев назад +3

    Clam huyu mbwa ni balaa yeye anataka chapati na maharage😂😂😂😅

  • @nassatv1994
    @nassatv1994 7 месяцев назад +18

    Mapema sana nimewai

  • @AndersonRandu-o8i
    @AndersonRandu-o8i 7 месяцев назад +8

    Clam never disappoints much love bro vevo from Kenya😊

  • @eng.reru.4631
    @eng.reru.4631 7 месяцев назад +5

    Naifatilia❤❤❤❤kwa makin mno❤❤❤❤

  • @tonyjaa6102
    @tonyjaa6102 7 месяцев назад +3

    Woi nimedani mimi ni wa kwanza 😂😂😂❤ mnipatie likes 3😂😂😮

  • @WizkingBrboy
    @WizkingBrboy 7 месяцев назад +1

    🎉clam umezidi wana comédiens wote wa Tanzania🎉

  • @AdelaSamuel-o3t
    @AdelaSamuel-o3t 7 месяцев назад +1

    Nibonge la movie

  • @calvinmathiace9512
    @calvinmathiace9512 7 месяцев назад +1

    Nakubali kaka mzigo unazidi kupamba moto, what is next???? We are waiting for the next episode 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @AthumaniIsmail
    @AthumaniIsmail 7 месяцев назад +1

    Hiki kipande dairecta kacheza sana nampa ongera zake siris ndoinavyo takiwa iwe ivi lazima uwe na ham ya kuangalia kipande kinacho fata

  • @lawiwilondja2
    @lawiwilondja2 7 месяцев назад +5

    Vue par baba boys 🔥

  • @vagrant_tz
    @vagrant_tz 7 месяцев назад +4

    Umetisha sana Clam🎉

  • @aswaneliphas2271
    @aswaneliphas2271 7 месяцев назад +1

    Much love ❤from Kenya guys like back

  • @StacyChepkemoi
    @StacyChepkemoi 7 месяцев назад +9

    3 from kenya like zangu please

  • @niyomuzigamyichrispin6781
    @niyomuzigamyichrispin6781 7 месяцев назад +2

    Clam unaweza kabisa❤❤❤

  • @MukubwaSaidi
    @MukubwaSaidi 7 месяцев назад +9

    Miye ndo wakwanza

  • @AminathaSalim-zt6pm
    @AminathaSalim-zt6pm 7 месяцев назад +1

    Sijachelewa🎉🎉🎉❤

  • @mtushindirena2981
    @mtushindirena2981 7 месяцев назад

    Hongera sana vevo ila siku moja rusha episode mbili kwa pamoja

  • @herbertbavuma7228
    @herbertbavuma7228 7 месяцев назад

    Ila mwanetu vevo unahatari sana ,unatufikirisha mpaka unakera.

  • @Halima-gv6xe
    @Halima-gv6xe 7 месяцев назад

    Clam hiii mistake n nomaaaaaaa buanaaaaaaaa

  • @EzekielMabala-mk4pu
    @EzekielMabala-mk4pu 7 месяцев назад +8

    Wa kwanz leo jamn like zang

  • @Sayd-pi5lq
    @Sayd-pi5lq 7 месяцев назад +1

    Me naic huyu clam ni zombie 😂😂😂

  • @MaamakomboMkuluomar-pd6wn
    @MaamakomboMkuluomar-pd6wn 7 месяцев назад +4

    Two much-loved ❤❤

  • @abduliashiru9394
    @abduliashiru9394 7 месяцев назад

    Uyu ndo vevo bwana ni mtu mmoja amazing sana from Tz daaah! E bwana mi nammpa respect sana mskhkaji anajua sana🎉🎉🎉

  • @Khatib-xp6fp
    @Khatib-xp6fp 7 месяцев назад +7

    Safi sana

  • @daltontemboTv
    @daltontemboTv 7 месяцев назад

    @daltontembo Cram Vevo Kijana Mdgo Uwezo Wa Tembo Kazi zako zimekua Bora sanaaa Kwasasa Tanzania Haina Mtunzi wa Kukuzidi na kukalibia Uwezo wa Kazi zako Waambie Watangoja Sanaa by @daltontembo from Mbinga Ruvuma Tanzania 🇹🇿🇹🇿

  • @ThomasMayungaCharles
    @ThomasMayungaCharles 7 месяцев назад +1

    Clam unakitu kikubwa sana Do it.

