DIAMOND KABLA YA MSAMAHA ALISUKUMWA NA ZUCHU JUKWAANI NA KUDONDOKEA KISOGO 😳

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 37

  • @user-wl8cq2rn8z
    @user-wl8cq2rn8z 4 месяца назад +1

    Zuchu you are really amazing, me looking at your stomach feeling a lots. I didn't notice you are such beautiful 😢

  • @louloubika8603
    @louloubika8603 4 месяца назад +3

    Great performance Zuchu ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @Kambachurchgal-hg4zx
    @Kambachurchgal-hg4zx 4 месяца назад +10

    Wakwanza naombeni like zenu❤❤

  • @mwanamisi1808
    @mwanamisi1808 4 месяца назад +3

    Zuchu mrembo basi tu! Huyu diamond hajielewi

  • @user-zm8wo1ue7e
    @user-zm8wo1ue7e 4 месяца назад +3

    Zuchu muogope mungu fanya toba

  • @Neema-qm9kk
    @Neema-qm9kk 4 месяца назад +2

    Mnamtania Mungu

  • @user-lq4tu7sw1y
    @user-lq4tu7sw1y 3 месяца назад +2

    Taratibu msinikànyag e

  • @ashurahassan1293
    @ashurahassan1293 4 месяца назад +2

    Mmmmh nipite zangu

  • @user-wb9py4fh4g
    @user-wb9py4fh4g 3 месяца назад

    nakupenda sana

  • @user-gu2dj3qg6w
    @user-gu2dj3qg6w 4 месяца назад +1

    Hawezi kumsukuma boss wake

  • @user-tt4do5zz1w
    @user-tt4do5zz1w 3 месяца назад

    Pole dear

  • @marynjambi2640
    @marynjambi2640 4 месяца назад +2

    sasa huyu naye,zuchu what is she saying surely nonsense tupu

  • @user-rn4tm2yd2i
    @user-rn4tm2yd2i 4 месяца назад +2

    Love you so much 💗

  • @user-gi4si8is1o
    @user-gi4si8is1o 4 месяца назад +1

    ❤❤❤❤❤

  • @user-dg6tr2gj3v
    @user-dg6tr2gj3v 4 месяца назад +1

    ❤❤

  • @user-yq4sn6cq1l
    @user-yq4sn6cq1l 4 месяца назад +1

    Neema-km9kk. Ukona mavi kicwani kbsa 😂

  • @FaridaFaridaseif
    @FaridaFaridaseif Месяц назад

    Kitumbo kinamwagika sijui ana abosheni sanaa nimewaza tu. Kampotezea simba kanenepa

  • @user-zq3lg1op5s
    @user-zq3lg1op5s 4 месяца назад +1

    Good

  • @zuungawanga5347
    @zuungawanga5347 4 месяца назад +1

    Mh

  • @PascaLwesso-sf4qi
    @PascaLwesso-sf4qi 4 месяца назад +1

    👿👿👿👿👿👿👿

  • @LisaJonathani
    @LisaJonathani 4 месяца назад

    Kukaa Uchida mtoto wa kiislam mmh

  • @giant_701
    @giant_701 4 месяца назад

    Aliposukumwa ni wapi jmn

  • @Neema-qm9kk
    @Neema-qm9kk 4 месяца назад +7

    Unajua wakati mwingine mnamkufuru Mungu haiwezekani mtu umevaa mavazi ya kihuni kisha unamtaja Mungu. Hivi mnamchuliaje au mnaona Ni kiumbe cha kawaida.

    • @Octavinaelisa-fn6js
      @Octavinaelisa-fn6js 4 месяца назад

      Wewe nae huyo yupo kazini .utakalia kulalamika mwenziyo anapiga hatua hiyo ndovaa ya wasanii nandomaana kaitwa msanii

    • @Neema-qm9kk
      @Neema-qm9kk 4 месяца назад +1

      Mimi mwenyewe mafanikio yangu yananitosha wala sitamani maisha yake. Ila sio vizuri kumtaja Mungu hovyo jina la Mungu linatakiwa liheshimiwe sasa mtu umevaa nguo za kukuacha viungo vya mwili wazi tena kwenye maeneo ya starehe kisha unamtaja Mungu. Tujifunze kumuogopa

    • @nemamwachepha1545
      @nemamwachepha1545 4 месяца назад

      Ssa. Ivyo alivyo japo juu ya jukwaa akili yoye Iko duniani hajui kuwa Kuna muumba wa mbingu na ardhi lazima abudiwe, je Hali iyo sai akizima na kukata roho juu ya jukwaa ataenda mjibi nini Allah, umati white wamuina uchi wake , KUAMBIANA ni sawa ila Allah ndio ajua zaidi, ​@@Octavinaelisa-fn6js

    • @starlinewere4696
      @starlinewere4696 4 месяца назад

      We nae mafeelings ni za Nini,,si ametaja mungu kwa shukrani,,,,,hajamtaja kwa maneno mabaya,,,heri yeye amevaa hivi anamtaja mungu peupe kuliko wale wanajifanya wasafi mchana na usiku ni wahuni.

  • @user-xj7ek3bo4w
    @user-xj7ek3bo4w 4 месяца назад

    Limiveli maisha king'ingi'';

  • @fatmasalim8869
    @fatmasalim8869 4 месяца назад

    Diamond platnumz ajatulia na atotulia kabisa

  • @user-ox6ow1zq9u
    @user-ox6ow1zq9u 3 месяца назад

    Zuchu?kama uta nisikia, ningependa uache kuimbi kinadamu mana unatuaribu SS wadogo zako

    • @DarkCitian
      @DarkCitian 3 месяца назад

      Uko serious wewe...kwani is it a must you listen to her music.

  • @faithdoris2606
    @faithdoris2606 4 месяца назад +1

    Zuchu sikuizi anaimba akuna😏

    • @user-mt8jd9yx7x
      @user-mt8jd9yx7x 4 месяца назад

      Mung akujarie

    • @ruthngendo6414
      @ruthngendo6414 4 месяца назад

      Umeimba ngapy nogwe wwe😏

    • @roseamon7906
      @roseamon7906 4 месяца назад

      Sana tu siku hizi kaishiwa Hana nyimbo ukweli ndo huo na ukweli unauma Sana lazima mapovu yawatoke

    • @mjaweathman6519
      @mjaweathman6519 3 месяца назад

      Kabisa ameishiwa na mashairi