GB 64 AMJIBU MANGUNGU, ATOA NENO KWA MASHABIKI WA SIMBA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024
  • Simba

Комментарии • 52

  • @PeterWillypnk
    @PeterWillypnk 3 месяца назад +4

    GB 64 Siku zote unakitu Apa umeeleweka kupita kiasi Ni wachache Tu Ambao Hawatakwelewa ila wengi wetu Tushakupata mkuu...One Love

  • @jamesjames2368
    @jamesjames2368 3 месяца назад +1

    Wenye timu wako busy kujenga timu wakati huu wa usajili. Mercenaries wako busy kwenye TV. Hapo ndipo Mamluki wanapojitenga na wenye simba. Virus imeingia kwenye memory, memory inachanganya ma file

  • @Danfordfungo-m4y
    @Danfordfungo-m4y 3 месяца назад +1

    achana na mama waziri mkuu atusaidie au aitwe makonda amng"oe huyo jambazi mangungu anatuumiza san tunaumia wana simba

  • @vumiliamgendi148
    @vumiliamgendi148 3 месяца назад +4

    Yule mama ni yanga unafikili atatusaidia Nini ndugu yangu tumuombe tu wazili mkuu na baathi ya viongozi wa serekali ambao ni Simba wapambanie hili jambo,Mimi kiukweli usiki nilivosikia kwamba mangungu Bado yupo Simba na wajumbe zake sikupata usingizi, yule Mzee aondoke aondoke tumemchoka tumemchoka tena

  • @emmanuelzwallo3933
    @emmanuelzwallo3933 3 месяца назад +1

    Yaani Rais wa Nchi aache kushughulika na mambo muhimu ya Nchi aanze kushughulika na issue ya Mangungu?😂😂😂😂.Mitano tena kwa Mangungu

    • @israelnibigira4990
      @israelnibigira4990 3 месяца назад

      Issue ya fei toto alikuwa ni rais gani? mbona hujielewi ?

  • @OmbeniMkumbwa-yg1vg
    @OmbeniMkumbwa-yg1vg 3 месяца назад

    Komaaa kaka tukonyumayako tutatoboa

  • @PastoryMwambila-op3uz
    @PastoryMwambila-op3uz 3 месяца назад

    Kwani hiyo timu ya ukoo wenu hama ww

  • @omarymtotela3751
    @omarymtotela3751 3 месяца назад +1

    Hakuna aliejitoa bado yupo ujielewi na ww

  • @vumiliamgendi148
    @vumiliamgendi148 3 месяца назад +3

    Na mangungu anatumiwa na manara na enginea

  • @EmmanuelSayi-zj5mp
    @EmmanuelSayi-zj5mp 3 месяца назад +1

    Sasa mama anaingiaje hapo mangungu oyeeeeeeeeeee

    • @muhamedjaffar5653
      @muhamedjaffar5653 3 месяца назад

      Ila mama alihusikq kwwnye vuguvugu la fei na yanga.au ndo yanga mwenzenu

  • @sulaimanalhabsi2355
    @sulaimanalhabsi2355 3 месяца назад

    Nyie mbona mbona Mna wivu yanga akipeqa HV na nyingi mwataka Lia Simba mbovu

  • @nurdinmfamau3493
    @nurdinmfamau3493 3 месяца назад

    Sasa Mangungu Aondoka Aende Wapi. Nihuyo Try Again Ajaondoka Bali Amesogea Tu.

  • @mariamabdallah9847
    @mariamabdallah9847 3 месяца назад +1

    Mangungu ni msaliti

  • @emmanuelzwallo3933
    @emmanuelzwallo3933 3 месяца назад

    SISI KAMA WANASIMBA HATUMTAKI MO.KAMA HUMTAKI MANGUNGU

  • @jumakalinga2812
    @jumakalinga2812 3 месяца назад

    Ivi hawa viongozi wa selikali hasikii kilio chetu mbona wapo kimya sanaaa jamani tusaidieni mangungu hatumtaki tutoleeni jamaniii anatutesa sisi

  • @EmmanuelRazalo-qz5cr
    @EmmanuelRazalo-qz5cr 3 месяца назад

    Sasa uyo kijana Ameaza kuchanganyikiwa Leo iiii mama tena jamani mbona msiba mkubwa tena mnalia na mangungu au moo nyie acheni ufala mtu mbanya ni tajiri wenu sio mangungu mbona mna tegenezwa kwa masla ya mtu mmoja mmesha kula pesa za moo mna mtetea yeye Wacha ufala GB 64

  • @allymassomo1260
    @allymassomo1260 3 месяца назад

    Tabu itakuwa palepale Try again a.k.a jaribu tena bado ni mjumbe katika bodi

  • @saidmkinga5140
    @saidmkinga5140 3 месяца назад

    Hapo kwenye kuomba mama na viongozi wa serikali umechemka, Wakat mnamuweka pale mliwataka hao wawasaidie? Mtimueni tu huyo mzee mangungu

  • @PastoryMwambila-op3uz
    @PastoryMwambila-op3uz 3 месяца назад

    Kwani hiyo timu ya ukoo wenu hama ww 8:42

  • @selemaniChimbulya
    @selemaniChimbulya 3 месяца назад

    Mpiga diri Kwa mooooooo hiyoooo

  • @michaelmlugu5654
    @michaelmlugu5654 3 месяца назад +1

    Toa sababu usimhonge MAMA kwa kura ya 25 ili akusaidie ni njaa nayo unayo

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 3 месяца назад

    Huyu chawa tu... nilivyomsikiliza mangungo jana, nimabadilika kabsaa..mangungo aendelee kuongoza simba..gb64 chawa wa Mo..huna hoja..

