Shk Mohd bachu wapenda Sana mgogoro licha ya elimu yako Ni finyo Sana ukilinganisha Na elimu ya wenzako..Kwanza soma vizuri uhitimu alafu ufanye mgogoro Na mashekhe wenzako BT Kwa sasa elimu yako haikuruhusu kufanya mgogoro
Haya ni kwa sababu ya teknologia jee zama za kale ilkua hukmu ni vipi,na jee tunaeza kuswali jamaa kupitia vifaa vya kisasa,imam mskitini maamuma majumbani
Shekh umejichanganya Sana inaonyesha haya mas'ala hujayatwalii vzur au huyajui. Umechanganya saa ya jua na saa ya standard ... Kuwa mchamungu wacha ubabaishaji
Yaani Muhammad bacho..mtumi alikua hayajui hayo na mashekhe waliotangulia hawakuyajua haya...ntakukumbusha tu Ibnu Abbas alikikataa kua mgongo watu wakanyange..ili waingie peponi na yy anazama motoni...nakuomba tu kakangu mkubwa Elimu ni pana sana ulicho kisoma sio nilicho kisoma na fahamu inakua tofauti...mche Allah kasana usiwe sababu ya Waislamu kuvurugana
Asssalamu alykum ndugu kwn unaoenda kuswali Adhuhuri au Alaasir au swala yyte ile hua unaangalia kitu agan mpk ukajua swala imeingia au adhana unayoisubir ili muadhin aadhin hua anaangalia kitu gan mpaka anaadhin? Lkn pia Akhiy unapataje kuhesabu mwaka, mwezi, week au siku?
kwenye swaala la kufunga tusikufulishane kwan zipo hadithi zinaonyesha mtume muhammad alifunga miaka 9 katika maisha yake ila mwezi kwa macho yake kaona mala mbili tu ili zote zilizo baki kafikishiwa ujumbe ushahidi upo
Hivi mnapo angalia mwez sa 12 jioni sa 1 mnatoa taarifa mwez haukuonekana je mnatumia magharb ya Saudi tu ..hizo nchi nyengne hua mchana hamsubir magharb za nchi hizo ..soma bachu
Mm nasema pigeni zogo lakin kusoma kunahitajika San nakumbukeni Allah kasem kwamba matendo yote binadam niyake ispokua funga achiwe yy kwaiyo msijifanye mumepatia ama muko sahh , walatuzzaku amfusakum wallahu aalamu bimani ttaqa ,
Ukitumia pigeni zogo bas hio aya ulioitoa inakuraddi wewe mwenyewe maana utakua ushadharu kwamba hakuna la maana alilosema, ljn kumbuka amenukuu Ayat za quran kwann unasibishe na zogo. Tumche Allah na tusiseme ila lenye kuleta natija tuepuke ushabik kwenye dini. Allah atuongoze
Siku ya kiyama itakua Ijumaa ,, Ijumaa ni 24 Hours masaa 24,, lakini kufung nchana ni kama masaa 12, 14,, Mfano Visiwa viya Hawaii hawakuona mwezi Magaribi kwao ni saa 12,, Arica mashariki ni na Maka hua ni saa 1asubuhi,, kukiwa Maka (pamoja na Africa mashariki) saa 12 magharibi wakiona mwezi,, huwa ni saa 11 Alfajiri siku ya pili,, Je wafunge watu wa visiwa vya Hawaii au wasifunge?? Hal kadhalika watu wa Australia,, Maka waeza kuona mwezi.. lkini wao ni saa 8 usiku Je wafunge au laa,,
Wallah Muhammad bachu mm sikuelewi hayo unayosema yn kasema hapana kwamba mtume hajafudisha hivyo ndio maana yake ww inashikilia hoja yako isiokua na mashiko kabisa
Sijawahi kumsikia sheikh yeyote akiitafsiri hadithi ya mtume ilosimuliwa na kureibu km ibnu Abas aliukubali mwezi wa sham ulotolewa habari na kureibu na huo wako ni uwongo.... Pili hiyo ni hadithi ya mtume ndugu unaendelea kubeba dhima
Naona ufahamu wako sio sawa kwa sababu kama yule aliyetoka sham walipo rudi Madina na ilipo fika tarehe 30 kwake alivunja SAUMU kwa sababu alikuwa ashamaliza siku 30 , kwa nini hao wa Madina hawakuvunja SAUMU yao ( hata kama wao walikuwa wamefunga siku 29 ? ) bali waliendelea kwa vile wao hawakuona mwezi kwa siku ya 29 na waliendelea kumaliza siku 30 ! Maana yake ni kuwa kila mmoja afuate tarehe ya mwandamo wake .
Sheikh nahisi kama umetupeleka peleka hivi hadithi inasema mwezi ukionekana katika mji mwengine basi waislam katika nchi hiyo wanatakiwa kufunga lakini vp ukionekana nchi fulani huku tufunge? Au hadithi inamaana moja mji na nchi?
Hao masheikhe wa zamani hawana makosa lkni zama zinabadiki siku hazifanani kwa zama hizo walikuwa sahihi kutokana na ugumu wa masualiano lkni sasa masualiano ni rahisi
Naon wa2 wanatoa lawama na kuuliza kwan watu wte tunaswal adhuhur pamoja?jmn ibada ya swal na fung nibad 2 tofaut na ni zmekuj na ambri tofauti tuskilize kwa umakin apo ...
Kwamimi ninayetafuta kuelewa naona Kama huyu shekhe kalalia upande mmoja.,....inawezekana elimu yake pia ni ndogo .,hata kwa jinsi alivyotambulisha kauli ya kwanza ni tofauti na alivyotambulisha kauli zingine .,na anavyozichallenge kauli zingine ni tofauti na anavyozichallenge kauli ya kwanza...nadhani hajaitendea haki elimu
Shekhe iyo hoja haipo na haina mashiko kabisa kwaiyo unataka kusema marekan pind wamelala kule cc tumefunga wanastahil kulipa kwa sababu wamepewa taarifa ya mwez ulioonekana Tanzania au makka iyo sio kwel wala haipo katika din yetu ya kiislamu usiitie din yetu uzito watafunga kwa mujibu wa nch yao na muandamo wao hii ndio hak kufunga kwa dunia mzima hii haipo wala hakuna sheria hiyo ispokua ufahamu wenu tu
Waislam tuwe making tukitoa kasoro yy anachokikosea ktk hii elimu anayotoa ataulizwa lkn ss tusikosee tukatuma comments bila tahadhar elimu ni Pana Sana almuhim na ss tutafute elimu kwa juhud zote na hili ndio Jambo la wajib kwetu
Sheikh wangu,mimi nakukubali sana lakini hapo kwenye kiama kitakua ijumaa umeporoja, maana iyo ijumaa hujiulizi itakuaa katika mazingira gani? Ivi unajua kabla ya kiama kusimama Jua halitochomoza na Dunia nzima itakua giza kwa zaidi ya siku moja? nahisi ufikiri uzuri na upate majibu. unajua
Afu mbona sisi twavurugwa sana kwani mwaka mpya wa kikafiri hua unaingia mda mmoja? kwan saa 6 ya tz ndo ya america? Mbonamwakampya wa kikafiri hauyofautoani siku 2?
