Unajua wakati mwingine mnamkufuru Mungu haiwezekani mtu umevaa mavazi ya kihuni kisha unamtaja Mungu. Hivi mnamchuliaje au mnaona Ni kiumbe cha kawaida.
Mimi mwenyewe mafanikio yangu yananitosha wala sitamani maisha yake. Ila sio vizuri kumtaja Mungu hovyo jina la Mungu linatakiwa liheshimiwe sasa mtu umevaa nguo za kukuacha viungo vya mwili wazi tena kwenye maeneo ya starehe kisha unamtaja Mungu. Tujifunze kumuogopa
Ssa. Ivyo alivyo japo juu ya jukwaa akili yoye Iko duniani hajui kuwa Kuna muumba wa mbingu na ardhi lazima abudiwe, je Hali iyo sai akizima na kukata roho juu ya jukwaa ataenda mjibi nini Allah, umati white wamuina uchi wake , KUAMBIANA ni sawa ila Allah ndio ajua zaidi, @@Octavinaelisa-fn6js
We nae mafeelings ni za Nini,,si ametaja mungu kwa shukrani,,,,,hajamtaja kwa maneno mabaya,,,heri yeye amevaa hivi anamtaja mungu peupe kuliko wale wanajifanya wasafi mchana na usiku ni wahuni.
Zuchu you are really amazing, me looking at your stomach feeling a lots. I didn't notice you are such beautiful 😢
Great performance Zuchu ❤❤❤❤❤❤❤❤
Wakwanza naombeni like zenu❤❤
❤❤❤❤❤❤
Zuchu mrembo basi tu! Huyu diamond hajielewi
Zuchu muogope mungu fanya toba
Mnamtania Mungu
Taratibu msinikànyag e
Mmmmh nipite zangu
nakupenda sana
Hawezi kumsukuma boss wake
Pole dear
sasa huyu naye,zuchu what is she saying surely nonsense tupu
Love you so much 💗
❤❤❤❤❤
❤❤
Neema-km9kk. Ukona mavi kicwani kbsa 😂
Kitumbo kinamwagika sijui ana abosheni sanaa nimewaza tu. Kampotezea simba kanenepa
Good
Mh
👿👿👿👿👿👿👿
Kukaa Uchida mtoto wa kiislam mmh
Aliposukumwa ni wapi jmn
Unajua wakati mwingine mnamkufuru Mungu haiwezekani mtu umevaa mavazi ya kihuni kisha unamtaja Mungu. Hivi mnamchuliaje au mnaona Ni kiumbe cha kawaida.
Wewe nae huyo yupo kazini .utakalia kulalamika mwenziyo anapiga hatua hiyo ndovaa ya wasanii nandomaana kaitwa msanii
Mimi mwenyewe mafanikio yangu yananitosha wala sitamani maisha yake. Ila sio vizuri kumtaja Mungu hovyo jina la Mungu linatakiwa liheshimiwe sasa mtu umevaa nguo za kukuacha viungo vya mwili wazi tena kwenye maeneo ya starehe kisha unamtaja Mungu. Tujifunze kumuogopa
Ssa. Ivyo alivyo japo juu ya jukwaa akili yoye Iko duniani hajui kuwa Kuna muumba wa mbingu na ardhi lazima abudiwe, je Hali iyo sai akizima na kukata roho juu ya jukwaa ataenda mjibi nini Allah, umati white wamuina uchi wake , KUAMBIANA ni sawa ila Allah ndio ajua zaidi, @@Octavinaelisa-fn6js
We nae mafeelings ni za Nini,,si ametaja mungu kwa shukrani,,,,,hajamtaja kwa maneno mabaya,,,heri yeye amevaa hivi anamtaja mungu peupe kuliko wale wanajifanya wasafi mchana na usiku ni wahuni.
Limiveli maisha king'ingi'';
Diamond platnumz ajatulia na atotulia kabisa
Zuchu?kama uta nisikia, ningependa uache kuimbi kinadamu mana unatuaribu SS wadogo zako
Uko serious wewe...kwani is it a must you listen to her music.
Zuchu sikuizi anaimba akuna😏
Mung akujarie
Umeimba ngapy nogwe wwe😏
Sana tu siku hizi kaishiwa Hana nyimbo ukweli ndo huo na ukweli unauma Sana lazima mapovu yawatoke
Kabisa ameishiwa na mashairi