TRENI YA UMEME YAANZA SAFARI DAR HADI DODOMA KWA MARA YA KWANZA, "ABIRIA ZAIDI YA 900 WAPANDA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024

Комментарии • 109

  • @mikwendemakala3933
    @mikwendemakala3933 2 месяца назад +23

    Tutunze hii tunu aliyotuachia baba yetu Magufuli

    • @SalomeAnatory-mi1ek
      @SalomeAnatory-mi1ek 2 месяца назад +4

      Mungu mpe pumziko la kheri jemedari JPM chanzo cha mradi huu

  • @marcoakyoo760
    @marcoakyoo760 2 месяца назад

    R. I. P. Magufuli mawazo yako yanaishi

  • @ErickLudovick
    @ErickLudovick 2 месяца назад

    Dad to moro km 3000 daaah mtangazaji umepigaje hapo

  • @omega-gl9wt
    @omega-gl9wt 2 месяца назад

    Dar to moro sio km 3000😂😂😂

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu7642 2 месяца назад +10

    Ngoja kwanza nikumbuke kauli ya ''HAPA KAZI TU'', RIP JPM, ASANTE SANA MAMA , kwa maendeleo haya makubwa..

    • @Bushman000
      @Bushman000 2 месяца назад +1

      Tutamkumbuka sana JPM kwa mema... ❤❤❤❤... ni Rais pekee niliempenda sana baada ya JK wa kwanza.

  • @jeffreywilliams1171
    @jeffreywilliams1171 2 месяца назад +4

    No mashangingi tena kwa viongozi km hakuna ulazima wapande humu na ndio wateja wa kudumu na pesa zihamishwe kwenye ununuzi wa vifaa vya kilimo na viwanda vya vipuri vyake ili kufungua ajira😂upande huu na nchi ilishe dunia bila kusahau afya na uboreshaji wa miji mipya vijijini kisasa zaidi.

  • @davidyongolo8102
    @davidyongolo8102 2 месяца назад +16

    Viva Magufuli

    • @TisaMkenda-oj5uj
      @TisaMkenda-oj5uj 2 месяца назад +1

      Alishafariki magufuli,sasa kuna mwingine,,ni mama mpambanaji,,Samia

    • @lawimanumbu5103
      @lawimanumbu5103 2 месяца назад +2

      ​@@TisaMkenda-oj5uj Anapambana sawa nikipi alichokianzisha muhimu sana ambacho kitakuwa nikumbuku kwa miaka ijayo,

    • @Jurbeg
      @Jurbeg 2 месяца назад +1

      ​@@TisaMkenda-oj5ujkwani kinacho kukela nini kumsifia mwanzilishi 😡

  • @StamiliKigodi
    @StamiliKigodi 2 месяца назад +11

    Good job ❤❤❤ Tanzania inapendeza sana na Allah atuongoze kuongeza mafanikio zaidi

  • @exodusmgohachi1733
    @exodusmgohachi1733 2 месяца назад +8

    Kuna kitu nimefurahi Kwa sehemu kusema tu ilizinduliwa kipindi cha Magufuli , safi sana

    • @issaalfani1030
      @issaalfani1030 2 месяца назад +1

      Hata mimi nimependa sana

    • @exodusmgohachi1733
      @exodusmgohachi1733 2 месяца назад

      @@issaalfani1030 likitajwa jina la Magufuli WATAWALA lazima Kuna kitu wanakiona kama deni la mtu mmoja linatakiwa kulipwa kwanza ,

    • @liannsambu7264
      @liannsambu7264 2 месяца назад

      Hapo ndo ujue JPM alikuwa RAIS aliyetufaa AFRICA , but tunamwachia MUNGU , GREAT JPM

  • @Martin-w2l9p
    @Martin-w2l9p 2 месяца назад +8

    Akili kubwa ya JPM

  • @section8ight174
    @section8ight174 2 месяца назад +1

    They need to either refurbish or demolish those old dirty looking shacks along the elevated train tracks! The Dar train station looks absolutely Gorgeous and Phenomenal but a minute into the ride and you are encountered with in slightly eye sore that is the ancient looking buildings, rusty roofs and wanting landscape! Who’s really in charge and can’t they see what everyone else sees? The aesthetics between the two places are like day and night. Let’s do better and be proud of our surroundings.

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 2 месяца назад

    MashaAllah 🎉🎉Mungu ibariki tanzania,Mungu bariki mama yetu,Mh.samia suluhu Hasan.
    Mungu wabariki watanzania.
    Mwenye Mungu mmpumzishe raisi wetu mpendwa john pombe magufuli..rip baba,God loved you more.