Zamani miaka mingi nyuma mwaka wa miladia ulikua unatofautiana ndo wakakaa chini wakaamua kutengeneza kitu kinaitwa International date line ili tu kusiwe na tofauti kubwa ya tarehe na siku hizi kuna UTC hivo kiasili kabisa lazima tarehe zitofautiane
KWANZA NAKUKATA KAULI. HAKUNA TAREHE YA KIKAFIRI. KUN HIJRI NA NAIRUUZ NDIO MARUFU NA PIA ZIPO TAREHE NYENGINE. KABLA HIJRI KULIKUWA NA TAREKHE PIA ZIKITUMIWA. HIZO TAREKHE UNAITA ZA KIKAFIRI NI TAREKH KUTOKA KWA NABII ISSA AS. PILI. TAREHE HIZO UNAOSEMA WEYE ZA KIKAFIRI KWA MWAKA INA SIKU 365 NA ROBO. LAKINI TAREKH ZA HIJRI AU TUSEME UFAHAMU NIITE UISLAMU MWAKA UNA SIKU ZISIZOZIDI 355. KWAIO SISI TUNATIZAMA MUWANDAMO NDIO MAANA SIO LAZIMA IWE SIKU MOJA. NA ZAMANI KABLA HII BIDAA YA MITANDAO HAWAANGALII MAKA LINI MWEZI 9 AU KUMI BALI WALIANGALIA MIJI YAO MAANA FUNGA YA ARAFA ILIKUA KABLA KISIMAMO. JARIBU KUIPA DINI KWA DALILI ZAKE NA SIO KWA AKILI YAKO MAANA AKILI NI MAKAFIRI NA DINI NI WAISLAMU.
Samahani shk muhammad sitakiwi kuongeza ila naomba niongeze, suratul qadr Allah kaeleza waz kua usiku usiku wa qadr ni mmoja na malaika na mkubwa wa malaika jibril atashuka ktk usiku huo, sasa swali je, km masiku ya ramadan yametofautiana siku 1 or 2 Allah atashusha malaika kila mmoja na usiku wale wa cheo?
Hapana mmoja ataipata, mmoja ataikosa au watapata wote inategemea Kumi la mwisho umeitafuta masiku maalum au umeutafuta masiku yote kumi. La mwisho ndio bora zaidi
@@mybabyarchive2104 lbda nikujibu salim wakat wa mtume segemu kubwa ya dunia ilikua bdo watu wake kusilimu baada ya mtume kufariki miji mingi iliingi ktk uislamu hata hio makka ulikua bado na washirikina mpka mwisho kbs wa uhai W mtume ndo aliukomboa na hata sham na Africa na ulaya uislamu uliingia kwa kas n wingi nyakat za makhalifa. Nenda kajifunze tarekh she wangu.
Akhiy naomba nikujibu. Suala la kula kwa ramadhan kwa msafir halihusian na kuona mwez hapo iwe umefuata mwez wa hapa au wa kokote kule. Huu ni wepes ambao ametoa Allah maalum kwa msafir ili apate wepes katk safar yake kwahio haihusiani kabisa na jambo la kuuona mwez, kama vile ambavo msafir pia karuhusika kupunguza swla. Nasaha zangu kwa waislam tuachen ushabika kwenye dini badla yke tuwakabali masheikh zetu kwa kuambatanisha na elimu tulionayo tutaenda ulizwa mbele ya Allah siku ya kisimamo.
Hatuwezi kufuata mipaka ya kikafiri Ukabila rangi utaifa ni mzoga unaonuka mtume ndo alivotuambia, ndugu yangu muislamu akishuhudia popte ple huyu no ndugu yangu nmepta taarifa ya mwez bas nafunga
@@haidarhassan4853 KWAIO MJI NI VIJIJI VINGI AU NCHI NYINGI? 😂. SIJAKUELEWA. AU MJI MAANA YAKE NI DUNIA?. UNAJUA UNAONGEA KAMA MLEVI VILE. HEMU SOMA ULICHOANDIKA
Na kama hiyo hapana maana yake asiulizwe kuhusu huo mwezi wa muawia je umeingiza utata katika swali ukalitafsiri kwa akili yako wewe hiyo laaa unaweza ukachanganuwa kwa maana nyingi sana
Kabla mpaka hawa kufunga pamoja kwasababu tokea zamani mwezi ukionekana siku tofauti katika maeneo ila mara chache huonekana pamoja NA hii ni sababu ya mzunguko wake. Kabla wazungu kuleta simu za kuuliza saudia rabia ilikuwa hakuna tafrani hizi
NI MATLAI SIO SAA SAA NA MATLAI NI VITU TOFAUTI MAWIO NA MACHWEO NDIO MATLAI ILA SAA KITTU CHENGINE INAWEZEKANA SAUDI NII SAA 1 MATLAI YAO LKN TANZANIA MATLAI SAA 12
Hoja dhaifu zaidi nymba buibui.. Ukijiona unatumia nguvu sana kujeileza ujue una wasiwasi na msimamo wako.. nyie daima mtafunga mwezi 29, kamwe hamtotimiza 30, ile hadith inayosema timizeni 30 mtakua mnaipinga.. mnaona haina maana.. mnapotoa watu.. mnapenda kutafuta mambo ya kufarakanisha watu..
Sio mwezi tu uliokuwa haushuhudiwi na watu hata akamuonyesha ulepale, na Al Kaaba pia watu hufika mpaka makka halioni na husimama mbele yake na husema sijaliona. Sasa hapo vipi shekh.
Mwezi ni mmoja tu duniani ukichomoza hua unachomoz mar 1 tu ukingia ndan na kurud sku ya 2 inakua siku nyengine sio km saudia wan mwez wao na tanzania wan mwez wao na kenya wan mwez wao mwez ni mmoja tu ukioneka popote km ni ramadan ni mtu afunge km shawwal mtu afungue hoja ya matlai haian nguv wal usahihi wwte ..na kam hoja ya matlai ina nguv twambien kigoma iko tanzania lkn jua jua linazam dar esalam lisaa lizima mbel ndio linazama na kigoma ss kigoma wafate mwez wa tanzania ama burundi??jmn tutafte madarsa tuso tukishasoma tutaelew kila ki2. Na hilo ndio tuliloumbiw .
