Wenye timu wako busy kujenga timu wakati huu wa usajili. Mercenaries wako busy kwenye TV. Hapo ndipo Mamluki wanapojitenga na wenye simba. Virus imeingia kwenye memory, memory inachanganya ma file
Yule mama ni yanga unafikili atatusaidia Nini ndugu yangu tumuombe tu wazili mkuu na baathi ya viongozi wa serekali ambao ni Simba wapambanie hili jambo,Mimi kiukweli usiki nilivosikia kwamba mangungu Bado yupo Simba na wajumbe zake sikupata usingizi, yule Mzee aondoke aondoke tumemchoka tumemchoka tena
Sasa uyo kijana Ameaza kuchanganyikiwa Leo iiii mama tena jamani mbona msiba mkubwa tena mnalia na mangungu au moo nyie acheni ufala mtu mbanya ni tajiri wenu sio mangungu mbona mna tegenezwa kwa masla ya mtu mmoja mmesha kula pesa za moo mna mtetea yeye Wacha ufala GB 64
MAMA hajaisaidia yanga kumaliza mgogoro na feisali ila aliiomba yanga imalizane na feisali, kwa maana nyengine imuache feisali bila kutumia sheria za kimkataba zilizowekwa na tff bali watumie busara kwa maana feisali ndiye aliesaidiwa na sio yanga
@@samwelsimon7392 tuambie wewe uliyejua maana yake ulitaka afanyaje ndio uone amesaidia, au hujui hata power ya raisi na kauli anayotamka ina uzito gani
GB 64 Siku zote unakitu Apa umeeleweka kupita kiasi Ni wachache Tu Ambao Hawatakwelewa ila wengi wetu Tushakupata mkuu...One Love
Wenye timu wako busy kujenga timu wakati huu wa usajili. Mercenaries wako busy kwenye TV. Hapo ndipo Mamluki wanapojitenga na wenye simba. Virus imeingia kwenye memory, memory inachanganya ma file
achana na mama waziri mkuu atusaidie au aitwe makonda amng"oe huyo jambazi mangungu anatuumiza san tunaumia wana simba
Yule mama ni yanga unafikili atatusaidia Nini ndugu yangu tumuombe tu wazili mkuu na baathi ya viongozi wa serekali ambao ni Simba wapambanie hili jambo,Mimi kiukweli usiki nilivosikia kwamba mangungu Bado yupo Simba na wajumbe zake sikupata usingizi, yule Mzee aondoke aondoke tumemchoka tumemchoka tena
Yaani Rais wa Nchi aache kushughulika na mambo muhimu ya Nchi aanze kushughulika na issue ya Mangungu?😂😂😂😂.Mitano tena kwa Mangungu
Issue ya fei toto alikuwa ni rais gani? mbona hujielewi ?
Komaaa kaka tukonyumayako tutatoboa
Kwani hiyo timu ya ukoo wenu hama ww
Hakuna aliejitoa bado yupo ujielewi na ww
Na mangungu anatumiwa na manara na enginea
Kama nakuelewa vile
Sasa mama anaingiaje hapo mangungu oyeeeeeeeeeee
Ila mama alihusikq kwwnye vuguvugu la fei na yanga.au ndo yanga mwenzenu
Nyie mbona mbona Mna wivu yanga akipeqa HV na nyingi mwataka Lia Simba mbovu
Sasa Mangungu Aondoka Aende Wapi. Nihuyo Try Again Ajaondoka Bali Amesogea Tu.
