🔴Baada ya ukame wa Kiungo Mkabaji kwa miaka 3 sasa Simba yapata kinda wa miaka 23 zaidi ya Thadeo

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024
  • #simba #michezo #burudani #simbasc #kochawasimba #benchikha #usajilisimba2023na2024

Комментарии • 10

  • @FashionarKing
    @FashionarKing 9 месяцев назад +1

    Yaa inapendeza sis mashabiki furaha yetu tuone Simba inacheza mpira wakuonekana napia ushindi

  • @bmmbashatv4917
    @bmmbashatv4917 9 месяцев назад +1

    Simba Kaz kaz

  • @edwardmizambwa237
    @edwardmizambwa237 9 месяцев назад +1

    Simba inaye kiungo mzuri sana mkabaji.
    Ninyi waandishi ni watu wa kukariri tu.
    Unadhani Khanuti si zaidi ya mganda au mbrazili.
    Acheni hizo

  • @mohammedgulamali8849
    @mohammedgulamali8849 9 месяцев назад +1

    Na wako bazi ya viongozi hapo Simba wana hujumu Simba waondoke.

  • @BrunoBenson-b2c
    @BrunoBenson-b2c 9 месяцев назад +1

    Husen aondoke utakuja ww tumia akili acha kulopoka Kwa kuiga

  • @YunusiKHatibu
    @YunusiKHatibu 9 месяцев назад +1

    Mkumbuke kua jutudanganya sisi wanasimba tumechoka mwatakiwa mkilete jina kamili la mchezaji iwe ni kweli sio mtufanye mambumbumbu sawa

  • @joelmichael9752
    @joelmichael9752 9 месяцев назад +1

    Badala ya kutuonesha huyo kiungo wewe unawaonesha wachezaji wengine,we lofa nini!

  • @SamsonManga-v7y
    @SamsonManga-v7y 9 месяцев назад +1

    Wee acha2

  • @sangaelly8548
    @sangaelly8548 9 месяцев назад +1

    Nitaamini akitua Dar

  • @mohammedgulamali8849
    @mohammedgulamali8849 9 месяцев назад +1

    Kapombe. Manula. Mohamed.Hussein. chama. Waondoke Hapo Simba.