Sasa sheikh naona unajizonga, kiama, au mwezi, unasema wewe tayari ni jumamosi usiku, wengine tayari jumamosi mchana, sasa wewe ushauona jumamosi magharibi, hao wengine mchana, vp wataingia kwenye saumu mchana huo au watasubiri jumapili, hebu jiweke sawa hapo
Sasa sheikh sawa tuko saa moja na hao saudia, sasa Kila siku wanauona wao tu, na kwanini sisi hatukai tukautafuta huo mwezi , iwe ndio kuna hadithi kuwa mwezi uta one kana saudia tu
SHUKRANI KWA DARSA ILA NILIWAI KUSHAURI KWAMBA MSIWE MNA ATTACH PICHA ZA WATU KWENYE CLIPS SI JAMBO JEMA BALI ACHENI WATU WAFUATILIE YALIYOMO NDANI LAKINI INAONEKANA HUO USHAURI ULIPUUZWA SINA HAKIKA KAMA KWELI MLIPATA IDHIN YA WALE MLIOWAWEKA KWENYE SCREEN, TUWENI NA UADILIFU KTK KUANDAA MA BANGO
Hapo shekhe kazungumzia kiujumla na anapo weka picha hizo anatupa urahisi wa kuzidi kufuatilia na kauli za mashekhe wengine ambao wamewahi zungumzia hilo kabla na huenda hatukubahatika kuona .kwahiyo sio tatizo kwakua hawaja shambuliwa. Kama anawekwa mtu ambae hana taaluma ya dini hapo ndo unajaji kivipi?
Huo unaofuata wewe, ni mwaka gani ulio uona na ukawapa habari hao wa miji mengine, au wewe ni wakusikia tu, vp sheikh, ebu fanya yako na uwaache wenzako, utaingia matatizoni
@@haidarhassan4853 wewe umesoma hadithi ya MTUME yupi izo ahkami za swala NA ahkami za funga?. Kwani apo kua ahkami au kuna wakati ndio unatizamwa!!!? Hizo ibada mbili zote zinaenda kwa machomozo ya falaki. Kama huwezi kuswali magrib ila mji wako lizame jua, basi hata huwezi kufunga au kufungua ila mji wako ukufukie mwezi machomozo yake. Kinyume NA hapo ni kulishwa ramadhani ya mwisho kwa kuitakidi ni iddi kumbe ramadhani unakula NA hapo ndio mtego walioutega makafiri
Ushauri wangu kwako ndugu hii ni dini yatupasa hata huyo unaemfuata bas tumfuate kwa kuambatanisha na elimu na sio kupenda kauli zke au kuona wengi wanafuata au kukubaliwa na akili yko. Sote tunahitaji kukubaliwa kwa ibada zetu na shart ya kukubaliwa kwa ibada ni lazima unachokifanya uwe wakifanya kwa elimu. Kwahio tusomeni na tuache kushabikia
IMEFIKA TENA MWEZI WA KUGOMBANA WAISLAMU. MTUME SAW AMESEMA FUNGA MTAKAPO UONA NASIO FUNGA UTAKAPOONEKANWA. YAANI MUUONE SIO UONEKANWE NA WATU WA MBALI.
Vipofu au wasiouona katika mji huo watafunga kwa mashahidi waaminifu wasiouona. Lkn shuruti la mwezi ni kuuona sio kusikia. MTUME SAW ALIKUWA anaweza kusema mkisikia mwezi umeonekana basi fungeni. Lakini hio mkisikia ni maneno ya bachu NA ukisema mkiuona ni maneno ya MTUME SAW kwaio kila mtu atachagua ipi kauli bora NA afate kati ya hizi mbili nilizotaja. Ya MTUME SAW au ya fulani
NA hio kushuhudia mwezi imekusudia kuuona hakuna yakini maana kwenu mwezi huo wa ramadhani haukufika. Soma falaki utajua lkn falaki mnaita uchawi sasa kasome kuchunga punda😂
@@mohdothman5816 MTUME SAW aliposema fungeni mnapouona ALIJUA kuwa katika hilo kundi hawatouona wote lakini kwa shuhuda ya watu waaminifu kuwa mwezi upo ikiwa wenzako mnaotizama nao mwezi wameuona katika hayo maeneo. Ni wazo kwamba hadithi inazungumza watu waliokuwa WAMEKAA pamoja ndio mnapouona ikiwa nyote au mmoja wenu muaminifu. Hapo haihusishi watu wa mbali. MTUME SAW hakushindwa kusema UTAKAPOONEKANWA AU UTAKAPOONEKANA. kasema MTAKAPO UONA. nano MTAKAPO nineno la watu waliokaa sehemu moja. Lugha tu kijana isikupe tabu. Ndio maana riwaya za maswahaba zipo kuenda mji waliona mwezi tofauti NA wakafunga tofauti NA pia kuna riwaya inasena kila mji NA mwezi wake. Kwaio utaona wazi kuna kafiri aliingia kufunza baadhi ya waislamu wajinga ili awapotoshe NA hakuna jengine.
Lakin umemfaham vizuri uyo shekh,anatafsiri Hadith ya Muhammed ibn wahab vizuri tu na miamala yote iko vzur,hasa swali moja tu kwamfano,SS tufunge mwez 29 nyinyi mfungue mwez 30 na tuende hivyo mpaka tareh ya hojja ya mwez kumi ifike,na Allah ajaliye ww unaenda hijja Sasa utaenda hija ya mwez 9 wako au utaenda hijja ya mwezi 10,kwasababu ili itimye hija yko lazma iwe mwez kumi,ambayo SS ni mwezi kumi na moja,huoni apa kwa ajili yaharaka tu kuwa hapajakaa sawa tokea huku
Sawa suali linakuja hapa ivi sisi na China tumepishana kwa masaa 6 sasa sisi kama tumeona mwez magharb wao itakua washalala sisi tunaamka na funga wao wanasubr wauone
Kwanini makafiri watushinde kweny hili? Wao wanawezJe kusheherekea mwaka mpya wao siku 1 dunia nzima sisi tushindwa kufunga na kufungua siku moja dunia nzima? TUMEPARAGANYISHWA NA TUMEKUBAL KUPARAGANYIKA.
Zamani miaka mingi nyuma mwaka wa miladia ulikua unatofautiana ndo wakakaa chini wakaamua kutengeneza kitu kinaitwa International date line ili tu kusiwe na tofauti kubwa ya tarehe na siku hizi kuna UTC hivo kiasili kabisa lazima tarehe zitofautiane
Huyu sheikh anajuwa kuwa upande wa mashariki una tofauti ya masaa 8 na iwapo hawakuuona mwezi na ukaandama wao tayari wameshalala jee daku na nia watafanya saa ngapi ili siku ya pili waamke na funga? Halafu ni hoja dhaifu kutania kuwa ingekuwa lazima kila mtu aone wakati wengine uone wao hafifu au vipofu, halafu yeye yeye anakazania kuwa ukisikia umeandama mji wa mbali ufunge. Hii ni double standard. Halafu hii hoja ya kuwa mwezi uliokusudiwa ni masiku sio lile globe sasa kwanini kumeingia suala la mawingu? Jee siku huwa zinazuiwa na mawingu?
