Wimbo, mzuri saana, tafuteni wataalamu wa muziki wa kikatoliki wawarekebishe kwenye baadhi ya maeneo hasa pale sauti zinapopanda juu saana Mmevaa Mavazi mazuri Sana ya asili na mmefanana wote na Mavazi yanaonekana ni ya garama Sana Ushauri wangu mnatakiwa kwenda studio nzuri kuurekodi wimbo huu halafu apatikane mtaalamu mzuri wa video awatengenezee hii itatikisa dunia
moja ya makabila tanzania pamoja na africa yaliyotunza na kuhifahdi utamaduni wa asili,imba yao inadhilisha wazi kwamba wana furaha na aman kwa kuendeleza asili yao na MUNGU wa mbinguni awabariki
Wimbo, mzuri saana, tafuteni wataalamu wa muziki wa kikatoliki wawarekebishe kwenye baadhi ya maeneo hasa pale sauti zinapopanda juu saana
Mmevaa Mavazi mazuri Sana ya asili na mmefanana wote na Mavazi yanaonekana ni ya garama Sana
Ushauri wangu mnatakiwa kwenda studio nzuri kuurekodi wimbo huu halafu apatikane mtaalamu mzuri wa video awatengenezee hii itatikisa dunia
Chukueni Ushauri huu Kwaya ya Moita @Sanare Mollel
Wimbo mzuri Sana. pongezini wote
Kesidai oleng', barikiweni sana
How many time do I watch to have enough of this?
I guess countless ❤️❤️
moja ya makabila tanzania pamoja na africa yaliyotunza na kuhifahdi utamaduni wa asili,imba yao inadhilisha wazi kwamba wana furaha na aman kwa kuendeleza asili yao na MUNGU wa mbinguni awabariki
this is so interesting
I really love this choir 👌👌
Longido hongereni lakn ,hii kwaya ni balaaa sanaaa
Nice.... i love it. Kweli waTZ siku hizi hawataki kubaki Nyumba. Mpaka wamasai wamejitoa namna hii!
Mungu awainue zaidi engajanga Nanyor💓💖💖
Nimeipenda, ujuzi wa Hali ya juu mno,
Very nice 🎉🎉❤
Kama sikosei, usukani kashikilia Mwalimu Lorpusi na wenzake, nawependa sana nyie jamaa, Mungu awape hatua zaidi.
Good sing thank good bless
SAFI KABISA WAIMBAJI ENDELEENI KUIMBA WAMAMA OYEE:
So much intresting
metamaiyiana intae ENKAI Enkajang' nanyorr
Napenda sanaa...be blessed Maasai channel 💪💪💪
🙏🙏Tuko pamoja sana
Fire GOSPEL clip, njoo emayian ntae Olaitoriani
The energy is too high
Nice song
Nice one
Kweli ni moto wa kuotea mbali
It's amazing song
Safe sana natamani nijiunge nanyi nimependa
Safi sana ❤
Kwaya Bora
this is very amazing
Ashe tukul!
Endasupai naleng
Metamayana indae engai olosholai lemaa tendaraki osilongolio sidai lengisisa enye
nnje kimayani Ngai
Tuombe radhi hii ni kwaya ya Upendo Moita na sii ya simanjiro.
🙏🙏🙏Tutarekebisha title
Daulod
Neema
Hakik mmeimb sn
Sidai Oleng!
Hakika wameimba
Wako vizuri sana
Sidai tukulu
Hii kwaya ni ya wapi
Moita Bwawani
Kwaya ya nani??
Very beautiful. Greetings from Hungarian guy.