  • @MaryamIssaAbdalla-og5wc
    @MaryamIssaAbdalla-og5wc 7 месяцев назад

    Vevo wewe ni kiboko hata mkuu wa kikosi umemmaliza wewe ni mtaalamu kweli hivi ilikuwaje baada ya kupigwa ngumi ya tumbo 😂😂 nimekuta mkuu wa kikosi chali big up bro

  • @Mariam-o5d
    @Mariam-o5d 7 месяцев назад

    Kazi nzuri ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @salumuhafidhimtabe
    @salumuhafidhimtabe 7 месяцев назад

    Police wamevaa lanyard bila vyeo 😂😂😂😂😂😂😂

  • @Misheckkazilist-cv2hb
    @Misheckkazilist-cv2hb 7 месяцев назад

    Ety utamla mama yangu pamoja na Dada zangu 😂😂 cram we siyo mwaminifu

  • @qpperboy1381
    @qpperboy1381 7 месяцев назад

    Isije ukawa ndoto 😂😂 kama best friend

  • @vincentwanga6642
    @vincentwanga6642 7 месяцев назад

    Eti Kwak Hilo, Clam ni Malaya😂😂😂😂atamla mama na dada😂😂😂

  • @zachariuhmutunga
    @zachariuhmutunga 7 месяцев назад

    Vevo nakutabua sana zindi kutupa Mambo....mistake Kali sana hii following from Kenya Nairobi