Mjinga msomi ni hatari zaidi kwani hii si niibada kwani ukiingia masjd kila mtu anasimama na kuswalisha?au kutoa adhana sikuna kuwa na adabu na utaratibu
Shk Mohd bachu wapenda Sana mgogoro licha ya elimu yako Ni finyo Sana ukilinganisha Na elimu ya wenzako..Kwanza soma vizuri uhitimu alafu ufanye mgogoro Na mashekhe wenzako BT Kwa sasa elimu yako haikuruhusu kufanya mgogoro
Katwalii na'hwu vizuri Muhammad tena haswa huo mlango wa is'tif'haam umeelewa vibaya.
Nenda ukajifundishe nahwu Na lugha..hata elimu ya fiqhi pia hujui,Shk Bachu.
Unapenda sana kukosoa masheikh wezako. Unapenda kiki sana
Kweli kabisaa
Sasa bilamya kukosa utaekezeaje? Maana usawa NI mmoja tu.masheikh ule usemi wote mnapatia sionkweli
Mungu akuongoze anae kubeza atalaaniwa piga dawa ustadh
Haya ni kwa sababu ya teknologia jee zama za kale ilkua hukmu ni vipi,na jee tunaeza kuswali jamaa kupitia vifaa vya kisasa,imam mskitini maamuma majumbani
Shekh umejichanganya Sana inaonyesha haya mas'ala hujayatwalii vzur au huyajui.
Umechanganya saa ya jua na saa ya standard ...
Kuwa mchamungu wacha ubabaishaji
Maa shaa ALLAH kheir, ALLAH akuhifadhi na akulinde na kila shari ya mahasidi na makhurafi.
Mtume SAW, hakushindwa kutoa kaulimoja tu ya kuwa waislamu wote mfungue na mfunge kwa pamoja,
M/Mungu amesema fungeni kwa kuuona na sio kwa kusikia
Mwalim nakuelewa sana alaf unatutoa matongo Allah akujalie uhai mlef tuzid kujifunza majambo mashallah
Yaani Muhammad bacho..mtumi alikua hayajui hayo na mashekhe waliotangulia hawakuyajua haya...ntakukumbusha tu Ibnu Abbas alikikataa kua mgongo watu wakanyange..ili waingie peponi na yy anazama motoni...nakuomba tu kakangu mkubwa Elimu ni pana sana ulicho kisoma sio nilicho kisoma na fahamu inakua tofauti...mche Allah kasana usiwe sababu ya Waislamu kuvurugana
Yaani mi nimemshangaa sana....labda elimu yake bado ndogo
Allah akulinde na maduw shekh Muhammad ibn bachu fatwa imefahamika ila wenye vichwa ngumu hawataelewaaaa
Zanzibar Alhmdllah miaka na miaka kitovu cha dini ivi mashekhe wetu walikuwa hawajui hayo, msitubabaishe akili zetu,
Masha Allah kazi kubwa unaifanya Allah azidi kukuongoa
Allah akupe fahamu,,,, maana naona unapindisha sana ili yako yaende sawa
Hv katika uislam kipimo cha masaa kinatumika kwenye ibada gani / ipi naomba nieleweshe maana hizi habari za masaa 24 mmezitoa katika kitabu gani?
Asssalamu alykum ndugu kwn unaoenda kuswali Adhuhuri au Alaasir au swala yyte ile hua unaangalia kitu agan mpk ukajua swala imeingia au adhana unayoisubir ili muadhin aadhin hua anaangalia kitu gan mpaka anaadhin?
Lkn pia Akhiy unapataje kuhesabu mwaka, mwezi, week au siku?
kwenye swaala la kufunga tusikufulishane kwan zipo hadithi zinaonyesha mtume muhammad alifunga miaka 9 katika maisha yake ila mwezi kwa macho yake kaona mala mbili tu ili zote zilizo baki kafikishiwa ujumbe ushahidi upo
Hivi mnapo angalia mwez sa 12 jioni sa 1 mnatoa taarifa mwez haukuonekana je mnatumia magharb ya Saudi tu ..hizo nchi nyengne hua mchana hamsubir magharb za nchi hizo ..soma bachu
Unatka kutuambia kua hao wanavyuoni walopita walifanya makosa wee ndio bora? Hebu tuambie hiyo Miji waliyokua wakiishi Adallah.
Kwani huyu ametoa dalili kwa kutumia hoja zako ww au ametumia kauli za mwanazuoni na ukumbuke maimamu si maasumu
Hakika umemjibu vizuri san
Ufaham wako kwa mwalim bachu mdogo ndugu yang Ahmad zubeir
Mm nasema pigeni zogo lakin kusoma kunahitajika San nakumbukeni Allah kasem kwamba matendo yote binadam niyake ispokua funga achiwe yy kwaiyo msijifanye mumepatia ama muko sahh , walatuzzaku amfusakum wallahu aalamu bimani ttaqa ,
Ukitumia pigeni zogo bas hio aya ulioitoa inakuraddi wewe mwenyewe maana utakua ushadharu kwamba hakuna la maana alilosema, ljn kumbuka amenukuu Ayat za quran kwann unasibishe na zogo. Tumche Allah na tusiseme ila lenye kuleta natija tuepuke ushabik kwenye dini. Allah atuongoze
Assalam Alykm, Sheikh
Ungejua maana ya Jambo
ألأمر مختلف فيه، و الأمر مجمع عليه.
Itakusaidia.
Wanatofautiana kwa sababu hawana elimu ya jiografia. Wanadhani Kuna mwezi 2
Siku ya kiyama itakua Ijumaa ,, Ijumaa ni 24 Hours masaa 24,,
lakini kufung nchana ni kama masaa 12, 14,,
Mfano Visiwa viya Hawaii hawakuona mwezi Magaribi kwao ni saa 12,, Arica mashariki ni na Maka hua ni saa 1asubuhi,,
kukiwa Maka (pamoja na Africa mashariki) saa 12 magharibi wakiona mwezi,, huwa ni saa 11 Alfajiri siku ya pili,,
Je wafunge watu wa visiwa vya Hawaii au wasifunge??
