No mashangingi tena kwa viongozi km hakuna ulazima wapande humu na ndio wateja wa kudumu na pesa zihamishwe kwenye ununuzi wa vifaa vya kilimo na viwanda vya vipuri vyake ili kufungua ajira😂upande huu na nchi ilishe dunia bila kusahau afya na uboreshaji wa miji mipya vijijini kisasa zaidi.
They need to either refurbish or demolish those old dirty looking shacks along the elevated train tracks! The Dar train station looks absolutely Gorgeous and Phenomenal but a minute into the ride and you are encountered with in slightly eye sore that is the ancient looking buildings, rusty roofs and wanting landscape! Who’s really in charge and can’t they see what everyone else sees? The aesthetics between the two places are like day and night. Let’s do better and be proud of our surroundings.
MashaAllah 🎉🎉Mungu ibariki tanzania,Mungu bariki mama yetu,Mh.samia suluhu Hasan. Mungu wabariki watanzania. Mwenye Mungu mmpumzishe raisi wetu mpendwa john pombe magufuli..rip baba,God loved you more.
Kwani hapo sasa cha ajabu ni kitu gani. Kwani mtangazaji nae si binadamu anayeweza kupitiwa. Au kuna kitu kimebadilika kwenye umbali halisi wa dar moro tunao ujua baada ya mtangazaji kukosea?
Maendeleo ni haki ya mwananchi na ni wajibu wa kiongozi kuhakikisha kila mwananchi analifurahia jasho la kodi yake. Mimi ninamshukuru Mungu kwa kila hatua tunayoipiga, na ninamuomba Mungu atupe viongozi sahihi wanaoendana na mahitaji na matakwa ya kila mwananchi. Kila mwananchi anatakiwa kutambua kwamba maendeleo ni haki ya mwananchi na sio ombi !! Tukiwa na viongozi wanamhudumia mwananchi na sio kiongozi anayejihudumia maendeleo ni lazima yatakuwa kwa kasi na kila mwananchi ataona fahari ya kuwa katika nchi !! Ninawapongeza viongozi waliojitoa na wanaoendelea kujitolea kuhakikisha maendeleo yanakuwa ni haki ya mwananchi na sio ombi !!
Kua na shukrani pia hakukupunguzii kitu chochote.. ata mwanao anaweza kukufanyia wema na ukamshukuru japokua ni wajibu wake. Usiwe na roho ya kutokushukuru Kwa jambo dogo au kubwa
Viongozi nunueni ticket... siyo kila siku mupo ndani .bure... isije ikawa mulivyoua Air Tanzania...enzi hizo.... lipia ,changia kama mwananchi mwingine.
Sasa hapo mnashangaa nini.. kwani Mtangazaji nae si binadamu. Kwani kuwa mtangazaji ina maana hawezi kupitiwa, au alivyo sema mtangazaji kimebadilisha kitu kwenye uhalisia wa umbali wa dar to morogoro tunaoujua??
Ndugu yangu hujawahi kupanda hii tren ukienda na nguo zako chafu hurusiwi kuingia. Utaingia kama ukiwa nadhifu ndo unaruhusiwa, Kuna wahudumu kama ndege
Kumbuka lakini Rais kumhudumia mpiga kura wake au mwananchi sio msaada ni wajibu na ni haki, yanayofanyika yoote hayo tumshukuru Mungu tuu na sio kumshukuru Mwanadamu !!
@@Kabwela776 Kiongozi anatakiwa kunishukuru mimi kwa kumpa ridhaa ya kuniongoza, na anishukuru kwa kodi yangu ninayoilipa na anatakiwa atekeleze yale yote ambayo ninayahitaji kama mwananchi !!
Tutunze hii tunu aliyotuachia baba yetu Magufuli
Mungu mpe pumziko la kheri jemedari JPM chanzo cha mradi huu
R. I. P. Magufuli mawazo yako yanaishi
Dad to moro km 3000 daaah mtangazaji umepigaje hapo
Mtangazaji wa mchongo 😅😅😅
Dar to moro sio km 3000😂😂😂
300
Ngoja kwanza nikumbuke kauli ya ''HAPA KAZI TU'', RIP JPM, ASANTE SANA MAMA , kwa maendeleo haya makubwa..
Tutamkumbuka sana JPM kwa mema... ❤❤❤❤... ni Rais pekee niliempenda sana baada ya JK wa kwanza.
No mashangingi tena kwa viongozi km hakuna ulazima wapande humu na ndio wateja wa kudumu na pesa zihamishwe kwenye ununuzi wa vifaa vya kilimo na viwanda vya vipuri vyake ili kufungua ajira😂upande huu na nchi ilishe dunia bila kusahau afya na uboreshaji wa miji mipya vijijini kisasa zaidi.
