ABDUL NONDO NA MOHAMMED KAWAIDA WANYUKANA KWA HOJA KWENYE MDAHALO WA VIJANA.
HTML-код
- Опубликовано: 24 май 2024
- #JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►RUclips: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Safi sana upo vinzur katibu wetu vijana
Nusrat Hanje mwenyewe ni sellout inayotokana na chaguzi chafu..anawezaje leo kujadili uchaguzi safi wkt yupo bungeni kwa mlango wa uhani??
CCM HAKIKA haitakuja kutoa nafasi ya katiba mpya, wanajua wazi kuwa pindi katiba itakapobadilika hawawezi kuwepo kwenye kuongoza Nchi. La pili, katiba mpya ikipatikana CCM inaogopa madai ya mengi mabaya ambayo imeyafanya ikiwa ni pamoja na kupitisha mikataba ya hovyo inayo liangamiza taifa hili, pamoja na ubadhirifu wa rasilimali za Nchi na fedha. Kwa sababu hizi tu chache ndizo hupelekea ccm kukataa kutengeneza katiba ingine. Na mwisho ung'ang'anizi wa kuwa kwenye Mwuungano ambao hauna tija na Tanganyika.
Kwahiyo Ndo Umeshasalenda Tiyari!!
Lazima Vijana Tuamke Tupiganie Taifa Letu Acheni Kulala na Uwoga Usio na Maana "
Asate sana
Wanasikia lakini mmmmm ccm mungu anawaona
Point
Ww unasitaili kuwa chadema njoo chadema
Totoic lyrics
NI UASANII TU ,ATI MGENI RASMI MAJALIWA HAO HAO NDIO WANAOMINYA KATIBA MPYA HAO HAO WANAKUWA WAGENI RASMI ,kweli Tanzania ni nchi iliyokuwa watu wake kama mandondocha
Nondo yuko vzur sana ila kama hauna D mbil huwez elewa
Tatizo lipo kwenye d zenye uchawa!
Katiba mpya ndo inayo takiwa ubabaishaji wenu wakipumbavu hata pwent zenu watu wa ccm hazina maana yoyote katiba ndo inayo tumika nchi nyingi nyie mnakata katiba ili muendelee kunyanyasa watu wapuuz nyie
Abdul Nondo Piga NONDO Mpaka Mifumo Kandamizi iondoke Maaana CCM Wametufikisha Pabaya Mabadiliko Ni Sasa Maana wenzetu CHINA vs TAIWAN,,
TANZANIA vs ZANZIB,
ISRAEL vs PALESTINA
RUSSIA vs UKRAINE
Mabadiliko Ni Sasa HATUTAKI MUUNGANO KANDAMIZI na HATUTAKI KATIBA MBOVU YA CCM IMETUFIKISHA PABAYA "
Vijana wa ccm nao wamerithi kusifia wakati vijana wa upinzani wamejikita kwenye kujenga hoja,tulipo haparidhishi
Vijana wa ccm na wapizani nitofauti sana sawa na A na z
Viti maarumu kwa vijana siungi mkono maana hapo watateua watoto zao na nashemeji zao ni bora vijana wapiganie nafasi wenyewe, au ajira za majeshi ziongezwe pasipo na vigezo vya elimu ili kila kijana apate fursa ya ajira,
Hiyo CCM ni boya kabisa
CCM mmeshindwa tazama hata hoja mnazozitoa hazina mashiko. Kama kweli mnapendwa kwanini mnaogopa tume huru yauchaguzi na katiba Mpya?
Nondo kaongea point kubwa alivyomaliza watu wote mngeondoka tu,huyu mzungumzaji baada ya Nondo anabwabwaja tu kutetea chama chake. Hamna kbs usawa wala demokrasia nchini kwetu,hawa ccm wanatutafuna tu kila mara wanatuchota akili. Nondo pia ameongea kama mtu mwenye kiu jangwani kapata tone la mvua kinywani so plz tuwe makini sn na hawa chawa wa ccm
Nondo unatema nondo tupu maneno yako yanavunja vunja awo viraza wa ccm, serikali ya mitaa kukiwa na ouzo taifa zima ni funza tupu wageni wakija kutembea wanaziba pua, tunaitaji katiba mpya.
Dogo kaiva pongezi kwa zito
Wewe ni chawa. Tunataka katiba. Hospitali hozo bila ya katiba mpya majengo hayo yatakuwa ni magofu tu.
Viti maalumu vya nini ni uchawa huo hebu ongea hoja zinazoweza kutusogeza mbele !!!!!
Tume ya uchaguzi iwe huru idadi ya vijana nini fisiyemu. Acha ubabaishaji
Ukisema tupeleke mahosipitali au mashule, swali ni je, basi tusiwe tunafanya uchaguzi tupeleke mashule na mahosipitali. Poor reasoning 😂😂😂
Huyu wa ccm pumbavu sana
Mjumbe wa Ccm Huna lolote, wewe umetumwa kuleta hoja nyepesi za ung'ang'anizi tu. Hayo mnayosema muyalete kwanza mlianza tangu 1977 wala hamjamaliza, hamtamaliza, Yatamalizwa na katiba ya wananchi. ufisadi unazidi tu wala hakuna kuwajibishana kuzitapika!
CCM WAMEOSA KAMA MASHOGA. HATA KUONGEA HAJUI WANACHOKITAKA🤣🤣🤣!
Taratibu basi kwami ugonvi
Nondo nimekuelew aliyefuat simuelew
Nyie vijana wa ccm huwa mnaona hi nchi kama mali zababazenu tz niyawote sio nyie kundi lawatu wachache nababazenu
Kwa nini vijana tu,hao vijana hawana wazazi au mababu?.
Na wao walikua vijana, inategemea pia Kwenye ujana wao walifanya nini😅
Vijana Wana angalia kesho Yao, Mababu wanafikiria Jana Yao!
Wewe nani kakwambia katiba inglesa mabadiliko hacha kuwadanganya watu jitume
Jielimishe katiba maana yake nini. Acha ushabiki usio na maana.
WAATHIRIKA WA UTAWALA MBOVU SIYO KUNDI MAALUM KM LA VIJANA KIPEKEE BALI NI WANANCHI WOTE!
HIVYO NI WAJIBU WA WANANCHI WOTE KWA PAMOJA KUPAMBANIA KWA KUPAZA SAUTI KUDAI KATIBA MPYA!