Hal kadhalika watu wa Australia,, Maka waeza kuona mwezi.. lkini wao ni saa 8 usiku Je wafunge au laa,,
Jaribu kuipitia hadithi namba 14 kitabu sahihi Muslim kitabu swaum napia ipitie katika hadith ya muwawia mlango swaum kitabu subuli salam
Wallah Muhammad bachu mm sikuelewi hayo unayosema yn kasema hapana kwamba mtume hajafudisha hivyo ndio maana yake ww inashikilia hoja yako isiokua na mashiko kabisa
Iyo yako ww yenye mashiko iko wapi
@@dazzwazenji yenye mashiko ni hiyo ibn abbas alivosema kua mtume alifundisha kua watu wafunge kwa muandamo wa nch yao hiyo ndio sahihi kabisa
Allah akuongoze inshAllah
Sijawahi kumsikia sheikh yeyote akiitafsiri hadithi ya mtume ilosimuliwa na kureibu km ibnu Abas aliukubali mwezi wa sham ulotolewa habari na kureibu na huo wako ni uwongo.... Pili hiyo ni hadithi ya mtume ndugu unaendelea kubeba dhima
Naona ufahamu wako sio sawa kwa sababu kama yule aliyetoka sham walipo rudi Madina na ilipo fika tarehe 30 kwake alivunja SAUMU kwa sababu alikuwa ashamaliza siku 30 , kwa nini hao wa Madina hawakuvunja SAUMU yao ( hata kama wao walikuwa wamefunga siku 29 ? ) bali waliendelea kwa vile wao hawakuona mwezi kwa siku ya 29 na waliendelea kumaliza siku 30 ! Maana yake ni kuwa kila mmoja afuate tarehe ya mwandamo wake .
Sheikh nahisi kama umetupeleka peleka hivi hadithi inasema mwezi ukionekana katika mji mwengine basi waislam katika nchi hiyo wanatakiwa kufunga lakini vp ukionekana nchi fulani huku tufunge? Au hadithi inamaana moja mji na nchi?
Anatupiga CHANGA kweupee😂
Huna akili ... tafautisha Kati ya kiyama na ibada za mwezi..
Ww hata hujui kuvaa kofia..Kwanza jifundishe kujua kuvaa kofia ya Kiislamu alafu jifundishe elimu nyenginezo
Jaman naomba niwashauri hpo kama mlivo sikia kuna qauli za ma imam wakubwa ambao hatuwawezi kamwe, nyama za wanachuoni ni sumu Tutapat laans.
Hao masheikhe wa zamani hawana makosa lkni zama zinabadiki siku hazifanani kwa zama hizo walikuwa sahihi kutokana na ugumu wa masualiano lkni sasa masualiano ni rahisi
Allah akufanyiye wepesi aamin yarab
TAALUMA SHUKRAN ZICO
Sheikh mada unayoizungumzia huna uwezo nayo taqillah sio kila kitu lazima ukijuwe
Naon wa2 wanatoa lawama na kuuliza kwan watu wte tunaswal adhuhur pamoja?jmn ibada ya swal na fung nibad 2 tofaut na ni zmekuj na ambri tofauti tuskilize kwa umakin apo ...
Ndugu zangu lzma tufahamu kua teknologia ni neema kubwa KUTOKA KWA Allah si mzunguuu ana hikma kubwa kuturahisishia mawasiliano
Kwa hiyo unataka kusema kula kwa mkono ni kwa sababu enzi za mtume hapakua na technolojia ya kijiko?
@@mybabyarchive2104 hawa wanajiita watu wa sunna lkn ndio wa mwanzo kuacha hadithi NA kuleta wazo lao🤔
Suala Technology ifate Dini ama Dini ifate Technology
Zama 3 Bora mpka 4 hakuna aliefata mwez WA kimataifa
Hao wasuudia wenyewe wanapita misikitini na kusema kuwa wao wasifuatwe, tufuate miaandamo yetu ya mwezi.
Kufata mwezi wa Suudia ni Mambo yaloletwa juzi tu kila mtu afate alipo ,ok kwa wanaofata miezi ya watu je siku network ikigoma watafata wapi
Kwamimi ninayetafuta kuelewa naona Kama huyu shekhe kalalia upande mmoja.,....inawezekana elimu yake pia ni ndogo .,hata kwa jinsi alivyotambulisha kauli ya kwanza ni tofauti na alivyotambulisha kauli zingine .,na anavyozichallenge kauli zingine ni tofauti na anavyozichallenge kauli ya kwanza...nadhani hajaitendea haki elimu
Shekhe iyo hoja haipo na haina mashiko kabisa kwaiyo unataka kusema marekan pind wamelala kule cc tumefunga wanastahil kulipa kwa sababu wamepewa taarifa ya mwez ulioonekana Tanzania au makka iyo sio kwel wala haipo katika din yetu ya kiislamu usiitie din yetu uzito watafunga kwa mujibu wa nch yao na muandamo wao hii ndio hak kufunga kwa dunia mzima hii haipo wala hakuna sheria hiyo ispokua ufahamu wenu tu
Waislam tuwe making tukitoa kasoro yy anachokikosea ktk hii elimu anayotoa ataulizwa lkn ss tusikosee tukatuma comments bila tahadhar elimu ni Pana Sana almuhim na ss tutafute elimu kwa juhud zote na hili ndio Jambo la wajib kwetu
Umeongea point mkuu
Sheigh wajitia aibu hio mada huiwezi unachanganya watu
Wewe haujuwi illa unawazulia ma ulamaa wa Saudia
Sasa tuna social media,tunasikia wzpi mwezi umeonekana, hapo ilikuwa hakun ipi kulifungwa pamoja?.
Neno "hapana"kila watu wanafahamu kwa ufahamu wao kwaiyo hakuna haja ya kuwalazimisha watu.
Sawa sawa kweli kabisa wanalazimisha unadhani walosoma na kufahamu peke yao
@@w4058 hili kundi lilipoingia lilidharauliwa lakini sasa ivi limeota mizizi ni lazima litokoezwe
Sheikh wangu,mimi nakukubali sana lakini hapo kwenye kiama kitakua ijumaa umeporoja, maana iyo ijumaa hujiulizi itakuaa katika mazingira gani? Ivi unajua kabla ya kiama kusimama Jua halitochomoza na Dunia nzima itakua giza kwa zaidi ya siku moja? nahisi ufikiri uzuri na upate majibu. unajua
Mtume saw ndo alosema kitamb kitatokea siku ya ijumaa usiropokwe kma hujui kitu
@@allymohammed7323 Unaropokwa wewe mana hoja inabaki palepale, je iyo ijumaa itakua ya mazingira gani unajua?
Hakika asie elewa hapa labda ataelewa siasa, mambo umeyaweka fahawisha kabisa
Usijitie wazimu maana ya kushuhudia ni kuona kwa macho
Afu mbona sisi twavurugwa sana kwani mwaka mpya wa kikafiri hua unaingia mda mmoja? kwan saa 6 ya tz ndo ya america? Mbonamwakampya wa kikafiri hauyofautoani siku 2?