    • @saidsoudamiri4054
      @saidsoudamiri4054 3 месяца назад

      ili yanga aendelee kua bingwa kwa wepesi kabisa. tunarudi yale ya msimu 2017-2021

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 3 месяца назад

      @@saidsoudamiri4054 tutaendelea kuwafunga simba..tatizo la simba ni tajiri anayeshinda mitandaoni, Mo..ila mjanja mjanja,amejimilikisha simba

    • @BarikiOmbay-i6q
      @BarikiOmbay-i6q 3 месяца назад

      Koma kumzungumzia gb vibaya

    • @EbenezerReuben-jx5sg
      @EbenezerReuben-jx5sg 3 месяца назад

      Alikuwa wap mech 8 hajaingia uwanjan

  • @franccoz94
    @franccoz94 3 месяца назад

    MANGUNGU NI YANGAA DAMU, DAMU BILA KUMTOA MSIMU UJAO 5G ZIKO PALE,PALE

  • @avitusmichael5
    @avitusmichael5 3 месяца назад

    Majina kama MANGUNGU wanaona mbali, tupo pa1 na MANGUNGU mpaka awapangue wapuuzi wote wasiojitambua na wasioijua katiba

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb 3 месяца назад

    Kwaza huyo ndumbalo hanalote anaona haya Yuko kimya

  • @abdallahomaryabdallah
    @abdallahomaryabdallah 3 месяца назад

    mnaonea.bure.mo.mpenzi.mkubwa.wa.na
    .sio.hamui.anaumia.mtu.anatowa.hela.halafu.mwasema.hatoi.viongozi.wababaishaji.tu

  • @chachamathias8157
    @chachamathias8157 3 месяца назад

    😂

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 3 месяца назад

    Kumbe huna akili sikujua

  • @PastoryMwambila-op3uz
    @PastoryMwambila-op3uz 3 месяца назад

    Tukuachie wewe utaweza ;Acha kelele ww

  • @MuhamedIssa-kw2qh
    @MuhamedIssa-kw2qh 3 месяца назад

    Acha tantarira kwani moo sio mwana siasa toa sababu za msingi wewe chawa wamoo Wana Simba waepukeni machawa hao

  • @erickkejo1792
    @erickkejo1792 3 месяца назад

    Acha uchawi mwehu wewe

  • @DhulkifliMkiji
    @DhulkifliMkiji 3 месяца назад

    MAMA hajaisaidia yanga kumaliza mgogoro na feisali ila aliiomba yanga imalizane na feisali, kwa maana nyengine imuache feisali bila kutumia sheria za kimkataba zilizowekwa na tff bali watumie busara kwa maana feisali ndiye aliesaidiwa na sio yanga

    • @simbavideoshots
      @simbavideoshots 3 месяца назад

      Sasa mpk hapo hajaisaidia? Au we ulitaka afanyaje ndio uone kaisaidia?

    • @samwelsimon7392
      @samwelsimon7392 3 месяца назад

      yaani wewe hukujua maana ya kauli ya samia juu lile sakata la feisal

    • @simbavideoshots
      @simbavideoshots 3 месяца назад

      @@samwelsimon7392 tuambie wewe uliyejua maana yake ulitaka afanyaje ndio uone amesaidia, au hujui hata power ya raisi na kauli anayotamka ina uzito gani

  • @righitkileo
    @righitkileo 3 месяца назад

    Manqunqu chapa mwendo bwana unaq,'anq"ania timu kwani ni.mali.yako???? Wewe mzee vip?? Huna Aibu?? Hiv wewe wanajiuzulu mawazir itakuw weww??? Kwani wewe nani hapo simba???? Ukiuna mtu nquvu ya umma unamkataa lkn yeye hatakki huyu ni Mchawi.Toka bwana

  • @PastoryMwambila-op3uz
    @PastoryMwambila-op3uz 3 месяца назад

    Kwani hiyo timu ya ukoo wenu hama ww

  • @PastoryMwambila-op3uz
    @PastoryMwambila-op3uz 3 месяца назад

    Kwani hiyo timu ya ukoo wenu hama ww

  • @PastoryMwambila-op3uz
    @PastoryMwambila-op3uz 3 месяца назад

    Kwani hiyo timu ya ukoo wenu hama ww

  • @PastoryMwambila-op3uz
    @PastoryMwambila-op3uz 3 месяца назад

    Kwani hiyo timu ya ukoo wenu hama ww