  • @ibrahimshineni8883
    @ibrahimshineni8883 2 месяца назад +4

    Kilometa elfu tatu Dar to Morogoro
    Kha hii inawezekana vipi
    Angalia uĺichosema mtangazaji

    • @andrewkaswagula3367
      @andrewkaswagula3367 2 месяца назад

      Kwani hapo sasa cha ajabu ni kitu gani. Kwani mtangazaji nae si binadamu anayeweza kupitiwa. Au kuna kitu kimebadilika kwenye umbali halisi wa dar moro tunao ujua baada ya mtangazaji kukosea?

    • @PaulinaSemindu-ob3de
      @PaulinaSemindu-ob3de 2 месяца назад

      Hv kwann tren abiria had mtazamane jmn😂

  • @devisshirima6780
    @devisshirima6780 2 месяца назад +5

    Maendeleo ni haki ya mwananchi na ni wajibu wa kiongozi kuhakikisha kila mwananchi analifurahia jasho la kodi yake. Mimi ninamshukuru Mungu kwa kila hatua tunayoipiga, na ninamuomba Mungu atupe viongozi sahihi wanaoendana na mahitaji na matakwa ya kila mwananchi. Kila mwananchi anatakiwa kutambua kwamba maendeleo ni haki ya mwananchi na sio ombi !! Tukiwa na viongozi wanamhudumia mwananchi na sio kiongozi anayejihudumia maendeleo ni lazima yatakuwa kwa kasi na kila mwananchi ataona fahari ya kuwa katika nchi !! Ninawapongeza viongozi waliojitoa na wanaoendelea kujitolea kuhakikisha maendeleo yanakuwa ni haki ya mwananchi na sio ombi !!

    • @goodluckmhidze3279
      @goodluckmhidze3279 2 месяца назад

      Kua na shukrani pia hakukupunguzii kitu chochote.. ata mwanao anaweza kukufanyia wema na ukamshukuru japokua ni wajibu wake. Usiwe na roho ya kutokushukuru Kwa jambo dogo au kubwa

    • @devisshirima6780
      @devisshirima6780 2 месяца назад

      @@goodluckmhidze3279 Mwanangu ni mwanangu tuu, kwa issue ya nchi ni wajibu, mimi nitaishia kumshukuru Mungu tuu

    • @goodluckmhidze3279
      @goodluckmhidze3279 2 месяца назад

      @@devisshirima6780 jifunze kushukuru .. itakusaidia na Wala haitakuondolea kitu chochote bali itakufanya kua mtu wa kukubalika na hekima zaidi.

  • @erardmporoto2660
    @erardmporoto2660 2 месяца назад +1

    Kilometa 3000????? Aaaah!! Si kweli. Kilometa 300.

  • @MkungwaNgwarumbwa
    @MkungwaNgwarumbwa 2 месяца назад +4

    Kadogosa apewe uwaziri kwa kazi kubwa ya kusimamia mradi wa kimkakati kwa kiwango kikubwa sana ..

  • @alphoncehanura3255
    @alphoncehanura3255 2 месяца назад +1

    Viongozi nunueni ticket... siyo kila siku mupo ndani .bure... isije ikawa mulivyoua Air Tanzania...enzi hizo.... lipia ,changia kama mwananchi mwingine.

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 2 месяца назад +1

    Great decision to our late President JPM , you will always live in our hears and in our generation

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 2 месяца назад +1

    Kadogosa hongera unamuwalilisha vizuri Raisi wetu Samia Suluhu Hasani.

  • @emperortv8581
    @emperortv8581 2 месяца назад

    Kilometres 300 sio 3000 daaaah huyu reporter anajua umbali wa Dar to Mwanza haizidi 1100km

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 2 месяца назад +3

    Tunahitaji ifike DRC

  • @jamesjohn9160
    @jamesjohn9160 2 месяца назад

    DR. JOHN POMBE MAGUFULI THE 4TH PRESIDENT OF UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
    We will continue to remember you. The son Africa

