@daltontembo Cram Vevo Kijana Mdgo Uwezo Wa Tembo Kazi zako zimekua Bora sanaaa Kwasasa Tanzania Haina Mtunzi wa Kukuzidi na kukalibia Uwezo wa Kazi zako Waambie Watangoja Sanaa by @daltontembo from Mbinga Ruvuma Tanzania 🇹🇿🇹🇿
Vevo wewe ni kiboko hata mkuu wa kikosi umemmaliza wewe ni mtaalamu kweli hivi ilikuwaje baada ya kupigwa ngumi ya tumbo 😂😂 nimekuta mkuu wa kikosi chali big up bro
U usege hatuoneshi mutu kapigwa VP umezingua sana clam inditi zako zazamani unapigwa gumi moja unatema damu edit miaka 10 ilopita jitaidi urekebixhe bullo unajua sana Ila kuna vitu bodo unaferi
Hapa bro ulikosea kdg kutengeneza muendanao wa move na chanzo cha kua rafik na bro kwenye move inaonesha ww siyo mwenyej wa jj lkn histor ya urafik nimmekutaniana kwenye jiji hilo hiko so hapa kwamm naona haija kaa sawa lkn big up upo vzr
Hongera sana Clam Vevo kwa kazi nzuri utafika mbali sana na unaleta mapinduzi mapya ya tasnia ya Uigizaji. Tunakuombea na kundi lako lote. Keep the spirit burning.
Ooh my God. hii kweli ni MISTAKE. Hata huyo jamaa aliekufa hapo mwisho nae kafa kwa MISTAKE. Hakutakiwa kufa maana nilikuwa napenda anavyoigiza. Ni bora angekufa mwakatobe😂
Aki nimechelewa lakini naomba like za mkenya kuitwa heri 🇰🇪🇰🇪
Usijali
Hahaha wajinaaa
youtube.com/@Blacksontigre25?si=Jx3uKYB3EbalWOSf
ruclips.net/video/_rth73hbavw/видео.htmlsi=PPh2JkaX3YAkPtNM
Clam acha kulahisisha onyesha action sio mtu anakufa kizembe zembe kubari kuonyesha utofaut zaid ❤❤❤❤❤ nakukubar sana
ruclips.net/video/_rth73hbavw/видео.htmlsi=PPh2JkaX3YAkPtNM
hakuna kazi mbovu dhid ya CLAM VEVO nakubar sana jamaa kazi zako
Clam my favourite comedian actor nakukubali sana❤❤❤🎉🎉🎉
Namba Moja tumsaport clam vevo
Ila huyu mbwa anajuaaaaa na hili jina limeendana kabisa na vitendo humo ndani this is MISTAKE ❤️❤️❤️❤️
Umeua mwenetu tunakusupport sana
Wa pili jaman mnipe maua yanguuu🎉🎉🎉❤❤ TEAM YA USHINDI
hii mi bdo cjaielewa vzr
Huelew nn maana ya mistake au huelew nn apo
Bonge la movie hii wewe tuliza wenge utaielewa tu mdogo mdg
Aanze upy kuangalia episode 1
Mistake kwa kiswahili makosa
Comment Number 1, achia #link apa
Form Mozambique 🇲🇿
#sampalsa
Clam huyu mbwa ni balaa yeye anataka chapati na maharage😂😂😂😅
Mapema sana nimewai
Clam never disappoints much love bro vevo from Kenya😊
Naifatilia❤❤❤❤kwa makin mno❤❤❤❤
Woi nimedani mimi ni wa kwanza 😂😂😂❤ mnipatie likes 3😂😂😮
🎉clam umezidi wana comédiens wote wa Tanzania🎉
Nibonge la movie
Nakubali kaka mzigo unazidi kupamba moto, what is next???? We are waiting for the next episode 🔥🔥🔥🔥🔥
Hiki kipande dairecta kacheza sana nampa ongera zake siris ndoinavyo takiwa iwe ivi lazima uwe na ham ya kuangalia kipande kinacho fata
Vue par baba boys 🔥
Umetisha sana Clam🎉
Much love ❤from Kenya guys like back
3 from kenya like zangu please
Clam unaweza kabisa❤❤❤
Miye ndo wakwanza
Sijachelewa🎉🎉🎉❤
Hongera sana vevo ila siku moja rusha episode mbili kwa pamoja
Ila mwanetu vevo unahatari sana ,unatufikirisha mpaka unakera.
Clam hiii mistake n nomaaaaaaa buanaaaaaaaa
Wa kwanz leo jamn like zang
Me naic huyu clam ni zombie 😂😂😂
Two much-loved ❤❤
Uyu ndo vevo bwana ni mtu mmoja amazing sana from Tz daaah! E bwana mi nammpa respect sana mskhkaji anajua sana🎉🎉🎉
Safi sana
@daltontembo Cram Vevo Kijana Mdgo Uwezo Wa Tembo Kazi zako zimekua Bora sanaaa Kwasasa Tanzania Haina Mtunzi wa Kukuzidi na kukalibia Uwezo wa Kazi zako Waambie Watangoja Sanaa by @daltontembo from Mbinga Ruvuma Tanzania 🇹🇿🇹🇿
Clam unakitu kikubwa sana Do it.