  • @ChristopherLucky-m5h
    @ChristopherLucky-m5h 7 месяцев назад

    Much love from DRC congo🇨🇩

  • @IBRAHIMOFFICIAL-k1c
    @IBRAHIMOFFICIAL-k1c 7 месяцев назад

    Clam uyo msenge hana mana kakunyima geto

  • @tuseypro
    @tuseypro 7 месяцев назад +1

    Ice watu watumia akili kweli kutuletea burudani ice

  • @kipkirui93
    @kipkirui93 7 месяцев назад

    Sioni kama itatoka ngine itashinda best friend hii hakuna kitu hapa

  • @KizuriWesaka
    @KizuriWesaka 7 месяцев назад

    Nakukubali sana mwamba

  • @protaspessa8615
    @protaspessa8615 7 месяцев назад

    Hongera sana kazi nzuri mno

  • @saumodzumbo9671
    @saumodzumbo9671 7 месяцев назад

    Kazi nzuri sana ❤❤❤❤❤

  • @florajoash173
    @florajoash173 7 месяцев назад

    VEvo umeamua kurudi nyumbani kwenyu bila kupanga sivyo 😅😅😅

  • @Dannexmusic
    @Dannexmusic 7 месяцев назад

    Hapa kenya tunafuatilia sana filamu za Clam Vevo

  • @Yosiafreddy
    @Yosiafreddy 7 месяцев назад +2

    Léo tena wakwanza from DRC ❤❤❤

  • @cleveraron446
    @cleveraron446 7 месяцев назад

    Aisee safi sanaaaa😅😅

  • @AshaMbeyu
    @AshaMbeyu 7 месяцев назад

    Imekuwaje hapo jamani 🎉🎉

  • @vdjvoskykenya
    @vdjvoskykenya 7 месяцев назад

    Kazi safi clam vevo ❤

  • @patricktegea1430
    @patricktegea1430 7 месяцев назад

    Daaah ungemdanganyatu huyo jamaa

  • @NiyinkingiyeLouis
    @NiyinkingiyeLouis 7 месяцев назад

    ❤❤ Muna weza sana

  • @sajmbrand
    @sajmbrand 7 месяцев назад

    Sajm nakufatilia broo kaz njema ila no changamoto kubwa sana ilikukuta😢😢

  • @eddscottvevo8147
    @eddscottvevo8147 7 месяцев назад

    Wewe Malaya we kaza😂

  • @thesundomgroup4878
    @thesundomgroup4878 7 месяцев назад

    Nk dodoma like moja gatan tz

  • @sospetersalvatory3499
    @sospetersalvatory3499 7 месяцев назад +1

    Daaah watu mko faster😂...nikajua nitakua wakwanza😁😁😁

  • @TuvaTuva-m2w
    @TuvaTuva-m2w 7 месяцев назад

    Kaz nzur Sana pongez

  • @zawadiChari
    @zawadiChari 7 месяцев назад

    Moto sana

  • @AsmaHassan-eb8pl
    @AsmaHassan-eb8pl 7 месяцев назад +1

    Hapo kwenye no za sm sjapenda😂

  • @mambomganizi
    @mambomganizi 7 месяцев назад

    Clam anazid kuimarika Kila epsd ya motoo

  • @Shalmanchapita
    @Shalmanchapita 7 месяцев назад

    jamaaa anajua

  • @jozzytozo
    @jozzytozo 7 месяцев назад

    U usege hatuoneshi mutu kapigwa VP umezingua sana clam inditi zako zazamani unapigwa gumi moja unatema damu edit miaka 10 ilopita jitaidi urekebixhe bullo unajua sana Ila kuna vitu bodo unaferi

  • @نورةكينيا
    @نورةكينيا 7 месяцев назад

    Hongera xna vevo ❤

  • @rizikladyherson8451
    @rizikladyherson8451 7 месяцев назад

    Clam usipende kuficha matukio y vifo twataka kuona ilikuaje plz

  • @Michaelernest214
    @Michaelernest214 7 месяцев назад

    Hapa bro ulikosea kdg kutengeneza muendanao wa move na chanzo cha kua rafik na bro kwenye move inaonesha ww siyo mwenyej wa jj lkn histor ya urafik nimmekutaniana kwenye jiji hilo hiko so hapa kwamm naona haija kaa sawa lkn big up upo vzr

  • @THIUS-pc3hk
    @THIUS-pc3hk 7 месяцев назад

    Tunapatikana nyamboge Geita

  • @ilungaamedeo9665
    @ilungaamedeo9665 7 месяцев назад +1

    Nimemaliza

  • @kebasonyotham1111
    @kebasonyotham1111 7 месяцев назад

    Hii movie uliishi maisha magumu sana

  • @dollar105
    @dollar105 7 месяцев назад +1

    Kwani mnakaanga youtube 😅anyway team clam waliochelewa mnipee like 10.