Viva Magufuli
Alishafariki magufuli,sasa kuna mwingine,,ni mama mpambanaji,,Samia
@@TisaMkenda-oj5uj Anapambana sawa nikipi alichokianzisha muhimu sana ambacho kitakuwa nikumbuku kwa miaka ijayo,
@@TisaMkenda-oj5ujkwani kinacho kukela nini kumsifia mwanzilishi 😡
Good job ❤❤❤ Tanzania inapendeza sana na Allah atuongoze kuongeza mafanikio zaidi
Kuna kitu nimefurahi Kwa sehemu kusema tu ilizinduliwa kipindi cha Magufuli , safi sana
Hata mimi nimependa sana
@@issaalfani1030 likitajwa jina la Magufuli WATAWALA lazima Kuna kitu wanakiona kama deni la mtu mmoja linatakiwa kulipwa kwanza ,
Hapo ndo ujue JPM alikuwa RAIS aliyetufaa AFRICA , but tunamwachia MUNGU , GREAT JPM
Akili kubwa ya JPM
They need to either refurbish or demolish those old dirty looking shacks along the elevated train tracks! The Dar train station looks absolutely Gorgeous and Phenomenal but a minute into the ride and you are encountered with in slightly eye sore that is the ancient looking buildings, rusty roofs and wanting landscape! Who’s really in charge and can’t they see what everyone else sees? The aesthetics between the two places are like day and night. Let’s do better and be proud of our surroundings.
MashaAllah 🎉🎉Mungu ibariki tanzania,Mungu bariki mama yetu,Mh.samia suluhu Hasan.
Mungu wabariki watanzania.
Mwenye Mungu mmpumzishe raisi wetu mpendwa john pombe magufuli..rip baba,God loved you more.
Kilometa elfu tatu Dar to Morogoro
Kha hii inawezekana vipi
Angalia uĺichosema mtangazaji
Kwani hapo sasa cha ajabu ni kitu gani. Kwani mtangazaji nae si binadamu anayeweza kupitiwa. Au kuna kitu kimebadilika kwenye umbali halisi wa dar moro tunao ujua baada ya mtangazaji kukosea?
Hv kwann tren abiria had mtazamane jmn😂
Maendeleo ni haki ya mwananchi na ni wajibu wa kiongozi kuhakikisha kila mwananchi analifurahia jasho la kodi yake. Mimi ninamshukuru Mungu kwa kila hatua tunayoipiga, na ninamuomba Mungu atupe viongozi sahihi wanaoendana na mahitaji na matakwa ya kila mwananchi. Kila mwananchi anatakiwa kutambua kwamba maendeleo ni haki ya mwananchi na sio ombi !! Tukiwa na viongozi wanamhudumia mwananchi na sio kiongozi anayejihudumia maendeleo ni lazima yatakuwa kwa kasi na kila mwananchi ataona fahari ya kuwa katika nchi !! Ninawapongeza viongozi waliojitoa na wanaoendelea kujitolea kuhakikisha maendeleo yanakuwa ni haki ya mwananchi na sio ombi !!
Kua na shukrani pia hakukupunguzii kitu chochote.. ata mwanao anaweza kukufanyia wema na ukamshukuru japokua ni wajibu wake. Usiwe na roho ya kutokushukuru Kwa jambo dogo au kubwa
@@goodluckmhidze3279 Mwanangu ni mwanangu tuu, kwa issue ya nchi ni wajibu, mimi nitaishia kumshukuru Mungu tuu
@@devisshirima6780 jifunze kushukuru .. itakusaidia na Wala haitakuondolea kitu chochote bali itakufanya kua mtu wa kukubalika na hekima zaidi.
Kilometa 3000????? Aaaah!! Si kweli. Kilometa 300.
Kadogosa apewe uwaziri kwa kazi kubwa ya kusimamia mradi wa kimkakati kwa kiwango kikubwa sana ..
Viongozi nunueni ticket... siyo kila siku mupo ndani .bure... isije ikawa mulivyoua Air Tanzania...enzi hizo.... lipia ,changia kama mwananchi mwingine.
Wanashangaza sana kwa kweli
Great decision to our late President JPM , you will always live in our hears and in our generation
Kadogosa hongera unamuwalilisha vizuri Raisi wetu Samia Suluhu Hasani.
Kilometres 300 sio 3000 daaaah huyu reporter anajua umbali wa Dar to Mwanza haizidi 1100km
Tunahitaji ifike DRC
DR. JOHN POMBE MAGUFULI THE 4TH PRESIDENT OF UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
We will continue to remember you. The son Africa
Tusubiri taarifa ya mradi unajiendesha kwa hasara
Ni laha sana.Ku safiri na treni ya umeme😂🎉❤
raha sio laha
Nauli ni sh. Ngap Dar to Dodoma
RIP JPM
Hongera sana Rais wetu Mama yetu Samia. Mungu akutunze mama
Laga sana.Treni za umeme Poa ❤😂🎉🎉 🎉
Jpm 🎉 Samia 🎉 Elohim🎉
Treni ya Magufuli
Jamani na sisi wa Arusha
Mwenye reli mwenyewe ni sisi watanzania. Usijichanganye kiongozi.