Zamani miaka mingi nyuma mwaka wa miladia ulikua unatofautiana ndo wakakaa chini wakaamua kutengeneza kitu kinaitwa International date line ili tu kusiwe na tofauti kubwa ya tarehe na siku hizi kuna UTC hivo kiasili kabisa lazima tarehe zitofautiane
KWANZA NAKUKATA KAULI. HAKUNA TAREHE YA KIKAFIRI. KUN HIJRI NA NAIRUUZ NDIO MARUFU NA PIA ZIPO TAREHE NYENGINE. KABLA HIJRI KULIKUWA NA TAREKHE PIA ZIKITUMIWA. HIZO TAREKHE UNAITA ZA KIKAFIRI NI TAREKH KUTOKA KWA NABII ISSA AS.
PILI. TAREHE HIZO UNAOSEMA WEYE ZA KIKAFIRI KWA MWAKA INA SIKU 365 NA ROBO. LAKINI TAREKH ZA HIJRI AU TUSEME UFAHAMU NIITE UISLAMU MWAKA UNA SIKU ZISIZOZIDI 355. KWAIO SISI TUNATIZAMA MUWANDAMO NDIO MAANA SIO LAZIMA IWE SIKU MOJA. NA ZAMANI KABLA HII BIDAA YA MITANDAO HAWAANGALII MAKA LINI MWEZI 9 AU KUMI BALI WALIANGALIA MIJI YAO MAANA FUNGA YA ARAFA ILIKUA KABLA KISIMAMO. JARIBU KUIPA DINI KWA DALILI ZAKE NA SIO KWA AKILI YAKO MAANA AKILI NI MAKAFIRI NA DINI NI WAISLAMU.
Subhana Allah
Samahani shk muhammad sitakiwi kuongeza ila naomba niongeze, suratul qadr Allah kaeleza waz kua usiku usiku wa qadr ni mmoja na malaika na mkubwa wa malaika jibril atashuka ktk usiku huo, sasa swali je, km masiku ya ramadan yametofautiana siku 1 or 2 Allah atashusha malaika kila mmoja na usiku wale wa cheo?
Hapana mmoja ataipata, mmoja ataikosa au watapata wote inategemea Kumi la mwisho umeitafuta masiku maalum au umeutafuta masiku yote kumi. La mwisho ndio bora zaidi
@@mobilespecialschool4216 kaisomw kwa ile surah angalau tarjama
Hili swali mimi najiuliza kila sku
Je wakati wa mtume watu wa Makka, sham, Africa, Ulaya, Asia wao walikua wakifunga pamoja? Kama tofauti je Hawakuipata lailatul qadri?
@@mybabyarchive2104 lbda nikujibu salim wakat wa mtume segemu kubwa ya dunia ilikua bdo watu wake kusilimu baada ya mtume kufariki miji mingi iliingi ktk uislamu hata hio makka ulikua bado na washirikina mpka mwisho kbs wa uhai W mtume ndo aliukomboa na hata sham na Africa na ulaya uislamu uliingia kwa kas n wingi nyakat za makhalifa. Nenda kajifunze tarekh she wangu.
Hatutaki sisi sio majahili hi dini siyo siasa
Hizi mada zimepitwa na wakati
Kwa nini sheikh ukisafiri unatakiwa ule wakati hiyo ramadhani ndio imeshaingia dunia nzima?
Akhiy naomba nikujibu. Suala la kula kwa ramadhan kwa msafir halihusian na kuona mwez hapo iwe umefuata mwez wa hapa au wa kokote kule. Huu ni wepes ambao ametoa Allah maalum kwa msafir ili apate wepes katk safar yake kwahio haihusiani kabisa na jambo la kuuona mwez, kama vile ambavo msafir pia karuhusika kupunguza swla. Nasaha zangu kwa waislam tuachen ushabika kwenye dini badla yke tuwakabali masheikh zetu kwa kuambatanisha na elimu tulionayo tutaenda ulizwa mbele ya Allah siku ya kisimamo.
Ajiuzie aje alipe kwa dalili gani
Kwahiyo shekh Mohamed anakubaliana na madhehebu bila shaka, sasa hakuna utata kila mmoja afuate madhehebu yake
tumeambiwa lugha itakua moja basi nandazako marekani ukaongeenao lughamoja
Unajizonga mwenyewe na kuzonga wengine
Mji kusudio si kitongoji shekh bali ni eneo lenye mamlaka kamili na mtazaji mmoja na sila mtu aseme lake maadam ana tv au redio
Mji ni mkusanyiko wa vijiji vingi
Hatuwezi kufuata mipaka ya kikafiri Ukabila rangi utaifa ni mzoga unaonuka mtume ndo alivotuambia, ndugu yangu muislamu akishuhudia popte ple huyu no ndugu yangu nmepta taarifa ya mwez bas nafunga
@@haidarhassan4853 KWAIO MJI NI VIJIJI VINGI AU NCHI NYINGI? 😂. SIJAKUELEWA. AU MJI MAANA YAKE NI DUNIA?. UNAJUA UNAONGEA KAMA MLEVI VILE. HEMU SOMA ULICHOANDIKA
Kumbehuyu shehe borana mm sidanganyi watu ponti ikohivi kumbekilammoja ameuona sikuyake
Huyu kumbe khaswa hana elimu,mafhuum ya hadithi hujayafahamu. Hebu jiulize ktika hiyo hadithi ya Abdallah Ibnu Abass.
Wewe pia huelezi mafhuum ya Hadith. Hebu eleza kama unadai kwamba wewe ndie unajua.
Nyinyi munaojidai kumkosoa huyu sheikh hamna lolote na hajui chochote hamjui hata tafsiri ya alhamdu hivi munapata wapi jeuri kujidai kumkosoa?
Katık mambo ambayo sipotezi muda wangu kusikiliza ni mambo kama haya kukosoana kosoana tu.
Nd kujifunza
Umri nao unahuxka
Na kama hiyo hapana maana yake asiulizwe kuhusu huo mwezi wa muawia je umeingiza utata katika swali ukalitafsiri kwa akili yako wewe hiyo laaa unaweza ukachanganuwa kwa maana nyingi sana
Je kabla ya Mipaka kuwekwa na wazungu Hapakua na waislam? Na Je kipindi hiko kabla ya mipaka kugawanywa Dunia Nzima walikifunga pamoja?
Kabla mpaka hawa kufunga pamoja kwasababu tokea zamani mwezi ukionekana siku tofauti katika maeneo ila mara chache huonekana pamoja NA hii ni sababu ya mzunguko wake. Kabla wazungu kuleta simu za kuuliza saudia rabia ilikuwa hakuna tafrani hizi
hatuwez kukufuata kabisa ila mwenye kulipa malipo ya Ramadan ni Allah tu
Haki itabaki kama haki tu
Wenzio walisema hivyo.jitambue
Mfate soraga sio lazm
NI MATLAI SIO SAA SAA NA MATLAI NI VITU TOFAUTI MAWIO NA MACHWEO NDIO MATLAI ILA SAA KITTU CHENGINE INAWEZEKANA SAUDI NII SAA 1 MATLAI YAO LKN TANZANIA MATLAI SAA 12
TV ima
Hoja dhaifu zaidi nymba buibui.. Ukijiona unatumia nguvu sana kujeileza ujue una wasiwasi na msimamo wako.. nyie daima mtafunga mwezi 29, kamwe hamtotimiza 30, ile hadith inayosema timizeni 30 mtakua mnaipinga.. mnaona haina maana.. mnapotoa watu.. mnapenda kutafuta mambo ya kufarakanisha watu..