Mangungu ni msaliti
SISI KAMA WANASIMBA HATUMTAKI MO.KAMA HUMTAKI MANGUNGU
Ivi hawa viongozi wa selikali hasikii kilio chetu mbona wapo kimya sanaaa jamani tusaidieni mangungu hatumtaki tutoleeni jamaniii anatutesa sisi
Sasa uyo kijana Ameaza kuchanganyikiwa Leo iiii mama tena jamani mbona msiba mkubwa tena mnalia na mangungu au moo nyie acheni ufala mtu mbanya ni tajiri wenu sio mangungu mbona mna tegenezwa kwa masla ya mtu mmoja mmesha kula pesa za moo mna mtetea yeye Wacha ufala GB 64
Tabu itakuwa palepale Try again a.k.a jaribu tena bado ni mjumbe katika bodi
Hapo kwenye kuomba mama na viongozi wa serikali umechemka, Wakat mnamuweka pale mliwataka hao wawasaidie? Mtimueni tu huyo mzee mangungu
Kwani hiyo timu ya ukoo wenu hama ww 8:42
Mpiga diri Kwa mooooooo hiyoooo
Toa sababu usimhonge MAMA kwa kura ya 25 ili akusaidie ni njaa nayo unayo
Huyu chawa tu... nilivyomsikiliza mangungo jana, nimabadilika kabsaa..mangungo aendelee kuongoza simba..gb64 chawa wa Mo..huna hoja..
ili yanga aendelee kua bingwa kwa wepesi kabisa. tunarudi yale ya msimu 2017-2021
@@saidsoudamiri4054 tutaendelea kuwafunga simba..tatizo la simba ni tajiri anayeshinda mitandaoni, Mo..ila mjanja mjanja,amejimilikisha simba
Koma kumzungumzia gb vibaya
Alikuwa wap mech 8 hajaingia uwanjan
MANGUNGU NI YANGAA DAMU, DAMU BILA KUMTOA MSIMU UJAO 5G ZIKO PALE,PALE
Majina kama MANGUNGU wanaona mbali, tupo pa1 na MANGUNGU mpaka awapangue wapuuzi wote wasiojitambua na wasioijua katiba
Tokaaaaaaaaaaaa mangunguuuuuuuuuuuuuuuu
Una chemchembe za utopolo
Kwaza huyo ndumbalo hanalote anaona haya Yuko kimya
mnaonea.bure.mo.mpenzi.mkubwa.wa.na
.sio.hamui.anaumia.mtu.anatowa.hela.halafu.mwasema.hatoi.viongozi.wababaishaji.tu
😂
Kumbe huna akili sikujua
Tukuachie wewe utaweza ;Acha kelele ww
Acha tantarira kwani moo sio mwana siasa toa sababu za msingi wewe chawa wamoo Wana Simba waepukeni machawa hao
Ww bwege
Chawa ni wewe mkoswa akili
Chawa ni wewe na ao kenge ndio mwisho wao
Acha uchawi mwehu wewe
MAMA hajaisaidia yanga kumaliza mgogoro na feisali ila aliiomba yanga imalizane na feisali, kwa maana nyengine imuache feisali bila kutumia sheria za kimkataba zilizowekwa na tff bali watumie busara kwa maana feisali ndiye aliesaidiwa na sio yanga
Sasa mpk hapo hajaisaidia? Au we ulitaka afanyaje ndio uone kaisaidia?
yaani wewe hukujua maana ya kauli ya samia juu lile sakata la feisal
@@samwelsimon7392 tuambie wewe uliyejua maana yake ulitaka afanyaje ndio uone amesaidia, au hujui hata power ya raisi na kauli anayotamka ina uzito gani
Manqunqu chapa mwendo bwana unaq,'anq"ania timu kwani ni.mali.yako???? Wewe mzee vip?? Huna Aibu?? Hiv wewe wanajiuzulu mawazir itakuw weww??? Kwani wewe nani hapo simba???? Ukiuna mtu nquvu ya umma unamkataa lkn yeye hatakki huyu ni Mchawi.Toka bwana
Kwani hiyo timu ya ukoo wenu hama ww
Kwani hiyo timu ya ukoo wenu hama ww
Kwani hiyo timu ya ukoo wenu hama ww
Kwani hiyo timu ya ukoo wenu hama ww