  • @gosppediapinnacle4230
    @gosppediapinnacle4230 2 месяца назад +1

    Tusubiri taarifa ya mradi unajiendesha kwa hasara

  • @patrickndizeye2190
    @patrickndizeye2190 2 месяца назад +3

    Ni laha sana.Ku safiri na treni ya umeme😂🎉❤

  • @vanessavivie3049
    @vanessavivie3049 2 месяца назад

    Nauli ni sh. Ngap Dar to Dodoma

  • @dork8749
    @dork8749 2 месяца назад +2

    RIP JPM
    Hongera sana Rais wetu Mama yetu Samia. Mungu akutunze mama

  • @patrickndizeye2190
    @patrickndizeye2190 2 месяца назад +2

    Laga sana.Treni za umeme Poa ❤😂🎉🎉 🎉

  • @robertgeofrey4118
    @robertgeofrey4118 2 месяца назад +1

    Jpm 🎉 Samia 🎉 Elohim🎉

  • @an6808
    @an6808 2 месяца назад

    Treni ya Magufuli

  • @magdalenankunchi3596
    @magdalenankunchi3596 2 месяца назад

    Jamani na sisi wa Arusha

  • @GervasLyimo-f7p
    @GervasLyimo-f7p 2 месяца назад

    Mwenye reli mwenyewe ni sisi watanzania. Usijichanganye kiongozi.

  • @HamadiMaulidi-h3s
    @HamadiMaulidi-h3s 2 месяца назад

    Bei gan

  • @husseinhkitambi1701
    @husseinhkitambi1701 2 месяца назад +2

    Ayo mmekwisha kilometa 3000 Dar Moro duu

    • @zuberinyenzi1982
      @zuberinyenzi1982 2 месяца назад

      😂😂😂😂😂hata mi nimeshangaa

    • @HajiSimba-mq7tp
      @HajiSimba-mq7tp 2 месяца назад

      Mmhhh,mtangazaji kaongeza na za kwake

    • @andrewkaswagula3367
      @andrewkaswagula3367 2 месяца назад

      Sasa hapo mnashangaa nini.. kwani Mtangazaji nae si binadamu.
      Kwani kuwa mtangazaji ina maana hawezi kupitiwa, au alivyo sema mtangazaji kimebadilisha kitu kwenye uhalisia wa umbali wa dar to morogoro tunaoujua??

    • @bakarijumakupaza4351
      @bakarijumakupaza4351 2 месяца назад

      Ayo hana wahariri 😂😂😂

  • @musakatwale1959
    @musakatwale1959 2 месяца назад

    JPM

  • @shamsakambi8017
    @shamsakambi8017 2 месяца назад

  • @RhodaMlowe
    @RhodaMlowe 2 месяца назад

    Nauli Dar to Dodoma ni bei gani Kwa madaraja yote pls?

  • @stanymccary7136
    @stanymccary7136 2 месяца назад +2

    Kadogosa anafanya kazi nzuri sana

  • @bajagihaji8923
    @bajagihaji8923 2 месяца назад +1

    Mtangazaji moro km 3000
    Dom km 442

  • @tanzaniakwanza1699
    @tanzaniakwanza1699 2 месяца назад +2

    Hii treni ni ya watanzania si ya rais mkurugenzi acha uchawa. Unatuudhi.

    • @NDEWARA
      @NDEWARA 2 месяца назад +2

      Raisi wetu anatuwakilisha Watanzania. Acha gubu😂😂

  • @joshuasamson9618
    @joshuasamson9618 2 месяца назад +1

    Raha sana

  • @sara-os9dn
    @sara-os9dn 2 месяца назад

    Ndo tujitahidi kuzitunza ziwe safi maana zikichafuka tu mvuto hautokuwepo....

    • @lawimanumbu5103
      @lawimanumbu5103 2 месяца назад +1

      Ndugu yangu hujawahi kupanda hii tren ukienda na nguo zako chafu hurusiwi kuingia. Utaingia kama ukiwa nadhifu ndo unaruhusiwa, Kuna wahudumu kama ndege

  • @fadhilngalanda7520
    @fadhilngalanda7520 2 месяца назад +1

    MCHEMBA HUTUMTAKI BHANA MTOENI HUYO MCHEMBA ATUMBULIWE

  • @officialcrstore1685
    @officialcrstore1685 2 месяца назад

    Is it true Millary Dar to Moro 3000km afu Moro to makutupola 400km

  • @samsonmwijage1869
    @samsonmwijage1869 2 месяца назад +1

    Sahihisha taarifa yako haiwezekani Dar---Moro iwe km 3,000 !!!!!