Waonekane wanajua jambo ambalo wengine hawajui 😂kumbe ndio wanapotea hivyo
Usicheze na siku ya kiama wewe hiyo ni habari nyingine naona unatuchanganyia mada
Ni uchafuzi wa elimu.
Jaman ckilizen kwa makin na mtafte madarsa msome musitoe lawama tu hayo ni mambo ya khtilafa
Jazaka Allahu khair. Nasaha nzuri sana.
Saa za tz na saudi zipo sawa lkn muda wa kuzama jua na kuchomoza upo tofauti
Je kigoma na dar es salaam,,,,,,, Soma Zaid
Ni kweli kigoma jua linachelewa
Elimu yako ndogo ila una msimamo wa kufuata Saudi na elimu yako bado ni mjinga sana
Ama wewe majanga kweli!!!! Hiyo ndio elim yako kaka na watu wanakusikiliza na kukufata!!!!!!!
Doctur mbarak awes amefanya nn?
Sio mwezi tu uliokuwa haushuhudiwi na watu hata akamuonyesha ulepale, na Al Kaaba pia watu hufika mpaka makka halioni na husimama mbele yake na husema sijaliona. Sasa hapo vipi shekh.
Hata mwez wa kuingia shaaban wa tz ambao ulionekana znz mbona ulikua mkubwa na umekaa mda mrefu, je ule ni mwezi wa 30?
Yan je ule ulikua 29 kweli? Sio 30
@@haidarhassan4853 hata ukiwa wa 30. Lkn hadithi ya MTUME SAW imesema haina neno kuumia akili na macho bali timizeni 30. Nini tatizo lako
Hii recodi ni ya mwaka gani?
Mwezi ni mmoja tu duniani ukichomoza hua unachomoz mar 1 tu ukingia ndan na kurud sku ya 2 inakua siku nyengine sio km saudia wan mwez wao na tanzania wan mwez wao na kenya wan mwez wao mwez ni mmoja tu ukioneka popote km ni ramadan ni mtu afunge km shawwal mtu afungue hoja ya matlai haian nguv wal usahihi wwte ..na kam hoja ya matlai ina nguv twambien kigoma iko tanzania lkn jua jua linazam dar esalam lisaa lizima mbel ndio linazama na kigoma ss kigoma wafate mwez wa tanzania ama burundi??jmn tutafte madarsa tuso tukishasoma tutaelew kila ki2. Na hilo ndio tuliloumbiw .
Kwa wakati wa Sasa hoja yako itakuwa na nguvu lakini Hali kabla ingewezekanaje
Sheikh naomba namba zako samahani
Ninazo mm ila cwez kuziweka hapo
Ye mwenyewe alisha ziweka kitambo kufuatilia madarasa yake baadhi ipo wazi tu
izo fatuwa ziliisha eleweka tufafa nulie nahili lakukingwa na mawingu kamilisheni hiinayo ikoje kama pointi yako nihiyo
Nimashaka gn hayo makubwa
KWA HIO WALIOCAMBIWA MWEZI UMEONEKANA MCHANA SAWA NA WANAWAKE WENYE HEDHI HAHAHAHAHHA
Uyu Bado akasome Tena
We elimu yako iko wapi mbon mnapenda poroj nyie
Sasa sheikh naona unajizonga, kiama, au mwezi, unasema wewe tayari ni jumamosi usiku, wengine tayari jumamosi mchana, sasa wewe ushauona jumamosi magharibi, hao wengine mchana, vp wataingia kwenye saumu mchana huo au watasubiri jumapili, hebu jiweke sawa hapo
na vp saudia wanafanana masaa sawa na afrika ya masharik?
Sasa sheikh sawa tuko saa moja na hao saudia, sasa Kila siku wanauona wao tu, na kwanini sisi hatukai tukautafuta huo mwezi , iwe ndio kuna hadithi kuwa mwezi uta one kana saudia tu
SHUKRANI KWA DARSA ILA NILIWAI KUSHAURI KWAMBA MSIWE MNA ATTACH PICHA ZA WATU KWENYE CLIPS SI JAMBO JEMA BALI ACHENI WATU WAFUATILIE YALIYOMO NDANI LAKINI INAONEKANA HUO USHAURI ULIPUUZWA
SINA HAKIKA KAMA KWELI MLIPATA IDHIN YA WALE MLIOWAWEKA KWENYE SCREEN, TUWENI NA UADILIFU KTK KUANDAA MA BANGO
Hapo shekhe kazungumzia kiujumla na anapo weka picha hizo anatupa urahisi wa kuzidi kufuatilia na kauli za mashekhe wengine ambao wamewahi zungumzia hilo kabla na huenda hatukubahatika kuona .kwahiyo sio tatizo kwakua hawaja shambuliwa. Kama anawekwa mtu ambae hana taaluma ya dini hapo ndo unajaji kivipi?
Ulitakiwa usomeshe hicho kitabu na maelezo yake badala ya kushawishi kukubalika msimamo wako.Watu wenyewe waamue sababu wana akili ya kupima mambo
Huo unaofuata wewe, ni mwaka gani ulio uona na ukawapa habari hao wa miji mengine, au wewe ni wakusikia tu, vp sheikh, ebu fanya yako na uwaache wenzako, utaingia matatizoni
Ndio sala mungu Katuamrisha dunia nzima jee watu oote tunasali adhuhuri muda mmoja? Mona unapata shiiida
Shekh unachanganya bain ahkam za swala na ahkam za swaum na hata dar na mwanza wanatofautiana sana kuswali mka dkk 40
Mm hapa nilipo adhuhuri nasali saa 5 na 30 ramadhani mwisho kula daku saa 9 na 40 na kufturu saa 12 jioni
Kwaiyo kwenu adhuhuri mnaswali usiku
Shekhe Leo ukiuona pekeako mwezi tunakumba utushuhudize japo Kwa clip yenyekuaminika
@@haidarhassan4853 wewe umesoma hadithi ya MTUME yupi izo ahkami za swala NA ahkami za funga?. Kwani apo kua ahkami au kuna wakati ndio unatizamwa!!!? Hizo ibada mbili zote zinaenda kwa machomozo ya falaki. Kama huwezi kuswali magrib ila mji wako lizame jua, basi hata huwezi kufunga au kufungua ila mji wako ukufukie mwezi machomozo yake. Kinyume NA hapo ni kulishwa ramadhani ya mwisho kwa kuitakidi ni iddi kumbe ramadhani unakula NA hapo ndio mtego walioutega makafiri
Mpumbavu huna lolote
Sisi hatutokufata wewe mjomba kwa hili
na hakuna sehem alosema afatwe
@@TariqAli-uk6qy ipo kasema. Kama kiziwi ni wewe MUWAHABI
Ushauri wangu kwako ndugu hii ni dini yatupasa hata huyo unaemfuata bas tumfuate kwa kuambatanisha na elimu na sio kupenda kauli zke au kuona wengi wanafuata au kukubaliwa na akili yko. Sote tunahitaji kukubaliwa kwa ibada zetu na shart ya kukubaliwa kwa ibada ni lazima unachokifanya uwe wakifanya kwa elimu. Kwahio tusomeni na tuache kushabikia
@@alkhudhayfkhudhayfy1968 NA mie USHAURI wangu kwako uwe NA Shekh anoaminika umfuate maana nakuona huna shekhe unayumba tu
@@hilalalhabsi2047 Allah akuongoze
IMEFIKA TENA MWEZI WA KUGOMBANA WAISLAMU. MTUME SAW AMESEMA FUNGA MTAKAPO UONA NASIO FUNGA UTAKAPOONEKANWA. YAANI MUUONE SIO UONEKANWE NA WATU WA MBALI.