Vevo wewe ni kiboko hata mkuu wa kikosi umemmaliza wewe ni mtaalamu kweli hivi ilikuwaje baada ya kupigwa ngumi ya tumbo 😂😂 nimekuta mkuu wa kikosi chali big up bro
Kazi nzuri ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Police wamevaa lanyard bila vyeo 😂😂😂😂😂😂😂
Ety utamla mama yangu pamoja na Dada zangu 😂😂 cram we siyo mwaminifu
Isije ukawa ndoto 😂😂 kama best friend
Eti Kwak Hilo, Clam ni Malaya😂😂😂😂atamla mama na dada😂😂😂
Vevo nakutabua sana zindi kutupa Mambo....mistake Kali sana hii following from Kenya Nairobi
Much love from DRC congo🇨🇩
Clam uyo msenge hana mana kakunyima geto
Ice watu watumia akili kweli kutuletea burudani ice
Sioni kama itatoka ngine itashinda best friend hii hakuna kitu hapa
Nakukubali sana mwamba
Hongera sana kazi nzuri mno
Kazi nzuri sana ❤❤❤❤❤
VEvo umeamua kurudi nyumbani kwenyu bila kupanga sivyo 😅😅😅
Hapa kenya tunafuatilia sana filamu za Clam Vevo
Léo tena wakwanza from DRC ❤❤❤
Aisee safi sanaaaa😅😅
Imekuwaje hapo jamani 🎉🎉
Kazi safi clam vevo ❤
Daaah ungemdanganyatu huyo jamaa
❤❤ Muna weza sana
Sajm nakufatilia broo kaz njema ila no changamoto kubwa sana ilikukuta😢😢
Wewe Malaya we kaza😂
Nk dodoma like moja gatan tz
Daaah watu mko faster😂...nikajua nitakua wakwanza😁😁😁
Kaz nzur Sana pongez
Moto sana
Hapo kwenye no za sm sjapenda😂
Clam anazid kuimarika Kila epsd ya motoo
jamaaa anajua
U usege hatuoneshi mutu kapigwa VP umezingua sana clam inditi zako zazamani unapigwa gumi moja unatema damu edit miaka 10 ilopita jitaidi urekebixhe bullo unajua sana Ila kuna vitu bodo unaferi
Hongera xna vevo ❤
Clam usipende kuficha matukio y vifo twataka kuona ilikuaje plz
Hapa bro ulikosea kdg kutengeneza muendanao wa move na chanzo cha kua rafik na bro kwenye move inaonesha ww siyo mwenyej wa jj lkn histor ya urafik nimmekutaniana kwenye jiji hilo hiko so hapa kwamm naona haija kaa sawa lkn big up upo vzr
Tunapatikana nyamboge Geita
Nimemaliza
Hii movie uliishi maisha magumu sana
Kwani mnakaanga youtube 😅anyway team clam waliochelewa mnipee like 10.
Pale kwenye picha ya wanted si wangeweka namba ya simu😅
Umetishaa kaka
Safi saaana nilikuwa nimeyisubiri saana
Nashaur uww unaweka tafsr ya kiingereza hapo chn il uongeze wafatliaj
🎉🎉🎉🎉 wewe ni the best 💪
Naona huyu jamaa anakuja kuziba pengo la Kanumba
Team clam from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪mko wapi
nimechelewa kidogo naombeni like za clam vevo jamani🎉🎉🎉🎉🔥🔥🔥
Kazi mzuli 🎉
Iyi kali ya mwaka kbs
Kama wewe clam team gonga like hapo
Kwanini tusigonge kwenye channel 🤪
Kicheche bailamu Steve mweusi mbwela chibu doko kipara ingwe
Clam wewe from Kenya 🇰🇪
@@blessingselina1498OK.
Hongera sana Clam Vevo kwa kazi nzuri utafika mbali sana na unaleta mapinduzi mapya ya tasnia ya Uigizaji. Tunakuombea na kundi lako lote. Keep the spirit burning.
❤❤❤❤❤
❤❤❤
5o
ruclips.net/video/_rth73hbavw/видео.htmlsi=PPh2JkaX3YAkPtNM
Mi ndo wa kwanza naombeni like tano
Umetisha
youtube.com/@R.O_FELICY?si=o0Rp6azPfAqgYdx9
❤unaweza clam
🎉🎉
zimezd ..nigawie na mimi 5 🤣🤣🤣🤣
Much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mbona hivi please nipe like zangu 😢
much love from kenya 🇰🇪🇰🇪🔥
Kabla ya waomba like kuvamia tumpe sifa zake clam🎉❤❤😂😂
Yaani move za kicheche hazieleweki kabisa aje ajifunze hapa kwa mwamba ❤❤❤❤
😂😂😂😂😂 yale matusi yake nayo
Comedy na move wapi na wapi
Move kali san CLAM Ukosei mwanangu mnapaswa mpew mauwa yenu🎉🎉🎉🎉 ila vipande vifupi Clam tunaomba tuongezee kidogo
Sio mbaya japo nimechelewa lakn sio sana nipeni basi hapo izo like 5, Clam vevo never disappoint 🎉🎉❤
Kazi nzuri sana vevo..🤝🤝🤝🤲
Ooh my God. hii kweli ni MISTAKE. Hata huyo jamaa aliekufa hapo mwisho nae kafa kwa MISTAKE. Hakutakiwa kufa maana nilikuwa napenda anavyoigiza. Ni bora angekufa mwakatobe😂
SAWA clam tunakuombea duwa mungu akuzidishie Amen 🕌
Much ❤❤❤❤❤ from 🇰🇪 kenya.woow clam.umenifnya nacheka pkeang ka mwehu una mbio aky 😂😂😂
vevo