  • @dork8749
    @dork8749 2 месяца назад

    Sie wabeba Shangazi kaja 😂😂😂

  • @edwardringo1745
    @edwardringo1745 2 месяца назад

    Km 3000 jaman sihapa na ulaya Yani hapo dar na Moro duh

  • @YusuphLukindo-vi9ow
    @YusuphLukindo-vi9ow 2 месяца назад +2

    Nauli shingp

    • @bakarijumakupaza4351
      @bakarijumakupaza4351 2 месяца назад

      Kila kitu kipo kwenye tovuti ya reli, unashindwa kuangalia lakini unaangalia RUclips

    • @Everythingisok360
      @Everythingisok360 2 месяца назад

      😂😂​@@bakarijumakupaza4351

  • @israelkisaila8401
    @israelkisaila8401 2 месяца назад +2

    Yani hapo kuna watu wanasafiri wala hakuna wanachoenda kukifanya huko dodoma,😂😂😂

    • @athumanimapande8394
      @athumanimapande8394 2 месяца назад

      Tujuane tuliopanda kutoa ushamba

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 2 месяца назад

      @@athumanimapande8394 hallow watu mna hela simnigawie mwenzenu hata UNGA Sina Leo😭

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 2 месяца назад

    Kodi za watanzania jamani

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 2 месяца назад

    Tunahitaji hii reli ifike DRC

  • @Robert-p7c1k
    @Robert-p7c1k 2 месяца назад

    Km 3000? Acha ujinga 😂😂😂😂

  • @mopalmo5818
    @mopalmo5818 2 месяца назад

    Iko wapi Mchongoko?????

  • @Martin-w2l9p
    @Martin-w2l9p 2 месяца назад

    Nauli dar dom ?

  • @AgatherKimbe
    @AgatherKimbe 2 месяца назад

    Nauli sh ngap

  • @sara-os9dn
    @sara-os9dn 2 месяца назад

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿❤

  • @EmmanuelSima-qz1gd
    @EmmanuelSima-qz1gd 2 месяца назад

    Elf 300 😂😂

  • @thamani5842
    @thamani5842 2 месяца назад

    Hongera mama Samia

  • @HASSANWAZIRIGAO
    @HASSANWAZIRIGAO 2 месяца назад

    CCM OYEEEEEE CHADEMA ZIIIIIIIII

  • @danielmyahudi1339
    @danielmyahudi1339 2 месяца назад

    🔥🔥🔥🔥🔥

  • @joyceassey2347
    @joyceassey2347 2 месяца назад

    Aaaweeeeeeee

  • @andrewkaswagula3367
    @andrewkaswagula3367 2 месяца назад +1

    Mama Samia Mitano Tena 👊👊👊

  • @kavyashortsleon
    @kavyashortsleon 2 месяца назад

    Nauli dar Dodoma ni how much

  • @uwembatvonline
    @uwembatvonline 2 месяца назад +1

    ❤❤Good job

  • @worldtechlab
    @worldtechlab 2 месяца назад

    Mnaboa nimekata ticket nikadhani Ni mchongoko kumbe Ni hiki mchongoko unaaza lini??????

    • @gjoma-ch9ir
      @gjoma-ch9ir 2 месяца назад

      yaani ulipe elfu 10 upande mjusi?? embu kuwa makini basi

    • @worldtechlab
      @worldtechlab 2 месяца назад

      @@gjoma-ch9ir I paid 120,000 tshs

  • @AbdulmalikFredrick
    @AbdulmalikFredrick 2 месяца назад +1

    Alha akuongoze salama mueshimiwa laisi wangu mpendwa Samia suluhuhasani Kwa muda mfupi umefanya mazuri

  • @kamarhelo
    @kamarhelo 2 месяца назад +3

    Afu mnasema rais Hana maana haya mambo wanafanya baba zenu

    • @devisshirima6780
      @devisshirima6780 2 месяца назад +2

      Kumbuka lakini Rais kumhudumia mpiga kura wake au mwananchi sio msaada ni wajibu na ni haki, yanayofanyika yoote hayo tumshukuru Mungu tuu na sio kumshukuru Mwanadamu !!

    • @mosesnyelo1380
      @mosesnyelo1380 2 месяца назад

      @@devisshirima6780 Pia lazima umpongeze aliye wezesha vikafanikiwa, yeye kasimamia na vika tendeka, mana asipofanya mna mponda

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 2 месяца назад

      @@devisshirima6780acha roho ya ajabu Rais anapewa sifa zake Na kushukuriwa pia kama Rais na Mungu anashukuriwa kama Mungu

    • @devisshirima6780
      @devisshirima6780 2 месяца назад +1

      @@Kabwela776 Kiongozi anatakiwa kunishukuru mimi kwa kumpa ridhaa ya kuniongoza, na anishukuru kwa kodi yangu ninayoilipa na anatakiwa atekeleze yale yote ambayo ninayahitaji kama mwananchi !!

    • @devisshirima6780
      @devisshirima6780 2 месяца назад

      @@Kabwela776 Ukinyenyekea sana wanajisahau !!

  • @Robert-p7c1k
    @Robert-p7c1k 2 месяца назад

    Kwa vyovyote mabasi yataathirika

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 2 месяца назад +1

    Tunakuombea mama samia mungu akubarik san