Vipofu au wasiouona katika mji huo watafunga kwa mashahidi waaminifu wasiouona. Lkn shuruti la mwezi ni kuuona sio kusikia. MTUME SAW ALIKUWA anaweza kusema mkisikia mwezi umeonekana basi fungeni. Lakini hio mkisikia ni maneno ya bachu NA ukisema mkiuona ni maneno ya MTUME SAW kwaio kila mtu atachagua ipi kauli bora NA afate kati ya hizi mbili nilizotaja. Ya MTUME SAW au ya fulani
NA hio kushuhudia mwezi imekusudia kuuona hakuna yakini maana kwenu mwezi huo wa ramadhani haukufika. Soma falaki utajua lkn falaki mnaita uchawi sasa kasome kuchunga punda😂
Hahahahaha ndugu yangu pole,tufunge tunapouwona na siyo kuwonwa,haya wale tulipoambiwa tufunge tunapouwona na tunapouckya umeonekana,niwakona nani
@@mohdothman5816 MTUME SAW aliposema fungeni mnapouona ALIJUA kuwa katika hilo kundi hawatouona wote lakini kwa shuhuda ya watu waaminifu kuwa mwezi upo ikiwa wenzako mnaotizama nao mwezi wameuona katika hayo maeneo. Ni wazo kwamba hadithi inazungumza watu waliokuwa WAMEKAA pamoja ndio mnapouona ikiwa nyote au mmoja wenu muaminifu. Hapo haihusishi watu wa mbali. MTUME SAW hakushindwa kusema UTAKAPOONEKANWA AU UTAKAPOONEKANA. kasema MTAKAPO UONA. nano MTAKAPO nineno la watu waliokaa sehemu moja. Lugha tu kijana isikupe tabu. Ndio maana riwaya za maswahaba zipo kuenda mji waliona mwezi tofauti NA wakafunga tofauti NA pia kuna riwaya inasena kila mji NA mwezi wake. Kwaio utaona wazi kuna kafiri aliingia kufunza baadhi ya waislamu wajinga ili awapotoshe NA hakuna jengine.
Lakin umemfaham vizuri uyo shekh,anatafsiri Hadith ya Muhammed ibn wahab vizuri tu na miamala yote iko vzur,hasa swali moja tu kwamfano,SS tufunge mwez 29 nyinyi mfungue mwez 30 na tuende hivyo mpaka tareh ya hojja ya mwez kumi ifike,na Allah ajaliye ww unaenda hijja Sasa utaenda hija ya mwez 9 wako au utaenda hijja ya mwezi 10,kwasababu ili itimye hija yko lazma iwe mwez kumi,ambayo SS ni mwezi kumi na moja,huoni apa kwa ajili yaharaka tu kuwa hapajakaa sawa tokea huku
Sawa suali linakuja hapa ivi sisi na China tumepishana kwa masaa 6 sasa sisi kama tumeona mwez magharb wao itakua washalala sisi tunaamka na funga wao wanasubr wauone
Kwanini makafiri watushinde kweny hili? Wao wanawezJe kusheherekea mwaka mpya wao siku 1 dunia nzima sisi tushindwa kufunga na kufungua siku moja dunia nzima? TUMEPARAGANYISHWA NA TUMEKUBAL KUPARAGANYIKA.
Wao mwiezi yao haibadiliki sisi mpaka tuangalie mwezi
Wao ni Makafiri na sisi ni Waislamu
Kwani we miezi ya kikafiri hujui kma imepangwa au unataka na ww ujenge hoja
Zamani miaka mingi nyuma mwaka wa miladia ulikua unatofautiana ndo wakakaa chini wakaamua kutengeneza kitu kinaitwa International date line ili tu kusiwe na tofauti kubwa ya tarehe na siku hizi kuna UTC hivo kiasili kabisa lazima tarehe zitofautiane
Yan na wewe kushakuwa mujtaahid ilhali hata alifu hunijui hii ndio hali ya mawahabi kuvuruga watu
yaan kila ifikapo Ramadhani bac kila shekhe hujiona yy yuko sawa kuliko wenzake hatariiiiiiiiiiii
Kama mwezi unao andama hauhusiki yanahusika masiku jee hayomasiku tutayapata vp pasina kuanza kuuangalia?unapotosha
Kama anapotosha, fundisha wewe au tuambie kidalili kilicho sahihi
Babu hujelewa sikiliza tena
Watu tujifunze tarehe ndio tutajua yupo Sawa na mungu atuongoze tulisoma elimu
Huyu sheikh anajuwa kuwa upande wa mashariki una tofauti ya masaa 8 na iwapo hawakuuona mwezi na ukaandama wao tayari wameshalala jee daku na nia watafanya saa ngapi ili siku ya pili waamke na funga?
Halafu ni hoja dhaifu kutania kuwa ingekuwa lazima kila mtu aone wakati wengine uone wao hafifu au vipofu, halafu yeye yeye anakazania kuwa ukisikia umeandama mji wa mbali ufunge. Hii ni double standard.
Halafu hii hoja ya kuwa mwezi uliokusudiwa ni masiku sio lile globe sasa kwanini kumeingia suala la mawingu? Jee siku huwa zinazuiwa na mawingu?
Hizo tafsir umeziona wewe jana tu, miaka na miaka wasomaji wa hivo vitabu walikuwa hawapo,nijibu
Mjinga msomi ni hatari zaidi kwani hii si niibada kwani ukiingia masjd kila mtu anasimama na kuswalisha?au kutoa adhana sikuna kuwa na adabu na utaratibu