Bei gan
Ayo mmekwisha kilometa 3000 Dar Moro duu
😂😂😂😂😂hata mi nimeshangaa
Mmhhh,mtangazaji kaongeza na za kwake
Sasa hapo mnashangaa nini.. kwani Mtangazaji nae si binadamu.
Kwani kuwa mtangazaji ina maana hawezi kupitiwa, au alivyo sema mtangazaji kimebadilisha kitu kwenye uhalisia wa umbali wa dar to morogoro tunaoujua??
Ayo hana wahariri 😂😂😂
JPM
❤
Nauli Dar to Dodoma ni bei gani Kwa madaraja yote pls?
Kadogosa anafanya kazi nzuri sana
Wasukuma sio wababaishaji, ni watu wa uwajibikaji
Mtangazaji moro km 3000
Dom km 442
Ulimi umeteleza
Hii treni ni ya watanzania si ya rais mkurugenzi acha uchawa. Unatuudhi.
Raisi wetu anatuwakilisha Watanzania. Acha gubu😂😂
Raha sana
Ndo tujitahidi kuzitunza ziwe safi maana zikichafuka tu mvuto hautokuwepo....
Ndugu yangu hujawahi kupanda hii tren ukienda na nguo zako chafu hurusiwi kuingia. Utaingia kama ukiwa nadhifu ndo unaruhusiwa, Kuna wahudumu kama ndege
MCHEMBA HUTUMTAKI BHANA MTOENI HUYO MCHEMBA ATUMBULIWE
Acha chuki
Is it true Millary Dar to Moro 3000km afu Moro to makutupola 400km
Sahihisha taarifa yako haiwezekani Dar---Moro iwe km 3,000 !!!!!
Sie wabeba Shangazi kaja 😂😂😂
Marufuku
Km 3000 jaman sihapa na ulaya Yani hapo dar na Moro duh
Nauli shingp
Kila kitu kipo kwenye tovuti ya reli, unashindwa kuangalia lakini unaangalia RUclips
😂😂@@bakarijumakupaza4351
Yani hapo kuna watu wanasafiri wala hakuna wanachoenda kukifanya huko dodoma,😂😂😂
Tujuane tuliopanda kutoa ushamba
@@athumanimapande8394 hallow watu mna hela simnigawie mwenzenu hata UNGA Sina Leo😭
Kodi za watanzania jamani
Tunahitaji hii reli ifike DRC
Km 3000? Acha ujinga 😂😂😂😂
Iko wapi Mchongoko?????
Nauli dar dom ?
Nauli sh ngap
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿❤
Elf 300 😂😂
Hongera mama Samia
CCM OYEEEEEE CHADEMA ZIIIIIIIII
🔥🔥🔥🔥🔥
Aaaweeeeeeee
Mama Samia Mitano Tena 👊👊👊
Nauli dar Dodoma ni how much
31,000
❤❤Good job
Mnaboa nimekata ticket nikadhani Ni mchongoko kumbe Ni hiki mchongoko unaaza lini??????
yaani ulipe elfu 10 upande mjusi?? embu kuwa makini basi
@@gjoma-ch9ir I paid 120,000 tshs
Alha akuongoze salama mueshimiwa laisi wangu mpendwa Samia suluhuhasani Kwa muda mfupi umefanya mazuri
Afu mnasema rais Hana maana haya mambo wanafanya baba zenu
Kumbuka lakini Rais kumhudumia mpiga kura wake au mwananchi sio msaada ni wajibu na ni haki, yanayofanyika yoote hayo tumshukuru Mungu tuu na sio kumshukuru Mwanadamu !!
@@devisshirima6780 Pia lazima umpongeze aliye wezesha vikafanikiwa, yeye kasimamia na vika tendeka, mana asipofanya mna mponda
@@devisshirima6780acha roho ya ajabu Rais anapewa sifa zake Na kushukuriwa pia kama Rais na Mungu anashukuriwa kama Mungu
@@Kabwela776 Kiongozi anatakiwa kunishukuru mimi kwa kumpa ridhaa ya kuniongoza, na anishukuru kwa kodi yangu ninayoilipa na anatakiwa atekeleze yale yote ambayo ninayahitaji kama mwananchi !!
@@Kabwela776 Ukinyenyekea sana wanajisahau !!
Kwa vyovyote mabasi yataathirika
Tunakuombea mama samia mungu akubarik san