  • @comicvisual8661
    @comicvisual8661 7 месяцев назад

    Pale kwenye picha ya wanted si wangeweka namba ya simu😅

  • @wanjiBoy-s2l
    @wanjiBoy-s2l 7 месяцев назад +1

    Umetishaa kaka

  • @RukiyaButoyi-sk5nm
    @RukiyaButoyi-sk5nm 7 месяцев назад

    Safi saaana nilikuwa nimeyisubiri saana

  • @SIMONHERMAN-qv2ln
    @SIMONHERMAN-qv2ln 7 месяцев назад

    Nashaur uww unaweka tafsr ya kiingereza hapo chn il uongeze wafatliaj

  • @Ushindipeter
    @Ushindipeter 7 месяцев назад

    🎉🎉🎉🎉 wewe ni the best 💪

  • @ABDALLAHAMISI-q2e
    @ABDALLAHAMISI-q2e 7 месяцев назад

    Naona huyu jamaa anakuja kuziba pengo la Kanumba

  • @sarahkahindi6348
    @sarahkahindi6348 7 месяцев назад

    Team clam from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪mko wapi

  • @NIKE-tvt006
    @NIKE-tvt006 7 месяцев назад

    nimechelewa kidogo naombeni like za clam vevo jamani🎉🎉🎉🎉🔥🔥🔥

  • @AbdallahSaidi-vq4id
    @AbdallahSaidi-vq4id 7 месяцев назад

    Kazi mzuli 🎉

  • @nemamimi6438
    @nemamimi6438 7 месяцев назад +1

    Iyi kali ya mwaka kbs

  • @Yvesmsafiri
    @Yvesmsafiri 7 месяцев назад +230

    Kama wewe clam team gonga like hapo

    • @npiperito19
      @npiperito19 7 месяцев назад +4

      Kwanini tusigonge kwenye channel 🤪

    • @MwinyiSalim-d4j
      @MwinyiSalim-d4j 7 месяцев назад +2

      Kicheche bailamu Steve mweusi mbwela chibu doko kipara ingwe

    • @blessingselina1498
      @blessingselina1498 7 месяцев назад +2

      Clam wewe from Kenya 🇰🇪

    • @RannyBestquality
      @RannyBestquality 7 месяцев назад

      ​@@blessingselina1498OK.

  • @EmmanuelGembuya
    @EmmanuelGembuya 7 месяцев назад +85

    Hongera sana Clam Vevo kwa kazi nzuri utafika mbali sana na unaleta mapinduzi mapya ya tasnia ya Uigizaji. Tunakuombea na kundi lako lote. Keep the spirit burning.

  • @RahimuOmary-f9i
    @RahimuOmary-f9i 7 месяцев назад +381

    Mi ndo wa kwanza naombeni like tano

  • @mashiassenga8849
    @mashiassenga8849 7 месяцев назад +107

    Much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @pientopanadol1538
    @pientopanadol1538 7 месяцев назад +5

    Mbona hivi please nipe like zangu 😢

  • @princekillian3640
    @princekillian3640 7 месяцев назад +97

    much love from kenya 🇰🇪🇰🇪🔥

  • @EssieJr
    @EssieJr 7 месяцев назад +69

    Kabla ya waomba like kuvamia tumpe sifa zake clam🎉❤❤😂😂

  • @Cuteeeee477
    @Cuteeeee477 7 месяцев назад +21

    Yaani move za kicheche hazieleweki kabisa aje ajifunze hapa kwa mwamba ❤❤❤❤

    • @Daawaa.
      @Daawaa. 7 месяцев назад

      😂😂😂😂😂 yale matusi yake nayo

    • @VerooMpira-m7l
      @VerooMpira-m7l 7 месяцев назад

      Comedy na move wapi na wapi

  • @hansboytz7494
    @hansboytz7494 7 месяцев назад +16

    Move kali san CLAM Ukosei mwanangu mnapaswa mpew mauwa yenu🎉🎉🎉🎉 ila vipande vifupi Clam tunaomba tuongezee kidogo

  • @muhammedkhamis2566
    @muhammedkhamis2566 7 месяцев назад +28

    Sio mbaya japo nimechelewa lakn sio sana nipeni basi hapo izo like 5, Clam vevo never disappoint 🎉🎉❤

  • @iscopresentsmedia
    @iscopresentsmedia 7 месяцев назад +45

    Kazi nzuri sana vevo..🤝🤝🤝🤲

  • @RealOmmy-ip7yn
    @RealOmmy-ip7yn 7 месяцев назад +12

    Ooh my God. hii kweli ni MISTAKE. Hata huyo jamaa aliekufa hapo mwisho nae kafa kwa MISTAKE. Hakutakiwa kufa maana nilikuwa napenda anavyoigiza. Ni bora angekufa mwakatobe😂

  • @messefilim.
    @messefilim. 7 месяцев назад +28

    SAWA clam tunakuombea duwa mungu akuzidishie Amen 🕌

  • @RehemaSalim-d3g
    @RehemaSalim-d3g 7 месяцев назад +10

    Much ❤❤❤❤❤ from 🇰🇪 kenya.woow clam.umenifnya nacheka pkeang ka mwehu una mbio aky 😂😂😂

  • @faby4real587
    @faby4real587 7 месяцев назад +4

    vevo